SEHEMU YA 2: SHEIKH MUHAMMAD IDDI AMJIBU KASSIM MAFUTA, MAJIBU MFULULIZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 340

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Год назад +10

    Mwenyezi Mungu akuhifadhi na akupe Umri Mrefu Shekhe wetu Abuu I'ddi Muhammad I'ddi

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 День назад

    Asante sheikh letu

  • @engineerjuma9876
    @engineerjuma9876 Год назад +3

    Asalam aleykum wa rrahmaturllah taara wabarakur' ivi ili neno (TAARA) LIMEPOKELEWA KATIKA SALAM YA KIISLAM

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      Hhhh waulize hao masuf

    • @engineerjuma9876
      @engineerjuma9876 Год назад

      @@tellackyabdul9312 ukiwauliza watasema mbona mtume wa ALLAH akupanda ndenge nyie mnapanda mmetoa wapi

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      @@engineerjuma9876 sio TAARA ni TA’ALA
      Know the difference kwanza 🤣🤣🙌🏾

  • @saidburuji9984
    @saidburuji9984 Год назад +6

    Mashaallah kwa kweli ALLAH akujaalie afya na umri mrefu wa kheri ili uendelee kutufundisha uislam sahihi kama ulivyoelekezwa na mtume wetu alayhi sswalaatu was salaam

  • @saleheAbdullah
    @saleheAbdullah Год назад +3

    ZUNGUMZIA MASHIA WANAVYOWATUKANA MASWAHABA

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 Год назад

      Hapana mashia ni kundi na nyinyi ni kundi subiri ueleweshwe

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Год назад

      Si fanya wewe unajua .kilammoja anachukua nafasi yake

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Год назад +3

    DUH.. ALLAH AKUBAARIQ SANA SHEKH LETU ABUU IDD

  • @MerabaqshAbdulaziz
    @MerabaqshAbdulaziz Год назад +1

    Fedhuli sana Huyo Mafuta.Sijui Mafuta ya Taa au ya kupikia.Ujeuri wake Mafuta atadidimia tuu Kwa Ujeuri na Ufedhuli kutukana Mashehe wakubwa wa TWARIKA.

  • @salimmgwira7179
    @salimmgwira7179 Год назад +3

    Alafu shk qassim ana abiyati ameziandika akiieleza akida yake na madhehebu yke kwaiyo kabla huja ongea vizuri ukafanya utafiti

  • @OrondiYusuf
    @OrondiYusuf Год назад

    لا يؤمن احدكم حتى يكون هواه تبعا لما جاء ت به

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Год назад +2

    Jibu maswal ulioulizwa shekh usirukeruke

  • @saidrashidrashid2488
    @saidrashidrashid2488 Год назад

    Assalaam Alaykum Sheikh Muhammad Idd. Nakushukuru kwa elimu unayotupa. Allah akujazi kila kheri. AMIN
    Sheikh, je tukitaka vitabu hivi tutaweza kuvipata wapi? Na gharama yake ni kiasi gani?
    Kwa kuzingatia sisi tunaoishi mikoani katika nchi yetu Tanzania. Na huku mikoani vitabu havipatikani kirahisi.
    Shukran na jazaka-Llahu kher.

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Год назад +7

    Shekhe unafanya kazi nzuri kabisa Allah atakulipa malipo mazuri

    • @muhamadyusufu6663
      @muhamadyusufu6663 Год назад

      Hiyo nayo kazi yakuzunguka mbuyu ajibu hoja Alizo ahid kujib

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад

      ​@@muhamadyusufu6663SI ATAJIBU AMA

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 Год назад

      Amiyn amiyn amiyn

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      @@muhamadyusufu6663 umeelewa achaosema sheikh kwenye hiyo video

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 Год назад +1

    Shekh Kaasim Allah amhifadhi,alikuwa juzi akimjibu shekh Samiir mudiir wa shamsul maarif...naona shekh Abuu Idd akaona shekh samiir atashindwa..ikabidi sasa aingilie kati..
    Kwahiyo sasahiv shekh Kaasim anawafundisha mashekh wawili wakubwa wa kisufi hapa nchini.
    LKN CLIP ILE YA KWANZA NA HII YA PILI TUNAONA MANENO NI YALE YALE ALIYOJIBIWA KIPINDI KILE CHA MJADALA WA MWEZI

  • @shakourdutilo3813
    @shakourdutilo3813 Год назад +1

    Tunakuelewa saanaa sheikh, muqaddima upo vizur twasubir nambar 3 insha allah

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      Haya umeelewa nn hapoo?? Porojo??

    • @JabirBakar-ys8dw
      @JabirBakar-ys8dw Год назад

      kazi unayo ss tumeelewa ww endelea kutashaddudi
      @@tellackyabdul9312

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      @@tellackyabdul9312 KASEMA YEYE HAANGAIKI NA MAWAHABI ila watu wanaotaka kuskiliza kusoma na KUTAFAKARI

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад +1

    Shekh mkudaaa ww hauna tafauti na samiyriii

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unawaita waumini wenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa.
      ‎يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون
      Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH
      ‎وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ
      ‎فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
      HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM
      Sidhani kama UISLAM UMEfundisha mtu akikosea au akafanya jambo lisilofaa aitwe kwa majina hayo uloandika au tu kwa uelewa wako umeona kafanya jambo sio sahihi ndo umeuite majina kama hayo au maneno uloandika
      ‎ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُمْ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنْ ضَلَّ عَنْ سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ
      JIFUNZE KWANZA TUVOAMRISHWA KWENYE QURAAN AFU NDO UJE KUONYESHA MISIMAMO YAKO NA MIHEMKO NA JAZBA ULIZONAZO MITANDAONI
      WABILAHI TAWFIQ

