Part8_Nilikoswa kuuawa mara 49 baada ya kuokoka|ALIYEKUWA CHIFU WA WAGEREGERE KABILA LA KICHAWI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Ahahahaa mch umenifurahisha hapo uliposema"marehemu ngo'mbe"🙏🙏Ameen sn
Aaandike na kitabu
This is the best testimony nishawai sikia we need to learn more from him 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪jacktan blessings
Kweli kabisa shekhe Omary Mnyeshani kwenye shuhuda zake na yeye aliongelea habari za jini jaha na yeye alimpata comoro.
Amen and Amen yaani mungu alitaka tujifunze kutoka kwako mutumishi ,wanaokuwinda watajiju wenyewe hii siri wengi huwa wanaficha ila ww umeamua kufichua wa neema ya mungu iwe juu yko wasikuone ww waone kilicho ndani mwako....nabatikiwa nikiwa saudi, welcome kenya 🇰🇪 twakupenda kwa upendo wa yesu christo alie hai Amen 🙏
Jamani Mungu huwa wakati mwingine ana makusudi yake. Siku anakamatwa kwenda kuzimu Yesu hakuweza kumwokoa licha ya kutamka mara kadhaa Yesu amwokoe. Lengo lilikuwa baadaye afanye kazi yake.
Kabisa
Lengo ilikuwa akajifunze ili apate maarifa zaidi
Nikweli huu ni zaidi ya ushuhuda 🙏🙏🙏
Kweli
Njooni Kenya sehemu inayoitwa kisii kwa kabila linaloitwa WAKISII uchawi huko ni hatari sana mbaka wachungaji makanisani wachawi kinoma!! Leta injili huko
Vita vya mwamini vya kiroho
Waefeso 6:10-18
Vita vya mwamini kwa njia nne
1:Amemtaja adui yetu ni nani waefeso6:10-18
2:Aina ya vita vyetu waefeso6:12
3:Silaha zetu tunazotakiwa kutumia katika vita vyetu waefeso6:13-18
4:Jambo linaloweza kusababisha silaha zifanye kazi waefeso 6:18
BWANA YESU KRISTO WA Nazareth Aliye hai Asifiwe sana wapendwa wa MUNGU.. Nina ujumbe wa neno la MUNGU nataka ku share na ninyi
Aina ya vita zetu sisi waumini wa MUNGU
1:Sio za kibinadamu
2:Vitq vyetu ni juu ya falme za giza
3:Vita vyetu ni juu ya wakuu wa giza
4:Mamlaka ya giza
5:Majeshi ya pepo wabaya
Nb:Hawa ndio tunao pambana nao/Hatupambani na wanadamu na wala hatupambani na mtu
Aina za silaha ambazo tumepewa na YESU KRISTO kwa ajili ya kuzitumia
Ziko silaha 7
1:Basi simameni hali mmejifungua kweli
1:Kweli( uwe mkweri katika maisha yako , kama ndio uwe ndio na kama hapana sio hapana, na wala usiwe mtu wa kusema uwongo )
2:Haki
3:Utayari wa kuhubiri injili
4:Ngao ya imani
5:Wokovu( uwe umeokoka kweli na kuya acha yote ya duniani)
6:Neno la MUNGU ( hii ndio silaha kuu, uwe unasoma neno la MUNGU kila siku na kulishika na kulifuata)
7:Maombi( ndio ngao yetu hii , hakikisha unasali kwa kumaanisha na kulitaja jina la YESU KRISTO na kutumia DAMU ya YESU katika maombi yako
Kuna Nguvu tunaposali kwa kutumia jina la YESU KRISTO aliye hai
MUNGU awalinde mbakie katika imani yenu na kesheni mkisali ili msi ingie majaribuni
Amen
AMEN!
Huyu mtumishi anaakili sana na nimejifunza kitu shetani hutafuta watu wenye vipawa na akili wamtumikie.Mtumikie Mungu kwa nguvu zote
Kuhusu ushetani wa wazungu. Jamaa nimemuelewa barabara.
