Nachoipendea nchi yangu miundombinu mibovu kwa kifupi bado bado tunasua sua ila vibe liko pale pale na tunafuraha na shida zetu.. I LOVE MY COUNTRY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Simba (Mikia - Paka) kiukweli mumecheza mpira mzuri sana lakini niwaambie jambo moja tu. Kusifia jambo ni kuonyesha uuugwana. Mtafunga timu zote Duniani lakini kuifunga Yanga (Utopolo) ni ndoto za alinacha. Mkitumia uchawi sisi tunamtumia Allah/Mungu. Tutaendelea kuwakera mpaka mkubali kuwa sisi ndio waanzilishi wa mpira Tanzania. Furaha yenu mkikutana na Yanga (Utopolo) lazima ikatike.
naipenda. simba. leo na kesho. siachi simba ng'ooooo
2ndaanajua kuimba
Unaniliza sana aiwezi tokea tenaii
Naipenda Simba mpaka na umwa na huwo unaitwa unyamaunyama
Piga kerere kwa simba weweeeeeee kuja ssa🤸
Ukiwa simba raha sana jaman
naipenda simba yaani mashallah
Jamani kwa simba hi I raha sanaaa
I love Sumba mwaaaaaaaaaaa
Hongera Simba tulikua tunasubiri miaka 5 sasa hatimae tumechukua ubingwa
Sumba Moja jamani piga kelereeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
I'm Burundian, namshabikia Tundamane tena napenda nyimbo zake sàaana, japokua siko mpenzi wa Simba, nayipenda Young tena saaana
Tundaman nakukubal sana kak
Jmni hta kma wewe sio simba utaingia tu duhu sio kwa shambra hixi Simba jmni mko vizuri mnoo 🥰😍❤️
naipenda simba mwanzo mwisho wapinzan wanaumwamwaaaaaaaaaaaaa
Wanaoichukia simba wataapa tabu sana mbele kwa mbele watanununa sana ubingwa wetu tuuuu
Tunda nakubali 🌹
naipendaaa simba mshabiki wa damu mie nikila simba nikilala simba, nikipumua simba ,nikicheka simbaa wekunduuu oyeeeee
Good Simba mbele kwa mbele nyuma mwiko naipenda Simba kama unaipenda Simba usikosi kulaiki hapo
Mwinyi Haji san 2
Mwinyi Haji k
Simba mdy simba kwel naipenda San simba jaman simba I lov you
Hakuna lolote. Nendeni Lubumbashi mkapewe mimba.
Mwinyi Haji hatamimi naikubali simba
Hatare Sana simbaaaaaa
Simba oyee
damu yako nyekundu wewe hujajua 😁😁😁😁😁
Chezea ximbaaaaaaaa ndo chama langu
huu wimbo Simba wanapaswa waupe heshima yake. Kuliko wimbo wowote ule
Nachoipendea nchi yangu miundombinu mibovu kwa kifupi bado bado tunasua sua ila vibe liko pale pale na tunafuraha na shida zetu.. I LOVE MY COUNTRY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ndio siiiiimba
wana simba rahaaaaaa sanaaaaaa
Atareee thaaana
I love u simba
simba simba jamanii najikuta nacheza
Vipi wadau
Wanao Ludia kama mm tugonge like
baikibali simba sana
Naipenda simba mpaka naisi kuugua uchizi
Duuh naipenda,sana simba,hakika ya,simba nd kipenz chang
Hatari sn
Taifa kubwa SIMBA chama la Wana SIMBA 😂 😂😂 😂 Simba baba lao 👊 👊
TundaMan huu mzigo bado tunaishi nao x😊😊
Huwa najisahau kufanya kazi zingine ninapoona mambo ya simba.
Diamonds
Kwa shangwe hzi ata kma co simba utajikuta tu unafraia
Hahahah
Simba sports club chama kubwa sanaaa 👊👊👊
Simba oyeeee
Hapn chezeaa simbaa weweeee😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘🤭 keleleee moj kwa simb akee..
Utam utam utam tyuuuuuuu
Dah jamani raha sana kushabikia chama la wanaaa uwiiiiiii ni kisanga mwanzo mwisho
Hakuna mwingne zaidi simbaaaaaa baba laoooo%
Simba (Mikia - Paka) kiukweli mumecheza mpira mzuri sana lakini niwaambie jambo moja tu. Kusifia jambo ni kuonyesha uuugwana. Mtafunga timu zote Duniani lakini kuifunga Yanga (Utopolo) ni ndoto za alinacha. Mkitumia uchawi sisi tunamtumia Allah/Mungu. Tutaendelea kuwakera mpaka mkubali kuwa sisi ndio waanzilishi wa mpira Tanzania. Furaha yenu mkikutana na Yanga (Utopolo) lazima ikatike.
Sisi ndo simba akuna wa kutusimamisha
SIMBA. THE SPORTS CLUB BIG BRAND IN AFRICA.
Yes this is Simba
penda sana chama langu
💃💃💃eeeeeeee kidedea........ 🙌🙌🙌🙌
Simba baba lao
Sio kwer siwez kufurahi ikiwa nimefungwa et kuckia nyimbo ya simba
me bad naipend 👇
2020😍😍😘💃💃👌👌
safi hadi raha
yeesu pitingufuu malizi
Na Watakia wana msimbaz wot tukutane kwa mkapa
OOOoyoooooooooo penda sana simba yanguu
simba juuuuui
Raha sana
I love you simb nguv moja 🦁❤️💯
Afande ibrah anaipenda simba 🦁
Woooooooyoooooooo simba simba simbaaaaaaa chama matataaaaaaaaa
Subln msimu mpya mtakimbina yanga oyeee
Oyoooooooo
Very nice
Ata leko naipenda simba
Nakubal simba sijui unipe nn jama n da mzaz
tres bien simba
Hiyoo simbaa au simbwaa. Mmebebaa makomboo
poleni sana gongowazi... vyura fc mpooooo hahahaha ukiona gazeti limechanwa basi ujuwe ujumbe umefika.
Hanim Baggio sio congowazi tena wamebadilisha jina kwa sasa wenyewe wanajiita malalamiko fc tz
Manara akapimwe akili
2020
Oyooooooooo ni fayaaaa
Nawakubali sana simba
I love simba now and forever
Mina WA muse majuto
Hili ngoma ndo la kumtoleaga mahari demu wetu
This is simbaaaaaa
Oyeeeeeeeeee
Eeeeeeee kidedea
Pongezi kwake
Simbaa 2019 😍😍😍😍😍
😂😂😂😂😂😂 Yaan kipofu akishaona mwezi anakua msumbufu saana,Hongeren lkn
Wanaijua simba kuwa kiboko yao ila hataki tu kukubal
ukisikia simba ogopa nmbwan. balaa lake nihatari , ona Sasa ,simbaaaaaaaaaa nguramaaaa ahhhhhhhhhhbbbbbbbbbbj
Kweli
Sana
Simbaaaaaa baba laooooooo
Tunawatakia kheri wachezaji wetu mechi ya leo
3 bila
Simba
Naipenda xana simbaaaaaaaaaaaaaa
Naipenda simba
Simbaaaaa
simba mbelee daima
Simba.. Nguvu. Moja
Tunda mani
achani uwongo kabeba kombe kwa haki
Naipend tim yangu simba sc tz
nomaaaaaaaaaaaa xana
Simba damuuuuu💯✔