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +1

    Hujazungumza hojja za kielimu
    We upo uwahabi uwahabi tuuu Huna hojja

  • @ShekhSimba
    @ShekhSimba Год назад

    SHEKH VIPI MBONA UNASOMA KIARABU VIBAYA PUMBAVU

    • @akambi482
      @akambi482 Год назад

      Kumbe kweli hamna adabu😂😂😂😂

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      ​@@akambi482Sawa mwenye adabu
      Hutaki aambiwe ukwel 😂😂
      Asoma vVIBAYA KWA HERUFI KUBWA
      AJUWI KUZISOMA IBARA VZUUUURIIII😂😂MFIKISHIENI

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      Au mtupe number yake tumwambiee AJIFUNZE KUSOMA VZUURII

    • @riddi676
      @riddi676 7 месяцев назад

      Dalili moja ya wahabi ndo hii

  • @misrusaidi3627
    @misrusaidi3627 Год назад +1

    Maiti kapiga chafyaaa

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 Год назад +2

    Wanafunzi wanakujua KUWA na wameisha kuona MPAKA hapa yaani we mbabaishaji sana TU.

  • @AshrafKashukali
    @AshrafKashukali Год назад

    mafuta ya taa

  • @salimmgwira7179
    @salimmgwira7179 Год назад

    Wajua shk Muhammad watakiwa hujibu hoja haya maneno sijui miradi mawahabi ni maneno ya maskani mtu yeyote anaweza kuropoka jibu hoja tupatae faida siyo porojo za kimtaani

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb Год назад +2

    Baba Muhammad iddi
    Umekoroga koroga mambo mpaka unajivuruga,mpaka hujui unaeleza nini,unatia aibu shekhe ,

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Год назад +2

    شكرا لك وجزاك الله خيرا

  • @bashirusalumbigapsana673
    @bashirusalumbigapsana673 Год назад

    Subuhanallah

  • @MuslimYussuf
    @MuslimYussuf Год назад

    Humu weza shekh kassim

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Год назад

    Salmaleeeeeeee😂😂

  • @hassanabdallah9571
    @hassanabdallah9571 Год назад +1

    Hata haeleweki

  • @aliyseif8114
    @aliyseif8114 Год назад +6

    بارك الله فيك يا شيخنا الفاضل محمد ابو عيد الله يسلمك من كل شر و مكروه وسوء

    • @salumumatimbwa9723
      @salumumatimbwa9723 Год назад +2

      mumkumbushe pia asije kukimbia tena kama mjadala kuhusu arafa

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад

      ​@@salumumatimbwa9723MULIKUWA MWADANGANWA NYINYI TU KWANI WADHANIA WATU HAWAKUELEWA MBONA WATU WALIEWA SANA TU, ULE ULIKUA UBABAISHAJI TU WA SHEIKH WENU

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад

      huyo atakimbia..

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 Год назад

      Mjadala gani umkimbize Muhammad idi?

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Год назад

      Bachu hadi jasho lilimtoka Kenya badala ya kujibu hoja yeye anaanza kumfundisha namna ya kuuliza swali, yaani yeye anataka uulize Kama atakavyo yeye

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Год назад +3

    الصوفية أكثر عداءً لابن تيمية ومحمد عبد الوهاب

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад +1

      Sahihi 100%. Ipo sababu. Na kwanini hawawachukii maimamu wanne na salaf swaleh wala maswahaba? 🤔

  • @musawaziri5088
    @musawaziri5088 Год назад

    Shekhe muhamadi iddi kasome akida

  • @jumaamohamed4203
    @jumaamohamed4203 Год назад +1

    Umetisha sana Al alaama Abuuuu Eid Muhammad

    • @naasibabuu
      @naasibabuu Год назад +1

      pamoja na kutetea hirizi au

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      Eeh kumbe n a'llama???😂 eeh hatariiii sufi alaf a'lama???

    • @HarunaNkussa
      @HarunaNkussa Год назад

      Muhammad idi ivi unajielewa kweli .

  • @ramadhanmbwana5718
    @ramadhanmbwana5718 Год назад +2

    TATIZO LAKO MZEE MUAMUDI WAONGEA HAPO SHEKH AKIKUJIBU WAKIMBIA
    SISI TWAJUA UMEKUJA KUJIBU YALE MASWALI ALIYO ULIZWA NA SHEKH KASIMU MAFUTA
    KUMBE UNAMKIMBIA NA UNAKUJA NA MFUMO MPYA
    MAMBO HAYAENDI HIVYO TUJIBU MASWALI YETU ULIO ULIZWA KWANZA

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 Год назад +1

    Uwahabi unatekeleza matakwa ya mkoloni mwengereza tang kuiangusha ottoman empire na utawala wa bani hashim

  • @tibaasiligreatmoment8850
    @tibaasiligreatmoment8850 Год назад +2

    Tatizo Hujipangi Katika Kujibu Masaaili Abuu Iddi Ulijibiwa Na Ukaulizwa Hukujibu.

