Tariq Kipemba Afunguka Hatua kwa Hatua Alivyomwagiwa Tindikali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Tariq amewaeleza Leo Tena alivyofuatwa na watu waliommwagia tindikali iliyomsababishia madhara makubwa kwenye sura yake na kupelekea kutibiwa India

Комментарии • 265

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 Год назад +25

    Alhamulillah uaona jicho Moja,Allah azii kukuponya na akulipie Kwa dhuluma uliyofanyiwa amiin amiin

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +31

    Huyu kaka ni innocent jamani, ameumizwa sana, eeee Mungu tusaidie

    • @rahmatambwe1069
      @rahmatambwe1069 Год назад

      Pole sana Tariq m/ mungu ndio hakimu ashidwi na japo . Kikubwa ni kumshukur Mungu . Allah ndie Hakim atakulipa tu. Pole sana

  • @nadiahussein5079
    @nadiahussein5079 Год назад +10

    Pole Sana Tariq Allah Inshaa Allah atajuponya Ila una sauti nzur Sana wakupe kipindi Cha mapenzi unawezaaa sana

    • @JamesYakusora
      @JamesYakusora Год назад

      Polis mpo wapi jamniiii msaidieni huyu kaka huyu mbwaa akamatwee

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Год назад +13

    Daah!!kweli hujafa hujaumbika 😰😰😰💔pole san tariq 😭😭…kweli mwanaume unamfanya unyama km huu kwa mwanaume mwezio kisa tu amekataa kufanya ushaitwan wako 😭😭😭😭💔💔💔💔💔inauma sana nchi yetu imeharibika 😭😭😭mashoga watatuangamiza 😭

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад +1

      Alaaniwe huyo mshenzi yeye na kizazi chake😒Ameniuma huyu kaka jamani 😪

  • @DorcusErastoMsumari-ul8kp
    @DorcusErastoMsumari-ul8kp Год назад +4

    Mungu akiwa upande wetu ni nani aliejuu yetu, uzuri ni kwamba Mungu ni mwenye haki atafanya jambo🙏🙏

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Год назад +8

    Pole sana kk Tarki Mungu atakulipia kwa wote walioshiriki kukufanyia unyama huo

  • @PhilomenaSteven-tq2tx
    @PhilomenaSteven-tq2tx Год назад +3

    Daah pole bro mwenyezi mungu akufanyie wepesi unasauti mzuri kabisa ya kidume kabisa

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Год назад +4

    Pole sana kaka Tariq' Usichoke kumuomba ALLAH

  • @paulmbawala-ox3by
    @paulmbawala-ox3by Год назад +4

    Pole sana my bro Uzur n kwamba Mungu hapokei rushwa kaa kwakutulia Naamn Majbu ya huyo mtu alofanya hvyo Utayapata jmn hvyo bc Amn kwamba Mungu bado Anakupenda Mno jmn

  • @kipanyamagician5732
    @kipanyamagician5732 Год назад +74

    Ana voiceover nzuri mpeni matangazo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      Sana

    • @all-victorious2156
      @all-victorious2156 Год назад +1

      Unaelewa maana ya voiceover kweli??😂😂

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Год назад +1

      @@all-victorious2156 🤣🤣🤣

    • @danielarapmoi3041
      @danielarapmoi3041 Год назад +2

      ​@@all-victorious2156 hajui wewe sasa sema maanake nini voicecover

    • @MOTHERFLOWERS385
      @MOTHERFLOWERS385 Год назад +1

      ​@@all-victorious2156 ALITAKA KUMAANISHA ANA SAUTI NZURI YA KUWEKA VOICEOVER 😂😂😂😂😂😂

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 Год назад +7

    Pole sana bro ,huo ni ushujaa kwa Mungu.

