Daah!!kweli hujafa hujaumbika 😰😰😰💔pole san tariq 😭😭…kweli mwanaume unamfanya unyama km huu kwa mwanaume mwezio kisa tu amekataa kufanya ushaitwan wako 😭😭😭😭💔💔💔💔💔inauma sana nchi yetu imeharibika 😭😭😭mashoga watatuangamiza 😭
Pole sana my bro Uzur n kwamba Mungu hapokei rushwa kaa kwakutulia Naamn Majbu ya huyo mtu alofanya hvyo Utayapata jmn hvyo bc Amn kwamba Mungu bado Anakupenda Mno jmn
Kilio chako tumekisikia na pole saan na wewe mpuuzi unaejiona mungu mtu nakwambia utakuja kufa kifo kibayaa na kaburi lako lisionekane..na hao maaskar wenye tamaa mungu hatawalanii,polee saan kaka yanguu
Tumuombe sana mungu atulindie watoto wetu na hili balaa la ushoga wanaume wengine wamekuwa kama mashetani kumuingilia mwanaume mwenzio kweli mungu atakuondolea Kila jeraha kijana
Watu kama hao ndio wanaolipizwa visasi kimya kimya akifa utasikia jamaan kapigwa risasi kakosa nini binaadam wana roho mbaya kumbe wengine wanauliwa kwa sababu wameuwa au wamedhulu watu kama kina Talk ila Mwenyeez Mungu ayamuhukumu kama amehusika kwa njia yeyote kwenye madhara uliyo yapata
Polisi wetu ndio wako hivyo...ukiwa nje ya kituo unaona kama ndani ya kituo wako serious sana lakini sio kweli.Kwenye follen tunawapisha wa wahi lakini wana mzaa sana.Naongea kwa jazba hivi kwasababu hata mimi imenikuta.Unapewa mpelelezi hakupigii simu wala hafuatilii ishu yako
Hila malipo hapa hapa Duniani . Kumbuka wewe unayemfanyia mwenzako hivyo kwamba umeumbwa na mungu na huyo amezaliwa na binadam.. Tuache chuki.. Kumbuka kwamba Ana wazazi ambaye alitunza mimba yake miezi tisa.. Unafikir anajisikiaje mzazi wake.. Hila.. Mungu yuko pamoja na wewe my brother
Ukweli huwa unatolewa na mahakama kwa taarifa ya upelelezi ikikamilika. Hizi taarifa za kumuhoji mtu Mmoja mmoja kwenye media huwa hazina mashiko Sana.
Bro pole sana mungu akufanyie wepesi na jicho la pili lione aamin 🤲 ila kuna kitu nimejifunza kutokana na maelezo yako na hata Yale maeleo ya awali kabla hujaenda India , yaani unakiburi sana na ulikua unaringia uhandsome wako na pia ulikua unaringia body yako, ila pole sana kweli amekuharibu😭
Hemedy wewe ni shoga pia 😏😏😏yan mtu akatae kufanya ujinga wew unasema alikua anaringia uzul wake kila mtu apa dunian anauzuli wake km wewe hujikubal ni wewe
Na ndivyo ata watot zetu wanavyotishiwa na kudanganywa uko mashuleni,mitaani na sehemu za kazi yesu atulindie vizaz vyetu dunia imeharbik peke yetu atuwezi
NI KWELI WANATISHIWA SANA ILA WAKUOMBWA KUTULINDA NI MUNGU ALIYEMUUMBA NA KUMTUMA YESU NA SIYO YESU NDIO ANALINDA, YEYE YUPO MBINGUNI KWA MUNGU MUUMBA !! MWENYE UWEZO WA KUTULINDA NA CHOCHOTE !
