Part17_ACD(Ufanye nini kuimarisha mamlaka ya imani)|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 374

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 2 года назад +31

    Asiye kuamini akalale,atuachiye YESU wetu aendelee kutuponya kupitiyaa Amieli katekera,ubarikiwe Jactan ,kazi iendelee.mlingoti chuma bendera chuma.

    • @officialmubytz1076
      @officialmubytz1076 2 года назад +2

      Sahihiii

    • @neemamosha8715
      @neemamosha8715 2 года назад

      Mungu Azidi Kukupigania Hakika kupitia ushuhuda huu Mungu amenifundisha Mengi niliyokuwa najiuliza sana, Tunashukuru kwa Maarifaa hayaa

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад +25

    Gwajima Kila weekend anazunguka Kila mikoa ya Tanzania akitoa misukule mapangoni the man has great faith

  • @apostleleshan2183
    @apostleleshan2183 2 года назад +19

    Tangu nianze kumsikilza mtumishi huyu nimeinuka sana kiroho . Mbarikiwe sana

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 2 года назад +1

      Hii channel iko vzr Sana. Kuna video nyingine inaitwa milango 351 ya kuzimu. Aise Kuna ushuuda mzuri sana

  • @sharonwalubengo9507
    @sharonwalubengo9507 2 года назад +38

    Huyu jamaa anajua vitu vingi Sana from day one niki mu watch tu pap nika mpenda Sana God bless you pastor amieli

    • @MamaSharma-y9y
      @MamaSharma-y9y 10 месяцев назад

      Nashukuru Mungu akubariki kwakutufundisha

    • @Flavy_ao
      @Flavy_ao 5 месяцев назад +2

      Very sharp and smart guy, na ndo sababu adui alimtumia sana.

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 2 года назад +18

    kweli pastor sio kazi raisi kama tunavyo fikiria ila kwa uwezo wa Mungu tunaweza yote katika yeye atutiaye nguvu nimekuelewa

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад +13

    Mtumishi achana nao
    Mtumikie YESU KRISTU aliyekuita kwa utumishi
    Mwanadamu asikusumbuwe.
    Atengeneze naye ya kwake,
    Tuambie sisi tunakusikiliza
    Songa mbele 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @prudencesumbane2886
    @prudencesumbane2886 2 года назад +7

    Mch usivunjwe nguvu na comments ya ma agents wakuzimu , wana kundi kubwa, watakufatiliya munjiya tofauti, ionekane izosiri zakuzimu niuongo, tunaamini ni kweli , kwatarifa ya habari , Yesu haya wayi shindwa, siri zilisha toka ingeeee 💪💪💪🤪🤣🔥🔥🔥🔥

  • @barryhezron2764
    @barryhezron2764 2 года назад +6

    Asiyekuamini mchawi!!na ukweli wanaujua,anajitahidi kupotosha umma,amechelewa

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад +5

    Hao wanasema ni kick ni wachawi

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад +5

    Naendelea kubarikiwa ashante Kwa kufichua hizi Siri

  • @frankwilliams2018
    @frankwilliams2018 Год назад +1

    Hivi ndio maana hakuna wachungaji wa uhongo kamavile inavyo sema Biblia katika vitabu hivi
    Exodus 7:11
    Daniel 2:2

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 10 месяцев назад +1

    Mchungaji ni Isaya 45 -3 sio mbili ubarikiwe

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Год назад +1

    Hila pastor, kufunga sio sababu ya kuumwa vidonda vya tumbo, wengine tumeanza kuumwa kabla ya kuwa tunafunga, tumeponea kwenye maombi

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 года назад +5

    HAKIKA YESU AMEJITWALIA MTAUWA WAKE
    MUNGU WA MBINGUNI ALIYE HAI NA MWAMINIFU AKUBARIKI NA KUKULINDA SIKU ZOTE MCH AMIELI

  • @modestarmuchiri5386
    @modestarmuchiri5386 2 года назад +4

    Anayeona wafanya Kiki naye aanze yake..... Mbona binadam tunakasolo kiasi hichi..... Mungu akujalie neema ufike viwango vikubwa....... Mtumishi

  • @RoseSimoni-hg4zd
    @RoseSimoni-hg4zd 8 месяцев назад +1

    Mtumishi mungu akutunze naomba uje morogoro utusaidie

  • @isayamashimango7872
    @isayamashimango7872 6 месяцев назад +1

    Mungu azidi kukubariki mchungaji uduma ihendelee.

