Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Yaan Sheila daaah bas , kwakwel katika timu ya kp, mtu wa kwanza anayenipa raha jmn ni ww na hiyo roho yako ya kibabe mwamba Fulani hviii💪💪💪💪, akifuatiwa na noraahhhh
Waoooo Sheila nimesubiri sana exclusive yako na Leo nimempata nimefurahi sana I love you so much 🎉🎉🎉
Queen Mtiti aka Sheyla. Nakupenda, una tabasamu zuri sana na sauti nzuri pia
Waooooh Sheila nakupendaa sanaaa nimejifunza mengi kupitia tamthilia zakoo💓💓💝💝💗💗💗
Nakupenda sana shaila Kwa kazi Yako nzuri
Nakupend san dada Ang Sheila upo vzr san 🫡🫡 kwako ❤️❤️❤️❤️❤️ mung azind kukulinda kipaji chako kizind kuwa kubwa una roh zuri san ❤❤
❤❤❤❤❤❤❤nakupongeza sana dadaangu mungu azidi kukuongoza kwenye kazi yako
Sheila you are the bomb , I love the way you do ur thing
Nakuomba Ingia katika account Yangu naimani utazipenda kazi zetu❤❤❤
Hongera sana Sheila nakupenda sana nimejifunza mengi kutoka kwako
Sheila weye ni noma sana nakupenda sana kwenye Benzema ume nifurahisha sana I love you ❤ from South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Nakupenda sana sheira mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mashaallah Sheila hongera sana sikujua kua bint nyoka ndio kazi yako ya kwanza ia hongera sana uliweza kmanakwamba uianza zaman❤❤more love guys
Good work Sheila,mrembo Sana tena hu-act real.
Wow kazi nzuri,nakuwatch nikiwa Kenya,Ila Ile ya filamu ya wamangushi
Shaila I love you keep up the good job
Nakupend sana dada sheila wewe n mzuri san❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana Sheila nakupenda from Kenya 🇰🇪
Hongera queen uko very smart
nimejifunza mengi kwako shey shey keep it up,nakupenda buree
Sheila mwanangu 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Nakupenda sana shail pamoja na timu yako❤❤❤
Shey shey we love keep it up good work 🎉🎉🎉
Shaila I love you so much naomba benzema iendelee nitamu sana na tena Ina SoMo nzuri.
Hongera san sheila kazi zuri nakupenda natoka Kenya 🇰🇪
I love Sheila kumbe unaroho nzuri sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Sheishei...jina langu.haaaaaa maman we noma kweli napenda sana kazi zako hogera Mungu aku fikishe mbali kweli ❤❤❤❤❤❤
Sheila is always on top,, congratulations girl ❤️❤️❤️
I love you Sheila unaingiza vizuri sana endelea ivivo 💞💞💞💞💞💞
Xixter xheila pamoja na group menu mnafanya kazi nzuri2 sana hongera yenu kwa hilo, thanks for listening me🥰😍❤️👍
Sheila much love from Kenya 🇰🇪🇰
Uko vizuri sheila ❤
I like it ,, umecheza vizur sana kwenye plan b
Aki nakupenda Sana shei shei napenda uigizaji wenu mkiwa n KP n zebuu
Tunakupenda sana mwenyezi mungu akubali
Sheila unaweza saana kuigizaa. Mungu akulindie kipaji chako big up saana.
