MJADALA MZITO, MASWALI MAGUMU MAGUMU ALIOUENDESHA RAIS MAGUFULI
HTML-код
- Опубликовано: 21 янв 2019
- #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #Tanzania
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
• Patashika bomoabomoa y...
~-~~-~~~-~~-~
Tanzania utafika sehem mmoja nzuri sana watu wakibadilika .
Ee mungu wangu usie shindwa kamwe najua kwabinadam hatuwez ila ww unaweza ukamfanya rais wetu aendelee kuwa rais miaka 20 nazaidi love you rais wetu
Geeez Tanzania is soooo rich waaah🤗🤗🇰🇪🇰🇪 love from Kenya
jamani Rais wetu sisi wananchi wako tuna njaa lakini tunapata shibe kwa kazi nzuri unayofanya mungu awe pamoja nawe
Mungu ibariki Tanzania na aendelee kumpa Rais JPM maono ya kuiongoza Nchi atupeleke kwenye neema
Raisi barikiwa sana,, kazi nzuri
najivunia kuwa na rais magufur namuoba mungu akulinde uongoz wako wote na asie kuelewa anamatatizo.
Msukuma Brown safi sana rain makufuli mungu akubariki
Over 200 different mineral found in #Morogoro, seriously this country need respect.
Never have i ever listened to such wealth in a Country,Tanzania beats Kenya hands down.
What a forum,best way to no more middle men and brokers in Tz minerals, best way to go Mr president..... You patience made you learned a lot....best president in African....
MH Raisi uzoefu wangu wazungu tunawaona watu wa maana lakini hakuna mijitu corrupt kama hao...Mijizi mikubwa inaiba Resorcess zetu na sie tunawachekea tu.
Best approach wow. 🤗kenyakenya 🇰🇪🇰🇪is impressed🇪
Safi sana mheshimiwa Raisi, hii nchi itanyooka tuu.
Noma wa Tanzania tunaibiwa sana
Munainiwa saaana lakini muheshimiwa Magufuri akiwafundisha jinsi munavyoweza kujikinga huo wizi, wengi wenu wanamutemea mate. Acheni niwambie, mimi ni mmoja wa wakimbizi ambao tulikuwa tuna kaa kambi za wakimbizi mukowani Kigoma. Tuliletwa huku malekani kuanzia mwaka wa 2007. Nduguza, turishangaaa saana. Wazungu wametuiba( I mean that they stole a lot of Africa mining wealth for so long) to the point huku wanajigamba. Kama vile trump alisema kwa Africa ni choo, hivyo ndivyo wazungu wengi wanakubali.
MUNGU BARIKI TANZANIA
Uendelee kuwa hai maana nchi yetu ilikuwa inaibiwa sana
Wamemgeuka uyo mzungu aliingiaje nchin. Mmemkataa kwa sabab hajui kiswahil
Tatizo nchi haina gold centre hiyo itasaidia serikali kuuza yenyewe nje ya nchi wachimbaji wadogo na wakat wauze nchin serikali ikusanye nakuweka store ya gold au gold room na madin mengine apo itafika mbali sana
ukisikiliza huu mjadala hutamani kusikiliza bunge tena hii ni zaidi ya bunge
Laurent Sunta hakika
Umeona
Heri la Saba Kuliko Prof Kikula
Wewe ndo rais bana. Mungu akutie nguvu ban as.
Kazi nzuri
Rais unachesha sana umeingilia mtandao
Hii nchi ilikuwa inaliwa sana kwa maelezo mafupi tu ya mwanzo
Baba naomba kipindi kiludiwe Tena. Bado watu wanamengi yakusema Muda Autoshi. Ungefanya kila Mwezi Mnakutana.
Nchi yetu ni tajiri sana. Tu centralize vitu vyote. Benki kuu inunue madini yote kutoka kampuni za uchimbaji. Kampuni za uchimbaji ziwalipe wachimbaji. Na zitolewe taarifa za mapato kila mwezi kwa vyombo vyote vya habari ili wananchi wote tuwe kwenye ukurasa mmoja
Kikao kimenikuna sana sitamani kuacha kusikiliza kwani hata bunge hakuna kitu
Mheshimiwa JPM is the best president well evidenced!
Kweli TBC mmedoda kila wakati sauti ya mitambo yenu wala haisikiki
JPM baba baba nakuomba kuanzia leo vunja bodi nzima ya TBC mimi nipo ugaibuni hii TBC ishanilaza hospital kwa migandisho na kukatika katika
😂😂😂
@Julieth usinicheke nipe pole namshukuru mungu nimetoka juzi hospital
@@papayatnzania1005 nimecheka ulivyosema umelazwa kisa sauti za TBC
Ok nimekuelewa hiyo ndio yangu tujuane zaidi on WhatsApp +44 7466023648 siku njema
nitamu zaidi ya bunge
KWANINI mnaandaa vikao kama hivi na mna MIC mbovu kiasi hikiiii MNATIA HAIBU........
Your words are no sense, you have been mind washed by whites. Do you think what is important is having very good looking buildings or to protect the wealth of the Tanzania and watanzania????