  • @allandavid870
    @allandavid870 Год назад +22

    ana sauti nzuri anaweza kua mtangazaji

  • @joharishabani138
    @joharishabani138 Год назад +7

    Mungu ana nguvu sn, pole sn ndg yetu kaka Tariq

  • @kalemberehema1205
    @kalemberehema1205 Год назад +1

    Daaa kijana mzuri jmn kweri km alivosema nitamuharibu sura kweri wamekuharibu jmn pole sana Lkn bado handsome tu Mungu awalaani waliohusika

  • @shairiharuna2544
    @shairiharuna2544 Год назад +4

    Pole sana tariq Allah atakua nawe,,inauma saana

  • @salomejames9639
    @salomejames9639 Год назад +3

    Pole sana kaka angu MUNGU yupo tumshukuru Kwa Kila jambo

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Год назад +7

    Usijali kaka mungu hahongwi..mapema mnoo utaona matokeo yake .yako itakua ndogo.inauma sana hakika nimetoa machozi

  • @barakapallangyo4577
    @barakapallangyo4577 Год назад +2

    Pole sana bro........ Mungu atakupa uponyaji

  • @kakadabby4017
    @kakadabby4017 Год назад +2

    Voice ya huu mwana Kali sana inatosha utangazaji🔥🔥🔥🔥

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 Год назад +6

    🙏🙏Pole sana broo Tariq mungu atakuponya..... sote tunakuombea broo ..... ❤

    • @lydiamsheri4095
      @lydiamsheri4095 Год назад

      Ni kweli sisi wanadamu tuna maudhi saaaana kwa wenzetu lkn sio kwa adhabu hii jamaniii daaaaa.Mungu wewe ndio jibu

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 Год назад +12

    🙏🙏Mungu ni Mkubwa sana Broo Tariq utapona na haki yako utapata tu🙏🙏Na pia mwenye kutoa adhabu ni mwenyezi mungu TU... 🙏🙏

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Год назад +4

    Kilio chako tumekisikia na pole saan na wewe mpuuzi unaejiona mungu mtu nakwambia utakuja kufa kifo kibayaa na kaburi lako lisionekane..na hao maaskar wenye tamaa mungu hatawalanii,polee saan kaka yanguu

  • @khalilamahalu
    @khalilamahalu Год назад

    Allah akuhifadhi utarejea katika hali ya kawaida biidhnillah Alhamdulillah allah kareem upo hai mengine yatawezekana kwa uwezo wake Allah

  • @rhoidakalinga3043
    @rhoidakalinga3043 Год назад +5

    Pole sana kaka taliq Mungu atipa

  • @aggiemarley5742
    @aggiemarley5742 Год назад +2

    Pole sana kaka. Ana sauti nzuri sana, anafaa kuwa radio presenter jmn

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +6

    Pole sana Tariq Mungu atakuponya Inshaallah huyo muhalifu alaaniwe Shoga mkubwa anaharibu vijana wa watu

  • @hidayangalla9256
    @hidayangalla9256 Год назад +4

    Pole Kaka Bora Kama unaona, Ayo mengine achana nayo

  • @harriethkalindili7980
    @harriethkalindili7980 Год назад +21

    Mungu amekupigania na ataendelea kukupigania🙏

  • @jescahaule4802
    @jescahaule4802 Год назад +2

    Tarck pole Kaka mungu amesimama nawe kwenye kilalenyeher hujafa hujaumbika Ila binadam ni mnyama

  • @marthabura2266
    @marthabura2266 Год назад +4

    Pole kaka mungu ni mwema

  • @marthamngao923
    @marthamngao923 Год назад +7

    Hakimu ni Mungu atakulipia tuu malipo ni hapa hapa dunian

  • @LoveJack-wy7mi
    @LoveJack-wy7mi Год назад +7

    Daah binadam tumekuwa wanayama San aisee kaka wa watu alikuwa mzur daah 😭🙌

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 Год назад +5

    Mweeee Mungu atakulipia ,

  • @giftyzawadi5411
    @giftyzawadi5411 Год назад +2

    Pole sana mungu yuko pamoja nawe

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 Год назад +6

    Dah mpaka maumivu yaani.. hapo sasa ndo pale wapare wakisemaga Wana roho mbaya nashndwa hata jinsi ya kujitetea.

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад +2

      Roho mbaya haina kabila ndugu yangu.

