Sheikh Mohammed iddi amjibu MPOTOSHAJI WA VETENARY (PART I)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 639

  • @sportsentertainmentvideo6633
    @sportsentertainmentvideo6633 5 лет назад +3

    Innalillah wa inna ilayhi rajiuun!! Yaa ALLAH Wape hidaya hawa wanao jiita Mashekh!!! Shekh unashindwa hata kujua misikiti yoooote ni ya ALLAH... Unamilikisha mtu!!! Kwa sabababu tuu! Anausimamia....!!!

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 4 года назад +5

    Kwa mtazamo wangu ABU IDDY vinavyokusumbuwa ni roho mbaya,choyo na husda vinakusumbuwa dhi ya mwenzako,hakuna lengne,ningetegemea ujibu au utoe hoja za kimsingi,m mungu akutoe kwenye ubaya wa mawazo hayo,na ole wao wanoijuwa dini ikisha wakaipotosha watakavyo wao

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 4 года назад +4

    Maskin shekh nurudini aallah akuhifa dhi nahusda amin

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 5 лет назад

    Jazaakallah kheyr Al allama Sheikh Muhammad Iddi endelea kuwaweka sawa, na maashaallah kila siku wanaendelea kukana kauli zao zilizopita, linalowasumbua ni kutaka umaarufu tu, na umaarufu unapatikana kwny fani nyingi waende huko si kwny dini, Dini inataka ilmu , uadilifu na ucha Mungu.

    • @yussufismail2822
      @yussufismail2822 5 лет назад

      Abuu Iddi Huyu kijana achana nae hoja zake zinakubalika.

  • @luqmanhamed9710
    @luqmanhamed9710 4 года назад +2

    DAH SHEIKH ELIMU HAINA MANUFAA KWAKO......UNAMWITA KISHKI MPOTASHAJI KUMBE UNA ROHOOO MBYA UNTAJA MAMBO ANAYOMILIKI.....RUDI KAMUOMBE MSAMAHAA.........na Umejuaje kma Sudeis hajiii pengine ni amechelewa tu.

  • @khalidalmosty8087
    @khalidalmosty8087 5 лет назад

    Sh Mohd idd umekosea sana kwa ulokifanya. Mas'ala hapa ni ikhtilaaf kuhusu siku ya Arafah ambalo lipo nchi kadha sio Tanzania tu. Busara ni mashekhe wetu kukaa na kuwafikiyana so kusosowana mitandaoni na kuwachanganya waumini na kuwapa faida maadui. Zaidi umeanza kwa huonyesha Husda juu ya mafanikio ya mwezio na Fitna kwa Mufti. Tuogope ghadhabu za ALLAH.

  • @mkude
    @mkude 5 лет назад +4

    Sheikh hili swala lina ikhtilaf ungeenda moja Kwa moja kwenye hoja,lakini namashaka unavyozungumza Mali Mali inaonekana kama unahusda vile, ALLAH AKUONGOZE WEWE NA SISI WOTE.

  • @habibuhabibuzahoromakamezahoro
    @habibuhabibuzahoromakamezahoro 3 года назад +3

    Tatizo ww ni sufiii na yule ni suniii ni tofauti sana Acha husda ww unajizalilisha shekh rurdin kishki yuko sawa kabisa

    • @nassorbinfundi1196
      @nassorbinfundi1196 3 года назад

      Sunni nani suhf nan, soma dini kwanza ndugu yangu.

    • @Mofaiz_11
      @Mofaiz_11 2 месяца назад

      wamaanisha wewe ni sunni yule ni wahabi

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 года назад

    Uko sawa sana shekh, sasa san nidhama za kizazi chaleo adabu hakina

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Год назад

    Nampenda nurudini kishiki Allah amhifadhi shekhe wetu mumuache

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 5 лет назад +5

    Usifunge mjadala sheikh ikitokea kujibu basi jibu ss tunosikiliza hoja za pande zote mbili tunapata faida sana

  • @salminisekiondo7951
    @salminisekiondo7951 5 лет назад +7

    mzee ingia kwenye mada kwaiyo we ulitakataje kwani wivu wako tu kama wataka kumlekebisha mfuate acha husda na maisha ya mtu wislam gani uwo

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 5 лет назад

      Umemuona mpaka anatetemeka kwa husda ulivyo mjaa eti naye shk

    • @abdulbastadam7985
      @abdulbastadam7985 4 года назад

      Hasidi hana sababu ile zeee hasidi yan kinachomuumiza ni mafanikio tu jitu mwenyew lina mtizamo wa kiyahudi ilo masharubu mama mlokole

    • @mohamedmzeeassuufiyy1334
      @mohamedmzeeassuufiyy1334 3 года назад

      Ngoja akosolewe public .. Yani aharibu public kisha akosolewe private .. We VP ?

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro2404 4 года назад +7

    Huu ni msiba
    Mashekhe mnadhalilishana mitandaoni,wallah hizi ni alama za kiama,
    Kwanini msikutane mahali pa heshima na mkafikia azimio la pamoja,kuliko kuushia kutukanwa mitandaoni na waumini,pamoja na kudharauliwa na wale waliokufuru?

  • @matumbistanmikau2895
    @matumbistanmikau2895 5 лет назад +1

    Kazi unayo sheikh. Haki siku zote uwa wazi na batili ujitenga.