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

      Kashajibu lakini ili kujiona hakujibiwa ilibidi ajifanye ajasikia

    • @abuuuyaynah8801
      @abuuuyaynah8801 Год назад +1

      Haya aliyozungumza alishajibiwa na akaulizwa maswali hakujibu hata akenda mbioooo m
      Mwambieni ajibu maswali kwanza

    • @abakibibi9917
      @abakibibi9917 Год назад

      HOJA HIZO ZIMEPITWA NA WAKATI NI ZA ZAMANI WAKATI ANSWAR WANAANZA KUELEZEA MAFUNZO YA DINI. TAASISI YA TAMTA WAKIFANYA MIHADHARA KILA MSIKITI TANGA ILISHINDIKANA WAISLAM WENGI WANASWALI MISIKITI YA ANSWAR

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

      @@abakibibi9917 acha uongo

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Год назад

    HUJIELWI ISIPOKUWA YAKO NIHAMASA LAKINI HUJIELEWI WEWE NAHUYO SHEIKHE WAKO KASIMU MAFUTA NYOTE NIVIPOFU UKWELI HAUONI NIKUJIROPOKEA ETI NIMSEMA KWELI NIMPUUZI TU

  • @kagalihussein1959
    @kagalihussein1959 Год назад

    pia ewe sheikh Abuu Eid,kadiri unavo zidi kujitutumua ndivo tunaona uwezo wako ktk Elimu ni mdogo taji ulilo nalo umeveshwa kwa maslahi ya dunia yako tuu..hata sisi wanafunzi pia hauta tupata kwa sababu masufi hamna Elimu zaidi mwajuwa elimu za uganga tu,afu kupingwa ktk kuizungumza haqi ni jambo ambalo halija anza leo.mtume swala na salaam zimfikie yeye pia alipingwa na familia yake hadi baba ake mdogo alimpinga.na huyu mtume sala na salam zimfikie yeye ndie wakale wetu.Hatuishi na dini za kuwarithi masheikh zetu wala wazazi wetu mradi watakuwa ktk upotevu,Nabii iburahiim ali pambana na baba ake asiyaabudie masanamu { ۞ وَإِذۡ قَالَ إِبۡرَ ٰ⁠هِیمُ لِأَبِیهِ ءَازَرَ أَتَتَّخِذُ أَصۡنَامًا ءَالِهَةً إِنِّیۤ أَرَىٰكَ وَقَوۡمَكَ فِی ضَلَـٰلࣲ مُّبِینࣲ }
    [Surah Al-Anʿām: 74] Na Nabii iburahimu Allah amemchaguwa { وَمَن یَرۡغَبُ عَن مِّلَّةِ إِبۡرَ ٰ⁠هِـۧمَ إِلَّا مَن سَفِهَ نَفۡسَهُۥۚ وَلَقَدِ ٱصۡطَفَیۡنَـٰهُ فِی ٱلدُّنۡیَاۖ وَإِنَّهُۥ فِی ٱلۡـَٔاخِرَةِ لَمِنَ ٱلصَّـٰلِحِینَ }
    [Surah Al-Baqarah: 130] na alimkana baba ake kwa kuyaabudia masanamu sasa seuse sheikh muhammad ibnu Abdilwahaab Lazima apinge shirki maana ndio sunnah ya mitume na manabii

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Год назад

      Usitizame ibada zake fuatilia kisomo anachakupa

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      Je baba ake alikua muislam ??
      Sasa non muslim unamfananisha na muislam.
      KAGALI DO YOU EVEN LISTEN TO YOURSELF??

  • @saadayoub7179
    @saadayoub7179 Год назад +1

    Alhamdullilah kwa neema ya uislam na sunnah...hawa maghurafiy Allah kawanyima utambuz....sasa anasoma kiarabu kama ki afrika magharib uko naijeriya....uyu mwambieni kwanza ajibu maswali ya radi za arafa kabla hajakimbia tena

  • @HassanJamada-pf4jt
    @HassanJamada-pf4jt Год назад

    Shekh Abu Idd jibu maswali 10 uliyoulizwa acha kurukia masaail mengine kabla Yako yamekuganda

  • @shabannyange-x6l
    @shabannyange-x6l Год назад

    Mawahab Always hawana Adabu

  • @AbuumuussaaAttanzaaniy
    @AbuumuussaaAttanzaaniy Год назад +3

    Ukiangalia kama alama yamwanzo ya kwamba eti ni mutashaddiduuna
    1:Je yeye sio mutashadidu na kama sivyo kwann yeye ana himiza watu kushikamana na maulid na mambo mengine aliyo yataja, huko ndo kuwa mutashafidu shekh pia tunaweza sema haja fanya uziroli wa kufikiri asante mwenye hoja ajibu tuwekane wazi

    • @JabirBakar-ys8dw
      @JabirBakar-ys8dw Год назад +2

      wahabi miradi wacha kutusumbua bhana kama una kitabu na wewe kilete

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Год назад

      Wewe mjinga sana unakuwa kama mwanaume anae waashwa nyuma vitabu vinasomwa unasema hoja kwhy kama hayo hujaelewa wewe si utatusha tu

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Год назад

      Tena we ni maenge sana unatolewa vitab kabsa tena unadai hoja una akili wewe unaskia hzo bid ghaa zenu apo

    • @AbuumuussaaAttanzaaniy
      @AbuumuussaaAttanzaaniy Год назад

      @@abubakarymaulidy5681 shekh hiyo twamjua sie kama wewe humjui hivyo nakwambia kaa chini usome DINI itamjia huyo Kwan BINAFSI nilikua huko miaka MINGI SANA na ninamfahamu sana huyo hayo ni maneno yake TU hivyo ajibu koment alafu tubainish japo kidogo isiwe na jazba na usiwe mutashafidu kama alivyo sema huyo shekh tafuta ubainifu huku na huku huenda Allah akakuonyesha wapi ipo haki nakwambia kwa ajili ya Allah tu

    • @AbuumuussaaAttanzaaniy
      @AbuumuussaaAttanzaaniy Год назад

      @@abubakarymaulidy5681 ndugu mbona unatukana matus hujui kama kumtukana muislaam mwenzako ni ufaasiki yaan uovu mkubwa sana

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 Год назад +3

    Kama Jambo la hoja katika Kila Jambo basi hata wakristo, wayahudi, na hata sheytwan ana hoja juu ya Jambo lake.

