LIVE: Shajara ya Chid Benz na Babbie Kabae | Angalia Alivyoangua Kilio
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #ShajaraCloudsTV inamleta mmoja ya wakongwe wa muziki wa Hip Hop Tanzania Rashid maarufu kama Chid Benz ambaye anapiga stori na Babbie Kabae kuhusu mambo mbalimbali
You wont skip sny of his interview!! This guy is goat💯🙌🏼🔋
Matunda yao haya maana karibu wasanii wao woote waliowaibua waliwaingiza kwenye ulaibu wa madawa ili mzunguko wa pesa urudi kwao wao wenyewe nakuwaacha wasanii wakipotea na kufilisika vibaya kwakumalizia pesa walizochuma kwenye matumizi ya madawa
This interview deserves an award so raw & real. The lady interviewer is extremely patient 👏 🩶May God heal him , protect him, and bless him all day of his life. In Jesus's name, Amen🙏
It needs lot of concentration to understand this Man...Best interview Ever qnf it will take time to get this...Mungu amjalie Chidi he is so real
Spiritual Interview 🙏🏿,vingi apo ni darasa la kusoma tena kwamakini kuliko skills zakufanya mziki mana kuna maisha yakuishi tofauti na maisha ya sanaa kwa kila mwanadamu
Siku moja mfanyieni interview Mama'ake Chid,Maza atakuwa ana mengi sana ya kuongea maana sijawahi kusikiliza interview ya Chid akamaliza bila kumtaja Mama'ake
Huyu kaka anaakili sana kwa sisi waelewa yaani mjaribu kusikiliza vizuri anaongea vitu vya msingii sana mungu akujalie chidi🙏
Anabalaaa na akili kubwa
Kitu nimegundua kwenye hii interview BABBIE KABAE ni true healer kwa Chidi Benz,,,, yaani akipewa time awe na Chidi inaweza msaidia Chidi Sana. This is more than an Interview. Its a point of change sio kwa Chidi tuu,, hata kwa wote wanaoifatilia na kusikiliza hii. Tag wasanii wote wajifunze
Sema kufanya mahojiano na huyu mwamba yataka moyooo uweee mtulivu sanaaa🌞🌟🌞🌟🌟🌟🌟 mwamba ana mengi sana japo ana maumivu mengi💔💔🥺🥺🥺
Yeah!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tatizo lake alijiona hakuna raper mwingine na akawadharau waliomweka na kumsapot wakamtema so hakuamini kama hawezi kufanya tena.
Dada anajua Sana kazi yake Yan online medias presenters wangemuona wangejifunza Kwa huyu dada yupo calm na anamsikiliza japo chid anaonekana kweli kalewa lakin dada yupo very professional .... Dada Mungu aendelee kumbariki sana
Sure 😅
😂😂 hapo tumbo joto jamaa haelewekagi huyo dada kajitahidi
Chidi benz you are so bright my brother. May Allah guide you to the right path
👍
Moja Kati ya interview Bora ya yenye machungu, furaha na uhuzuni
SHAJARA iko special sanaaa Asante babiee kabaya Mungu akubariki pamoja team ya CMG♥️🔥🔥
Hii ilitakiwa iwepo na audio yake kwenye platform kama vile podcast mbalimbali watu bado sana hawajajua kutumia mitandao aisee
Una uwakika aipo kaka fuatilia mitandao ipo kabla weee kuwepo unacho jua wewe jua wapo wanaojua zaidi
Hii ni Moja interview bora sana
He 's so really .... nakupenda chid benz mungu akutunze brother ... napenda interview zako ... napenda ngoma yako na mzee yusufu💥💥
Best interview ever Kuna watu ni blessing na wanajua kazi zao Babe kabaya the best cz kajua kucheza na saikolojia ya child mpk ikafanikiwa
BEST INTERVIEW OF THE YEAR 2023 . so imotional.
#KingkongChuma 🐐
Babbie kabae 🙌 👑.
