Part14_UKIONA DALILI HIZI TAMBUA NYOTA YAKO IMEKAMATILIWA|ALIYEEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 мар 2022
  • 4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
    M-Pessa: +255766294335
    Airtel Money: +255784074462
    WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
    City:Mwanza
    Country:Tanzania
    $ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
    M-Pessa: +255766294335
    Airtel Money: +255784074462
    WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
    City:Mwanza
    Country:Tanzania
    KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 208

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +29

    Kwa kila jambo Mungu Analo sababu litende,ni Mungu mwenyewe aliruhusu shetani akatuma yale mapepo yakakuchukua kuzimu hili kisha baadaye akutoe huku uje kutufundisha,na lengo lake tujue yaliyo rohoni na jinsi ya kuomba

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oi Месяц назад +2

    MUNGU akubariki sana kwa hio maneno hata Mimi Kuna wakati niliambiwa na mtumishi wa Mungu sikuwa nafaa kuwa nateseka nilikuwa nafaa niwe Europe but nimeelewa hio mambo

  • @anitasamson7850
    @anitasamson7850 2 года назад +13

    Haya ni mafundisho mazito sana na yandani sana, Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Tutaomba mpaka kieleweke. Luka 10:19

  • @nicholaskiragu2797
    @nicholaskiragu2797 2 года назад +20

    Thanks alot Pastor.. you are revealing alot of things we didn't know. And you are helping us on how to fight our spiritual battles.

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 года назад +7

    Asante mch amiel damu ya Yesu iendelee kukufunika umenigusa kwenye ndoa nahitaji ukombozi

  • @barakakubalyenda683
    @barakakubalyenda683 2 года назад +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, tunaomba uandike vitabu vya material ya shuhuda hizo.
    Asante sana.

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад +8

    Hey mtumishi sichoki kukuskiliza ...mafundisho yako n ya Hali ya njuu saana waiting for next part how take back our stars

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 2 года назад +4

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu hakika nimengi tumejifunza tusiojua kazi nzuri Mola awazidishie

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo9800 2 года назад +5

    God bless u pastor kwa hushuda wako gisi umesema pembe ya kusikiya nikweli mimi mama mukwe wangu Ana nisikiya sana nikiseme kitu kweli anafata

  • @frankinspired6486
    @frankinspired6486 2 года назад +6

    God's blessings to Amiel na Jacktan. Sasa naelewa kwanini waganga utizama mkono wasome nyota.
    Naninasubiri hapo kwa kurudusha nyota, na pia mitume na nanabii wa uongo..

  • @helenbahati8038
    @helenbahati8038 2 года назад +6

    Ahsante Mungu kwa kumpeleka mtumishi wako kule ili azijue siri za kuzimu na kuja kutufunulia mtunze ee BWANA. Barikiwa sana mtumishi Jactan kwa kazi njema 🇰🇪

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 2 года назад +2

    🔥Aduwi mudjipangeeeeee madjeshi ya YESU inafufukaaaa🔥🔥❤️❤️❤️💃💃

  • @janetndonye7709
    @janetndonye7709 Год назад +2

    asante sana kama mimi nina biashara sasa nina miezi mbili zijafungua nikiamua kwenda mwili utaki

  • @DignaMeela-gs8vi
    @DignaMeela-gs8vi 9 месяцев назад +3

    Mchungaji please nyoa nywele zako kawaida unatuchanganya🙏

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад +4

    Asante kwa ushuuda huu,,apa kwa nyota kwakweli Mungu saidiya familia yetu kwakweli maisha tunayo yapitia tume ibiwa nyota Mungu tusaidiye

    • @bahatijohn1958
      @bahatijohn1958 Год назад

      Na Mungu anaenda kuwasahidia Kwa jina la Yesu kristo

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073
    @apostlerebeccamunguaniinul7073 Год назад +1

    Hakika Mungu ana watu wake ambao ana funulia siri zilizo fichwa Yesu Kristo aka sema na enda mbiguni nita watumia roho mutakatifu naye ata wafunulia mengi kuliko niliyo wa funulia mimi barikiwa mutumishi wa Mungu

  • @patricianyale
    @patricianyale Год назад +1

    Juzi nliota wanataka kukata kidole changu Cha mamlaka nkapigana nao mpk nkapata nafasi yakutoroka leo nimepata maana yake Asante Sana mchungaji

