Mashaallah kwa kweli ALLAH akujaalie afya na umri mrefu wa kheri ili uendelee kutufundisha uislam sahihi kama ulivyoelekezwa na mtume wetu alayhi sswalaatu was salaam
Fedhuli sana Huyo Mafuta.Sijui Mafuta ya Taa au ya kupikia.Ujeuri wake Mafuta atadidimia tuu Kwa Ujeuri na Ufedhuli kutukana Mashehe wakubwa wa TWARIKA.
Assalaam Alaykum Sheikh Muhammad Idd. Nakushukuru kwa elimu unayotupa. Allah akujazi kila kheri. AMIN Sheikh, je tukitaka vitabu hivi tutaweza kuvipata wapi? Na gharama yake ni kiasi gani? Kwa kuzingatia sisi tunaoishi mikoani katika nchi yetu Tanzania. Na huku mikoani vitabu havipatikani kirahisi. Shukran na jazaka-Llahu kher.
Shekh Kaasim Allah amhifadhi,alikuwa juzi akimjibu shekh Samiir mudiir wa shamsul maarif...naona shekh Abuu Idd akaona shekh samiir atashindwa..ikabidi sasa aingilie kati.. Kwahiyo sasahiv shekh Kaasim anawafundisha mashekh wawili wakubwa wa kisufi hapa nchini. LKN CLIP ILE YA KWANZA NA HII YA PILI TUNAONA MANENO NI YALE YALE ALIYOJIBIWA KIPINDI KILE CHA MJADALA WA MWEZI
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unawaita waumini wenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa. يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM Sidhani kama UISLAM UMEfundisha mtu akikosea au akafanya jambo lisilofaa aitwe kwa majina hayo uloandika au tu kwa uelewa wako umeona kafanya jambo sio sahihi ndo umeuite majina kama hayo au maneno uloandika ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُمْ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنْ ضَلَّ عَنْ سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ JIFUNZE KWANZA TUVOAMRISHWA KWENYE QURAAN AFU NDO UJE KUONYESHA MISIMAMO YAKO NA MIHEMKO NA JAZBA ULIZONAZO MITANDAONI WABILAHI TAWFIQ
Wajua shk Muhammad watakiwa hujibu hoja haya maneno sijui miradi mawahabi ni maneno ya maskani mtu yeyote anaweza kuropoka jibu hoja tupatae faida siyo porojo za kimtaani
@@salumumatimbwa9723MULIKUWA MWADANGANWA NYINYI TU KWANI WADHANIA WATU HAWAKUELEWA MBONA WATU WALIEWA SANA TU, ULE ULIKUA UBABAISHAJI TU WA SHEIKH WENU
TATIZO LAKO MZEE MUAMUDI WAONGEA HAPO SHEKH AKIKUJIBU WAKIMBIA SISI TWAJUA UMEKUJA KUJIBU YALE MASWALI ALIYO ULIZWA NA SHEKH KASIMU MAFUTA KUMBE UNAMKIMBIA NA UNAKUJA NA MFUMO MPYA MAMBO HAYAENDI HIVYO TUJIBU MASWALI YETU ULIO ULIZWA KWANZA
HOJA HIZO ZIMEPITWA NA WAKATI NI ZA ZAMANI WAKATI ANSWAR WANAANZA KUELEZEA MAFUNZO YA DINI. TAASISI YA TAMTA WAKIFANYA MIHADHARA KILA MSIKITI TANGA ILISHINDIKANA WAISLAM WENGI WANASWALI MISIKITI YA ANSWAR
pia ewe sheikh Abuu Eid,kadiri unavo zidi kujitutumua ndivo tunaona uwezo wako ktk Elimu ni mdogo taji ulilo nalo umeveshwa kwa maslahi ya dunia yako tuu..hata sisi wanafunzi pia hauta tupata kwa sababu masufi hamna Elimu zaidi mwajuwa elimu za uganga tu,afu kupingwa ktk kuizungumza haqi ni jambo ambalo halija anza leo.mtume swala na salaam zimfikie yeye pia alipingwa na familia yake hadi baba ake mdogo alimpinga.na huyu mtume sala na salam zimfikie yeye ndie wakale wetu.Hatuishi na dini za kuwarithi masheikh zetu wala wazazi wetu mradi watakuwa ktk upotevu,Nabii iburahiim ali pambana na baba ake asiyaabudie masanamu { ۞ وَإِذۡ قَالَ إِبۡرَ ٰهِیمُ لِأَبِیهِ ءَازَرَ أَتَتَّخِذُ أَصۡنَامًا ءَالِهَةً إِنِّیۤ أَرَىٰكَ وَقَوۡمَكَ فِی ضَلَـٰلࣲ مُّبِینࣲ } [Surah Al-Anʿām: 74] Na Nabii iburahimu Allah amemchaguwa { وَمَن یَرۡغَبُ عَن مِّلَّةِ إِبۡرَ ٰهِـۧمَ إِلَّا مَن سَفِهَ نَفۡسَهُۥۚ وَلَقَدِ ٱصۡطَفَیۡنَـٰهُ فِی ٱلدُّنۡیَاۖ وَإِنَّهُۥ فِی ٱلۡـَٔاخِرَةِ لَمِنَ ٱلصَّـٰلِحِینَ } [Surah Al-Baqarah: 130] na alimkana baba ake kwa kuyaabudia masanamu sasa seuse sheikh muhammad ibnu Abdilwahaab Lazima apinge shirki maana ndio sunnah ya mitume na manabii
Alhamdullilah kwa neema ya uislam na sunnah...hawa maghurafiy Allah kawanyima utambuz....sasa anasoma kiarabu kama ki afrika magharib uko naijeriya....uyu mwambieni kwanza ajibu maswali ya radi za arafa kabla hajakimbia tena
Ukiangalia kama alama yamwanzo ya kwamba eti ni mutashaddiduuna 1:Je yeye sio mutashadidu na kama sivyo kwann yeye ana himiza watu kushikamana na maulid na mambo mengine aliyo yataja, huko ndo kuwa mutashafidu shekh pia tunaweza sema haja fanya uziroli wa kufikiri asante mwenye hoja ajibu tuwekane wazi
@@abubakarymaulidy5681 shekh hiyo twamjua sie kama wewe humjui hivyo nakwambia kaa chini usome DINI itamjia huyo Kwan BINAFSI nilikua huko miaka MINGI SANA na ninamfahamu sana huyo hayo ni maneno yake TU hivyo ajibu koment alafu tubainish japo kidogo isiwe na jazba na usiwe mutashafidu kama alivyo sema huyo shekh tafuta ubainifu huku na huku huenda Allah akakuonyesha wapi ipo haki nakwambia kwa ajili ya Allah tu
