MPAKA HOME KWA KP NA ZEBUU MAISHA YAO HALISI UTAJIRI WAO, MISHANGAZI INAVUNJA NDOA YETU SIWEZI KU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 418

  • @strongwomanwithnoregret8234
    @strongwomanwithnoregret8234 2 месяца назад +11

    Mimi huwa nadhani nikuigiza kumbe ni mke na mume ❤❤❤❤wow barikiweni mungu awajalie mema Kp ma zebbu

  • @OnesmusKarisa-hx7lf
    @OnesmusKarisa-hx7lf 8 месяцев назад +16

    Kp bro nakubali sana mtunze dada zebuu aisee! Kazi zenu nazipenda sanaa 👍❤️💯

  • @YudaVisent
    @YudaVisent Месяц назад +2

    Kazi nzuri kp na zebu❤❤❤❤ mmenifurahixh xan mungu abariki kazi yenu

  • @Lucymalle-q9g
    @Lucymalle-q9g 2 месяца назад +4

    Nawapenda san zebuu na kp mnapendeza san❤❤❤ tunapenda san film zenu Kaz Zur san

  • @bettyishara-h3r
    @bettyishara-h3r 5 месяцев назад +14

    KP plz take care of zebuu, she inspired me alot and she is arole model to many ladies,zebuu Kuna kupanda Na kushuka Kwa ndoa Ila in every single step you make,put God first,love u both

  • @SophiaPaulo-w4i
    @SophiaPaulo-w4i 2 месяца назад +2

    Mungu awabariki sana kp na zebuu muwe na maisha marefu na wakubari sana

  • @PauloSemwaza
    @PauloSemwaza Месяц назад +2

    Vumilia chazaidi jitahid kumuomba mungu awasimamie kwenye ndoa yenu❤❤❤❤❤nakupenda zebuu

  • @SaidiMusti
    @SaidiMusti 2 месяца назад +3

    Napenda movie zenu na mnapendan san mungu awape maisha malefu

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 8 месяцев назад +22

    😂😂😂nkweli hiyo unaeza sikia Vijaya ila usijali zebuu bora kp anakupenda wewe na mnapendana usijali❤❤

  • @SumaOmary
    @SumaOmary 4 месяца назад +8

    Kp nakupa Hongera sana wewe pamoja na shemeji kiukweli mmependeza sana pia kazi zenu ziko vzur sana na nazipenda sana kazi zenu🎉🎉

  • @eddysara-h9n
    @eddysara-h9n Месяц назад +2

    Mungu wangu nawapenda tuuu!!!!!

  • @SamiraNjira
    @SamiraNjira 2 месяца назад +1

    Wauu😊 ady raha kw kweli ongerani ❤ Mungu awazidishie upendo

  • @HappyCruiseShip-zr3jy
    @HappyCruiseShip-zr3jy 6 месяцев назад +4

    Waoooooo!! Napend saana mnavo ishi natamani na Mimi niwe ivyo kwenye ndoa yangu ❤❤❤❤❤ mwendelee kupendana jamani mpaka ndoa yenu

  • @simoboynyererepogba946
    @simoboynyererepogba946 5 месяцев назад +3

    Mungu awabariki sanah watu wangu mm ni mkenya nafuatilia movie zenu kila siku....ila kuna mahali nakaa nakumbuka ile tamthilia ya Fear women....zebuuu mwanangu nafurahia sanah...keep it up ♥️🙏

  • @Sakina-h4g
    @Sakina-h4g Месяц назад +1

    Poa sana zebuu na kp nawakubali sana
    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @OssanoLucas
    @OssanoLucas 18 дней назад

    Mupo vizuri kwa kazi ndungu zangu

  • @ChimèneIrankunda
    @ChimèneIrankunda 8 месяцев назад +7

    Ata namimi pia napenda uigize na Zebu kabisaaa munakuwa munapendeza saaana big up sana kp&zebu