  • @emmaaugustine5606
    @emmaaugustine5606 Год назад +1

    Hakika Mungu ni mwaminifu uwa anafanya kazi na watu wale walodharauliwa umwinua mtu toka mavumbini na kumketisha na wakuu hakika Mungu hakutie nguvu uzidi kutupa siri hizi

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 года назад +2

    Pastor Amieli Mungu Aendelee kukutunza Barikiwa sana. Jacktan Mungu akulinde na Akubariki sana

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 года назад +3

    Jamani leo umenifurahisha sana mchungaji from oman

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 2 года назад +4

    Yan nimeelewa kuna mtu Yan anahama mikoa Hadi siyo vzr,, kwao kigoma,,akaja dar kakaa ,karud kwao tena katoka huko kwenda tanga, katoka huko kaenda Moro , katoka huko kaenda kigoma, ,katoka kaenda tena Mwanza ,mara geita mara kwao tena mara Moro mara kwao saiv yupo tabora

  • @Grace-zw5jj
    @Grace-zw5jj Год назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

  • @kashindiibrahim9788
    @kashindiibrahim9788 11 месяцев назад

    Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho amboyo, yametusaidia ndani ya maisha yetu. Na zaidi ya yote, naitaji msaada wa maombi yako kwangu.

  • @siwemaful
    @siwemaful 2 года назад +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu mungu akubariki sana kwa haya mafundisho

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 2 года назад +1

    Asante sana kwa kutuelimisha sana barikiweni sana mtumishi na promover tv

  • @isayanyingi6622
    @isayanyingi6622 2 года назад +4

    Be blessed the whole team eimee

  • @prosmutonyi3706
    @prosmutonyi3706 2 года назад +1

    You are a blessing . Asante sana brother.

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 2 года назад +2

    Asante sana we need more of this

  • @aloycemary1968
    @aloycemary1968 2 года назад +3

    Ahsante kwa maarifa

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h 10 месяцев назад +1

    Balikiwaa sana baba me nahitaji maombi yako niliota nimechukuliwa kidole changu cha katikati mkono wa kushoto sielewi hata

  • @abrahamjuma9761
    @abrahamjuma9761 Год назад

    Asifiwe,Yesu kristo mtumishi,naomba nijue nivipi yaya nyota yanaweza kurudishwa ajee....

  • @catemacharia8499
    @catemacharia8499 2 года назад +3

    Following so much 🇰🇪🇰🇪

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 года назад +2

    You have helped us alot n may God bless you

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад +5

    O Lord Jesus Christ continue,using pastor,Amiel,and the whole promover Tv,more blessings, teaching us, what Jesus Christ,wanted us to know,in this time.

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 4 месяца назад +1

    Mungu wa kweli ukube kibali ishi miaka mingi ili usaidie watu

  • @magrethtuma5843
    @magrethtuma5843 Год назад +1

    Kwakweli kila linalotokea ni mpango wa Mungu,huyu pastor mungu akimpeleka kuzimu na kufanya kazi huko ili baadae aje afichue sir za shetani,man tusingeweza kujua haya yote Mungu ambariki sana

  • @hakizimanaphilemon9968
    @hakizimanaphilemon9968 2 года назад +2

    Kuliko tukimbilie kujitakasa ,tutakimbilia kutafuta nyota zetu,jiadhari sana.Kristo ndio mfalme,tujitakase tutakua mbali na shetani ndugu atatukimbia

    • @vumiliawambula1716
      @vumiliawambula1716 2 года назад +1

      Amen mtumishi hio nikweli kumbi kila mtu Ana ndowa

  • @rosemarry2020
    @rosemarry2020 2 года назад

    Aminaaaaaa

  • @rehemaibrahim4448
    @rehemaibrahim4448 2 месяца назад +1

    Amina

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 2 года назад +1

    Asante YESU, bila YESU haya maisha sijui yangekuwaje ?

  • @aivanalexander
    @aivanalexander Год назад +1

    Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @rusimackems9820
    @rusimackems9820 2 года назад +1

    Duu eee Yesu tufungue, yaani me siamini ni mambo mapya kwangu, narudia kusikiliza mara mbilimbili.