Tatizo lako nimoja tu mzee shekh Muhammad Idd, tatizo ww una mbiyo nyingi huwa unatoka nduki hata nyuma hugeuki. Vipi marahii uko vizuri usije kutoka nduki utatuangusha mzee 😂😂😂😂
@@tanzaniaonmzamiloon8627 Kama adabu ni kukosea utamshi sahihi wa salamu, SAWA Lakin narejea tena kusema mfunzeni shehe wenu katika utamkaji mzur wa salamu
نور على الدرب التعريف بالوهابية التعريف بالوهابية السؤال: رسالة وصلت إلى البرنامج من الجمهورية العراقية، باعثها مستمع من هناك يقول خالد عبدالله حسن، الأخ خالد له جمع من الأسئلة من بينها سؤال يقول: سمعت بالوهابية، فمن هم؟ play -04:10 max volume الجواب: الوهابية هم أتباع الشيخ الإمام: محمد بن عبدالوهاب بن سليمان بن علي التميمي الحنبلي المتوفى سنة ست ومائتين وألف من الهجرة، كانت وفاته -رحمه الله- سنة ست ومائتين وألف من الهجرة في الدرعية، وقبره معروف هناك، وقد قام بالدعوة إلى الله في النصف الثاني من القرن الثاني عشر، في نجد الدرعية، وما حولها، دعا إلى توحيد الله، وأنكر على الناس التعلق بالقبور والأموات والأصنام، وتصديق الكهان والمنجمين، وعبادة الأشجار والأحجار على طريقة السلف الصالح، على الطريقة التي بعث الله بها نبيه محمد -عليه الصلاة والسلام- وعلى الطريقة التي درج عليها أصحابه، فدعا إلى الله، ودعا معه العلماء الذين وفقهم الله لمعرفة الحق، من أقاربه وأولاده وغيرهم، وأظهر الله به الدين وأزال به الشر من نجد وما حولها، ثم انتشرت دعوته في اليمن والشام والعراق ومصر والهند وغير ذلك. وعرف المحققون صحة دعوته واستقامتها، وأنه على الهدى والطريق القويم، وأنه في الحقيقة مجدد لما اندرس من معالم الإسلام، وليس مبتدعًا، وليس له دين جديد، ولا مذهب جديد، إنما دعا إلى توحيد الله، واتباع شريعته، والسير على منهج السلف الصالح من الصحابة، ومن سلك سبيلهم، هذا هو مذهب الوهابية، ساروا على منهج الرسول ﷺ وأتباعه من الصحابة، ومن بعدهم من أهل العلم والإيمان. ولكن لهم خصوم، فكذب عليهم الكذابون حتى يستبيحوا دماءهم، كذبوا عليهم وقالوا: إنهم مذهب خامس، وأنهم يسبون الرسول ﷺ ويسبون الصحابة، وكلها كذب، كله باطل، بل هم من أحب الناس للرسول ﷺ وهم على طريق الصحابة، والرسول أحب إليهم من أنفسهم وأولادهم وأموالهم، وهم يدعون إلى ما دعا إليه الرسول ﷺ يدعون إلى توحيد الله، واتباع شريعته، وتعظيم أمره ونهيه، والسير على منهج الرسول ﷺ وكتبهم طافحة بذلك، كتب الشيخ محمد، وأتباعه واضحة في ذلك، من قرأها؛ عرف ذلك، كتاب التوحيد، فتح المجيد، كشف الشبهات، ثلاثة الأصول، كذلك تيسير العزيز الحميد لحفيده سليمان بن عبدالله ، وكذلك الدرر السنية في فتاوى أهل نجد واضحة في ذلك. وهكذا كتبهم الأخرى ورسائلهم الأخرى كلها تبين ما هم عليه من الهدى والحق، وكلها تبين كذب أعدائهم، وخصومهم من الصوفية، وغير الصوفية، ومن عباد القبور الذين كذبوا عليهم؛ لأنهم أنكروا عليهم عبادة القبور، فكذبوا عليه، فخصومهم هم عباد القبور، أو جهلة ما عرفوا الحقيقة، وصدقوا عباد القبور. أما أهل العلم والإيمان في مصر والشام والعراق وغير ذلك فقد عرفوا صحة ما هم عليه، وشهدوا لهم بالحق، كالشيخ محمد رشيد رضا، وغيرهم ممن عرف دعوتهم -رحمة الله عليهم- وشهد لهم بالحق من علماء الإسلام في مصر والشام والعراق وغير ذلك
Ukiwa na swali uliza tu kama unalo, maswali yetu tunauliza kwenye vikao vyetu vya kusoma amabvyo sio mihadhara. kwahio kama una maswali karibu kwenye madarisi zetu hata online.
Yale maswali sasa mbna hujajibu shee kidevu andazi,afu masufi mna adabu nyinyii,sindo mana aliyekua sheikh wa mkoa alikwambia umerudia bangi😂,na ile nyimbo hatumtaakii baajuuriii ilikua adabu kweli kwelii😂
Hivi mashekh wa twarika pia wanaunga mkono hizi hoja anazotoa huyu mwenzao!! Mbona kama jahazi limeingia maji na huyu bwana anaongeza maji ili lizame vizuri
MASUFI NI MATUNDA WA MASHIA!! NAWE PIA MUHAMMADD IYDI NI PUNDA WA MASHIA!! KASSIM MAFUTA ANALINGANIA SUNNAH,YAANI MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم WAWE NA MASUFI WENZAKO MWALINGANIA KUACHANA NA MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم NA KUFUATA MAFUNDISHO SIIJUI ETI YA MASHEIKH ZETU!! YUPI YAPO SWAHIHI?
Kaja na nguvu kwamba eti mitandaoni elimu ya sunna imejaa, kwahio nae kaja ili mitandao ijae . kinachotakiwa ni majibu sio kuwa mtandaoni sheikh wetu abu idd
Alhamdulillah ww umekua waKwanza kum prove right Sheikh kua uelewa ni mdogo na lazima uwe hauna adabu... Pamoja na yote Sheikh Muhammad Iddy hakuacha kumuita Qassim kua ni Sheikh yaan akitanguliza Sheikh kisha Qassim ila wewe umauita huyu jamaa, yaan mtu asiye na identity na maana yoyote! Karibu tuendelee na darsa
Naona anarudia yaleyale alioraddiwa na sheikh Kasim mafuta. Ukiskiliza Majibu ya sheikh kassim bc utajua kma huyu hana jipya, Ana upinzani tu usio na faida yyte..