Nakupenda sana dadangu Sheila ❤❤❤❤
Nakupenda saana unaigizag vizurii,💓💓
Dada we kiboko unanifulahusha 😅😅😅
Shaillah hakika we ni mrembo kweli so beautiful girl 🥰😍😍
Sheila nakupeda ❤❤❤Sana you are a good teacher
Nakupenda Sheila mwanz nime kucukiya Ila nakupenda Burundi
Aky huyu mdada ananibamba saana, moreso kwa filamu ya plan b,nimempenda saana, hongera nyingi kutoka Kenya 🎉
Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Niko zangu burundi nawafuatilia 5\5
Uwez igiz kitu Ambacho huna asil ya roh hiyo anayo sem tumshauri asiiruhusu kuitumia iyo roho
Ukweli kabisaaaa, iwe hivyo Tu, ya kuigiza, wala sio ya kuzaliwa😂😂
Mimi cheilla simpendi kamwe ajili ana roho mbaya saaana
Kabisa Hilo nalo neno
Yaan Sheila daaah bas , kwakwel katika timu ya kp, mtu wa kwanza anayenipa raha jmn ni ww na hiyo roho yako ya kibabe mwamba Fulani hviii💪💪💪💪, akifuatiwa na noraahhhh
Ila unajua kuingiza roho mbaya wew mpaka nilitak kumaanish kumbe hamna very good sheira
Mungu akuzidishie( amin)🤗🤚✋✋✋✋✋✋ God bless you 🙏 ❤
Kiukwer mmenifanya nikapenda maingizo yakitanzania mnajitahindia sanaaaaaaaaa ❤
Nakupenda shey shey ❤❤❤❤❤❤
Sheila tunakupenda sana big up
Waoo hongera Sheila Kwa kazi nzuri ,pia sasa unapendeza
Nakukubari sana dadangu unanipanga guvu sana🎉🎉🎉🎉🎉
Kupitia Queen najifunza kuwa binadamu ni wanafiki, cha msingi ni kuishi nao kwa akili. Nakupenda Sheila ❤❤
Yupo vizuri aisee
Mi na tamarind kuigiza
Shaila ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ubarikiwe sana Mungu akufikishe mbali
🎉🎉
❤❤You Know What I Love Her.
Nakupenda sana Sheila mungu akulinde muda wote
Hi sheila ninakuombea movies nyengine kali kama hizo nnakushukuru pamoja na akina kp na zeebuu
Sheira mnafika hii anaiweza zaidi ❤nakuombea mazuri Sheira sema kuna mda unakuwa mnafiki mpaka me mwenyewe naumia ujue.
😊😊😊❤❤❤penda wewe beby girl kwanza last cord uuuuiiii umeicheza amazing sana 😊
Shakira pokeya hongera yako napenda San vitu vyako yes❤
Sheila niungani mm kw kuati sw❤❤❤❤❤❤❤❤❤
she's super talented 😍
❤❤❤❤❤
Sheila much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mungu akuzidishie kipaji chako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongela sana Sheilla
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sheila nawapenda Sana pamoja timu from musoma
Sheila my favourite🥳
nakupenda sana sheyshey
Nakupendag đada❤
Move nimzuri
From kenya Sheila n supu
Sheira naikubali sana rasd kadi umetisha sana ongela sana
Hogela sana upo vizuri kwausiliazi
Nakupenda Sheila ❤❤❤❤
Nakukubali sana Queen mtiti
Much love 2 u❤❤❤
Love❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda sana Sheila
A,ww unatisha san sheila nakupenda kwl😍respect unawez kwl
Waoo sheila nakupenda ❤❤❤
Sheila love you am from Kenya
Wamangushi yaaan hilo Jina mmetuachia kazn kwetu tumepeyana majina tunaitana m'mangushi jaman nawapenda sana❤️❤️❤️❤️💯
Much love❤❤❤❤Sheila
Jamani shrill noma kweri anamafundisho yakwer
Nakukubali San ukhti Sheila kwa kazi zako
Nakupend San dada Sheila ❤❤❤
Ubalkiwe dadangu ❤❤❤❤❤❤
Hongera sanaa Sheila
Asante cheila
Nakupenda Sana shaila 🥰🥰🤲
I love you Sheila namuomb mungu mafanikio yenu yawe makubwa l like this game,,, umetisha sana🎉🎉😅
Sheila wokhaya big up sana Naomba nafasi ya kuigiza na Mimi of course napenda sana kuect
Kweli hudjadanganya kbx nilikukupenda mpakabasi❤❤❤💋
TIKSA LASITA JAMAN MM SHEY UJUE NAPENDA SANAA🎉🎉🎉
Nakupenda san sheilla
Hongera sana sheil
Sheila ako n smile mwaah❤
Sheila jmn lv ♥️♥️♥️
Sheila wewe ni mtu wa mkoa gani mamy Hakika upo vizuri sana ike benzema ndio imenibambaa zaidi❤❤
Shaila❤❤❤❤ from burundi
Nakupenda Sana shila naomba nambaya KP
Nakupenda Sana dad sheira uko poa sana
Nakupenda Bure mostly last card and plan B