Alikiba - Mnyama (Simba SC Anthem)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 авг 2023
  • Get it now Sumu:smartklix.com/Sumu
    Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
    Listen to Alikiba on Digital Streaming:
    Audiomack: audiomack.com/alikiba
    Apple Music: / alikiba
    Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
    RUclips: / alikibaofficial
    Spotify: open.spotify.com/artist/2nGoK...
    Connect with Alikiba on Social Media:
    Instagram: / officialalikiba
    Facebook: / officialalikiba
    Twitter: / officialalikiba
    Snapchat: / officialalikiba
    TikTok: / officialalikiba
    Connect with Marioo on Social Media:
    Instagram: / marioo_tz
    Facebook: / thisismarioo
    Twitter: / kingbad_
    +For More Information Booking Alikiba:
    Contact:emailalikiba@gmail.com
    ©2023 Kings Music Records.All Rights Reserved.
    #Alikiba #Mnyama
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 8 тыс.

  • @akatendaambrosio4579
    @akatendaambrosio4579 10 месяцев назад +109

    Nahamia Simba kwazia Leo,mashabiki WA Simba naomba munipokee,🏃 king kiba respect for you 🇲🇿🇲🇿

  • @einotisambeke3180
    @einotisambeke3180 9 месяцев назад +21

    Mimi Yanga dam lakin kwa hili goma natoa saluuuuut kwa king kiba.. My favourate 😘

  • @bishazaroug2785
    @bishazaroug2785 4 месяца назад +25

    I'm Sudanese..I love Tanzanian people and Simba Club ❤ and this Song...
    I'm a fan of Alhilal..Thanks Tanzania 🇹🇿 and people of Tanzania..Asante Sana 😊

  • @user-to6xs9ri1h
    @user-to6xs9ri1h 3 месяца назад +5

    Nampenda sana mnyama

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 10 месяцев назад +141

    Waoooo hiii kalii na ndio wimbo umevunja record RUclips kwa kuangaliwa na watu wengi kwa mda mfupi jmni naipenda Simba kwanzia SAs nahamia mnyama mnipokeee, naomben likes zangu

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 10 месяцев назад +18

    Kama unaamini mzigo unaenda namba 1 on trend like zakutosha 👍👍

  • @rajimadope6465
    @rajimadope6465 9 месяцев назад +10

    Mliosema mtakaa trending milele hapo ni wap😊

  • @PaulMaina-sy6fn
    @PaulMaina-sy6fn 9 месяцев назад +20

    Aaah wee, unajua simba(mnyama)
    Si huyo wa picha(mnyama)...the goosebumps modi alipata after hizo maneno😂😂😂
    King Kiba twakumbali🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-ng1xo5nm4l
    @user-ng1xo5nm4l 10 месяцев назад +1477

    Kama umeukubali ngoma ya kiba kuwa ni balaa gonga like unyama mwingi ❤😂

    • @maliselimganga7323
      @maliselimganga7323 10 месяцев назад +23

      Unyama mwiingiii sana

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 10 месяцев назад +27

      Daaa siamini leo alikiba kafunika ngoma ya marioo na nandy za yanga, daaaa kauwa sana

    • @syliviafaustine5038
      @syliviafaustine5038 10 месяцев назад +13

      Unyama mwingiiiiiiiiii

    • @Amosmsechu
      @Amosmsechu 10 месяцев назад +9

      Unyama ni mwingi

    • @ednasamweli582
      @ednasamweli582 10 месяцев назад +9

      Unyama kama wote ❤❤

  • @madytwaa
    @madytwaa 10 месяцев назад +242

    Kwa akili zangu timamu NIMEHAMIA rasmi TEAM KIBA 👑 sijua kwanini imenichkua muda hadi kuja mahali sahihi the kings music 😅 naombeni mnikaribishe na likes chama langu jipya🥂

  • @BobbyBrown-hr2bk
    @BobbyBrown-hr2bk 8 месяцев назад +15

    Love from Nigeria 🇳🇬

  • @limymasele21
    @limymasele21 9 месяцев назад +6

    Ila Mwijaku Bwana

  • @josephaugustine3643
    @josephaugustine3643 10 месяцев назад +55

    Daaaaah kidogo nidownload huu wimbo kwa utamu huu nikakumbuka mm Yanga nkaamua yaishe big watani kwa anthem kali Mungu awabariki wote Simba moja, Young Africans 💚 na timu zngne 🙏🙏

    • @raphaelchuche6281
      @raphaelchuche6281 10 месяцев назад +7

      usiogope download tu utaskiliza ata kisiri siri co lzm uskilize hadharan

    • @karisofficial3745
      @karisofficial3745 10 месяцев назад +3

      Pakua kaka utasikiliza kupitia earphones .