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Год назад +12

    Police wapuuzi sana hapo pesa ilitembea dah

  • @emma-9525
    @emma-9525 Год назад +2

    Polee sanaa jamanii😭😭😭 jamanii tariq

  • @AminaAmina-mv4ko
    @AminaAmina-mv4ko Год назад +13

    Hiyo ndo nchi yetu ya tanzaniya pole sana bro ila mwachie mungu 🙏🏼🙏🏼✍🏽 yeye ndio hakimu wetu wa haki maskini hana sauti😭😭

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Год назад +7

    Mwachie mungu ndo hakimu wa kweli jali afya yako kwass

  • @dayanamsuya6516
    @dayanamsuya6516 Год назад +1

    Hivi mahakama zinaweza kuleta shida ya kisasi ,kha kwangu mungu atanisamehe

  • @JosephineCleophas-bo5of
    @JosephineCleophas-bo5of Год назад +4

    Pole sana jamani mungu ana kupenda bado

  • @mohammedaliy3307
    @mohammedaliy3307 Год назад +2

    Pole sana broo Mungu atamlip kwa hili, hakika malipo ni hapa hapa duniani, hakika broo ww upo sawa hauna tamaa then tusiwaamin watu kwa urahisi 🙏🙏

  • @faustinahugo9621
    @faustinahugo9621 Год назад +2

    Pole kaka mzuri jaman 🌺

  • @judithjulius5993
    @judithjulius5993 Год назад +4

    Tumuombe sana mungu atulindie watoto wetu na hili balaa la ushoga wanaume wengine wamekuwa kama mashetani kumuingilia mwanaume mwenzio kweli mungu atakuondolea Kila jeraha kijana

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Год назад +5

    Pole sana brother 😢 ila malipo sikuhizi hayachelewi Mungu atalipa

  • @catherincharles345
    @catherincharles345 Год назад +10

    Mwili unanitetemeka sana

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Год назад +3

    Pole sana

  • @tasokwamichael2433
    @tasokwamichael2433 Год назад +2

    Mungu mwaminifu japo ni maumivu umeyapitia lakini shukuru Kwa uhai tu mengine yapo tu kaka

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 Год назад +3

    Mpeni kazi clouds

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад +1

    Ushahid wa ushoga ndio unaongelea lkn sio ushahid wa yeye shoga kuhusika na tukio...... Pole sana lkn brethren

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي Год назад +2

    Watu kama hao ndio wanaolipizwa visasi kimya kimya akifa utasikia jamaan kapigwa risasi kakosa nini binaadam wana roho mbaya kumbe wengine wanauliwa kwa sababu wameuwa au wamedhulu watu kama kina Talk ila Mwenyeez Mungu ayamuhukumu kama amehusika kwa njia yeyote kwenye madhara uliyo yapata

  • @mariyammaria669
    @mariyammaria669 Год назад +8

    Duu yani nimejiakia vibaya for this guy😰😰mwenyezi Mungu atakupigania pole sana 😥😥natamani anioe bure nipende alivyo maskini.. binadamu wabaya 😭😭😢😢

  • @UmmyMaskat
    @UmmyMaskat 10 месяцев назад

    Pole Sana Kaka 😭polisi mungu anawaona🙌

  • @reginarudovick3401
    @reginarudovick3401 Год назад

    Niliishi na wapare nilijuta kuzaliwa ila namshukuru Mungu nilijifunza.Roho chafu sana ndomaana wanakaa milimani hawana tofauti na wanyama.

  • @LilynavoMziray-uk2lx
    @LilynavoMziray-uk2lx Год назад +4

    Pole sana Tariq

  • @Mandlamguni
    @Mandlamguni Год назад +1

    Pole sana bro

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Год назад +3

    Bado mzuri sanaa wala hakuna tatizo

  • @SakinaKaluse
    @SakinaKaluse Год назад

    Pole sana kaka

  • @carlosn_tz
    @carlosn_tz Год назад +4

    Polisi wetu ndio wako hivyo...ukiwa nje ya kituo unaona kama ndani ya kituo wako serious sana lakini sio kweli.Kwenye follen tunawapisha wa wahi lakini wana mzaa sana.Naongea kwa jazba hivi kwasababu hata mimi imenikuta.Unapewa mpelelezi hakupigii simu wala hafuatilii ishu yako

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Год назад +6

    Masikin alizungkwa na maadui manaswara sio watu wazur😢 Allah ametuambia tusiwaamin😭

