MJADALA MZITO, MASWALI MAGUMU MAGUMU ALIOUENDESHA RAIS MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 янв 2019
  • #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #Tanzania
    ~-~~-~~~-~~-~
    Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
    • Patashika bomoabomoa y...
    ~-~~-~~~-~~-~

Комментарии • 142

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад +2

    Tanzania utafika sehem mmoja nzuri sana watu wakibadilika .

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 лет назад +2

    Ee mungu wangu usie shindwa kamwe najua kwabinadam hatuwez ila ww unaweza ukamfanya rais wetu aendelee kuwa rais miaka 20 nazaidi love you rais wetu

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536
    @bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад +6

    Geeez Tanzania is soooo rich waaah🤗🤗🇰🇪🇰🇪 love from Kenya

  • @kassimukassimummeta8219
    @kassimukassimummeta8219 5 лет назад +1

    jamani Rais wetu sisi wananchi wako tuna njaa lakini tunapata shibe kwa kazi nzuri unayofanya mungu awe pamoja nawe

  • @mosesmanguzu2674
    @mosesmanguzu2674 5 лет назад +6

    Mungu ibariki Tanzania na aendelee kumpa Rais JPM maono ya kuiongoza Nchi atupeleke kwenye neema

  • @stanfordrobert7677
    @stanfordrobert7677 5 лет назад +1

    Raisi barikiwa sana,, kazi nzuri

  • @msukumabrown7951
    @msukumabrown7951 5 лет назад +6

    najivunia kuwa na rais magufur namuoba mungu akulinde uongoz wako wote na asie kuelewa anamatatizo.

    • @saidiikola934
      @saidiikola934 5 лет назад

      Msukuma Brown safi sana rain makufuli mungu akubariki

  • @KamothoPatrick
    @KamothoPatrick 4 года назад +2

    Over 200 different mineral found in #Morogoro, seriously this country need respect.

  • @KamothoPatrick
    @KamothoPatrick 4 года назад +1

    Never have i ever listened to such wealth in a Country,Tanzania beats Kenya hands down.

  • @naomiewambugu2358
    @naomiewambugu2358 5 лет назад

    What a forum,best way to no more middle men and brokers in Tz minerals, best way to go Mr president..... You patience made you learned a lot....best president in African....

  • @abubakarmohammed5994
    @abubakarmohammed5994 5 лет назад +6

    MH Raisi uzoefu wangu wazungu tunawaona watu wa maana lakini hakuna mijitu corrupt kama hao...Mijizi mikubwa inaiba Resorcess zetu na sie tunawachekea tu.

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536
    @bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад

    Best approach wow. 🤗kenyakenya 🇰🇪🇰🇪is impressed🇪

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 5 лет назад +12

    Safi sana mheshimiwa Raisi, hii nchi itanyooka tuu.

  • @remishawa6093
    @remishawa6093 5 лет назад +9

    Noma wa Tanzania tunaibiwa sana

    • @CetribeaBurundibwiza-tz5le
      @CetribeaBurundibwiza-tz5le 5 лет назад +1

      Munainiwa saaana lakini muheshimiwa Magufuri akiwafundisha jinsi munavyoweza kujikinga huo wizi, wengi wenu wanamutemea mate. Acheni niwambie, mimi ni mmoja wa wakimbizi ambao tulikuwa tuna kaa kambi za wakimbizi mukowani Kigoma. Tuliletwa huku malekani kuanzia mwaka wa 2007. Nduguza, turishangaaa saana. Wazungu wametuiba( I mean that they stole a lot of Africa mining wealth for so long) to the point huku wanajigamba. Kama vile trump alisema kwa Africa ni choo, hivyo ndivyo wazungu wengi wanakubali.

  • @kiyogeraafyayako4006
    @kiyogeraafyayako4006 5 лет назад +4

    MUNGU BARIKI TANZANIA

  • @josephngumbuka1488
    @josephngumbuka1488 5 лет назад +6

    Uendelee kuwa hai maana nchi yetu ilikuwa inaibiwa sana

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 лет назад +4

    Wamemgeuka uyo mzungu aliingiaje nchin. Mmemkataa kwa sabab hajui kiswahil

  • @mashakamwinula4267
    @mashakamwinula4267 5 лет назад +10

    Tatizo nchi haina gold centre hiyo itasaidia serikali kuuza yenyewe nje ya nchi wachimbaji wadogo na wakat wauze nchin serikali ikusanye nakuweka store ya gold au gold room na madin mengine apo itafika mbali sana

  • @laurentsunta5169
    @laurentsunta5169 5 лет назад +16

    ukisikiliza huu mjadala hutamani kusikiliza bunge tena hii ni zaidi ya bunge

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 5 лет назад +4

    Heri la Saba Kuliko Prof Kikula

  • @magrethamalliya8031
    @magrethamalliya8031 5 лет назад +2

    Wewe ndo rais bana. Mungu akutie nguvu ban as.