Well done rais kwa kusikiliza watu wako nenda kwenye secto ya kilimo na biashara zingine pia
kikao hiki ni zaidi ya bunge, kinavutia hata kusikiliza
kikao hiki ni zaidi bunge, unavutiwa hata kusikiliza
Big up President songa mbele nchi yetu ipone, nchi yetu ni tajiri sana
Mungu ibariki Tanzania
Rais wetu kwelikweli tunakuelewa Sana Sana ila hapo kunawazoefu wakupindisha mipango hiyo yako tunashauli watu wanaogopa Sula waitwe mmojamoja waitwe hao watakueleza mengi sasatunatamani inchi hii ukae kwelikweli uongozi wewe dalili hii inaonesha salama Ya maisha yetu kabisa Rais wetu makufuli tunakuombea
Dhahabu ni mradi wa wakubwa nahivyo hawataki kuona benki inunuwe basi walafi wanchi wataiibia lini nchi? wabubwa wanahisa mbali mbali. Ni miradi inayounganika na wakubwa wanagawiana madini halafu wanajifanya kuweka mikakati mizuri lakini ukweli wanapenyezana ndani yake. Nchi inavurugwa na wakubwa kwa kivuli cha CCM.
NAPENDEKEZA KUWA MSWAADA WA MADINI USIWE UNAJADILIWA BUNGENI KWA KIPINDI CHA HUYU MZEE AWE ANAWAITA HAWA NDO WENYE UKWELI NA LASILIMALI ZETU.
Kabisa
Naskia kuna Angela kariuki.. hehe... Hawa wakenya ... balaaa. 🇰🇪🇹🇿
Angellah Jasmine Mbelwa 'KAIRUKI' not Kariuki
tunyooshe mzee jpm
Kuna wazungu watatimuliwa hapa tz, kazi IPO, twende kazi
Tanzania ina mali mingi sana hatujapata watu wazalendo. Hata Rais sio mzalendo. Kwa nini anafanya manunuzi bila kushirikisha Wabunge. Huu ni wizi pia. Watanzania tukubali kusahihishana. Hata Rais akubali kusahihishwa. Mnataka kuniambia Rais Magufuli yeye hana shida ya pesa?. Hizi fedha anazotoa mikoani kwa watu anazitoa wapi.
walikuwa wanaioba au..
Helmani Komba daaahh kweli
Huyu mzungu ndo mnene hivi,anakula vitu vyetu halafu hata leseni ni utata km anayo!
Maprofesa hawana majibu
Sikubali, yale yote mweupe wenu amesema. Hao ndio wizi
Duh! kweli nchi yetu ilikuwa inapigwa kweli kweli
Aisee wameisoma namba, yaani hakuna utani....
Baba hata panya buku leo utawajua tu naibiwa sana mpaka inauma ikiwa tuko ugaibuni utazani tupo maskini sana baba shuhulika nao hao tumechoka
Mweshimiwa nakukubali piga Kazi ila ss wafanyabiashara mapato yapo juu sana
Sauti jamaani .. Audio is not clear.. Scratchy and cuts off .. Please
TBC mmehongwa pesa nini leo mbona kwenye maneno mazuri na matamu hakusa sauti ???😠😠
Nami nilijisemea kimoyomoyo
I wish Ungekua raisi wangu
Nchi ya tanzania imetawaliwa na waarab na wazung kutakuwa na maendeleo kwel
Asiye mkubali makufuli mchawi
Mbulu dah noma Are tbhsnsdn
Tena atakua Mchawi ambae hajavua nguo.
Haaaaaaa Rais wetu Mungu akupe miaka mia
Mafisadi tripu hii wameshikwa pabaya
Uyu mzungu anatetemka mpaka lugha yake inamshida mbona .kuna.kitu hapa.
Nyie jamaa vifaa gani mnatumia kurecord mbona sauti inakata sanaaa..😡😡😡😡 mnaboaaa...
Voice control mbovu sana...
Inakuaje Mike znakatakata sauti?
Hii kazi ni ya waziri husika raisi anachoka sana kutokana na waziri kushindwa kusimamia kwenye zamu yake.
Africa Hear me Now!! Make your moves cautiously right away, while they are occupied.
Haya mambo ya discussion ni nani awezaye kuyapinga?
Kweli aibu sana unajua taka za UK zinaingiza kuriko dhahabu ya inchi za Kia Africa. Aibu sana
Hiyo microphone haifai
Kwa mwendo huu tutafika
Raic barikiwa sana, Nazi nzuri
Mimi kama mzarendo nitafurahi kujuwa Taifa limetowa leseni ngapi katka miaka10Tu😫 hesabu zaidi nitafanya mwenyewe ili nijuwe tutapata kiasigani Kwa muda ujao nitasamehe tulizoibiwa ila wakati ujao utatosha kufuta machozi MUNGUSAIDIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mnakera sauti inakata kata sana
Mh. Rais kwa idhini yako kubwa wachimbaji na mabroka wa madini tanzanite waruhusiwe kuingia getini migodini Mirerani kuliko kuruka ukuta. maana ajira yao kubwa ipo migodini yakujipatia kipato.
