EXCLUSIVE; LINEX KUACHA MUZIKI, BABA LEVO KUMUIBIA DEMU, KUROGWA, AMEOKOKA, KAANZA KUIMBA GOSPEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2022

Комментарии • 62

  • @meshacksabuni7541
    @meshacksabuni7541 2 года назад +10

    He is not only talented but also a very intelligent guy.

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 2 года назад +3

    Huyu jamaa ana madini Sana,I wish aingie radio awe mtangazaji kabisa,big up linex Jumapili Mjeda

  • @clintonmabuka892
    @clintonmabuka892 Месяц назад +1

    Jamaa poa sana .....ana maadili sana ....I hope naye atusue awe mkubwa zaidi kama ali,harmo,naseeb na ray ......big up mjeda

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 2 года назад +5

    All the praise to Jesus Christ our Lord and saviour,, uishi kwa utakatifu❤️❤️

  • @elishamoris5063
    @elishamoris5063 2 года назад +3

    king of interview nimependa ulivyojiweka na kuachilia kila kitu kwa m/mungu🙌

  • @theblessedone7526
    @theblessedone7526 2 года назад +5

    Mjeda namkubali Sana huyu mwamba 👏👏👌

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +1

    Usiniache gizan Bwana💪safi linex

  • @user-fb5pz7ix8g
    @user-fb5pz7ix8g Год назад +1

    Kesho yangu, naipnda sana. Inanifariji Bala. Mungu akup mwisho mwema kka

  • @anthonyboniface4181
    @anthonyboniface4181 2 года назад +2

    Linex nakuelewa sana brother napenda mziki wako na jinsi unavyo imba

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia 2 года назад +4

    Nimependa sana hi asant kwakua hinyo kaka

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 2 года назад +1

    Hizo gospel zake are deep and refreshing

  • @hellenmattaba9961
    @hellenmattaba9961 2 года назад +3

    Unajua sana broo Mungu akusimamie na akuinue kila iitwapo siku

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +1

    Sema vido me nakupenda sana et Co kwa ubaya ila ningekuwa sijakuzid umri ningekutafuta Unioe hta km ungekuwa hujanipenda,hyo macho me yananiua

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +4

    Linex nikama snoop wa Tanzania anaweza ka myaka 40 kwenye gm na Doct dre

  • @daopaulmalongo7293
    @daopaulmalongo7293 2 года назад +1

    Daaah!!! Hongera Sana Umebarikiwa Kaka

  • @habarimediakenya1769
    @habarimediakenya1769 2 года назад +3

    Kenya tunawatch

  • @Bahandastar
    @Bahandastar 2 года назад +1

    God bless you more Bro 🖤🙌🏽🔥🙏🏽

  • @ndayizeyefredina-ni8uf
    @ndayizeyefredina-ni8uf Год назад

    Ningefurahi sana l'index ukiokoka🇧🇮👈🎧

  • @user-nq5iw3cn3j
    @user-nq5iw3cn3j 4 месяца назад

    nakubali linex

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Год назад

    Nampenda linex

  • @agnesnjama8688
    @agnesnjama8688 2 года назад

    My favorite artist ✌️✌️

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271 2 года назад

    Anajua mnooo 🔥🔥

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 2 года назад +1

    Huyu jamaa noma 😂🎤

  • @juliusabdallah2288
    @juliusabdallah2288 2 года назад

    Stay blessed

  • @felixmluge3211
    @felixmluge3211 2 года назад +1

    Linex.... 🔥

  • @gtunewaves2867
    @gtunewaves2867 2 года назад

    linex needs no autotune blessed vocals👊👊👊

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +1

    South Africa cap tonw wana kwelewa boss wa clubs kubwa setemba na mkongo

  • @zemwanzozefirst
    @zemwanzozefirst 2 года назад

    Linex give us contents like we have attend a lesson of 40' in Lecture room🔥

  • @kevinmegan2953
    @kevinmegan2953 Год назад

    Nice voice brother

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +1

    Jesus in life💪💪

  • @defaomkubwa204
    @defaomkubwa204 2 года назад +1

    Saaana kakaa

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +1

    Iknw the story 2012 for baba love

  • @taleshabani6637
    @taleshabani6637 Год назад

    Namkubali sana mwamba yupo real

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 года назад

    Open your Mind en listen Damn...Once a Wise Man Listen It Too deep holla

  • @nesto3587
    @nesto3587 2 года назад +1

    Mwenyewe hapa Simba ila wewe nakkubali brother

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 года назад +2

    Mkiwaita wakongwe hawatakagi hawa jaamaanii......Muwaite wasanii kama wengine

  • @godsondaniel9715
    @godsondaniel9715 Год назад

    Kuishi ni kujifunza.

