SHAJARA YA COY MZUNGU: NIMELELEA NA MGANGA, SIKUTAKA KUKAA KAWAIDA, CHURCHILL ALINITABIRIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • SHAJARA YA COY MZUNGU: NIMELELEA NA MGANGA, SIKUTAKA KUKAA KAWAIDA, CHURCHILL ALINITABIRIA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 71

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 17 дней назад +21

    Sema Jamaa ni bonge Moja la story teller. Unaweza kumsikiliza hata siku mzima usimchoke..👍

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 дня назад

    Inshallah na mimi nikilud nikuja kutoa historia yangu clouds Inshallah 😢😢

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 16 дней назад +5

    Huyu jamaa hata aongee mwaka mzima hachoshi anajua sana huyu story teller

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 17 дней назад +8

    May you're pockets never lack.. May the Almighty God bless you ❤❤❤lots of love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️❤️🙏

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 дня назад +1

    Nataman kumuona nasri jamn daaaa jamn 😢

  • @HadijaSalum-kf6gy
    @HadijaSalum-kf6gy 17 дней назад +6

    Baada ya kukujua nimeskia mengi kuhusu ww na nimejifunza mengi,mungu akubariki Ili uwe daraja kwa kila mtu❤

  • @Sir.Patrick
    @Sir.Patrick 16 дней назад +4

    Nimegundua jamaa anabahati Ya Kuwa Na Ndugu wenye Mtazamo sawa Na yeye. Hongera

  • @husseinanyitike3673
    @husseinanyitike3673 16 дней назад +3

    Niwaza ni comment kitu lakini nimebaki na maumivu kwenye kifua changu only nitachoweza kusema
    MUNGU MWEMA SANA

  • @hadijamcha7824
    @hadijamcha7824 17 дней назад +4

    Hii Shajara haija isha coz bado hatuja jua kama yule kaka yake mkubwa walimpata wapi?

  • @ezekielgarrans2719
    @ezekielgarrans2719 15 дней назад +3

    Nazani watanzania tumejifunza kitu unapo ona mtu anapambana plz usimvunje moyo hata kama unaona anafanya kitu ambacho hakipo kwenye kiwango unacho kitaka plz mpe mda usimu mvunje moyo

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike5013 5 дней назад

    Daaah bro u the best,... Kupitia wewe Nimejifunza kitu, and I loved the way unamuappreciate mungu Kwa Kila jambo pia nimeona umuhimu wa familia kaka au dada kushikana pamoja Kwa nyakati zotee, thanks so much and God bless you 🙏🙏🙏🙏

  • @ostavinakitalika3084
    @ostavinakitalika3084 4 дня назад

    Nilijua Nina historia ya maisha kumbe ni title ya maisha dah it's so impressive and sad story😢

  • @daudimkuki8018
    @daudimkuki8018 10 дней назад +1

    Story ya wewe na dalali it’s was a miracle bro.. absolutely its was miracle 🙌🏻

  • @mwanamiskirangare3429
    @mwanamiskirangare3429 2 часа назад

    Du pole sana

  • @imanimwakyeja4184
    @imanimwakyeja4184 13 дней назад +3

    Daaa nimecheka sana kwenye point ya mchungaji. " Mungu akikuinua, usijiinue" 😅🤣. Mchungaji imani ilishuka 😂

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 17 дней назад +3

    Mbona coy ajamaliza tunaomba PART 3

  • @fakihichitanda2864
    @fakihichitanda2864 25 дней назад +4

    Story like a movie,respect kwako

  • @joshuakimambo2765
    @joshuakimambo2765 16 дней назад +1

    Anaweza kutengeneza Isidingo yake kabisa. All in all Mungu anajua namna ya kuwatetea watu wake

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 3 дня назад

    Story nzuri sana

  • @stafftortilis-en5dn
    @stafftortilis-en5dn 14 дней назад +2

    Keep it up bro

  • @leahswedy4895
    @leahswedy4895 17 дней назад +7

    Very interested story ... ukitoa kitu kumpa mtu wakati na wewe huna huo sio msaada ni upendo❤.. usisubiri uwe tajiri ndio usaidie wengine ... nimejifunza vingi😊

  • @salashbooben7622
    @salashbooben7622 14 дней назад

    U the real soldier brother.. mungu akubarik hadi uchoke mwenyewe.. Skujua kua mama mawigi ni agent wa CIA😁🙌🙌 mega S/O to her

  • @remeniurasa4866
    @remeniurasa4866 19 дней назад +5

    😂😂😂😂 Idris tukutane mahakamani🙌

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 16 дней назад +1

    Jmn Mungu yupo, tuendlee kumwamini❤❤❤

  • @evergreenmushi2171
    @evergreenmushi2171 17 дней назад +1

    Mpatie shajara ingine he has a lot to tell 😇

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 26 дней назад +4

    Nilikuwa naisubili sana.