Nothing to say but president Magu your only in world
Tanzania ni tajiri lakini CCM wezi sana. Viongozi wengi ni wafanya biashara wakati wa Mwalimu ilikuwa Mfanyakazi wwa Serekali haruhusiwi kuwa Mfanya Biashara. Ili kurudisha uchumi wa nchi uwe imara na usiwe wa kubabaisha usiruhusu Wafanyakazi wa Serekali wawe wafanya biashara.
Raisi njoo utalii.kuna madudu ukiyackia utazilai
Akizilai tena si itakuwa balaa
Hizo mic mmeazima wapi? Mxewww
Hayo madini mnauzia wapi?
LEO KUCHEKA KAMA KOTE VILE😂😂😂😂
ostaz wa moro hongera
Nani atafanya haya tena baba umetuacha yatima watoto wako umeonyesha njia lakini watafuata kweli mungu tusaidie enyewe hujazikwa raia wako tushaanzwa kunyanyaswa jmn
Huyu ni rais wa watu kweri yuko makini Sana
Kweli
Leo itajulikana wacha tu
WANAOMKUBALI JPM tugonge like alafu tusisahau kusubscribe katika channel yangu
Mungu.akuzidiShie.afya.njema.rais.wetu.magufuli
Good mjadala
shida hz zann tena
This dude is fucking all this Europeans. . Totally fine dude. Wish Uhuru had this practical approach. . geez.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kiukweri mweshimiwa mihayo ana moyo mzuri na nchi yake anafaa kua kiongozi kwenye madini mlete kahama buzwagi
mzee utawanyoosha naona wanajin'gatan'gata tuu.
Magufuli amechefukwa kwenye hii kikao dah ila namuelewa watu wabinafsi wakishapata hawataki kutengeneza kwa ajili ya wengine
Kweli kweli MUNGU BABA ENDELEA KUIBARIKI TANZANIA
Fulgence Achard jaman saut anakatakata sana
unasifu jambo au kitu fulani usijosie watu kwsb mawazo yako ni yako tu
mzee na simba walifungwa tano bila hii aibu kubwa sana kwa taifa una wasaidiaje
Hahahahha
Hahaha jamaa umenifurahisha sana kwa maoni yako haa
Wageni bado wanaendelea Kuiba mali asili za nchi halafu wanapeleka kwao kuendeleza uchumi, kisha wanatucheka na kutuona wajinga lakini sisi bado tu tunazidi kujipendekeza na kuwaamini.
CHEKA:kilichowatokea Hamisa Mobeto na mwanaume wake KITANDANI👇
ruclips.net/video/HWEqGZ7bdeU/видео.html
Watanzania tunataka nini!Kidonda tuuguzeee Baba Jpm hakika wewe ni Mtu wakipekee upo kwaajili wanyonge Watanzania wenye hakili timamu tuko pamoja na wewe wanaokupinga tunajua wanafaidika vipi na huo wizi wa madini kwaasiyejua atashabikia tu vita ya uchumi ni ngumu sana ila wewe umefanikiwa Hongera rais wangu Jpm hakika najivunia kuwa na Rais kama weweeee
Duuh!!!! Mnaona Jinsi Mijizi Dhabu,Almasi Etc Wanavyoidhulumu Inchi ?. Hata Mawaziri
Hawajuwi Nini Kinachofanyika - Utajiri Wote Unapelekwa India ,Dubai ,UK Kupitia Kenya
Uganda Na Kwengineko .
Magufuri wew unatisha kabisa
TBC mnatukosesha uhondo
TBC mnafeli mnakatikakatika
TBC nao ni majipu tu kama unabisha nyoosha mkono fanya kama unajikuna
TBC jirekebisheni mnayoyafanya ni utombo mtupu!!!!
Kuna kaz hapo
Mangufuri ni noma Baba mungu akuride tuririwa sana
Ni nani anayempinga mh.magufuli, nadhani asipingwe ila ashauriwe inabidi na so lazima aufuate kwa muda huohuo kukiwa na sababu za msingi kwan yupo vizuriii
Leo jpm kaongea kingereza ahahaha!!!! that's good stage!!!!!!!!
We umeona kingereza tuh....alooo Watz wengi machiziii
Getaro Magaiwa shamed on you
@@neemakilomoni4258 ...Shame on what lol kuna kiransa, kichina , yoruba n more .....
Ama kweli kuna wajinga, upo kwa ajiri ya kuchunguza kiingereza cha Rais, una usomi wa kishamba jamaa, usikute hata una kadiploma ama kacertificate tu lakini kujua kiingereza unahisi ni usomi, hoja zinazozungumzwa hutaki kujua bali kizungu, UMEJIDHALILISHA KIFIKRA
@@thebmcblackmiccatcher3949 kaka watanzania mbumbuuu saaanaa...
Niaibu fukuza wanao husika na vipaza sauti.
TUNDU LISSU NA WATU WAKE WAANGALIE HII
Umebonga mani
ruclips.net/video/t7BfpvciAZY/видео.html Angalia nyingine apo