    • @aashayhakeem
      @aashayhakeem 10 месяцев назад +4

      Haki ya mungu nikiwa mmoja wao😂😂😂😂😂😂😂daaaah MM NI YANGA DAMU

    • @jacklinemassawe9028
      @jacklinemassawe9028 10 месяцев назад

      😅😅😅😅

    • @jeremiahmashaka963
      @jeremiahmashaka963 10 месяцев назад

      Unyama ni mwingi

  • @SesyMassawe
    @SesyMassawe 10 месяцев назад +9

    Kama umeikubali ngoma na unaamini simba atachukua makombe msimu huu gonga like

  • @buzzafrique3700
    @buzzafrique3700 9 месяцев назад +96

    Im kenyan but our brothers Tanzanians u r the best in music East ,central and southern Africa ❤❤

    • @thomassamuel7344
      @thomassamuel7344 9 месяцев назад

      Southern Africa inajumuisha SA yenyewe au hiyo tunaitoa?

  • @user-eu5sd2sr9w
    @user-eu5sd2sr9w 3 месяца назад +3

    Unyama ni mwingi sanaa hutopolo hawajasema bado yaan mpak waseme ❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉simbaaa nguvu Moja

  • @priscustarimo1979
    @priscustarimo1979 10 месяцев назад +14

    King kama king kafanya kitu cha utofauti sana kama umeliona hilo naomba gonga like

  • @maemusic1590
    @maemusic1590 10 месяцев назад +10

    Laiti ♔ tattoo ninge penda kuwa kwamili wangu Leo kiba ninge weka tattoo like moyo wangu... From Leo, forever team kiba... Mziki mzuri for life... Gonga like Kama wowe no simba team @kings music

  • @user-rs8og2yh4f
    @user-rs8og2yh4f 8 месяцев назад +4

    Msim huu hatukamatiki watoto wa msimbazi

  • @langs4617
    @langs4617 8 месяцев назад +21

    Am a Kenyan, this song is so medicinal, repeated it more than 10 times, I think now I need to purchase the jersey. Thank you@Alikiba you made me a true fan of Simba Sc Club

  • @alterboyafrica
    @alterboyafrica 10 месяцев назад +23

    Jamani watanzania wanavyozipigia timu za kwao upato Hadi napata kushishabikia tu bila kujua wachezaji.Mimi shabiki wa simba tayari😂gonga like kama unaikubali simba💪

  • @tosh8921
    @tosh8921 10 месяцев назад +9

    Yani huu moto🔥🔥🔥hauzimwi😂😂🙌🙌🙌

  • @judywambui5074
    @judywambui5074 9 месяцев назад +46

    I'm Kenyan but this song wants me to be a Tanzanian for a while. Indeed this is the real simba🎉❤

  • @EmmanuelKazembe-vq3ni
    @EmmanuelKazembe-vq3ni 8 месяцев назад +3

    Unyama Mwingi Simba Nguvu 1

  • @user-iu1yw8yx1g
    @user-iu1yw8yx1g 10 месяцев назад +28

    Kwa kweli wimbo huu nimeukubali japokuwa mimi sio shabiki wa simba @alikiba fundi sana

  • @mickykiteu7446
    @mickykiteu7446 10 месяцев назад +11

    Kesho huu wimbo uwe namba moja hakuna wakutuzuia kengeyoyote

  • @NancyMaina-wu8oh
    @NancyMaina-wu8oh 9 месяцев назад +6

    My crushie 🥰 let me tell you Maina.. I usually see this Alikiba napata butterflys in my stomach 😅😅😅❤

  • @dr_donye
    @dr_donye 9 месяцев назад +5

    Kiba humu amejua chakuimba arafu amejua tena na linajua kuimba vitu vya kudumu sio temporary mwaka huu vikombe ni vingi Mnyama 🦁👑🔥🔥🔥💪 wimbo wa miaka yote Simba 🦁 Taifa moja