Kitu ambacho nimegundua kiukweli sheikh muhammad eid Hana Elimu yakumjibu sheikh Kaasim allah amhifadhi,pia muhammad eid hawajui mujjasima ni akuna nani.Sheikh muhammad eid kasome kitabu kinaitwa القوعد المثلى في صفات الله واسماءه الحسنى cha فضيلة الشخ العلمة محمد بن صالح العثيمين
Shekh mbona maneno mengi clip mbili lakini bado huingii kwenye hoja zaidi ya kuleta lawama na kuleta maneno ya uongo na hayo maneno Unayo yatoa wanafunzi wenu wakiyashika basi wamekwisha kabisa😂😂😂😂
Sisi waafrika tuzitafute dini zetu za asili tuachane na dini hizi mbili zilizoletwa na uislam -mwarabu na ukristo - mzungu Tulikua na dini zetu kabla ya kutekwa na dini hizi. Wewe ni mm' bantu lakini angalia unacho amini kimetoka uarabuni. Sad
Yaani hawa Kupitia vinywa vyao (masufiy/maghurafiy) kuitangaza Daawa ya Ahlul Sunna waljamaa.sasa anachokiongea ni kitu gani?Allah subhana wataaala kawanyima maghurafiy ufahamu
HIVI JAMAN HUYU ABUU IDD ANAVOSOMA HIZI IBARA MNAMUELEWA? SIKUSUDII KUKOSEAA ILA ILE NAMNA YAANI KAMA AONGEA KIPARE VILE AU KIDIGO HASOMI IBARA VZURI, NAPATA MASHAKA NA HATA UFAHAMU WAKE NA HIVO VITABU ALOBEBA,,😂😂😂😂 MAAANA MARA HII AKO NA VITABU VIIINGI ALAFU NOTHING IN THE.......😊 NSIJE AMBIWA SINA ADABU😅 ILA ABUU IDD MARA HII USIKIMBIEE, LAST TIME UliTOKA NDUKI NUSU UTUDOSHE, PLZ SAHIV UCKIMBIE SAWA SHEIKH LA KISUFI USOJUA KUSOMA IBARA ZA KIARABU.😅
Unaposema porojo maana yake nini? Hii ni dharau na kejeli kwa mashekh wasio na mlengo mmoja na ninyi, Mnapenda kuwazodoa wengine inapowageukia hio tabia mnaanza kulalamika tu
yaan hata unavyosoma hcho kitabu’ lafudh lako baya sanaa mtafute mtu akusomee ustadh’ pia mbona hoja za abul fadhwil zipo wazi sanaa kwa nini usizjbu hzo hoja kwanza ?! kisha ulete hzo mbwe mbwe nyngne’
Huu ndo muda wa masufi wanao taka haki hasa vijana kuingia ktk sunna kwa wingi kwasababu huyu bwana hawezi kuwasaidia zaidi ya kuwafanya wafuasi wake wamsikilize shekh Qassim na hapo ndo usufi unapo zama
Walai shekh Qasim mafuta katika mada zoote walizo elezeana shekh mafuta hakujibu hata moja.kwa maana mada zoote alizotowa huyu shekh Mohammad alimjibu mafuta Kwa vitabu vya mashekh wao kuwa arafa SI moja.mafuta hakujibu ata jibu Moja kiuadilifi.maulidi ndo kabsaaa hakujibu.
Wangine mnachangia hoja kama hamna akili kichwani sasa anatoka mbio vip kwani ujumbe haujawafikia c mkanunuwe vitabu msome akili zenu ndogo mnaochangia ugomvi mwenzenu hayupo hapo kwaajili ya ugomvi yupo hapo kwaajili ya kuelimisha
Wewe Iddi ni mtu mpuuzi sana. Sheikh Kassim alikujibu kwa hoja na maswali akakuuliza ulijipoteza kwa miaka mitatu sasa umezuka na madai yale yale uliyojibiwa. Kuwa na hayaa basi usiwe kama mnyama na ujihurumie nafsi yako.
Hebu kuwa na adabu wewe usiwe kama mshenzi ulokosa mafunzo kwa wazaz wako, ni adabu gani kumuita sheik hvyo? Unamwambiaje sheikh mpuuz!? Ndo sheikh mafuta awafundisha hvyo? Wewe ushawahi msikia sheikh qasim mafuta anamuita sheikh muhammad ni mpuuzi!? Koma kabisa ulokosa elimu ya adabu kwa wakubwa na masheikh
Mpuuzi ni yule anaepewa hoja na kuulizwa maswali kisha akajificha miaka mitatu na akizuka aleta story zilezile. Huyo ni mpuuzi na Ikiwa na wewe ashakufunza upuuzi usiniletee mimi.
Hicho kitabu cha Shekhe Nani mbona wataja tu nawala sii kila mwenye kuitwa manachuoni basi yupo katika Haki Haki ipo pale inapo kuja dalili Lete hoja ya vitabu vyenye kuonesha maneno yako mbona porojo tu. Lete hoja za kiilimu wacha uwongo Shekhe
Abuu idd twaomba ujibu maswali uliyoulizwa na sheikh Qassim mafuta hujajibu bado ulikaa kimya kwa takriban mwaka mmoja tukajua unajipanga kujibu kumbe hamna kitu twasubiri majibu yako kadri unavyo mkwepa sheikh Qasim inaonyesha dhahiri kwamba mupo katka baatwil
wewe hata uelewi chochote kuna madhehebu SUBIRI SHEIKH ABULFADHLI QAASIM MAFUTA QAASIM, ATAWAWAWEKA SAWA KUNAKO MAS-ALA YA MADHEHEBU NA KUJINASIBISHA....!!
@ayububakari9942 kujina sibisha na na madhebu inaa faa sio haramu lakini pia sio wajibu wala sio suna ni halal kwa mtu asio kuwa na elimu mtu Ambae ajuwi njia za za hukumu mbali mbali za kisheria lakini pamoja na ivo ni haqi yake kudai da lili kwa mtu ana e mwongoza iwe ni katika ma dheebu au mufti wake
Kijana soma kwanza uelewe acha kupaparika wakat bado upo alif kwa ujiti.. dhehebu ni misimamo ya hoja kielimu ambayo mtu huipata kwa mwalimu wake.. jibu wewe sasa ABUU HURAIRAH mwalimu wake ni nani??
Na dhehebu huwa na series au chain ukianza kwako kwa mwalimu wako kwa mwalimu wake na mwalimu wake Hadi unafika kwenye main source.. ukisema huna dhehebu yawezkana hata fiqh hujui, kwa hyo ibada yako ni mtihani saanaa, kama unakiasi kidogo cha elimu utakuwa umeelewa
Mwenyezi Mungu akuhifadhi na akupe Umri Mrefu Shekhe wetu Abuu I'ddi Muhammad I'ddi
Asante sheikh letu
Asalam aleykum wa rrahmaturllah taara wabarakur' ivi ili neno (TAARA) LIMEPOKELEWA KATIKA SALAM YA KIISLAM
Hhhh waulize hao masuf
@@tellackyabdul9312 ukiwauliza watasema mbona mtume wa ALLAH akupanda ndenge nyie mnapanda mmetoa wapi
@@engineerjuma9876 sio TAARA ni TA’ALA
Know the difference kwanza 🤣🤣🙌🏾
Mashaallah kwa kweli ALLAH akujaalie afya na umri mrefu wa kheri ili uendelee kutufundisha uislam sahihi kama ulivyoelekezwa na mtume wetu alayhi sswalaatu was salaam
ZUNGUMZIA MASHIA WANAVYOWATUKANA MASWAHABA
Hapana mashia ni kundi na nyinyi ni kundi subiri ueleweshwe
Si fanya wewe unajua .kilammoja anachukua nafasi yake
DUH.. ALLAH AKUBAARIQ SANA SHEKH LETU ABUU IDD
Fedhuli sana Huyo Mafuta.Sijui Mafuta ya Taa au ya kupikia.Ujeuri wake Mafuta atadidimia tuu Kwa Ujeuri na Ufedhuli kutukana Mashehe wakubwa wa TWARIKA.
