Nay Wa Mitego Ft Kusah & Kisima Majabala - Sioni (Official Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 17 фев 2024
- Music by Nay Wa Mitego featuring Kusah & Kisima Majabala performing "SIONI" is a love song that typically focuses On how Nay Wa Mitego,Kusah & Kisima Majabala Show appreciation and Affection for their loved Ones, they thanks God on how love has Changed their lives Better. A song that has a message of promise to the love Of your life (Patner) to never Break her heart and Always she will be Protected to the fullest Even if it means going to war to Protect her, without food her presence Makes his Appetite fade away. Her Beaty is nothing to be Compared with just Because it’s a Standout to the masses.
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music:
/ nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips:
/ @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram:
/ naytrueboytz
Facebook:
/ naywamitego
Twitter:
/ naythetrueboy
Follow Kusah on:
/ kusah
twitter.com_Kusah_
/ officialkusah
Channel Administered by Simile Sasa
/smilesasa_tz
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWaMitego #Kusah #KisimaMajabala #Sioni - Видеоклипы
Haya wasukuma tunaemjua kisima majabala like zetu hapa jmn
kaka Majabala umepigaje hapo,,😂😂😂😂😂
Mhuu ni noma
@@user-xm5dz6sh7f kaua sana 😂
@@user-xm5dz6sh7f huyu jamaa anajua sana
Wapi # wasukuma wenzangu dondosheni like za #kisima bas hapa 😅🎉
Nimemkubari kisima anafanya kazi kwakujiamin
Wasukuma wote naomba mnifate hapa ili bhamane egeke gashi nise dudujije gete
Mimi ndiye mtu wa kwanza kutoka marekani ni penzi Mauwa yangu
Nani kakudanganya kama wew ndiye wakwanza😂😂
@@Vincentrakoldo mimi ndiye wa kwanza kutoka marekani
Marekani ya nyoko 😂
Marekan ya bonyokwa labda😅@@user-ng6io7lm2d
Utayakuta kaburini
KISIMA NYANDA MAJABALA, KAMA WE MSUKUMA WEKA LIKE
Nilipoona tu kisima nyanda majabala tayari nikajua itakuwa hit tu😅😅😂
Wasukuma bichane naliloba like jimwe
Umekosea spelling hapo 😅... Naliloba badala ya "Nalhelomba". Ong'wise ginehe😂
@@robertngwala1323 ni kweli kabisa
KISIMA AMETISHA SANA...SUKUMA 2 THE MAP...ASANTE SANA RAIS WA KITAA KUMPA SHAVU
KISIMA CHA MAPENZI MNAJUWA mr ney na kusah %100
Ni kisema mimi ni wa kwanza haja wahi hata kunipa like hata5 kama nidoz wewe ni eple umesika
Kisukuma kime husika kisima nyanda majabala🎉😂❤
Team nyanda majabala twisange aha 👆
Saf kabisa kisima pongez kwake
Bhaghosha tolaghi miluzi na bhakhema tolaghi lopondo.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wasukuma wimbo wetu huuu
daaaah hv kumbe kweli...... kisima nyanda majabala
Huu wimbo ney umeua sana ..Hadi kisukuma safi sana
Ney ww ni mjanja sana umemchukua msanii anayeuteka ukanda wote wa ziwa, baada ya nyimbo ukizunguka nae kweny show 5 maokoto yake sipati picha😂😂🎉🎉🎉mmetisha sana🔥🔥🔥
Ney ww ni msanii mwenye akiri nyingi sana na Mungu wangu wa mbinguni akubariki umechanganya na kisukuma umetisha xn nyimbo tamu hii jaman
Kisima 🔥🔥🔥
Wasukuma kujuwane hapa chini tumetisha ney umetuheshimisha sana safi ugezeni nyimbo nyingi zaidi ya hiii❤❤❤❤
Kipande cha Kisukuma kimenikosha yakhee 😊
Hata mm uzur nakielewa san
Nawasukuma ndani tupo
Hapo kwa kisima napataman najua msukuma mwenzangu kaua kwa ninavyojua anavyotembeaga na biti😂😂🔥🔥🔥
Jamaa kaua
Brother Nay -wamitego natamani sana namimi kufanya ngoma nawewe
Chama langu la kisukuma hapo mmetisha
Wasukuma tuonane apaa
Wasukuma the great weka like hapa 💪💪💪
Apo kisima nyandamajabala 🎉🎉🎉 ameupiga mwingi 🎉🎉🎉nizaidi yakusah
Mzee wa Nzuki, Kisima majabala U killed it
Wimbo mzuri sana Ila tukumbuke kuwa Kuna mmoja tu anayepamania mziki wa kabila la wasukuma msitake kumfananisha na wengine
Wasukuma gonga like twende sawa
Duuuh hatimae Kisima ameanza kuingia mjini rasmi.
