Chid Benz na Linex wafanya Balaa kwenye TBT Clouds TV | Tazama ilivyokuwa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #CloudsDigital Hutojutia madini yanayotolewa na mkali Chidbenz na Sunday Mjeda kwenye #ClodsTv TBT
    #Hutojutia #Vunjasheria.

Комментарии • 120

  • @dianamsangawale9925
    @dianamsangawale9925 4 года назад +2

    Chidibenzinooooo fireeeeee, Mungu ni wetu sote kaka hatimaye karudisha afya yake

  • @benomeya797
    @benomeya797 4 года назад +2

    Bro chid respect nyingi unajua sana kuwapoteza hawa watangazaji wakija kwako lazima wajipange

  • @babayoria9181
    @babayoria9181 4 года назад +1

    mnazingua show nzuri sounds mbovu

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 4 года назад +1

    Atilist Kamwili kanakujaaa Sasa chid safi sana😍😍💋

  • @amaniharub1569
    @amaniharub1569 4 года назад +2

    Mashallah chidi happy to see you ok Allah bless

  • @queentz8314
    @queentz8314 4 года назад +2

    Chiiiiiiiii love you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nkumbimnyamwezi2728
    @nkumbimnyamwezi2728 4 года назад +1

    Chidi benz bana kwa kujibu maswali noma sana naona body inarudi kaka mkubwa big up

  • @johnjames1436
    @johnjames1436 4 года назад +4

    I like this guy Chid Benzino

  • @kyarukambandyamkama3521
    @kyarukambandyamkama3521 4 года назад +6

    Next time tuletee Chid benzino,Tid & q chilla tucheke sana .

  • @amosinyamwanji2846
    @amosinyamwanji2846 4 года назад

    Naomba hiyo nyimbo muifanye wote na chid

  • @Alkebu_lan22
    @Alkebu_lan22 4 года назад +1

    I'm so happy and proud to be Tanzania. Ila don't get twisted n.a. luga😂😂😂 we are so talented! Big up to ourselves guys 😉

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 4 года назад

    Huyo jamaa wa gita ni hatare sanaaaaaa big up kwake..kamfuata chid mule mule aisee kama alikua anafanya nae mazoezi.

  • @sanjookhan2120
    @sanjookhan2120 4 года назад +1

    Chiddy commandoo

  • @bakarifundi4351
    @bakarifundi4351 4 года назад +1

    Chid benziiiiiiiii chuma

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban6858 4 года назад

    Alwa akusaidie my brother

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 года назад

    Nice

  • @rosembaga5467
    @rosembaga5467 4 года назад +2

    Hatarisana chidi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @starvennja2480
    @starvennja2480 4 года назад +1

    big chid Benz and linex

  • @treycarlos3583
    @treycarlos3583 4 года назад +1

    Yeah next time bro tupe show ya chid na Tid please tufurahishe ma fans wako

  • @fatumaabbakari5951
    @fatumaabbakari5951 4 года назад +4

    Chid mashallah afya imeimarika

  • @moshimoshi6096
    @moshimoshi6096 4 года назад +10

    Ona Linex anavomshangaa😂🤣

  • @shebbypro
    @shebbypro 4 года назад +2

    Chumaa anacheza na akil ya host cz n brother

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 4 года назад +3

    Mitambo yenu ya sauti inazingua sana.
    Huwezi ukamleta Chid na linex afu mnaleta uduanzi kwenye voice.

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 4 года назад

      Wanazingua kichiz asee

    • @jumahaji2938
      @jumahaji2938 2 года назад

      Ni kweli Tasnia ya muziki wa Tanzania hawa watu all star Niga 😀😂🙂😃🤙🙏🤞 wee Mh

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 4 года назад +2

    Chumaaaaaaaaaaa

  • @khalifasaid1131
    @khalifasaid1131 4 года назад +1

    next time jitahidini katika kucapture sauti.