  • @matondopaul2942
    @matondopaul2942 10 месяцев назад +9

    Jaman naomben like 100 kuniunga mkono kumpongeza King kwa huu Wimbo wa Taifa wa simbaaa🔥🔥

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 10 месяцев назад +42

    Mimi sikuwa na timu Yeyote na ishabikia lakini leo nimehamia Simba jamaani naombeni mapokezi Yenu Wana SIMBA forever ❤ hadi tattoo nitachora na SIFUTI🎉❤🌹🥂

    • @AdhamAlliy-mg5py
      @AdhamAlliy-mg5py 10 месяцев назад

      Karibu sana dada tunakupenda sana simba nguv moja

    • @daniellupilya7625
      @daniellupilya7625 10 месяцев назад

      Karibu dada msimbazi

    • @mamajaphety1624
      @mamajaphety1624 10 месяцев назад

      karibu mwaya huku raha tu

    • @selemanikinyonyi7163
      @selemanikinyonyi7163 10 месяцев назад +1

      Yani unaama team kisa mtu sio kisa simba nimeshakufahamu ww ni mmoja wapo wa wale mashabi wa alikiba 😂

    • @muhugokandiga5757
      @muhugokandiga5757 10 месяцев назад

      Karibu sana unyamani

  • @user-bv8ql2qs6x
    @user-bv8ql2qs6x 9 месяцев назад +5

    Wana Simba mm ni mwenzenu nipo keeni kwenye like zenu kama mnamkubali mnyama

  • @Amosmsechu
    @Amosmsechu 10 месяцев назад +238

    Huu wimbo utadumu vipindi vyote hadi vizazi vyetu bado vita enjoy huu wimbo nautabakia kuwa moyoni mwao, kama unaungana nami gonga like hapa twende sawa

    • @WendoJuma
      @WendoJuma 10 месяцев назад +15

      Yes..fact ni kwamba hautaji wachezaji..upo official zaidi..ameupatia sana huyu mwamba

    • @Amosmsechu
      @Amosmsechu 10 месяцев назад

      @@WendoJuma kweli kabisaaa

    • @burjnasibuzahor4574
      @burjnasibuzahor4574 10 месяцев назад +13

      Msimu ujao yupo Azam ndipo watausahau

    • @yonaivan
      @yonaivan 10 месяцев назад +11

      Tutaenjoy simba day

    • @Amosmsechu
      @Amosmsechu 10 месяцев назад +1

      @@burjnasibuzahor4574 mzee ata akihama huu wimbo utaishi maana haja mtaja mtu jina hapa imetajwa simba kama simba

  • @jonsonmuluta8053
    @jonsonmuluta8053 10 месяцев назад +96

    Wimbo mkali sana,inaimbika,inachezeka,inavutia na nibora na inashikika kwa wepesi...kutoka kwa mwimbaji bora zaidi....nipe like kama ww ni mnyama🎉🎉🎉🎉🎉🎉#nguvumoja#kingkiba#cmba day.

    • @piusvictor8780
      @piusvictor8780 6 месяцев назад

      ❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😭💯💯💯💯💯🦁🦁🦁🦁🦁💌💌💪👏👏👏💪🫶🫶🫶🫶🫶❤❤❤🤳🫅😍😍😍 Simba pamoja
      Ngufumoja 🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤

  • @blackywanyagosh1836
    @blackywanyagosh1836 9 месяцев назад +65

    I'm a Kenyan but the love I have for Tanzania....❤

    • @rasammudmar5455
      @rasammudmar5455 9 месяцев назад +1

      Hata mm ni mtz ila nakupenda Kenya. Ambako mababu zang wanatoka.