  • @teyllalugazia
    @teyllalugazia 10 месяцев назад +4

    Hii ndio maana ya watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, ukifanikiwa kusikia hizi shuhuda lazima upate maarifa ya kuku vusha

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Год назад +4

    Bwana yesu asifiwe Sana mtumishi wa Mungu nakutakia nguvu kabisa kabisa kabisa ya kufanya kasi ya Mungu, may your life be prolonged natamani Sana kukutuma Ma Wewe ana Kwa ana nimekufuatilia Sana yote unasema nimeuona Nina Shida nahitaji unisaidie mimi niko Saudi Arabia kasi ya nyumba, ni mkenya WA western amani ya Bwana mtumishi endelea mbele ktk jina Bwana wetu YESU CHRISTO Ubarikiwe pia wewe Sana sana

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Год назад +1

    Wachungaji wengi wanaanzia chini mnooo ila wakianza kutajirika wanaonekana kama freemason ingawa zamani walisota mnoo hii imekaaje ?

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 года назад +4

    Hao wanaosema unatafuta kiki, watakua ni wale wale wanataka kukudhoofisha ili usiseme siri zao.

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 года назад

      ndo ivo yan ukiona wanakosoa ndo haohao hawatak siri zao ztolewe

  • @happytossi9053
    @happytossi9053 Год назад +1

    Kweli Kuna makanisa ya uwongo yapo mana hyo lugha uliyoongea Kuna nabii fulan huku ketu ananena malanyingi maneno hayohayo

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 2 года назад +4

    Nawapenda sana.
    Nasubiri hiyo clip yenu na Omari kwani Omar nimejifunza sana kupitia yeye

  • @anthonyyalanda1540
    @anthonyyalanda1540 2 года назад +1

    Wanaosema unatafuta kick hao ni Mapepo

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 10 месяцев назад +1

    Lakini kweli jamani inaumaaaa sanaa, mtu unamsaidia Badae unaonekana si kitu

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Год назад +1

    Wasiyo Tala ukweli wachana nao

  • @judithherman6972
    @judithherman6972 Год назад +1

    Kweli mch huduma hiyo ni ngumu

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere2784 2 года назад +7

    Amen achana na watu wa ajabu mtumishi hata yesu alidhihakiwa...hawa ni binadamu tu

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад +5

    Unanifunza mengi Sana haswa Kwa Mimi ninae jiandaa kuenda kuihubiri injili ya YESU na kuzikomboa nafsi zilizopotea zikapate kurudi kwa YESU na kuingia mbinguni

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад +4

    Mimi sikujui Mimi ni Mkenya lakini kwa Yale maneno mazito unayo ongea kuhusu kuzimu Mimi na kuamuni kabisa mtumishi achane nae usipoteze mda kujibishanae nae sisi tupo hapo tuna subiri uhondo

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 2 года назад +6

    Jactan ,nauliza hivi siku hizi kuna viti ,site ya mgogo ni virefu kama vya malkia siku hizi ,viko hata makanisani watumishi wanavikalia ,na kupita mkuu ,anaufahamu juu ya hivi huku Kenya 🇰🇪 viko sana kwa Church sana

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад +5

    Mtumishi achana nao hao
    BWANA YESU ALIYEHAI amekutuma kwa watu wake
    Tunafunguliwa tunapokea
    Endelea kutufundisha,
    MUNGU ALIYEHAI akubariki na aendelee kukusimamia na PTOMOVERTV mtumishi Jactan mbarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @debbohkawaka9222
    @debbohkawaka9222 2 года назад +2

    Kaka jaktani naomba umkutanishe omary mnyeshani. Na amiel watupe neno kwa pamoja ..