Alafu shk qassim ana abiyati ameziandika akiieleza akida yake na madhehebu yke kwaiyo kabla huja ongea vizuri ukafanya utafiti
لا يؤمن احدكم حتى يكون هواه تبعا لما جاء ت به
Jibu maswal ulioulizwa shekh usirukeruke
Alie uliza alijibu hoja
Watoto wa kiwahabi utawajuatu adabu hawana😊
Assalaam Alaykum Sheikh Muhammad Idd. Nakushukuru kwa elimu unayotupa. Allah akujazi kila kheri. AMIN
Sheikh, je tukitaka vitabu hivi tutaweza kuvipata wapi? Na gharama yake ni kiasi gani?
Kwa kuzingatia sisi tunaoishi mikoani katika nchi yetu Tanzania. Na huku mikoani vitabu havipatikani kirahisi.
Shukran na jazaka-Llahu kher.
Shekhe unafanya kazi nzuri kabisa Allah atakulipa malipo mazuri
Hiyo nayo kazi yakuzunguka mbuyu ajibu hoja Alizo ahid kujib
@@muhamadyusufu6663SI ATAJIBU AMA
Amiyn amiyn amiyn
@@muhamadyusufu6663 umeelewa achaosema sheikh kwenye hiyo video
Shekh Kaasim Allah amhifadhi,alikuwa juzi akimjibu shekh Samiir mudiir wa shamsul maarif...naona shekh Abuu Idd akaona shekh samiir atashindwa..ikabidi sasa aingilie kati..
Kwahiyo sasahiv shekh Kaasim anawafundisha mashekh wawili wakubwa wa kisufi hapa nchini.
LKN CLIP ILE YA KWANZA NA HII YA PILI TUNAONA MANENO NI YALE YALE ALIYOJIBIWA KIPINDI KILE CHA MJADALA WA MWEZI
بارك الله فيك
Tunakuelewa saanaa sheikh, muqaddima upo vizur twasubir nambar 3 insha allah
Haya umeelewa nn hapoo?? Porojo??
kazi unayo ss tumeelewa ww endelea kutashaddudi
@@tellackyabdul9312
@@tellackyabdul9312 KASEMA YEYE HAANGAIKI NA MAWAHABI ila watu wanaotaka kuskiliza kusoma na KUTAFAKARI
Shekh mkudaaa ww hauna tafauti na samiyriii
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unawaita waumini wenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa.
يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون
Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ
فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM
Sidhani kama UISLAM UMEfundisha mtu akikosea au akafanya jambo lisilofaa aitwe kwa majina hayo uloandika au tu kwa uelewa wako umeona kafanya jambo sio sahihi ndo umeuite majina kama hayo au maneno uloandika
ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُمْ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنْ ضَلَّ عَنْ سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ
JIFUNZE KWANZA TUVOAMRISHWA KWENYE QURAAN AFU NDO UJE KUONYESHA MISIMAMO YAKO NA MIHEMKO NA JAZBA ULIZONAZO MITANDAONI
WABILAHI TAWFIQ
Hujazungumza hojja za kielimu
We upo uwahabi uwahabi tuuu Huna hojja
Fungua macho tafuta vitabu usome
SHEKH VIPI MBONA UNASOMA KIARABU VIBAYA PUMBAVU
Kumbe kweli hamna adabu😂😂😂😂
@@akambi482Sawa mwenye adabu
Hutaki aambiwe ukwel 😂😂
Asoma vVIBAYA KWA HERUFI KUBWA
AJUWI KUZISOMA IBARA VZUUUURIIII😂😂MFIKISHIENI
Au mtupe number yake tumwambiee AJIFUNZE KUSOMA VZUURII
Dalili moja ya wahabi ndo hii
Maiti kapiga chafyaaa
Wanafunzi wanakujua KUWA na wameisha kuona MPAKA hapa yaani we mbabaishaji sana TU.
mafuta ya taa
Wajua shk Muhammad watakiwa hujibu hoja haya maneno sijui miradi mawahabi ni maneno ya maskani mtu yeyote anaweza kuropoka jibu hoja tupatae faida siyo porojo za kimtaani
Baba Muhammad iddi
Umekoroga koroga mambo mpaka unajivuruga,mpaka hujui unaeleza nini,unatia aibu shekhe ,
شكرا لك وجزاك الله خيرا
Subuhanallah
Humu weza shekh kassim
Salmaleeeeeeee😂😂
Hata haeleweki
بارك الله فيك يا شيخنا الفاضل محمد ابو عيد الله يسلمك من كل شر و مكروه وسوء
mumkumbushe pia asije kukimbia tena kama mjadala kuhusu arafa
@@salumumatimbwa9723MULIKUWA MWADANGANWA NYINYI TU KWANI WADHANIA WATU HAWAKUELEWA MBONA WATU WALIEWA SANA TU, ULE ULIKUA UBABAISHAJI TU WA SHEIKH WENU
huyo atakimbia..
Mjadala gani umkimbize Muhammad idi?
Bachu hadi jasho lilimtoka Kenya badala ya kujibu hoja yeye anaanza kumfundisha namna ya kuuliza swali, yaani yeye anataka uulize Kama atakavyo yeye
الصوفية أكثر عداءً لابن تيمية ومحمد عبد الوهاب
Sahihi 100%. Ipo sababu. Na kwanini hawawachukii maimamu wanne na salaf swaleh wala maswahaba? 🤔
Shekhe muhamadi iddi kasome akida
hirizi kwake sio tatizo
Umetisha sana Al alaama Abuuuu Eid Muhammad
pamoja na kutetea hirizi au
Eeh kumbe n a'llama???😂 eeh hatariiii sufi alaf a'lama???
Muhammad idi ivi unajielewa kweli .
TATIZO LAKO MZEE MUAMUDI WAONGEA HAPO SHEKH AKIKUJIBU WAKIMBIA
SISI TWAJUA UMEKUJA KUJIBU YALE MASWALI ALIYO ULIZWA NA SHEKH KASIMU MAFUTA
KUMBE UNAMKIMBIA NA UNAKUJA NA MFUMO MPYA
MAMBO HAYAENDI HIVYO TUJIBU MASWALI YETU ULIO ULIZWA KWANZA
Uwahabi unatekeleza matakwa ya mkoloni mwengereza tang kuiangusha ottoman empire na utawala wa bani hashim
Tatizo Hujipangi Katika Kujibu Masaaili Abuu Iddi Ulijibiwa Na Ukaulizwa Hukujibu.
