Part17_ACD(Ufanye nini kuimarisha mamlaka ya imani)|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Asiye kuamini akalale,atuachiye YESU wetu aendelee kutuponya kupitiyaa Amieli katekera,ubarikiwe Jactan ,kazi iendelee.mlingoti chuma bendera chuma.
Sahihiii
Mungu Azidi Kukupigania Hakika kupitia ushuhuda huu Mungu amenifundisha Mengi niliyokuwa najiuliza sana, Tunashukuru kwa Maarifaa hayaa
Gwajima Kila weekend anazunguka Kila mikoa ya Tanzania akitoa misukule mapangoni the man has great faith
Kabisa
Hakika Gwajima Jasusii la Mbinguni .Yesu Awatienguvu
@@lucykapinga369 yaaaaap masomo yake ni fayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tangu nianze kumsikilza mtumishi huyu nimeinuka sana kiroho . Mbarikiwe sana
Hii channel iko vzr Sana. Kuna video nyingine inaitwa milango 351 ya kuzimu. Aise Kuna ushuuda mzuri sana
Huyu jamaa anajua vitu vingi Sana from day one niki mu watch tu pap nika mpenda Sana God bless you pastor amieli
Nashukuru Mungu akubariki kwakutufundisha
Very sharp and smart guy, na ndo sababu adui alimtumia sana.
kweli pastor sio kazi raisi kama tunavyo fikiria ila kwa uwezo wa Mungu tunaweza yote katika yeye atutiaye nguvu nimekuelewa
Mtumishi achana nao
Mtumikie YESU KRISTU aliyekuita kwa utumishi
Mwanadamu asikusumbuwe.
Atengeneze naye ya kwake,
Tuambie sisi tunakusikiliza
Songa mbele 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mch usivunjwe nguvu na comments ya ma agents wakuzimu , wana kundi kubwa, watakufatiliya munjiya tofauti, ionekane izosiri zakuzimu niuongo, tunaamini ni kweli , kwatarifa ya habari , Yesu haya wayi shindwa, siri zilisha toka ingeeee 💪💪💪🤪🤣🔥🔥🔥🔥
Asiyekuamini mchawi!!na ukweli wanaujua,anajitahidi kupotosha umma,amechelewa
Hao wanasema ni kick ni wachawi
Naendelea kubarikiwa ashante Kwa kufichua hizi Siri
Hivi ndio maana hakuna wachungaji wa uhongo kamavile inavyo sema Biblia katika vitabu hivi
Exodus 7:11
Daniel 2:2
Mchungaji ni Isaya 45 -3 sio mbili ubarikiwe
Hila pastor, kufunga sio sababu ya kuumwa vidonda vya tumbo, wengine tumeanza kuumwa kabla ya kuwa tunafunga, tumeponea kwenye maombi
HAKIKA YESU AMEJITWALIA MTAUWA WAKE
MUNGU WA MBINGUNI ALIYE HAI NA MWAMINIFU AKUBARIKI NA KUKULINDA SIKU ZOTE MCH AMIELI
Anayeona wafanya Kiki naye aanze yake..... Mbona binadam tunakasolo kiasi hichi..... Mungu akujalie neema ufike viwango vikubwa....... Mtumishi
Mtumishi mungu akutunze naomba uje morogoro utusaidie
Mungu azidi kukubariki mchungaji uduma ihendelee.
Hii ndio maana ya watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, ukifanikiwa kusikia hizi shuhuda lazima upate maarifa ya kuku vusha
Bwana yesu asifiwe Sana mtumishi wa Mungu nakutakia nguvu kabisa kabisa kabisa ya kufanya kasi ya Mungu, may your life be prolonged natamani Sana kukutuma Ma Wewe ana Kwa ana nimekufuatilia Sana yote unasema nimeuona Nina Shida nahitaji unisaidie mimi niko Saudi Arabia kasi ya nyumba, ni mkenya WA western amani ya Bwana mtumishi endelea mbele ktk jina Bwana wetu YESU CHRISTO Ubarikiwe pia wewe Sana sana
Wachungaji wengi wanaanzia chini mnooo ila wakianza kutajirika wanaonekana kama freemason ingawa zamani walisota mnoo hii imekaaje ?
Hao wanaosema unatafuta kiki, watakua ni wale wale wanataka kukudhoofisha ili usiseme siri zao.
ndo ivo yan ukiona wanakosoa ndo haohao hawatak siri zao ztolewe
Kweli Kuna makanisa ya uwongo yapo mana hyo lugha uliyoongea Kuna nabii fulan huku ketu ananena malanyingi maneno hayohayo
Nawapenda sana.