  • @nassoraliy1882
    @nassoraliy1882 5 лет назад +2

    Assalaamu alaykum,,jamani lakini nimechunguza kua hata masheikh wana hasad

  • @nassoraliy1882
    @nassoraliy1882 5 лет назад +2

    Sheikh wewe ni kaka yangu kwa umri lakini nakushauri kwa ajili ya Allah uje zanzibar usome,,kuna watoto wadogo sana watakupa elimu,,naamini utaridhika

    • @rajabmussa6913
      @rajabmussa6913 5 лет назад

      ww ushasoma kwa hao watoto

    • @abdulbastadam7985
      @abdulbastadam7985 4 года назад

      Kbx

    • @presenterkabuma1646
      @presenterkabuma1646 3 года назад

      Acha upimbi boya wewe znzbr kuna masheikh? mi naon wamejaa mashoga tu huko.

    • @mussajangwa4878
      @mussajangwa4878 3 года назад

      Jaahil murakkab ww
      Hivi hujapata kujua mpaka hapo kwamba huyo ni sheikh??????
      Et njoo Zanzibar???? Kwa lip wabaguzi wakubwa nyie

  • @issamohd9955
    @issamohd9955 5 лет назад

    Shekhe mm naona ww ushapagawa nanjaa inakusumbua natena unapupa yahicho unacho ahidiwa kwahao wanao kutuma nimekukubali kwenye suala la funga yasiku ya arafa lkn kwahaya mengine sasa tunakuachia mwenyeo mpaka mashindano ya Qur-an yashawauma subhanallah hio ni husda ya waziwazi jirekebishe maisha mafupi akhera ndo yenye kubakia she kishki tunakupenda natutazidi kukupenda usivunjike moyo upo katika njia yahakki ww hivi nivibakwata tu vinanjaa wao niunafki na husda Allah atustiri nao waumbuke wao

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 4 года назад +4

    nyinyi masheikh wanafiki hamuwasemei mashekh wako magerezan mmebaki marumbano kazi yenu majungu tu

  • @kalelaonlinetv
    @kalelaonlinetv 5 лет назад +2

    Umemsifu saana sheikh kishki mashaa Allah kumbe kishiki jembe

    • @fetysukafetysuka8811
      @fetysukafetysuka8811 5 лет назад +1

      jembe naam shekhe wa kimataifa allah amulipe mema

    • @saidshamuhuna9237
      @saidshamuhuna9237 5 лет назад

      Sheikh Idd Abuu Idd nakukubali sana, Kishki ni muongo sana tena sana, anapenda kujisifia sana wakati elimu yake kidini ni yakawaida

    • @selemanadam8642
      @selemanadam8642 4 года назад

      @@saidshamuhuna9237 mawahabi yote hayana akili wala Hamna elimu ya ddiin toeni fatua sio akilizenu nendeni mkasome SHEKHE atoa dalili ninyi mnashindwa nn kutoa dalili,wore mko kwa ajili ya kupotosha watu hiyo ni aibu ya mawahabi looooo aibu hamna

    • @selemanadam8642
      @selemanadam8642 4 года назад

      Sio jembe Bali ni mpini town fatua mbona vitabu vipo shida iko wapi we hapo ulipo huna elimu et amsifu kishki

  • @khadijashabaniiddy4137
    @khadijashabaniiddy4137 5 лет назад

    Allah akuhifadhi yaa Abuu Iddy
    umaarufu wa kamera kama msanni tu, wapo masheikh wenye ikhlaas kama akina Uthmaan maalim hawanaga mbwembwe kama za huyu msanii, Sheikh Maalim na masheikh wengine ni maarufu kwa elim zao ila huyu yeye ni maarufu kwa ujanja ujanja wake tu. maana elim siamini kama anayo kiasi hicho, alikalishwa kimya na Sheikh wa Mombasa kwenye swala la Maulid, sasa kwasasa ameangukia mikono ya Sheikh muhtaram Abuu Iddy Muhammad Iddy.
    🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅

  • @zuhuramusa9296
    @zuhuramusa9296 5 лет назад +6

    Masharubuuu ha ha haaa eti mashindano yao shule yao daa tumejua kinachomsumbua shee wetu ,ALLAH ATUIFADHI MASHEHE NA MICHAMBO WAPI NA WAPI?

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani2516 5 лет назад +2

    Hapa abuu idd Ana makosa Sana kuingilia katika shakhsiyat za mtu ila kielimu yuko juu

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist70 4 года назад

    sheh iddi watakuchanganya mwisho wake umkosee mungu ww achananao wenye kuelewa wataelewa hayo madhehebu niyakigeni

  • @abdurazaqhamisi4576
    @abdurazaqhamisi4576 5 лет назад +3

    Hahahahaha ya sheh nakushukuru sana.Allah akupe afya nzema tena akulinde

    • @allyhamisi4709
      @allyhamisi4709 5 лет назад +2

      Washukur lipi la faid alilolisem

    • @fetysukafetysuka8811
      @fetysukafetysuka8811 5 лет назад

      mwenyezi mungu humhifadhi anaehifadhi aibu za watu huyo shekhe ni nimaaruufu mwenye wivu ajinyonge allah akusamehe kweli umevuka mipaka kumuumbua shekhe kishki usifumbe sema bayana

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 5 лет назад +1

      Ila anawaambia ukweli,,, dunia aijawai kufunga siku moja, tangu enzi ya mtume,,, waahaabi ni ovyo???,,. Tufuate mwezi..

    • @khaulatmohammed3765
      @khaulatmohammed3765 3 года назад

      @@allyhamisi4709 bora umuulize 2

    • @khaulatmohammed3765
      @khaulatmohammed3765 3 года назад

      @@kondesaidi2040 sasa ndo amwite mwenzie mpotoshaji huyo bonge nyanya hapo?

