Ninyi wanawake mnaakili sana na ni wa staarabu sana, mwanaume alikua na bahati sana ila kutokua naakili kumempinza,tena wote mumuache na mue marafiki wazuri,ili akaumie baadae.
Daaah kat ya cku nimefurahia hiki kipindi ni Leo Hongeran Sana kumgombania MTU ambae Hana malengo na wewe ni Sawa nakudek bahar daah afu ukiangalia tena kameokotwa kijijin aiseee
Wanaume wenzangu sitetei usaliti kwa hawa dada zetu lakini tujitahidi tusiruhusu kutegemea mwanamke/wanawake kiuchumi. Huyu Daniel kama angekua amechuma kwa jasho lake nadhani angekua amepoteza wanawake hawa wawili pekee. Lakini sasa hivi kapoteza wanawake zake na kapoteza ofisi yake na mali alizopewa na mwanamke.
@@user-qn4vk2pp7n siku zoote ukweli huwa mchungu lakini lazima ukweli usemwe ivi mwanamke unapata wapi hiyo nguvu ya kumuhudumia mwanaume kama mtoto wako huoni kama anafosi kupendwa dada
Hyu bint mstaarabu sna na ana hekima coz ame apologize kwa ummy na kuachananae, ila wanaume jaman walau muwe mnathamin mwanamke anaekushika mkono ktk chochote msivunje miyoyo yao🙌🙌sasa DANIEL kakosa yte hya sasa arud kwao akalime
DANIEL KACHEZEA DHAHABU ..MWANAMKE KAMA HUYO MSTAARABU NA ANAONEKANA ANA TRUE LOVE NA BADO ANAMCHEAT 🥲wanasemaga thamani ya kitu utakiona kikiondoka...daniel atamkumbuka sana huyo mwanamke .
Jmn huyo da bonhge mstaarabu .... Ety aondoke. Akati mjin tyr ana connection ataabak tu hiyo f40. Ataanzia life afu mr Uky hajaridhika anaona content bado haijakamilika hadii ampate daniel kwa simu😂😂
Kwanza dada nikupe hongera kwa kumhudumia mwanaume mimi hiyo hela ya kumpa mwanaume bora nikatoe msaada kituo cha watt yatima siwez mpea mwanaume hata jero ya vocha kama hataki kwendaaaa
Hawa wadada wote wana akili na ni wasitaarabu.Huyu dada mwenye mtoto ana akili kuzidi na ni msitaarabu sana Mungu akutangulie
She is very smart genius
Anamleaje mwanaume bhn
Wewe mtoto uko vzr sana mwenyezi mungu akupatie wakwako 🙏
Tusomeshe watoto.
Nimefuatilia interviews za wadada wanaogombania wanaume ila hawa kweli shule ni nzuri. Wanajibu kisomi.Busara na hekima
Sanaaa
Kabisa elimu ni nzuri sana
Eti elimu ni nzuri 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@JELSONMAUKIEeee siuliona vile vibuyu vingine vilivyoshikana😂😂😂😂
@@hellendaniel3809 . Hahahahaha haya bana.umenishinda tabia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo umewahisha part 2 tu Hongera sana
Ninyi wanawake mnaakili sana na ni wa staarabu sana, mwanaume alikua na bahati sana ila kutokua naakili kumempinza,tena wote mumuache na mue marafiki wazuri,ili akaumie baadae.
Wadada makin sana hekima ni muhimu nimewapenda wote ♥️♥️♥️
Daaah kat ya cku nimefurahia hiki kipindi ni Leo Hongeran Sana kumgombania MTU ambae Hana malengo na wewe ni Sawa nakudek bahar daah afu ukiangalia tena kameokotwa kijijin aiseee
Umesamehewa dadang hukujua chochote mungu atakuongoza utampata mwenzie
Leo ndo mara yakwanza nimeona watu wastarabu😇😇
Hawa wadada wanaupekee wao Mungu amewapa 👏👏👏
Hivi unampaje mwanaume kila kitu et bado ni mpe nauli arudi kwao si atembee kwa miguu au apande gari la mizigo pumbavu
Kumsaidia tu
We ni mm kabisa na nguo atavaa ndo hizo ataondoka nazo zingine zote ataziacha
😂😂😂😂
Moyo tu
Wewe ni mimi 😂😂😂😂😂
Nime aminii mwanaume become matured akiwaa na responsibility 😂😂
Wow bro I like your job man🇿🇦🇧🇮
Awa wadada oteni wastaarabu mashallah Awana shidi
Daaaah ila inaumizaa Sanaa dada mzuriii ila mwamba bado ana mchiti
Hapo nimewapenda bure❤❤❤❤maamuzi mazuri safi kabisa
Wasomi wanamaliza haya mambo kisomi Kuna kina neyla uwiii😂😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
ila mnapata wap nguvu za kuhudumia mwanaume🤣🤣🤣
Safi sana dada ubarikiwe kwa kugundua Hilo na kuamua kumuacha tafuta wakwo kipenz kwakua ushaujua ukweli
Bro unafanya kazi poa juu wamezidi sana hawa maboys ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole mwaya, achana nae, inawezekana Dan alikupenda kwa ajili ya pesa
Ndio ukweli
Labda niulize wenzang 😥 mlipewa mioyo gani mi nikitoa msaada mmoja tu najiona kama nateketea😂😂😂
Wewe ni mimi kabisaaaa
😅😅😅😅
@@Asha-kj5lu Yan labda ale mama ang jmn na c mwanaume
Yn nimecheka km mbwa
@@user-id8bu6lw8x 😂😂pole huenda ikawa pengine Kwa kuwa niliwahi kuumiza mapema kabla ya kujipata😂😂walinifunza kutokuwaamin wakanipa na usugu
Haya ndo ninayopenda sasa. Part 2 yaani weeee.