  • @OmnaSgsgsg
    @OmnaSgsgsg Месяц назад +1

    Waooo nawapenda sana kapo yenu inapendeza

  • @scholasticapeterpeleka8898
    @scholasticapeterpeleka8898 2 месяца назад +1

    napenda kazi zenu barikiwa sana

  • @MoureenAdrian
    @MoureenAdrian 3 месяца назад +2

    Kubali sanah kp end zebb💞💞💞

  • @AnastasiaKimaso
    @AnastasiaKimaso 5 месяцев назад +16

    Sion shida kupoteza ela zangu za mb kuwafatilia Mungu asaidie penz lenu lidumu

  • @Fatum112
    @Fatum112 Месяц назад

    Nawapenda sana ❤❤vumilianeni

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 8 месяцев назад +12

    Mungu azdi kuwalinda mzidi kupenda zaidi❤❤❤❤❤❤❤

  • @HamadiMwabege
    @HamadiMwabege 4 месяца назад +3

    Kp kazi safi kaka mkubwa... smart actress sheshey

  • @TeddyJoseph-w5h
    @TeddyJoseph-w5h 2 месяца назад +1

    Me nawapenda na Mungu awabariki kifo tu ndo kiwatenganishe.

  • @yasintaamma5419
    @yasintaamma5419 3 месяца назад +4

    Hongereni sana na wapenda sana ❤❤❤

  • @KuruthumSaidi
    @KuruthumSaidi Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Maryamu255
    @Maryamu255 8 месяцев назад +3

    Nawapenda❤ sana Allah abariki kazi yenu🤲🤲

  • @LucyPeter-uh3gu
    @LucyPeter-uh3gu 8 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤ kazi nzuri nawapenda pamoja na kazi yenu

  • @UlumbiBernard-e1w
    @UlumbiBernard-e1w 27 дней назад

    Waoooh mzidi kudumu kwenye penzi lenu kp na zebuu nawakubali hatar yani❤

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 26 дней назад

    Nyinyi mjichunguze mtakuwa ndugu mmefanana Sana mmoja amuulize babake

  • @josephkalambi7178
    @josephkalambi7178 Месяц назад +1

    Nimmpenda huy kaka inawezekana nimtu anaishi kwakusimamia ukweli, mwenyezi mungu alinde mahusiano yenu

  • @MagdalenaDaniel-y5o
    @MagdalenaDaniel-y5o 8 месяцев назад +4

    Nawapenda sana kp na zebuuu mungu awabariki

  • @JamilaHassani-ey9sk
    @JamilaHassani-ey9sk 6 месяцев назад +5

    Mem nawapenda san kp na zeebu mung awabarik san

  • @NeemaWillium-p9x
    @NeemaWillium-p9x 3 месяца назад +1

    Nafrah kuwaangalia mwendeleekuwa hivo wengisana wameshdwa ila nyie❤❤❤❤❤

  • @CharoJohnson
    @CharoJohnson 8 месяцев назад +1

    Nawapenda sana zebuu na wake kp mumependezana sana mungu awape maisha marefu sana na mtoi wenu mko poa sana mpka nawivu❤❤❤❤❤❤🎉

  • @AnaziethaMathayo
    @AnaziethaMathayo 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤ nawapenda sana kp.na zebuu brother mtunze sana zebuu aseeiiiimaua yenu chukueni aseee🎉🎉🎉

  • @LivenesJohn
    @LivenesJohn 27 дней назад

    Oya kp movie zako Kali kinomaàaaa naomba msalimie zebuu I love you to my friends ❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @LodrigueIrakoze
    @LodrigueIrakoze 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤Mungu azidi kuwalinda munapendexan❤❤

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 8 месяцев назад +2

    Hongereni sana kudum kwenye mapnz muoane sasa 👏👏

  • @OrnellaNdabarushimana
    @OrnellaNdabarushimana 8 месяцев назад +13

    Kp Na zebuu nawapenda sana ❤❤❤❤

  • @DainessDaniel
    @DainessDaniel 3 месяца назад +1

    Heee jamani kaka,anaonekana kabisa hajatulia uwwzi ongea ivyo

  • @Faridah-ip1wt
    @Faridah-ip1wt 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana❤❤,kwa kazi yenu nzuri

