Part8_Nilikoswa kuuawa mara 49 baada ya kuokoka|ALIYEKUWA CHIFU WA WAGEREGERE KABILA LA KICHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 155

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 Год назад +4

    Ahahahaa mch umenifurahisha hapo uliposema"marehemu ngo'mbe"🙏🙏Ameen sn

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 2 года назад +6

    Aaandike na kitabu

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад +10

    This is the best testimony nishawai sikia we need to learn more from him 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪jacktan blessings

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 2 года назад +10

    Kweli kabisa shekhe Omary Mnyeshani kwenye shuhuda zake na yeye aliongelea habari za jini jaha na yeye alimpata comoro.

    • @sophiamakani6133
      @sophiamakani6133 2 года назад

      Amen and Amen yaani mungu alitaka tujifunze kutoka kwako mutumishi ,wanaokuwinda watajiju wenyewe hii siri wengi huwa wanaficha ila ww umeamua kufichua wa neema ya mungu iwe juu yko wasikuone ww waone kilicho ndani mwako....nabatikiwa nikiwa saudi, welcome kenya 🇰🇪 twakupenda kwa upendo wa yesu christo alie hai Amen 🙏

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 2 года назад +14

    Jamani Mungu huwa wakati mwingine ana makusudi yake. Siku anakamatwa kwenda kuzimu Yesu hakuweza kumwokoa licha ya kutamka mara kadhaa Yesu amwokoe. Lengo lilikuwa baadaye afanye kazi yake.

  • @ayubu_podcast
    @ayubu_podcast 2 года назад +2

    Njooni Kenya sehemu inayoitwa kisii kwa kabila linaloitwa WAKISII uchawi huko ni hatari sana mbaka wachungaji makanisani wachawi kinoma!! Leta injili huko

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 2 года назад +5

    Vita vya mwamini vya kiroho
    Waefeso 6:10-18
    Vita vya mwamini kwa njia nne
    1:Amemtaja adui yetu ni nani waefeso6:10-18
    2:Aina ya vita vyetu waefeso6:12
    3:Silaha zetu tunazotakiwa kutumia katika vita vyetu waefeso6:13-18
    4:Jambo linaloweza kusababisha silaha zifanye kazi waefeso 6:18

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 2 года назад +14

    BWANA YESU KRISTO WA Nazareth Aliye hai Asifiwe sana wapendwa wa MUNGU.. Nina ujumbe wa neno la MUNGU nataka ku share na ninyi
    Aina ya vita zetu sisi waumini wa MUNGU
    1:Sio za kibinadamu
    2:Vitq vyetu ni juu ya falme za giza
    3:Vita vyetu ni juu ya wakuu wa giza
    4:Mamlaka ya giza
    5:Majeshi ya pepo wabaya
    Nb:Hawa ndio tunao pambana nao/Hatupambani na wanadamu na wala hatupambani na mtu
    Aina za silaha ambazo tumepewa na YESU KRISTO kwa ajili ya kuzitumia
    Ziko silaha 7
    1:Basi simameni hali mmejifungua kweli
    1:Kweli( uwe mkweri katika maisha yako , kama ndio uwe ndio na kama hapana sio hapana, na wala usiwe mtu wa kusema uwongo )
    2:Haki
    3:Utayari wa kuhubiri injili
    4:Ngao ya imani
    5:Wokovu( uwe umeokoka kweli na kuya acha yote ya duniani)
    6:Neno la MUNGU ( hii ndio silaha kuu, uwe unasoma neno la MUNGU kila siku na kulishika na kulifuata)
    7:Maombi( ndio ngao yetu hii , hakikisha unasali kwa kumaanisha na kulitaja jina la YESU KRISTO na kutumia DAMU ya YESU katika maombi yako
    Kuna Nguvu tunaposali kwa kutumia jina la YESU KRISTO aliye hai
    MUNGU awalinde mbakie katika imani yenu na kesheni mkisali ili msi ingie majaribuni
    Amen

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 2 года назад +6

    Huyu mtumishi anaakili sana na nimejifunza kitu shetani hutafuta watu wenye vipawa na akili wamtumikie.Mtumikie Mungu kwa nguvu zote

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 3 месяца назад +1

    Kuhusu ushetani wa wazungu. Jamaa nimemuelewa barabara.
    Huyu jamaa yupo sawa. Ukimsikiliza utafanikiwa pakubwa sana.