Kashajibu lakini ili kujiona hakujibiwa ilibidi ajifanye ajasikia
Haya aliyozungumza alishajibiwa na akaulizwa maswali hakujibu hata akenda mbioooo m
Mwambieni ajibu maswali kwanza
HOJA HIZO ZIMEPITWA NA WAKATI NI ZA ZAMANI WAKATI ANSWAR WANAANZA KUELEZEA MAFUNZO YA DINI. TAASISI YA TAMTA WAKIFANYA MIHADHARA KILA MSIKITI TANGA ILISHINDIKANA WAISLAM WENGI WANASWALI MISIKITI YA ANSWAR
@@abakibibi9917 acha uongo
HUJIELWI ISIPOKUWA YAKO NIHAMASA LAKINI HUJIELEWI WEWE NAHUYO SHEIKHE WAKO KASIMU MAFUTA NYOTE NIVIPOFU UKWELI HAUONI NIKUJIROPOKEA ETI NIMSEMA KWELI NIMPUUZI TU
pia ewe sheikh Abuu Eid,kadiri unavo zidi kujitutumua ndivo tunaona uwezo wako ktk Elimu ni mdogo taji ulilo nalo umeveshwa kwa maslahi ya dunia yako tuu..hata sisi wanafunzi pia hauta tupata kwa sababu masufi hamna Elimu zaidi mwajuwa elimu za uganga tu,afu kupingwa ktk kuizungumza haqi ni jambo ambalo halija anza leo.mtume swala na salaam zimfikie yeye pia alipingwa na familia yake hadi baba ake mdogo alimpinga.na huyu mtume sala na salam zimfikie yeye ndie wakale wetu.Hatuishi na dini za kuwarithi masheikh zetu wala wazazi wetu mradi watakuwa ktk upotevu,Nabii iburahiim ali pambana na baba ake asiyaabudie masanamu { ۞ وَإِذۡ قَالَ إِبۡرَ ٰهِیمُ لِأَبِیهِ ءَازَرَ أَتَتَّخِذُ أَصۡنَامًا ءَالِهَةً إِنِّیۤ أَرَىٰكَ وَقَوۡمَكَ فِی ضَلَـٰلࣲ مُّبِینࣲ }
[Surah Al-Anʿām: 74] Na Nabii iburahimu Allah amemchaguwa { وَمَن یَرۡغَبُ عَن مِّلَّةِ إِبۡرَ ٰهِـۧمَ إِلَّا مَن سَفِهَ نَفۡسَهُۥۚ وَلَقَدِ ٱصۡطَفَیۡنَـٰهُ فِی ٱلدُّنۡیَاۖ وَإِنَّهُۥ فِی ٱلۡـَٔاخِرَةِ لَمِنَ ٱلصَّـٰلِحِینَ }
[Surah Al-Baqarah: 130] na alimkana baba ake kwa kuyaabudia masanamu sasa seuse sheikh muhammad ibnu Abdilwahaab Lazima apinge shirki maana ndio sunnah ya mitume na manabii
Usitizame ibada zake fuatilia kisomo anachakupa
Je baba ake alikua muislam ??
Sasa non muslim unamfananisha na muislam.
KAGALI DO YOU EVEN LISTEN TO YOURSELF??
Alhamdullilah kwa neema ya uislam na sunnah...hawa maghurafiy Allah kawanyima utambuz....sasa anasoma kiarabu kama ki afrika magharib uko naijeriya....uyu mwambieni kwanza ajibu maswali ya radi za arafa kabla hajakimbia tena
Shekh Abu Idd jibu maswali 10 uliyoulizwa acha kurukia masaail mengine kabla Yako yamekuganda
Mawahab Always hawana Adabu
Ukiangalia kama alama yamwanzo ya kwamba eti ni mutashaddiduuna
1:Je yeye sio mutashadidu na kama sivyo kwann yeye ana himiza watu kushikamana na maulid na mambo mengine aliyo yataja, huko ndo kuwa mutashafidu shekh pia tunaweza sema haja fanya uziroli wa kufikiri asante mwenye hoja ajibu tuwekane wazi
wahabi miradi wacha kutusumbua bhana kama una kitabu na wewe kilete
Wewe mjinga sana unakuwa kama mwanaume anae waashwa nyuma vitabu vinasomwa unasema hoja kwhy kama hayo hujaelewa wewe si utatusha tu
Tena we ni maenge sana unatolewa vitab kabsa tena unadai hoja una akili wewe unaskia hzo bid ghaa zenu apo
@@abubakarymaulidy5681 shekh hiyo twamjua sie kama wewe humjui hivyo nakwambia kaa chini usome DINI itamjia huyo Kwan BINAFSI nilikua huko miaka MINGI SANA na ninamfahamu sana huyo hayo ni maneno yake TU hivyo ajibu koment alafu tubainish japo kidogo isiwe na jazba na usiwe mutashafidu kama alivyo sema huyo shekh tafuta ubainifu huku na huku huenda Allah akakuonyesha wapi ipo haki nakwambia kwa ajili ya Allah tu
@@abubakarymaulidy5681 ndugu mbona unatukana matus hujui kama kumtukana muislaam mwenzako ni ufaasiki yaan uovu mkubwa sana
Kama Jambo la hoja katika Kila Jambo basi hata wakristo, wayahudi, na hata sheytwan ana hoja juu ya Jambo lake.
Ndio maana hata Mafuta pia Anazo hoja juu ya ujahili wake
Hoja zote ushajibiwa na ukaulizwa maswali ukakimbia.
Mashall ah @mwaka huuuu mujipange😂mawahabi pesa zitawagomea
USIWATISHE WAACHE TU MANA HUKO HOME HATA HAKUJAANZA WATAKOMA HAWA
Maaskini wewe ndio hujielewi HUKUMBUKI HUYU BABA IDD MWAKA JUZI ALIKIMBIA !!?? AU ULIKUWA BADO HUJANUNULIWA SMART PHONE !!
@@ayububakari9942
Itakua bdoo alikua kwao akiosha osha vyombo alikua hajapata smartphone 😂😂😂😂
Kanunua simu kaacha kuosha vyombo kwao atusumbua mtandaoni
Good Shekh wangu
Tatizo lako nimoja tu mzee shekh Muhammad Idd, tatizo ww una mbiyo nyingi huwa unatoka nduki hata nyuma hugeuki. Vipi marahii uko vizuri usije kutoka nduki utatuangusha mzee 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaahh nmechekaa saaan
@@tellackyabdul9312 ndoivyo huyo mzee yuko vizuri kwa nduki anachokonowa mambo halafu anayayuka yayuuu yaani anapoteya mzima
Mbona sipati sehemu ya 3 na ya 4
Mfunzeni shehe wenu
Utamkaji mzur wa salamu.
