EXCLUSIVE: MENINA - AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA/ NASHANGAA WANAONIHUKUMU/ HAIKUWA MATAKWA YANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ameongelea na mengi yanayomuhusu ikiwemo jinsi alivyoweza kuovercome na maisha yanavyoendelea, kazi zake, mtoto wake, na mengi yanayomuhusu

Комментарии • 577

  • @liliannamwatikha1140
    @liliannamwatikha1140 4 года назад +17

    This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you

  • @K25795
    @K25795 4 года назад +194

    UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 4 года назад +3

      Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa

    • @husnakezakimana3944
      @husnakezakimana3944 4 года назад

      4 2

    • @linahsemindu9575
      @linahsemindu9575 4 года назад

      @@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 4 года назад

      @@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 4 года назад

      @@linahsemindu9575 tatizo Meninah alijekodi mwenyewe

  • @zaynabhassan3619
    @zaynabhassan3619 4 года назад +34

    Nakupenda menina ur so beautiful no matter what

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +22

    Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...

  • @queentz8314
    @queentz8314 4 года назад +38

    Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby

    • @jackjudy9182
      @jackjudy9182 4 года назад +2

      fact

    • @mostyhodari2145
      @mostyhodari2145 4 года назад

      Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.

  • @tiagolichuchu8349
    @tiagolichuchu8349 4 года назад +15

    Both of you girls are looking gorgeous.

  • @jovinacbkan7785
    @jovinacbkan7785 4 года назад +7

    Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 4 года назад +14

    Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 4 года назад +11

    Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 4 года назад +6

    Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.

  • @chibesalalata1468
    @chibesalalata1468 4 года назад +6

    For real you make me cry may God bless you

  • @gracemollel7503
    @gracemollel7503 4 года назад +19

    Half of her cute is her brain luv u menina

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 4 года назад +3

    We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..

  • @luluadam3086
    @luluadam3086 4 года назад +23

    Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 4 года назад +12

    I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +26

    Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah
    #Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri

  • @WORDOFMYCREATOR
    @WORDOFMYCREATOR 4 года назад +12

    Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo

  • @OmanOman-cl7kv
    @OmanOman-cl7kv 4 года назад +15

    😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад +7

    Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada

  • @sophiaagustino3158
    @sophiaagustino3158 4 года назад +2

    Too much maongezi ya Adas . Do a way ya kupungua . Proud of you and love you😘

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 4 года назад +2

    pole sana menina me nakupenda nanimesahau nilioyaona we endelea nakaz zako na mungu akusaidie

  • @fatmann6341
    @fatmann6341 4 года назад +1

    Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +33

    Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 года назад +1

      Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 года назад +12

    Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад +3

    Menina is so cute. I just love her ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 4 года назад +2

    Dah kwa kweli leo imeniuma sitakaa kumuhukumu binadamu mwengine Sis menina pole sana

  • @genovivakaijage8336
    @genovivakaijage8336 4 года назад +50

    Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 4 года назад +4

    Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 года назад +10

    Don cry menina we love you 😭😭

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 4 года назад +2

    Menina my fav since bss..Nampendaga Sana...

  • @aliamirbakar5580
    @aliamirbakar5580 4 года назад +1

    MENINA mungu atakupa subra na alie fanya hili mungu atamlipa MENINA you're beautiful

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza6173 4 года назад +4

    Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘

  • @MohammedAli-vq2dk
    @MohammedAli-vq2dk 4 года назад +5

    Pole Sana many ila mashaa Allah nywele

  • @omegatesha1227
    @omegatesha1227 4 года назад +5

    Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 4 года назад

      Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww

  • @shakirasalum4344
    @shakirasalum4344 4 года назад +1

    Umenifanya nilie mpenz pole sana my love mungu atamuhukumu aliefanya hivi mpenz love u

  • @anniejojo9126
    @anniejojo9126 4 года назад +25

    Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like

  • @rahmarashid5635
    @rahmarashid5635 4 года назад

    Pole menina wangu na jinsi ulivyofanana na Mie pole habibty kila mtu anafanya hata wenyenndoa madhali hujajiuza hujafanya biashara pole twin wangu na da Zama ulivyopendeza Mashallah Mashallah nguo yako ya stara nanulivyotulia kuuliza Zama uko juuu

  • @chany9950
    @chany9950 4 года назад +4

    Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 года назад +25

    I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 4 года назад

      Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥

    • @aichaabdul5844
      @aichaabdul5844 4 года назад +2

      Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 4 года назад

      AFRICAN Fashion
      ruclips.net/video/XkGLz7jr1vw/видео.html

    • @dorislema1814
      @dorislema1814 4 года назад

      @@aichaabdul5844 hahahahahahahahahhaha

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 года назад +3

    Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa

  • @lucynzai9276
    @lucynzai9276 4 года назад +2

    Pole sana love nkupenda menina💞💞💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 4 года назад +13

    Da zama umewaka ❤️❤️❤️

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад +20

    Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +2

    Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao.
    Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 года назад

      Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule

  • @fatmayussuf9980
    @fatmayussuf9980 4 года назад +2

    Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘

  • @beatriceantapa5940
    @beatriceantapa5940 3 года назад +2

    Don't cry darling .....keep moving darling

  • @sophiaabdalla6599
    @sophiaabdalla6599 4 года назад

    Umefunguka usawa katika safari ya mafanikio mitihani lazima yatokee.pole kwa mtihani uliokufika.i wish you all the best in your life 🇰🇪love u my dear actress.allah ndie atakuhukumia...