    • @blackywanyagosh1836
      @blackywanyagosh1836 9 месяцев назад

      @@rasammudmar5455 Asante kaka, umoja ni nguvu

    • @charlesmpuya557
      @charlesmpuya557 7 месяцев назад

      One love Madam ❤

  • @ado.shadi_
    @ado.shadi_ 9 месяцев назад +17

    I’m in Kenya 🇰🇪 and I really love this song ❤🎉

  • @ronald_terer
    @ronald_terer 10 месяцев назад +210

    Mi Mnyama pia kutoka Kenya ❤️🇰🇪 Nipeen likes jaman

  • @samsonpraise8417
    @samsonpraise8417 10 месяцев назад +8

    Kama unaamini tunaenda 1 trending konga like hapa

  • @KevinOnchwari
    @KevinOnchwari 9 месяцев назад +3

    Kama Alikiba ni fan wa Simba pia Mimi ni fan. Nice Anthem

  • @mbaraksaary5750
    @mbaraksaary5750 9 месяцев назад +4

    Yani jamaa kaingia aibu mbaya trend tumechukua wenyewe king kiba umepowaaaa umetuheshimisha miaka mianane kama ww ni mnyama gonga like 👍🏼

  • @mozeekamana
    @mozeekamana 10 месяцев назад +7

    Oyaaaaaah Tuichukue namba moja on trending , Wanasimbaaaaaaa tunakwama wapiiiii.. Naomba Like zenu kama limepita na tunaichukua namba moja muda huu kweli💪💪💪💪 .Pumbav zao wanyamazee

  • @user-hk5tz9ww3c
    @user-hk5tz9ww3c 10 месяцев назад +7

    💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huyu kiba ni msanii Bora duniani duh Sio Kwa mashair haya na kuimba huku na na melody ya kibabe that's why u calling king allways

  • @user-ho3kr1hm8y
    @user-ho3kr1hm8y 8 месяцев назад +2

    Huna mbaya 💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥

  • @passoussenepasso5808
    @passoussenepasso5808 4 месяца назад +2

    Sou Moçambicano e não percebo Suahily, mas gosto e amo musicas e talento do magnífico Alikiba, se eu fosse musico diria que ele é o meu ídolo. Força

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 10 месяцев назад +15

    Mimi yanga ila nimekuja hapa kwaajili ya king of Africa kama unanisapoti tujuane. From Tanzania 🇹🇿

  • @maherzain2555
    @maherzain2555 10 месяцев назад +8

    Piga hela mfalme, viongozi wa yanga walikutenga wapuuzi wale 😢, mwenye nakuja taifa kucheza hii nyimbo

  • @allyallymakius1133
    @allyallymakius1133 6 месяцев назад +1

    Siipendi simba namkubari sana Alikiba alipo tupo uu wimbo ni mkali sana kavunja history zote

  • @ahmedhussein1149
    @ahmedhussein1149 9 месяцев назад +3

    Bro kiba you always deliver good vibes ...kweli haukamatiki ✌️💪

  • @boionemkenyaofficial8822
    @boionemkenyaofficial8822 10 месяцев назад +10

    Jamanii kumekucha huku
    Kweli king 👑 ni King 👑 tu 💯✅ hata waseme nini huyu jamaa Bado mkali sana 💯👌 acha Mungu awatie nguvu Kwa kazi nzuri 💯
    Nice and good music 🎶💯 forever ♾️

  • @maishaubishi7349
    @maishaubishi7349 10 месяцев назад +27

    Yaani nimeurudia kuusikiliza na kuutazama wimbo huu Mara ya ishirini leo...KING KIBA umetuheshimisha mjn aisee💪💪❤️❤️❤️

    • @felisterwilson9259
      @felisterwilson9259 10 месяцев назад

      Yaani we acha tu, mi ndo nimeirudia hata sielewi mara ngapi😃🥰

  • @stevenkomanya1442
    @stevenkomanya1442 9 месяцев назад +4

    Tayari huku Simba kombe msimbaziiiiiii... Thanks King kibaaaaaaa

  • @innocentkilogha5959
    @innocentkilogha5959 5 месяцев назад +1

    Hakika Unyama mwingi sana, huu wimbo wa taifa wa Simba

  • @AmirHk-mh1xc
    @AmirHk-mh1xc 10 месяцев назад +50

    Huu wimbo unaenda kumpa Alli Kiba mashabiki wengi wapya, mimi nikiwa mmoja wao. Bonge moja la ngoma. salute salute Kiba

  • @paulchristian5071
    @paulchristian5071 10 месяцев назад +173

    Mimi ni MChungaji,sio shabiki saana wa mpira Ila Huyu mwimbaji Kanifurahisha Kaimba HAJATUKANA WALA KUZALIKISHA WENGINE. Mungu ampe kibali kwenye wimbo wake Amen.