Nimemiss clouds 360 Sam Sasar, Bila kumsahau Hassan Ngoma 🔥
Kazungumza mafumbo mengi yenye maana kubwa sana, Kila kitu kina sababu katika maisha ya kila mtu i hope kila kitu kitakuwa sawa
dada host apewe maua yake yuko vzr sn na chid anaehitaj msaada mungu amponye🙏🏼
Dear God if it pleases u, please let this soul heal🥹 Best interview, na hamna mtu anaongeaga vitu vkubwa na vya mafumbo sana kama Chid Benz namuelewa sana huyu bro💪💯
🙏, dada kabaye kwa hii enterview unastahili kuombewa sana kwa mwenyezi mungu aendelee kukutia nguvu na ustahimilivu mkubwa sana pamoja na confidence kubwa sana dada,pia nimejifunza vitu sana kwenye hii enter view..akhasante mangu..
Babie hongera sana, Angekuwa mtangazaji mwingine uvumilivu ungemshinda. Ila umehandle vizuri sana, best interview
Ni interview moja kubwa ya huzun, kusisimua na kujifunza licha ya maisha anayopitia kwa sasa
Before he started to cry 😢😢😢, I cried....... touching story, pale alipobeba ndoo, mama yake akalia sanaaaa
Chid Benz alimuumiza Rashid apa ndio utaamin kama huyu jamaa ni Genius, that the reality ya maisha yetu tunayoyaishi USHETANI NDIO UNAUMIZA UHALISIA WETU Ukirejea kwenye vitabu vya dini Ndio utaelewa ChidBenz amemaanisha nini.
Bado anahitaji msaada...bado Chid anahitaji kuwa free na matumiz yoyote yale ya vilevi,ni step kubwa amefanya ya replacement ya matumiz ya pombe,sigara na bangi kutoka kwenye Unga...lakini bado anahitaji kuwa huru na matumizi yoyote yale ya vilevi...ukimwangalia unamwona ana msongo sana wa mawazo,kinamfanya akimbilie huko
BEST INTERVIEW OF ALL THE TIME, HERE IN TZ
That sad! also I cry. God protect U Chid
msaada mkuuubwa mtu atakaompa chidi si kumpa pesa,,,ni kumuombea Kwanza ili kumnasua ktk kifungo Cha mihadarati,,,akifunguka akiwa free kabisa ndipo atakapoweza kujisimamia....kifungo Cha ulevi kina mtesa na kinatesa sana familia zetu.....Kuna watu wapo kwaajili ya kuchukua nyota za wenzao wanatumia na wanatajirika wao na kuwatwisha wenzao mizigo mizito kama hii...Kwa jina la YESU KRISTO chidi ufunguke
Yaani maisha haya kwa kweli,Mtu akikudhulumu ,akikugongea mke wako sijui wala usipate tabu kumpiga wala kumroga Muombee kwa Allah avute Unga tu halas
Dah we jamaa ni Noma umejuaje hio kitu uliwahi kupitia au kuna ndugu waliwahi kupia katika familia yako
Shajara Big salute on you kwa sababu ni kipengele kufanya interview na king kong
😂😂😂 umeona ee
Kujudge vitu sio vizuri ila kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza pia nyuma ya pazia kuna mengi ila Chidy ana IQ kubwa sana Mungu amsaidie🙏🏿
Kiukweli ukisikiliza hii interview ni very spiritual kunavitu vingi vya sirini katika mziki vya utumwa na ni ngumu kuviepuka ukiwa katika Hilo eneo na anaamini kwenye mziki unaweza ukawa kiumbe wa ajabu tofauti na mtu wa kawaida kuna influence nyingi sana katika mziki zinazoweza kubadilisha maisha yako na ukawa the whole different person ni huzuni sana😢
FA, AY,FIDQ,MIKE T N.K hawajabadilika haya ni maisha bunafsi
@@mackjr5291 ndo maana nikasema mziki unasiri kubwa sana na unavitu vingi ambavyo ni influence ya kukupoteza ni ngumu sana Kila mtu kuweza ku manage bila shida mfano Ray c ,dudu baya na wengine wengi wamepoteza muelekeo kwa hizo influence unaweza ukamlaumu ila kasema ukweli kwamba unapokuwa mwanamziki tena staa unajiweka karibu na majaribu mengi tena mabaya kuyashinda inahitaji nguvu ya ziada
@@mackjr5291walikubaliana na hali bro ila industry ya mziki ina mengi
King Kong the best ever👊 best interview
Naiyona shajara kufika mbali nakua kipindi pendwa pale clouds tv shukrani sana redio ya watu kwa ubunifu
One of the best shajara interview...he still got it... anahitaji msaada kidogo tu atarudi kwenye mstari.