Huyu jamaa yupo sawa. Ukimsikiliza utafanikiwa pakubwa sana.
Ameen and Ameen be blessed man of God Mr Jacktan good job 🇰🇪🙏
MUNGU atusaidiye ktk hii dunia
...😂😂😂🤣marehemu ngombe😂😂😂
😂😂😂😂
Ushuhuda unajenga sana. Ninaomba Promo mtusaidie Kupata Baba Mzazi wa Aminiel naye ahojiwe na ushuhuda wake uletwe hapa kabisa. Hii itaongeza jambo katika kutilia muhuri kwa ushuhuda huu. Barikiwa sana.
God is good, and Jesus is the SON
Umekua ushuhuda mzuri sana tumejifunza mengi Mungu awabariki mtumishi JACKTAN na mchungaji Amieli
Etii marehemu NG'OMBE,AHAAAA JAMANI
Haaaaa! Mungu mkubwa sana
Watu wengi hupenda Sana shuhuda za kuzimu lakini hawapendi kujifunza Neno la Mungu! Jifunzeni harafu chukueni hatua mara moja
True
Sawa,lakini tambua unapomjua adui yako vizuri alivyo ni raisi kumpiga na kumshinda kwa neno la MUNGU
Wewe inawezekana hujijui nikupe pole inawezekana ni wakala kipofu wa shetani,maana JEHOVAH MUNGU kamkomboa huyu mtumishi Mchungaji katekele ili azifumbue siri za kuzimu watumishi wa MUNGU yaani walokole wazijui ili waishi UTAKATIFU zaidi na wamchape lucifer vizuri.
Zinatufanya tuimarike na kuzidi kuuamini ukuu wa Mungu na nguvu zake,,,,ushuhuda hujenga,huinua,huimarisha roho na kukusaidia kusonga mbele,,,,Mungu amewatoa huko makusudi ili watu wajue namna ya kukaaa vzr na Mungu
Wewe humu unatafuta nini?
Amina Amina
Halafu jacton huyu usimwache mpaka atufunze mambo ya hizo nywele ambazo wadada wamekataa kuziacha
kaka jacktan Tunakupenda saana katika BWANA, maana unatuletea mambo yanayotuwezesha kufungua fahamu zetu ktk JINA LA YESU KRISTO. uzid kubarikiwa saana. I must say.
Asante sana,nawapenda pia
Jesus ilove u more
Uyu jamaa bado bado anaushuhuda mkubwa sana,
Mtumishi amiel uwehodari na moyo wa ushujaa.hutakufa utaishi nawe utasimulia matendo ya Bwana.
The big testimony congratulations
Hayo ni maajabu😮😮😮😮😮😮 hata wasanii wanatoa kafara???😮😮😮 mungu wangu!!!!
😂😂😂😂😂najaribu kuvuta picha huo ulevi wa petrol uliokua unajichomeka Bomba afu petrol inaingia yote kupitia haja KUBWA afu kinyes kilaruka kama bom😂😂😂 spat picha mtumish
Nimeshangaa sana sana🇰🇪🇰🇪 mimi ni muimbaji wa nyimbo za injili,lkn hazijafika mahali,wengi wanapozisikia wananiona mtu mkubwa,lkn sivyo,je,kuna jambo shetani amenikanyagia nyota yangu kwa njia moja na nyingine kutokana na mawakala ya shetani??? Naomba mashauri mtu wa Mungu.. Niko 🇰🇪🇰🇪 Nairobi..
Asante sana Jacktan na Promover TV kwa ushuhuda huu.
Naomba uandae masomo mengine na mtumishi huyu, kwa mfano kilichowafanya wafanikiwe au washindwe kuwatesa walokole. Walivyopigana na makanisa. walivyofanya maisha ya watu kuwa magumu.
Warokore kupingwa poze hawaendelei wingine mateso mengi bali twaomba saana ata fasting nini baya pls huyo kaka atueleze twafatilia kenya 🇰🇪
Mungu.akupandishe.kiwango.cha.juu.mtumishi.wa.mungu
I feel blessed
Marehemu Ng'ombe...nimecheka sana
😂
🤣🤣
God is great all glory to Jesus. what an amazing testimony.
