Alikiba - Mnyama (Simba SC Anthem)
HTML-код
- Опубликовано: 1 авг 2023
- Get it now Sumu:smartklix.com/Sumu
Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
Listen to Alikiba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/alikiba
Apple Music: / alikiba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / alikibaofficial
Spotify: open.spotify.com/artist/2nGoK...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
Connect with Marioo on Social Media:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / kingbad_
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2023 Kings Music Records.All Rights Reserved.
#Alikiba #Mnyama - Видеоклипы
Nahamia Simba kwazia Leo,mashabiki WA Simba naomba munipokee,🏃 king kiba respect for you 🇲🇿🇲🇿
karibu
Karib san
Karibu sana 😊❤😊😊😊
krb xn msimbazi
😂😂😂❤❤❤🎉
Mimi Yanga dam lakin kwa hili goma natoa saluuuuut kwa king kiba.. My favourate 😘
Amin kka
Sure❤
I'm Sudanese..I love Tanzanian people and Simba Club ❤ and this Song...
I'm a fan of Alhilal..Thanks Tanzania 🇹🇿 and people of Tanzania..Asante Sana 😊
Thanks so much Welcome to Tanzania ❤🇹🇿
❤
Nampenda sana mnyama
Waoooo hiii kalii na ndio wimbo umevunja record RUclips kwa kuangaliwa na watu wengi kwa mda mfupi jmni naipenda Simba kwanzia SAs nahamia mnyama mnipokeee, naomben likes zangu
Usjal
Welcome 🦁
ruclips.net/video/v7E5KmgxK88/видео.html uga t mix
Pamojaa
Karibuuu🎉🎉🎉
Kama unaamini mzigo unaenda namba 1 on trend like zakutosha 👍👍
Namba mbili saiz
Ilikuwa 2 eti saivi 6 imekuaje
🔥
Mliosema mtakaa trending milele hapo ni wap😊
Aaah wee, unajua simba(mnyama)
Si huyo wa picha(mnyama)...the goosebumps modi alipata after hizo maneno😂😂😂
King Kiba twakumbali🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama umeukubali ngoma ya kiba kuwa ni balaa gonga like unyama mwingi ❤😂
Unyama mwiingiii sana
Daaa siamini leo alikiba kafunika ngoma ya marioo na nandy za yanga, daaaa kauwa sana
Unyama mwingiiiiiiiiii
Unyama ni mwingi
Unyama kama wote ❤❤
Kwa akili zangu timamu NIMEHAMIA rasmi TEAM KIBA 👑 sijua kwanini imenichkua muda hadi kuja mahali sahihi the kings music 😅 naombeni mnikaribishe na likes chama langu jipya🥂
Karibu mwana mpotevu
Kalibu pole pia kwa kuchelewa
We don't need Judas here😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Love from Nigeria 🇳🇬
Ila Mwijaku Bwana
Daaaaah kidogo nidownload huu wimbo kwa utamu huu nikakumbuka mm Yanga nkaamua yaishe big watani kwa anthem kali Mungu awabariki wote Simba moja, Young Africans 💚 na timu zngne 🙏🙏
usiogope download tu utaskiliza ata kisiri siri co lzm uskilize hadharan
Pakua kaka utasikiliza kupitia earphones .
Haki ya mungu nikiwa mmoja wao😂😂😂😂😂😂😂daaaah MM NI YANGA DAMU
😅😅😅😅
Unyama ni mwingi
Kama umeikubali ngoma na unaamini simba atachukua makombe msimu huu gonga like
Im kenyan but our brothers Tanzanians u r the best in music East ,central and southern Africa ❤❤
Southern Africa inajumuisha SA yenyewe au hiyo tunaitoa?