  • @hutisaleh2320
    @hutisaleh2320 4 года назад

    Ahsante sana kiboko wa wapotoshaj wabishi wasojua ilimu

  • @matambwekhaalidun1473
    @matambwekhaalidun1473 3 года назад +1

    nyinyi nno coment wengi mna sema ana husda lakini wewe una mfatilia kweli shekhe kishiki

  • @ommarymgeni1536
    @ommarymgeni1536 5 лет назад +7

    asalam alykm ndungu zangu mashekh zangu kwastayle hii hatutofkaa ivi wasokuwa waislam wanaatuonajee napia nyinyi n mashekh n heshim zenu kaeni chini mjadili mamboo ya kidin inshaallaaah

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 5 лет назад +1

    ماشاء الله تبارك الله يا شيخنا الفاضل محمد عيد حفظك الله ورعاك

    • @rajabuharuna6390
      @rajabuharuna6390 5 лет назад

      Mwombe allah amuongoze huyu hasidi wewe

    • @jumamichuzi4321
      @jumamichuzi4321 5 лет назад

      Mbona wengine natukana matusi ivi kweli niwaisilam

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 3 года назад

    Sheikh Muhammad iddy mtu mwingine kukuelewa ni ngumu sana
    Lkn kwa hakika unayo yasema ni sahihi sana
    Unajua binadamu wengi tumezigawa dhambi kwa rangi zetu, Nurdin kishk hana ilmu ya kutosha na sisahh ktk mengi anayo yawasilisha yanataka ufafanuzi wa kiilmu
    Weng wanachoangalia ni rangi na UKABILA
    Sheikh Mohammed Usiogope kumradd mtu yyte anayo thubutu kuzungumza jambo la dini kwa matamaniyo yake!!!!

  • @ridhiwaniamour1469
    @ridhiwaniamour1469 5 лет назад +1

    Kwahyoo jamaa anawapinga hao maimamu wa3? Subhana Allah, Allah atuhifadhi

  • @abdalahmtula3639
    @abdalahmtula3639 4 года назад

    Shekh abuu idd we jembe mawahabi wao wenyewe hawana adabu ktk kauli zao kwa wengine hili linabainika kupitia comments zao humu wamekutukana mno badala ya kujibu na kutafakar hoja zako nzito nzito! Hoja zako shekh zimewadidimiza wameshindwa kujibu wanabak kutapatapa tu! Hovyooo!

  • @kazuamkangara7619
    @kazuamkangara7619 5 лет назад +8

    Mi naomba mashekhe waandae mdahalo wa mojakwamoja watu wabishane kwa hoja ili tujue wapi Kuna hoja zilizotimia

  • @nurumohamedi9972
    @nurumohamedi9972 4 года назад +4

    Michango niloiona miingi ni ya mashabiki hakuna wajuzi ktk elimu ya arafa na mwezi utadhani siasa wachangiaji walivyo hata adabu wengine hawana.

  • @ahsamislamictv342
    @ahsamislamictv342 3 года назад

    Wew shekh wew unaunafiki na husda

  • @azizamkindi1784
    @azizamkindi1784 5 лет назад +1

    Asalym alykum dalili ya sku za mwisho usiweke mjala kwenye mtandao pia unafiki unazungumzia kwenye mitandao ungemfata sio vizur huo ni unafiki AllAH hapend madhila husda ungemfes usifaidishe watu ni unafki AllAH hapend shehe iddy pia sio vizur pia kosa likowap kwake wote waislam

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      Hakuna kufatana unaweza ukakatwa mapanga nikujibishana kwambali mbali tu

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 3 года назад

    Nawashangaa kwanini nyinyi MASHEKH ambao tunawaamini mnapiga vita na vijembe kweli dunia imeisha nawaomben msituchanganye nyinyi wasomi wakileo acheni tabia mbaya hiyo mungu haridhiki na mfumo huo

  • @abdulazizmohamed3715
    @abdulazizmohamed3715 5 лет назад +2

    Sina elimu ya usheikh lakini tujikite na kuijenga uislam sio kubomoa Hakuna mkamilifu Allahu aalam.

  • @rajabungowo3306
    @rajabungowo3306 3 года назад

    NINACHOKIONA HAPA SI KINGINE BALI NI JUHUDI ZA WAZI ZA KWAKO SH.MOHAMMED IDD ZA KUUGAWANYA UMMA..SIJUI KAMA UNALITAMBUA HILO..NASIKITIKA SANA HEKMA YAKO IMEKUA NDOGO SANA..TENA UMEJIONA BORA SANA NA MWENYE AKILI ZAIDI KULIKO SH.KISHKI NA MASHEKHE WENGINE..PIA UMEDHIHIRISHA CHUKI YA WAZI KWA SH.KISHKI KWA JAMBO LA KHILAFU....NATAMANI UJUMBE HUU UUPATE WEWE MWENYEWE...UNAONEKANA KUTAFUTA MASHABIKI ....KILA SHEIKH ANA UDHAIFU WAKE LAKINI WEWE UNAJIONA MBORA SANA NA MWENYE AKILI KUWAZIDI WENGINEE....

