NINA WANAUME WAWILI, NANI ATANITAJA??

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 78

  • @saidihysn2212
    @saidihysn2212 11 месяцев назад +28

    Sasa itakuwaje yeye katajwa lakn yeye mwenyewe kasema ana wapenzi wawili na akiona interview kumbe wapo wawili atakuwa na moyo wa kuendelea

    • @witnessinary7807
      @witnessinary7807 11 месяцев назад

      Hapo chacha

    • @Thadeus97
      @Thadeus97 11 месяцев назад

      Hapo sasa mzee baba

    • @margrethamsechu7088
      @margrethamsechu7088 11 месяцев назад

      Alaf ofice moj

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 10 месяцев назад

      Spati picha jamaa katika pitapita zake kwenye mtandao aiyone hii video amsikie dem wake akisema ana wawili

    • @d.m453
      @d.m453 4 месяца назад

      Hapo sasa!!😢

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 11 месяцев назад +29

    sasa ajuwe huyo alomtaja ndo wa kwake huyo alokata simu ni wawengine na nna uhakika anayependwa ni huyo alokata simu😂

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 11 месяцев назад +16

    Bora aliyesema ana wawili kuliko kudanganya!

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 8 месяцев назад +7

    Khaaa ila watu wamejichokea jamani yani mdada yupo poa kabisa ata hashtuki kusema ana mabwana wawili mweee😢😢

  • @LeahPhilipo-kx8yn
    @LeahPhilipo-kx8yn 2 месяца назад +1

    Naomb challenge plz 🙏🙏 kiredio jamn Niko arusha mbn me hukubali kunifanyia challenge jamn

  • @jacklinejackson9600
    @jacklinejackson9600 4 месяца назад +1

    Sasa unakuta Moyo wake uko kwa Michael 😂😂😂

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 11 месяцев назад +3

    Ngoma droo maiko ana wengi na dada ana wengi 😅😅

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 11 месяцев назад +4

    Hapa kitaalam inaitwa mwizi kakutana na mwizi😂😂😂 jamaa wa kwanza noma

  • @RAVINItz
    @RAVINItz 11 месяцев назад +3

    Oya mpeni huyu jamaa awatangaziee

  • @aprinciplefilms
    @aprinciplefilms 11 месяцев назад +5

    Izi macontent zingine bhana 😂😂

  • @AnithaTumain-jf9ql
    @AnithaTumain-jf9ql 4 месяца назад

    Yaaan apo Mr uk alivyosema acha aende uko akagombane na mtu wake 😂😂😂😂😂

  • @rachelmwano7289
    @rachelmwano7289 4 месяца назад +1

    Eti atakupa story nyingine badae 😂😂michomo

  • @AirinSumeno
    @AirinSumeno 11 месяцев назад +5

    Ikirushwa hii kawapoteza wote akili kumkichwa 😂😂😂😂😂

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 11 месяцев назад

    Me nikisikia kaka kiredio hap nitaxma nipo site nikte. Na simu man kuna kuachwa na mpenzi unaempend 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @asachlyforex9425
    @asachlyforex9425 11 месяцев назад +1

    Anabadili badili majina 😂😂

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 4 месяца назад

    Mm ninao 6 siku yakukutana na mm kiredio utajuta nam pia ndo ntajijua sasa

  • @jacksonmandela96
    @jacksonmandela96 2 месяца назад

    Huyo ni mimi kabisa, maana naitwa Jackson Michael.

  • @KulwaBunani
    @KulwaBunani 19 дней назад

    Kiredio😂😂😂😂

  • @sammallya5002
    @sammallya5002 10 месяцев назад

    Hata kama ukinitaja Mimi nitakuacha tuu...maana tayari ww ni Mwongo..