Muulize kanumba anafanya kazi gani huko kuzimu je anateseka au anakula bata
@@kuruthumsaid8586Jamani Tumsahau aliyachagua mwenyewe maisha yake
Twa wangojea hapa kenya 🇰🇪 brother may Godbless nd protect you 🙏 ❤
Mungu akubariki mtumishi jactan kwa huduma zote za promover tv tunajifunza mengi nakuendele kumpenda Yesu kristo wetu tuu wa milele utukufu kwa Yesu kristo wa nadharethe aliye hai.
Kwa YESU KRISTO Kuna raha,njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha, maana mzigo wangu ni laini na nira yangu ni nyepesi njoni kwangu mtapata raha,,Asema BWANA wa majeshi
Please endeleeni na na huyu ndugu waiting for nex part ...pia mlete 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nautwambieeeee
Mungu awabariki sana Kwa shuhuda hizi Jactan hakika Ubarikiwe sana sana
Amen
Huyu mtumishi Mungu ambariki sana na amtunze na kumlinda!
PASTOR NINAKUPENDA SANA KWA UPENDO WA WAENDA MBINGUNI NIMEBARIKIWA SANA,MUNGU AKUZIDISHE WEWE NA FAMILIA YAKO NA KANISA LAKO,MUNGU AKINIJALIA NA ANIKUMBUSHE NITAKUJA KUFANYA JAMBO JUU YA KANISA NA KWA NYUMBA YAKO...NIMEONA KANISA HALIJAISHA.
Umusaidie huyu ndugu atowe ile nembo hata anasema sio kitu ni kitu katika ulimwengu wa giza . Atowe
Waah hakuna kisichowezekana kwake YESUUUUU kweli asante watumishi wa Mungu Mungu awabariki na awazidishie kila iitwayo leo
Hongera sana mtumishi wa Mungu,wewe ni chombo kuteuliwa kwaajili ya Bwana.
Samahani Mr.Jacktan naomba umuulize kama walipokuwa huko kuzimu je, walikuwa wanasheherekea Krismas au walikuwa Wanafanya sherehe gani uko ? Samahani Sana
Asante Jacktan......nahisi ushuhuda wake bado mrefu na kuna vitu vingi hajatuambia......tafadhali wacha aendelee 🇰🇪🇰🇪
Amen Amen Amen Ameeeeeeeen BWANA awabariki sana watumishi wa BWANA
Mchungaji anafanana na msanii was dunia OMI dimpo
Mtumishi wa madhabahuni atakula madhabahuni!!!
Mbona sipati part 5,6,7 ndugu jacktan ya huu ushuhuda.
Zipo zitafute vizuri
Hakika Mungu yuko mbingun ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli nmepata ujuzi hapa
Eeeee Padri naye kweli atakusaidia katika imani ya kuingia mbinguni kweliii ?
Kwakweli Mungu amsaidie,hata hiyo siloamu mmmh
@@Sara-ne3xl nadhani siyo sloam hiyo ni jina tu la kanisa katika TAG, nadhani hivyo
Jamani MUNGU ni mwema kwetu walokole anatujari hivyo mmmmh
Barikiwa jacktani kwakazi nzrii Mano mengi nimeya skia nimejifunza abarikiwe pia mtumishi wa MUNGU Mungu amtie nguvu 🙏
Yesu ndio Alama ya Kiama, alikufa akafufuka, wengine walikufa hawakufufuka, atarudi tena kumaliza Kazi. sasa hivi anaandaa Makao ya Milele kwa wale watakaomuamini.
Eee wee ndiyo watu wengine wakitembea nyumba ya mtu lazima waingiee chooni kabla aja kaa chini... mulize ...m wengine ana kuletea mkate anakula yote na turungi majachai ?Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Hii ni aina ya mbinu murua kabisa Bwana Yesu Kristo anaitumia kutufunulia kizazi kisichoamini juu ya uwepo halisi wa ulimwengu wa roho. Ndugu zangu, Heaven and Hell are both real. Afterdeath life is real. Nashangaa wachungaji wengi hupinga sana Revelations hizi. Bwana Yesu Kristo tusaidie.