Sauti na visuals haziendani. Clouds ilivyo station Kubwa wameshindwa kazi. Mumezingua sana
Jamaa yupo very smart kichwani ila ukiwa na Mapepe huwezi kumuelewa Mr.Chidi Beenz
Chied kazungumza kwa mafumbo sana! Yahan Rashid alimuunda child Benz harafu child alimuumiza Rashid jamaha anaongea point sana
Kabae your the best 📌
WENYE AKILI YA KAWAIDA HAWATAMUELEWA #ALLTHEWAY FROM 🇺🇸🫡 # CHIDIBENZ
Wasanii chipkizi mnao shobokea ustar msikilizen chid Benz Kwa jicho la pili kuna kitu anamaanisha ni fumbo kubwa
Nimejifunza kitu moja..ukiangalia uku mtaani tukiwa wadogo kulikua na wale watu walikua wakubwa zetu na miaka kama 20 ama Ata 15 ..miaka ikienda pia sisi wenye tulikua wadogo tunakua tunatoka mtaani wengine wanabaki..sasa waliotoka mtaani wakaenda wakajituma na pia wakahama mtaani wakaanza kuishi mahali afadhali,waliotoka walienda wakakutana na watu tofauti,tajiri,maskini na hata middle class.. kwa Hawa watu tunakua challenged tunajituma ,ukipata mafanikio unarudi mtaani watu wanaanza kuongea vibaya Ata wale walikua wakubwa zako..wanashangaa inakuaje uyu jamaa amefanikiwa wakati sisi tulimuona akiwa mdogo apa mtaani kwetu..hii ndiyo kisa inamkuta chidi Benz,anaona watoto walimkuta kwa game wako na mafanikio makubwa saana kumliko ndio maana unapata anakua na stress saaana anashindwa mbona akuekeza wakati akiwa apo juu..Kuna mengi ya kujifunza saana kwa uyu jamaa...love from kenya
Kweli hataki kukubaliana na hali
great of all time chid benz ana powerfull word kuwahi kutokea
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿 chidi you are the best rapper ever for ever 🎉❤❤
WANAJUA CHID AKIAMKA ALIPO WATAPOTEA NA NDIO MAAANA DAILLLY WANAMSHUSHA😢😢😢😢😢
Ukiwa unaongea ukweli dunia aikutaki inataka watu waongoo😢😢
hapa Anaongea Rashid aliyebadilishwa kuwa chid benz umarufu, Madawa ya kulevya, yamemuathiriRashid nakumbadilisha Maisha yake ambayo yamebadilishwa na nashetani Rashid anajuta maisha yake yanyuma yaliyojaa maumivu mengi.
Kama kuna interview ambazo zitaishi na zinastahili kupata tuzo this is the one hakuna best interview kama hii na kama kuna atae bisha ataje kwenye reply. Bt pia kumuhoj huyu mtu inahitaji akili nyingi mnooo n hongera sana Kabae ur the best kwakweli tume enjoy. But not only that how can we help this GOT kurudi kwenye hali yake
He's still smart. Majibu/maelezo yake yaeleza alot hata kama anaashiria hayuko sobber while doing this interview.
This guy had ACCURATE ANSWERS all the way in this interview.
Amemjibu mtangazaji kiufasaha mwanzo mwisho.
Mtangazaji "Unatakaje ili usiombe pesa."
Chidi: "Siombi ambaye sijampa."
Reminding all those ambao wamewahi kupata faida kwa njia moja au nyingine kupitia kazi zake za kisanii wamsaidie.
