EXCLUSIVE: Afande Sele ataja sifa za Magufuli, Samia ametuondoa kwenye Stress' , Shujaa wakipekee

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Msanii mkongwe wa Bongo Flava, Selemani Msindi maarufu kama ‘Afande Sele’ ameeleza jinsi Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) walivyompigia simu kufuta wimbo wake katika mitandaoni ndani ya wiki moja ambapo ulipakiwa na Ubalozi wa Marekani kwenye mitandao yao pia.
    Afande alisema hayo Ijumaa Machi 17, 2023 wakati akifanya mahojiano Mwananchi Digital ilipomtembelea nyumbani kwake Mtaa wa Kata ya Mazimbu mkoani Morogoro.

Комментарии • 1