  • @mourricetullah6519
    @mourricetullah6519 10 дней назад +1

    This interview is woooww😂😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 17 дней назад +1

    Nimejifunza ktk maisha wote walionyanyuka wamepita magumu mno kikubwa kueshim Kila mtu,kuwa na heshima ya pesa hata kama nikidogo

  • @user-sb3vt1yh9s
    @user-sb3vt1yh9s 26 дней назад +3

    Asante dj na like utapata

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 20 дней назад +2

    Salute bro Coy 🎉🎉🎉❤

  • @qualitymediaproduction
    @qualitymediaproduction 16 дней назад +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 13 дней назад

    Tuendleeee kuomba Mung nakupmbna Mung yupooo❤

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 3 дня назад

    Yaani sichoki kusikiliza

  • @christerChriss-jn7vm
    @christerChriss-jn7vm 25 дней назад +2

    I real apriciate that guy

  • @user-sq6sl3tb3j
    @user-sq6sl3tb3j 9 дней назад

    Kweli mwenyezi mungu Amtup.mjawake

  • @hildaombay6520
    @hildaombay6520 12 дней назад +1

    This is the best

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 21 день назад +3

    Mm nilijua coy mzungu mkenya

  • @aziza9093
    @aziza9093 8 дней назад

    Natamani isihisha😢😢

  • @daudimkuki8018
    @daudimkuki8018 11 дней назад

    Tunaomba sehemu ya 3 please

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 16 дней назад

    Hii stori imeniliza saana , haya maisha achana nayo

  • @salashbooben7622
    @salashbooben7622 14 дней назад

    Mpeni shajara nyingine kuna point za msingi ambazo hakuzizungumzia kiundani

  • @user-lo6gd4tg2n
    @user-lo6gd4tg2n 21 день назад +1

    Naona bado hajamaliza, naomba arudi tena aisee

  • @mjwiniPaul
    @mjwiniPaul 14 дней назад

    God akubless sana brooo

  • @user-bu9wj5pi3t
    @user-bu9wj5pi3t 13 дней назад

    Best storytelling

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 12 дней назад

    A good story teller 🙌🏾 very interesting

  • @remeniurasa4866
    @remeniurasa4866 19 дней назад +2

    Respect kwako @Coy_mzungu

  • @anseelatan7718
    @anseelatan7718 9 дней назад

    Nimekumbuka ulikuwa ukidasi kanisa la shalom home

  • @MaulidiNanga
    @MaulidiNanga 11 дней назад

    Mungu akupe maisha marefu bro na uwezo wa kuendelea kusaidia watu zaid

  • @NyamkaEnterprises
    @NyamkaEnterprises 24 дня назад +1

    Tunaomba part 3 ya coy

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 16 дней назад +1

    Kutokana na hii story ya Maisha yako Bro coy nazidi kuamini kukata tamaa ni mwiko

  • @judithnyembela3027
    @judithnyembela3027 13 дней назад

    Hongera sana Coy una story ya huzuni sana na furaha sana. Mwacheni Mungu aitwe Mungu!

  • @AhmedRoro-px5iq
    @AhmedRoro-px5iq 16 дней назад +1

    Salute 😢

  • @francismwakalile2310
    @francismwakalile2310 11 дней назад

    Very inspiring

  • @kamigwasfamily1178
    @kamigwasfamily1178 11 дней назад

    God is good❤

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle 16 дней назад +1

    Hiyo ya terehe 28 nilihiyona

  • @kigogosmart4121
    @kigogosmart4121 16 дней назад +1

    Bado kuna shajara ya tatu hajamaliza

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 16 дней назад +1

    ukidasili kwa kimalkia: *WHITE COY'S DIARY: I WAS GROWN UP WITH A MEDICINE, I DID NOT WANT TO BE NORMAL, CHURCHILL FORECASTED ME*

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 16 дней назад

    Duuh nimejifunz meng mnoo

  • @mwaka43
    @mwaka43 24 дня назад

    Good Show!!!!!

  • @JacklineKaaya-cs4qd
    @JacklineKaaya-cs4qd 15 дней назад

    Tuendelezeeee bhn

  • @fakihichitanda2864
    @fakihichitanda2864 25 дней назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @HeriethHaule-ct9gx
    @HeriethHaule-ct9gx 11 дней назад

    Kafanana na nyanshiski

  • @matchdaygoals8640
    @matchdaygoals8640 24 дня назад +1

    Tumesubir sana 😄

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 25 дней назад +2

    Mbona colour mbaya sana clouds mnakwama wpi

  • @neemachavala6553
    @neemachavala6553 16 дней назад +1

    Kumbe yule ni mama yako

  • @judithmande7026
    @judithmande7026 11 дней назад

    tunataka kumuona nasrii.

  • @remeniurasa4866
    @remeniurasa4866 19 дней назад +3

    Tunaomba shajara ya tatu na @Coy_mzungu