Salama Na Masoud Kipanya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 41

  • @user-mt6nu5hs8q
    @user-mt6nu5hs8q Месяц назад +4

    Salama mwambie brother masoud vp kuhusu pesa zetu kwa yule mwamba..!

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Месяц назад +3

    Alipoongelea mtoto imenigusa sana mungu awafanyie wepec watoto wetu wagonjwa mimi hua najiuliza ninapoona wanzangu watoto wao tofaut na wangu😢

  • @Cosmas_General
    @Cosmas_General Месяц назад +5

    Huyu mwamba anajua sana👊👊🫡

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j9747 Месяц назад +1

    Salama upo vizuri dadangu nimekuwa nakufuatilia,lkn nakubali kazi zako.mwenyezi Mungu akusimamie dadangu

  • @HenryMwamasage
    @HenryMwamasage Месяц назад +4

    geneous,ila @salamajabir hako ka soundtracks backup kana hadhi ya reggae umetisha👏👏😅😅

  • @user-lo6gd4tg2n
    @user-lo6gd4tg2n Месяц назад +2

    Tunaomba Show mpya, hii ni ya Mwaka uliopita

  • @omarrwamuza3222
    @omarrwamuza3222 29 дней назад

    Asante saaana Salam Ka kualika hiki kicwa kiukweli namkubali saaaana

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 Месяц назад +4

    Madini mengi nimeokota kwa hiki kipindi chenu

  • @Paplick9
    @Paplick9 Месяц назад +1

    Best ever 🐐🙌🧠 salama

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Месяц назад +1

    nimekuwa proud tu kusikia kumbe role modol wangu ana vinasaba vya iringa

  • @allykamila3445
    @allykamila3445 Месяц назад +3

    Kumbe hii ni ya mwaka 2022?

  • @salehmakungu3238
    @salehmakungu3238 Месяц назад +1

    back to the work

  • @AdnanMbaehmahmoud
    @AdnanMbaehmahmoud Месяц назад +5

    Huyu mwamba ni darasa

  • @johnraymond6602
    @johnraymond6602 Месяц назад +1

    SHUBAAAMIT ZAO💥💥💥

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Месяц назад +4

    Inahitajika part2 ya huyu mwamba

  • @HamadAlex
    @HamadAlex Месяц назад +1

    Tulikumis sana Salama

  • @user-qe9ot4kl9u
    @user-qe9ot4kl9u Месяц назад +1

    hata mimi Mzee wangu hajui miaka yangu ukimuuliza kwa ghafla

  • @matwerangulichedr3985
    @matwerangulichedr3985 Месяц назад +1

    simply masoud is genius

  • @jumbekibindo3021
    @jumbekibindo3021 Месяц назад +2

    Salama napenda kipindi chako

  • @cooperinsurance819
    @cooperinsurance819 Месяц назад +4

    salama na is back @kituo kinachofwata kwa Eliud Samweli

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 Месяц назад +1

    Na huwez kuwa busy kila siku unabishana kuhusu Simba na Yanga ukawa na akili na uwezo wa kufikiri na kuwaza mambo ya msingi.

  • @Igauf3
    @Igauf3 Месяц назад

    Another option nikuinvest kwenye KP motors as earlier investors. Wengi watalalamika mbele ya safari ikitoboa. Mfano ni Nala.

  • @seliankibasisi5047
    @seliankibasisi5047 Месяц назад +1

    Huyu mwamba ndio mwenye akili zaidi Tz

    • @innocentpius8083
      @innocentpius8083 Месяц назад +1

      Labda anakuzid wewe tu😅usiseme Tz ujawajua watu wew …uyo ni umaaruf tu

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga9465 Месяц назад +1

    Hapo kwenye Laki 2 Uso wa masoud unasema weeeeh lakimbili yangu nimpe mtu kwa kuomba tu ha ha ha ha ha

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom2308 Месяц назад +1

    Thanks for you guys back again #SalamaNa

  • @user-xp3vi3wc8p
    @user-xp3vi3wc8p Месяц назад

    safi kwa kurudi

  • @mwasonkambi7207
    @mwasonkambi7207 Месяц назад

    Hii mbona kama ni ya muda mrefu

  • @kaba7911
    @kaba7911 Месяц назад +2

    Kazi nzuri sana ku exchange ideas on mental health and money 📈🧘🏿‍♂️

  • @kasaisatv9765
    @kasaisatv9765 Месяц назад

    Loo!!! Views 10k kwa wiki moja??? Watanzania tunataka maudhui ya aina gani? Kwanza najuta sana kuchelewa kutazama hii video.
    Ubarikiwe sana Salama.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Месяц назад

    yani ukajiwekee pesa kwene mfuko wa jamii labda UTT uko kwene mfuko kunashida kubwa sana

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 17 дней назад

    Ivi kwanini salama usiwe unakata vipande kidogo kidogo ukavipost tiktok ili kuvitia watazamaji wengi?maoni yangu tu

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Месяц назад

    Asalam Aleykum. Salama kipindi chako ni SUPERB. Andaa pia MADA INAYOHUSU MICHANGO HASWA YA HARUSI, imekuwa ni too much mpaka tunashindwa ku- save.

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Месяц назад

    Salama, Michango yenyewe imekuwa ni KAUSHA MAJI

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Месяц назад

    Masoud kila kitu kinachotutokea duniani kuna stages tunapitia na ya kwanza kabla ya 'kukubali' (ambayo ni ya sita) ni hiyo ya kuwa ya kujiuliza " kwanini mimi'.

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Месяц назад

    😂😂😂. so fun.

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Месяц назад

    😂😂😂, au unashtukiwa tu mtu anapozaliwa