  • @denmantz3574
    @denmantz3574 5 лет назад +2

    Kazi nzuri

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 лет назад +6

    Rais unachesha sana umeingilia mtandao

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 5 лет назад +9

    Hii nchi ilikuwa inaliwa sana kwa maelezo mafupi tu ya mwanzo

  • @husseinkulumbiza8894
    @husseinkulumbiza8894 5 лет назад +3

    Baba naomba kipindi kiludiwe Tena. Bado watu wanamengi yakusema Muda Autoshi. Ungefanya kila Mwezi Mnakutana.

  • @jerrykikuli3700
    @jerrykikuli3700 5 лет назад +1

    Nchi yetu ni tajiri sana. Tu centralize vitu vyote. Benki kuu inunue madini yote kutoka kampuni za uchimbaji. Kampuni za uchimbaji ziwalipe wachimbaji. Na zitolewe taarifa za mapato kila mwezi kwa vyombo vyote vya habari ili wananchi wote tuwe kwenye ukurasa mmoja

  • @shabanisaidi6558
    @shabanisaidi6558 5 лет назад +1

    Kikao kimenikuna sana sitamani kuacha kusikiliza kwani hata bunge hakuna kitu

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 5 лет назад +9

    Mheshimiwa JPM is the best president well evidenced!

  • @josephmalisa3432
    @josephmalisa3432 5 лет назад +4

    Kweli TBC mmedoda kila wakati sauti ya mitambo yenu wala haisikiki

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 5 лет назад +9

    JPM baba baba nakuomba kuanzia leo vunja bodi nzima ya TBC mimi nipo ugaibuni hii TBC ishanilaza hospital kwa migandisho na kukatika katika

  • @andrewstiphen4462
    @andrewstiphen4462 5 лет назад +9

    nitamu zaidi ya bunge

  • @raphaelmramba4573
    @raphaelmramba4573 5 лет назад +5

    KWANINI mnaandaa vikao kama hivi na mna MIC mbovu kiasi hikiiii MNATIA HAIBU........

    • @CetribeaBurundibwiza-tz5le
      @CetribeaBurundibwiza-tz5le 5 лет назад

      Your words are no sense, you have been mind washed by whites. Do you think what is important is having very good looking buildings or to protect the wealth of the Tanzania and watanzania????

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 5 лет назад +2

    Well done rais kwa kusikiliza watu wako nenda kwenye secto ya kilimo na biashara zingine pia

  • @hassanmadodi5396
    @hassanmadodi5396 5 лет назад +7

    kikao hiki ni zaidi ya bunge, kinavutia hata kusikiliza

  • @hassanmadodi5396
    @hassanmadodi5396 5 лет назад +4

    kikao hiki ni zaidi bunge, unavutiwa hata kusikiliza

    • @selestineumela2543
      @selestineumela2543 5 лет назад

      Big up President songa mbele nchi yetu ipone, nchi yetu ni tajiri sana

  • @majidmasud6960
    @majidmasud6960 5 лет назад +2

    Mungu ibariki Tanzania

    • @adamkondo4162
      @adamkondo4162 5 лет назад

      Rais wetu kwelikweli tunakuelewa Sana Sana ila hapo kunawazoefu wakupindisha mipango hiyo yako tunashauli watu wanaogopa Sula waitwe mmojamoja waitwe hao watakueleza mengi sasatunatamani inchi hii ukae kwelikweli uongozi wewe dalili hii inaonesha salama Ya maisha yetu kabisa Rais wetu makufuli tunakuombea

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 5 лет назад +5

    Dhahabu ni mradi wa wakubwa nahivyo hawataki kuona benki inunuwe basi walafi wanchi wataiibia lini nchi? wabubwa wanahisa mbali mbali. Ni miradi inayounganika na wakubwa wanagawiana madini halafu wanajifanya kuweka mikakati mizuri lakini ukweli wanapenyezana ndani yake. Nchi inavurugwa na wakubwa kwa kivuli cha CCM.