😂😂😂😂😂😂😂awa ni watoto wa chuo wa uwasibu eeee kama sikosei we kaka😂😂😂😂
Dada wa watu mzuriii maskini anaenda mcheat na kibonge
Wanaume wenzangu sitetei usaliti kwa hawa dada zetu lakini tujitahidi tusiruhusu kutegemea mwanamke/wanawake kiuchumi. Huyu Daniel kama angekua amechuma kwa jasho lake nadhani angekua amepoteza wanawake hawa wawili pekee. Lakini sasa hivi kapoteza wanawake zake na kapoteza ofisi yake na mali alizopewa na mwanamke.
Jmn si mwongee tuu kiswahili..kaaaah! Icho kingreza mnatuchosha tuu
😂😂wanajitia wasomi sanaa wakati watu tumesoma mpaka viatu vikaisha
😂
Dada wa kwanza mzuri mashaa Allah
Pole san dear uyo sio mume kaa nae mbali
Ukute uyo kaka Yuko na huyo dada sio anampenda alimkubali to kuwa nae kwajili ya pesa ndio akajitafutia kitu roho inapenda Dan Yuko sahihii 😅😅😅
Ukiumizwa nd utaacha kuongea hayo maneno dear
Kamtumia kama daraja avukie ng'ambo ya pili 😅😅
@@user-qn4vk2pp7n siku zoote ukweli huwa mchungu lakini lazima ukweli usemwe ivi mwanamke unapata wapi hiyo nguvu ya kumuhudumia mwanaume kama mtoto wako huoni kama anafosi kupendwa dada
Wako poa sana kwenye talk....very smart girls.
Mdada anakizungu kingii jamniii angel kiswahili tu
Good sister mamzi mazury❤
Dah watoto wote wazuriii sijui nipite na yupiiii
Haaahaaaa
😅😅
Mapenz yamekaà pembeni yana tutazama tu😂😂 tunavyo yasema sema
😅😅😅😅😅
Hahaha haki tenaa
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hyu bint mstaarabu sna na ana hekima coz ame apologize kwa ummy na kuachananae, ila wanaume jaman walau muwe mnathamin mwanamke anaekushika mkono ktk chochote msivunje miyoyo yao🙌🙌sasa DANIEL kakosa yte hya sasa arud kwao akalime
Wadada wotooo ni wazuliiii San kabixa tena wana hakiliii nyingii San hongelaaa 🫡
Dah! Natamani part 3, hawa wadada ❤️😂
😂😂😂wasomi kumbe wanamaliza kesi kisomi ingekuwa wale WA kiswaz wangedundana na mitusi Juu
Hahahaha kumbe elimu muhimu hacha nianze kucheat hili kesi imelizwe kisomi 😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake wenzangu acheni kujidanganya hakuna mwanamme anaeweza kukaa na mwanamke. Mmoja hiyo haiwezekan hata umpe nn
Una kitu utafika mbaliii🎉
Mapenzi nichangamoto sana mungu atutetee tu
Mshumi. ......... mtoto wa kishua Toka tukiwa shule 😂😂😂😂
Nimewapenda mnoooo Hawa wadada❤️❤️❤️
Achana nae huyo mwanaume ni msenge😮
❤❤❤❤ wadafa wastalab adi lahaaa
I need any single girl from dah ♥️♥️♥️
Wadada Wana hekima sana hadi raha....
Tupeleke tukaone nauli na virago vinavyotolewa kwa nyumba😂😂
Sema Dan anapenda macho😂
DANIEL KACHEZEA DHAHABU ..MWANAMKE KAMA HUYO MSTAARABU NA ANAONEKANA ANA TRUE LOVE NA BADO ANAMCHEAT 🥲wanasemaga thamani ya kitu utakiona kikiondoka...daniel atamkumbuka sana huyo mwanamke .