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 2 года назад +8

    Ameen and Ameen be blessed man of God Mr Jacktan good job 🇰🇪🙏

  • @Fstqfstq2018
    @Fstqfstq2018 3 месяца назад +1

    MUNGU atusaidiye ktk hii dunia

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 2 года назад +3

    ...😂😂😂🤣marehemu ngombe😂😂😂

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 2 года назад +3

    Ushuhuda unajenga sana. Ninaomba Promo mtusaidie Kupata Baba Mzazi wa Aminiel naye ahojiwe na ushuhuda wake uletwe hapa kabisa. Hii itaongeza jambo katika kutilia muhuri kwa ushuhuda huu. Barikiwa sana.

  • @FabianDaniel-ln8jo
    @FabianDaniel-ln8jo 5 месяцев назад +1

    God is good, and Jesus is the SON

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +4

    Umekua ushuhuda mzuri sana tumejifunza mengi Mungu awabariki mtumishi JACKTAN na mchungaji Amieli

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 2 года назад +2

    Etii marehemu NG'OMBE,AHAAAA JAMANI

  • @TupokigweMwakwenda
    @TupokigweMwakwenda 10 месяцев назад +1

    Haaaaa! Mungu mkubwa sana

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 2 года назад +5

    Watu wengi hupenda Sana shuhuda za kuzimu lakini hawapendi kujifunza Neno la Mungu! Jifunzeni harafu chukueni hatua mara moja

    • @millicentayangokunting3728
      @millicentayangokunting3728 2 года назад

      True

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 Год назад

      Sawa,lakini tambua unapomjua adui yako vizuri alivyo ni raisi kumpiga na kumshinda kwa neno la MUNGU

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 Год назад

      Wewe inawezekana hujijui nikupe pole inawezekana ni wakala kipofu wa shetani,maana JEHOVAH MUNGU kamkomboa huyu mtumishi Mchungaji katekele ili azifumbue siri za kuzimu watumishi wa MUNGU yaani walokole wazijui ili waishi UTAKATIFU zaidi na wamchape lucifer vizuri.

    • @furahamwatwinza9560
      @furahamwatwinza9560 Год назад

      Zinatufanya tuimarike na kuzidi kuuamini ukuu wa Mungu na nguvu zake,,,,ushuhuda hujenga,huinua,huimarisha roho na kukusaidia kusonga mbele,,,,Mungu amewatoa huko makusudi ili watu wajue namna ya kukaaa vzr na Mungu

    • @furahamwatwinza9560
      @furahamwatwinza9560 Год назад

      Wewe humu unatafuta nini?

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 Год назад +1

    Amina Amina

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад +3

    Halafu jacton huyu usimwache mpaka atufunze mambo ya hizo nywele ambazo wadada wamekataa kuziacha

  • @saramichael9059
    @saramichael9059 2 года назад +3

    kaka jacktan Tunakupenda saana katika BWANA, maana unatuletea mambo yanayotuwezesha kufungua fahamu zetu ktk JINA LA YESU KRISTO. uzid kubarikiwa saana. I must say.

  • @aberymsovela8866
    @aberymsovela8866 2 года назад +3

    Jesus ilove u more

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 2 года назад +4

    Uyu jamaa bado bado anaushuhuda mkubwa sana,

  • @thobiasleonard5658
    @thobiasleonard5658 Год назад +1

    Mtumishi amiel uwehodari na moyo wa ushujaa.hutakufa utaishi nawe utasimulia matendo ya Bwana.

  • @annacharles2842
    @annacharles2842 2 года назад +3

    The big testimony congratulations

  • @fredanunda7719
    @fredanunda7719 Год назад

    Hayo ni maajabu😮😮😮😮😮😮 hata wasanii wanatoa kafara???😮😮😮 mungu wangu!!!!