  • @maureenandrew8636
    @maureenandrew8636 4 года назад +3

    This girl is soooooo pretty

  • @aynesshezron4711
    @aynesshezron4711 4 года назад

    Zama unahoji Kwa hisia sana hongera...menina kuteleza siyo kuanguka Mungu akusimamie ktk yote..maisha yanaendelea..

  • @mcrithawaukweli4885
    @mcrithawaukweli4885 4 года назад +14

    Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 4 года назад +9

    Kapole maskini...I love you❤❤❤

  • @meena-ol6fo
    @meena-ol6fo 4 года назад

    Wow don't cry umefanya nimelia huyo mbwa alofanya hivyo sheria ichukue mkondo wake mamaake angerekodiwa angefurahia na bichwa lake kaa pumbu la babaake....your beautiful and you will always be am so proud of u

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 года назад +35

    Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰

    • @nasrajuma136
      @nasrajuma136 4 года назад

      💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby

    • @nasrajuma136
      @nasrajuma136 4 года назад

      @@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake

  • @prhairsalon314
    @prhairsalon314 4 года назад

    Pole sana, Leo kwa mara ya kwanza nimeelewa kiasi gani, uliumizwa na yaliyo kupata, Mungu akutie nguvu, akupe amani na akusimamie kwa kila jambo unalolifanya, Epuka marafiki wabaya, na jifunze kutokana na makosa. Amani na Upendo vikuzunguke kila uendapo. Amina

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 4 года назад +4

    Mzuri menina MaashaAllah

  • @nyimbonizipendazo
    @nyimbonizipendazo 4 года назад +5

    Zamaradi umependeza, make up on point ❤️

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 4 года назад +5

    Interview iko vizuri na imetulia sana

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 года назад +10

    Menina mzur jamani Mashaalah

  • @hawajuma8379
    @hawajuma8379 3 года назад

    Pole sana menina mungu atakutia nguvu majalibu yapo mengi usikate tamaa

  • @queenmollel9593
    @queenmollel9593 4 года назад +3

    Dada Zamaradi umedamshi sana kama kawaida, wanawake oyeeeeee💪

  • @islandgirl4578
    @islandgirl4578 4 года назад +13

    Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 4 года назад +8

    Nasi tuliterekenzwa na baba zetu tunabaki😭😭 nami ningelelewa na baba hakika ningejivunia wallah😭😭

  • @jokhaali9187
    @jokhaali9187 4 года назад +2

    Dazama umependeza sana sana mashaallah 😘

  • @Emmy22655
    @Emmy22655 4 года назад +2

    U look so woooow 😘😘😘and beautiful 💕💞💕💞💕💞🍾🥂🥂🍾my zama. Love u more from south Africa😘😘😘😘😘

  • @mariajohn8965
    @mariajohn8965 4 года назад +3

    Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘

  • @diana_james9269
    @diana_james9269 4 года назад +49

    So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @davidone1313
      @davidone1313 4 года назад

      Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww

    • @davidone1313
      @davidone1313 4 года назад

      Ebu tuambie ww ukweli

    • @diana_james9269
      @diana_james9269 4 года назад

      @@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 4 года назад

      ruclips.net/video/XkGLz7jr1vw/видео.html
      AFRICAN FASHION||

    • @witnessmbilinyi3281
      @witnessmbilinyi3281 4 года назад +3

      Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti

  • @khadijamsoma7250
    @khadijamsoma7250 4 года назад +2

    Your strong enough menina

  • @mukrimkhamis678
    @mukrimkhamis678 4 года назад +1

    Inshaalah M/Mungu atujalie mwisho mwema kwa sote##🙏🙏🙏🙏

  • @estherelias5609
    @estherelias5609 4 года назад +19

    Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu

    • @dr.madevualcantara4775
      @dr.madevualcantara4775 4 года назад

      Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya

    • @dorislema1814
      @dorislema1814 4 года назад

      @@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini

    • @aishaiddi8326
      @aishaiddi8326 4 года назад

      Pole daa unaniliza bure move on menina

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 4 года назад +1

    Umeongea kwa ujasiri sana you are a good girl and gud mumy to you're son

  • @elizabethlameck4829
    @elizabethlameck4829 4 года назад +2

    Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza

  • @bellahariminshi5149
    @bellahariminshi5149 4 года назад +1

    Mungu azidi kuku bariki na akuwekeye wepesi katika mambo yako.

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад +16

    Menina upo kama Mimi ninavyompenda Baba uwiiiii hata cjui nisemej mwenyez Mungu aendelee kumtunza Baba angu

    • @zuhuramohamed3424
      @zuhuramohamed3424 4 года назад +1

      Same pia kwangu mm baba n rafk yangu mkubwa.