  • @winifridajoseph6503
    @winifridajoseph6503 5 лет назад +4

    NAPENDEKEZA KUWA MSWAADA WA MADINI USIWE UNAJADILIWA BUNGENI KWA KIPINDI CHA HUYU MZEE AWE ANAWAITA HAWA NDO WENYE UKWELI NA LASILIMALI ZETU.

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536
    @bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад +2

    Naskia kuna Angela kariuki.. hehe... Hawa wakenya ... balaaa. 🇰🇪🇹🇿

    • @cm2324
      @cm2324 4 года назад

      Angellah Jasmine Mbelwa 'KAIRUKI' not Kariuki

  • @sweetbatgervas2842
    @sweetbatgervas2842 5 лет назад +3

    tunyooshe mzee jpm

  • @helmanikomba576
    @helmanikomba576 5 лет назад +9

    Kuna wazungu watatimuliwa hapa tz, kazi IPO, twende kazi

    • @mrambajulius7819
      @mrambajulius7819 5 лет назад

      Tanzania ina mali mingi sana hatujapata watu wazalendo. Hata Rais sio mzalendo. Kwa nini anafanya manunuzi bila kushirikisha Wabunge. Huu ni wizi pia. Watanzania tukubali kusahihishana. Hata Rais akubali kusahihishwa. Mnataka kuniambia Rais Magufuli yeye hana shida ya pesa?. Hizi fedha anazotoa mikoani kwa watu anazitoa wapi.

    • @tgeofrey
      @tgeofrey 5 лет назад

      walikuwa wanaioba au..

    • @amraniibrahim8082
      @amraniibrahim8082 5 лет назад

      Helmani Komba daaahh kweli

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 лет назад +4

    Huyu mzungu ndo mnene hivi,anakula vitu vyetu halafu hata leseni ni utata km anayo!
    Maprofesa hawana majibu

  • @CetribeaBurundibwiza-tz5le
    @CetribeaBurundibwiza-tz5le 5 лет назад +1

    Sikubali, yale yote mweupe wenu amesema. Hao ndio wizi

  • @balthazarymitti7571
    @balthazarymitti7571 5 лет назад +1

    Duh! kweli nchi yetu ilikuwa inapigwa kweli kweli

  • @bigowillythomaskayanda7763
    @bigowillythomaskayanda7763 5 лет назад +5

    Aisee wameisoma namba, yaani hakuna utani....

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban6858 5 лет назад +3

    Baba hata panya buku leo utawajua tu naibiwa sana mpaka inauma ikiwa tuko ugaibuni utazani tupo maskini sana baba shuhulika nao hao tumechoka

  • @shadrackmlyambina6243
    @shadrackmlyambina6243 5 лет назад

    Mweshimiwa nakukubali piga Kazi ila ss wafanyabiashara mapato yapo juu sana

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад +3

    Sauti jamaani .. Audio is not clear.. Scratchy and cuts off .. Please

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 лет назад +9

    TBC mmehongwa pesa nini leo mbona kwenye maneno mazuri na matamu hakusa sauti ???😠😠

  • @zainafwenah7751
    @zainafwenah7751 5 лет назад

    I wish Ungekua raisi wangu

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 лет назад +1

    Nchi ya tanzania imetawaliwa na waarab na wazung kutakuwa na maendeleo kwel

  • @mbuludahnoma4232
    @mbuludahnoma4232 5 лет назад +10

    Asiye mkubali makufuli mchawi

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 5 лет назад

    Haaaaaaa Rais wetu Mungu akupe miaka mia

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад +1

    Uyu mzungu anatetemka mpaka lugha yake inamshida mbona .kuna.kitu hapa.

  • @enockezekiel2276
    @enockezekiel2276 5 лет назад +3

    Nyie jamaa vifaa gani mnatumia kurecord mbona sauti inakata sanaaa..😡😡😡😡 mnaboaaa...

  • @stanfordjeremiah8943
    @stanfordjeremiah8943 5 лет назад +1

    Voice control mbovu sana...

  • @prosperndossa8533
    @prosperndossa8533 5 лет назад +1

    Inakuaje Mike znakatakata sauti?

  • @joelkusupa607
    @joelkusupa607 5 лет назад

    Hii kazi ni ya waziri husika raisi anachoka sana kutokana na waziri kushindwa kusimamia kwenye zamu yake.

  • @myCherrio
    @myCherrio 5 лет назад

    Africa Hear me Now!! Make your moves cautiously right away, while they are occupied.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 5 лет назад +1

    Haya mambo ya discussion ni nani awezaye kuyapinga?