Nasubiri hiyo clip yenu na Omari kwani Omar nimejifunza sana kupitia yeye
Wanaosema unatafuta kick hao ni Mapepo
Lakini kweli jamani inaumaaaa sanaa, mtu unamsaidia Badae unaonekana si kitu
Wasiyo Tala ukweli wachana nao
Kweli mch huduma hiyo ni ngumu
Amen achana na watu wa ajabu mtumishi hata yesu alidhihakiwa...hawa ni binadamu tu
Unanifunza mengi Sana haswa Kwa Mimi ninae jiandaa kuenda kuihubiri injili ya YESU na kuzikomboa nafsi zilizopotea zikapate kurudi kwa YESU na kuingia mbinguni
Mimi sikujui Mimi ni Mkenya lakini kwa Yale maneno mazito unayo ongea kuhusu kuzimu Mimi na kuamuni kabisa mtumishi achane nae usipoteze mda kujibishanae nae sisi tupo hapo tuna subiri uhondo
Jactan ,nauliza hivi siku hizi kuna viti ,site ya mgogo ni virefu kama vya malkia siku hizi ,viko hata makanisani watumishi wanavikalia ,na kupita mkuu ,anaufahamu juu ya hivi huku Kenya 🇰🇪 viko sana kwa Church sana
Mtumishi achana nao hao
BWANA YESU ALIYEHAI amekutuma kwa watu wake
Tunafunguliwa tunapokea
Endelea kutufundisha,
MUNGU ALIYEHAI akubariki na aendelee kukusimamia na PTOMOVERTV mtumishi Jactan mbarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
Kaka jaktani naomba umkutanishe omary mnyeshani. Na amiel watupe neno kwa pamoja ..
Amina Mungu akulinde
A,c,d ni Nini naomba mchungaji anifafanulie nipo mbeya naitwa bupe nimeokoka nampenda yesu,na natamani kumuonea mtumishi
fatilia vipindi vya promova tv mwanzo mpaka mwisho.
AMEN tangu nianze kuskiza huu ushuhuda siko km nilivyo kuwa pstr MUNGU akubariki na azidi kukulinda na mishale yote🙏
Amazing story May god’s blessings and continue to preach the gospel to the world through Jesus Christ 🙏
Umejiponya
waaah !!Jesus apewe sifa sana kupitia huyo dungu sana 🙏
Mungu azidi kuwasimamia na kuwaongoza katika kuitangaza injili, piga injili Mtumishi kazi iendelee..
Am blessed mutumishi wa mungu
Je katika maombi ya siku tatu huli hunywa maji au chakula
Sisi Tunakuelewa Tunapata Mabadiliko na Nguvu Mpya.. asiekuelewa Tunamuombea MUNGU amfungue ufahamu Kwa Jina La YESU..
shetani ni roho na anatumia mwli ili kukuvunja moyo.mtumish hyo aliekoment achana nae endelea kupiga injili you are serving the living God
Jamayangu unapiga kwa uchungu kwani ulikuwa pabaya zaidi hivo bira kutumia neno la mamraka watanzania wamesha shikwa wengi Mimi nakuonea huruma sana kwani hawataki watu wajue juu ya huo ufalme wagiza ulivo teka makanisa VP kuhusu mama wa Mungu kwenye ule ufalme aliitwaje?tusaisie ili tujitwgue mapema Amina
Groly to almighty God
I believe together with you man ofGod
Vile nliskia ushuhuda wako nliweza kulinganisha na hiyo ajali ya kitui,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mungu awalegeshe katika jina la yesu...
By the way mambo zingine zinaanza kuonekana kwa njia ingine.
Nimefurahi sana kuona mchungaji akiomba pale ajali lifanyika na kuvunja roho za mauti. God bless you mchungaji.
@morris Mo tumefunguliwa macho
@@elimukwadada me too akh I love this PST ministry
KANYAGA MAFUTA PASTOR, KANYAGIA MWENDO WA KM 300 KWA SAA. TUNAKULA VINONO, TEMA CHECHE!!!😂
Mchungaji unamaanisha nini unaposema LANGO, hapo mito mitatu inapo meet?? Hilo spiritual lango likoje likoje physically and spiritually???. Otherwise I am growing wonderfully by these knowledge of the WORD OF GOD!!
