Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Moja ya watu wanaofanya vzr sana katika movies nawanafanya vzr sana ni sheila kwa mfano benzema imekuwa bora sana toka 1994 mpaka sasa 2023 ndo nimeona namba moja mwaah
Nakupenda sana sheira mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Waooooh Sheila nakupendaa sanaaa nimejifunza mengi kupitia tamthilia zakoo💓💓💝💝💗💗💗
Waoooo Sheila nimesubiri sana exclusive yako na Leo nimempata nimefurahi sana I love you so much 🎉🎉🎉
Sheila weye ni noma sana nakupenda sana kwenye Benzema ume nifurahisha sana I love you ❤ from South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Queen Mtiti aka Sheyla. Nakupenda, una tabasamu zuri sana na sauti nzuri pia
Shaillah hakika we ni mrembo kweli so beautiful girl 🥰😍😍
Sheira mnafika hii anaiweza zaidi ❤nakuombea mazuri Sheira sema kuna mda unakuwa mnafiki mpaka me mwenyewe naumia ujue.
Kiukwer mmenifanya nikapenda maingizo yakitanzania mnajitahindia sanaaaaaaaaa ❤
I love Sheila kumbe unaroho nzuri sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nakupenda Sheila mwanz nime kucukiya Ila nakupenda Burundi
Shaila I love you so much naomba benzema iendelee nitamu sana na tena Ina SoMo nzuri.
Kupitia Queen najifunza kuwa binadamu ni wanafiki, cha msingi ni kuishi nao kwa akili. Nakupenda Sheila ❤❤
Yupo vizuri aisee
Nakupenda sana shail pamoja na timu yako❤❤❤
Sheila tunakupenda sana big up
Sheila wewe ni mtu wa mkoa gani mamy Hakika upo vizuri sana ike benzema ndio imenibambaa zaidi❤❤
Nakupenda sana dadangu Sheila ❤❤❤❤
Uko vizuri sheila ❤
Ila unajua kuingiza roho mbaya wew mpaka nilitak kumaanish kumbe hamna very good sheira
Mashaallah Sheila hongera sana sikujua kua bint nyoka ndio kazi yako ya kwanza ia hongera sana uliweza kmanakwamba uianza zaman❤❤more love guys
Nakupenda sana sheila Pamoja na wenzako
Nakupenda saana unaigizag vizurii,💓💓
Mamkubali sana uyo dada Sheila nakupenda Sana
Nakupenda sana shaila Kwa kazi Yako nzuri
I like this game..hongera kijana wangu..km mimi haki sikupendi sheila nikikuona tu roho yangu inashtuka.mana najua utamtesa zebuu
Sheila nakupenda sana ..naeza kuwa kama wewe aje niwe naingiza from Kenya
Nakukubali sana umecheza vizur kwenye last card
Uko viziri sana Sheila unatufundisha mambo mengi sana mm binafs I nomejifunza mengi sana jinsi ya kuishi
Sheila mwanangu 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Sheila much love from Kenya 🇰🇪🇰
Shailah nakupenda sana nimepata mafuso kwako sana
Hongera sana sheil
Nakupenda Sana dad sheira uko poa sana
I like this game,,,wamaangushi uliipeperusha kabisaa
Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Niko zangu burundi nawafuatilia 5\5
Uwez igiz kitu Ambacho huna asil ya roh hiyo anayo sem tumshauri asiiruhusu kuitumia iyo roho
Ukweli kabisaaaa, iwe hivyo Tu, ya kuigiza, wala sio ya kuzaliwa😂😂
Mimi cheilla simpendi kamwe ajili ana roho mbaya saaana
Kabisa Hilo nalo neno
Wamangushi yaaan hilo Jina mmetuachia kazn kwetu tumepeyana majina tunaitana m'mangushi jaman nawapenda sana❤️❤️❤️❤️💯
Kazi nzuri sana sheira
Mungu awajalie nyio ote kaz zenu ziende vaero
Nakubali San dada mmoja Ivi anaye upiga mwingi San
Hongera sana Sheila nakupenda sana nimejifunza mengi kutoka kwako
Sheila much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mungu akuzidishie kipaji chako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupenda Sana shaila 🥰🥰🤲
Uko poa san lakin nilikua nakuongopa San ulikua unaloho mbaya San hongela San 🎉
Sheila ww n mtu mwingine poa xn n unafanya kazi yako Kwa moyo mmoja hongera xana
Kaz njema Sheila mungu akubariki aki mzuri ww mwanamke
❤❤You Know What I Love Her.