  • @florenciahashimu6195
    @florenciahashimu6195 Год назад +7

    So sad

  • @jacksonjamesndyabawe495
    @jacksonjamesndyabawe495 Год назад

    Hila malipo hapa hapa Duniani
    . Kumbuka wewe unayemfanyia mwenzako hivyo kwamba umeumbwa na mungu na huyo amezaliwa na binadam.. Tuache chuki.. Kumbuka kwamba Ana wazazi ambaye alitunza mimba yake miezi tisa.. Unafikir anajisikiaje mzazi wake.. Hila.. Mungu yuko pamoja na wewe my brother

  • @josavage
    @josavage Год назад

    Pole sana broo maana story kubwa sana na ni ya kweli

  • @GermanaThomas-tf8kw
    @GermanaThomas-tf8kw Год назад

    Pole sana bro,naweza kupata namba yako,if you don't mind

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад +5

    Vijana wameharibika!😔

  • @kaskazinimusic
    @kaskazinimusic Год назад +5

    so sad... Tanzania police ipo shida

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Год назад +3

    Maskini hao watu walilipwa hela uskute ni laki tano tu maskini washakula imeisha but watateseka mpaka kifo chao kiwakute !

    • @goova4116
      @goova4116 Год назад

      même après la mort jls vont payer

  • @allymtawa-dy4km
    @allymtawa-dy4km Год назад

    Ukweli huwa unatolewa na mahakama kwa taarifa ya upelelezi ikikamilika. Hizi taarifa za kumuhoji mtu Mmoja mmoja kwenye media huwa hazina mashiko Sana.

  • @flyingdresszanzibar
    @flyingdresszanzibar Год назад

    Ana sauti nzuri sana kwa utangazaji mpeni awe anatangaza ata kipibd cha utalii kikuwa ata nusu saa.utalii wa zanzibar na mbugani

  • @mahsinmbarak7191
    @mahsinmbarak7191 Год назад +2

    Aaah nawewe mtaftie vijana amwagiwe tindikali na yeye aone raha

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Год назад

    hivi hofu ya mungu imepotea ata kwenye ulinzi au mahakama zetu

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Год назад +1

    Pole sana brow ila kuptia wewe umekomboa jamii kubwa ya Tz

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Год назад +5

    huyu kaka wa wa2 ni innocent xn jmn... wa2 ambao hamjui mcmuongelee vby ixhu xio wake za wa2 jaribun kua waelewaaaa🖐

  • @catherinekimwai9592
    @catherinekimwai9592 Год назад

    Thank GOD umerudi salama MUNGU ALINDE UHAI WAKO

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 Год назад +2

    Bro pole sana mungu akufanyie wepesi na jicho la pili lione aamin 🤲 ila kuna kitu nimejifunza kutokana na maelezo yako na hata Yale maeleo ya awali kabla hujaenda India , yaani unakiburi sana na ulikua unaringia uhandsome wako na pia ulikua unaringia body yako, ila pole sana kweli amekuharibu😭

    • @mwajabukiango9891
      @mwajabukiango9891 Год назад +3

      Kabla hujafa hujaumbika.usimalize maneno

    • @lovenialeonady5607
      @lovenialeonady5607 Год назад +2

      Kiburiii n nn? Kukataa kufanya kile alichoombwa au

    • @vickieeddie2230
      @vickieeddie2230 Год назад +3

      Hivi ww unajielewa kweli hata kama aliringa hakustahili hiki yaan hakuna acha maneno wewe kaka

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад +2

      Una undugu na huyo shoga nini?Yaani inaonekana umefurahia hicho kitendo.Eti aringia uhandsome muache aringe Mungu fundi😒

    • @joyce55727
      @joyce55727 Год назад +4

      Hemedy wewe ni shoga pia 😏😏😏yan mtu akatae kufanya ujinga wew unasema alikua anaringia uzul wake kila mtu apa dunian anauzuli wake km wewe hujikubal ni wewe

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 Год назад

    Mungu atakulipa kaka

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +2

    Tariq pole sana

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 Год назад +2

    Maskin Allah atakulipia kwa hio dhulma ulofafanyiwa

  • @anawa4326
    @anawa4326 Год назад +5

    This is very sad indeed 😢😢😥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    💔😢Kwanini sasa wana uzwa hizo tindi kali wakat ina madhara 😢

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 Год назад

      Tindikali ina matumizi mengi ya msingi ikiwemo matumizi viwandani na ya maabara za kemia...vitu vingi vina madhara vikitumiwa vibaya mfano dawa...