Hongera San @ney wew ndo msaniii wa kwanza kufanya collabo na nyimbo za asil@kisima good work
Safi sana mdogo wangu kisima...Mmeupiga mwingi
Wasukuma njooni huku jamani tufurahi jamani kisima amewakirisha kanda ya ziwa
Mimi kama msukuma nimefurahishwa sana kumuona kisima yupo kwenye hii ngoma❤ from oman 🇴🇲🔥
hii imetisha jamaa wa nzoke🙏🙏😄😄
Yani bas2 hii nyimbo nimeilewa san kwa kism
Naisubuli toka DRC🇨🇩, piya nime like hiyo nyimbo Title :waserikali wewe Sang For My Country Naisikiliza kila wakati
😅😅😅 home boy kaua sana nyanda majabala
Wangapi tumewakilishwa vyema na kisima🔥🔥. Lekaga getee😂😂🙌
Brother Nay umeisha sana kupa nafati KISIMA NYAMANDA MAJABALA juzi kati2 tulikuwa na Buhongwa mwanza tulikinukisha hatariiiii
Arie nileta hapa nikisima wetu wa usukuman
Tunaelekea Mbali Sasa Zamu Yangu
Kisima hatua nzuri
Ongera kaka yangu kisima wewe ndio no 1 kanda ya ziwa unampizani mungu akupe maisha marefu
Kisima majabala❤🔥🔥🔥🔥🔥
Aisee nime enjoy sana kumsikia Fundi kisima
Hujawahi niangushaa raisi wa kitaaa❤
Kisima the great 👍🏿👍🏿👍🏿
Kisima ee umetisha sana
Nimekuja kwaajiri ya kisima ❤❤❤❤
Musukuma wa kwanza kutupeleka mbele
#kisima umeuwa
Wapen Chao wasio wakubali kisima greet end Mr nay pia kusah by masayimedia
Kisima majambala nakumbal mwamba ❤❤
Like zangu from mwanza sukuma land
Big up guy's. Hamna baya👍👍👍👍
Safi Sana nimipenda Sana hii ngoma
Wasukumaaaaa oyeeeeeee 💃🏻💃🏻
Mwezi wa saba utasikia2 ney na kusah ft kisima nyanda majabala wanafanya bonge la show bariadi mkoan simiyu chaka kwa chaka. Ni mahesabutu pesa haitafutwi ila pesa hutegwa
Kisima majabala🎉🎉
😂😂😂 Nitakuja kuua mtu nyie mnao omba like baada msapot kazi shenzi
What a hit song nakubali mziki wa asili ya kisukuma unaanza kwenda sasa viro
Kusah 😮😮,,,Baba wa mapenzi na melodies 🌄🔥🔥🔥
Kali hii sana
Ngoma kaliii 🔥🇹🇿
💐Waghoshi wabishi....big up💪
hiii imeenda mzee ngoma Kali sana
Huyu kisima ndio yule msanii wa nyimbo za asili❤
Ngoja heb.... huyo ni HAMADAI ? au KuSAH .... Au n KuSAH anaimba Kama HAMADai?
Oooh hii ni nyingine tena, best one
Ngoma kali sana🎉🎉🎉🎉🎉
Kisukuma🎉🎉🎉
Kisima wabheja🎉🎉
Naya🔥kusah🔥kisima majabala🔥🎧
KISIMA SINGA,, NYANDA MAJABALA UMEIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA WASUKUMA🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿
HOME BOY🐝
Huyu kisima anangoma moja inaitwa limi ni balaa huyu mwamba
Sukuma mpaka ndani🔥🔥🔥🔥🔥
Wasukuma watani wangu mmefikiwa 👏
Kazi safi ⚡🇰🇪
Tunaingojea Kwa hamu from shabiki ney wa mitego
Nay nakukubali sanaa kutoka malindi kenya
🎉kisima the greatest singal mwenee end kusah one by the way Mr nay rais mamb ni 🔥
❤❤❤❤😂😂🎉🎉Kisima majabala
Kisima Nyanda Majabala❤❤❤❤
Huyo kusah kama Hamadai yaan
Wasukuma tumeunyuka mwingi 💪
KISIMA MAJABALA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kutoka kenya nipeni maua yangu
Aidia kali sana My Brother itrust you nay
Kisima majabala 🔥🔥🔥🔥
Sukuma to the world💥💥💥💥
From +254, siezi pita mahali kuna jina la kusah ama Nay. 🔥
Alafu mbona naskia Sauti kama ya Hamadai hapo bhana.
Kisima huna baya babaaaah namba moja kanda ya ziwa
Kama unamkubali kisima gonga likes hapa
Nakubari Rais wa manzese🔥🔥🎭
Ooh my goodness. Ka ngoma jamani
kisima aaaaaaa nyaaanda majabala 4:15
Hàpo kwa kisima ndo napataka
🔥🔥