Hiyo ngoma ya unaniacha hoi inanikumbusha enzi zile za club billcanas disco toto enzi hizo mc HK kuna mashindano ya kumtafuta mtu anayefanana na msanii wa marekani ilikuwa noma sn
Alafu anawajua wanajua Babuu wa kitaa anapo shindwa kuelewe story za chid za miaka ya nyuma nashindwa kumuelewa wakati ni mtu wake wa kitambo sanaa 🤣😂😀😃🙏
Jaman mkitaka kumuhoji chid anatakiwa awe pekeake maana akiwa na msanii mwngne chid hampi mwenzake nafac ya kuongea anataka kuongea yy tu nmecheka chid so pw jmn anajua kujbu maswali
Cloud mbna muna sehemu mbya sana ya kufanyia watu interview ndonin sasa tafuteni sehemu au iyo iyo mutie mazaga zaga tuuu mbna muko kilokalii sanaa nyinyi munafelii wap🤣🤣
Nikushauri tu mtangazaji jaribu kupunguza mihemko,, unahangaika kama umepaka chachandu makalio.. Unaongea haraka kama umekula mbilimbi.. Kipindi kizuri Embu Tulia kwenye kipindi uliza maswali kimpango.. Ikiwezekanaa andaa maswali ambavyo ungependa watu wajue kuhusu msanii. Chid lazima akuzidi hapo maana humuhoji vitu vya msingi.. Huyo jamaa High Q yake ipo juu so ukichangia na anavyotumia..
Chidibenzinooooo fireeeeee, Mungu ni wetu sote kaka hatimaye karudisha afya yake
Bro chid respect nyingi unajua sana kuwapoteza hawa watangazaji wakija kwako lazima wajipange
mnazingua show nzuri sounds mbovu
Atilist Kamwili kanakujaaa Sasa chid safi sana😍😍💋
Mashallah chidi happy to see you ok Allah bless
Chiiiiiiiii love you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chidi benz bana kwa kujibu maswali noma sana naona body inarudi kaka mkubwa big up
I like this guy Chid Benzino
jembe limerudi lafamiliy
Next time tuletee Chid benzino,Tid & q chilla tucheke sana .
Naomba hiyo nyimbo muifanye wote na chid
I'm so happy and proud to be Tanzania. Ila don't get twisted n.a. luga😂😂😂 we are so talented! Big up to ourselves guys 😉
Huyo jamaa wa gita ni hatare sanaaaaaa big up kwake..kamfuata chid mule mule aisee kama alikua anafanya nae mazoezi.
Chiddy commandoo
Chid benziiiiiiiii chuma
Alwa akusaidie my brother
Nice
Hatarisana chidi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
big chid Benz and linex
Yeah next time bro tupe show ya chid na Tid please tufurahishe ma fans wako
Chid mashallah afya imeimarika
Ona Linex anavomshangaa😂🤣
Chumaa anacheza na akil ya host cz n brother
Mitambo yenu ya sauti inazingua sana.
Huwezi ukamleta Chid na linex afu mnaleta uduanzi kwenye voice.
Wanazingua kichiz asee
Ni kweli Tasnia ya muziki wa Tanzania hawa watu all star Niga 😀😂🙂😃🤙🙏🤞 wee Mh
Chumaaaaaaaaaaa
next time jitahidini katika kucapture sauti.
kuna tatizo la sound so fanyieni kazi hiyo faster
Nimependa bonge moja la show an
Interview ya chid sijawahi kuiruka mzee
Babu kakalishwa
Host wa show kajeuka chid benzino
show kali but u guys as profesional inabidi murekebishe sound stystem we don't get sound nzuri kwenye izi interview
Sounds tatizo
Check sound
Sound but respect
Media kubwa ila sounds mbayaa sanaa kipindi kuzuri ila mafundi hawaja angalia sounds vizuri
Kufanya intaviwe na cheed kazi sana
Chidy mizioguo
Chidy mwili unaludi
body la chidy limerud xafi
Mkulungwaaa
Hiyo ngoma ya unaniacha hoi inanikumbusha enzi zile za club billcanas disco toto enzi hizo mc HK kuna mashindano ya kumtafuta mtu anayefanana na msanii wa marekani ilikuwa noma sn
Mashndano yalikua Yanaitwa Camp Bomba
Me nlikua Maswa Mob Magomeni
Huyu linex kuna watu wameshafanikiwa lkn wanajua kabisa kama hawamuwezi daaah
Uyo jamaa anauliza maswali mengi kwamkupuo yani he doesn't give them time to think asee
Alafu anawajua wanajua Babuu wa kitaa anapo shindwa kuelewe story za chid za miaka ya nyuma nashindwa kumuelewa wakati ni mtu wake wa kitambo sanaa 🤣😂😀😃🙏
samahani, naomba chekini hizo maiki..