  • @salehabadsalehpur796
    @salehabadsalehpur796 4 года назад +4

    Simkubali Sheikh Mohamed Iddi katika mambo mengi ila katika hili kuhusu kauli za viongozi wa dini wa Saudi Arabia yupo sawa, Masalafi na Maanswar Sunna lazima mkubali tatizo lipo kwa Viongozi wa dini wa Saudi Arabia kwanini hili hamtaki kukubali?Bakwata siwakubali ila katika hili wapo sawa kwasababu wana nukuu kauli za Viongozi wa dini wa Saudi Arabia ambao wanataka watu wafuate viongozi wao wa dini katika nchi zao, hawaoni umuhimu wa Umoja katika Waislamu. Ila swali langu kwa Sheikh Mohamed Iddi na Bakwata hizo nchi zaidi ya 100 zinazofuata Saudi Arabia hawasomi hivyo Vitabu unavyonukuu? Kwanini bado wanafuata muandamo wa Saudi Arabia? Tena wengine wamepishana nao masaa wakati sisi na Saudi Arabia wakati mmoja bali hata wakati wa kuzamaa kwa jua. Kwa kifupi:
    1, Kwanza tukubali tatizo lipo Saudi Arabia na Viongozi wa dini Saudi Arabia kwa sababu hawataki na hawaoni umuhimu wa Waislamu kuwa na Eid mmoja.
    2, Bakwata nao Wanatumia mapungufu ya viongozi wa dini ya Saudi Arabia kwa sababu zao binafsi na hasa Umimi wa Uswahili kuliko Umoja wa Kiislamu.

  • @duniaileile5522
    @duniaileile5522 5 лет назад +4

    Asante sheikh wapeeee wajieleweeee
    Hawa watiaji comments ni mawahabiiiji ama ummmmah mzima ushapata faida na maneno yako kupitia kwenye hoja sahihi zinazotegemewa
    Hata mashekh zao wanawakanusha
    Ni maajabu haya, lkn ndio kawaida ya miwahabi 😂😂😂😂kwao ni ubishi tuuuu

    • @shabanoman8955
      @shabanoman8955 4 года назад

      Wewe ujue nini maana ya wahabi? Wacha ushabiki

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 4 года назад

    Sheikh mimi nimeskiliza hoja za pande zote mbili na nimejikinaisha kuwa Arafa inafungwa kwa mujibu wa mwandamo wa mwezi wa sehemu uliyo. Hoja za msingi niliziskia kwa Alhabib Mbarak Awesi na zikaingia akilini mwangu. But ukweli umekosea sana tena sana kwa hili ulilofanya. Huwezi kumwita Sheikh mkubwa kama Nurdin Kishki eti mpotoshaji. Allah akusamehe na ikibidi kamuombe radhi.

  • @jumaakhalfan485
    @jumaakhalfan485 5 лет назад +2

    Asantee Abuuu Idd naamini Shekh mohmad Ayub amefanya kz

  • @hamadshein8272
    @hamadshein8272 5 лет назад +3

    Masheikhe wengi hawana elimu ya kuraan.wanaelimu ya madhehebu.na ndo maana mnaleta vurugu mechi za maneno.achen kucma madhehebu.

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 10 месяцев назад

    Ah wee sheh Mungu anakuona allah atuongoze

  • @mahmudumuhammed8174
    @mahmudumuhammed8174 5 лет назад +1

    Unataka kurekebisha ikhtilaf kwa kumkashfu mwenzie akielezea tocauti ya Arafa.mche allah shekh

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +6

    Huna kazi ya kufanya mpaka uanze kuongea masheikh wakubwa mitandaon

    • @husseinmtima6106
      @husseinmtima6106 4 года назад

      mtu anatoa elimu ww unasema hana kazi

    • @abdulbastadam7985
      @abdulbastadam7985 4 года назад

      @@husseinmtima6106 elimu gani anayoitoa mjinga tuu uyo yan ata haoni aibu kukaa mitandaon akataka mtu fulan aonekanwe mbaya

  • @mbwanarajabhussein7141
    @mbwanarajabhussein7141 5 лет назад

    SHEIKH..HAYA USINGEWEZA KUMFUATA MKAELEWESHANA MPK UMWITE MPOTOSHAJI? YAAN MNAACHA MAARISHO YA DINI NA MNAWEKA UTENGANO NA UADUI, HASA KWA MANENO UNAYOYATUMIA...JE NA YEYE AKAKWITA NENO USILO LIPENDA? MNATUFUNDISHA TUSIWAITE WATU MAJINA YA KUWAUDHI JE WEWE UNAFANYAJE?

  • @calvinceodhimbo6628
    @calvinceodhimbo6628 4 года назад

    babdeo kama unatafuta views sio kwa kutumia ikhtilaf baina ya masheikh....subhanaAllah

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  4 года назад

      We una wazimu? Kwani hao nimewafata au wameniita kuwa na adabu views zinanisaidia nn mm

    • @neemajaylani9068
      @neemajaylani9068 3 года назад

      @@BABDEOMILADU hahaha

  • @jumashukan1173
    @jumashukan1173 4 года назад +1

    Shida yenu Nini mbona mwaazirika , wacheni ujinga uwo, ndiyo maana mm nampenda Sana shehk Athuman maalim ,Ana tym yakujibishana na mtu yy utupa dhahawa ,

  • @abdullathabithemed9377
    @abdullathabithemed9377 5 лет назад +1

    Nakukubali sheikh
    Mueleweshe
    Maneno yako yanaingilika akilini
    Ieleze dunia ukweli
    Uongo utakimbia tu
    Hawawezi kukujibu chochote sababu hawana marejeo hao

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 4 года назад

    unasema waislamu wafuate idd inayotambuliwa na serikali/mufti, inakuaje waislamu wafuate maagizo ya serikali ya kikafiri katika masuala ya kidini?

