Salama Na Masoud Kipanya
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Salama mwambie brother masoud vp kuhusu pesa zetu kwa yule mwamba..!
😅😅😅😅😅
Alipoongelea mtoto imenigusa sana mungu awafanyie wepec watoto wetu wagonjwa mimi hua najiuliza ninapoona wanzangu watoto wao tofaut na wangu😢
Huyu mwamba anajua sana👊👊🫡
Salama upo vizuri dadangu nimekuwa nakufuatilia,lkn nakubali kazi zako.mwenyezi Mungu akusimamie dadangu
geneous,ila @salamajabir hako ka soundtracks backup kana hadhi ya reggae umetisha👏👏😅😅
Tunaomba Show mpya, hii ni ya Mwaka uliopita
Asante saaana Salam Ka kualika hiki kicwa kiukweli namkubali saaaana
Madini mengi nimeokota kwa hiki kipindi chenu
Best ever 🐐🙌🧠 salama
nimekuwa proud tu kusikia kumbe role modol wangu ana vinasaba vya iringa
Kumbe hii ni ya mwaka 2022?
back to the work
Huyu mwamba ni darasa
SHUBAAAMIT ZAO💥💥💥
Inahitajika part2 ya huyu mwamba
Tulikumis sana Salama
hata mimi Mzee wangu hajui miaka yangu ukimuuliza kwa ghafla
simply masoud is genius
Salama napenda kipindi chako
salama na is back @kituo kinachofwata kwa Eliud Samweli
Na huwez kuwa busy kila siku unabishana kuhusu Simba na Yanga ukawa na akili na uwezo wa kufikiri na kuwaza mambo ya msingi.
Another option nikuinvest kwenye KP motors as earlier investors. Wengi watalalamika mbele ya safari ikitoboa. Mfano ni Nala.
Huyu mwamba ndio mwenye akili zaidi Tz
Labda anakuzid wewe tu😅usiseme Tz ujawajua watu wew …uyo ni umaaruf tu
Hapo kwenye Laki 2 Uso wa masoud unasema weeeeh lakimbili yangu nimpe mtu kwa kuomba tu ha ha ha ha ha
Thanks for you guys back again #SalamaNa
safi kwa kurudi
Hii mbona kama ni ya muda mrefu
Kazi nzuri sana ku exchange ideas on mental health and money 📈🧘🏿♂️
Loo!!! Views 10k kwa wiki moja??? Watanzania tunataka maudhui ya aina gani? Kwanza najuta sana kuchelewa kutazama hii video.
Ubarikiwe sana Salama.
yani ukajiwekee pesa kwene mfuko wa jamii labda UTT uko kwene mfuko kunashida kubwa sana
Ivi kwanini salama usiwe unakata vipande kidogo kidogo ukavipost tiktok ili kuvitia watazamaji wengi?maoni yangu tu
Asalam Aleykum. Salama kipindi chako ni SUPERB. Andaa pia MADA INAYOHUSU MICHANGO HASWA YA HARUSI, imekuwa ni too much mpaka tunashindwa ku- save.
Salama, Michango yenyewe imekuwa ni KAUSHA MAJI
Masoud kila kitu kinachotutokea duniani kuna stages tunapitia na ya kwanza kabla ya 'kukubali' (ambayo ni ya sita) ni hiyo ya kuwa ya kujiuliza " kwanini mimi'.
😂😂😂. so fun.
😂😂😂, au unashtukiwa tu mtu anapozaliwa