    • @rahimalewe2835
      @rahimalewe2835 4 года назад +1

      Kama mm nimempenda babangu Sana lkn ameniacha last month 😭😭😭😭😭😭😭

    • @zuhuramohamed3424
      @zuhuramohamed3424 4 года назад

      @@rahimalewe2835 jaman pole mwaya dear

    • @halimachubi2845
      @halimachubi2845 4 года назад

      Ad mm tena saana yn baba ang duh mungu amueke

  • @maserojoseph9073
    @maserojoseph9073 4 года назад

    Pole sana mdogo wng menina hii ndo dunia

  • @willykaovela5485
    @willykaovela5485 4 года назад +2

    Pole zee wound heal but the lesson will be remembered🦅🦅🦅

  • @victoriaabrahamu1850
    @victoriaabrahamu1850 4 года назад

    Pole sana menina.sikuiona na wala sikutaka kuiona ...niliumia on behalf na nikamwona yule kaka ni mbaya.hata afanyaje nini l no longer have interests na hata kumuona kwenye social media inaboa..nakupenda menina

  • @aminamussahmsumuka6558
    @aminamussahmsumuka6558 4 года назад

    Pole mwaya hayo ni mapito tu acha maisha yaendelee mshtakie mungu tu

  • @candymusa5090
    @candymusa5090 4 года назад

    Dunia mbaya hiii pambania maisha yako dada angu na yy kitamkuta kitu u still cute menina nakupenda😍😍😍😍😍

  • @hafidhmohd8696
    @hafidhmohd8696 4 года назад +19

    Naomba kushauri kitu.
    Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah
    NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua
    Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu

    • @mariangoi2569
      @mariangoi2569 4 года назад +1

      Asante kaka nmejifunza

    • @mercydeo4040
      @mercydeo4040 4 года назад

      Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani

    • @hafidhmohd8696
      @hafidhmohd8696 4 года назад

      @@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu

    • @chocolatebby68
      @chocolatebby68 4 года назад

      shukran kwa ujumbe wako

    • @hafidhmohd8696
      @hafidhmohd8696 4 года назад

      @@chocolatebby68 afwan

  • @hapi6113
    @hapi6113 4 года назад +1

    So sad and very sorry, you make me cry😓😓 wanawake tunadharaulika Sana tunateseka sana

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza6173 4 года назад +5

    Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana

    • @sitisule6812
      @sitisule6812 2 года назад

      Jamani watanzania acheni ujinga!mfanye uchafu wenu Kisha mtie mungu ndani, astaghafirullah

  • @tinalucas6284
    @tinalucas6284 4 года назад +5

    Pole mpendwaa wangu menina😢😢

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 года назад +3

    Beautiful Zama

  • @muniramohammed2328
    @muniramohammed2328 3 года назад +1

    Zamaradi you look 🔥
    Allah akusamehe menina

  • @aishasaidi2160
    @aishasaidi2160 4 года назад +1

    Pole sana Dada angu usilie wala uskate tamaa watanzania tumekuelewa

  • @ashurankya1954
    @ashurankya1954 2 года назад

    Menina kweli we mrembo sana

  • @hamidajuma3909
    @hamidajuma3909 4 года назад

    Pole Menina hawa wanaume baazi yao wanatabia mbaya Sana. Pole sana

  • @ivetterhoda7922
    @ivetterhoda7922 3 года назад +1

    Ohhhh nice 👍🥰💟

  • @getmad9908
    @getmad9908 4 года назад +2

    Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret3259 4 года назад +10

    Pole sana ni mitihani ya Dunia let's move on forward

  • @ivethadeus9270
    @ivethadeus9270 4 года назад +2

    So sorry my sistr ila nmefurah ur verry strong hongera

  • @halemahamad2625
    @halemahamad2625 3 года назад

    Pole Sana menina kupotea njia ni kujua njia

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 2 года назад

    Nimekupenda bure karibu sana ndugu yako kwa upande wa 🇾🇪

  • @helenbrayan655
    @helenbrayan655 4 года назад +1

    Mdogo wangu mshukuru allah kwa yote.mungu atakulipa ww ni funzo kwa ss wengine love you mdogo wangu

  • @shadiayunus9859
    @shadiayunus9859 4 года назад +6

    Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 4 года назад

    Umezini alafu una muachia Mungu, tubu toka kwa shetani acha zinaa kisha muachie Mungu, but be strong and keep going my sister Minina.

  • @cpasalma1532
    @cpasalma1532 4 года назад +4

    Afadhali mara hii Zama umekuwa na tissue Pole menina pole sana mamy

  • @azizamufty6327
    @azizamufty6327 4 года назад +3

    Poleee sana kpnz nmekuonea huruma mpk nmelia jmn...

  • @maliga_tm2527
    @maliga_tm2527 4 года назад +2

    Yaani mimi baada ya ile ndo nimezid kukupenda😘

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 3 года назад

    Pole sana jmn Menina... Nakupenda sana....Nakuombea.🙏❤️💗