  • @khadjahakamali-njufsk-7827
    @khadjahakamali-njufsk-7827 5 лет назад +2

    SubhanaAllah hiyo ni fitna, chuki, wivu, na haifai katika dini yetu tukufu, kama umeona vitu vyote hivyo, ni bara ungezungumza naje badala ya kuzungumzia kwa social media, muogope Allah.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 года назад

      ukhty khadija huu ni mtihani sana kwetu

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_ 5 лет назад +6

    Wajibu wooote hao lkn huwezi kumjibu Sheikh kasim mafuta wala Abu Hashim, Ushauri wangu ni kua nyoa sharubu na uanze kufuga ndevu.

    • @hamadamaani2516
      @hamadamaani2516 5 лет назад +2

      Kama wenye elimu wamejibiwa itakuwa wajinga hao kassim mafuta

    • @TheIslam1681_
      @TheIslam1681_ 5 лет назад

      Mjinga nani?

    • @hamadamaani2516
      @hamadamaani2516 5 лет назад

      @@TheIslam1681_ kassim mafuta sio mjinga kwa mana Hana akili LA mjinga kwa maana Hana elimu

    • @TheIslam1681_
      @TheIslam1681_ 5 лет назад

      Ndio mafundisho yenu hayo mashia na masufi kutukana wanazuoni.
      Allah akuineshe haki.

    • @hamadamaani2516
      @hamadamaani2516 5 лет назад +1

      @@TheIslam1681_ wallah Si kweli kassim mafuta ni mwana Wa chuoni Wapi? Kwa insaaf tuende pole pole nimetanaazal

  • @musapazi7806
    @musapazi7806 5 лет назад +8

    Subhaana allah unaweza ukasoma na usielimike,ashraadwu ssaa

  • @athumanmohammad5052
    @athumanmohammad5052 5 лет назад +5

    Kwa kuwa baadhi ya watu wanaogopa kufuata gharafa ikiwa suudia baci zigawanywe moja iwe suudia na nyingine iwe Vatican ili wale wanao ichukia suudia waende Vatican na mizozo ita isha kwa mfumo huu

  • @wardaabasi6558
    @wardaabasi6558 4 года назад

    Huyu sheikh sijui ana matatizo gani na kishk? Maana analolifanya basi tayari anaanza kumpaka matope mwenziwe. Hii ni hasad na ndio mbaya. Lakini sishangai sana kwa sababu hizi ndio zama za mwisho na tuloambiwa kutakuwa na hasad kwa wingi, hasa kwa wanazuoni wenye elmu kuoneana hasad baina yao wenyewe. Allah amgeuzie huyu sheikh na amsamehe kwa anayoyatenda maana hamna mkamilifu na wala aliyekuwa kakabidhiwa funguo za peponi.

  • @maotv8884
    @maotv8884 5 лет назад

    Allah atuhifadhi

  • @abuuhudhayfah5108
    @abuuhudhayfah5108 5 лет назад

    Subhaanallah, mche Allah dunia yawezekana kufunga siku moja siyo lisaa limoja,
    Elewa tofauti ya siku na saa,

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 3 года назад

    Mashehe munazalilishana mbonana hamuwazalilishi vionozi waserekali mbona watumumewaona wanavyo uliwa lakini mumekakimya siyo vizuri waisilamu muna shushuwana makafiri munawapanguvu