  • @eliudywilliam821
    @eliudywilliam821 2 года назад +1

    Huyo ndo.muha pekee anae tuwakilisha kigoma

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 2 года назад +1

    Huyu mwamba Yuko vzr ktk Kazi yake!

  • @rodrickshadrack4193
    @rodrickshadrack4193 2 года назад

    linex nakukubali Sana

  • @denisndaki167
    @denisndaki167 2 года назад +1

    Jamaa ana akili

  • @mathewkasonta2208
    @mathewkasonta2208 2 года назад

    Kipaji Sana Hiki

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Год назад

    Kila nimuonapo linex naishiaga kulia tu kwa kumkumbuka marehemu kaka angu sababu kaka angu alikuwa hana msanii mwingie anayemkubali tanzania zaid ya LINEX,alikuwa ni shabiki mkubwa wa linex!

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 2 года назад

    Aki nilimsahau Mungu for a while now na kweli maisha yamenigonga..... GOD IS EVERYTHING WANANGU WA DUNIANI... kwa mwaka mmoja nimepoteza kazi 8, sijui ni uchawi au ushirikina,,

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 2 года назад +1

      Mungu anasahau, Mungu ana samehe God is good rudi kanisan 👏👏

    • @mgangaruban9383
      @mgangaruban9383 2 года назад

      Mtakimbilie Yesu nae atakusaidia maana ni mokozi,namalizia na hili unajiona kuxhindwa lkn bado hujaxhindwa nikumpa Yesu Kristo nafasi ty na utaona maajabu lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana

    • @donaldmgomba7571
      @donaldmgomba7571 Год назад

      Mtu nazaidi yanusu,very talented ever.

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +2

    Time toka mbali kasuku show ndogo kubwa bango beach kigoma mjini magereza

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 2 года назад

    HUYU PRESENTER HAMNA KITU NDANI YAKE

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 года назад

      Yn we sijua uko kuzmu wala nn.yn tatzo lko kumecfiwa yangatu tayri wafuta kila ktu kwa interview

  • @horestsawaya8384
    @horestsawaya8384 2 года назад

    Akili kubwa

  • @alexramadhani6660
    @alexramadhani6660 2 года назад

    uyu jamaa nyimbo zake huwa zinaacha alama sana.

  • @wicksonmwaipopo4624
    @wicksonmwaipopo4624 2 года назад +1

    😹😹😹😹😹😹🙌

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 2 года назад

    KIJANA WEWE NI KICHWA.

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +1

    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
    DAWA YA KANSA NA ,MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA YA AINA YOYOTE,*#*

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +3

    Ila baba levo jamani ni chizi toka zamani.

    • @hendrycomonsiwenga1128
      @hendrycomonsiwenga1128 2 года назад

      😅😆😁🙄🤪😋😛😝😄

    • @hendrycomonsiwenga1128
      @hendrycomonsiwenga1128 2 года назад

      Kumbe ndiyo umejua leo! @Swalehe Saad Ahahahahahahaha. 😜😃🤓😀🤣😂

    • @swalehesaad2692
      @swalehesaad2692 2 года назад

      @@hendrycomonsiwenga1128 yaani ety demu anawasaidia wote yeye anaenda kuharibu halafu sio kwamba anapo pa kwenda ye ni kuharibu tu ila sema uzuri wanajuana sana na huyu linex ukiwakuta wanazozana utasema watapigana sasa hv lakini mwisho wanacheka na maisha mengine yanaendelea.

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 года назад

    Uyu kaka ni mtu poa kabisa

  • @theblessedone7526
    @theblessedone7526 2 года назад +1

    Mjeda namkubali Sana huyu mwamba 👏👏👌