  • @RebecaMaloda-xx2qm
    @RebecaMaloda-xx2qm 9 месяцев назад +1

    Amina Mungu akulinde

  • @bupemwakihaba-lj2fb
    @bupemwakihaba-lj2fb Год назад +1

    A,c,d ni Nini naomba mchungaji anifafanulie nipo mbeya naitwa bupe nimeokoka nampenda yesu,na natamani kumuonea mtumishi

  • @shilpakhtar7197
    @shilpakhtar7197 Год назад +4

    AMEN tangu nianze kuskiza huu ushuhuda siko km nilivyo kuwa pstr MUNGU akubariki na azidi kukulinda na mishale yote🙏

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 9 месяцев назад +2

    Amazing story May god’s blessings and continue to preach the gospel to the world through Jesus Christ 🙏

  • @airrising5632
    @airrising5632 2 года назад +1

    Umejiponya

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 2 года назад +5

    waaah !!Jesus apewe sifa sana kupitia huyo dungu sana 🙏

  • @lindamongi6315
    @lindamongi6315 2 года назад +6

    Mungu azidi kuwasimamia na kuwaongoza katika kuitangaza injili, piga injili Mtumishi kazi iendelee..

  • @elizabethsimbenga4773
    @elizabethsimbenga4773 2 года назад +2

    Je katika maombi ya siku tatu huli hunywa maji au chakula

  • @owikesibonike
    @owikesibonike Год назад +1

    Sisi Tunakuelewa Tunapata Mabadiliko na Nguvu Mpya.. asiekuelewa Tunamuombea MUNGU amfungue ufahamu Kwa Jina La YESU..

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 2 года назад +3

    shetani ni roho na anatumia mwli ili kukuvunja moyo.mtumish hyo aliekoment achana nae endelea kupiga injili you are serving the living God

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 2 года назад +4

    Jamayangu unapiga kwa uchungu kwani ulikuwa pabaya zaidi hivo bira kutumia neno la mamraka watanzania wamesha shikwa wengi Mimi nakuonea huruma sana kwani hawataki watu wajue juu ya huo ufalme wagiza ulivo teka makanisa VP kuhusu mama wa Mungu kwenye ule ufalme aliitwaje?tusaisie ili tujitwgue mapema Amina

  • @emmaculatenjoroge4698
    @emmaculatenjoroge4698 2 года назад +5

    Groly to almighty God
    I believe together with you man ofGod

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад +10

    Vile nliskia ushuhuda wako nliweza kulinganisha na hiyo ajali ya kitui,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mungu awalegeshe katika jina la yesu...

    • @morrismo8212
      @morrismo8212 2 года назад +1

      By the way mambo zingine zinaanza kuonekana kwa njia ingine.

    • @elimukwadada
      @elimukwadada 2 года назад +1

      Nimefurahi sana kuona mchungaji akiomba pale ajali lifanyika na kuvunja roho za mauti. God bless you mchungaji.

    • @irenek7280
      @irenek7280 2 года назад

      @morris Mo tumefunguliwa macho

    • @irenek7280
      @irenek7280 2 года назад +1

      @@elimukwadada me too akh I love this PST ministry

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu2937 2 года назад +1

    KANYAGA MAFUTA PASTOR, KANYAGIA MWENDO WA KM 300 KWA SAA. TUNAKULA VINONO, TEMA CHECHE!!!😂

  • @joelegbert4343
    @joelegbert4343 2 месяца назад

    Mchungaji unamaanisha nini unaposema LANGO, hapo mito mitatu inapo meet?? Hilo spiritual lango likoje likoje physically and spiritually???. Otherwise I am growing wonderfully by these knowledge of the WORD OF GOD!!

