UGONJWA WA AFANDE SELE/ SUGU NA PROFESA JAY, WATAJWA/ AFUNGUKA MAZITO/'MAZISHI AKIWA HAI'
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Kituo chako pendwa Dar24Media kimefuga safari kutoka Dar es salaam mpaka mkoani Morogoro kwa ajili ya kumtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli wa muziki wa Bongo Fleva ambaye siku za hivi karibuni alipatwa na tatizo la kiafya lililopelekea kufanyiwa upasuaji. nini kilikuwa chanzo na kimesababishwa na nani?
fuatilia kwa kina mahojiano haya.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
🤣🤣🤣🤣 Duuuuh, hii niyawanaume tu(wavaulana watakuja jua baadae hatar sana hii kitu)
Jah bless Rasta
Huyu jamaa mziki wake una manufaa, lakini anaongea pumba nyingi sana kwenye hizi interviews, sijui anazeeka vibaya!!!
umesema Ukweli
Hana maana ya kuishi
MTUKANE TENA MUNGU KAMA ULIVOMTUKANA | MAANA KAMA MUNGU ALIKUPA BUSHA ATATAFUTA NA CHA KUKUPA KINGINE ILI UWE NA ADABU . MUNGU YUPO HAI NA MAKINI TAKE CARE BABYLONE
vipi hapo simba kuhusu imani yako kwa mungu...unaanzakuamini kuwa yupo...maana nakumbuka kipindi cha kifo cha mwamba wa siasa jpm...DUUUU...ULITEMA MABOVU SNA KWA MUUMBA WETU
🤣😂🤣🤣😂 sasaivi Mungu yupo ..
Yaaani umefunga safari kutoka Dar Hadi Moro then umeishia kufanya interview yenye twenty minutes? Si Bora ungefanya kw njia ya simu tuu kuliko kupoteza muda wako
Mungu aendelee kukuponya king selemani
#wajackoyahband endorsed by #mukurweini constituency and #rwarailocation people
Jamaa hapo hanunui mboga kabisa,mazingira fully
Afande unatema madini Kwanza pole kwa maradhi, pili elimu fikra zako zinahitajika katika jamii
Mfalme ❤️🇹🇿❤️ Daaaa Posho🥲
Nimekuelewa sana Afande, una madini brother.
Pole sana brother, Mungu akuponye kabisa.
Mungu yupo.
Pole sana kaka yangu afange
Bangi bwana inaplan za ajabu sana
Safi
Mzalendo Mfalme❤️🇹🇿❤️ #Posho👌✌️
Big up afande
.
.