Mulizie kwanini sometimes wakristo mabo ni maguumu sana kama kukosa kufanikiwa kimaisha...kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Duh hiyo ndege kijiko ni kiboko, kweli uchawi ulaaniwe. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu mkuu
Kwa kweli asante sana na funguka na nita omba zaidi kabisa
UKIOKA LAZIMA VITA IWEPO
Ndungu Justin heeee may God bless you so much 🙏 ❤ we Love this kenya 🇰🇪
Hii ni zaidi ya ushuhuda, hii ni shule.. Asanteni Jacktan.. Part 9 sasa
Gharama ya wokovu hio jameni akayapitia haya yote, Yesu ni mwema siku zoote
Namba za mtumishi
Be blessed man of God Mr jacktan ubarikiwe
Mtumishi huyo padri wa nini labda Kama unataka kumuhubiria aokoke lakini kutwambia baba yako wa kiroho hapo umechemsha
Mapadre nao ni watumishi wa Mungu. Waache wewe endelea na kumwamini Mungu wako.
Asanteni sana kwa ushuhuda mzuri,nimejifunza mambo mengi ya muhimu
Nampenda Yesu aliyenifia msalabani
Aisee Yesu mimi ninakupenda
Sasa huyu hatawai sahau hio lugha ya kuzimu
Ukisimama na Mungu freemason awakugusi
Mungu awabariki Sanaa watumishi kwa kaz njema ya ufalme was Mungu
MUNGU aendelee kumpigania asiiguse dhambi.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai, umenifunulia zaidi ulimuengo was rohoni, mambo fiche
Naomba wengi sana pia wafunuliwe hapa kwetu Kenya, Mungu akule kwetu pia
Marehem ngombe
AMEEN
Kazi nzuri najifunza mengi sana
Jactan wewe Ni mtumishi wa MUNGU saa tisa!!! Pole Sana MUNGU aendelee kukutegemeza,uendelee kutuletea vitu vya kutujenga kiroho,na mtumishi wa MUNGU,aendelee kumpigania asiiguse dhambi.
Namba zake simu
Damu ya Yesu kristo ikufunike nakukutetea.
Jesus is great 👍 karibu ni kenya 🇰🇪 😍
Be blessed Mr Msafiri 🇹🇿
Amen
Thank you for teaching us God protect this servant on this earth
Yesu Christo ni mwema na mwenye Nguvu milele! Akulinde ukifanya kazi yake.
Ng'ombe htr 🤣🤣🤣
Mungu ni mwema
Mngu akubariki Sana mtumishi
Wasanii nao,mungu awasaidieee saans
Niko tabora tunabarikiwa nifulah et malehemu ng'ombe
Amen!!! I'm very encouraged naomba wachungaji wetu na wakristo wote tufahamu umuhimu wa kuomba, kusoma neno na kutafuta uso wa Mungu. Tayari tumefichuliwa kuwa Yesu tunayemuomba ana nguvu. Greater is He that is in me than he that is on the world...
Yesu ni kila ki2
Sifa na utukufu Ni kwako Yesu kristo ulie Bwana na mwakozi wa maisha yetu.
🥴🥴🥴jamaaaaniiii iyi mambo tshooni !🤢!...utshafu ni utyawi kweli...
May our God Jesus Christ, bless promover tv.
Amen
Unauchungu wa kumtumikia Mungu kaza mwwndo ukifika kasulu nitafute kunajambo nataka nikuulize juu ya ule ufalme ulikuwa unautumikia
Yesu ni Bwana
Wow God great very day love that testimony 🙏
Bilioni 968 ya zimbabwe ambayo ni sawa na 23000 za kitanzania msishtuke sana
Bona Jactan mchungaji hapeani number?
Ushuhuda haujafika mwisho,atatoa mwisho