LINEX ANAYAFICHUA/ YA DIAMOND NA BABA LEVO/ MILIONI 10 WIKI/ ALIKUTWA NA BUNDUKI WIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Story&Rhymes #Linex #S01EP04
    Karibu kwenye #Story&Rhymes , kipindi cha burudani kinachokukutanisha na wasanii mbali mbali kufahamu mengi kuwahusu na kupata wasaa wakuwashuhudia wakitengeneza muziki live ndani ya studio huku wakikuonyesha kila hatua ambayo wao huitumia kukuandalia muziki mzuri.
    kipindi hiki kinakujia kila siku ya Jumatano hapa hapa Dar24 Media.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 46

  • @hono1232
    @hono1232 Год назад +4

    Linex mmoja kati ya hazina kubwa ya muziki Tanzania , hongera sana Linex

  • @jimmyn9791
    @jimmyn9791 Год назад

    Linex nimkali huyu jama, natamani awe super star Africa,, big up from Rwanda 🇷🇼

  • @Raphael99
    @Raphael99 Год назад +3

    Mimi apa linex nilipenda unacho fanya na nikashawishika pia nikafanya changu. Now am big

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 Год назад +1

    Napendaga story za huyu mwamba haraf hachoshi for Lil nigga always yuko true✌️..
    One love blood from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +1

    I like this guy! what a role model!

  • @loicebaraza
    @loicebaraza Год назад

    The original Sauti ya Africa

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 Год назад +1

    Interviews za Linex huwa nazipenda, huyu muha yuko real sana sema Dar24 hiyo background iko juu sana imemfunika mjeda tunamsikia kwa shida sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Год назад +2

    Nakubali sana ndugu yngu

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад +2

    Mjeda mwakeye Big up na kwaminia sana

  • @King_186
    @King_186 Год назад +1

    Huyu ni moja ya miamba mikubwa sana Tz,ambaye bado hajatupa vitu alivyonavyo

  • @user-we2zc8sp7r
    @user-we2zc8sp7r 8 месяцев назад

    Daaaah jembe mzalendo sana

  • @jacksonchristopher6310
    @jacksonchristopher6310 Год назад +2

    Pamoja mzee

  • @silvermelodyvevo6082
    @silvermelodyvevo6082 Год назад +1

    Mjedaah 🔥🔥🙌

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa6551 Год назад +1

    Linex unaweza kbsaaaaa. Ningependa kufanya filamu fulani na wewe sababu unafaa mno. Nduguyo toka Canada

  • @mbekewambeke9305
    @mbekewambeke9305 Год назад +1

    Yes bro nashukuru sana kwa interview

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Год назад +1

    I LIKE THE WAY TUNAPATA MORE BURUDANI IN THE END….Guys here we go you have got my Subscription….👏👏👏👏👏👏 KEEP IT UP, 🙌🙌🙌🙌

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад +6

    Sauti kama Milliard Ayo

    • @axmedcumar6196
      @axmedcumar6196 Год назад +1

      Sanaa Yaani mule mule hata sura kiaina Pia

  • @sarahchikoleka1438
    @sarahchikoleka1438 Год назад

    Naipenda sana hii nyimbo....mazuri niliyotenda kwako hayaonekani woooh

  • @abdulymsafiri6463
    @abdulymsafiri6463 Год назад +1

    Mjedaaa home booooooooy

  • @Hamad-jw1mc
    @Hamad-jw1mc Год назад

    Jamaa ana muiga milad ayo hadi kusema ok

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Год назад

    Huo wimbo ninaupenda sana kumbe ni wako Linex

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 Год назад

    Noma sana

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 Год назад +1

    B-LEVO BA, mtalaam wa manyumba!!! Anasema kwamba wewe ni mweusi kama Late Dr. John Garang!!! Na mashavu, yako, ni meusi!!! Kweli kweli!!!

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад

    Voice amazing

  • @jumamgeni6403
    @jumamgeni6403 Год назад +2

    Nyimbo nayo ipenda kaka kwahera natamaniiii niwe nahela

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza1046 Год назад

    Linex umepambana Sana mzee away watoto wa Leo wanadeka sana

  • @silvermelodyvevo6082
    @silvermelodyvevo6082 Год назад +1

    Unajua Sanaa broo 🔥🔥

  • @raphaelmauna5110
    @raphaelmauna5110 Год назад

    badilini hiyo beat inaboa, sauti ya juu hata hakuna utulivu wa mazungumzo.

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Год назад

    Nakubali sana

  • @DumaTv255
    @DumaTv255 Год назад

    🙌TAMBWEEEEEEEEEE

  • @daudiissa9256
    @daudiissa9256 Год назад

    Good intervie good presenter

  • @shaban9730
    @shaban9730 Год назад

    Jamaika no problem

  • @barakamatali7141
    @barakamatali7141 Год назад +1

    Jingo inakelele sana adi mtu unaboreka kusikia Yan daaa

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Год назад

    Mjeda Always hauzimuliki

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Год назад

    kabla ya mama HALIMA sisi mwana tunamsikiliza kitambo iringa

  • @gracemwaura18
    @gracemwaura18 Год назад

    The background music is lousy!! Very annoying!!!!

  • @njiaUpdate
    @njiaUpdate Год назад +1

    Naungana na jamaa aliye sema unafaa kucheza filamu,

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Год назад

    Backvoice

  • @linuschimana7984
    @linuschimana7984 Год назад

    Kikombe kinahitaji maji

  • @sumuyaodawayao4775
    @sumuyaodawayao4775 Год назад

    Mfalme wa leka dutigite

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    Milavyo bwana!!? Lini tena lango lango??!

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Год назад

    Bang ,pomb

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Год назад

    Ye bagabo muvuga amaki?