  • @abdulshakuurmwenda7519
    @abdulshakuurmwenda7519 3 года назад +1

    *💢انظرْ إلى الحق والنصوص ولا تنظرْ إلى الباطل والشخوص (1)💢*
    *💢ANGALIA KWENYE HAQQI NA DALILI NA USIANGALIE KWENYE BAATWIL NA WATU (1)💢*
    *قال الإمام ابن باز - رحمه الله تعالى - :*
    *🔶Amesema Imaamu Ibnu Baaz ALLAH Aliyejuu Amrehemu:*
    *《 عليك أن تأخذ بالحق وأن تتبع الحق إذا ظهر دليله ولو خالف فلاناً ، وعليك أن لا تتعصب وتقلد تقليداً أعمى 》.*
    *🔷Jilazimishe Kuchukua Haqqi na Kufuata Haqqi Wakati Itakapo Dhihiri Dalili Yake na Hata Akienda Kinyume (Na Haqqi) Fulani ,Na Jilazimishe Usiwe Na Taaswswubu (Kuwa Upande Wa Mtu Na Kumnusuru Mtu Na Kuwa Pamoja Na Mtu Hata Akiwa Ktk Makosa) na Unafuata Ufuataji Wa Kipofu (Kumfuata Mtu Ktk Jambo Fulani Moja Kwa Moja Bila Kujua Usahihi Wake,Pasina Kupunguza Wala Kuzidisha ktk Hilo Jambo).*
    *📓📔 مجموع الفتاوى ( 343/1 )*
    *📓📔Maj'mouul-Fataawaa (343/1).*
    *🔺NYONGEZA KUTOKA KWA ALIYETAFSIRI:*
    *🔸Hakika Kweli Kabisa Ulamaa Ni Warithi Wa Mitume Juu YAO Rahmah na Amani.*
    *🔹Wanafanya Kazi Waliyokuwa Wakifanya Mitume Ya Kuwaelekeza Watu Ktk Haqqi Na Mambo Ya Kheri Anayoyapenda ALLAH Na Kuyaridhia.*
    *🔸Sheikh Bin Baaz ALLAH Amrehemu, Anatoa Nasaha Muhimu Sana Kwa Waislamu Kuhusu Kufuata Haqqi Inapodhihiri Dalili na Haifai Muislamu Kuwa Pamoja na Mtu Na Kumshabikia Na Kumtetea Na Kumnusuru Hata Akiwa Ktk Baatwil na Kumfuata Mtu Kama Kipofu Hajui Anakoelekea Au Anakoelekezwa.*
    *👉🏾Jitahidi Uangalie na Ujue Haqqi Iliko Uifuate na Kuwa Na Watu Wa Haqqi Kwa Dalili na Usiangalie Wingi Wa Watu Ktk Baatwil.*
    *👉🏾Usimfuate Mtu Yeyote ktk Baatwil Hata Akiwa Ni Sheikh Wako na Jitahidi Kufuata Haqqi na Kufuata Qur'aan na Sunnah Kwa Ufahamu Wa Waja Wema Waliotangulia (Salaf Swaaleh).*
    *👉🏾Kuna Baadhi Ya Waislamu Wanawapenda Masheikh Zao,Mpaka Akiambiwa Sheikh Wako Amekosea Ktk Jambo Fulani, Anakasirika na Kuongea Maneno Mabaya Na Matusi Na Kuona Watu Wanamuhusudi Na Hawampendi Sheikh Wake Na Anadhani Watu Wanataka Sifa Na Ukubwa.*
    *🔹Tusiwe na Ushabiki Ktk Kufuata Dini Kama Ushabiki Wa Mpira Wa Miguu Au Siasa Za Urongo.Dini Yafuatwa Kwa Dalili.*
    *🔸Jitahidi Ewe MUISLAMU ,Upende Haqqi Zaidi Kuliko Kumpenda Mtu Yeyote Ktk Dini.*
    *👉🏾Ujinga Ktk Dini na Matamanio Mabaya ya nasfi Nimiongoni Mwa Sababu Kubwa Zinazopelekea MUISLAMU Kuipinga na Kuikataa Haqqi Inapodhihiri na Kufuata na Kuikubali Baatwil.*
    *🔴IKIWA KUNA MAKOSA,TAFADHALI USIBADILISHE CHOCHOTE NA KUWA MUELEWA NA MSIKIVU NA WASILIANA NA MUHUSIKA.*
    *👉🏾ALLAH NDIYE MKAMILIFU ZAIDI NA MJUZI ZAIDI.*
    *👀IMETAFSIRIWA NA:*
    *👉🏾ABUU ABDILBARRY ABDULSHAKUUR BIN JAMES BIN MWENDA ASSALAFIYY AL-HAMBALIYY (حفظه الله تعالى ورعاه وسدده).*
    *💢Mombasa,Kenya🇰🇪.*
    *🌹WhatsApp: +255713444054.*
    *🌹Call: +254724992753.*
    *📆27/Dhul-Hijjah (12)/1439 H.*
    *📆07/09/2018 M.*

  • @alimohd2686
    @alimohd2686 4 года назад +1

    Shekhe muogope Allah

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 года назад

    Mwanaharakati Huru

  • @rajabungatanda3749
    @rajabungatanda3749 5 лет назад +1

    Mashekhe munapotoka nyote
    Kuanzia wewe Abuu iddi
    "Kilemile " kishki" n.k
    Nawachukia kwakua munatia aibu uislamu wangu
    Kwanini mubishane mitandaoni
    Wakati kitabu chenu kimoja
    Dini yenu moja
    Tena ninauhakika kitabu cha mola wangu kimetimia
    Kama tulivyoambiwa ktk Qur'an
    ذالك لكتاب لاريب فيه)
    Maanayake> hiki ni kitabu kisicho shaka ndani yake "
    Alafu pia tumefundishwa
    اليوم اكملت لكم دينكم واتممت عليكم نعمتي ورضيت لكم لاسلام دينا
    Maanayake> Leo nimekamilisha dini yenu na nimetimiza neema yangu kwenu na nimeridhia uislam dini yenu"
    Sasa nyinyi mashekhe ndowenye upungufu Wa fikra
    Tafadhali acheni upuuzi Wa mitandaoni
    kaeni chini bila utashi wala ushabiki muelewane

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 года назад

    Allah awaifadh mashekh wwtu lkn nawaomba san msirumbane sana mashekh tuna wategemea san kwenye hii din lkn mutoe elim tu

  • @maotv8884
    @maotv8884 5 лет назад

    Sub'hanAllah

  • @kanyasicongo7918
    @kanyasicongo7918 5 лет назад +3

    Shekh usikosee kumuita mpotoshaji mutlaqa muite mpotoshaji kwa jambo la aarafa.

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 5 лет назад +6

    UKIONA SHEKHE MWENYE TUMBO KUBWA NI BAKWATA HAWANA HATA HOSPITAL WALA NYUMBA ZA MAYATMA WALA MASHULE WALIYOJENGA KUJUA FITNA tuu

  • @mariamuhadi8958
    @mariamuhadi8958 5 лет назад +2

    As.alaykum ndugu zangu waislaam mie naona tuckilize hoja kote na tucmtukane shk iddy wala kishq na wenzake maana cc tunajifunza kwao

  • @mohamedmnjeja70
    @mohamedmnjeja70 5 лет назад

    Shekh umejaa upepo,,, alelim hikma

  • @sheikhibrahimabdullahikeny1509
    @sheikhibrahimabdullahikeny1509 5 лет назад +2

    Assalam aleykum
    Ingetumika lugha nzuri, sio neno mpotoshaji - Kisha mas'ala haya ni ya ikhtilaf....
    Na kama shekhe ataka mjadala bora, aseme kisha amjadili sheikh Qasim mafuta wa pongwe - atoe video hasa