Kwali hamna adabu
@@tanzaniaonmzamiloon8627 Kama adabu ni kukosea utamshi sahihi wa salamu, SAWA
Lakin narejea tena kusema mfunzeni shehe wenu katika utamkaji mzur wa salamu
@@fatibra7768 tufundishe wew ndo ghalim ss hatujaona kama katamka vibaya
نور على الدرب التعريف بالوهابية
التعريف بالوهابية
السؤال:
رسالة وصلت إلى البرنامج من الجمهورية العراقية، باعثها مستمع من هناك يقول خالد عبدالله حسن، الأخ خالد له جمع من الأسئلة من بينها سؤال يقول: سمعت بالوهابية، فمن هم؟
play
-04:10
max volume
الجواب:
الوهابية هم أتباع الشيخ الإمام: محمد بن عبدالوهاب بن سليمان بن علي التميمي الحنبلي المتوفى سنة ست ومائتين وألف من الهجرة، كانت وفاته -رحمه الله- سنة ست ومائتين وألف من الهجرة في الدرعية، وقبره معروف هناك، وقد قام بالدعوة إلى الله في النصف الثاني من القرن الثاني عشر، في نجد الدرعية، وما حولها، دعا إلى توحيد الله، وأنكر على الناس التعلق بالقبور والأموات والأصنام، وتصديق الكهان والمنجمين، وعبادة الأشجار والأحجار على طريقة السلف الصالح، على الطريقة التي بعث الله بها نبيه محمد -عليه الصلاة والسلام- وعلى الطريقة التي درج عليها أصحابه، فدعا إلى الله، ودعا معه العلماء الذين وفقهم الله لمعرفة الحق، من أقاربه وأولاده وغيرهم، وأظهر الله به الدين وأزال به الشر من نجد وما حولها، ثم انتشرت دعوته في اليمن والشام والعراق ومصر والهند وغير ذلك.
وعرف المحققون صحة دعوته واستقامتها، وأنه على الهدى والطريق القويم، وأنه في الحقيقة مجدد لما اندرس من معالم الإسلام، وليس مبتدعًا، وليس له دين جديد، ولا مذهب جديد، إنما دعا إلى توحيد الله، واتباع شريعته، والسير على منهج السلف الصالح من الصحابة، ومن سلك سبيلهم، هذا هو مذهب الوهابية، ساروا على منهج الرسول ﷺ وأتباعه من الصحابة، ومن بعدهم من أهل العلم والإيمان.
ولكن لهم خصوم، فكذب عليهم الكذابون حتى يستبيحوا دماءهم، كذبوا عليهم وقالوا: إنهم مذهب خامس، وأنهم يسبون الرسول ﷺ ويسبون الصحابة، وكلها كذب، كله باطل، بل هم من أحب الناس للرسول ﷺ وهم على طريق الصحابة، والرسول أحب إليهم من أنفسهم وأولادهم وأموالهم، وهم يدعون إلى ما دعا إليه الرسول ﷺ يدعون إلى توحيد الله، واتباع شريعته، وتعظيم أمره ونهيه، والسير على منهج الرسول ﷺ وكتبهم طافحة بذلك، كتب الشيخ محمد، وأتباعه واضحة في ذلك، من قرأها؛ عرف ذلك، كتاب التوحيد، فتح المجيد، كشف الشبهات، ثلاثة الأصول، كذلك تيسير العزيز الحميد لحفيده سليمان بن عبدالله ، وكذلك الدرر السنية في فتاوى أهل نجد واضحة في ذلك.
وهكذا كتبهم الأخرى ورسائلهم الأخرى كلها تبين ما هم عليه من الهدى والحق، وكلها تبين كذب أعدائهم، وخصومهم من الصوفية، وغير الصوفية، ومن عباد القبور الذين كذبوا عليهم؛ لأنهم أنكروا عليهم عبادة القبور، فكذبوا عليه، فخصومهم هم عباد القبور، أو جهلة ما عرفوا الحقيقة، وصدقوا عباد القبور.
أما أهل العلم والإيمان في مصر والشام والعراق وغير ذلك فقد عرفوا صحة ما هم عليه، وشهدوا لهم بالحق، كالشيخ محمد رشيد رضا، وغيرهم ممن عرف دعوتهم -رحمة الله عليهم- وشهد لهم بالحق من علماء الإسلام في مصر والشام والعراق وغير ذلك
Lkn alilosema shekh wetu limekugusa
MWAMBIENI SHEKHE WENU AJIFUNZE KUSOMA IBARA ZA KIARABU
Onyesha sehemu ambapo amekosea lugha
Afu tukugonge nazo hizo HOJA
Kwanza hujajibu hoja za zaman
Lkn mbn ww wakitajwa maswahaba wasema ni uvunjifu waamani??
Lkn akitajwa shekh wako waja juuu .
Ukisema wanapewa pesa .
Twakuukiza mzee uliokimbi mjadala mbn mashekh wenzako wengine walisimama kuhusu mashia ukawatetea mashia!wasisemwe
Mbn huumii maswahaba wakisemwa vibaya??
AMESEMA SHEIKH QASSIM MAFUTA ALLAAH AMUHIFADHI AKIBAINISHA MADHEHEBU ANAO YAFUATA YEYE
عقيدتنا سنية سلفية
تركنا تحزبا بغيضا مذمما
ومذهب شافعي مناة دروسنا
عليه نأصل المسائل ربما
HIVI ABU EID UNAONGEA KIELIMU AU UNAKURUPUKA TU????!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi wewe unatumia matope au ubongo Shekhe yupo wazi kabisa usichokielewa ni kitu gani
Wanafunzi wa kiwahabi hawaulixi maswali yanayowahusu masheikh wao 😂😂😂😂😂😂. Wao ni kupewa na kumeza tu.
Ukiwa na swali uliza tu kama unalo, maswali yetu tunauliza kwenye vikao vyetu vya kusoma amabvyo sio mihadhara. kwahio kama una maswali karibu kwenye madarisi zetu hata online.
Aa masufi ni vifaranga vya mashia ndo maana wakitukanwa MASAHABA Hawawatetei ...
hapo sasa , woga ni mwingi sana. Maswahaba kuwakingia kifua ni bora mara elfu kuliko hawa masheikh na walimu wetu
Yale maswali sasa mbna hujajibu shee kidevu andazi,afu masufi mna adabu nyinyii,sindo mana aliyekua sheikh wa mkoa alikwambia umerudia bangi😂,na ile nyimbo hatumtaakii baajuuriii ilikua adabu kweli kwelii😂
Masufi matatizo hawaaa😂
Mimi namuuliza swali moja tu
Wewe shekhe walipotukanwa maswahaba hatukukuona kusema chochote au kwa sababu nyinyi na mashia ni kitu kimoja?
Atakuja huko ngoja aanze na hawa
Hivi mashekh wa twarika pia wanaunga mkono hizi hoja anazotoa huyu mwenzao!! Mbona kama jahazi limeingia maji na huyu bwana anaongeza maji ili lizame vizuri
Tatizo Hujielewi
Masha Allah
Si alikimbia huyu kumkimbia sheikh kassim mafuta
MASUFI NI MATUNDA WA MASHIA!!
NAWE PIA MUHAMMADD IYDI NI PUNDA WA MASHIA!!
KASSIM MAFUTA ANALINGANIA SUNNAH,YAANI MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
WAWE NA MASUFI WENZAKO MWALINGANIA KUACHANA NA MAFUNDISHO YA MTUME صلى الله عليه وسلم NA KUFUATA MAFUNDISHO SIIJUI ETI YA MASHEIKH ZETU!!
YUPI YAPO SWAHIHI?
mm namuomba kwanza ajibu hoja 10 alizopewa kuhusu arafa pili namuombe asikimbie akaibuka na lingine abaki na bada hihi
wazee wake walimuamrisha asiendelee
Kaja na nguvu kwamba eti mitandaoni elimu ya sunna imejaa, kwahio nae kaja ili mitandao ijae . kinachotakiwa ni majibu sio kuwa mtandaoni sheikh wetu abu idd
kwaiyo abuuidd kwako hirizi sio tatizo mbona wajiangusha na unajitapa umesoma
Alafu Sheikh Kassim Mafuta ALLAAH amuhifadhi akija kukujibu unakimbia kabisa na maswali kakuuliza mpaka Leo hujajibu...!!!