Hongera sana Sheila nakupenda from Kenya 🇰🇪
Hongera queen uko very smart
Napendasana maigizo Yako sheira unaweza nakupendasana
Sheira naikubali sana rasd kadi umetisha sana ongela sana
Nakupenda san sheilla
I love you Sheila namuomb mungu mafanikio yenu yawe makubwa l like this game,,, umetisha sana🎉🎉😅
Waoo sheila nakupenda ❤❤❤
Sheila mwanangu nakupenda sana
Nakukubali San ukhti Sheila kwa kazi zako
sheira unaweza mi nakupenda sana
Safi ,mmhhhu mhhhu Kamuitikio kako tu
Nakupend San dada Sheila ❤❤❤
Nakupnd mwenyewe huna ngoma za kukaanga
Nakupenda Sheila ❤❤❤❤
Shaila napenda movie sako sana
Shaila I love you keep up the good job
Aki nakupenda sana Sheila, tafuta likoma,dibozi suraj
Napenda kazi Yako Sheila ila natamani kujua ww ni mtu wa wapi ❤
Nimekupendw sana mwanangu kwa Kila uhusika wako
Nakupenda vile unajibu
Sheila anaweza kuwa na Roho mbaya
A,ww unatisha san sheila nakupenda kwl😍respect unawez kwl
Sheilla Nakukubali sana ❤❤
Waah Queen Mtiti ama tukuite Sheilla ongera sana daa umependeza
Sheila nawapenda Sana pamoja timu from musoma
Una talent sana Sheila
Sheila wokhaya big up sana Naomba nafasi ya kuigiza na Mimi of course napenda sana kuect
Huyu dada mimi namuelewaga sana aseee
Sheila napenda sana parts zako
Mungu akuzidishie( amin)🤗🤚✋✋✋✋✋✋ God bless you 🙏 ❤
Nakupendaa xnaa mremboo
Hongera sanaa Sheila
Sheila you are the bomb , I love the way you do ur thing
Nakuomba Ingia katika account Yangu naimani utazipenda kazi zetu❤❤❤
Hongera sana Sheila nakupenda bule mana aa Hadi laha
Hongera sana dada
Moja ya watu wanaofanya vzr sana katika movies nawanafanya vzr sana ni sheila kwa mfano benzema imekuwa bora sana toka 1994 mpaka sasa 2023 ndo nimeona namba moja mwaah
Daah nimempenda dada uyo mrembo haisee
Napenda sana Sanaa nakuigiza pia pongezi kwenu❤❤
Mbona anafanana na rose muhando ni dada ke ama
Sheila ako n smile mwaah❤
Yaani sheila nimejifunza mambo mengi nakupendaaa
Mi nakupenda sana
😊😊😊❤❤❤penda wewe beby girl kwanza last cord uuuuiiii umeicheza amazing sana 😊
Uko vizuri Sana sana
Saf sana sheela
Uko vizur sana ,napenda sana unavyo igiza
Mampenda sana Sheila
Nakupenda pia
she's super talented 😍
❤❤❤❤❤
Waoo hongera Sheila Kwa kazi nzuri ,pia sasa unapendeza
Sheila nakupeda ❤❤❤Sana you are a good teacher
Hongera Sana ,natamani Sana na mm niwe muigizaji
Unajua sana shey unajua sana kuvaa uhusika
Nakuelewa sana sheila biga sana
Wewe shaira nakuchukiaa
Nakupenda sana dad angu sheila