    • @robertnyabange7045
      @robertnyabange7045 Год назад

      Hiyo ni sawa na kuuliza Kwann Sasa wanauza visu wakat vina madhara

  • @juniormanka9679
    @juniormanka9679 Год назад +3

    Sema hospital wanaona mtu umeshamwagiwa tindikali lakini wanakwambia ujioshe uso manurse wanafanya nini wasimsaidie kumuosha?

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад +5

    😢😢😢😢pole sana

  • @abuubakary4848
    @abuubakary4848 Год назад

    pole sana mwamba

  • @faridamkumba4399
    @faridamkumba4399 Год назад +2

    😢😢

  • @eliasjanuary5941
    @eliasjanuary5941 Год назад

    My God

  • @kevokeface8744
    @kevokeface8744 Год назад

    Mpeeni kazi ya utangazaji anaweza

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Год назад +2

    🤲

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад +9

    Na ndivyo ata watot zetu wanavyotishiwa na kudanganywa uko mashuleni,mitaani na sehemu za kazi yesu atulindie vizaz vyetu dunia imeharbik peke yetu atuwezi

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +1

      Dada Victoria yes awezi kukulinda coz sio mungu .mungu peke ndo anaweza kukulinda .mungu akuongoze ujue dini ya haki

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 Год назад

      Umeonae jamani inauma sana

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад

      NI KWELI WANATISHIWA SANA ILA WAKUOMBWA KUTULINDA NI MUNGU ALIYEMUUMBA NA KUMTUMA YESU NA SIYO YESU NDIO ANALINDA, YEYE YUPO MBINGUNI KWA MUNGU MUUMBA !! MWENYE UWEZO WA KUTULINDA NA CHOCHOTE !

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Год назад

      @@hajjiomary2383 aiseeeeeee ivi umewaza ata maumivu ya mtu au upokutafuta comment za udini

  • @jacklinmacha2964
    @jacklinmacha2964 Год назад +2

    Duu asant MUNGU kwa kumponya huyu kaka yetu tark

  • @swaphiatysaid5332
    @swaphiatysaid5332 Год назад

    M nampenda huyu kaka jmn

  • @castrokassoga7271
    @castrokassoga7271 Год назад

    Dawa ya acidi ni maji tatizo watu hawaelewi wanakimbilia hospitalini mpaka ufike huko imeshakujaribu ukimwagiwa acidi hapohapo wahi maji bila kuchelewa

  • @miriamemanuel9854
    @miriamemanuel9854 Год назад +8

    Serikari ni ya ajabu sanaa kwel mtu kaumia afu anapewa mdhamana wanavyojari n hela to walishe familia zao

    • @GabriellaWiseman
      @GabriellaWiseman Год назад +1

      Yani da we acha Tu mungu pekeake ndio mtetezi WA Sisi masikini

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Год назад

    Jamaa aliefanya hayo yupo uraiani anakula Bata tu da

  • @PendoPendo-q1p
    @PendoPendo-q1p Год назад

    Nimejifunza kitu ishi kwa kuepuka migogoro

  • @yvonnetafancy7710
    @yvonnetafancy7710 Год назад

    apate justice aki iyo sio poa

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Год назад +2

    So so soooooo sad God will pay those intruders mara dufu..haki haki this is so wrong!

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Год назад +8

    Tanzania sio nchi ya kutaka ukaribu na watu wapumbavu

    • @mamydidaammar6660
      @mamydidaammar6660 Год назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @mamydidaammar6660
      @mamydidaammar6660 Год назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @mamydidaammar6660
      @mamydidaammar6660 Год назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Год назад

      kbs aifai

    • @rhodarobin8086
      @rhodarobin8086 Год назад +1

      😊

  • @kibatemba9860
    @kibatemba9860 Год назад

    Kwa mtu aliyemfanyia kitendo hicho tunaomba jeshi la polis kumkamata mara moja

  • @nellyshivere4267
    @nellyshivere4267 Год назад

    Mama Suluhu ingilia kati Jameni...

  • @deborahbutoto6375
    @deborahbutoto6375 Год назад

    poleeee😢😢