Duh. Hivi vichwa vigumu jamani!
@@athumanimahunda6541 ruclips.net/video/Cy1v0iHq194/видео.htmlsi=vU5n138ECEGC4Lxy
@@athumanimahunda6541yaani ndugu yangu Allah akuhifadhi ila fatilia pande zote mbili kisha weka ushabiki pepembeni Allah atakupa hidaya
Wahabi mdogo ww 😂
Jibu hoja Shekhe wacha kuleta huruma kwa Watu
Hujaongea sawa, wajua maana huruma. Au Bora uongee tu. Neno huruma kalifanyie utafiti.
Huyu jamaa hajamjibu Shekh Qasim kama anuani inavyojieleza bali kafungua mas'ala mengine ambayo tunamuonea huruma namna alivyoyaingia mambo
Alhamdulillah ww umekua waKwanza kum prove right Sheikh kua uelewa ni mdogo na lazima uwe hauna adabu...
Pamoja na yote Sheikh Muhammad Iddy hakuacha kumuita Qassim kua ni Sheikh yaan akitanguliza Sheikh kisha Qassim ila wewe umauita huyu jamaa, yaan mtu asiye na identity na maana yoyote!
Karibu tuendelee na darsa
Jamaa ni nani? Haya ndio aliyoyaeleza shekh kua mawahabi hawana adabu kwa masheikh.
PAMOJA NA KUTOFAUTIANA NAE KAMUITA SHEIKH LAKINI WEWE UNAMUITA JAMAA ?? ANACHOKISEMA KWELI HAWANA ADABU NA USIKUTE ALIYEITWA SHEIKH AKAJA KUMUITA ABUU IDD MPUMBAVU NA JAAAHIL SIJUI LINAVUTA BANGI TUSUBIRI TUTAONA
@@khalfanmasoud1514
Kwan nan Kasem lazima kumuita sheikh ndo adabu???
Acheni ubabaishaji nyie masufi wajinga wajinga hamjielewi mmefumbwa macho na masheikh zenu mnataka kuleta bal Bala hapaa....em kaeni kando
Naona anarudia yaleyale alioraddiwa na sheikh Kasim mafuta.
Ukiskiliza Majibu ya sheikh kassim bc utajua kma huyu hana jipya,
Ana upinzani tu usio na faida yyte..
NYIE MNAOLETA UMOJA MBONA MNAHANGAIKA SANA SASA HIVI?
Sheikh vp kuhusu humjadala mbona hauendelei au sheikh abuu idii umetuma SMS kuusitisha munakasha huu
Kitu ambacho nimegundua kiukweli sheikh muhammad eid Hana Elimu yakumjibu sheikh Kaasim allah amhifadhi,pia muhammad eid hawajui mujjasima ni akuna nani.Sheikh muhammad eid kasome kitabu kinaitwa القوعد المثلى في صفات الله واسماءه الحسنى cha فضيلة الشخ العلمة محمد بن صالح العثيمين
Shekh mbona maneno mengi clip mbili lakini bado huingii kwenye hoja zaidi ya kuleta lawama na kuleta maneno ya uongo na hayo maneno Unayo yatoa wanafunzi wenu wakiyashika basi wamekwisha kabisa😂😂😂😂
Muwahabi huyu
Mawahabi ili aone ni hoja lbda aseme shekhe wake lkn akizungumza mwingine ata aya wanazikataa nawanadai hoja washamba nyie mmekaa kama mashoga tu
mbona ulimi wako unamatusi sana ndg. vip mwalimu yupi anakufundisha hayo na sheikh abuu idd anasema mna-ADABU sana?@@abubakarymaulidy5681
@@abubakarymaulidy5681Tatizo lenu watu wa twariqa amsikilizi hoja za upande wapili
@@abubakarymaulidy5681
Sa hpo hoja n ipi??
Sisi waafrika tuzitafute dini zetu za asili tuachane na dini hizi mbili zilizoletwa na uislam -mwarabu na ukristo - mzungu
Tulikua na dini zetu kabla ya kutekwa na dini hizi.
Wewe ni mm' bantu lakini angalia unacho amini kimetoka uarabuni. Sad
Fata wewe sisi tupo kwenye dini sahihi hatutaki hzo dini za wazee
Unamfuata Mtume hata ndevu zimekushinda kuweka shekh
Unaonekana kabisa hujasoma na lau ungesoma usingeongea iko kitu
Hatutaki maneno tunataka ushahidi
Namba zake😂 atoe tumjibu
محمد بن عبد الوهاب مصلح مظلوم
MMMMMMMMM NANI AMESEMA HAYA?
@@Ahmadasshii-raazy8888
Kwan mwandsh humuon??
PLZ MAULAANA BABDEO TWAOMBA TUFIKISHIE MAOMBI YETU KWA SHEIKH ABUU IDD
wana nfananinsh na nani
YAANI WEWE SUFI ABUU IDD NA MASUFI HATA MKUSANYANE WOTE TANZANIA NZIMA HAMUWEZI KUIDHOOFISHA DAAWATU SALAFI KWA HOJA DHAIFU KAMA HIZO
Yaani hawa Kupitia vinywa vyao (masufiy/maghurafiy) kuitangaza Daawa ya Ahlul Sunna waljamaa.sasa anachokiongea ni kitu gani?Allah subhana wataaala kawanyima maghurafiy ufahamu
HIVI JAMAN HUYU ABUU IDD ANAVOSOMA HIZI IBARA MNAMUELEWA? SIKUSUDII KUKOSEAA ILA ILE NAMNA YAANI KAMA AONGEA KIPARE VILE AU KIDIGO HASOMI IBARA VZURI, NAPATA MASHAKA NA HATA UFAHAMU WAKE NA HIVO VITABU ALOBEBA,,😂😂😂😂 MAAANA MARA HII AKO NA VITABU VIIINGI ALAFU NOTHING IN THE.......😊 NSIJE AMBIWA SINA ADABU😅
ILA ABUU IDD MARA HII USIKIMBIEE, LAST TIME UliTOKA NDUKI NUSU UTUDOSHE, PLZ SAHIV UCKIMBIE SAWA SHEIKH LA KISUFI USOJUA KUSOMA IBARA ZA KIARABU.😅
Ongea hoja uliyokusudia MBONA unachanganya chiki na dhana mbaya Kwa mambo usiokuwa na dalili nayo
لا تدخل الملاءكة بيتا فيه كلب ولا صورة ( رواه البخاري ٣٣٢٢) (ومسلم ٢١٠٦)
Shekhe hiyo 7dithi vipi
Mmh mbna cjaona majibu ya kichwa cha habari ya mada kuu iliyowekwa mezani na mawahabi hapa ndio masheikh zetu wanapotuangusha
Huyu Sufi alishajibiwa haya amekimbia mpaka Leo hii sio ya Leo Ana Maswali kumi Hajajibu mpaka leo
Porojo utaleta nyiiingi lakini katu abadani zile hoja za kielimu huwezi kuzijibu mpaka kiama. Haya endelea kujizungusha😂😂😂
Kinachotushangaza kwa nyinyi Mawahabi,ni kule kuhama hama,kujibadilisha badilisha majina,mnatutia wasiwasi juu Uisilamu WENU,mwanzo mlijiita Maanswari suna,mkatofautiana wenyewe kwa wenyewe,kikazuka KIKUNDI Kingine cha Mawahabi,mara kikazuka KIKUNDI Kingine cha Salafi, kikazuka KIKUNDI Kingine cha Salafi Jadiidu,Hilo tu latosha kua nyinyi ni matapeli ktk Dini,au Wewe mjinga Hembu tueleze ktk hivyo vikundi vyoote ni kipi kilichoko sahihi?