    • @jumaamohamed4203
      @jumaamohamed4203 Год назад

      Ndio maana hata Mafuta pia Anazo hoja juu ya ujahili wake

  • @MarkazIbnBaaz-itigi
    @MarkazIbnBaaz-itigi Год назад +1

    Hoja zote ushajibiwa na ukaulizwa maswali ukakimbia.

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Год назад +4

    Mashall ah @mwaka huuuu mujipange😂mawahabi pesa zitawagomea

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад

      USIWATISHE WAACHE TU MANA HUKO HOME HATA HAKUJAANZA WATAKOMA HAWA

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад +3

      Maaskini wewe ndio hujielewi HUKUMBUKI HUYU BABA IDD MWAKA JUZI ALIKIMBIA !!?? AU ULIKUWA BADO HUJANUNULIWA SMART PHONE !!

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      ​@@ayububakari9942
      Itakua bdoo alikua kwao akiosha osha vyombo alikua hajapata smartphone 😂😂😂😂
      Kanunua simu kaacha kuosha vyombo kwao atusumbua mtandaoni

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Год назад

    Good Shekh wangu

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Год назад +1

    Tatizo lako nimoja tu mzee shekh Muhammad Idd, tatizo ww una mbiyo nyingi huwa unatoka nduki hata nyuma hugeuki. Vipi marahii uko vizuri usije kutoka nduki utatuangusha mzee 😂😂😂😂

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaahh nmechekaa saaan

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Год назад

      @@tellackyabdul9312 ndoivyo huyo mzee yuko vizuri kwa nduki anachokonowa mambo halafu anayayuka yayuuu yaani anapoteya mzima

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 Год назад

    Mbona sipati sehemu ya 3 na ya 4

  • @fatibra7768
    @fatibra7768 Год назад +5

    Mfunzeni shehe wenu
    Utamkaji mzur wa salamu.

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад +1

      Kwali hamna adabu

    • @fatibra7768
      @fatibra7768 Год назад +2

      @@tanzaniaonmzamiloon8627 Kama adabu ni kukosea utamshi sahihi wa salamu, SAWA
      Lakin narejea tena kusema mfunzeni shehe wenu katika utamkaji mzur wa salamu

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

      @@fatibra7768 tufundishe wew ndo ghalim ss hatujaona kama katamka vibaya

    • @issamwembe4245
      @issamwembe4245 Год назад

      نور على الدرب التعريف بالوهابية
      التعريف بالوهابية
      السؤال:
      رسالة وصلت إلى البرنامج من الجمهورية العراقية، باعثها مستمع من هناك يقول خالد عبدالله حسن، الأخ خالد له جمع من الأسئلة من بينها سؤال يقول: سمعت بالوهابية، فمن هم؟
      play
      -04:10
      max volume
      الجواب:
      الوهابية هم أتباع الشيخ الإمام: محمد بن عبدالوهاب بن سليمان بن علي التميمي الحنبلي المتوفى سنة ست ومائتين وألف من الهجرة، كانت وفاته -رحمه الله- سنة ست ومائتين وألف من الهجرة في الدرعية، وقبره معروف هناك، وقد قام بالدعوة إلى الله في النصف الثاني من القرن الثاني عشر، في نجد الدرعية، وما حولها، دعا إلى توحيد الله، وأنكر على الناس التعلق بالقبور والأموات والأصنام، وتصديق الكهان والمنجمين، وعبادة الأشجار والأحجار على طريقة السلف الصالح، على الطريقة التي بعث الله بها نبيه محمد -عليه الصلاة والسلام- وعلى الطريقة التي درج عليها أصحابه، فدعا إلى الله، ودعا معه العلماء الذين وفقهم الله لمعرفة الحق، من أقاربه وأولاده وغيرهم، وأظهر الله به الدين وأزال به الشر من نجد وما حولها، ثم انتشرت دعوته في اليمن والشام والعراق ومصر والهند وغير ذلك.
      وعرف المحققون صحة دعوته واستقامتها، وأنه على الهدى والطريق القويم، وأنه في الحقيقة مجدد لما اندرس من معالم الإسلام، وليس مبتدعًا، وليس له دين جديد، ولا مذهب جديد، إنما دعا إلى توحيد الله، واتباع شريعته، والسير على منهج السلف الصالح من الصحابة، ومن سلك سبيلهم، هذا هو مذهب الوهابية، ساروا على منهج الرسول ﷺ وأتباعه من الصحابة، ومن بعدهم من أهل العلم والإيمان.
      ولكن لهم خصوم، فكذب عليهم الكذابون حتى يستبيحوا دماءهم، كذبوا عليهم وقالوا: إنهم مذهب خامس، وأنهم يسبون الرسول ﷺ ويسبون الصحابة، وكلها كذب، كله باطل، بل هم من أحب الناس للرسول ﷺ وهم على طريق الصحابة، والرسول أحب إليهم من أنفسهم وأولادهم وأموالهم، وهم يدعون إلى ما دعا إليه الرسول ﷺ يدعون إلى توحيد الله، واتباع شريعته، وتعظيم أمره ونهيه، والسير على منهج الرسول ﷺ وكتبهم طافحة بذلك، كتب الشيخ محمد، وأتباعه واضحة في ذلك، من قرأها؛ عرف ذلك، كتاب التوحيد، فتح المجيد، كشف الشبهات، ثلاثة الأصول، كذلك تيسير العزيز الحميد لحفيده سليمان بن عبدالله ، وكذلك الدرر السنية في فتاوى أهل نجد واضحة في ذلك.
      وهكذا كتبهم الأخرى ورسائلهم الأخرى كلها تبين ما هم عليه من الهدى والحق، وكلها تبين كذب أعدائهم، وخصومهم من الصوفية، وغير الصوفية، ومن عباد القبور الذين كذبوا عليهم؛ لأنهم أنكروا عليهم عبادة القبور، فكذبوا عليه، فخصومهم هم عباد القبور، أو جهلة ما عرفوا الحقيقة، وصدقوا عباد القبور.
      أما أهل العلم والإيمان في مصر والشام والعراق وغير ذلك فقد عرفوا صحة ما هم عليه، وشهدوا لهم بالحق، كالشيخ محمد رشيد رضا، وغيرهم ممن عرف دعوتهم -رحمة الله عليهم- وشهد لهم بالحق من علماء الإسلام في مصر والشام والعراق وغير ذلك