Guitarist yupo vzr 🤘
Tatizo sauti ipo chini
Linex umeuwa
sauti haipo poa mzee
Duuh chid amesaidia wengi sana had linex alipta kwenye mikono ya chid
The VOA
Chidi popote ukiwekwa ujue wafaswi tupoo....
Child soooo, yaaan kama Una maswal 10, utaambulia kuulizia maswal matatu tuu
mtangazaji unazidiwa na unaemuhoji yaan mpaka chid anakwambia muhoj na linex babuu huwezi nenda kafanya bibi bomba kipind cha wamama
Production mbooovu...
Kuna bond kubwa kati ya babuu na chid andaen kipind chenu🤔🤔🤔👊👊
Hakuna rapa kama chidy hapa bongo
Tatzo watu wenu wamitambo wanazingua sana sauti zinakata kata Yani mnayumbaga apo2 make sauti zinakuja mbili mbili
Babu wa kitaa angejichanganya mwisho wa picha angekula ngumi wallah
Me simuelewi alafu ni nguzo ya Rap yaani anaongea na wanae kama mtu ambaye ajawahi kuwaona be fore alafu Me ataa simuelewi nigga kabisa 🤣😂😀🤙🤞🙏
ila chid jitu Fulani HV ambalo linazalau xana😂😂
Shoo la kibabe san cheed na linex wameuuuaaa asee
King kong
Linex kasusa maana tunaongea na mteja anatupanga pia ndo kafanya li'interview liwe lirefu mikucha michafuuu!
Sauti linajirudia rudia rip clouds
Huo uimbaji wa chid nmecheka kafal...!
mnazingua mnaktoa saut ya nn wazima watyu najua u knw wat am seying
Jaman mkitaka kumuhoji chid anatakiwa awe pekeake maana akiwa na msanii mwngne chid hampi mwenzake nafac ya kuongea anataka kuongea yy tu nmecheka chid so pw jmn anajua kujbu maswali
Man, he was stoned! Naiwe bangi tu tafadhali, usirudi kule.
Sound imekaa kifala sana
Sound inazingua
Kwenye sauti bado
Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kipindi kama hakina producer
Alafu wote kuanzia wageni mpaka host Ni walimu wa Sanaa na soundtrack mpaka sound inge man me nashindwa kowasoma 😀😃🤞🤙
Cloud mbna muna sehemu mbya sana ya kufanyia watu interview ndonin sasa tafuteni sehemu au iyo iyo mutie mazaga zaga tuuu mbna muko kilokalii sanaa nyinyi munafelii wap🤣🤣
Nasib Dito 😂😂
Kah jombaa chid ni kivuruge aisee..
Sound mbovu
Miiki zenu azijakaa fresh
Mbn anahojwi chid pekee yk
Bangi nying
uyu jamani ameacha Kula sembe
Kingkong is back
Chidi beenz weeeye ni wa kwanza 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂 walahiii
Sauti ya chidiiii Doh 😀😀😀
dah chid ataniua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 oya babuu cku nyengine mlete chid na T ID Tuchekesanaaaa@😂😂🤣🤣
Chid anafeli sa badala ya kutulia ufanyiwe interview unageuka muongozaji
Chidbenz show 🤣😂😀😃😄🤞🤙 Rashidi mivabo tenaa 😂😀🙂🤣😃🤙
#lnex_Isia kal )
Nikushauri tu mtangazaji jaribu kupunguza mihemko,, unahangaika kama umepaka chachandu makalio.. Unaongea haraka kama umekula mbilimbi.. Kipindi kizuri Embu Tulia kwenye kipindi uliza maswali kimpango.. Ikiwezekanaa andaa maswali ambavyo ungependa watu wajue kuhusu msanii. Chid lazima akuzidi hapo maana humuhoji vitu vya msingi.. Huyo jamaa High Q yake ipo juu so ukichangia na anavyotumia..
Its IQ not High Q
@@mbulahellon5563 ok boss
Thanks
Mtu Msenge sana 🤣🤣🤣🤣 eti story za zamani sitaki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sound haiko poah
Chid popote ulipo wewe ndyo baba lao
#chd_uko Xaf )
Design anauza sana ma'ring tone haaaahaaaa haaaaa Young Thug (Country Boy)
King Kong
Chumaaaaaaaaaaaaaaaa
Boresheni sound sometime haisikiki vizuri
oya chuma kaacha kutumia mbandandu au
Chid muambie akat kucaa...zinaucafuu ndaniak 🙁
Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html kumsikia mshabiki wa chid
Cheed kaanza kunenepa Sasa Mambo ndo ayo
😂😂😂😂
Babu hipo kipindi akae mchomvu ndio atakimudu
Chiddy commandoo