Mtumishi wa Mungu wanasema ni Kiki ni wale wale wametumwa kuharibu ushuhuda.
Naishiwa na maneno ya kuongea....barikiwa mchungaji...nazi tuombee tuongezewe na nguvu ya imani zaidi na zaidi....kutoka Kenya
kiukweli Mtumishi wa Mungu umenikomboa maisha yangu maana nilikuwa nimedumbukia kwenye dhambi na mitego ya shetani. Mungu wa mbinguni awabariki sana Promover tv na mzidi kutenda kazi ya Bwana . Amen
Mtumishi vipi kuhusu wachungaji wanao tumia ma bodyguard kwajili yausalama wao
Nawakati wanadai Kuwa wao ni manabii wakuu..Je Mungu hawezi kumlinda mtu bila hao maJAMA? Mbonawewe hauna? Me huwa najiuliza na sipati jibu.🤷🤦
Inategemea maana kunamapepo mengine yakipandisha Yanacharukaa Sanaa na kutaka Kupigana naon pia iyo sababu piaa
Hehee tunakuombea uende mchungaji nawao waokolewe kama wewe neno la Mungu linasema Mungu metupa roho yaujsiri sio yauoga sasa Mungu azidi kukujaza roho wake
Aliesema amieli mch anatafuta kiki Mungu amrehem naye aokoke
Atakuwa moja ya mawakala au anjeti wa shetani.
Tunakupenda na tunakuamini mchungaji,wanaokupinga usibishane nao,acha Yesu Kristo akufunike mtumishi 🙏
Mchungaji sasa unataka nini, wewe hubiri mungu tu baba ndiye anayejua. Yeye amekuookoa kabisa babangu. Wewe mungu akufikishe na MAENEO yote ya mkoa wa kilimanjaro kama mungu atakupankibali. Mim naamini mungu yuko pamoja nawe kabisa. HONGERENI san PROMOVER TV .
Akujee tu jmn Moshi Kilimanjaro na Arusha tunaitaj piya YESU atufunuliee zaidi n Zaid jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu akubariki mtumishi wa mungu ,kweli wewe umeokoka ,mungu akufunike na damu ya yesu iwe juu yako
Jactan,jitahidi kupunguza maswali maana unamtoa kwenye point/mada
Songs mbele mtumishi wa Mungu huyo anayesema unatafuta Kiki ni hao hao mashetani
Inatia MOYO Sana shuhuda hii Hongera Sana kaka jacktani msafili kwa tafiti nzuri
Amen
Thank you, Jesus. Wow powerful...Jesus all the way.
Msafiri Jacktan barikiweni
Amen
Sizani kama yupo asiye kuamini kama yupo akapime atakua na tatizo
Jameni nisaidieni vile navyoweza kumfikia huyu Mtumishi wa Bwana..
Karibu anapatikna geita but now Yuko Kenya kiuduma j5 nd anarud tz
@@maryandason1815 ahsante sana ntakuja..
@@pastorpraisehappiness2157 karb sn hppy ila Yuko Nairobi mpk next week atkuw karud tz
@@maryandason1815 Ahsante sana kwa mwaliko..
@@pastorpraisehappiness2157 ok dear
Nenda Nguruka na kilinge kimwone Bwana Yesu.
Songa mbele mch Amiel wakati wa bwana ukifika hakuna wa kuzuia.asante Mungu kwa upendo wako kwetu👏👏👏
Karibu sana tunangoja kwa hamu na shauku kubwa ya Kristo.
mtumishi nabii hapati heshima kwao huyo ni wa tanzania,sisi wakenya tunakuamini tunamuona Mungu kupitia kwako,usichoke mtumishi endelea mbele na Mungu akutie nguvu,promover team msichoke kuchangamana na mtumishi injili isonge mbele
Be blessed mtumishi
Jesus Messiah thank you
Umenibariki
Mtumishi wa Mungu,mtu anajuaje kama amemilikiwa ACD zake.nini dalili?
Huu ushuhuda wa mchungaji Amielli upo sawa na WA Erica Mukisa wa Uganda na mume wake alikua msanii wa mziki Bamboo. Wanahubiri na kutoa siri nzito za kuzimu. Wako Kenya na story ya Erica Mukisa na mchungaji Amielli ziko sawa especially jinsi kuzimu inavyo kua.
YESU Yuko pamoja nawe Mtumishi
Acha uwongo. Hila za kutafuta fedha za laana kazifanye Kongo.