    • @abubakarramadhan1716
      @abubakarramadhan1716 Год назад +3

      Lkn alilosema shekh wetu limekugusa

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul9312 Год назад +1

    MWAMBIENI SHEKHE WENU AJIFUNZE KUSOMA IBARA ZA KIARABU

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      Onyesha sehemu ambapo amekosea lugha
      Afu tukugonge nazo hizo HOJA

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Год назад

    Kwanza hujajibu hoja za zaman
    Lkn mbn ww wakitajwa maswahaba wasema ni uvunjifu waamani??
    Lkn akitajwa shekh wako waja juuu .
    Ukisema wanapewa pesa .
    Twakuukiza mzee uliokimbi mjadala mbn mashekh wenzako wengine walisimama kuhusu mashia ukawatetea mashia!wasisemwe
    Mbn huumii maswahaba wakisemwa vibaya??

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Год назад +1

    AMESEMA SHEIKH QASSIM MAFUTA ALLAAH AMUHIFADHI AKIBAINISHA MADHEHEBU ANAO YAFUATA YEYE
    عقيدتنا سنية سلفية
    تركنا تحزبا بغيضا مذمما
    ومذهب شافعي مناة دروسنا
    عليه نأصل المسائل ربما
    HIVI ABU EID UNAONGEA KIELIMU AU UNAKURUPUKA TU????!!!!!!!!!!!!!!!!!

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 Год назад

      Hivi wewe unatumia matope au ubongo Shekhe yupo wazi kabisa usichokielewa ni kitu gani

  • @abdulrahmanbakar5416
    @abdulrahmanbakar5416 Год назад

    Wanafunzi wa kiwahabi hawaulixi maswali yanayowahusu masheikh wao 😂😂😂😂😂😂. Wao ni kupewa na kumeza tu.

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Год назад

      Ukiwa na swali uliza tu kama unalo, maswali yetu tunauliza kwenye vikao vyetu vya kusoma amabvyo sio mihadhara. kwahio kama una maswali karibu kwenye madarisi zetu hata online.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Год назад +1

    Aa masufi ni vifaranga vya mashia ndo maana wakitukanwa MASAHABA Hawawatetei ...

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Год назад

      hapo sasa , woga ni mwingi sana. Maswahaba kuwakingia kifua ni bora mara elfu kuliko hawa masheikh na walimu wetu

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Год назад +2

    Yale maswali sasa mbna hujajibu shee kidevu andazi,afu masufi mna adabu nyinyii,sindo mana aliyekua sheikh wa mkoa alikwambia umerudia bangi😂,na ile nyimbo hatumtaakii baajuuriii ilikua adabu kweli kwelii😂

  • @rashidhasni2112
    @rashidhasni2112 Год назад +3

    Mimi namuuliza swali moja tu
    Wewe shekhe walipotukanwa maswahaba hatukukuona kusema chochote au kwa sababu nyinyi na mashia ni kitu kimoja?

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 Год назад

    Hivi mashekh wa twarika pia wanaunga mkono hizi hoja anazotoa huyu mwenzao!! Mbona kama jahazi limeingia maji na huyu bwana anaongeza maji ili lizame vizuri

  • @ShekhSimba
    @ShekhSimba Год назад

    Tatizo Hujielewi

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif5311 Год назад +2

    Masha Allah

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Год назад +1

    Si alikimbia huyu kumkimbia sheikh kassim mafuta

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад

    MASUFI NI MATUNDA WA MASHIA!!
    NAWE PIA MUHAMMADD IYDI NI PUNDA WA MASHIA!!
    KASSIM MAFUTA ANALINGANIA SUNNAH,YAANI MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
    WAWE NA MASUFI WENZAKO MWALINGANIA KUACHANA NA MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم NA KUFUATA MAFUNDISHO SIIJUI ETI YA MASHEIKH ZETU!!
    YUPI YAPO SWAHIHI?

  • @salumumatimbwa9723
    @salumumatimbwa9723 Год назад +1

    mm namuomba kwanza ajibu hoja 10 alizopewa kuhusu arafa pili namuombe asikimbie akaibuka na lingine abaki na bada hihi

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад

      wazee wake walimuamrisha asiendelee

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Год назад

      Kaja na nguvu kwamba eti mitandaoni elimu ya sunna imejaa, kwahio nae kaja ili mitandao ijae . kinachotakiwa ni majibu sio kuwa mtandaoni sheikh wetu abu idd

  • @naasibabuu
    @naasibabuu Год назад

    kwaiyo abuuidd kwako hirizi sio tatizo mbona wajiangusha na unajitapa umesoma

  • @AbuFawzaanAlly
    @AbuFawzaanAlly Год назад +3

    Alafu Sheikh Kassim Mafuta ALLAAH amuhifadhi akija kukujibu unakimbia kabisa na maswali kakuuliza mpaka Leo hujajibu...!!!

    • @athumanimahunda6541
      @athumanimahunda6541 Год назад

      Duh. Hivi vichwa vigumu jamani!

