KHAAN MBAROUK: WATU wa karibu walisema nimemtoa KAFARA mwanangu, nilipoteza MUELEKEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 77

  • @user-jb2hw5zz6l
    @user-jb2hw5zz6l Месяц назад +11

    Asanteni sana niukweili kabisa wanangu tumshukuru mungu kila siku

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 Месяц назад +41

    Sijuwi kwanini nimeangukia kwahii clip😏 opening yenu imenipa moyo!.. Binti yangu ana lungs 🫁 diseases, she is using oxygen! Naomba dua zenu ili Mwenyenzi Mungu ampe shifaa, arudishiwe hali yake ya kawaida🤲 pia tuwaombee wagonjwa wote na wenye shida mbalimbali🤲

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Месяц назад +5

    Kweli hii ni school of thought. Asanteni sana 🙏

  • @MagrethCharles-ne2ts
    @MagrethCharles-ne2ts Месяц назад +2

    Jamani hata mimi kaka Haris Kapigaa tbt Prays power nikiwa na ndoto ya kuja mbele alikuwaa na msemoo, "ni marufukuu kukataa tamaa"..mpaka nikatoboa leo naongelea dream country kikweli mimi binafsi natamani nimuonee kwa shuhudaa na shukrani !😅😅🎉❤hopeful soon!

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 Месяц назад +1

    Mungu Awabariki mmenikumbusha mengi sana ila muelewe wanaadamu hawana jema .nimefisha binti wangu wawili na ninaishi inje ya inchi wamefariki niwatu wazima .ila kunawao nisema nimewatowa kafara.ila Mungu ndo Anajuwa .na rizki inakuja kwa wakati

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e Месяц назад +1

    Hili chimbo nimelikubali Sana na sitaacha kufatilia,mungu awatunze mzidi kutujenga,asante sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +1

    Shukran Sana kwa darasa zuli nimeondoka na kitu kizito hapa

  • @surgeondoctor16
    @surgeondoctor16 Месяц назад +4

    Ukifanikiwa hakikisha walio kuzunguka nao wanaishi vizuri~chuki ni mbaya sana ikianzia nyumbani

  • @sarahmacha6931
    @sarahmacha6931 2 дня назад

    Big up

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe Месяц назад +2

    Kaka Henry kiukweli mtaji mkubwa ni afya njema🎉

  • @Njeriii536
    @Njeriii536 Месяц назад +3

    Khan kaongea vizuri mno

  • @muna1165
    @muna1165 Месяц назад

    Khan una macho mazuri sana mashallah ❤❤❤❤

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Месяц назад +12

    Daah aisee huyu khaan Mbaruku ni mtu tatu, sio mtu na nusu.

  • @Keyjop
    @Keyjop Месяц назад

    Much love brother kapiga

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Месяц назад

    Huyu mwamba anaongea vizuri sana maashaAllah

  • @rae4132
    @rae4132 Месяц назад

    Hahahha huyu mbaruk kanikosha asee kwei kweli . Hawa wasio weza kukemea na kuwapa haris sokomoko la madawq ya kulevya ili apone. Aseee umetumia semo muzuri sana na nitautumia kwenye maisha yangu ahsante

  • @successplatformtv1823
    @successplatformtv1823 Месяц назад

    Hustle harder, hustle smarter

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 Месяц назад

    Mungu hakimu wa haki

  • @user-xr5xx7bq3p
    @user-xr5xx7bq3p Месяц назад +1

    Kweri❤

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 Месяц назад +2

    Kaka mwinuka TAIFA hili linakutegemea Sana kwa mawazo mazuur Ila tunataka ukweli uuuseme hii kitu sis tunaijuwa, alie ingia ubia na serikali kwa mi situ yet yoote nchi nzima ni Dubai falme, tunajiuliza kwa nini serikali yetu ipate mapato kutooka kwa mtu ambae byeye binafsi Hana mti hata mmoja, labda hujawahi fika Dubai sisi tunaishi Huku

  • @fanityubu
    @fanityubu Месяц назад +2

    Dakika ya 29 anapozungumzia kuhusu kupona maumivu ni maneno aliyoyaongea Masoud Kipanya