  • @romasala1
    @romasala1 9 месяцев назад +2

    Huyu wimbo naupenda yaani Simba wekundu wa msimbazi daah Kimg umeweza Kenya tumekubali Simba mmoja tu wengine kelee❤

  • @nasramohammed6797
    @nasramohammed6797 8 месяцев назад +4

    Nyimbo Kali special Kwa wachezaji mpira 👍🏆⚽

  • @imanmodern
    @imanmodern 10 месяцев назад +431

    Matusi 0%
    Lugha chafu 0%
    Melody 100%✅
    Sound ✅ mi so shabiki wa timu yoyote ila wimbo huu naungana na simba 🔥

    • @DAN-O-MWANA
      @DAN-O-MWANA 10 месяцев назад +12

      Atari sana

    • @jonsonmuluta8053
      @jonsonmuluta8053 10 месяцев назад +8

      Karibu unyamani

    • @forzir
      @forzir 10 месяцев назад

      ruclips.net/video/v7E5KmgxK88/видео.html uga t mix

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 10 месяцев назад +3

      @@DAN-O-MWANA yee baba..

    • @RahmaJ-zj4kl
      @RahmaJ-zj4kl 10 месяцев назад +4

      Mimi pia

  • @badmeetsevil7643
    @badmeetsevil7643 10 месяцев назад +140

    Huyu ni mtu na akili zake anajua Tanzania ni nchi ina hishima yake tnx so much hata watoto wetu hawako hatarini kwa mziki wako shukran sna kujikubali kua Mtanzania mwenye kujihishimu muache yule hana jipya fanya kazi nzuri

  • @user-oc2hm8bi5s
    @user-oc2hm8bi5s 9 месяцев назад +2

    Nan kamuon mwijaku😂😂😂 love simba ❤❤❤

  • @franklinmayoyo
    @franklinmayoyo 9 месяцев назад +9

    Kiba has a big IQ. This was a huge task considering the fact that Diamond calls himself Simba😂 He did it with an unmatchable expertise 🎉

  • @JonesIha-6919
    @JonesIha-6919 10 месяцев назад +10

    Ila Mashabiki wa Simba Mfalme kawapendelea sana....

  • @restutapaul3091
    @restutapaul3091 10 месяцев назад +13

    Yani hiii nyimbo walaaah, lazima bando liishe nyimbo tamu nyiyeeee🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁🦁🦁

  • @user-bj9cz8uo9i
    @user-bj9cz8uo9i 8 месяцев назад +3

    Pamoja sana mkuu kila la heri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤!!!!!🎉!

  • @NancyVictor-uj6yn
    @NancyVictor-uj6yn 9 месяцев назад +1

    Daah🔥🔥🔥....... Wekundu wa Msimbazi hatupoi hatuboi. Big Salute to King Kiba😍💝

  • @AllyMasoudi
    @AllyMasoudi 10 месяцев назад +9

    Hongera sana wajina wangu Ally karibibu sana u nyamani ngoma kali tutakutana kwa mkapa tukiimba pamoja na kucheza

  • @user-hk2sy6hj2v
    @user-hk2sy6hj2v 10 месяцев назад +7

    Woooyooo big up saaana king kiba unasitailii upewee maua yako❤❤❤

  • @user-dq3fk1xn1e
    @user-dq3fk1xn1e 9 месяцев назад +2

    Ilo dence sasa Simba nguvu moja❤❤❤💪💪💪👊👊

  • @IndaruSounds
    @IndaruSounds 9 месяцев назад +2

    King Kiba, you work smart broo,,, Bongo music King forever,,, outer Kenya

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 10 месяцев назад +12

    Mwana younga mimi ila mziki wa Mfalme sirahisi kupita bila kuusikiliza mara miya 🎉🎉❤❤❤❤🔥🔥🔥👑👑👑

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +11

    Sasa king kiba wimbo bora wa mwaka Aise tushindwe sisi tu kila kitu tuko vizuri ❤❤❤❤ kwa Wimbo mtamu

  • @raymond5175
    @raymond5175 9 месяцев назад +5

    From German, I pray for God this SONG- ''mnyama'' to be used when simba become the '' AFRICA WINNERS''.