  • @ReginahMartine
    @ReginahMartine 24 дня назад

    So cute me nawapenda jamni

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 8 месяцев назад +2

    Mashaallah Allah awajalie mudumishe kaz yenu na ndoa isichelewe

  • @Jabiryiddi
    @Jabiryiddi 8 месяцев назад +3

    Nawapenda sana wadogozangu mungu awalinde

  • @rehema-yu1qo
    @rehema-yu1qo 7 месяцев назад +3

    Kp munger funga ndoa mzae wtoto wenye ni brawn ❤❤❤nawapenda

  • @agnesPearson-z2s
    @agnesPearson-z2s 19 дней назад

    Mnaenda na na mmependezana sana kuwa mme na mke aminianen ili maisha yaende

  • @EvaAbery
    @EvaAbery 8 месяцев назад +4

    Dah mnafanana kama mapacha ❤❤❤❤

  • @KelvinKibaboy
    @KelvinKibaboy 4 месяца назад +3

    Hongelen kwa Kaz zenu

  • @GloryMush-e4b
    @GloryMush-e4b 6 месяцев назад +2

    Ila mnajua Zeb Ana moyo Sana mm Nina wivu sanaaa cwez vumilia jmn nakupa 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹yako mama

  • @HappynesAnthony
    @HappynesAnthony 5 месяцев назад +2

    Mungu awape maisha marefu

  • @JumanneKalani-h1x
    @JumanneKalani-h1x 23 дня назад

    Waoooo napenda Sana kaz yenu

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 8 месяцев назад +2

    Kp nimekuombaka number ya zebuuu pamoja nayakwako ninawapenda Sanaa njo mugize kwetu Burundi munapendezana sanaa❤❤

  • @RachelYusto
    @RachelYusto 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana kazi zenu nzurk

  • @KelvinKibaboy
    @KelvinKibaboy 4 месяца назад +3

    Aisee hongelen sana❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @METRINEOKELLO
    @METRINEOKELLO 3 месяца назад +1

    Natamani kujua mishangazi ni kina nani jamani 😂😂😂😂mim nawapenda bure mashala mnaendana san❤kitu najua akuna mapenzi bila wivu 😂

  • @jumaramadhani365
    @jumaramadhani365 7 дней назад

    Mm nilinjia ni movie tu kumbe wanandoa😮

  • @RahabEmmanuel-lt7wo
    @RahabEmmanuel-lt7wo 8 месяцев назад +2

    Hongereni sana mnapendezana saan

  • @Nacrahmsuya-ir4yv
    @Nacrahmsuya-ir4yv 7 месяцев назад +2

    Mashallah mmependana adi mmefanana

  • @MariamAlly-xw6ms
    @MariamAlly-xw6ms 7 месяцев назад +2

    Hongreni xan ad mripfkia ❤❤❤

  • @MelissaUwimana-zn7dy
    @MelissaUwimana-zn7dy 8 месяцев назад +7

    nawapenda sana keipnazebu

  • @adeladaudi2047
    @adeladaudi2047 5 месяцев назад +10

    Mbona asilimia 70 wakati mwenzio asilimia zote, Kp sjapenda 30 umebakiza za mishangazi😭😭😭

  • @aishasidi6673
    @aishasidi6673 8 месяцев назад +13

    Zebuu umremboo mashallah unavyocheka ndomna kp anakupenda❤❤❤❤

  • @AntoinetteDorothea-mz7qp
    @AntoinetteDorothea-mz7qp 8 месяцев назад +18

    Mungu azidi kuwapa uvumilivu kilaumoja avumilie mwenzake shetani asiwaibe zamu nawapenda sana.

  • @CarolyneOburah
    @CarolyneOburah 5 месяцев назад +3

    Zebuu unaonekana mwenye amekosewa jameni pole sana mrembo tuendelee tu kuombea husiano zetu Mungu azidi kutuweka pamoja

  • @salhaally2103
    @salhaally2103 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana nyie watu ❤❤❤

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 8 месяцев назад +4

    Yaaani hwa hawako sawa kabxa kbxa💔💔

  • @GrolyNorbarty
    @GrolyNorbarty 4 месяца назад +2

    Nawapenda saan jamn nataman kuwa na niny kwny sanaa nifanyien mpang❤❤😂 7:57

  • @AnordAnord
    @AnordAnord 3 месяца назад +1

    Kaz nzur👍👍

  • @MELVINBBY
    @MELVINBBY 8 месяцев назад +5

    Pia mm huku inaniuma sana nikiona unaigiza na mwanamke mwingine tofauti na zebuu

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 8 месяцев назад +2

    Mwenyezi mungu awatangulie mkafunge ndoa

  • @SarahWanyonyi-dz6hq
    @SarahWanyonyi-dz6hq 8 месяцев назад +7

    Siwezi jutia kupoteza time yangu kuwafuatilia nawapenda Bure mungu awatie nguvu kabisa ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @FadhillahFaraj
    @FadhillahFaraj 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana from kenya❤❤❤

