Nandy anapenda kulakula jmn😂❤❤❤alaf anaonesha anampenda sn zuchu mask ❤nafurah kuwaona mnapendan. Mung asaidie iwe ivo ivo maisha yote.nandy nimchez mno had raha❤nawote nawapend mno nandy na zuchu ❤❤❤❤❤🎉
YAAN ZUCHU NI BINTI AMESHABARIKIWA SANA ANA NYOTA ISIYOSHUSHWA KIRAHISI NDIO KWANZA INAPAA HADI KINA NANDI WANAJIPENDEKEZA KWAKE SASA. YAANI KAJIKALIA ZAKE KIMYA MPOLE MWENYEWE LAKINI KAITEKA SHUGHULI KAWAFUNIKA HADI WALIOANDAA MITANDAONI KAJAA ZUCHU TU😍😍😍😍😍😍😍😍,
Joto la Dar mchana jua kali kajipiga tai kama anakwenda kanisani kuimba kwaya. Zuchu jifunze kuvaa. Kila kitu kinamahili pake nankila mahali panakitu chake. Kila kitu kina wakati wake na kila wakati unakitu chake. Ukilishika hili utakuwa artist mzuri. Wacha ushamba kuvaabuniform na mataiabm v hana kama unasoma mission school
Huyo unaesema ajifunze kuvaa camera zimeishia kwake na waandishi wameishia kwake wakamuacha nandi akienda pekeake kwenye gari yake yani kijiji chote kimebaki kwa zuchu unajua wanavutiwa na nini ?
Nimefurahi kama mim vile nawapenda wote❤❤❤❤
Usimchukiye mtu yoyote always penda kila mtu kwenye maisha yako.
Nimefurahi sana kuwaona zuchu na nandy pamoja❤❤❤
Thanks for the comment.
Eti watu walitegemea tupigane 😂😂😂haya njo tupigane 😂😂😂 ila nyie hawa wadada nawapenda bure❤
Thanks for the comment.
Daaah hadi nimesisimka napenda sana super stars hasa kwenye muziki
Thanks for the comment.
Ujue nandy na zuchu kama Pacha mioyo yao❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅🎻💯🙏🙌
Thanks for the comment.
Nimepend na nimefatijika sana hii ndo Tanzania ya amni jmn nawapenda♥️♥️♥️💋💋💋♥️🥰♥️♥️♥️♥️💋
Thanks for the comment.
Nandy anapenda kulakula jmn😂❤❤❤alaf anaonesha anampenda sn zuchu mask ❤nafurah kuwaona mnapendan. Mung asaidie iwe ivo ivo maisha yote.nandy nimchez mno had raha❤nawote nawapend mno nandy na zuchu ❤❤❤❤❤🎉
Adi rah
Aseee nimependa urafiki wenu❤️❤️🥰
Safi Sana kabisa raha mingi tuna tchunga nyimbo yenu
Thanks for the comment.
Aweeee full raha
YAAN ZUCHU NI BINTI AMESHABARIKIWA SANA ANA NYOTA ISIYOSHUSHWA KIRAHISI NDIO KWANZA INAPAA HADI KINA NANDI WANAJIPENDEKEZA KWAKE SASA. YAANI KAJIKALIA ZAKE KIMYA MPOLE MWENYEWE LAKINI KAITEKA SHUGHULI KAWAFUNIKA HADI WALIOANDAA MITANDAONI KAJAA ZUCHU TU😍😍😍😍😍😍😍😍,
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga hata iweje? zuchu amepewa nyota moja kali mno na mungu
Uyo ndo zuchu ❤
Kwaio kumbe wasanii wenzake wasicheke nae wakicheka nae anajipebdekeza ila ss binadamu atusamee
Duuh kuchek na m2 ni kujipendekez kwl htr
Sisi mashabiki ndo tunatengeneza uhadui kwa wasanii watu wanafurahi mwingine anasema kujipendekeza😂
Good job jmn
Hıvo do inatakiwa jamanı mmepedeza sana tena sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
KAMA MMEONA HAKUNA MTU ALIYEMSHONOKEA NANDI BAADA YA ZUCHU KUACHANANAE KUMBE WALE WATU WOTE WALIKUWA WANAMFUATILIA ZUCHU😆😆😆😆😆😆
Watu mko makini 😂
Yaani mpo mKini kaa nnin😅😅
Yaaan,,,,,,,lakn aman tu ndo kilakitu,,,,,,Sasa kama wamemfata awakimbize Jan 🤗🤗🤗
Weee nae mpambee kheee sema hawakuchukuliwa tuu na kamera jamaniiiiii 😂😂😂😂❤❤hii nch ngumu.