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 2 года назад +1

    Bwana akubariki sana Pastor

  • @veronicahmui6419
    @veronicahmui6419 2 года назад +2

    Tueleze pia jinsi ya kujitambua.... yaani kujua nyota yangu

  • @rachelnasimiyu4296
    @rachelnasimiyu4296 2 года назад +1

    Mungu awabariki kwa kutuelimisha

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima2448 2 года назад

    Mchungaji ni more fire. Umetisha sana

  • @simonlaizer6261
    @simonlaizer6261 Год назад +1

    Ameeen 🙏🙏

  • @antlucifermovement7276
    @antlucifermovement7276 Год назад +1

    Asante sana duu ndo maana niliteseka sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    AMINAAA.

  • @BernadoAbeid-mi7cs
    @BernadoAbeid-mi7cs Год назад +1

    Thanks for.....
    Respect for you

  • @AbelLucas-ho3be
    @AbelLucas-ho3be Месяц назад

    Amina sana

  • @colethakahemela3713
    @colethakahemela3713 Год назад +1

    Be blessed,nimejua kitu leo

  • @ashuramuhammad8813
    @ashuramuhammad8813 5 месяцев назад +1

    Ameena

  • @mkaryenyoka6853
    @mkaryenyoka6853 2 года назад +1

    Asante Kwa mwendelezo

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @user-tb6uz5zy4b
    @user-tb6uz5zy4b 6 месяцев назад

    Asam
    Asante Bwana

  • @deusmiburo8735
    @deusmiburo8735 Год назад

    Mungu akuongezee uhai mtumishi wa Mungu.

  • @patriciafabiani1938
    @patriciafabiani1938 Год назад

    Asante mtumishi

  • @ayetafatuu8715
    @ayetafatuu8715 2 года назад +1

    Siumenifungua mtumishi amina

  • @charigrace5993
    @charigrace5993 2 года назад +1

    May the LORD fill and supply to all this vessels good work. Tich maber

  • @jackswat
    @jackswat Год назад

    Ahsante promover tv, lakini ninapata picha ya kusudi la Mungu kwa mpendwa wetu huyu - Mungu alimkusudia kama alivyofanya kwa mtume Paulo - amemtenga na ulimwengu huo, akamuokoa ili atufunulie na kuudhihirisha ufalme huo wa giza katika zama hizi zilizojawa na uharibifu mbaya - ni zama za hatari. Namshukuru Mungu kwa kutuletea neema hii, Jina la Bwana libarikiwe.

  • @maloleproduction1769
    @maloleproduction1769 2 года назад +2

    Nimepona Sana leo

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    AMINAA, NIPENDA SANA MFANO WAKO WA MAGUFULI.

  • @salimaechessa8933
    @salimaechessa8933 2 года назад

    Barikiweni kwa mafundisho haya

  • @saradavirginia-kd7tn
    @saradavirginia-kd7tn Год назад +1

    Ni kweli mm niliolewa tulipita ktk shida mblmbl lakini aliniacha ghafula

  • @danieljonkey-vh8fc
    @danieljonkey-vh8fc Год назад

    Mtumishi ubarikiwe kwa kutufungua

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 2 года назад +1

    N kweli mtumishi wa mungu aombe ndoa pia mm nko hivyo sija alewa

  • @Esperancia-jo8pm
    @Esperancia-jo8pm Год назад

    Mbarikiwe sana tunaelimika sana, naomba mawasiliano ya huyo mt.

  • @cecyaghabu3211
    @cecyaghabu3211 2 года назад +6

    Asanteni but tunaamini next episode ataongelea namna ya kurudisha nyota zilizoubiwa as alianza kutaka kuongelea ila mtangazaji alimbadirishia topic Mtumishi.

    • @zeldamzena9295
      @zeldamzena9295 2 года назад +1

      Jacktan nae anatuondolea uhondo😆😆😆

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 года назад +2

      @@zeldamzena9295 " sio jacktan walla mtumishi anapewa mafunuo na ROHO MTAKATIFU kwahyo cha kufundisha anapewa

    • @zeldamzena9295
      @zeldamzena9295 2 года назад

      Asantee ndugu

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gt 29 дней назад +1

    Asant San mchungaj maneno hayo na ushuhuda huo umenigusa San baba yangu Ana dalili hizo naomba nisaidie kumuombea

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment 2 года назад +11

    Your a blessing 🤍🙌🙌😂 , thank you jacktan and pastor Amiel

  • @TingaMedia
    @TingaMedia 2 года назад +4

    Tunazidi Kujifunza ....!!