Unyama ni mwingi sanaa hutopolo hawajasema bado yaan mpak waseme ❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉simbaaa nguvu Moja
King kama king kafanya kitu cha utofauti sana kama umeliona hilo naomba gonga like
Laiti ♔ tattoo ninge penda kuwa kwamili wangu Leo kiba ninge weka tattoo like moyo wangu... From Leo, forever team kiba... Mziki mzuri for life... Gonga like Kama wowe no simba team @kings music
Msim huu hatukamatiki watoto wa msimbazi
Am a Kenyan, this song is so medicinal, repeated it more than 10 times, I think now I need to purchase the jersey. Thank you@Alikiba you made me a true fan of Simba Sc Club
visit Tanzania
Jamani watanzania wanavyozipigia timu za kwao upato Hadi napata kushishabikia tu bila kujua wachezaji.Mimi shabiki wa simba tayari😂gonga like kama unaikubali simba💪
Yani huu moto🔥🔥🔥hauzimwi😂😂🙌🙌🙌
I'm Kenyan but this song wants me to be a Tanzanian for a while. Indeed this is the real simba🎉❤
You're welcome
You are much welcome to Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Well come mamy
Kweli I agree with you
Unyama Mwingi Simba Nguvu 1
Kwa kweli wimbo huu nimeukubali japokuwa mimi sio shabiki wa simba @alikiba fundi sana
Kesho huu wimbo uwe namba moja hakuna wakutuzuia kengeyoyote
My crushie 🥰 let me tell you Maina.. I usually see this Alikiba napata butterflys in my stomach 😅😅😅❤
❤❤❤😅😅 uko saw bro
Kiba humu amejua chakuimba arafu amejua tena na linajua kuimba vitu vya kudumu sio temporary mwaka huu vikombe ni vingi Mnyama 🦁👑🔥🔥🔥💪 wimbo wa miaka yote Simba 🦁 Taifa moja
Jaman naomben like 100 kuniunga mkono kumpongeza King kwa huu Wimbo wa Taifa wa simbaaa🔥🔥
Mimi sikuwa na timu Yeyote na ishabikia lakini leo nimehamia Simba jamaani naombeni mapokezi Yenu Wana SIMBA forever ❤ hadi tattoo nitachora na SIFUTI🎉❤🌹🥂
Karibu sana dada tunakupenda sana simba nguv moja
Karibu dada msimbazi
karibu mwaya huku raha tu
Yani unaama team kisa mtu sio kisa simba nimeshakufahamu ww ni mmoja wapo wa wale mashabi wa alikiba 😂
Karibu sana unyamani
Wana Simba mm ni mwenzenu nipo keeni kwenye like zenu kama mnamkubali mnyama
Huu wimbo utadumu vipindi vyote hadi vizazi vyetu bado vita enjoy huu wimbo nautabakia kuwa moyoni mwao, kama unaungana nami gonga like hapa twende sawa
Yes..fact ni kwamba hautaji wachezaji..upo official zaidi..ameupatia sana huyu mwamba
@@WendoJuma kweli kabisaaa
Msimu ujao yupo Azam ndipo watausahau
Tutaenjoy simba day
@@burjnasibuzahor4574 mzee ata akihama huu wimbo utaishi maana haja mtaja mtu jina hapa imetajwa simba kama simba
Wimbo mkali sana,inaimbika,inachezeka,inavutia na nibora na inashikika kwa wepesi...kutoka kwa mwimbaji bora zaidi....nipe like kama ww ni mnyama🎉🎉🎉🎉🎉🎉#nguvumoja#kingkiba#cmba day.
❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😭💯💯💯💯💯🦁🦁🦁🦁🦁💌💌💪👏👏👏💪🫶🫶🫶🫶🫶❤❤❤🤳🫅😍😍😍 Simba pamoja
Ngufumoja 🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤
I'm a Kenyan but the love I have for Tanzania....❤
Hata mm ni mtz ila nakupenda Kenya. Ambako mababu zang wanatoka.