Thanks for the comment.
Nawapenda sana natamani niwe rafiki yenu❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks for the comment.
Zuchu na nandy wakikutana wanapenda umbea 😅😂😂😂 I like that 👌 ❤❤❤ nawapendaaaaa bureee
Thanks for the comment.
Nandy unapenda vya kutafuna kila wakati 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Thanks for the comment.
Sn😂
Adi raa ❤❤❤❤
Nandi mfundishe Zuchu kuvaa tafadhali amevaa Unifom ya shule gani sijui jamani hata kama imempendeza lakini mmh. Zuchu hajui kuvaa akiprndeza fluk.
WEWE NDIO HUJUI fashen kaa kimyaa
Thanks for the comment.
😂😂😂😂 Raha Sana 🌺
Thanks for the comment.
🎉🎉🎉
Nawapenda wote❤❤
Thanks for the comment.
❤❤
Hadi raha nimewapenda bure
Waiting for colabo❤❤❤❤
Thanks for the comment.
I feel like Nipo nao jmn ❤❤❤
Thanks for the comment.
Good❤❤❤❤
Kwaza munaedana
❤❤❤
Yes na iwe hvoo❤❤
Thanks for the comment.
@@OphoroTube ok
Nimefrah❤❤❤❤
Thanks for the comment.
Nawapenda wote
Thanks for the comment.
❤❤❤❤
Thanks for the comment.
Nawependa jamani nawependa sanna
Thanks for the comment.
Joto la Dar mchana jua kali kajipiga tai kama anakwenda kanisani kuimba kwaya. Zuchu jifunze kuvaa. Kila kitu kinamahili pake nankila mahali panakitu chake. Kila kitu kina wakati wake na kila wakati unakitu chake. Ukilishika hili utakuwa artist mzuri. Wacha ushamba kuvaabuniform na mataiabm v hana kama unasoma mission school
Thanks for the comment.
Huyo unaesema ajifunze kuvaa camera zimeishia kwake na waandishi wameishia kwake wakamuacha nandi akienda pekeake kwenye gari yake yani kijiji chote kimebaki kwa zuchu unajua wanavutiwa na nini ?
Nimependaa jaman
Thanks for the comment.
Zuchu utafikiria katoto kachuo kikuu
Thanks for the comment.
Wamependeza .zuchu ukivaa hivyo poa sana
Thanks for the comment.
❤❤❤❤❤❤❤❤NAMPENDA
Thanks for the comment.
🎉❤❤
Thanks for the comment.
Nasubir nyimbo yao
Nandi weeee
Thanks for the comment.
Màpambano yabaki kwenye kazi
Thanks for the comment.
Nchi yangu Tanzania Raha tu
Thanks for the comment.
Si wajua wako na ukoo
Thanks for the comment.
Zuchu mnafki
Kumshinda huyo mpare?
Thanks for the comment.
Waooo🌹♥️♥️♥️♥️♥️
Thanks for the comment.
Freemason washawaambia mpatane na mfanye hivo kwahiyo wala wwngine hatushangai
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Thanks for the comment.
@@OphoroTube❤❤❤❤❤❤❤
Nandi io pipi kuna uzima kweli mn inamaana nyingi ukiacha kulamba utamu😂😂😂
Thanks for the comment.
Naomba kuwa rafiki yako❤❤❤❤❤❤my best friend 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎁🎁🎁🎁🎁
❤❤❤❤❤❤
Thanks for the comment.
Thanks for the comment.