Innalillah wa inna ilayhi rajiuun!! Yaa ALLAH Wape hidaya hawa wanao jiita Mashekh!!! Shekh unashindwa hata kujua misikiti yoooote ni ya ALLAH... Unamilikisha mtu!!! Kwa sabababu tuu! Anausimamia....!!!
Kwa mtazamo wangu ABU IDDY vinavyokusumbuwa ni roho mbaya,choyo na husda vinakusumbuwa dhi ya mwenzako,hakuna lengne,ningetegemea ujibu au utoe hoja za kimsingi,m mungu akutoe kwenye ubaya wa mawazo hayo,na ole wao wanoijuwa dini ikisha wakaipotosha watakavyo wao
Jazaakallah kheyr Al allama Sheikh Muhammad Iddi endelea kuwaweka sawa, na maashaallah kila siku wanaendelea kukana kauli zao zilizopita, linalowasumbua ni kutaka umaarufu tu, na umaarufu unapatikana kwny fani nyingi waende huko si kwny dini, Dini inataka ilmu , uadilifu na ucha Mungu.
Sh Mohd idd umekosea sana kwa ulokifanya. Mas'ala hapa ni ikhtilaaf kuhusu siku ya Arafah ambalo lipo nchi kadha sio Tanzania tu. Busara ni mashekhe wetu kukaa na kuwafikiyana so kusosowana mitandaoni na kuwachanganya waumini na kuwapa faida maadui. Zaidi umeanza kwa huonyesha Husda juu ya mafanikio ya mwezio na Fitna kwa Mufti. Tuogope ghadhabu za ALLAH.
Sheikh hili swala lina ikhtilaf ungeenda moja Kwa moja kwenye hoja,lakini namashaka unavyozungumza Mali Mali inaonekana kama unahusda vile, ALLAH AKUONGOZE WEWE NA SISI WOTE.
Huu ni msiba Mashekhe mnadhalilishana mitandaoni,wallah hizi ni alama za kiama, Kwanini msikutane mahali pa heshima na mkafikia azimio la pamoja,kuliko kuushia kutukanwa mitandaoni na waumini,pamoja na kudharauliwa na wale waliokufuru?
Shekhe mm naona ww ushapagawa nanjaa inakusumbua natena unapupa yahicho unacho ahidiwa kwahao wanao kutuma nimekukubali kwenye suala la funga yasiku ya arafa lkn kwahaya mengine sasa tunakuachia mwenyeo mpaka mashindano ya Qur-an yashawauma subhanallah hio ni husda ya waziwazi jirekebishe maisha mafupi akhera ndo yenye kubakia she kishki tunakupenda natutazidi kukupenda usivunjike moyo upo katika njia yahakki ww hivi nivibakwata tu vinanjaa wao niunafki na husda Allah atustiri nao waumbuke wao
@@saidshamuhuna9237 mawahabi yote hayana akili wala Hamna elimu ya ddiin toeni fatua sio akilizenu nendeni mkasome SHEKHE atoa dalili ninyi mnashindwa nn kutoa dalili,wore mko kwa ajili ya kupotosha watu hiyo ni aibu ya mawahabi looooo aibu hamna
Allah akuhifadhi yaa Abuu Iddy umaarufu wa kamera kama msanni tu, wapo masheikh wenye ikhlaas kama akina Uthmaan maalim hawanaga mbwembwe kama za huyu msanii, Sheikh Maalim na masheikh wengine ni maarufu kwa elim zao ila huyu yeye ni maarufu kwa ujanja ujanja wake tu. maana elim siamini kama anayo kiasi hicho, alikalishwa kimya na Sheikh wa Mombasa kwenye swala la Maulid, sasa kwasasa ameangukia mikono ya Sheikh muhtaram Abuu Iddy Muhammad Iddy. 🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅
mwenyezi mungu humhifadhi anaehifadhi aibu za watu huyo shekhe ni nimaaruufu mwenye wivu ajinyonge allah akusamehe kweli umevuka mipaka kumuumbua shekhe kishki usifumbe sema bayana
Sheikh Muhammad iddy mtu mwingine kukuelewa ni ngumu sana Lkn kwa hakika unayo yasema ni sahihi sana Unajua binadamu wengi tumezigawa dhambi kwa rangi zetu, Nurdin kishk hana ilmu ya kutosha na sisahh ktk mengi anayo yawasilisha yanataka ufafanuzi wa kiilmu Weng wanachoangalia ni rangi na UKABILA Sheikh Mohammed Usiogope kumradd mtu yyte anayo thubutu kuzungumza jambo la dini kwa matamaniyo yake!!!!
Shekh abuu idd we jembe mawahabi wao wenyewe hawana adabu ktk kauli zao kwa wengine hili linabainika kupitia comments zao humu wamekutukana mno badala ya kujibu na kutafakar hoja zako nzito nzito! Hoja zako shekh zimewadidimiza wameshindwa kujibu wanabak kutapatapa tu! Hovyooo!