  • @esperencenamagajo7166
    @esperencenamagajo7166 9 месяцев назад +1

    Unyama nioteeeeee kigi kigi kigi nimekuita maratatuu hakika wewe ni kigi umetowa wimbo wataifa wana simba wote pia wa Tanzania wame kukubali na nduniya nzima 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ my name is Esperance I live in USA Kansas City Chiefs

  • @salmonmkanulasalmonmkanula807
    @salmonmkanulasalmonmkanula807 10 месяцев назад +180

    Nilichopenda nyimbo yake itatumika miaka yote coz Haina majina ya wachezaji🔥🔥🔥🔥

  • @user-tb9qp7zr9j
    @user-tb9qp7zr9j 10 месяцев назад +41

    Nilikuwa mshabiki wa yule mtoboa pua anaye jiita Simba kumbe uto rasimini sasa mimi ni mshabiki wa king kiba na king music kwa ujumla umenitendea haki kwenye chama langu na pia sio mtu wa sikendo. Allah akujahalieni kheir kwenye maisha yako ya music na maisha yako nje ya music. Hakika ngoma kali na itaishi kwenye vichwa vya wana Simba. Una baya 🦁🦁🦁💪 KING KING KING KIBAAAAA.....!!!!!.

  • @Mandugudigitalify
    @Mandugudigitalify 9 месяцев назад +5

    Yaani ni UNYAMA MWIIIIINGI kupitiliza! Big up to Ali Kiba na Kimambo na wengineo kwa kazi hii KUBWA. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @DJPatcut
      @DJPatcut 9 месяцев назад

      ruclips.net/video/ZxBcKm7Gp14/видео.html

  • @pauljuma4384
    @pauljuma4384 10 месяцев назад +13

    Mnyamaaaa......
    Bonge la nyimbo salute kwa king kiba nakubali sana unacho kifanya, #Onelove #Nguvumoja. 🦁🇹🇿🙋

  • @bttanzania3298
    @bttanzania3298 10 месяцев назад +25

    Watu wanavyosemaga huyu jamaa anajua ni wana ushahidi wa kutosha..King ni aliumbwa kuimba.,kuhusu anthem tafuta wimbo "Joho tena" ndo utajua watu wanazungumzaga nini kuhus King..🙌

  • @DianaEmanuel-by4si
    @DianaEmanuel-by4si 4 дня назад

    Mi mnyama pia kutoka Kenya ❤ like jaman

  • @raymond4545
    @raymond4545 9 месяцев назад +1

    Unamjua Simba si yule wa picha 😂😂😂Eeish Alikiba you're a true King IQ on it's best💯💯

  • @AthumaniMohamedi-bg9ij
    @AthumaniMohamedi-bg9ij 10 месяцев назад +41

    Huu wimbo wetu wanamsimbazi wa muda woteeee.....big up brother king kiba umewaza mbali sana kutomtaja mtu yeyote maana watu huja na kupita ila simba ipo milele

  • @boniphacehassan826
    @boniphacehassan826 10 месяцев назад +113

    Hii nyimbo itadumu muda wote, ni nyimbo Bora mtunzi anauelewa mkubwa Sana ndio maana hajamtaja kiongoz Wala mtu yeyote kumpa kiki ni simba na msimbazii, viongoz unaweza kuwataja katka wimbo kesho akatibuana na timu mkapata ukakas hata kuuskiliza wimbo wenyew, hakuna Cha mo Wala kiongoz yeyote, wote watapita lakini simba ya msimbazii itabaki kuwa simba ya msimbazii. Umetisha Sana brother Kwa utunzi maridadi, unyama mwingi.