    • @AbuFawzaanAlly
      @AbuFawzaanAlly Год назад

      @@athumanimahunda6541 ruclips.net/video/Cy1v0iHq194/видео.htmlsi=vU5n138ECEGC4Lxy

    • @Machapatize
      @Machapatize Год назад

      ​@@athumanimahunda6541yaani ndugu yangu Allah akuhifadhi ila fatilia pande zote mbili kisha weka ushabiki pepembeni Allah atakupa hidaya

    • @SaidJuma-ru7vm
      @SaidJuma-ru7vm Год назад

      Wahabi mdogo ww 😂

  • @UmmuFaaris-y6b
    @UmmuFaaris-y6b Год назад

    Jibu hoja Shekhe wacha kuleta huruma kwa Watu

    • @HusseinAli-fx1ld
      @HusseinAli-fx1ld Год назад

      Hujaongea sawa, wajua maana huruma. Au Bora uongee tu. Neno huruma kalifanyie utafiti.

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi8631 Год назад +11

    Huyu jamaa hajamjibu Shekh Qasim kama anuani inavyojieleza bali kafungua mas'ala mengine ambayo tunamuonea huruma namna alivyoyaingia mambo

    • @ruudsaleh
      @ruudsaleh Год назад +3

      Alhamdulillah ww umekua waKwanza kum prove right Sheikh kua uelewa ni mdogo na lazima uwe hauna adabu...
      Pamoja na yote Sheikh Muhammad Iddy hakuacha kumuita Qassim kua ni Sheikh yaan akitanguliza Sheikh kisha Qassim ila wewe umauita huyu jamaa, yaan mtu asiye na identity na maana yoyote!
      Karibu tuendelee na darsa

    • @abumuhammadmbwana3964
      @abumuhammadmbwana3964 Год назад +3

      Jamaa ni nani? Haya ndio aliyoyaeleza shekh kua mawahabi hawana adabu kwa masheikh.

    • @khalfanmasoud1514
      @khalfanmasoud1514 Год назад +2

      PAMOJA NA KUTOFAUTIANA NAE KAMUITA SHEIKH LAKINI WEWE UNAMUITA JAMAA ?? ANACHOKISEMA KWELI HAWANA ADABU NA USIKUTE ALIYEITWA SHEIKH AKAJA KUMUITA ABUU IDD MPUMBAVU NA JAAAHIL SIJUI LINAVUTA BANGI TUSUBIRI TUTAONA

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад +1

      ​@@khalfanmasoud1514
      Kwan nan Kasem lazima kumuita sheikh ndo adabu???

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад +1

      Acheni ubabaishaji nyie masufi wajinga wajinga hamjielewi mmefumbwa macho na masheikh zenu mnataka kuleta bal Bala hapaa....em kaeni kando

  • @saidhaji1858
    @saidhaji1858 Год назад

    Naona anarudia yaleyale alioraddiwa na sheikh Kasim mafuta.
    Ukiskiliza Majibu ya sheikh kassim bc utajua kma huyu hana jipya,
    Ana upinzani tu usio na faida yyte..

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 2 месяца назад

    NYIE MNAOLETA UMOJA MBONA MNAHANGAIKA SANA SASA HIVI?

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Год назад

    Sheikh vp kuhusu humjadala mbona hauendelei au sheikh abuu idii umetuma SMS kuusitisha munakasha huu

  • @kagalihussein1959
    @kagalihussein1959 Год назад

    Kitu ambacho nimegundua kiukweli sheikh muhammad eid Hana Elimu yakumjibu sheikh Kaasim allah amhifadhi,pia muhammad eid hawajui mujjasima ni akuna nani.Sheikh muhammad eid kasome kitabu kinaitwa القوعد المثلى في صفات الله واسماءه الحسنى cha فضيلة الشخ العلمة محمد بن صالح العثيمين

  • @yazidurashidi8443
    @yazidurashidi8443 Год назад +2

    Shekh mbona maneno mengi clip mbili lakini bado huingii kwenye hoja zaidi ya kuleta lawama na kuleta maneno ya uongo na hayo maneno Unayo yatoa wanafunzi wenu wakiyashika basi wamekwisha kabisa😂😂😂😂

    • @kasumunigwasa
      @kasumunigwasa Год назад +1

      Muwahabi huyu

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Год назад +2

      Mawahabi ili aone ni hoja lbda aseme shekhe wake lkn akizungumza mwingine ata aya wanazikataa nawanadai hoja washamba nyie mmekaa kama mashoga tu

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Год назад

      mbona ulimi wako unamatusi sana ndg. vip mwalimu yupi anakufundisha hayo na sheikh abuu idd anasema mna-ADABU sana?@@abubakarymaulidy5681

    • @Machapatize
      @Machapatize Год назад

      ​@@abubakarymaulidy5681Tatizo lenu watu wa twariqa amsikilizi hoja za upande wapili

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      ​@@abubakarymaulidy5681
      Sa hpo hoja n ipi??