@@rasammudmar5455 Asante kaka, umoja ni nguvu
One love Madam ❤
I’m in Kenya 🇰🇪 and I really love this song ❤🎉
Mi Mnyama pia kutoka Kenya ❤️🇰🇪 Nipeen likes jaman
❤❤❤❤
visit Tanzania
Alot of flowers 🌷🌷🌷 for you
😅😅😅😅😅😅😅😅
We nyamaa gani@
Kondoo
Fisi au nani
Kama unaamini tunaenda 1 trending konga like hapa
Kama Alikiba ni fan wa Simba pia Mimi ni fan. Nice Anthem
Yani jamaa kaingia aibu mbaya trend tumechukua wenyewe king kiba umepowaaaa umetuheshimisha miaka mianane kama ww ni mnyama gonga like 👍🏼
nomaaa
Oyaaaaaah Tuichukue namba moja on trending , Wanasimbaaaaaaa tunakwama wapiiiii.. Naomba Like zenu kama limepita na tunaichukua namba moja muda huu kweli💪💪💪💪 .Pumbav zao wanyamazee
Tayali1
Good pafomass
💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huyu kiba ni msanii Bora duniani duh Sio Kwa mashair haya na kuimba huku na na melody ya kibabe that's why u calling king allways
Huna mbaya 💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥
Sou Moçambicano e não percebo Suahily, mas gosto e amo musicas e talento do magnífico Alikiba, se eu fosse musico diria que ele é o meu ídolo. Força
Mimi yanga ila nimekuja hapa kwaajili ya king of Africa kama unanisapoti tujuane. From Tanzania 🇹🇿
Piga hela mfalme, viongozi wa yanga walikutenga wapuuzi wale 😢, mwenye nakuja taifa kucheza hii nyimbo
Siipendi simba namkubari sana Alikiba alipo tupo uu wimbo ni mkali sana kavunja history zote
Bro kiba you always deliver good vibes ...kweli haukamatiki ✌️💪
Jamanii kumekucha huku
Kweli king 👑 ni King 👑 tu 💯✅ hata waseme nini huyu jamaa Bado mkali sana 💯👌 acha Mungu awatie nguvu Kwa kazi nzuri 💯
Nice and good music 🎶💯 forever ♾️
Yaani nimeurudia kuusikiliza na kuutazama wimbo huu Mara ya ishirini leo...KING KIBA umetuheshimisha mjn aisee💪💪❤️❤️❤️
Yaani we acha tu, mi ndo nimeirudia hata sielewi mara ngapi😃🥰
Tayari huku Simba kombe msimbaziiiiiii... Thanks King kibaaaaaaa
Hakika Unyama mwingi sana, huu wimbo wa taifa wa Simba
Huu wimbo unaenda kumpa Alli Kiba mashabiki wengi wapya, mimi nikiwa mmoja wao. Bonge moja la ngoma. salute salute Kiba
Daah kabisaaah
Nami nikiwepo
Tupo wengi❤❤
Mimi pia aise jamaa kaja amejua kwenda nyakat aise
Vipi kuhusu kupoteza mashabiki wa upande wa pili?
Mimi ni MChungaji,sio shabiki saana wa mpira Ila Huyu mwimbaji Kanifurahisha Kaimba HAJATUKANA WALA KUZALIKISHA WENGINE. Mungu ampe kibali kwenye wimbo wake Amen.
Amina 🙏
Saw mwamposa🙏🏿
Manka kimaro jaman. 😂😂 Karibu Kanisa la UKOMBOZI Arusha
Mchungaji fake, bandia, wa mchongo 😂😂
😂😂😂
Huyu wimbo naupenda yaani Simba wekundu wa msimbazi daah Kimg umeweza Kenya tumekubali Simba mmoja tu wengine kelee❤
Nyimbo Kali special Kwa wachezaji mpira 👍🏆⚽
Matusi 0%
Lugha chafu 0%
Melody 100%✅
Sound ✅ mi so shabiki wa timu yoyote ila wimbo huu naungana na simba 🔥
Atari sana
Karibu unyamani
ruclips.net/video/v7E5KmgxK88/видео.html uga t mix
@@DAN-O-MWANA yee baba..