Kumuona mtu sio Kumjua mtu yawezekana unamfahamu tuu kwa kumuona ila huwezi jua mtu hata ukiishi nae kama anaushirika na giza huwezi jua mpaka uwe Rohoni sana
Songa mbele mtumishi wa Mungu achana nao wanaosema unatafuta Kiki wanataka kukudhoofisha ili usitoe Siri zao
Kweli Sharon . Hata mm pia😊 huyu msee Ako sawa
Mch.mngu wambiguni akubariki sana unazidi kutufanya tumshuhudie yesu aliyekutoa huko Imani nyingi zinaimarishwa ! Enderea shujaa wabwana usikatishwe tamaa
Barikiwa sana mchungaji maana umenijenga shuhuda huu umebadilisha maisha ya watu wengi sana
Nimejifunza vitu vingi sana kwako mtumishi
Bwana msafiri hujambotena rirafikiyako kutokarwanda sadiki asantenisana
Amen
Part 18 iko wapi?
ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0lc4qnBrRK4eWo9MSriG5pd
Mtumishi ubarikiwe ,Nina swali mim siku Moja nikiwa nimelala nilitokewa na joka lenye kichwa Cha binadamu na sura ya kike niliona nikiwa namuombea mtoto aliekuwa na mdhaifu sana Kwa kuumwa ,ghafla likanichoma na mkia kwenye makalio yangu ghafla nguvu ya maombi ikashuka,je ni aina Gani ya pepo huyo?
Tena pastor Omary ushuhuda wake na ushuhuda wa huyu Amieli yaani kuna ufanano mkubwa sana sana. Naamini kuwa haya ni kweli asemayo.
Naomba namba ya huyo mchungaji @promover TV
Njia za BWANA HAKIKA haichunguziki, umeleta faraja Kwa wengi, MWENYEZ MUNGU AZDI KUKUWEKEA ULINZI WAKE.
Nakuunga mkono mchungaji.Kwakweli tunaomtumikia Mungu ktk nguvu za Mungu halisi na kujitoa kwakwe kikamilifu huwa tunapitia magumu mengi Sana isipokuwa wachungaji,mitume,manabii fake ndio huwa wana lerax.
Pls side chat me mtumishi wa Mungu.i need to talk to you.
Mtumishi aliye tekwa na nguvu za giza dalili yeke igoje mtumishi
Pongezi kwako mtumishi unangaa kweli endelea
Hivyo mtumishi tangu utoke hawakusumbui, maana maagano yaliokuwa mwilini kutoka inachukuwa mda wanatesaaa sana masna nimepitia
Jamaa kanifurahisha eti jamaa atengeneze kiki yake aone kama atakuwa salama lolol
Mch Amiel usitetereke fanya kaz aliyokutuma MUNGU,,anayesema unatafuta Kiki yeye ndo anaitafuta,,kwa yote uliyoyaeleza hd leo kuna cha kujifunza kwa mwenye kuelewa kupitia wewe mchungaji ataelewa asiyetaka ataeleweshwa na roho mtakatifu🙏🙏
Hao wanao piga ni mawakala wa sheteni
Ubarikiwe mtumishi umenifumbua macho,nahisi nami nimefungwa maana kila ninalofanya halifanikiwi,mfano kilimo,ufugaji hats watu ninaowaongoza kifamilia hawanisikilizi hadi nitumie nguvu sana ndio watekeleze ninachowaagiza,..hivyo nimejifahamu siwezi kutawala ,mamlaka wala siwezi kumiliki,taf watumishi nahitaji support yenu ya maombi ya kufunguliwa
Mtumishi wa Mungu wee songa mbele ,kusema ukweli sio kazi rahisi lazima utapingwa,Bwana Yesu akutetee
Mtumishi wa mungu huyo anayekukatalia Ni mmoja wao au anatumiwa bila kujijua
Mungu akubaliki mtumishi mungu asimeme na nawe daima
Mtumishi Amiel Mungu akulinde sana, shuhuda kubwa sana hizi
Nina swali, je inawezekana kuweka ata picha fulani kule abapo ulipo kuwa kwa shetani?
Amesema ningum maana unakuwa upoo kwenye naamlaka ya giza awatoweza kukuachia ndio maana Aksema Toba unatafuta watu wa 3 au wa 2 wakuombeee iliulud kwenye Iman yakoo
Je aliye kamatwa mamlaka ya imani anaweza kukosa kuingia mbinguni
Hawo nmajeti wa kuzimu wasikusumbue mtumishi mungu yupamoja nawe