  • @auntyjossycounsels
    @auntyjossycounsels Год назад +1

    Thank you so much for this. It is the truth

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 2 года назад +2

    Halleluya

  • @tinokaroli3853
    @tinokaroli3853 9 месяцев назад +1

    ASA MIMI NAWEZA KUKUNJA VYOTE NA KINABAKI HICHO CHA MWISHO KIKO WIMA NA SIO KUSIMAMA TU HADI NAKICHEZESHA CHENYEWE NA VYOTE VIMEJIKUNJA

  • @rebeccaomar3523
    @rebeccaomar3523 2 года назад +5

    Mafunzo mazuri sana

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi1221 3 месяца назад

    Amen

  • @arthurmaleke8245
    @arthurmaleke8245 Год назад +2

    Jamani sasa tufanyeje jamani maana ni Mimi kabisaaaa

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 2 года назад +1

    be blessed pastor

  • @motelutula3380
    @motelutula3380 2 года назад +4

    Mtumishi tunaomba utueleze pia kuhusu ndoto! Na ndoto za uharibifu zinakua zipo namna gani

  • @makoye8388
    @makoye8388 2 года назад +2

    Asante Sana pastor, kwenye pembe ya uongozi umenipatia maana naanzisha kilimo vizuri ila mwishimo mambo yanakuwa sio mazuri. Nitafuatilia mada ijayo ili nikomboe pembe yangu ya uongozi.

    • @rahabnkya8276
      @rahabnkya8276 2 года назад

      Asante BABA kwa mafundisho . Jacktan hingera!

  • @maloleproduction1769
    @maloleproduction1769 2 года назад +1

    Nafurahia mafundisho yako

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 Год назад +1

    Nisaidie wachawi wali chukua nyota yangu.

  • @paschazianestorymatunda5972
    @paschazianestorymatunda5972 Год назад +1

    Watu wamedanganywa sana kuhusu nyota zao kwakweli

  • @margaretogega8836
    @margaretogega8836 2 года назад

    Nambari ya su ya Mch. Amiel

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Год назад +1

    Amina kwakweli nmepata maarifa hapa za kumshinda shetani 🔥🔥

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 года назад +1

    Asante watumishi wa Mungu aliye hai Jactan na Amiel Katekela

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 Год назад

    Star of marriage
    Star of possession
    Star of God's favour
    Star of good health
    Kingly star
    Na tushafunzwa hizi vitu na pastor Fulani Kenya.

  • @godfreymautta5089
    @godfreymautta5089 8 месяцев назад

    Nakusuta

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад +2

    Namba zote za mchungaji nime zitafuta kwenye WhatsApp sija mupata, pia na group lapili limeisha jaa

  • @sussynasimiyu8467
    @sussynasimiyu8467 2 года назад

    Amen Amen amen mungu akubariki mtumishi Asante kwa mafundisho poa, mungu akupe guvu ya kufanya kazi, naomba namba yako ya what'sapp pia tunaweza kuongea mengi na sio ya mdandao

  • @nsabimanaalice5847
    @nsabimanaalice5847 Год назад +1

    Sasa Baba yoooh
    Vidore vyote sinaaaaaa
    Basi nakusubiliya virudu
    Kukupitiya

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 7 месяцев назад +1

    Nikweli na mie nilikuwa hivyo hivyo kabla ya kuokoka

  • @wambuimwangi5123
    @wambuimwangi5123 Год назад

    Good teachings but kindly tell us how we can restore the stars (nyota)

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g Месяц назад +1

    Kama umeniona

  • @ruthouma9449
    @ruthouma9449 Год назад +1

    Mchungaji Niko na swali mtoto wangu ulikuwa top five darasani lakini sahii yuko karibu na mkia shida iko wapi na nifanyeje

  • @stanlymaingi1065
    @stanlymaingi1065 2 года назад +2

    Kutoka Kenya kwa kweli umeogea vizuri nyota ya mtu ndio yeye make Mimi naendelea kushikwa na uoga nikiona watu ata kama ni mtoto naogopa niombee please

  • @edigamashauri7443
    @edigamashauri7443 2 года назад +1

    nime kuerewa sana mtu wamungu

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h 10 месяцев назад

    Bwana yesu asifiwe nahitaji maombi juzi niliota wachawi wamekuja nikaona wamechukua kidole hiki kilefu kupta vyote munombee jamani

  • @rosemarysylidion4770
    @rosemarysylidion4770 2 года назад +2

    Je majini wanaogopa nguruwe