Mimi pia
Huyu ni mtu na akili zake anajua Tanzania ni nchi ina hishima yake tnx so much hata watoto wetu hawako hatarini kwa mziki wako shukran sna kujikubali kua Mtanzania mwenye kujihishimu muache yule hana jipya fanya kazi nzuri
Ni mzazi na ana hekma
Umeongea point sana
Bonge la song,Ali kiba Asante sana
Nilikuwa nawaza Ile nyimbo ya Diamond mbona haikupigwa kabisa kumbe imewataja hadi akina Manala mle ndani basi wajifunze kwa kichwa
Yes maua yake apewe
Nan kamuon mwijaku😂😂😂 love simba ❤❤❤
Kiba has a big IQ. This was a huge task considering the fact that Diamond calls himself Simba😂 He did it with an unmatchable expertise 🎉
Ila Mashabiki wa Simba Mfalme kawapendelea sana....
😅😅😂
😅😅😅😅
Yani hiii nyimbo walaaah, lazima bando liishe nyimbo tamu nyiyeeee🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁🦁🦁
Pamoja sana mkuu kila la heri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤!!!!!🎉!
Daah🔥🔥🔥....... Wekundu wa Msimbazi hatupoi hatuboi. Big Salute to King Kiba😍💝
Hongera sana wajina wangu Ally karibibu sana u nyamani ngoma kali tutakutana kwa mkapa tukiimba pamoja na kucheza
Woooyooo big up saaana king kiba unasitailii upewee maua yako❤❤❤
Ilo dence sasa Simba nguvu moja❤❤❤💪💪💪👊👊
King Kiba, you work smart broo,,, Bongo music King forever,,, outer Kenya
Mwana younga mimi ila mziki wa Mfalme sirahisi kupita bila kuusikiliza mara miya 🎉🎉❤❤❤❤🔥🔥🔥👑👑👑
Sasa king kiba wimbo bora wa mwaka Aise tushindwe sisi tu kila kitu tuko vizuri ❤❤❤❤ kwa Wimbo mtamu
From German, I pray for God this SONG- ''mnyama'' to be used when simba become the '' AFRICA WINNERS''.
Unyama nioteeeeee kigi kigi kigi nimekuita maratatuu hakika wewe ni kigi umetowa wimbo wataifa wana simba wote pia wa Tanzania wame kukubali na nduniya nzima 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ my name is Esperance I live in USA Kansas City Chiefs
Nilichopenda nyimbo yake itatumika miaka yote coz Haina majina ya wachezaji🔥🔥🔥🔥
kabisaa mkuu
Unaktu utafika mbali🙌🙌🙌
eeeeh kk
Umeona ee
Very true
Nilikuwa mshabiki wa yule mtoboa pua anaye jiita Simba kumbe uto rasimini sasa mimi ni mshabiki wa king kiba na king music kwa ujumla umenitendea haki kwenye chama langu na pia sio mtu wa sikendo. Allah akujahalieni kheir kwenye maisha yako ya music na maisha yako nje ya music. Hakika ngoma kali na itaishi kwenye vichwa vya wana Simba. Una baya 🦁🦁🦁💪 KING KING KING KIBAAAAA.....!!!!!.
Yaani ni UNYAMA MWIIIIINGI kupitiliza! Big up to Ali Kiba na Kimambo na wengineo kwa kazi hii KUBWA. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
ruclips.net/video/ZxBcKm7Gp14/видео.html
Mnyamaaaa......