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 2 года назад +2

    Mtumishi wa Mungu wanasema ni Kiki ni wale wale wametumwa kuharibu ushuhuda.

  • @demaa2183
    @demaa2183 2 года назад +3

    Naishiwa na maneno ya kuongea....barikiwa mchungaji...nazi tuombee tuongezewe na nguvu ya imani zaidi na zaidi....kutoka Kenya

  • @samwelsimon6842
    @samwelsimon6842 2 года назад +4

    kiukweli Mtumishi wa Mungu umenikomboa maisha yangu maana nilikuwa nimedumbukia kwenye dhambi na mitego ya shetani. Mungu wa mbinguni awabariki sana Promover tv na mzidi kutenda kazi ya Bwana . Amen

  • @ingabireyimanabenitha.1182
    @ingabireyimanabenitha.1182 2 года назад +2

    Mtumishi vipi kuhusu wachungaji wanao tumia ma bodyguard kwajili yausalama wao
    Nawakati wanadai Kuwa wao ni manabii wakuu..Je Mungu hawezi kumlinda mtu bila hao maJAMA? Mbonawewe hauna? Me huwa najiuliza na sipati jibu.🤷🤦

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 2 года назад

      Inategemea maana kunamapepo mengine yakipandisha Yanacharukaa Sanaa na kutaka Kupigana naon pia iyo sababu piaa

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka 2 года назад +2

    Hehee tunakuombea uende mchungaji nawao waokolewe kama wewe neno la Mungu linasema Mungu metupa roho yaujsiri sio yauoga sasa Mungu azidi kukujaza roho wake

  • @johnshedrack3597
    @johnshedrack3597 2 года назад +2

    Aliesema amieli mch anatafuta kiki Mungu amrehem naye aokoke

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 года назад

      Atakuwa moja ya mawakala au anjeti wa shetani.

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 7 месяцев назад

    Tunakupenda na tunakuamini mchungaji,wanaokupinga usibishane nao,acha Yesu Kristo akufunike mtumishi 🙏

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад +3

    Mchungaji sasa unataka nini, wewe hubiri mungu tu baba ndiye anayejua. Yeye amekuookoa kabisa babangu. Wewe mungu akufikishe na MAENEO yote ya mkoa wa kilimanjaro kama mungu atakupankibali. Mim naamini mungu yuko pamoja nawe kabisa. HONGERENI san PROMOVER TV .

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 года назад

      Akujee tu jmn Moshi Kilimanjaro na Arusha tunaitaj piya YESU atufunuliee zaidi n Zaid jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @bupemwakihaba-lj2fb
    @bupemwakihaba-lj2fb Год назад +3

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu ,kweli wewe umeokoka ,mungu akufunike na damu ya yesu iwe juu yako

  • @Mshindi-f46
    @Mshindi-f46 2 года назад +2

    Jactan,jitahidi kupunguza maswali maana unamtoa kwenye point/mada

    • @marystellambogo2820
      @marystellambogo2820 2 года назад +3

      Songs mbele mtumishi wa Mungu huyo anayesema unatafuta Kiki ni hao hao mashetani

  • @nelsonmgubali4672
    @nelsonmgubali4672 2 года назад +3

    Inatia MOYO Sana shuhuda hii Hongera Sana kaka jacktani msafili kwa tafiti nzuri

  • @margaretngugi7444
    @margaretngugi7444 2 года назад +4

    Thank you, Jesus. Wow powerful...Jesus all the way.

  • @airrising5632
    @airrising5632 2 года назад +1

    Msafiri Jacktan barikiweni

  • @johnshedrackjansohn8984
    @johnshedrackjansohn8984 2 года назад +1

    Sizani kama yupo asiye kuamini kama yupo akapime atakua na tatizo

  • @pastorpraisehappiness2157
    @pastorpraisehappiness2157 2 года назад +2

    Jameni nisaidieni vile navyoweza kumfikia huyu Mtumishi wa Bwana..