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 Год назад

    Sisi waafrika tuzitafute dini zetu za asili tuachane na dini hizi mbili zilizoletwa na uislam -mwarabu na ukristo - mzungu
    Tulikua na dini zetu kabla ya kutekwa na dini hizi.
    Wewe ni mm' bantu lakini angalia unacho amini kimetoka uarabuni. Sad

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 Год назад

      Fata wewe sisi tupo kwenye dini sahihi hatutaki hzo dini za wazee

  • @khamishabibu2505
    @khamishabibu2505 Год назад

    Unamfuata Mtume hata ndevu zimekushinda kuweka shekh

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 месяца назад

      Unaonekana kabisa hujasoma na lau ungesoma usingeongea iko kitu

  • @khamishabibu2505
    @khamishabibu2505 Год назад

    Hatutaki maneno tunataka ushahidi

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Год назад

    Namba zake😂 atoe tumjibu

  • @SalimuMussa-r6q
    @SalimuMussa-r6q Год назад +3

    محمد بن عبد الوهاب مصلح مظلوم

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад

    PLZ MAULAANA BABDEO TWAOMBA TUFIKISHIE MAOMBI YETU KWA SHEIKH ABUU IDD

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Год назад

    wana nfananinsh na nani

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 2 месяца назад

    YAANI WEWE SUFI ABUU IDD NA MASUFI HATA MKUSANYANE WOTE TANZANIA NZIMA HAMUWEZI KUIDHOOFISHA DAAWATU SALAFI KWA HOJA DHAIFU KAMA HIZO

  • @saadayoub7179
    @saadayoub7179 Год назад

    Yaani hawa Kupitia vinywa vyao (masufiy/maghurafiy) kuitangaza Daawa ya Ahlul Sunna waljamaa.sasa anachokiongea ni kitu gani?Allah subhana wataaala kawanyima maghurafiy ufahamu

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul9312 Год назад

    HIVI JAMAN HUYU ABUU IDD ANAVOSOMA HIZI IBARA MNAMUELEWA? SIKUSUDII KUKOSEAA ILA ILE NAMNA YAANI KAMA AONGEA KIPARE VILE AU KIDIGO HASOMI IBARA VZURI, NAPATA MASHAKA NA HATA UFAHAMU WAKE NA HIVO VITABU ALOBEBA,,😂😂😂😂 MAAANA MARA HII AKO NA VITABU VIIINGI ALAFU NOTHING IN THE.......😊 NSIJE AMBIWA SINA ADABU😅
    ILA ABUU IDD MARA HII USIKIMBIEE, LAST TIME UliTOKA NDUKI NUSU UTUDOSHE, PLZ SAHIV UCKIMBIE SAWA SHEIKH LA KISUFI USOJUA KUSOMA IBARA ZA KIARABU.😅

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 Год назад +2

    Ongea hoja uliyokusudia MBONA unachanganya chiki na dhana mbaya Kwa mambo usiokuwa na dalili nayo

  • @mashallaah7290
    @mashallaah7290 Год назад +1

    لا تدخل الملاءكة بيتا فيه كلب ولا صورة ( رواه البخاري ٣٣٢٢) (ومسلم ٢١٠٦)
    Shekhe hiyo 7dithi vipi

  • @alybinmana6197
    @alybinmana6197 Год назад

    Mmh mbna cjaona majibu ya kichwa cha habari ya mada kuu iliyowekwa mezani na mawahabi hapa ndio masheikh zetu wanapotuangusha

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 Год назад

    Huyu Sufi alishajibiwa haya amekimbia mpaka Leo hii sio ya Leo Ana Maswali kumi Hajajibu mpaka leo

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Год назад +1

    Porojo utaleta nyiiingi lakini katu abadani zile hoja za kielimu huwezi kuzijibu mpaka kiama. Haya endelea kujizungusha😂😂😂

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Год назад

      Kinachotushangaza kwa nyinyi Mawahabi,ni kule kuhama hama,kujibadilisha badilisha majina,mnatutia wasiwasi juu Uisilamu WENU,mwanzo mlijiita Maanswari suna,mkatofautiana wenyewe kwa wenyewe,kikazuka KIKUNDI Kingine cha Mawahabi,mara kikazuka KIKUNDI Kingine cha Salafi, kikazuka KIKUNDI Kingine cha Salafi Jadiidu,Hilo tu latosha kua nyinyi ni matapeli ktk Dini,au Wewe mjinga Hembu tueleze ktk hivyo vikundi vyoote ni kipi kilichoko sahihi?

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Год назад +1

      Wewe ulifundishwa ubishi sio hekima wala busara, Nyie mwajua Matusi

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Год назад

      @@abdullahmasakata170 Onyesha matusi hapo kwny maneno yangu ikiwa ww ni mkweli ktk madai yako!

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Год назад +1

      Unaposema porojo maana yake nini? Hii ni dharau na kejeli kwa mashekh wasio na mlengo mmoja na ninyi, Mnapenda kuwazodoa wengine inapowageukia hio tabia mnaanza kulalamika tu

    • @UB40X1
      @UB40X1 Год назад

      Porojo ni maneno ya upuuzi

  • @HamkingCompanyLimited2023
    @HamkingCompanyLimited2023 Год назад

    yaan hata unavyosoma hcho kitabu’ lafudh lako baya sanaa
    mtafute mtu akusomee ustadh’
    pia mbona hoja za abul fadhwil zipo wazi sanaa
    kwa nini usizjbu hzo hoja kwanza ?!
    kisha ulete hzo mbwe mbwe nyngne’

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 Год назад

    Huu ndo muda wa masufi wanao taka haki hasa vijana kuingia ktk sunna kwa wingi kwasababu huyu bwana hawezi kuwasaidia zaidi ya kuwafanya wafuasi wake wamsikilize shekh Qassim na hapo ndo usufi unapo zama

  • @Mwanaidijuma-e3b
    @Mwanaidijuma-e3b Год назад

    Walai shekh Qasim mafuta katika mada zoote walizo elezeana shekh mafuta hakujibu hata moja.kwa maana mada zoote alizotowa huyu shekh Mohammad alimjibu mafuta Kwa vitabu vya mashekh wao kuwa arafa SI moja.mafuta hakujibu ata jibu Moja kiuadilifi.maulidi ndo kabsaaa hakujibu.

