UGONJWA WA AFANDE SELE/ SUGU NA PROFESA JAY, WATAJWA/ AFUNGUKA MAZITO/'MAZISHI AKIWA HAI'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Kituo chako pendwa Dar24Media kimefuga safari kutoka Dar es salaam mpaka mkoani Morogoro kwa ajili ya kumtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli wa muziki wa Bongo Fleva ambaye siku za hivi karibuni alipatwa na tatizo la kiafya lililopelekea kufanyiwa upasuaji. nini kilikuwa chanzo na kimesababishwa na nani?
    fuatilia kwa kina mahojiano haya.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 24

  • @Miro255
    @Miro255 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣 Duuuuh, hii niyawanaume tu(wavaulana watakuja jua baadae hatar sana hii kitu)

  • @sampatrick308
    @sampatrick308 2 года назад

    Jah bless Rasta

  • @fobibook
    @fobibook Год назад

    Huyu jamaa mziki wake una manufaa, lakini anaongea pumba nyingi sana kwenye hizi interviews, sijui anazeeka vibaya!!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    umesema Ukweli

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Год назад

    Hana maana ya kuishi

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Год назад

    MTUKANE TENA MUNGU KAMA ULIVOMTUKANA | MAANA KAMA MUNGU ALIKUPA BUSHA ATATAFUTA NA CHA KUKUPA KINGINE ILI UWE NA ADABU . MUNGU YUPO HAI NA MAKINI TAKE CARE BABYLONE

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 года назад +2

    vipi hapo simba kuhusu imani yako kwa mungu...unaanzakuamini kuwa yupo...maana nakumbuka kipindi cha kifo cha mwamba wa siasa jpm...DUUUU...ULITEMA MABOVU SNA KWA MUUMBA WETU

    • @Mazoea
      @Mazoea 2 года назад

      🤣😂🤣🤣😂 sasaivi Mungu yupo ..

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 2 года назад

    Yaaani umefunga safari kutoka Dar Hadi Moro then umeishia kufanya interview yenye twenty minutes? Si Bora ungefanya kw njia ya simu tuu kuliko kupoteza muda wako

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 2 года назад +2

    Mungu aendelee kukuponya king selemani

  • @nelsonthuo5094
    @nelsonthuo5094 2 года назад +1

    #wajackoyahband endorsed by #mukurweini constituency and #rwarailocation people

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 2 года назад +1

    Jamaa hapo hanunui mboga kabisa,mazingira fully

  • @jafarishabani9686
    @jafarishabani9686 2 года назад

    Afande unatema madini Kwanza pole kwa maradhi, pili elimu fikra zako zinahitajika katika jamii

  • @dj26number2
    @dj26number2 2 года назад +1

    Mfalme ❤️🇹🇿❤️ Daaaa Posho🥲

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 2 года назад

    Nimekuelewa sana Afande, una madini brother.

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 2 года назад

    Pole sana brother, Mungu akuponye kabisa.

  • @joachimompesh7387
    @joachimompesh7387 2 года назад +1

    Mungu yupo.

  • @mikevavai8317
    @mikevavai8317 Год назад

    Pole sana kaka yangu afange

  • @benedictmhina8940
    @benedictmhina8940 2 года назад

    Bangi bwana inaplan za ajabu sana

  • @djndevu9138
    @djndevu9138 Год назад

    Safi

  • @dj26number2
    @dj26number2 2 года назад +1

    Mzalendo Mfalme❤️🇹🇿❤️ #Posho👌✌️

  • @rashadjuma817
    @rashadjuma817 2 года назад

    Big up afande

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад

    .

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад

    .