  • @michaelisrael4114
    @michaelisrael4114 4 года назад +3

    kuna tatizo la sound so fanyieni kazi hiyo faster

  • @malackwilliam4235
    @malackwilliam4235 4 года назад

    Nimependa bonge moja la show an

  • @josephkasainey2903
    @josephkasainey2903 4 года назад +6

    Interview ya chid sijawahi kuiruka mzee

  • @ujenziafrica5962
    @ujenziafrica5962 4 года назад +3

    Babu kakalishwa
    Host wa show kajeuka chid benzino

  • @starzsa5932
    @starzsa5932 4 года назад +6

    show kali but u guys as profesional inabidi murekebishe sound stystem we don't get sound nzuri kwenye izi interview

  • @hashimswaibu9827
    @hashimswaibu9827 4 года назад +2

    Sounds tatizo

  • @mashalamusicempire1158
    @mashalamusicempire1158 4 года назад +1

    Check sound

  • @Elouth2647
    @Elouth2647 4 года назад +2

    Sound but respect

  • @mohamedalirajabu4034
    @mohamedalirajabu4034 4 года назад +1

    Media kubwa ila sounds mbayaa sanaa kipindi kuzuri ila mafundi hawaja angalia sounds vizuri

  • @ramadabasi6642
    @ramadabasi6642 4 года назад +2

    Kufanya intaviwe na cheed kazi sana

  • @ramadhaniabdallah2079
    @ramadhaniabdallah2079 4 года назад

    Chidy mizioguo

  • @mussashamte9539
    @mussashamte9539 4 года назад +2

    Chidy mwili unaludi

  • @malcomadam8399
    @malcomadam8399 4 года назад +1

    body la chidy limerud xafi

  • @damasmgore2076
    @damasmgore2076 4 года назад +1

    Mkulungwaaa

  • @leonardkomba686
    @leonardkomba686 4 года назад +2

    Hiyo ngoma ya unaniacha hoi inanikumbusha enzi zile za club billcanas disco toto enzi hizo mc HK kuna mashindano ya kumtafuta mtu anayefanana na msanii wa marekani ilikuwa noma sn

    • @mamababa4661
      @mamababa4661 4 года назад

      Mashndano yalikua Yanaitwa Camp Bomba

    • @mamababa4661
      @mamababa4661 4 года назад

      Me nlikua Maswa Mob Magomeni

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 4 года назад

    Huyu linex kuna watu wameshafanikiwa lkn wanajua kabisa kama hawamuwezi daaah

  • @swalehebaraka4028
    @swalehebaraka4028 4 года назад +1

    Uyo jamaa anauliza maswali mengi kwamkupuo yani he doesn't give them time to think asee

    • @jumahaji2938
      @jumahaji2938 2 года назад

      Alafu anawajua wanajua Babuu wa kitaa anapo shindwa kuelewe story za chid za miaka ya nyuma nashindwa kumuelewa wakati ni mtu wake wa kitambo sanaa 🤣😂😀😃🙏

  • @herbertchunga6551
    @herbertchunga6551 4 года назад +2

    samahani, naomba chekini hizo maiki..

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 4 года назад

    Guitarist yupo vzr 🤘

  • @chumatyres7586
    @chumatyres7586 4 года назад +3

    Tatizo sauti ipo chini

  • @deejaymasai8210
    @deejaymasai8210 4 года назад +1

    Linex umeuwa

  • @johnmosha8285
    @johnmosha8285 4 года назад +1

    sauti haipo poa mzee

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 4 года назад +1

    Duuh chid amesaidia wengi sana had linex alipta kwenye mikono ya chid

  • @Gossipzandanii
    @Gossipzandanii 4 года назад +2

    The VOA

  • @wafiq4
    @wafiq4 4 года назад +4

    Chidi popote ukiwekwa ujue wafaswi tupoo....