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 10 месяцев назад +4

    michael miyeyusho ila jackson mwaminifu kama mimi hapo huyo dada irene anatakiwa abaki na jackson ndo anaempenda irene kiukweli

  • @cotctvshow3553
    @cotctvshow3553 11 месяцев назад +1

    hivi unawapendaje wote wawili...mbwaa wew wanawake bna mbwa kbsa

    • @irenesinare
      @irenesinare 5 месяцев назад

      Na wewe mwanaume ni mbwa pia😂

    • @edvinaselestine712
      @edvinaselestine712 4 месяца назад

      Atampenda mmoja Sasa unafikir Sasa huyo jamaa wa mwanzo atampenda Tena

    • @estermwakatundu3028
      @estermwakatundu3028 2 месяца назад

      Mbona matusi wanaume wanatupanga Hadi nane wawil aonekane mbwa kyaa

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Nyie wanawake nyieeeee

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 11 месяцев назад +1

    Xaxa yeye katajwa alaf alotajwa yy anao wawili😢😢

  • @kwejimisobi4491
    @kwejimisobi4491 11 месяцев назад +5

    Baada ya challenge ni kuachika🤣🤣🤣

  • @obsonjulius312
    @obsonjulius312 4 месяца назад

    Jackson kapigwa na kitu kizito pia

  • @LivinusLeonidace
    @LivinusLeonidace Месяц назад

    pamoj said

  • @EmsonSambo
    @EmsonSambo 4 месяца назад

    Ila nimefrai mdada Kawa mkweli

  • @martinamuryang153
    @martinamuryang153 10 месяцев назад +1

    Khaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 10 месяцев назад

    Mdada kasema ukweli

  • @markomkiva6366
    @markomkiva6366 11 месяцев назад

    Aliye mtaja jina hana hela

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 10 месяцев назад

    Ngoma droo

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 11 месяцев назад +1

    Nimeamini vibonge awanaga akili sasa hakuwaza ikirushwa itakuwaje 😂😂😂😂

  • @KingMashimba
    @KingMashimba 9 месяцев назад +1

    Hahahaha

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @rahimaally6044
    @rahimaally6044 11 месяцев назад +2

    🙈🙈

  • @RyycRaji
    @RyycRaji 4 месяца назад

    nahis uyu dada alitongozwa bado hajatoka na hata mmoja ndomaana anajiamin yupi atoke nae

  • @SophiaJuma-q1i
    @SophiaJuma-q1i 7 месяцев назад

    Ukija dodoma uniambie nazawad yako kiredio

  • @LatifaEdward-v6z
    @LatifaEdward-v6z 11 месяцев назад +1

    Unazingua wewe yanj Ile ya Dodoma ujamalizia Alf ujatupa mpya

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 11 месяцев назад

    Kiredio nna content nitafute tupange mchongo... Ni Dm

  • @JoelMollel-l7r
    @JoelMollel-l7r 11 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie wanaume kama imefikia mahali mwanamke kuwa na wanaume wawili na anaona ni fashion adi anatangaza hadharani kama vile mazuri🤮🤮

    • @whatif..6961
      @whatif..6961 10 месяцев назад

      Kama ilivyo kwenu kuwa na wanawake wengi! Japo hamtangazi ila hakuna tofauti! Tunapita mule mule yaaani😂

    • @ezyjob5083
      @ezyjob5083 10 месяцев назад

      ​@@whatif..6961habari ndo hiyo, mule mule

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 11 месяцев назад +2

    Akina Irene siyo wanawake

  • @EMILYSAMSON-rv3ns
    @EMILYSAMSON-rv3ns 6 месяцев назад

    kaka dodoma lini

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 10 месяцев назад

    Kiredio au kispika itakukosti ipo siku utakutana na machiz.shauri yakooo

    • @irenesinare
      @irenesinare 5 месяцев назад

      Wacha ushamba hii wanayofanya karibia kila nchi mambo za kawaida

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 5 месяцев назад

      @@irenesinare mshamba mamaako

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 5 месяцев назад

      @@irenesinare halafu ndio umenunuwa cm Leo maana ni miezi minne iliyopita wewe ndio umesema Leo. Sasa si ungeangalia kitu kipya upate kukoment au ndio Hy cm mpya unaajibu mambo ya mwaka jana juzi .hongera na cm mpya