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 2 года назад +2

    Nenda Nguruka na kilinge kimwone Bwana Yesu.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 года назад +3

    Songa mbele mch Amiel wakati wa bwana ukifika hakuna wa kuzuia.asante Mungu kwa upendo wako kwetu👏👏👏

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela3448 2 года назад +3

    Karibu sana tunangoja kwa hamu na shauku kubwa ya Kristo.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 9 месяцев назад

    mtumishi nabii hapati heshima kwao huyo ni wa tanzania,sisi wakenya tunakuamini tunamuona Mungu kupitia kwako,usichoke mtumishi endelea mbele na Mungu akutie nguvu,promover team msichoke kuchangamana na mtumishi injili isonge mbele

  • @airrising5632
    @airrising5632 2 года назад +2

    Be blessed mtumishi
    Jesus Messiah thank you
    Umenibariki

  • @pamodzi9331
    @pamodzi9331 Год назад

    Mtumishi wa Mungu,mtu anajuaje kama amemilikiwa ACD zake.nini dalili?

  • @elimukwadada
    @elimukwadada 2 года назад +1

    Huu ushuhuda wa mchungaji Amielli upo sawa na WA Erica Mukisa wa Uganda na mume wake alikua msanii wa mziki Bamboo. Wanahubiri na kutoa siri nzito za kuzimu. Wako Kenya na story ya Erica Mukisa na mchungaji Amielli ziko sawa especially jinsi kuzimu inavyo kua.

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +2

    YESU Yuko pamoja nawe Mtumishi

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Год назад

    Acha uwongo. Hila za kutafuta fedha za laana kazifanye Kongo.

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад +1

    Kumuona mtu sio Kumjua mtu yawezekana unamfahamu tuu kwa kumuona ila huwezi jua mtu hata ukiishi nae kama anaushirika na giza huwezi jua mpaka uwe Rohoni sana

  • @marystellambogo2820
    @marystellambogo2820 2 года назад +2

    Songa mbele mtumishi wa Mungu achana nao wanaosema unatafuta Kiki wanataka kukudhoofisha ili usitoe Siri zao

  • @brianherken1847
    @brianherken1847 Год назад

    Kweli Sharon . Hata mm pia😊 huyu msee Ako sawa

  • @magedidasameenipasta6438
    @magedidasameenipasta6438 Год назад +1

    Mch.mngu wambiguni akubariki sana unazidi kutufanya tumshuhudie yesu aliyekutoa huko Imani nyingi zinaimarishwa ! Enderea shujaa wabwana usikatishwe tamaa

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +4

    Barikiwa sana mchungaji maana umenijenga shuhuda huu umebadilisha maisha ya watu wengi sana

  • @ipyanadanny9959
    @ipyanadanny9959 2 года назад +2

    Nimejifunza vitu vingi sana kwako mtumishi

  • @sadikibernald9519
    @sadikibernald9519 2 года назад +1

    Bwana msafiri hujambotena rirafikiyako kutokarwanda sadiki asantenisana

  • @preciouseddy3124
    @preciouseddy3124 2 года назад +1

    Part 18 iko wapi?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад +1

      ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0lc4qnBrRK4eWo9MSriG5pd

  • @MgobaRaphael-vy3bu
    @MgobaRaphael-vy3bu Год назад

    Mtumishi ubarikiwe ,Nina swali mim siku Moja nikiwa nimelala nilitokewa na joka lenye kichwa Cha binadamu na sura ya kike niliona nikiwa namuombea mtoto aliekuwa na mdhaifu sana Kwa kuumwa ,ghafla likanichoma na mkia kwenye makalio yangu ghafla nguvu ya maombi ikashuka,je ni aina Gani ya pepo huyo?

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 3 месяца назад

    Tena pastor Omary ushuhuda wake na ushuhuda wa huyu Amieli yaani kuna ufanano mkubwa sana sana. Naamini kuwa haya ni kweli asemayo.