Dawa ya acidi ni maji tatizo watu hawaelewi wanakimbilia hospitalini mpaka ufike huko imeshakujaribu ukimwagiwa acidi hapohapo wahi maji bila kuchelewa
Alhamulillah uaona jicho Moja,Allah azii kukuponya na akulipie Kwa dhuluma uliyofanyiwa amiin amiin
Huyu kaka ni innocent jamani, ameumizwa sana, eeee Mungu tusaidie
Pole sana Tariq m/ mungu ndio hakimu ashidwi na japo . Kikubwa ni kumshukur Mungu . Allah ndie Hakim atakulipa tu. Pole sana
Pole Sana Tariq Allah Inshaa Allah atajuponya Ila una sauti nzur Sana wakupe kipindi Cha mapenzi unawezaaa sana
Polis mpo wapi jamniiii msaidieni huyu kaka huyu mbwaa akamatwee
Daah!!kweli hujafa hujaumbika 😰😰😰💔pole san tariq 😭😭…kweli mwanaume unamfanya unyama km huu kwa mwanaume mwezio kisa tu amekataa kufanya ushaitwan wako 😭😭😭😭💔💔💔💔💔inauma sana nchi yetu imeharibika 😭😭😭mashoga watatuangamiza 😭
Alaaniwe huyo mshenzi yeye na kizazi chake😒Ameniuma huyu kaka jamani 😪
Mungu akiwa upande wetu ni nani aliejuu yetu, uzuri ni kwamba Mungu ni mwenye haki atafanya jambo🙏🙏
Pole sana kk Tarki Mungu atakulipia kwa wote walioshiriki kukufanyia unyama huo
Daah pole bro mwenyezi mungu akufanyie wepesi unasauti mzuri kabisa ya kidume kabisa
Pole sana kaka Tariq' Usichoke kumuomba ALLAH
Pole sana my bro Uzur n kwamba Mungu hapokei rushwa kaa kwakutulia Naamn Majbu ya huyo mtu alofanya hvyo Utayapata jmn hvyo bc Amn kwamba Mungu bado Anakupenda Mno jmn
Ana voiceover nzuri mpeni matangazo
Sana
Unaelewa maana ya voiceover kweli??😂😂
@@all-victorious2156 🤣🤣🤣
@@all-victorious2156 hajui wewe sasa sema maanake nini voicecover
@@all-victorious2156 ALITAKA KUMAANISHA ANA SAUTI NZURI YA KUWEKA VOICEOVER 😂😂😂😂😂😂
Pole sana bro ,huo ni ushujaa kwa Mungu.
ana sauti nzuri anaweza kua mtangazaji
Mungu ana nguvu sn, pole sn ndg yetu kaka Tariq
Daaa kijana mzuri jmn kweri km alivosema nitamuharibu sura kweri wamekuharibu jmn pole sana Lkn bado handsome tu Mungu awalaani waliohusika
Pole sana tariq Allah atakua nawe,,inauma saana
Pole sana kaka angu MUNGU yupo tumshukuru Kwa Kila jambo
Usijali kaka mungu hahongwi..mapema mnoo utaona matokeo yake .yako itakua ndogo.inauma sana hakika nimetoa machozi
Hakika Mungu atajibu tuu
🙏
Pole sana bro........ Mungu atakupa uponyaji
Voice ya huu mwana Kali sana inatosha utangazaji🔥🔥🔥🔥
🙏🙏Pole sana broo Tariq mungu atakuponya..... sote tunakuombea broo ..... ❤
Ni kweli sisi wanadamu tuna maudhi saaaana kwa wenzetu lkn sio kwa adhabu hii jamaniii daaaaa.Mungu wewe ndio jibu
🙏🙏Mungu ni Mkubwa sana Broo Tariq utapona na haki yako utapata tu🙏🙏Na pia mwenye kutoa adhabu ni mwenyezi mungu TU... 🙏🙏
Kilio chako tumekisikia na pole saan na wewe mpuuzi unaejiona mungu mtu nakwambia utakuja kufa kifo kibayaa na kaburi lako lisionekane..na hao maaskar wenye tamaa mungu hatawalanii,polee saan kaka yanguu
Allah akuhifadhi utarejea katika hali ya kawaida biidhnillah Alhamdulillah allah kareem upo hai mengine yatawezekana kwa uwezo wake Allah
Pole sana kaka taliq Mungu atipa
Pole sana kaka. Ana sauti nzuri sana, anafaa kuwa radio presenter jmn
Pole sana Tariq Mungu atakuponya Inshaallah huyo muhalifu alaaniwe Shoga mkubwa anaharibu vijana wa watu
Pole Kaka Bora Kama unaona, Ayo mengine achana nayo
Mungu amekupigania na ataendelea kukupigania🙏
Tarck pole Kaka mungu amesimama nawe kwenye kilalenyeher hujafa hujaumbika Ila binadam ni mnyama
Pole kaka mungu ni mwema
Hakimu ni Mungu atakulipia tuu malipo ni hapa hapa dunian
Daah binadam tumekuwa wanayama San aisee kaka wa watu alikuwa mzur daah 😭🙌
Mweeee Mungu atakulipia ,
Pole sana mungu yuko pamoja nawe
Dah mpaka maumivu yaani.. hapo sasa ndo pale wapare wakisemaga Wana roho mbaya nashndwa hata jinsi ya kujitetea.
