Kila nimuonapo linex naishiaga kulia tu kwa kumkumbuka marehemu kaka angu sababu kaka angu alikuwa hana msanii mwingie anayemkubali tanzania zaid ya LINEX,alikuwa ni shabiki mkubwa wa linex!
Aki nilimsahau Mungu for a while now na kweli maisha yamenigonga..... GOD IS EVERYTHING WANANGU WA DUNIANI... kwa mwaka mmoja nimepoteza kazi 8, sijui ni uchawi au ushirikina,,
Mtakimbilie Yesu nae atakusaidia maana ni mokozi,namalizia na hili unajiona kuxhindwa lkn bado hujaxhindwa nikumpa Yesu Kristo nafasi ty na utaona maajabu lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana
@@hendrycomonsiwenga1128 yaani ety demu anawasaidia wote yeye anaenda kuharibu halafu sio kwamba anapo pa kwenda ye ni kuharibu tu ila sema uzuri wanajuana sana na huyu linex ukiwakuta wanazozana utasema watapigana sasa hv lakini mwisho wanacheka na maisha mengine yanaendelea.
He is not only talented but also a very intelligent guy.
Huyu jamaa ana madini Sana,I wish aingie radio awe mtangazaji kabisa,big up linex Jumapili Mjeda
Jamaa poa sana .....ana maadili sana ....I hope naye atusue awe mkubwa zaidi kama ali,harmo,naseeb na ray ......big up mjeda
All the praise to Jesus Christ our Lord and saviour,, uishi kwa utakatifu❤️❤️
king of interview nimependa ulivyojiweka na kuachilia kila kitu kwa m/mungu🙌
Mjeda namkubali Sana huyu mwamba 👏👏👌
Usiniache gizan Bwana💪safi linex
Kesho yangu, naipnda sana. Inanifariji Bala. Mungu akup mwisho mwema kka
Linex nakuelewa sana brother napenda mziki wako na jinsi unavyo imba
Nimependa sana hi asant kwakua hinyo kaka
Hizo gospel zake are deep and refreshing
Unajua sana broo Mungu akusimamie na akuinue kila iitwapo siku
Sema vido me nakupenda sana et Co kwa ubaya ila ningekuwa sijakuzid umri ningekutafuta Unioe hta km ungekuwa hujanipenda,hyo macho me yananiua
Linex nikama snoop wa Tanzania anaweza ka myaka 40 kwenye gm na Doct dre
Daaah!!! Hongera Sana Umebarikiwa Kaka
Kenya tunawatch
God bless you more Bro 🖤🙌🏽🔥🙏🏽
Ningefurahi sana l'index ukiokoka🇧🇮👈🎧
nakubali linex
Nampenda linex
My favorite artist ✌️✌️
Anajua mnooo 🔥🔥
Huyu jamaa noma 😂🎤
Stay blessed
Linex.... 🔥
linex needs no autotune blessed vocals👊👊👊
South Africa cap tonw wana kwelewa boss wa clubs kubwa setemba na mkongo
Linex give us contents like we have attend a lesson of 40' in Lecture room🔥
Nice voice brother
Jesus in life💪💪
Saaana kakaa
Iknw the story 2012 for baba love
Namkubali sana mwamba yupo real
Open your Mind en listen Damn...Once a Wise Man Listen It Too deep holla
Mwenyewe hapa Simba ila wewe nakkubali brother
Mkiwaita wakongwe hawatakagi hawa jaamaanii......Muwaite wasanii kama wengine
Kuishi ni kujifunza.
Huyo ndo.muha pekee anae tuwakilisha kigoma
Huyu mwamba Yuko vzr ktk Kazi yake!
linex nakukubali Sana
Jamaa ana akili
Kipaji Sana Hiki
Kila nimuonapo linex naishiaga kulia tu kwa kumkumbuka marehemu kaka angu sababu kaka angu alikuwa hana msanii mwingie anayemkubali tanzania zaid ya LINEX,alikuwa ni shabiki mkubwa wa linex!
Aki nilimsahau Mungu for a while now na kweli maisha yamenigonga..... GOD IS EVERYTHING WANANGU WA DUNIANI... kwa mwaka mmoja nimepoteza kazi 8, sijui ni uchawi au ushirikina,,
Mungu anasahau, Mungu ana samehe God is good rudi kanisan 👏👏
Mtakimbilie Yesu nae atakusaidia maana ni mokozi,namalizia na hili unajiona kuxhindwa lkn bado hujaxhindwa nikumpa Yesu Kristo nafasi ty na utaona maajabu lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana
Mtu nazaidi yanusu,very talented ever.
Time toka mbali kasuku show ndogo kubwa bango beach kigoma mjini magereza
HUYU PRESENTER HAMNA KITU NDANI YAKE
Yn we sijua uko kuzmu wala nn.yn tatzo lko kumecfiwa yangatu tayri wafuta kila ktu kwa interview
Akili kubwa
uyu jamaa nyimbo zake huwa zinaacha alama sana.
😹😹😹😹😹😹🙌
KIJANA WEWE NI KICHWA.
ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
DAWA YA KANSA NA ,MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA YA AINA YOYOTE,*#*
Ila baba levo jamani ni chizi toka zamani.
😅😆😁🙄🤪😋😛😝😄
Kumbe ndiyo umejua leo! @Swalehe Saad Ahahahahahahaha. 😜😃🤓😀🤣😂
@@hendrycomonsiwenga1128 yaani ety demu anawasaidia wote yeye anaenda kuharibu halafu sio kwamba anapo pa kwenda ye ni kuharibu tu ila sema uzuri wanajuana sana na huyu linex ukiwakuta wanazozana utasema watapigana sasa hv lakini mwisho wanacheka na maisha mengine yanaendelea.
Uyu kaka ni mtu poa kabisa
Mjeda namkubali Sana huyu mwamba 👏👏👌