    • @omardamka9708
      @omardamka9708 5 лет назад

      Huyu mohamed Iddi hana jipya ni ujanja wa kusema tu elimu yake ni ndogo anachotaka ni kutafuta asikike aeleze kila mara anapokwenda hapo kituo cha elimu cha Iran anafuata nini

  • @jumaashabani9484
    @jumaashabani9484 5 лет назад +2

    Assalamualaikum respected Babdeo miladu, na wewe unachangia katika hili, hapana haja kupublish fitna hizi!, Unaenda kwa sheikh huyu unachukua clip Kisha unaenda kupingana na huyu, si sawa maalim wangu Babdeo watafute wote wakutane wenyewe ce tushapata elimu alhamdoulillah, Sasa nikuulize sheikh Babdeo haya ya taasisi yake, mashindano yake huoni km unaleta fitna katika mujtamaa???, Allaah akulipe kwa Kila kheri unayotupa.

    • @jumaashabani9484
      @jumaashabani9484 5 лет назад +1

      Nayeye sheikh wa vetenar akijibu kwakuanza yeye Hana ndevu, kwanini anafuga sharubu, tutajikuta tunaingia katika Vita maina yao kitu ambacho co sawa, na Allaah ndo mjuzi zaid

    • @zainabuabduly7905
      @zainabuabduly7905 3 года назад +1

      Yani mimi ndio sinaga mpango wa kusumbuka madhehebu yote kwangu sawa ili murad anaeabudiwa ni Allah nawote mtume wao Muhammad s.a w.kwishaa hayo mengine matajijuwa wenyewe km mnatupotosha au nini🏃🏃🏃

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani2516 5 лет назад +3

    Hapa kidogo mtihani umeanza kumpata abu idd kwa ushauri tu haya mambo achana nayo

  • @hajisalum5287
    @hajisalum5287 5 лет назад

    Innalilahi wainailayhi rajiuun badala yakuendelea kuelimisha watu unaingiza na mambo yasiokuwepo kunaugonjwa mmoja unaitwa husda shekhe jikague huenda unao huu unaitwa uchochezi dhahili umepotea shekhe msikiti wake mashindano yake shule yake tena unaingiza nafamilia

  • @fianawilliamk1529
    @fianawilliamk1529 4 года назад

    Mashekhee elim ni amana mtakuja kuulizwa kwa hiyo amana

  • @eastelldev
    @eastelldev 3 года назад

    Mashekhe hawa wana Hassad sana na wengi wao ni makhurafi

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama6099 5 лет назад +5

    Mmeshindwa kusimamisha Hukmullah mnapigana mapanga mitandaoni

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 4 года назад

    Asalam alykom. Kutaneni mruhusu quran na hadithi ziseme ili msishangaze umma wa kiislam. Ikiwa mtaishia katika mitandao naamini mtazidi kuugawanya umma wa kiislam. Hivi sasa tukutazameni kwa jicho gani? Kutaneni muda bado mnao, fanyeni kumlaani sheitwan. 😢😢😢😢

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 года назад

    Sheikh umemtaja hata mufti wa oman. Nikupe taarifa hata oman wapo wanaofuata wa kimataifa na wanaswali au wanafunga tofauti na kauli za mufti.
    Ila hawana jeuri ya kujibiana na mufti.
    Kwa kauli ya kishki aliyoongea ni sahihi na wala si kosa yeye kusali kabla au kufunga.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +1

    WASWAHILI WANAMANENO YAO WANASEMA, IKISHAJULIKANA SABABU, AJABU UONDOKA. KUMBE SABABU KUU NI HATUA WANAZOPIGA KWENYE MAENDELEO WENZAOO SASA TUMEJUWA WAISLAM. (NB) KILICHOFICHWA MOYONI, ULIMI UTAKIDHIHIRISHA.

  • @zakialustan722
    @zakialustan722 5 лет назад

    Subhanallah, kwahiyo mlita ka mali za Alhikima ziwe chini ya bakwata mbona taasisi inafanya vizuri zaidi ya mnavyoviendesha nyinyi.....mbona unajibu kishabiki sana, mbona unashambulia nduguzo badala ya kuegemea kwny maelezo ya mtazamo wako,mnatudhalilisha uislamu

    • @salumngoma8710
      @salumngoma8710 4 года назад

      Zakia Lustan nimependa sms yako uyo shekhe pumbavu

  • @allyabdallah4898
    @allyabdallah4898 4 года назад +2

    Ovyooo kabisa

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam8417 5 лет назад

    NNAVYOMJUA ABU IDDI,ANAPENDA DALILI KULIKO HOJA ,SWALI KWAKE,JE YY KAPATA WAPI AYA AU HADITHI ILOTOA RUHUSA YA YY KUMUITA MUISLAM MWENZAKE (MPOTOSHAJI) KWA KINYWA KIPANA MBELE YA UMMA AU DUNIANI KOTE NAKUMTUPIA MATUSI KAMA HAYO..??

  • @hemediramadhani8871
    @hemediramadhani8871 5 лет назад +5

    Shekh anang'ang'ania ulaji tu huyuu.... Hupewiii chochoteee.. Mzeee huna effect kwendaaa

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 5 лет назад +2

      Sawa ila tufuate QRN na muandamo wa mwezi,,, nasio SAUDIA,,,,, ujumbe uo.