Roho mbaya haina kabila ndugu yangu.
Police wapuuzi sana hapo pesa ilitembea dah
Polee sanaa jamanii😭😭😭 jamanii tariq
Hiyo ndo nchi yetu ya tanzaniya pole sana bro ila mwachie mungu 🙏🏼🙏🏼✍🏽 yeye ndio hakimu wetu wa haki maskini hana sauti😭😭
Kabisa.
Wabongo bana eti tumuachie mungu. Mungu katupa akili na mikono
Mwachie mungu ndo hakimu wa kweli jali afya yako kwass
Hivi mahakama zinaweza kuleta shida ya kisasi ,kha kwangu mungu atanisamehe
Pole sana jamani mungu ana kupenda bado
Pole sana broo Mungu atamlip kwa hili, hakika malipo ni hapa hapa duniani, hakika broo ww upo sawa hauna tamaa then tusiwaamin watu kwa urahisi 🙏🙏
Pole kaka mzuri jaman 🌺
Tumuombe sana mungu atulindie watoto wetu na hili balaa la ushoga wanaume wengine wamekuwa kama mashetani kumuingilia mwanaume mwenzio kweli mungu atakuondolea Kila jeraha kijana
Amen
Pole sana brother 😢 ila malipo sikuhizi hayachelewi Mungu atalipa
Kabisaaa
Mwili unanitetemeka sana
Pole sana
Mungu mwaminifu japo ni maumivu umeyapitia lakini shukuru Kwa uhai tu mengine yapo tu kaka
Mpeni kazi clouds
Ushahid wa ushoga ndio unaongelea lkn sio ushahid wa yeye shoga kuhusika na tukio...... Pole sana lkn brethren
haongelei ushoga anazungumziw chanzo cha ttz
Watu kama hao ndio wanaolipizwa visasi kimya kimya akifa utasikia jamaan kapigwa risasi kakosa nini binaadam wana roho mbaya kumbe wengine wanauliwa kwa sababu wameuwa au wamedhulu watu kama kina Talk ila Mwenyeez Mungu ayamuhukumu kama amehusika kwa njia yeyote kwenye madhara uliyo yapata
Duu yani nimejiakia vibaya for this guy😰😰mwenyezi Mungu atakupigania pole sana 😥😥natamani anioe bure nipende alivyo maskini.. binadamu wabaya 😭😭😢😢
Pole Sana Kaka 😭polisi mungu anawaona🙌
Niliishi na wapare nilijuta kuzaliwa ila namshukuru Mungu nilijifunza.Roho chafu sana ndomaana wanakaa milimani hawana tofauti na wanyama.
Pole sana Tariq
Pole sana bro
Bado mzuri sanaa wala hakuna tatizo
Wala hakuna tatizo
Pole sana kaka
Polisi wetu ndio wako hivyo...ukiwa nje ya kituo unaona kama ndani ya kituo wako serious sana lakini sio kweli.Kwenye follen tunawapisha wa wahi lakini wana mzaa sana.Naongea kwa jazba hivi kwasababu hata mimi imenikuta.Unapewa mpelelezi hakupigii simu wala hafuatilii ishu yako
Masikin alizungkwa na maadui manaswara sio watu wazur😢 Allah ametuambia tusiwaamin😭
So sad
Hila malipo hapa hapa Duniani
. Kumbuka wewe unayemfanyia mwenzako hivyo kwamba umeumbwa na mungu na huyo amezaliwa na binadam.. Tuache chuki.. Kumbuka kwamba Ana wazazi ambaye alitunza mimba yake miezi tisa.. Unafikir anajisikiaje mzazi wake.. Hila.. Mungu yuko pamoja na wewe my brother
Pole sana broo maana story kubwa sana na ni ya kweli
Pole sana bro,naweza kupata namba yako,if you don't mind
Vijana wameharibika!😔
so sad... Tanzania police ipo shida
Pole sana kaka
Shida sanaa 🙏
Maskini hao watu walilipwa hela uskute ni laki tano tu maskini washakula imeisha but watateseka mpaka kifo chao kiwakute !
même après la mort jls vont payer
Ukweli huwa unatolewa na mahakama kwa taarifa ya upelelezi ikikamilika. Hizi taarifa za kumuhoji mtu Mmoja mmoja kwenye media huwa hazina mashiko Sana.