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂najaribu kuvuta picha huo ulevi wa petrol uliokua unajichomeka Bomba afu petrol inaingia yote kupitia haja KUBWA afu kinyes kilaruka kama bom😂😂😂 spat picha mtumish

  • @fredanunda7719
    @fredanunda7719 Год назад

    Nimeshangaa sana sana🇰🇪🇰🇪 mimi ni muimbaji wa nyimbo za injili,lkn hazijafika mahali,wengi wanapozisikia wananiona mtu mkubwa,lkn sivyo,je,kuna jambo shetani amenikanyagia nyota yangu kwa njia moja na nyingine kutokana na mawakala ya shetani??? Naomba mashauri mtu wa Mungu.. Niko 🇰🇪🇰🇪 Nairobi..

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 2 года назад +4

    Asante sana Jacktan na Promover TV kwa ushuhuda huu.
    Naomba uandae masomo mengine na mtumishi huyu, kwa mfano kilichowafanya wafanikiwe au washindwe kuwatesa walokole. Walivyopigana na makanisa. walivyofanya maisha ya watu kuwa magumu.

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +2

    Warokore kupingwa poze hawaendelei wingine mateso mengi bali twaomba saana ata fasting nini baya pls huyo kaka atueleze twafatilia kenya 🇰🇪

  • @SalmaSalma-dh1tq
    @SalmaSalma-dh1tq Год назад

    Mungu.akupandishe.kiwango.cha.juu.mtumishi.wa.mungu

  • @saramichael9059
    @saramichael9059 2 года назад +4

    I feel blessed

  • @geofreyalexander1382
    @geofreyalexander1382 2 года назад +3

    Marehemu Ng'ombe...nimecheka sana

  • @MumQueen
    @MumQueen 2 года назад +8

    God is great all glory to Jesus. what an amazing testimony.

    • @kuruthumsaid8586
      @kuruthumsaid8586 2 года назад

      Muulize kanumba anafanya kazi gani huko kuzimu je anateseka au anakula bata

    • @myself4128
      @myself4128 2 года назад +1

      @@kuruthumsaid8586Jamani Tumsahau aliyachagua mwenyewe maisha yake

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +2

    Twa wangojea hapa kenya 🇰🇪 brother may Godbless nd protect you 🙏 ❤

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 2 года назад +2

    Mungu akubariki mtumishi jactan kwa huduma zote za promover tv tunajifunza mengi nakuendele kumpenda Yesu kristo wetu tuu wa milele utukufu kwa Yesu kristo wa nadharethe aliye hai.

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 года назад +1

    Kwa YESU KRISTO Kuna raha,njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha, maana mzigo wangu ni laini na nira yangu ni nyepesi njoni kwangu mtapata raha,,Asema BWANA wa majeshi

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +2

    Please endeleeni na na huyu ndugu waiting for nex part ...pia mlete 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nautwambieeeee

  • @standbygospelassemblysga6736
    @standbygospelassemblysga6736 2 года назад +3

    Mungu awabariki sana Kwa shuhuda hizi Jactan hakika Ubarikiwe sana sana

  • @aaronswai6935
    @aaronswai6935 2 года назад +2

    Huyu mtumishi Mungu ambariki sana na amtunze na kumlinda!

  • @magejose1386
    @magejose1386 2 года назад +2

    PASTOR NINAKUPENDA SANA KWA UPENDO WA WAENDA MBINGUNI NIMEBARIKIWA SANA,MUNGU AKUZIDISHE WEWE NA FAMILIA YAKO NA KANISA LAKO,MUNGU AKINIJALIA NA ANIKUMBUSHE NITAKUJA KUFANYA JAMBO JUU YA KANISA NA KWA NYUMBA YAKO...NIMEONA KANISA HALIJAISHA.

  • @marykilila8786
    @marykilila8786 2 года назад +2

    Umusaidie huyu ndugu atowe ile nembo hata anasema sio kitu ni kitu katika ulimwengu wa giza . Atowe

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka 2 года назад +2

    Waah hakuna kisichowezekana kwake YESUUUUU kweli asante watumishi wa Mungu Mungu awabariki na awazidishie kila iitwayo leo

  • @yesutuatosha1460
    @yesutuatosha1460 9 месяцев назад +1

    Hongera sana mtumishi wa Mungu,wewe ni chombo kuteuliwa kwaajili ya Bwana.