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 4 года назад +2

    Child soooo, yaaan kama Una maswal 10, utaambulia kuulizia maswal matatu tuu

  • @husseinissa4182
    @husseinissa4182 4 года назад +1

    mtangazaji unazidiwa na unaemuhoji yaan mpaka chid anakwambia muhoj na linex babuu huwezi nenda kafanya bibi bomba kipind cha wamama

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 4 года назад +1

    Production mbooovu...

  • @bizbiz5023
    @bizbiz5023 4 года назад +2

    Kuna bond kubwa kati ya babuu na chid andaen kipind chenu🤔🤔🤔👊👊

  • @saidmwalim1656
    @saidmwalim1656 4 года назад +2

    Hakuna rapa kama chidy hapa bongo

  • @fahadykabuhaya8994
    @fahadykabuhaya8994 4 года назад +1

    Tatzo watu wenu wamitambo wanazingua sana sauti zinakata kata Yani mnayumbaga apo2 make sauti zinakuja mbili mbili

  • @kulwamkole7400
    @kulwamkole7400 4 года назад +2

    Babu wa kitaa angejichanganya mwisho wa picha angekula ngumi wallah

    • @jumahaji2938
      @jumahaji2938 2 года назад

      Me simuelewi alafu ni nguzo ya Rap yaani anaongea na wanae kama mtu ambaye ajawahi kuwaona be fore alafu Me ataa simuelewi nigga kabisa 🤣😂😀🤙🤞🙏

  • @kajuthecousin1032
    @kajuthecousin1032 4 года назад +2

    ila chid jitu Fulani HV ambalo linazalau xana😂😂

  • @andodully3800
    @andodully3800 4 года назад +3

    Shoo la kibabe san cheed na linex wameuuuaaa asee

  • @kaisyhamisy7587
    @kaisyhamisy7587 4 года назад +1

    King kong

  • @gamechangerstz257
    @gamechangerstz257 4 года назад +1

    Linex kasusa maana tunaongea na mteja anatupanga pia ndo kafanya li'interview liwe lirefu mikucha michafuuu!
    Sauti linajirudia rudia rip clouds

  • @hamisipeter9636
    @hamisipeter9636 4 года назад +2

    Huo uimbaji wa chid nmecheka kafal...!

  • @cassiangeorge9746
    @cassiangeorge9746 2 года назад

    mnazingua mnaktoa saut ya nn wazima watyu najua u knw wat am seying

  • @hamisipeter9636
    @hamisipeter9636 4 года назад +1

    Jaman mkitaka kumuhoji chid anatakiwa awe pekeake maana akiwa na msanii mwngne chid hampi mwenzake nafac ya kuongea anataka kuongea yy tu nmecheka chid so pw jmn anajua kujbu maswali

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 4 года назад

    Man, he was stoned! Naiwe bangi tu tafadhali, usirudi kule.

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 4 года назад +1

    Sound imekaa kifala sana

  • @japhtv9858
    @japhtv9858 4 года назад +1

    Sound inazingua

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 4 года назад

    Kwenye sauti bado

  • @mashalamusicempire1158
    @mashalamusicempire1158 4 года назад +4

    Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @erickmoses6395
    @erickmoses6395 4 года назад +1

    kipindi kama hakina producer

    • @jumahaji2938
      @jumahaji2938 2 года назад

      Alafu wote kuanzia wageni mpaka host Ni walimu wa Sanaa na soundtrack mpaka sound inge man me nashindwa kowasoma 😀😃🤞🤙

  • @nasibdito2655
    @nasibdito2655 4 года назад +3

    Cloud mbna muna sehemu mbya sana ya kufanyia watu interview ndonin sasa tafuteni sehemu au iyo iyo mutie mazaga zaga tuuu mbna muko kilokalii sanaa nyinyi munafelii wap🤣🤣

  • @isayagangster1048
    @isayagangster1048 4 года назад +1

    Kah jombaa chid ni kivuruge aisee..

