KP plz take care of zebuu, she inspired me alot and she is arole model to many ladies,zebuu Kuna kupanda Na kushuka Kwa ndoa Ila in every single step you make,put God first,love u both
Mungu awabariki sanah watu wangu mm ni mkenya nafuatilia movie zenu kila siku....ila kuna mahali nakaa nakumbuka ile tamthilia ya Fear women....zebuuu mwanangu nafurahia sanah...keep it up ♥️🙏
Mimi huwa nadhani nikuigiza kumbe ni mke na mume ❤❤❤❤wow barikiweni mungu awajalie mema Kp ma zebbu
Kp bro nakubali sana mtunze dada zebuu aisee! Kazi zenu nazipenda sanaa 👍❤️💯
Kazi nzuri kp na zebu❤❤❤❤ mmenifurahixh xan mungu abariki kazi yenu
Nawapenda san zebuu na kp mnapendeza san❤❤❤ tunapenda san film zenu Kaz Zur san
KP plz take care of zebuu, she inspired me alot and she is arole model to many ladies,zebuu Kuna kupanda Na kushuka Kwa ndoa Ila in every single step you make,put God first,love u both
Mungu awabariki sana kp na zebuu muwe na maisha marefu na wakubari sana
Vumilia chazaidi jitahid kumuomba mungu awasimamie kwenye ndoa yenu❤❤❤❤❤nakupenda zebuu
Napenda movie zenu na mnapendan san mungu awape maisha malefu
😂😂😂nkweli hiyo unaeza sikia Vijaya ila usijali zebuu bora kp anakupenda wewe na mnapendana usijali❤❤
Kp nakupa Hongera sana wewe pamoja na shemeji kiukweli mmependeza sana pia kazi zenu ziko vzur sana na nazipenda sana kazi zenu🎉🎉
Mungu wangu nawapenda tuuu!!!!!
Wauu😊 ady raha kw kweli ongerani ❤ Mungu awazidishie upendo
Waoooooo!! Napend saana mnavo ishi natamani na Mimi niwe ivyo kwenye ndoa yangu ❤❤❤❤❤ mwendelee kupendana jamani mpaka ndoa yenu
Mungu awabariki sanah watu wangu mm ni mkenya nafuatilia movie zenu kila siku....ila kuna mahali nakaa nakumbuka ile tamthilia ya Fear women....zebuuu mwanangu nafurahia sanah...keep it up ♥️🙏
Poa sana zebuu na kp nawakubali sana
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mupo vizuri kwa kazi ndungu zangu
Ata namimi pia napenda uigize na Zebu kabisaaa munakuwa munapendeza saaana big up sana kp&zebu
Waooo nawapenda sana kapo yenu inapendeza
napenda kazi zenu barikiwa sana
Kubali sanah kp end zebb💞💞💞
Sion shida kupoteza ela zangu za mb kuwafatilia Mungu asaidie penz lenu lidumu
Nawapenda sana ❤❤vumilianeni
Mungu azdi kuwalinda mzidi kupenda zaidi❤❤❤❤❤❤❤
Kp kazi safi kaka mkubwa... smart actress sheshey
Me nawapenda na Mungu awabariki kifo tu ndo kiwatenganishe.