  • @saimonathuman6126
    @saimonathuman6126 2 года назад +1

    Samahani Mr.Jacktan naomba umuulize kama walipokuwa huko kuzimu je, walikuwa wanasheherekea Krismas au walikuwa Wanafanya sherehe gani uko ? Samahani Sana

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 2 года назад +1

    Asante Jacktan......nahisi ushuhuda wake bado mrefu na kuna vitu vingi hajatuambia......tafadhali wacha aendelee 🇰🇪🇰🇪

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +2

    Amen Amen Amen Ameeeeeeeen BWANA awabariki sana watumishi wa BWANA

  • @neemamushi2434
    @neemamushi2434 2 года назад +1

    Mchungaji anafanana na msanii was dunia OMI dimpo

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад +1

    Mtumishi wa madhabahuni atakula madhabahuni!!!

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 2 года назад +2

    Mbona sipati part 5,6,7 ndugu jacktan ya huu ushuhuda.

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 года назад +1

    Hakika Mungu yuko mbingun ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli nmepata ujuzi hapa

  • @marykilila8786
    @marykilila8786 2 года назад +2

    Eeeee Padri naye kweli atakusaidia katika imani ya kuingia mbinguni kweliii ?

    • @Sara-ne3xl
      @Sara-ne3xl 2 года назад

      Kwakweli Mungu amsaidie,hata hiyo siloamu mmmh

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 2 года назад +1

      @@Sara-ne3xl nadhani siyo sloam hiyo ni jina tu la kanisa katika TAG, nadhani hivyo

    • @beatricesanga7994
      @beatricesanga7994 2 года назад +1

      Jamani MUNGU ni mwema kwetu walokole anatujari hivyo mmmmh

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 года назад +2

    Barikiwa jacktani kwakazi nzrii Mano mengi nimeya skia nimejifunza abarikiwe pia mtumishi wa MUNGU Mungu amtie nguvu 🙏

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 года назад +1

    Yesu ndio Alama ya Kiama, alikufa akafufuka, wengine walikufa hawakufufuka, atarudi tena kumaliza Kazi. sasa hivi anaandaa Makao ya Milele kwa wale watakaomuamini.

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +1

    Eee wee ndiyo watu wengine wakitembea nyumba ya mtu lazima waingiee chooni kabla aja kaa chini... mulize ...m wengine ana kuletea mkate anakula yote na turungi majachai ?Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 2 года назад +1

    Hii ni aina ya mbinu murua kabisa Bwana Yesu Kristo anaitumia kutufunulia kizazi kisichoamini juu ya uwepo halisi wa ulimwengu wa roho. Ndugu zangu, Heaven and Hell are both real. Afterdeath life is real. Nashangaa wachungaji wengi hupinga sana Revelations hizi. Bwana Yesu Kristo tusaidie.

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +1

    Mulizie kwanini sometimes wakristo mabo ni maguumu sana kama kukosa kufanikiwa kimaisha...kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @navokisembo
    @navokisembo 2 года назад +1

    Duh hiyo ndege kijiko ni kiboko, kweli uchawi ulaaniwe. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu mkuu

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073
    @apostlerebeccamunguaniinul7073 Год назад +1

    Kwa kweli asante sana na funguka na nita omba zaidi kabisa

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 года назад +2

    UKIOKA LAZIMA VITA IWEPO

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +1

    Ndungu Justin heeee may God bless you so much 🙏 ❤ we Love this kenya 🇰🇪

  • @frankinspired6486
    @frankinspired6486 2 года назад +1

    Hii ni zaidi ya ushuhuda, hii ni shule.. Asanteni Jacktan.. Part 9 sasa

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 2 года назад +1

    Gharama ya wokovu hio jameni akayapitia haya yote, Yesu ni mwema siku zoote

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 Год назад

    Namba za mtumishi

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад +1

    Be blessed man of God Mr jacktan ubarikiwe

  • @sote100
    @sote100 2 года назад +1

    Mtumishi huyo padri wa nini labda Kama unataka kumuhubiria aokoke lakini kutwambia baba yako wa kiroho hapo umechemsha

    • @josialuvanda
      @josialuvanda 2 года назад

      Mapadre nao ni watumishi wa Mungu. Waache wewe endelea na kumwamini Mungu wako.