  • @amwokamacknol
    @amwokamacknol 9 месяцев назад +3

    King kiba never dispoint hii ni hiti siyo kiki za upepo kama za modi

  • @user-ig1ou8nr9p
    @user-ig1ou8nr9p Месяц назад

    Nampenda Sina Ali kiba legend of Africa ❤❤❤❤ 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇰🇪🇰🇪

  • @lionizerofficial8619
    @lionizerofficial8619 10 месяцев назад +12

    King KIBA 👑. Huku ni mahali pako wewe umechelewa tu kuja, sio siri brother. Umekamilisha furaha yangu kwa kuwa SIMBA 💪💪💪🦁🏆

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 10 месяцев назад +27

    Imepenya hiyoooo
    Hii nyimbo itaishi milele kwa watu wa simba 🎂🎉❤️🔥

  • @kidoesther
    @kidoesther 9 месяцев назад +2

    Yaani hii ngoma nimezidi kuipenda baada ya mnyama kumrarua utopolo 💃

  • @sinzalemossi2054
    @sinzalemossi2054 5 месяцев назад +4

    Tuliorudiiii leooo mjeee ❤❤❤❤❤

  • @powerbwoy254
    @powerbwoy254 10 месяцев назад +13

    Alikiba king of Bongo all the time i like your songs you are really the best and nice vocal..... Your fun from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @neemaarex1194
    @neemaarex1194 10 месяцев назад +14

    Watoto wa Dar watoto wa Msimbazi dah!! ngoma kali mnoo from kwa Wahaya Bukoba.

  • @hamidoualimohamed9857
    @hamidoualimohamed9857 9 месяцев назад +2

    King kiba nakubuka Sana comoros 🇰🇲 marafiki wako✌️

  • @BurahSparta-vy2hv
    @BurahSparta-vy2hv 9 месяцев назад +1

    Alikiba we ndio mnyama mwenyewe tanzania achana na platinum wacha afurahishe waschana

  • @suleimanally834
    @suleimanally834 10 месяцев назад +14

    Moja ya kipaji kikubwa snaa tanzania 🇹🇿 katika kuimba uwandishi na vocal heshima snaa king simba nguvu moja🇺🇸🇹🇨🇦🇪🇸🇸🇺🇸🇸🇸🇦🇪🇸🇸🇹🇨🇸🇸🇻🇦🇸🇸🇦🇪🇨🇭🇹🇴🇪🇸🇬🇧🇸🇸🇻🇪🇻🇦

    • @sofialolezi6131
      @sofialolezi6131 10 месяцев назад

      Hakika

    • @banguomari5165
      @banguomari5165 10 месяцев назад

      Ume nitupa Nami pia ni jiwe kali 💪 sana Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @emmanuelmuhando1052
    @emmanuelmuhando1052 10 месяцев назад +14

    Wow huu wimbo umeni toa machozi kiba unajua Sana 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @ceraphin_-djproduction5565
    @ceraphin_-djproduction5565 9 месяцев назад +6

    Respect 🙏 for my one and only Kiba love from Australia 🇦🇺

  • @BeatriceMsume-yv2kc
    @BeatriceMsume-yv2kc 8 месяцев назад +1

    Uuuh nakubali sana 💕💕💕💕kama yote Kwa Simba....

  • @winfridasanyenge6510
    @winfridasanyenge6510 10 месяцев назад +9

    Unyama mwingi.timu niipendayo na msanii nimpendae 🔥 🔥 🔥

  • @makaroyakisasa7199
    @makaroyakisasa7199 10 месяцев назад +16

    Kama kweli wewe ni shabiki wa SIMBA sema UNYAMA MWINGI ❤

  • @justusotieno5981
    @justusotieno5981 8 месяцев назад +5

    Much love from Kenya..
    This guy is insame🙌🏼🇰🇪🇰🇪

  • @user-js9fu2jp6e
    @user-js9fu2jp6e 9 месяцев назад +1

    nakubali KING UNYAM NI MWINGI Ssio leo toka zamani

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 10 месяцев назад +22

    Sijawahi kuwa shabiki wa Ali japo sikuwahi kuwa na shaka na kipaji na uwezo wake ktk uimbaji. Amethibitisha tena kwenye hii na ameitendea haki haswaa brand ya Simba anthem ni kali sana. Simba nguvu moja 💪💪💪

  • @petermalusu-gp1te
    @petermalusu-gp1te 10 месяцев назад +37

    Najua king up yanga ila yanga hawa kupi heshima yako me nimekubali kwa ulicho kifanya japo kua nime umia moyo ww kwenda kwa makolo ila nimeipenda kazi yako pamoja san anko king 👑 goma la 💥💥💥💥

    • @rashidgogo5558
      @rashidgogo5558 10 месяцев назад +3

      Uto nenda vidudu Ili myaka10 ijayo ucheze super ligi uto nenda vidudu uto