Hongereni sana na wapenda sana ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda❤ sana Allah abariki kazi yenu🤲🤲
❤❤❤❤ kazi nzuri nawapenda pamoja na kazi yenu
Waoooh mzidi kudumu kwenye penzi lenu kp na zebuu nawakubali hatar yani❤
Nyinyi mjichunguze mtakuwa ndugu mmefanana Sana mmoja amuulize babake
Nimmpenda huy kaka inawezekana nimtu anaishi kwakusimamia ukweli, mwenyezi mungu alinde mahusiano yenu
Nawapenda sana kp na zebuuu mungu awabariki
Mem nawapenda san kp na zeebu mung awabarik san
Nafrah kuwaangalia mwendeleekuwa hivo wengisana wameshdwa ila nyie❤❤❤❤❤
Nawapenda sana zebuu na wake kp mumependezana sana mungu awape maisha marefu sana na mtoi wenu mko poa sana mpka nawivu❤❤❤❤❤❤🎉
❤❤❤ nawapenda sana kp.na zebuu brother mtunze sana zebuu aseeiiiimaua yenu chukueni aseee🎉🎉🎉
Oya kp movie zako Kali kinomaàaaa naomba msalimie zebuu I love you to my friends ❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤Mungu azidi kuwalinda munapendexan❤❤
Hongereni sana kudum kwenye mapnz muoane sasa 👏👏
Kp Na zebuu nawapenda sana ❤❤❤❤
Heee jamani kaka,anaonekana kabisa hajatulia uwwzi ongea ivyo
Nawapenda sana❤❤,kwa kazi yenu nzuri
So cute me nawapenda jamni
Mashaallah Allah awajalie mudumishe kaz yenu na ndoa isichelewe
Nawapenda sana wadogozangu mungu awalinde
Kp munger funga ndoa mzae wtoto wenye ni brawn ❤❤❤nawapenda
Mnaenda na na mmependezana sana kuwa mme na mke aminianen ili maisha yaende
Dah mnafanana kama mapacha ❤❤❤❤
Hongelen kwa Kaz zenu
Ila mnajua Zeb Ana moyo Sana mm Nina wivu sanaaa cwez vumilia jmn nakupa 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹yako mama
Mungu awape maisha marefu
Waoooo napenda Sana kaz yenu
Kp nimekuombaka number ya zebuuu pamoja nayakwako ninawapenda Sanaa njo mugize kwetu Burundi munapendezana sanaa❤❤
Nawapenda sana kazi zenu nzurk
Aisee hongelen sana❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Natamani kujua mishangazi ni kina nani jamani 😂😂😂😂mim nawapenda bure mashala mnaendana san❤kitu najua akuna mapenzi bila wivu 😂
Mm nilinjia ni movie tu kumbe wanandoa😮
Hongereni sana mnapendezana saan
Mashallah mmependana adi mmefanana
Hongreni xan ad mripfkia ❤❤❤
nawapenda sana keipnazebu
Mbona asilimia 70 wakati mwenzio asilimia zote, Kp sjapenda 30 umebakiza za mishangazi😭😭😭
Zebuu umremboo mashallah unavyocheka ndomna kp anakupenda❤❤❤❤
Mungu azidi kuwapa uvumilivu kilaumoja avumilie mwenzake shetani asiwaibe zamu nawapenda sana.
Zebuu unaonekana mwenye amekosewa jameni pole sana mrembo tuendelee tu kuombea husiano zetu Mungu azidi kutuweka pamoja
Nawapenda sana nyie watu ❤❤❤
Yaaani hwa hawako sawa kabxa kbxa💔💔
Nawapenda saan jamn nataman kuwa na niny kwny sanaa nifanyien mpang❤❤😂 7:57
Kaz nzur👍👍
Pia mm huku inaniuma sana nikiona unaigiza na mwanamke mwingine tofauti na zebuu
Mwenyezi mungu awatangulie mkafunge ndoa
Siwezi jutia kupoteza time yangu kuwafuatilia nawapenda Bure mungu awatie nguvu kabisa ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sana from kenya❤❤❤
Happy new year
Mimi uyo❤❤
Couple imetulia iyo ❤❤❤❤❤❤
Hata mm nawapongeza sana imma huyooo
😂😂😂 very good 🎉🎉🎉
Kazi zenu nzuri sana❤
Mungu azidi kuwa bless watching from burundi❤❤❤
😂❤Nikama Zebuu Ako na mtoto au ana mimba wee hongera ❤
Ana mtt
kweli performance yenu ni nzuri endelea kuboresha zaidi, sie huku tunaelimika Sana tu kupitia movie zenu
Nawapenda
Vip friend
Nice sanaa
Big up sana
Kazi nzuri sana
Uwakika sana master 😊
Nawependa sana ,❤
Hongereni
mungu awalinde ndoa yenyu
Zebuu Basi umlipue shey shey maana ye ndo kunganganizi cha kp😂😂😂
Nawapenda bure❤❤❤❤❤❤
Vumilia mamy bora wewe ndo mama mjengo na kp awe na msimamo asichanganywe na mishangz iyo ni ya muda zebu nimke mpnd achana na mishangazi
😮napenda muigize na movie jaman
Zebuu Yuko pis sana mnapendeza sana
Mnaendana wenyewe
Bora ninyi mpendanao
wa kwanza Leo nipe like zenu jamaniiii hata tano🎉🎉🎉🎉🎉
Ak nyinyi mnanifurahishanga tu yaani najisikia poa kuwaona 🇰🇪❤❤❤
Nawapenda sana ❤❤
napenda kazi yenye nzuri❤💞
💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Nawapenda sana zeebuu na kp mzidi pendana
Munaendana sanaa❤❤❤