Ana sauti nzuri sana kwa utangazaji mpeni awe anatangaza ata kipibd cha utalii kikuwa ata nusu saa.utalii wa zanzibar na mbugani
Aaah nawewe mtaftie vijana amwagiwe tindikali na yeye aone raha
hivi hofu ya mungu imepotea ata kwenye ulinzi au mahakama zetu
Pole sana brow ila kuptia wewe umekomboa jamii kubwa ya Tz
huyu kaka wa wa2 ni innocent xn jmn... wa2 ambao hamjui mcmuongelee vby ixhu xio wake za wa2 jaribun kua waelewaaaa🖐
Thank GOD umerudi salama MUNGU ALINDE UHAI WAKO
Bro pole sana mungu akufanyie wepesi na jicho la pili lione aamin 🤲 ila kuna kitu nimejifunza kutokana na maelezo yako na hata Yale maeleo ya awali kabla hujaenda India , yaani unakiburi sana na ulikua unaringia uhandsome wako na pia ulikua unaringia body yako, ila pole sana kweli amekuharibu😭
Kabla hujafa hujaumbika.usimalize maneno
Kiburiii n nn? Kukataa kufanya kile alichoombwa au
Hivi ww unajielewa kweli hata kama aliringa hakustahili hiki yaan hakuna acha maneno wewe kaka
Una undugu na huyo shoga nini?Yaani inaonekana umefurahia hicho kitendo.Eti aringia uhandsome muache aringe Mungu fundi😒
Hemedy wewe ni shoga pia 😏😏😏yan mtu akatae kufanya ujinga wew unasema alikua anaringia uzul wake kila mtu apa dunian anauzuli wake km wewe hujikubal ni wewe
Mungu atakulipa kaka
Tariq pole sana
Maskin Allah atakulipia kwa hio dhulma ulofafanyiwa
This is very sad indeed 😢😢😥
💔😢Kwanini sasa wana uzwa hizo tindi kali wakat ina madhara 😢
Tindikali ina matumizi mengi ya msingi ikiwemo matumizi viwandani na ya maabara za kemia...vitu vingi vina madhara vikitumiwa vibaya mfano dawa...
Hiyo ni sawa na kuuliza Kwann Sasa wanauza visu wakat vina madhara
Sema hospital wanaona mtu umeshamwagiwa tindikali lakini wanakwambia ujioshe uso manurse wanafanya nini wasimsaidie kumuosha?
maajabu
😢😢😢😢pole sana
pole sana mwamba
😢😢
My God
Mpeeni kazi ya utangazaji anaweza
🤲
Na ndivyo ata watot zetu wanavyotishiwa na kudanganywa uko mashuleni,mitaani na sehemu za kazi yesu atulindie vizaz vyetu dunia imeharbik peke yetu atuwezi
Dada Victoria yes awezi kukulinda coz sio mungu .mungu peke ndo anaweza kukulinda .mungu akuongoze ujue dini ya haki
Umeonae jamani inauma sana
NI KWELI WANATISHIWA SANA ILA WAKUOMBWA KUTULINDA NI MUNGU ALIYEMUUMBA NA KUMTUMA YESU NA SIYO YESU NDIO ANALINDA, YEYE YUPO MBINGUNI KWA MUNGU MUUMBA !! MWENYE UWEZO WA KUTULINDA NA CHOCHOTE !
@@hajjiomary2383 aiseeeeeee ivi umewaza ata maumivu ya mtu au upokutafuta comment za udini
Duu asant MUNGU kwa kumponya huyu kaka yetu tark
M nampenda huyu kaka jmn
Dawa ya acidi ni maji tatizo watu hawaelewi wanakimbilia hospitalini mpaka ufike huko imeshakujaribu ukimwagiwa acidi hapohapo wahi maji bila kuchelewa
Serikari ni ya ajabu sanaa kwel mtu kaumia afu anapewa mdhamana wanavyojari n hela to walishe familia zao
Yani da we acha Tu mungu pekeake ndio mtetezi WA Sisi masikini
Jamaa aliefanya hayo yupo uraiani anakula Bata tu da
Nimejifunza kitu ishi kwa kuepuka migogoro
apate justice aki iyo sio poa
So so soooooo sad God will pay those intruders mara dufu..haki haki this is so wrong!
Tanzania sio nchi ya kutaka ukaribu na watu wapumbavu
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
kbs aifai
😊
Kwa mtu aliyemfanyia kitendo hicho tunaomba jeshi la polis kumkamata mara moja
Mama Suluhu ingilia kati Jameni...
poleeee😢😢