  • @jafafrank6987
    @jafafrank6987 5 лет назад

    Kweli aibu sana unajua taka za UK zinaingiza kuriko dhahabu ya inchi za Kia Africa. Aibu sana

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад +2

    Hiyo microphone haifai

  • @mringikitaly3006
    @mringikitaly3006 5 лет назад +1

    Kwa mwendo huu tutafika

  • @stanfordrobert7677
    @stanfordrobert7677 5 лет назад

    Raic barikiwa sana, Nazi nzuri

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 5 лет назад

    Mimi kama mzarendo nitafurahi kujuwa Taifa limetowa leseni ngapi katka miaka10Tu😫 hesabu zaidi nitafanya mwenyewe ili nijuwe tutapata kiasigani Kwa muda ujao nitasamehe tulizoibiwa ila wakati ujao utatosha kufuta machozi MUNGUSAIDIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mirajiibrahim51
    @mirajiibrahim51 5 лет назад +5

    Mnakera sauti inakata kata sana

    • @man.lule.585
      @man.lule.585 5 лет назад

      Mh. Rais kwa idhini yako kubwa wachimbaji na mabroka wa madini tanzanite waruhusiwe kuingia getini migodini Mirerani kuliko kuruka ukuta. maana ajira yao kubwa ipo migodini yakujipatia kipato.

  • @raphaelmramba4573
    @raphaelmramba4573 5 лет назад +4

    Nothing to say but president Magu your only in world

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 4 года назад

    Tanzania ni tajiri lakini CCM wezi sana. Viongozi wengi ni wafanya biashara wakati wa Mwalimu ilikuwa Mfanyakazi wwa Serekali haruhusiwi kuwa Mfanya Biashara. Ili kurudisha uchumi wa nchi uwe imara na usiwe wa kubabaisha usiruhusu Wafanyakazi wa Serekali wawe wafanya biashara.

  • @bonifacemohono3486
    @bonifacemohono3486 5 лет назад +3

    Raisi njoo utalii.kuna madudu ukiyackia utazilai

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 5 лет назад +1

    Hizo mic mmeazima wapi? Mxewww

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 5 лет назад +1

    Hayo madini mnauzia wapi?

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 лет назад +1

    LEO KUCHEKA KAMA KOTE VILE😂😂😂😂

  • @hassantotoo5791
    @hassantotoo5791 5 лет назад

    ostaz wa moro hongera

  • @devidsumaye5353
    @devidsumaye5353 3 года назад

    Nani atafanya haya tena baba umetuacha yatima watoto wako umeonyesha njia lakini watafuata kweli mungu tusaidie enyewe hujazikwa raia wako tushaanzwa kunyanyaswa jmn

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv2644 5 лет назад +1

    Huyu ni rais wa watu kweri yuko makini Sana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 лет назад +1

    Leo itajulikana wacha tu

  • @Wamichiligallery
    @Wamichiligallery 5 лет назад +6

    WANAOMKUBALI JPM tugonge like alafu tusisahau kusubscribe katika channel yangu

    • @mhandoabasi9968
      @mhandoabasi9968 4 года назад

      Mungu.akuzidiShie.afya.njema.rais.wetu.magufuli

  • @furahagaya4168
    @furahagaya4168 5 лет назад

    Good mjadala

  • @ponelamajani6043
    @ponelamajani6043 5 лет назад +1

    shida hz zann tena

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536
    @bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад

    This dude is fucking all this Europeans. . Totally fine dude. Wish Uhuru had this practical approach. . geez.🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mussamalugu7931
    @mussamalugu7931 5 лет назад

    kiukweri mweshimiwa mihayo ana moyo mzuri na nchi yake anafaa kua kiongozi kwenye madini mlete kahama buzwagi

  • @flugencekiwale1501
    @flugencekiwale1501 5 лет назад

    mzee utawanyoosha naona wanajin'gatan'gata tuu.

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 года назад

    Magufuli amechefukwa kwenye hii kikao dah ila namuelewa watu wabinafsi wakishapata hawataki kutengeneza kwa ajili ya wengine

  • @f.a6043
    @f.a6043 5 лет назад +2

    Kweli kweli MUNGU BABA ENDELEA KUIBARIKI TANZANIA

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 лет назад +1

    unasifu jambo au kitu fulani usijosie watu kwsb mawazo yako ni yako tu

  • @meksonyjoseph8909
    @meksonyjoseph8909 5 лет назад +4

    mzee na simba walifungwa tano bila hii aibu kubwa sana kwa taifa una wasaidiaje

  • @kidsplayandlearn.2664
    @kidsplayandlearn.2664 5 лет назад

    Wageni bado wanaendelea Kuiba mali asili za nchi halafu wanapeleka kwao kuendeleza uchumi, kisha wanatucheka na kutuona wajinga lakini sisi bado tu tunazidi kujipendekeza na kuwaamini.

