EXCLUSIVE: MENINA - AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA/ NASHANGAA WANAONIHUKUMU/ HAIKUWA MATAKWA YANGU
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- ameongelea na mengi yanayomuhusu ikiwemo jinsi alivyoweza kuovercome na maisha yanavyoendelea, kazi zake, mtoto wake, na mengi yanayomuhusu
This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you
UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA
Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
4 2
@@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂
@@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana
@@linahsemindu9575 tatizo Meninah alijekodi mwenyewe
Nakupenda menina ur so beautiful no matter what
Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
fact
Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.
Both of you girls are looking gorgeous.
Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.
Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
Mimi pia nimelia inaumiza Sana
Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.
For real you make me cry may God bless you
Half of her cute is her brain luv u menina
We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..
Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭
I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina
Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah
#Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri
fikisha pole yangu kwa menina
@@mytelecom2019 inshaAllah 😄
Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo
😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele
Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada
Maskini pole sana sana ..
Too much maongezi ya Adas . Do a way ya kupungua . Proud of you and love you😘
pole sana menina me nakupenda nanimesahau nilioyaona we endelea nakaz zako na mungu akusaidie
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo
Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga
Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏
Menina is so cute. I just love her ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dah kwa kweli leo imeniuma sitakaa kumuhukumu binadamu mwengine Sis menina pole sana
👍
Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu
Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah
Don cry menina we love you 😭😭
Menina my fav since bss..Nampendaga Sana...
MENINA mungu atakupa subra na alie fanya hili mungu atamlipa MENINA you're beautiful
Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘
Pole Sana many ila mashaa Allah nywele
Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!
Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww
Umenifanya nilie mpenz pole sana my love mungu atamuhukumu aliefanya hivi mpenz love u
Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like
Pole menina wangu na jinsi ulivyofanana na Mie pole habibty kila mtu anafanya hata wenyenndoa madhali hujajiuza hujafanya biashara pole twin wangu na da Zama ulivyopendeza Mashallah Mashallah nguo yako ya stara nanulivyotulia kuuliza Zama uko juuu
Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘
I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu
Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥
Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.
AFRICAN Fashion
ruclips.net/video/XkGLz7jr1vw/видео.html
@@aichaabdul5844 hahahahahahahahahhaha
Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa
Pole sana love nkupenda menina💞💞💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Da zama umewaka ❤️❤️❤️
Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao.
Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule
Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘
Don't cry darling .....keep moving darling
Umefunguka usawa katika safari ya mafanikio mitihani lazima yatokee.pole kwa mtihani uliokufika.i wish you all the best in your life 🇰🇪love u my dear actress.allah ndie atakuhukumia...
This girl is soooooo pretty
Zama unahoji Kwa hisia sana hongera...menina kuteleza siyo kuanguka Mungu akusimamie ktk yote..maisha yanaendelea..
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu
Kapole maskini...I love you❤❤❤
Wow don't cry umefanya nimelia huyo mbwa alofanya hivyo sheria ichukue mkondo wake mamaake angerekodiwa angefurahia na bichwa lake kaa pumbu la babaake....your beautiful and you will always be am so proud of u
Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰
💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby
@@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake
Pole sana, Leo kwa mara ya kwanza nimeelewa kiasi gani, uliumizwa na yaliyo kupata, Mungu akutie nguvu, akupe amani na akusimamie kwa kila jambo unalolifanya, Epuka marafiki wabaya, na jifunze kutokana na makosa. Amani na Upendo vikuzunguke kila uendapo. Amina
Mzuri menina MaashaAllah
Zamaradi umependeza, make up on point ❤️
Interview iko vizuri na imetulia sana
Menina mzur jamani Mashaalah
MashaALLAH
Pole sana menina mungu atakutia nguvu majalibu yapo mengi usikate tamaa
Dada Zamaradi umedamshi sana kama kawaida, wanawake oyeeeeee💪
Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo
Nasi tuliterekenzwa na baba zetu tunabaki😭😭 nami ningelelewa na baba hakika ningejivunia wallah😭😭
Mwenyezi Mungu ndiye baba yako
Hakika inauma sana Ila mungu ndo baba etu wa kudumu
Dazama umependeza sana sana mashaallah 😘
U look so woooow 😘😘😘and beautiful 💕💞💕💞💕💞🍾🥂🥂🍾my zama. Love u more from south Africa😘😘😘😘😘
Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww
Ebu tuambie ww ukweli
@@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you
ruclips.net/video/XkGLz7jr1vw/видео.html
AFRICAN FASHION||
Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti
Your strong enough menina
Inshaalah M/Mungu atujalie mwisho mwema kwa sote##🙏🙏🙏🙏
Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu
Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya
@@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini
Pole daa unaniliza bure move on menina
Umeongea kwa ujasiri sana you are a good girl and gud mumy to you're son
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
Mungu azidi kuku bariki na akuwekeye wepesi katika mambo yako.
Menina upo kama Mimi ninavyompenda Baba uwiiiii hata cjui nisemej mwenyez Mungu aendelee kumtunza Baba angu
Same pia kwangu mm baba n rafk yangu mkubwa.
Kama mm nimempenda babangu Sana lkn ameniacha last month 😭😭😭😭😭😭😭
@@rahimalewe2835 jaman pole mwaya dear
Ad mm tena saana yn baba ang duh mungu amueke
Pole sana mdogo wng menina hii ndo dunia
Pole zee wound heal but the lesson will be remembered🦅🦅🦅
Pole sana menina.sikuiona na wala sikutaka kuiona ...niliumia on behalf na nikamwona yule kaka ni mbaya.hata afanyaje nini l no longer have interests na hata kumuona kwenye social media inaboa..nakupenda menina
Pole mwaya hayo ni mapito tu acha maisha yaendelee mshtakie mungu tu
Dunia mbaya hiii pambania maisha yako dada angu na yy kitamkuta kitu u still cute menina nakupenda😍😍😍😍😍
Naomba kushauri kitu.
Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah
NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua
Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
Asante kaka nmejifunza
Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani
@@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu
shukran kwa ujumbe wako
@@chocolatebby68 afwan
So sad and very sorry, you make me cry😓😓 wanawake tunadharaulika Sana tunateseka sana
Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana
Jamani watanzania acheni ujinga!mfanye uchafu wenu Kisha mtie mungu ndani, astaghafirullah
Pole mpendwaa wangu menina😢😢
Beautiful Zama
Zamaradi you look 🔥
Allah akusamehe menina
Pole sana Dada angu usilie wala uskate tamaa watanzania tumekuelewa
Menina kweli we mrembo sana
Pole Menina hawa wanaume baazi yao wanatabia mbaya Sana. Pole sana
Ohhhh nice 👍🥰💟
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
Pole sana ni mitihani ya Dunia let's move on forward
So sorry my sistr ila nmefurah ur verry strong hongera
Pole Sana menina kupotea njia ni kujua njia
Nimekupenda bure karibu sana ndugu yako kwa upande wa 🇾🇪
Mdogo wangu mshukuru allah kwa yote.mungu atakulipa ww ni funzo kwa ss wengine love you mdogo wangu
Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj
Umezini alafu una muachia Mungu, tubu toka kwa shetani acha zinaa kisha muachie Mungu, but be strong and keep going my sister Minina.
Afadhali mara hii Zama umekuwa na tissue Pole menina pole sana mamy
Alisahau
Poleee sana kpnz nmekuonea huruma mpk nmelia jmn...
Yaani mimi baada ya ile ndo nimezid kukupenda😘
Pole sana jmn Menina... Nakupenda sana....Nakuombea.🙏❤️💗