Asalym alykum dalili ya sku za mwisho usiweke mjala kwenye mtandao pia unafiki unazungumzia kwenye mitandao ungemfata sio vizur huo ni unafiki AllAH hapend madhila husda ungemfes usifaidishe watu ni unafki AllAH hapend shehe iddy pia sio vizur pia kosa likowap kwake wote waislam
Nawashangaa kwanini nyinyi MASHEKH ambao tunawaamini mnapiga vita na vijembe kweli dunia imeisha nawaomben msituchanganye nyinyi wasomi wakileo acheni tabia mbaya hiyo mungu haridhiki na mfumo huo
NINACHOKIONA HAPA SI KINGINE BALI NI JUHUDI ZA WAZI ZA KWAKO SH.MOHAMMED IDD ZA KUUGAWANYA UMMA..SIJUI KAMA UNALITAMBUA HILO..NASIKITIKA SANA HEKMA YAKO IMEKUA NDOGO SANA..TENA UMEJIONA BORA SANA NA MWENYE AKILI ZAIDI KULIKO SH.KISHKI NA MASHEKHE WENGINE..PIA UMEDHIHIRISHA CHUKI YA WAZI KWA SH.KISHKI KWA JAMBO LA KHILAFU....NATAMANI UJUMBE HUU UUPATE WEWE MWENYEWE...UNAONEKANA KUTAFUTA MASHABIKI ....KILA SHEIKH ANA UDHAIFU WAKE LAKINI WEWE UNAJIONA MBORA SANA NA MWENYE AKILI KUWAZIDI WENGINEE....
Simkubali Sheikh Mohamed Iddi katika mambo mengi ila katika hili kuhusu kauli za viongozi wa dini wa Saudi Arabia yupo sawa, Masalafi na Maanswar Sunna lazima mkubali tatizo lipo kwa Viongozi wa dini wa Saudi Arabia kwanini hili hamtaki kukubali?Bakwata siwakubali ila katika hili wapo sawa kwasababu wana nukuu kauli za Viongozi wa dini wa Saudi Arabia ambao wanataka watu wafuate viongozi wao wa dini katika nchi zao, hawaoni umuhimu wa Umoja katika Waislamu. Ila swali langu kwa Sheikh Mohamed Iddi na Bakwata hizo nchi zaidi ya 100 zinazofuata Saudi Arabia hawasomi hivyo Vitabu unavyonukuu? Kwanini bado wanafuata muandamo wa Saudi Arabia? Tena wengine wamepishana nao masaa wakati sisi na Saudi Arabia wakati mmoja bali hata wakati wa kuzamaa kwa jua. Kwa kifupi: 1, Kwanza tukubali tatizo lipo Saudi Arabia na Viongozi wa dini Saudi Arabia kwa sababu hawataki na hawaoni umuhimu wa Waislamu kuwa na Eid mmoja. 2, Bakwata nao Wanatumia mapungufu ya viongozi wa dini ya Saudi Arabia kwa sababu zao binafsi na hasa Umimi wa Uswahili kuliko Umoja wa Kiislamu.
Asante sheikh wapeeee wajieleweeee Hawa watiaji comments ni mawahabiiiji ama ummmmah mzima ushapata faida na maneno yako kupitia kwenye hoja sahihi zinazotegemewa Hata mashekh zao wanawakanusha Ni maajabu haya, lkn ndio kawaida ya miwahabi 😂😂😂😂kwao ni ubishi tuuuu
Sheikh mimi nimeskiliza hoja za pande zote mbili na nimejikinaisha kuwa Arafa inafungwa kwa mujibu wa mwandamo wa mwezi wa sehemu uliyo. Hoja za msingi niliziskia kwa Alhabib Mbarak Awesi na zikaingia akilini mwangu. But ukweli umekosea sana tena sana kwa hili ulilofanya. Huwezi kumwita Sheikh mkubwa kama Nurdin Kishki eti mpotoshaji. Allah akusamehe na ikibidi kamuombe radhi.
SHEIKH..HAYA USINGEWEZA KUMFUATA MKAELEWESHANA MPK UMWITE MPOTOSHAJI? YAAN MNAACHA MAARISHO YA DINI NA MNAWEKA UTENGANO NA UADUI, HASA KWA MANENO UNAYOYATUMIA...JE NA YEYE AKAKWITA NENO USILO LIPENDA? MNATUFUNDISHA TUSIWAITE WATU MAJINA YA KUWAUDHI JE WEWE UNAFANYAJE?