Huyu kijana kama ingelikuwa taifa lenye maono na watu wake basi mtu kama huyu Chid ilitakiwa wamsaidie
Unavyo fikiri chid ajawahi kusaidiwa?
Sikio la kufa hilo shida hana nidham ujeur ujuaji
@@kudoja_fish_shop9592😂😂😂😂 eti sikio lakufa sio mchezo
Sure kaka umeongea sana
Asaidiw mara ngapi bwana
So genius na anamaumiv ndani yanayomuumiza taratiiiibu daaah inauma sana allah akufanyie wepesi chid benz kwenye mapito unayopitia
Madawa ya kulevya! Madawa ya kulevya! Madawa ya kulevya. Yaani mmmm. Inauma sana kupoteza vijana wenye vipaji kwa sababu ya madawa ya kulevya. Nashindwa hata kufikiri. Tulaani matumizi ya madawa ya kulevya.
Babbie big up sana, ♥️ mtu mwenye communication skills ya kawaida hawezi kufanya interview na mtu wa hali hii. I just salute your level of outstanding level of communication skills.🫡🫡
Kiubinadamu jamani wale ambao wameshirikiana na chidi jaman please nyimbo zake bado zina heat mkipata iyo miamala mkumbukeni jamani kumbukeni kuwa amewatoa maana kipindi hicho alikua moto na mpaka sasa bado tunasikiliza nyimbo zake ila nimempenda mtangazaji umemuweza na pongezi kwa chidi kwa kukili nampenda rashidi sio chidi benz❤
Chid he is one of the best artist hakuna msanii mwenye uwezo kama chid
Chid anataka msaada tena msaada wa mwanasaikolojia wa hali ya juu then akipata mtaji arudi kwenye game k
I swear east africa itasimama
Kurudi kweny game hawez kuwa km zamn dada
Haswa
@@fadhiliyusuph5195unaongea hivo we kama Nani choko wewe
chidi iq kubwa sana bro nataman siku moja mungu akutoe huko
Chuma chid benz ,kichwa imejaa madini kumuelewa inabid utulie sana
Mioyo ya watu imejaa machungu na mazito kuliko tunavyowaona. Kuna mengi behind the front cover. Maisha ni kama movie tuliowengi tunaona script ikiwa tayari kwenye screen nyuma ya pazia Mungu ndio anajua
Life is spiritual, if you know you know, music life is all evile
Chid amekuwa sehemu ya kuwapa watu content na kufaidi na yeye akibaki alivyo.
Kumbe mama yake yupo, nashauri wangeanza na kuongea na mama yake kwanza huenda anajua na anamuelewa sana Jamaa dah! Wekeni nguvu kwa jamaa asee kuna kitu hakipo sawa
Dah hiii interview hii dah
I think hii ndo interview poa kuwah kutokea 🥲🥲🥲
Taifa linapoteza jitu moja lenye akili nying mno😢
Kweli
Chid Msanii ninaempenda from the scrach.pamoja na changamoto zote ila Akili yake bado iko vizuri.madawa sio Mazuri Mungu Asaidie aache bado Tunampenda
❤ huyu mwamba ni msanii ambaye sijawahi irusha interview yake huyu mwana aaaaa anabalaa
Chidy ana maumivu makali.... yan ayavumiliki muachen tu awe ivo... bebi n professional mtangazaj mwngne hamuwez chidy... uksikiliza utagundua chidy anasauti ya rohoni...
The skills that uyo mfanya Presenter show is out of the proffional🤍 salute.
Best interview ever
Respect to u chid...best rapper kuwahi kutokea...
Good interview.. Ila angekuja ajalewa ingekuwa Bora zaidi 😢😢 coz uaga sipitwi na interview za chiddi coz yupo so positive.. and msema ukwel Ila dah mwana kanitoa chozi kwa kwl
The best interview of shajara #Chiddbenz
Interview mbovu sauti mbovu kahojiwa MTU mbovu kalewa
@@VictorNgalawa Rudia kuangalia then sikiliza vzur, shida so kulewa je anayoyaongea yamelewa au yameeleweka.
