Koi weka bendi ichangamshe unapomtambulisha msanii (angalia kwa churchhill)hata msanii anapotoa joke kali pamoja na makofi na shangwe za watazamaji drums za bendi zinampa support,natumaini umenielewa
Jol master apo kwa stage u doing nothing imagn umekam kuchekesha lakin n ww unacheka mwenyewe u using alot of energy ii n stund up comedy imagn watu uliend kuwatafuta kule village wanakushinda c ucopy ata ur mentor coy
Jol master ni kama vile Chriss Mugalu 🤣 kiwango kimeisha lkn kocha anamchezesha, sasa huyu Jol master na yy kipaji kimeisha ila Koy anamchezesha hivyo hivyo huenda na yy ataanza kufunga soon
Jaman coy msimlaumu sana Kipaji cha kuchekesha ni kigumu sana jaman na script za kuchekesha huwa zinapotea mara kwa mara so msimlaumu sana jol master ni error ndogondogo 🤨🤨Atabadilika i believe Jol master fanya kwli bro fanya kitu audience wanapenda✊✊
Uyu Jol master hana tena kitu kaisha kabisa yn
Joel master jitahidi kurudi kama mwanzo nahis kama umechuuja sana sikuizi bt nakubari sana
Koi weka bendi ichangamshe unapomtambulisha msanii (angalia kwa churchhill)hata msanii anapotoa joke kali pamoja na makofi na shangwe za watazamaji drums za bendi zinampa support,natumaini umenielewa
Coy ninachoomba mtutolee huyu joel master toka anunue gari na kipaji kakiacha hukohuko kwenye gari yake.
Sema tu mnamategemeo makubwa kuliko alivyo yeye
Joel master hakuna kitu now
Mwanangu jol master content saivi hauna kabisa
Dogo sele nakupenda bure👌👌
Huyu Joel master hamna kitu akalale tuu
Mbona jina la Mc Eliud halipo kwenye orodha,,Toa la Jol master weka Mc Eliud
Brother coy nipo Arusha naomba unisaidie Nina talent ya kuchekesha
Tuchekeshe hapa kwanza halafu tutakusaidia kumtag
Njoo ofisini j3
Anza huko bro utajulikana tu, mana mtu anajiuza mwenyewe si work hard
Jol master ameshatuzoea naona sio kutuchekesha tena ila kutupigia stor tu
Jol master apo kwa stage u doing nothing imagn umekam kuchekesha lakin n ww unacheka mwenyewe u using alot of energy ii n stund up comedy imagn watu uliend kuwatafuta kule village wanakushinda c ucopy ata ur mentor coy
Jol master comaa na Jua Kali ukache mzagamuage Ever tu
Wapi yupo deogratius, yule jamaa anajua sana
Mwamba mkal sana co akina jol master
Jol master anakushinda dogo sele saivi
Master umeishiwa hamia kwenye siasa comedy haujui
Kwahyo sisi waha tufanyeje sasa 😄😄😄
Jol master mpiga kelele tu
Jol Master Hamna Kitu!
😀😀😀
Umeon ee
Jol master ni kama vile Chriss Mugalu 🤣 kiwango kimeisha lkn kocha anamchezesha, sasa huyu Jol master na yy kipaji kimeisha ila Koy anamchezesha hivyo hivyo huenda na yy ataanza kufunga soon
Huyo jamaa anachekesha mno sikiliza kwa makini
Joy master njoo ifakara mpunga unalipa
Comedy inalipua haitaji kutega sikio
Jol master anazingua
Joh master hamna kitu kabisa
Eliud uko Bomba sanaaaaaaa brither
Hivi huyu master wanini
Joly master unazingua now days
Eliudi is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Coy mwishoni Umeuwa🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Dogo sele apaewe hexhima zake anaweza sn kiufup anakipaji m namkubar sn
😆😆😆😆 congrats sana😆
Jol una ufala 🤣🤣🤣🤣
Jol master Hana kipaji,ana force t
hakik
Jol Master Ni noma👑👑👑
Jol master hajawah kunichekesha
Jol ongez matelial kipaj kinakuacha hcho saiv unatupgisha t stor sio kutuchekesh tena
Odiius wanafki
Huu Jay Vipi?story ao kuchekesha? Tafuta material 😐 kuja ghetto uri quest bodaboda?mnarudia Rudia 2
Eliud Ndo Amekuja Kuua Show Ameniacha Mbavu Zangu Zote Hazina Nguvu ILa Jol Master Leo Hamna Kitu Alichofanya Zaidi Ya Kupiga Story......
🤣😂🤣😂 Jamaa fala sana
Da eliud on fire xnaaa 🙏🙏
Hahhhh.Kumbe hiki kipindi bdo kipo sema hawakirushagi tena.
Jol Master Umeishiwa Unafikiri k-town kuna izoo ,hakuna boya apah tafuta content😅😂
Umeishiwa mbinu kuchekesha huwezi kaz kuwazungumuzia watu wa kigoma ety washamba mpuuz wewe
Uyu anazungumzia chui anajua kuigiza
Jaman coy msimlaumu sana
Kipaji cha kuchekesha ni kigumu sana jaman na script za kuchekesha huwa zinapotea mara kwa mara so msimlaumu sana jol master ni error ndogondogo
🤨🤨Atabadilika i believe
Jol master fanya kwli bro fanya kitu audience wanapenda✊✊
❤️❤️❤️❤️❤️
dogo sele
Jol master kelele tu
Dogo sele fundi
Jol master afanye mpango kwenye game content ni low quality sana
Jol master he needs to upgrade him self more bcz hana content ❌
Nchi haiendi mbele imehamia mbele we mpuuzi mmoko.
Jol umesahau sikuhixi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
Jol umeuaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Elidi
😂😂😂👍🇹🇿❤
🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾
😂😂