Shida yenu Nini mbona mwaazirika , wacheni ujinga uwo, ndiyo maana mm nampenda Sana shehk Athuman maalim ,Ana tym yakujibishana na mtu yy utupa dhahawa ,
SubhanaAllah hiyo ni fitna, chuki, wivu, na haifai katika dini yetu tukufu, kama umeona vitu vyote hivyo, ni bara ungezungumza naje badala ya kuzungumzia kwa social media, muogope Allah.
Kwa kuwa baadhi ya watu wanaogopa kufuata gharafa ikiwa suudia baci zigawanywe moja iwe suudia na nyingine iwe Vatican ili wale wanao ichukia suudia waende Vatican na mizozo ita isha kwa mfumo huu
Huyu sheikh sijui ana matatizo gani na kishk? Maana analolifanya basi tayari anaanza kumpaka matope mwenziwe. Hii ni hasad na ndio mbaya. Lakini sishangai sana kwa sababu hizi ndio zama za mwisho na tuloambiwa kutakuwa na hasad kwa wingi, hasa kwa wanazuoni wenye elmu kuoneana hasad baina yao wenyewe. Allah amgeuzie huyu sheikh na amsamehe kwa anayoyatenda maana hamna mkamilifu na wala aliyekuwa kakabidhiwa funguo za peponi.
*💢انظرْ إلى الحق والنصوص ولا تنظرْ إلى الباطل والشخوص (1)💢* *💢ANGALIA KWENYE HAQQI NA DALILI NA USIANGALIE KWENYE BAATWIL NA WATU (1)💢* *قال الإمام ابن باز - رحمه الله تعالى - :* *🔶Amesema Imaamu Ibnu Baaz ALLAH Aliyejuu Amrehemu:* *《 عليك أن تأخذ بالحق وأن تتبع الحق إذا ظهر دليله ولو خالف فلاناً ، وعليك أن لا تتعصب وتقلد تقليداً أعمى 》.* *🔷Jilazimishe Kuchukua Haqqi na Kufuata Haqqi Wakati Itakapo Dhihiri Dalili Yake na Hata Akienda Kinyume (Na Haqqi) Fulani ,Na Jilazimishe Usiwe Na Taaswswubu (Kuwa Upande Wa Mtu Na Kumnusuru Mtu Na Kuwa Pamoja Na Mtu Hata Akiwa Ktk Makosa) na Unafuata Ufuataji Wa Kipofu (Kumfuata Mtu Ktk Jambo Fulani Moja Kwa Moja Bila Kujua Usahihi Wake,Pasina Kupunguza Wala Kuzidisha ktk Hilo Jambo).* *📓📔 مجموع الفتاوى ( 343/1 )* *📓📔Maj'mouul-Fataawaa (343/1).* *🔺NYONGEZA KUTOKA KWA ALIYETAFSIRI:* *🔸Hakika Kweli Kabisa Ulamaa Ni Warithi Wa Mitume Juu YAO Rahmah na Amani.* *🔹Wanafanya Kazi Waliyokuwa Wakifanya Mitume Ya Kuwaelekeza Watu Ktk Haqqi Na Mambo Ya Kheri Anayoyapenda ALLAH Na Kuyaridhia.* *🔸Sheikh Bin Baaz ALLAH Amrehemu, Anatoa Nasaha Muhimu Sana Kwa Waislamu Kuhusu Kufuata Haqqi Inapodhihiri Dalili na Haifai Muislamu Kuwa Pamoja na Mtu Na Kumshabikia Na Kumtetea Na Kumnusuru Hata Akiwa Ktk Baatwil na Kumfuata Mtu Kama Kipofu Hajui Anakoelekea Au Anakoelekezwa.* *👉🏾Jitahidi Uangalie na Ujue Haqqi Iliko Uifuate na Kuwa Na Watu Wa Haqqi Kwa Dalili na Usiangalie Wingi Wa Watu Ktk Baatwil.* *👉🏾Usimfuate Mtu Yeyote ktk Baatwil Hata Akiwa Ni Sheikh Wako na Jitahidi Kufuata Haqqi na Kufuata Qur'aan na Sunnah Kwa Ufahamu Wa Waja Wema Waliotangulia (Salaf Swaaleh).* *👉🏾Kuna Baadhi Ya Waislamu Wanawapenda Masheikh Zao,Mpaka Akiambiwa Sheikh Wako Amekosea Ktk Jambo Fulani, Anakasirika na Kuongea Maneno Mabaya Na Matusi Na Kuona Watu Wanamuhusudi Na Hawampendi Sheikh Wake Na Anadhani Watu Wanataka Sifa Na Ukubwa.* *🔹Tusiwe na Ushabiki Ktk Kufuata Dini Kama Ushabiki Wa Mpira Wa Miguu Au Siasa Za Urongo.Dini Yafuatwa Kwa Dalili.* *🔸Jitahidi Ewe MUISLAMU ,Upende Haqqi Zaidi Kuliko Kumpenda Mtu Yeyote Ktk Dini.* *👉🏾Ujinga Ktk Dini na Matamanio Mabaya ya nasfi Nimiongoni Mwa Sababu Kubwa Zinazopelekea MUISLAMU Kuipinga na Kuikataa Haqqi Inapodhihiri na Kufuata na Kuikubali Baatwil.