  • @mysamkhalfan6912
    @mysamkhalfan6912 5 лет назад +2

    Choyo ni maradhi mabaya sana

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 лет назад

    Mtihan kwel huyu shekh

  • @nassoraliy1882
    @nassoraliy1882 5 лет назад +3

    Juzi masuali kama yako mwenzako kajibiwa kanyamaza kimya,,,kipenzi changu unasema haiwezekani dunia nzima kuona mwezi mmoja,,ivi ni mara ngapi tushafunga na kufungua pamoja?

    • @salmagulam6619
      @salmagulam6619 5 лет назад

      Na saa sisi pamoja na maka ni mda mmj sijui nani halimdangnya km dunian kuna sik 2

    • @user-fi2mz9gc4v
      @user-fi2mz9gc4v 3 года назад

      Sawa je, hizo mara ni ngapi? Au ni mara zote?
      Nakama si mara zote hizo mara nyingine huoni kama Kuna ikhtilafu?

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 5 лет назад +3

    nenda kasomee daw'aah bado hujawa kumbe. innallillah waiinnalillah rajiunn.

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 3 года назад

    ila mimi kama sijakwelewa sheikh wetu, ULIANZA KUTAMKA KUA UNAKOSOWA SHEIKH MWENAKO KUHUSU ARAFAT ila mbona unafika kati unaongelea tena kufunga FUNGA YA RAMADAN NA FUNGUA YAKE?

  • @ibrahimomar1073
    @ibrahimomar1073 4 года назад

    Nakunasihi Shk Abuu Iddi tambua Shk kishki yuwatoka kwenye kabila mtume swallahu Alaihi wasallam huenda ukajitafutia balaa.

  • @nasraiddy8164
    @nasraiddy8164 5 лет назад +2

    Hili halina dini kabisaa astaghafirullah Allah aisamehe yaani hana hoja ndani ya dini yake zaidi ya mipasho hata yaani ww kasom dini umeendekeza mipasho baba zimaa

    • @vuzist
      @vuzist 5 лет назад

      Ww waijua dini kuliko yy ama wapandia ngazi tu

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf 4 года назад +2

    Bwana huyo muislam mwenzio kama kakosea msamehe usitoe faults zake hadharani wewe ndio unajidhalilisha

  • @ramadhanhaji324
    @ramadhanhaji324 5 лет назад

    Kwani hao mashekh walotia saini wamezungumzia arafa au muandamo wa mwezi , hoja ni fungal ya arafa inavyoendana si matwalii ya mwezi sina elimu hata hivyo ila ww Shekh una lako jua hayaishii hapa tutaulizwa mbele ya Allah

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 5 лет назад +1

    Watu wangu watanyoa sharubu na kuhifadhi nuevo ili wawe tofauti na mayahudi na manasara. Wewe unafuga sharubu. Huoni kama kuhalifu amri ya Mtume SAW?

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 5 лет назад +2

    Assalaam Alaykum, anachofanya Sheikh ni tofauti na Kusengenya?
    Naomba kuelimishwa.

  • @humudseif2780
    @humudseif2780 4 года назад +1

    Kwa kuzingatia maana halisi ya upotoshaji na ww ni mpotoshaji no 2.

  • @abdulabdl7308
    @abdulabdl7308 4 года назад +2

    Huyu atakuwa ulamaa wa dola.

  • @salehalnahdi8613
    @salehalnahdi8613 4 года назад

    Sheikh Nurdin ana mapungufu yake kama binadamu yoyote, ila wewe humfikii unyayo wa maendeleo waliyofanya taasisi yake kwa muda mfupi na ndicho muhimu kwetu Waislamu, bali wewe ni Hasdi na Wivu tu ndio unaokufanya useme maneno yote haya. Sheikh wetu Mkuu najua una hekima na busara Nurdin ni kijana wako kama amekosea mwite msihi na umshauri lakini usawasikilize masheikh mashavu wenye kuangalia maslahi yao na sio ya maslahi ya Waislamu.

  • @hemedharouna4013
    @hemedharouna4013 5 лет назад +3

    maashallah !! cku zote abu id akieleza jambo hueleza kielimu

    • @ashaally7593
      @ashaally7593 5 лет назад

      Kweli kabisa

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад +1

      hemed harouna unamkubali sababu huna elimu

    • @hemedharouna4013
      @hemedharouna4013 5 лет назад

      @@nasibumaiko3425
      Sasa Ww hapo ulipo Una Elimu gani mbwa koko Ww

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад

      hemed harouna hata sura yako inaonyesha we mtumwa wa mganga

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад

      hemed harouna mvunja Nazi njia panda wewe kafiri mkubwa

  • @khamisalbimany3721
    @khamisalbimany3721 5 лет назад

    Hongera sheikh abuu...kwa kumjibu sheikh kishk...salam zimefika..lakini huu wa kwako ni upuuzi.. sana...uliojaa choyo na husdaa!! Hivi kuna tatizo kwa mtu kumiliki kitu..huo ni uchoyo..jifundishe japo kufuga ndefu..huna jipya..

  • @mohamediiddi761
    @mohamediiddi761 5 лет назад +2

    Sema kweli japokuwa chungu.

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 5 лет назад

      Hana kweli mpumbavu tu

    • @mohamediiddi761
      @mohamediiddi761 5 лет назад

      Yy anasoma vitabu. Itakuwa hao waloandika vitabu ndo wapumbavu... Changanua ushahidi wa vitabu na maneno matupu.. Kazi kwako. Ndo utajua kwann mazinge ni profesa.. Kinacho takiwa ni ushahidi uoneshe. Fata ushabiki utatumwa gas kwenye kiroba.