Hawa wanadada wanabusara sana wote
Daniel hapa kapoteza mke pumbavu zake😂😂😂
Hawa wadada n wastaarabu sana ❤
Kumbe wanawake wezangu mnajuwa kupenda hivo na hamsemi mwee
Mimi nije udumia mtoto wamtu kaaaaa dunia itapinduka
kwani hela za kuwafungulia maduka wanaume mnatoa wap?😂
Mm hapa nataka nibaki single tu maana kwenye ndoa tunachitiwa kwenye mahusiano ndo
Nmewapenda bure jmn❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani hawa wanawake wastaraabu sana aiseee
Jmn huyo da bonhge mstaarabu .... Ety aondoke. Akati mjin tyr ana connection ataabak tu hiyo f40. Ataanzia life afu mr Uky hajaridhika anaona content bado haijakamilika hadii ampate daniel kwa simu😂😂
Washukuru ni wanakula hela za mwanamke ukute boy unatoa hela alafu anapewa boy mwenzako kinachofuata ni kutumia Parachute tu😅😅😅
Sasa jamani mnamuachaje daniela harakaharaka namna hiyo jamani😂😂😂tena woooteee khaaa
Ummy ni wife material unge endelea na maisha mengine you deserve someone better achana na huyo daniel anakupotezea mda
Bora tujikalie single duu
Huyu dada hawez tena kurudia kuhudumia mwanaume😂😂
wamekutana wakiwa wote ni wastaarab Hadi raha, congrats to them, ningewapata mm hao ningewachangany ata nane
Wana hekima kwa kwel shule ipo vizur apo kichwan
Unamuacha mtu kisa kakucheat ni sawa na kukimbia nchi kisa mvua😂😂😂😂mvua iko popote😅😅
Mwengine nae kampenda mwengine 😅😅😅
Kupatwa kwa kiingerezaa😂
Akii kuna wadada mnajua kupenda .
Pole sana dada
Mnaigiza ama??? Unampaje mwanaume pesa nk🤣🤣🤣🤣 wazaz wako je ulishawalipa nn kwa malez yao
Haya maisha serious ndugu yangu wanaume nao wanatafta aje
Aisee Hawa wanaume wanaolelewa ivi hizi frusa wanapateje maana wengine tuna damu ya kunguni😂
Hizi hela mnazowapaga mnatoa wapi jamanii 😮hamna ndugu zenu Kijijin huko mkawasaidie jamanii 😢
Hawa wote ni wastaarabu sana aisee
Dada mstaarabu sana huyu mashalaa 😢😢😢😢😢😢❤❤❤
Mr uk uzungu mwingi leo vp kaka..😂😂😂😂
Si kakutana na wazungu weusi😂
Mashaa Allah dada mchepuko😂
Cc ummy mtaratibu san pole dada ❤
😂😂ila wote wazur
Dada ummy mstaharabu sanaaaa ❤
Wote wastrabu❤
wabongo kwa kupenda kuongeà kinger nihatar ogopaaa
Mh hahaha hapotu simpi chochote lakini mh
Kumbe wadada wanachukua hawa wanaume mpka mkoan 😢😢nyie hawa viumbe ni mbwaaa😂😂
😅😅😅
Jaman uyu dad wa miwan ni mpole
Em ongeen kiswahili vzr kingereza holaa hmjuii dadeq
Kwanza dada nikupe hongera kwa kumhudumia mwanaume mimi hiyo hela ya kumpa mwanaume bora nikatoe msaada kituo cha watt yatima siwez mpea mwanaume hata jero ya vocha kama hataki kwendaaaa
Nimewapenda wapole wastarabu waelewa
wanawake bna au wabongo bna kingereza kiiiiing ongeen tu kiswahil.
na awakijui kazi kutuchosha tu
Good job
nitumie nauli mm nije dada angu achana nae anazinguwa yan anashindwa kueshimu upendo wa mt jmn
Wanaume dah! Mnajuaga kutustrees
Naomba mawasiliano na uyo dada ambae hasomi chuo n mpolee saan
😂😂acha ufala unataka ukalelewe
Tafuta pesa zako😂
@@jacksonpeter8629😂😂😂😂😂
Wastaarabu sanaaaa❤❤
Maskini mpaka nywwle zimechambuka 😢
Dah watu mna mambo
Uyo bonge mstalabu ameamua kukuachia sas unamp naul ya nn usinge mwita k voo apo ungemsubik om umpe naul
Niko wa kwanza like zenu plz
Like upeleke wapi mnakera
Me huwa mnanikwaza sana mnaoomba like hiv ni wazma kweli kwenye ubongo wenu
Moyo wa kujitolea A😂
Huyu dada mwenye mtoto anaongea kama nana dollz ( video queen ) kwenye UTU ya Alikiba