LINEX ANAYAFICHUA/ YA DIAMOND NA BABA LEVO/ MILIONI 10 WIKI/ ALIKUTWA NA BUNDUKI WIKI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #Story&Rhymes #Linex #S01EP04
Karibu kwenye #Story&Rhymes , kipindi cha burudani kinachokukutanisha na wasanii mbali mbali kufahamu mengi kuwahusu na kupata wasaa wakuwashuhudia wakitengeneza muziki live ndani ya studio huku wakikuonyesha kila hatua ambayo wao huitumia kukuandalia muziki mzuri.
kipindi hiki kinakujia kila siku ya Jumatano hapa hapa Dar24 Media.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Linex mmoja kati ya hazina kubwa ya muziki Tanzania , hongera sana Linex
Linex nimkali huyu jama, natamani awe super star Africa,, big up from Rwanda 🇷🇼
Mimi apa linex nilipenda unacho fanya na nikashawishika pia nikafanya changu. Now am big
Napendaga story za huyu mwamba haraf hachoshi for Lil nigga always yuko true✌️..
One love blood from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍
I like this guy! what a role model!
The original Sauti ya Africa
Interviews za Linex huwa nazipenda, huyu muha yuko real sana sema Dar24 hiyo background iko juu sana imemfunika mjeda tunamsikia kwa shida sana
kabisa mzee wang
Nakubali sana ndugu yngu
Mjeda mwakeye Big up na kwaminia sana
Huyu ni moja ya miamba mikubwa sana Tz,ambaye bado hajatupa vitu alivyonavyo
Daaaah jembe mzalendo sana
Pamoja mzee
Mjedaah 🔥🔥🙌
Linex unaweza kbsaaaaa. Ningependa kufanya filamu fulani na wewe sababu unafaa mno. Nduguyo toka Canada
Njoo ufanye na mimi
Yes bro nashukuru sana kwa interview
I LIKE THE WAY TUNAPATA MORE BURUDANI IN THE END….Guys here we go you have got my Subscription….👏👏👏👏👏👏 KEEP IT UP, 🙌🙌🙌🙌
Sauti kama Milliard Ayo
Sanaa Yaani mule mule hata sura kiaina Pia
Naipenda sana hii nyimbo....mazuri niliyotenda kwako hayaonekani woooh
Mjedaaa home booooooooy
Jamaa ana muiga milad ayo hadi kusema ok
Huo wimbo ninaupenda sana kumbe ni wako Linex
Noma sana
B-LEVO BA, mtalaam wa manyumba!!! Anasema kwamba wewe ni mweusi kama Late Dr. John Garang!!! Na mashavu, yako, ni meusi!!! Kweli kweli!!!
Voice amazing
Nyimbo nayo ipenda kaka kwahera natamaniiii niwe nahela
Linex umepambana Sana mzee away watoto wa Leo wanadeka sana
Unajua Sanaa broo 🔥🔥
badilini hiyo beat inaboa, sauti ya juu hata hakuna utulivu wa mazungumzo.
Nakubali sana
🙌TAMBWEEEEEEEEEE
Good intervie good presenter
Jamaika no problem
Jingo inakelele sana adi mtu unaboreka kusikia Yan daaa
Mjeda Always hauzimuliki
kabla ya mama HALIMA sisi mwana tunamsikiliza kitambo iringa
The background music is lousy!! Very annoying!!!!
Naungana na jamaa aliye sema unafaa kucheza filamu,
Backvoice
Kikombe kinahitaji maji
Mfalme wa leka dutigite
Milavyo bwana!!? Lini tena lango lango??!
Bang ,pomb
Ye bagabo muvuga amaki?