Wewe ulifundishwa ubishi sio hekima wala busara, Nyie mwajua Matusi
@@abdullahmasakata170 Onyesha matusi hapo kwny maneno yangu ikiwa ww ni mkweli ktk madai yako!
Unaposema porojo maana yake nini? Hii ni dharau na kejeli kwa mashekh wasio na mlengo mmoja na ninyi, Mnapenda kuwazodoa wengine inapowageukia hio tabia mnaanza kulalamika tu
Porojo ni maneno ya upuuzi
yaan hata unavyosoma hcho kitabu’ lafudh lako baya sanaa
mtafute mtu akusomee ustadh’
pia mbona hoja za abul fadhwil zipo wazi sanaa
kwa nini usizjbu hzo hoja kwanza ?!
kisha ulete hzo mbwe mbwe nyngne’
Huu ndo muda wa masufi wanao taka haki hasa vijana kuingia ktk sunna kwa wingi kwasababu huyu bwana hawezi kuwasaidia zaidi ya kuwafanya wafuasi wake wamsikilize shekh Qassim na hapo ndo usufi unapo zama
Walai shekh Qasim mafuta katika mada zoote walizo elezeana shekh mafuta hakujibu hata moja.kwa maana mada zoote alizotowa huyu shekh Mohammad alimjibu mafuta Kwa vitabu vya mashekh wao kuwa arafa SI moja.mafuta hakujibu ata jibu Moja kiuadilifi.maulidi ndo kabsaaa hakujibu.
Ili muradi useme tu, watu wanaotaka haqq wameelewa... lkn ww maswali huwezi kuyajibu
Wewe mwenyewe mbona umemdhania Sheikh Kassim vibaya?....umejuaje kwamba anajiona yeye ni Sheikh mkubwa Nchi nzima? Kama sio Hasadi ni nini?
Wangine mnachangia hoja kama hamna akili kichwani sasa anatoka mbio vip kwani ujumbe haujawafikia c mkanunuwe vitabu msome akili zenu ndogo mnaochangia ugomvi mwenzenu hayupo hapo kwaajili ya ugomvi yupo hapo kwaajili ya kuelimisha
Makasiriko😂
Yani mtu anatetea hirizi halafu watuambia anaelimisha
Wewe Iddi ni mtu mpuuzi sana. Sheikh Kassim alikujibu kwa hoja na maswali akakuuliza ulijipoteza kwa miaka mitatu sasa umezuka na madai yale yale uliyojibiwa. Kuwa na hayaa basi usiwe kama mnyama na ujihurumie nafsi yako.
Ila maneno makali Akhy
Hebu kuwa na adabu wewe usiwe kama mshenzi ulokosa mafunzo kwa wazaz wako, ni adabu gani kumuita sheik hvyo? Unamwambiaje sheikh mpuuz!? Ndo sheikh mafuta awafundisha hvyo? Wewe ushawahi msikia sheikh qasim mafuta anamuita sheikh muhammad ni mpuuzi!? Koma kabisa ulokosa elimu ya adabu kwa wakubwa na masheikh
Mpuuzi ni yule anaepewa hoja na kuulizwa maswali kisha akajificha miaka mitatu na akizuka aleta story zilezile. Huyo ni mpuuzi na Ikiwa na wewe ashakufunza upuuzi usiniletee mimi.
Hicho kitabu cha Shekhe Nani mbona wataja tu nawala sii kila mwenye kuitwa manachuoni basi yupo katika Haki Haki ipo pale inapo kuja dalili
Hicho kitabu cha Shekhe Nani mbona wataja tu nawala sii kila mwenye kuitwa manachuoni basi yupo katika Haki Haki ipo pale inapo kuja dalili
Lete hoja ya vitabu vyenye kuonesha maneno yako mbona porojo tu.
Lete hoja za kiilimu wacha uwongo Shekhe
Mashia mkiambiwa ukweli mnakasirika Hahaha 😂
Fichueni musiwabakishe
Abuu idd twaomba ujibu maswali uliyoulizwa na sheikh Qassim mafuta hujajibu bado ulikaa kimya kwa takriban mwaka mmoja tukajua unajipanga kujibu kumbe hamna kitu twasubiri majibu yako kadri unavyo mkwepa sheikh Qasim inaonyesha dhahiri kwamba mupo katka baatwil
Ww hata mwanafunzi wa kisalafi huwezi kumpata. Una athari gani, umenyoa ndevu umeacha sharubu.
HIVYO VITABU WANDISHI NI AKINA NANI? MAKE CHA KWANZA AMEMTAJA MWANDISHI AMBAYE NI محمد جميل زينو
Kwahio na Mtume engemfuata baba kwakua ni baba yake
shekh naomba niambie madheebu ya abuu horera
wewe hata uelewi chochote kuna madhehebu SUBIRI SHEIKH ABULFADHLI QAASIM MAFUTA QAASIM, ATAWAWAWEKA SAWA KUNAKO MAS-ALA YA MADHEHEBU NA KUJINASIBISHA....!!
@ayububakari9942 kujina sibisha na na madhebu inaa faa sio haramu lakini pia sio wajibu wala sio suna ni halal kwa mtu asio kuwa na elimu mtu Ambae ajuwi njia za za hukumu mbali mbali za kisheria lakini pamoja na ivo ni haqi yake kudai da lili kwa mtu ana e mwongoza iwe ni katika ma dheebu au mufti wake
@@ayububakari9942 kwaio usinia mbie sijuwi chochote usizani kila mtu anae towa comment ni mjinga kweny kila kitu
Kijana soma kwanza uelewe acha kupaparika wakat bado upo alif kwa ujiti.. dhehebu ni misimamo ya hoja kielimu ambayo mtu huipata kwa mwalimu wake.. jibu wewe sasa ABUU HURAIRAH mwalimu wake ni nani??
Na dhehebu huwa na series au chain ukianza kwako kwa mwalimu wako kwa mwalimu wake na mwalimu wake Hadi unafika kwenye main source.. ukisema huna dhehebu yawezkana hata fiqh hujui, kwa hyo ibada yako ni mtihani saanaa, kama unakiasi kidogo cha elimu utakuwa umeelewa