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 2 года назад +1

    Asanteni sana kwa ushuhuda mzuri,nimejifunza mambo mengi ya muhimu

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Год назад +1

    Nampenda Yesu aliyenifia msalabani

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Год назад +1

    Aisee Yesu mimi ninakupenda

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 2 года назад +1

    Sasa huyu hatawai sahau hio lugha ya kuzimu

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +1

    Ukisimama na Mungu freemason awakugusi

  • @neemamushi2434
    @neemamushi2434 2 года назад +1

    Mungu awabariki Sanaa watumishi kwa kaz njema ya ufalme was Mungu

  • @mariamgaya4206
    @mariamgaya4206 2 года назад +1

    MUNGU aendelee kumpigania asiiguse dhambi.

  • @liliananyango834
    @liliananyango834 2 года назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai, umenifunulia zaidi ulimuengo was rohoni, mambo fiche

    • @liliananyango834
      @liliananyango834 2 года назад +1

      Naomba wengi sana pia wafunuliwe hapa kwetu Kenya, Mungu akule kwetu pia

  • @matridamwandambo9656
    @matridamwandambo9656 2 года назад +1

    Marehem ngombe

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 2 года назад +2

    AMEEN

  • @isayanyingi6622
    @isayanyingi6622 2 года назад +1

    Kazi nzuri najifunza mengi sana

  • @mariamgaya4206
    @mariamgaya4206 2 года назад +3

    Jactan wewe Ni mtumishi wa MUNGU saa tisa!!! Pole Sana MUNGU aendelee kukutegemeza,uendelee kutuletea vitu vya kutujenga kiroho,na mtumishi wa MUNGU,aendelee kumpigania asiiguse dhambi.

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 2 года назад +1

    Namba zake simu

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 2 года назад +1

    Damu ya Yesu kristo ikufunike nakukutetea.

  • @meggyfestus8741
    @meggyfestus8741 2 года назад +1

    Jesus is great 👍 karibu ni kenya 🇰🇪 😍

  • @saimonathuman6126
    @saimonathuman6126 2 года назад +3

    Be blessed Mr Msafiri 🇹🇿

  • @pamelakibet-tetinitiatives9075
    @pamelakibet-tetinitiatives9075 2 года назад +1

    Thank you for teaching us God protect this servant on this earth

  • @georgemungai3813
    @georgemungai3813 Год назад

    Yesu Christo ni mwema na mwenye Nguvu milele! Akulinde ukifanya kazi yake.

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад +1

    Ng'ombe htr 🤣🤣🤣

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 2 года назад +2

    Mungu ni mwema

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 2 года назад +1

    Mngu akubariki Sana mtumishi

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 2 года назад +1

    Wasanii nao,mungu awasaidieee saans

  • @emmanuelissack9402
    @emmanuelissack9402 2 года назад

    Niko tabora tunabarikiwa nifulah et malehemu ng'ombe

  • @bibbydotcom
    @bibbydotcom 2 года назад +3

    Amen!!! I'm very encouraged naomba wachungaji wetu na wakristo wote tufahamu umuhimu wa kuomba, kusoma neno na kutafuta uso wa Mungu. Tayari tumefichuliwa kuwa Yesu tunayemuomba ana nguvu. Greater is He that is in me than he that is on the world...

  • @joshuayunga4052
    @joshuayunga4052 2 года назад +1

    Yesu ni kila ki2

  • @SarahMalila
    @SarahMalila Год назад

    Sifa na utukufu Ni kwako Yesu kristo ulie Bwana na mwakozi wa maisha yetu.

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 2 года назад

    🥴🥴🥴jamaaaaniiii iyi mambo tshooni !🤢!...utshafu ni utyawi kweli...

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад +1

    May our God Jesus Christ, bless promover tv.

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 2 года назад

    Unauchungu wa kumtumikia Mungu kaza mwwndo ukifika kasulu nitafute kunajambo nataka nikuulize juu ya ule ufalme ulikuwa unautumikia

  • @winfridalazaro296
    @winfridalazaro296 2 года назад +1

    Yesu ni Bwana

  • @annnyakio7231
    @annnyakio7231 2 года назад +1

    Wow God great very day love that testimony 🙏

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 года назад

    Bilioni 968 ya zimbabwe ambayo ni sawa na 23000 za kitanzania msishtuke sana

  • @lucyjoseph4216
    @lucyjoseph4216 2 года назад +1

    Bona Jactan mchungaji hapeani number?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Ushuhuda haujafika mwisho,atatoa mwisho