  • @mwl_mhuli
    @mwl_mhuli 4 года назад

    Sound mbovu

  • @japhtv9858
    @japhtv9858 4 года назад

    Miiki zenu azijakaa fresh

  • @igiranezajoseph5508
    @igiranezajoseph5508 4 года назад +2

    Mbn anahojwi chid pekee yk

  • @halfanihaji2650
    @halfanihaji2650 4 года назад +1

    Bangi nying

  • @malcomadam8399
    @malcomadam8399 4 года назад

    uyu jamani ameacha Kula sembe

  • @mugadimon3563
    @mugadimon3563 4 года назад +2

    Kingkong is back

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 4 года назад

    Chidi beenz weeeye ni wa kwanza 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂 walahiii

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 4 года назад

    Sauti ya chidiiii Doh 😀😀😀

  • @ahmadilukanga3554
    @ahmadilukanga3554 4 года назад +1

    dah chid ataniua

  • @khassanngongongo2921
    @khassanngongongo2921 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 oya babuu cku nyengine mlete chid na T ID Tuchekesanaaaa@😂😂🤣🤣

  • @thomasnchama1892
    @thomasnchama1892 4 года назад +3

    Chid anafeli sa badala ya kutulia ufanyiwe interview unageuka muongozaji

    • @jumahaji2938
      @jumahaji2938 2 года назад

      Chidbenz show 🤣😂😀😃😄🤞🤙 Rashidi mivabo tenaa 😂😀🙂🤣😃🤙

  • @deedollarsdeedollars9909
    @deedollarsdeedollars9909 4 года назад +1

    #lnex_Isia kal )

  • @stuartson90
    @stuartson90 4 года назад +1

    Nikushauri tu mtangazaji jaribu kupunguza mihemko,, unahangaika kama umepaka chachandu makalio.. Unaongea haraka kama umekula mbilimbi.. Kipindi kizuri Embu Tulia kwenye kipindi uliza maswali kimpango.. Ikiwezekanaa andaa maswali ambavyo ungependa watu wajue kuhusu msanii. Chid lazima akuzidi hapo maana humuhoji vitu vya msingi.. Huyo jamaa High Q yake ipo juu so ukichangia na anavyotumia..

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 4 года назад +1

    Mtu Msenge sana 🤣🤣🤣🤣 eti story za zamani sitaki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @tumainidoctor2978
    @tumainidoctor2978 4 года назад

    Sound haiko poah

  • @amosinyamwanji2846
    @amosinyamwanji2846 4 года назад

    Chid popote ulipo wewe ndyo baba lao

  • @deedollarsdeedollars9909
    @deedollarsdeedollars9909 4 года назад +1

    #chd_uko Xaf )

  • @daudhasan6533
    @daudhasan6533 4 года назад +1

    Design anauza sana ma'ring tone haaaahaaaa haaaaa Young Thug (Country Boy)

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 4 года назад

    King Kong

  • @denismartini287
    @denismartini287 4 года назад

    Chumaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @officialt-starboy9343
    @officialt-starboy9343 4 года назад +1

    Boresheni sound sometime haisikiki vizuri

  • @malcomadam8399
    @malcomadam8399 4 года назад

    oya chuma kaacha kutumia mbandandu au

  • @patrickndayisaba5340
    @patrickndayisaba5340 4 года назад

    Chid muambie akat kucaa...zinaucafuu ndaniak 🙁

  • @hushbtz3310
    @hushbtz3310 4 года назад

    Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html kumsikia mshabiki wa chid

  • @fahadykabuhaya8994
    @fahadykabuhaya8994 4 года назад +1

    Cheed kaanza kunenepa Sasa Mambo ndo ayo

  • @The_imans
    @The_imans 4 года назад

    😂😂😂😂

  • @saidmwalim1656
    @saidmwalim1656 4 года назад

    Babu hipo kipindi akae mchomvu ndio atakimudu

  • @sanjookhan2120
    @sanjookhan2120 4 года назад +1

    Chiddy commandoo