@@alibubamwilomba6262you reply well
Mungu akiamua kumnyanyua chid benzi arudi kama zamani inawezekana mbona kwa nyanshiski imewezekana ni suala la muda na subira tu kumuombea
Kabisa
nyashinski kwani alifanyaje?
Chidi badilika kaka taifa linakuhitaji😢😢😢😢😢😢madawa yanakupotezaa
Dah,chid Benz Bado anahitaji msaada jmniii ila jamaa unaakili sana ✌️✌️✌️✌️
Wakumsaidia wanamfanyia interview ili wapate viewers
Huyu Jamaa anahitaji msaada mkubwa tofauti na mnavyofikiria
Kweli
It's a GENIUS
Hii sio interview kwangu ni movie
Wala unga wavuta bangi walevi hua wana maneno ilaa mmmmhhh pole kwake mungu atulindie watoto wetu mbona Ray c aliamua kuacha katulia uyu kashindikana
Daah napenda sana anavojibu interview chib benz kma husikilzi uwez kuelewa
❤this interview chid anaakilo kubwa Sana daaah😢😢
Chidi Bado anahitaji usaidizi' Mungu amsimamie sana 🙏
Self recognition ndiyo wengi tunakosa ndugu, hata tupewe nn kama hatuamui kutoka ndani ya mioyo yetu hakuna kitu
Chid ana akili kubwa sana. Maana kubwa ziko katikati ya story zake
Hii imeniuma sana ila hata kama hatuna cha kumsaidia tumuweke kwenye maombi yetu kila siku😢
Kabisa has alot of pain , na vile pia watu wanamdhulumu nyimbo zake
NIMEMPENDA MTANGAZAJI ANA CONFIDENSE SANA😂😂😂MAANA KUNA MDA UKU NILIKUA NAHISI CHID ATARUSHA BANZIII
Yani apewe maua yke, me nisingeweza😂😂😂
Chidy kwanini anakata tamaa sasa😢😢😢
Best unscripted interview! Dada umejitahidi kwa Chidi the G.O.A.T 🐐
CLAUDS HEBU TUMIENI CAMERA NZURI BASI!! MBONA NYIE MKO LONGTIME SANA KWENYE MEDIA MNAPITWA NA MEDIA ZA JUZI TU ...
Mwenye mawasiliano ya Chid Beenz naomba anipatie hapa. Asante
Nampenda Chidi mwema kweli
Chidi benzi is the Greatest of all ❤❤❤❤
Pongezi zangu kwa mtangazaji kwa elimu tu bila kipawai usingemwoji na mkamalza salama mungu akuweke🙏
Uyu kaka ana akili sana jamani. Mungu amponye jamani
Chid anahitaji msaada anashinwa tu kuomba #msaadakwachid
Best interview 🙌🏽🔥
Siopl
Movie la kutisha sana hili
Interview Bora
Chidi kapagawa na huyu demu plus alichokunywa ama vuta ndo maana yuko hivi😂😂😂. This is a man love😂😂😂
Big no HUYU Yuko kwenye tiba ya methadone ndio maana ana kuwa hivyo
Dah mchizi yuko high vibaya
😢Wenye upeo wa uelewa ndio humuelewa chid anayo zungumza ikiwa sio muelewa utamuona chizi ila unae muona chizi basi jichunguze ww ndio chizi si kwa ubaya but chid huwa nakukubali sana kupita maelezo ila walimwengu dunia hii ni ndogo sana mnapokua mkitendendeana mabaya jueni ni ufala tu😢😢😢😢
Umejitahidi sana mtangazaji 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 kwa kweli
Bonge la interview Rashid Akil kubwa sana
DADA UNAJUAAA KUISH NAO❤️🙏🏾
dah aisee
Hongera dada kweli naamini.mwana mke ndio kilakitu kwa mwanaume yaani umemfutalia jamaa kala kona hadi machosi ujue tayari.shetani kashaa ondoka mungu kaingilia kati.