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Месяц назад

    Jirani yetu pia alifiwa na mtoto baada ya msiba kuisha wakaanza kujenga nyumba nyingine pemben ya nyumba yao walikua na nyumba mbili na hio walikua wanajenga ya 3 loooh watu wakaanzkusema kamtoa kafara mtoto wake yani watu huoenda kujaji maisha ya watu bila kujua mtu anapitia maumivu kiasi gani yule mama alikua analia kila mara juu ya mtoto wake na alifariki mtoto akiwa na mwaka mmoja na na miez nilikua na mazoea naye sana na mara nyingi tukikaa anamuongelea mtoto wake mpaka analia coz mi nilikua siishi nyumban nalipoenda alikua ameshafiwa km mwaka ushapita lkn bafo alikua ananihadithia huku analia jiansi mtoto wake alivyokufa kila akikumbuka analia maskin

  • @FlavianMwalyego-fj1nl
    @FlavianMwalyego-fj1nl Месяц назад

    Chakula Cha Ubongo💐💪

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Месяц назад +2

    Pongezi kwake mbunifu wa hiyo logo ya chimbo, inapendeza hakika. Carbon credit naichukua hii maana binafs ni mdau wa mazngira. Nakiri sikuifahamu ispokua hapa chimbo, ni wazi tunaishi kwa kutegemeana chini ya jua.

    • @imanimwakinga4934
      @imanimwakinga4934 Месяц назад +1

      Ni mwenyewe Harris kapiga anayeongea ndio mwenye brand yake ya "chimbo school of thought" . Ukienda Facebook andika Harris kapiga then mfuatilie hapo

  • @blueboybajos6880
    @blueboybajos6880 Месяц назад +5

    chimbo mko moto sna 😂😂🔥🔥🔥🇧🇮

  • @ismaililuhunga7254
    @ismaililuhunga7254 Месяц назад

    It should be read "School Of Thoughts" the word Thought should be in plurality and not in singularity.

  • @waltermichael9429
    @waltermichael9429 Месяц назад +1

    Jamaa very Genius an..... Anaongea tofauti na nyie Mahost ndo maana mshikaji anadeals nyingi

  • @AhmedyMahmudu
    @AhmedyMahmudu Месяц назад +1

    MUNGU AJALIE WANAUME WOTE AMANI YA MOYO

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Месяц назад

    Hiyo ni biashara au rewards sasa

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Месяц назад +2

    Hii nikwl school

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 23 дня назад

    Hapo ni Bilion 30 au Million 30?

  • @Igauf3
    @Igauf3 Месяц назад

    Kama hela zitakuwa kwenye mikono sahihi. Mengi yatafanyika. Tunza mazingira.

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Месяц назад

    Hyo ya mwsho I real ime ni tach Kuna jamaa alinisalit 😢😢😢

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Месяц назад

    Hakun mungu bana acheni hizo story

    • @jumakasim8784
      @jumakasim8784 Месяц назад

      Tuamini ndugu yangu changamoto zipo na tunaishi nazo

  • @ZahraZahra-wy6gc
    @ZahraZahra-wy6gc Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 Месяц назад

    Waandishi mnaongea sana😢

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Месяц назад +3

    👁️👁️🇫🇮🤝

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f Месяц назад

      Leo nimemwona Henry Mwinuka namsikilizaga çlouds kwenye terminal

  • @juniorshilinde4624
    @juniorshilinde4624 Месяц назад +4

    Mahost wanaongea san, stick to the interview mnatuchosh.....dk 2 za mwnz

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Месяц назад

    kuanzia dakk 1 ad dakk 23 cjaona shot ya wide.. yaan mwanz mwsho ni closeup.. tunajuaje kam wte wamekaa sehm moja

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Месяц назад

    Et mke wangu kampoteza mtoto Ila mm nimepoteza mtoto na hela goddammit

  • @sofiasimbasimbasofia2420
    @sofiasimbasimbasofia2420 Месяц назад +2

    Huyo mwenye madevu anazungumza kama mboso saut yake