  • @aliabdulla5395
    @aliabdulla5395 Год назад

    Ili muradi useme tu, watu wanaotaka haqq wameelewa... lkn ww maswali huwezi kuyajibu

  • @MarkazIbnBaaz-itigi
    @MarkazIbnBaaz-itigi Год назад

    Wewe mwenyewe mbona umemdhania Sheikh Kassim vibaya?....umejuaje kwamba anajiona yeye ni Sheikh mkubwa Nchi nzima? Kama sio Hasadi ni nini?

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 Год назад

    Wangine mnachangia hoja kama hamna akili kichwani sasa anatoka mbio vip kwani ujumbe haujawafikia c mkanunuwe vitabu msome akili zenu ndogo mnaochangia ugomvi mwenzenu hayupo hapo kwaajili ya ugomvi yupo hapo kwaajili ya kuelimisha

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Год назад

      Makasiriko😂

    • @naasibabuu
      @naasibabuu Год назад

      Yani mtu anatetea hirizi halafu watuambia anaelimisha

  • @UB40X1
    @UB40X1 Год назад +1

    Wewe Iddi ni mtu mpuuzi sana. Sheikh Kassim alikujibu kwa hoja na maswali akakuuliza ulijipoteza kwa miaka mitatu sasa umezuka na madai yale yale uliyojibiwa. Kuwa na hayaa basi usiwe kama mnyama na ujihurumie nafsi yako.

    • @HassanAli-j5d8q
      @HassanAli-j5d8q Год назад

      Ila maneno makali Akhy

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Год назад

      Hebu kuwa na adabu wewe usiwe kama mshenzi ulokosa mafunzo kwa wazaz wako, ni adabu gani kumuita sheik hvyo? Unamwambiaje sheikh mpuuz!? Ndo sheikh mafuta awafundisha hvyo? Wewe ushawahi msikia sheikh qasim mafuta anamuita sheikh muhammad ni mpuuzi!? Koma kabisa ulokosa elimu ya adabu kwa wakubwa na masheikh

    • @UB40X1
      @UB40X1 Год назад

      Mpuuzi ni yule anaepewa hoja na kuulizwa maswali kisha akajificha miaka mitatu na akizuka aleta story zilezile. Huyo ni mpuuzi na Ikiwa na wewe ashakufunza upuuzi usiniletee mimi.

  • @UmmuFaaris-y6b
    @UmmuFaaris-y6b Год назад

    Hicho kitabu cha Shekhe Nani mbona wataja tu nawala sii kila mwenye kuitwa manachuoni basi yupo katika Haki Haki ipo pale inapo kuja dalili

  • @UmmuFaaris-y6b
    @UmmuFaaris-y6b Год назад

    Hicho kitabu cha Shekhe Nani mbona wataja tu nawala sii kila mwenye kuitwa manachuoni basi yupo katika Haki Haki ipo pale inapo kuja dalili
    Lete hoja ya vitabu vyenye kuonesha maneno yako mbona porojo tu.
    Lete hoja za kiilimu wacha uwongo Shekhe

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 Год назад +1

    Mashia mkiambiwa ukweli mnakasirika Hahaha 😂

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn Год назад +1

    Fichueni musiwabakishe

  • @aliyabasi2058
    @aliyabasi2058 Год назад

    Abuu idd twaomba ujibu maswali uliyoulizwa na sheikh Qassim mafuta hujajibu bado ulikaa kimya kwa takriban mwaka mmoja tukajua unajipanga kujibu kumbe hamna kitu twasubiri majibu yako kadri unavyo mkwepa sheikh Qasim inaonyesha dhahiri kwamba mupo katka baatwil

  • @aliabdulla5395
    @aliabdulla5395 Год назад

    Ww hata mwanafunzi wa kisalafi huwezi kumpata. Una athari gani, umenyoa ndevu umeacha sharubu.

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Год назад

    HIVYO VITABU WANDISHI NI AKINA NANI? MAKE CHA KWANZA AMEMTAJA MWANDISHI AMBAYE NI محمد جميل زينو

  • @khamishabibu2505
    @khamishabibu2505 Год назад

    Kwahio na Mtume engemfuata baba kwakua ni baba yake

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Год назад

    shekh naomba niambie madheebu ya abuu horera

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад

      wewe hata uelewi chochote kuna madhehebu SUBIRI SHEIKH ABULFADHLI QAASIM MAFUTA QAASIM, ATAWAWAWEKA SAWA KUNAKO MAS-ALA YA MADHEHEBU NA KUJINASIBISHA....!!

    • @ABUUDARDAAI
      @ABUUDARDAAI Год назад

      @ayububakari9942 kujina sibisha na na madhebu inaa faa sio haramu lakini pia sio wajibu wala sio suna ni halal kwa mtu asio kuwa na elimu mtu Ambae ajuwi njia za za hukumu mbali mbali za kisheria lakini pamoja na ivo ni haqi yake kudai da lili kwa mtu ana e mwongoza iwe ni katika ma dheebu au mufti wake

    • @ABUUDARDAAI
      @ABUUDARDAAI Год назад

      @@ayububakari9942 kwaio usinia mbie sijuwi chochote usizani kila mtu anae towa comment ni mjinga kweny kila kitu

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Год назад

      Kijana soma kwanza uelewe acha kupaparika wakat bado upo alif kwa ujiti.. dhehebu ni misimamo ya hoja kielimu ambayo mtu huipata kwa mwalimu wake.. jibu wewe sasa ABUU HURAIRAH mwalimu wake ni nani??

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Год назад

      Na dhehebu huwa na series au chain ukianza kwako kwa mwalimu wako kwa mwalimu wake na mwalimu wake Hadi unafika kwenye main source.. ukisema huna dhehebu yawezkana hata fiqh hujui, kwa hyo ibada yako ni mtihani saanaa, kama unakiasi kidogo cha elimu utakuwa umeelewa