  • @beatricedonald2710
    @beatricedonald2710 2 года назад

    Naomba namba ya huyo mchungaji @promover TV

  • @agnethpaul3596
    @agnethpaul3596 2 года назад +1

    Njia za BWANA HAKIKA haichunguziki, umeleta faraja Kwa wengi, MWENYEZ MUNGU AZDI KUKUWEKEA ULINZI WAKE.

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 Год назад +1

    Nakuunga mkono mchungaji.Kwakweli tunaomtumikia Mungu ktk nguvu za Mungu halisi na kujitoa kwakwe kikamilifu huwa tunapitia magumu mengi Sana isipokuwa wachungaji,mitume,manabii fake ndio huwa wana lerax.

  • @soniamumbi1430
    @soniamumbi1430 Год назад

    Pls side chat me mtumishi wa Mungu.i need to talk to you.

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Год назад

    Mtumishi aliye tekwa na nguvu za giza dalili yeke igoje mtumishi

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka 2 года назад +1

    Pongezi kwako mtumishi unangaa kweli endelea

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Год назад

    Hivyo mtumishi tangu utoke hawakusumbui, maana maagano yaliokuwa mwilini kutoka inachukuwa mda wanatesaaa sana masna nimepitia

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 3 месяца назад

    Jamaa kanifurahisha eti jamaa atengeneze kiki yake aone kama atakuwa salama lolol

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 Год назад +1

    Mch Amiel usitetereke fanya kaz aliyokutuma MUNGU,,anayesema unatafuta Kiki yeye ndo anaitafuta,,kwa yote uliyoyaeleza hd leo kuna cha kujifunza kwa mwenye kuelewa kupitia wewe mchungaji ataelewa asiyetaka ataeleweshwa na roho mtakatifu🙏🙏

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +2

    Hao wanao piga ni mawakala wa sheteni

  • @elizabethlusato7363
    @elizabethlusato7363 2 года назад +4

    Ubarikiwe mtumishi umenifumbua macho,nahisi nami nimefungwa maana kila ninalofanya halifanikiwi,mfano kilimo,ufugaji hats watu ninaowaongoza kifamilia hawanisikilizi hadi nitumie nguvu sana ndio watekeleze ninachowaagiza,..hivyo nimejifahamu siwezi kutawala ,mamlaka wala siwezi kumiliki,taf watumishi nahitaji support yenu ya maombi ya kufunguliwa

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 2 года назад +2

    Mtumishi wa Mungu wee songa mbele ,kusema ukweli sio kazi rahisi lazima utapingwa,Bwana Yesu akutetee

  • @damianandrew3074
    @damianandrew3074 Год назад

    Mtumishi wa mungu huyo anayekukatalia Ni mmoja wao au anatumiwa bila kujijua

  • @SarahSarahkitomo
    @SarahSarahkitomo Месяц назад

    Mungu akubaliki mtumishi mungu asimeme na nawe daima

  • @jovinjones4777
    @jovinjones4777 2 года назад +2

    Mtumishi Amiel Mungu akulinde sana, shuhuda kubwa sana hizi

  • @byamungulusambo2635
    @byamungulusambo2635 2 года назад +1

    Nina swali, je inawezekana kuweka ata picha fulani kule abapo ulipo kuwa kwa shetani?

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 2 года назад

      Amesema ningum maana unakuwa upoo kwenye naamlaka ya giza awatoweza kukuachia ndio maana Aksema Toba unatafuta watu wa 3 au wa 2 wakuombeee iliulud kwenye Iman yakoo

  • @moseswakristo213
    @moseswakristo213 2 года назад +1

    Je aliye kamatwa mamlaka ya imani anaweza kukosa kuingia mbinguni

  • @mishinema8719
    @mishinema8719 2 года назад +1

    Hawo nmajeti wa kuzimu wasikusumbue mtumishi mungu yupamoja nawe