Bonge la nyimbo salute kwa king kiba nakubali sana unacho kifanya, #Onelove #Nguvumoja. 🦁🇹🇿🙋
Watu wanavyosemaga huyu jamaa anajua ni wana ushahidi wa kutosha..King ni aliumbwa kuimba.,kuhusu anthem tafuta wimbo "Joho tena" ndo utajua watu wanazungumzaga nini kuhus King..🙌
Fund sana hyu mwamba
Aliuwa sana umo
Mi mnyama pia kutoka Kenya ❤ like jaman
Unamjua Simba si yule wa picha 😂😂😂Eeish Alikiba you're a true King IQ on it's best💯💯
Huu wimbo wetu wanamsimbazi wa muda woteeee.....big up brother king kiba umewaza mbali sana kutomtaja mtu yeyote maana watu huja na kupita ila simba ipo milele
Hii nyimbo itadumu muda wote, ni nyimbo Bora mtunzi anauelewa mkubwa Sana ndio maana hajamtaja kiongoz Wala mtu yeyote kumpa kiki ni simba na msimbazii, viongoz unaweza kuwataja katka wimbo kesho akatibuana na timu mkapata ukakas hata kuuskiliza wimbo wenyew, hakuna Cha mo Wala kiongoz yeyote, wote watapita lakini simba ya msimbazii itabaki kuwa simba ya msimbazii. Umetisha Sana brother Kwa utunzi maridadi, unyama mwingi.
Ww ni mchambuzi mzuri ❤
Yes🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Best comment .. RESPECT
❤
Mmmh unakitu utafika mbalii
King kiba never dispoint hii ni hiti siyo kiki za upepo kama za modi
Nampenda Sina Ali kiba legend of Africa ❤❤❤❤ 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇰🇪🇰🇪
King KIBA 👑. Huku ni mahali pako wewe umechelewa tu kuja, sio siri brother. Umekamilisha furaha yangu kwa kuwa SIMBA 💪💪💪🦁🏆
Imepenya hiyoooo
Hii nyimbo itaishi milele kwa watu wa simba 🎂🎉❤️🔥
Yaani hii ngoma nimezidi kuipenda baada ya mnyama kumrarua utopolo 💃
Tuliorudiiii leooo mjeee ❤❤❤❤❤
Alikiba king of Bongo all the time i like your songs you are really the best and nice vocal..... Your fun from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watoto wa Dar watoto wa Msimbazi dah!! ngoma kali mnoo from kwa Wahaya Bukoba.
King kiba nakubuka Sana comoros 🇰🇲 marafiki wako✌️
Alikiba we ndio mnyama mwenyewe tanzania achana na platinum wacha afurahishe waschana
Moja ya kipaji kikubwa snaa tanzania 🇹🇿 katika kuimba uwandishi na vocal heshima snaa king simba nguvu moja🇺🇸🇹🇨🇦🇪🇸🇸🇺🇸🇸🇸🇦🇪🇸🇸🇹🇨🇸🇸🇻🇦🇸🇸🇦🇪🇨🇭🇹🇴🇪🇸🇬🇧🇸🇸🇻🇪🇻🇦
Hakika
Ume nitupa Nami pia ni jiwe kali 💪 sana Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow huu wimbo umeni toa machozi kiba unajua Sana 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Respect 🙏 for my one and only Kiba love from Australia 🇦🇺
Uuuh nakubali sana 💕💕💕💕kama yote Kwa Simba....
Unyama mwingi.timu niipendayo na msanii nimpendae 🔥 🔥 🔥
Kama kweli wewe ni shabiki wa SIMBA sema UNYAMA MWINGI ❤
Much love from Kenya..
This guy is insame🙌🏼🇰🇪🇰🇪
nakubali KING UNYAM NI MWINGI Ssio leo toka zamani
Sijawahi kuwa shabiki wa Ali japo sikuwahi kuwa na shaka na kipaji na uwezo wake ktk uimbaji. Amethibitisha tena kwenye hii na ameitendea haki haswaa brand ya Simba anthem ni kali sana. Simba nguvu moja 💪💪💪
Najua king up yanga ila yanga hawa kupi heshima yako me nimekubali kwa ulicho kifanya japo kua nime umia moyo ww kwenda kwa makolo ila nimeipenda kazi yako pamoja san anko king 👑 goma la 💥💥💥💥
Uto nenda vidudu Ili myaka10 ijayo ucheze super ligi uto nenda vidudu uto