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 5 лет назад

    CHEKA:kilichowatokea Hamisa Mobeto na mwanaume wake KITANDANI👇
    ruclips.net/video/HWEqGZ7bdeU/видео.html

  • @peterernest1050
    @peterernest1050 5 лет назад +3

    Watanzania tunataka nini!Kidonda tuuguzeee Baba Jpm hakika wewe ni Mtu wakipekee upo kwaajili wanyonge Watanzania wenye hakili timamu tuko pamoja na wewe wanaokupinga tunajua wanafaidika vipi na huo wizi wa madini kwaasiyejua atashabikia tu vita ya uchumi ni ngumu sana ila wewe umefanikiwa Hongera rais wangu Jpm hakika najivunia kuwa na Rais kama weweeee

  • @nidalhimidi1890
    @nidalhimidi1890 5 лет назад

    Duuh!!!! Mnaona Jinsi Mijizi Dhabu,Almasi Etc Wanavyoidhulumu Inchi ?. Hata Mawaziri
    Hawajuwi Nini Kinachofanyika - Utajiri Wote Unapelekwa India ,Dubai ,UK Kupitia Kenya
    Uganda Na Kwengineko .

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 5 лет назад

    Magufuri wew unatisha kabisa

  • @majaliwabwitonde7749
    @majaliwabwitonde7749 5 лет назад

    TBC mnatukosesha uhondo

  • @michaelshayo569
    @michaelshayo569 5 лет назад

    TBC mnafeli mnakatikakatika

  • @mr.theory5871
    @mr.theory5871 5 лет назад

    TBC nao ni majipu tu kama unabisha nyoosha mkono fanya kama unajikuna

  • @ramseyhusseinkhamis8258
    @ramseyhusseinkhamis8258 5 лет назад

    TBC jirekebisheni mnayoyafanya ni utombo mtupu!!!!

  • @eliurumalaiza9163
    @eliurumalaiza9163 5 лет назад +1

    Kuna kaz hapo

    • @juliussasi3952
      @juliussasi3952 5 лет назад +1

      Mangufuri ni noma Baba mungu akuride tuririwa sana

    • @ajabamosi9037
      @ajabamosi9037 5 лет назад +1

      Ni nani anayempinga mh.magufuli, nadhani asipingwe ila ashauriwe inabidi na so lazima aufuate kwa muda huohuo kukiwa na sababu za msingi kwan yupo vizuriii

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 лет назад +1

    Leo jpm kaongea kingereza ahahaha!!!! that's good stage!!!!!!!!

    • @ethanuk9437
      @ethanuk9437 5 лет назад +1

      We umeona kingereza tuh....alooo Watz wengi machiziii

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 5 лет назад

      Getaro Magaiwa shamed on you

    • @ethanuk9437
      @ethanuk9437 5 лет назад

      @@neemakilomoni4258 ...Shame on what lol kuna kiransa, kichina , yoruba n more .....

    • @thebmcblackmiccatcher3949
      @thebmcblackmiccatcher3949 5 лет назад +1

      Ama kweli kuna wajinga, upo kwa ajiri ya kuchunguza kiingereza cha Rais, una usomi wa kishamba jamaa, usikute hata una kadiploma ama kacertificate tu lakini kujua kiingereza unahisi ni usomi, hoja zinazozungumzwa hutaki kujua bali kizungu, UMEJIDHALILISHA KIFIKRA

    • @ethanuk9437
      @ethanuk9437 5 лет назад

      @@thebmcblackmiccatcher3949 kaka watanzania mbumbuuu saaanaa...

  • @paulokilenga1116
    @paulokilenga1116 5 лет назад

    Niaibu fukuza wanao husika na vipaza sauti.

  • @binlahej7221
    @binlahej7221 5 лет назад

    TUNDU LISSU NA WATU WAKE WAANGALIE HII

  • @jikwamuetv1698
    @jikwamuetv1698 5 лет назад

    ruclips.net/video/t7BfpvciAZY/видео.html Angalia nyingine apo