  • @KuruthumSaidi
    @KuruthumSaidi Месяц назад +1

    Happy new year

  • @DernolPaulo
    @DernolPaulo 8 месяцев назад +2

    Couple imetulia iyo ❤❤❤❤❤❤

  • @BeatriceKegocha
    @BeatriceKegocha 24 дня назад

    Hata mm nawapongeza sana imma huyooo

  • @SumaOmary
    @SumaOmary 4 месяца назад +2

    😂😂😂 very good 🎉🎉🎉

  • @MagashaMonica
    @MagashaMonica 4 месяца назад +1

    Kazi zenu nzuri sana❤

  • @DesireNdamuhawe
    @DesireNdamuhawe 8 месяцев назад +3

    Mungu azidi kuwa bless watching from burundi❤❤❤

  • @AgnesZubedah-zs2xd
    @AgnesZubedah-zs2xd 8 месяцев назад +20

    😂❤Nikama Zebuu Ako na mtoto au ana mimba wee hongera ❤

  • @sylidionsadoth7506
    @sylidionsadoth7506 3 месяца назад +3

    kweli performance yenu ni nzuri endelea kuboresha zaidi, sie huku tunaelimika Sana tu kupitia movie zenu

  • @GraceGabriel-dc2gk
    @GraceGabriel-dc2gk 8 месяцев назад +1

    Nawapenda

  • @Jumatzog34-d2l
    @Jumatzog34-d2l 2 дня назад

    Vip friend

  • @Mariummfaume
    @Mariummfaume 3 месяца назад

    Nice sanaa

  • @nshishiponsian8853
    @nshishiponsian8853 4 месяца назад +1

    Big up sana

  • @LauranceMatoke-iw9vo
    @LauranceMatoke-iw9vo 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 4 месяца назад +1

    Uwakika sana master 😊

  • @janetsemben9224
    @janetsemben9224 8 месяцев назад +2

    Nawependa sana ,❤

  • @allydavy6919
    @allydavy6919 2 месяца назад

    Hongereni

  • @FlorenceBoli-y1p
    @FlorenceBoli-y1p 20 дней назад

    mungu awalinde ndoa yenyu

  • @Faithispah
    @Faithispah 4 месяца назад +3

    Zebuu Basi umlipue shey shey maana ye ndo kunganganizi cha kp😂😂😂

  • @MwanaikiSwalehe-x1d
    @MwanaikiSwalehe-x1d 8 месяцев назад +2

    Nawapenda bure❤❤❤❤❤❤

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 8 месяцев назад +76

    Vumilia mamy bora wewe ndo mama mjengo na kp awe na msimamo asichanganywe na mishangz iyo ni ya muda zebu nimke mpnd achana na mishangazi

    • @EliezaMaiko
      @EliezaMaiko 7 месяцев назад +5

      😮napenda muigize na movie jaman

    • @RehemaKuta
      @RehemaKuta 7 месяцев назад +6

      Zebuu Yuko pis sana mnapendeza sana

    • @Matridadominic
      @Matridadominic 7 месяцев назад +2

      Mnaendana wenyewe

    • @Danielnascimentogomes8
      @Danielnascimentogomes8 4 месяца назад +1

      Bora ninyi mpendanao

    • @SALAPIONSALVATORI
      @SALAPIONSALVATORI 3 месяца назад +1

      wa kwanza Leo nipe like zenu jamaniiii hata tano🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Fortunelucky-s9q
    @Fortunelucky-s9q 8 месяцев назад +1

    Ak nyinyi mnanifurahishanga tu yaani najisikia poa kuwaona 🇰🇪❤❤❤

  • @TheDianna-w3k
    @TheDianna-w3k 8 месяцев назад +1

    Nawapenda sana ❤❤

  • @GoodluckLoch-td4gx
    @GoodluckLoch-td4gx 8 месяцев назад +1

    napenda kazi yenye nzuri❤💞

  • @NaimuSaidy
    @NaimuSaidy 3 месяца назад +1

    💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @KishiwaKulwa
    @KishiwaKulwa 8 месяцев назад +1

    Nawapenda sana zeebuu na kp mzidi pendana

  • @Mwanamsilimiwa
    @Mwanamsilimiwa 2 месяца назад

    Munaendana sanaa❤❤❤