* *🔴IKIWA KUNA MAKOSA,TAFADHALI USIBADILISHE CHOCHOTE NA KUWA MUELEWA NA MSIKIVU NA WASILIANA NA MUHUSIKA.* *👉🏾ALLAH NDIYE MKAMILIFU ZAIDI NA MJUZI ZAIDI.* *👀IMETAFSIRIWA NA:* *👉🏾ABUU ABDILBARRY ABDULSHAKUUR BIN JAMES BIN MWENDA ASSALAFIYY AL-HAMBALIYY (حفظه الله تعالى ورعاه وسدده).* *💢Mombasa,Kenya🇰🇪.* *🌹WhatsApp: +255713444054.* *🌹Call: +254724992753.* *📆27/Dhul-Hijjah (12)/1439 H.* *📆07/09/2018 M.*
Mashekhe munapotoka nyote Kuanzia wewe Abuu iddi "Kilemile " kishki" n.k Nawachukia kwakua munatia aibu uislamu wangu Kwanini mubishane mitandaoni Wakati kitabu chenu kimoja Dini yenu moja Tena ninauhakika kitabu cha mola wangu kimetimia Kama tulivyoambiwa ktk Qur'an ذالك لكتاب لاريب فيه) Maanayake> hiki ni kitabu kisicho shaka ndani yake " Alafu pia tumefundishwa اليوم اكملت لكم دينكم واتممت عليكم نعمتي ورضيت لكم لاسلام دينا Maanayake> Leo nimekamilisha dini yenu na nimetimiza neema yangu kwenu na nimeridhia uislam dini yenu" Sasa nyinyi mashekhe ndowenye upungufu Wa fikra Tafadhali acheni upuuzi Wa mitandaoni kaeni chini bila utashi wala ushabiki muelewane
Assalam aleykum Ingetumika lugha nzuri, sio neno mpotoshaji - Kisha mas'ala haya ni ya ikhtilaf.... Na kama shekhe ataka mjadala bora, aseme kisha amjadili sheikh Qasim mafuta wa pongwe - atoe video hasa
Huyu mohamed Iddi hana jipya ni ujanja wa kusema tu elimu yake ni ndogo anachotaka ni kutafuta asikike aeleze kila mara anapokwenda hapo kituo cha elimu cha Iran anafuata nini
Assalamualaikum respected Babdeo miladu, na wewe unachangia katika hili, hapana haja kupublish fitna hizi!, Unaenda kwa sheikh huyu unachukua clip Kisha unaenda kupingana na huyu, si sawa maalim wangu Babdeo watafute wote wakutane wenyewe ce tushapata elimu alhamdoulillah, Sasa nikuulize sheikh Babdeo haya ya taasisi yake, mashindano yake huoni km unaleta fitna katika mujtamaa???, Allaah akulipe kwa Kila kheri unayotupa.
Nayeye sheikh wa vetenar akijibu kwakuanza yeye Hana ndevu, kwanini anafuga sharubu, tutajikuta tunaingia katika Vita maina yao kitu ambacho co sawa, na Allaah ndo mjuzi zaid
Yani mimi ndio sinaga mpango wa kusumbuka madhehebu yote kwangu sawa ili murad anaeabudiwa ni Allah nawote mtume wao Muhammad s.a w.kwishaa hayo mengine matajijuwa wenyewe km mnatupotosha au nini🏃🏃🏃
Innalilahi wainailayhi rajiuun badala yakuendelea kuelimisha watu unaingiza na mambo yasiokuwepo kunaugonjwa mmoja unaitwa husda shekhe jikague huenda unao huu unaitwa uchochezi dhahili umepotea shekhe msikiti wake mashindano yake shule yake tena unaingiza nafamilia
Asalam alykom. Kutaneni mruhusu quran na hadithi ziseme ili msishangaze umma wa kiislam. Ikiwa mtaishia katika mitandao naamini mtazidi kuugawanya umma wa kiislam. Hivi sasa tukutazameni kwa jicho gani? Kutaneni muda bado mnao, fanyeni kumlaani sheitwan. 😢😢😢😢
Sheikh umemtaja hata mufti wa oman. Nikupe taarifa hata oman wapo wanaofuata wa kimataifa na wanaswali au wanafunga tofauti na kauli za mufti. Ila hawana jeuri ya kujibiana na mufti. Kwa kauli ya kishki aliyoongea ni sahihi na wala si kosa yeye kusali kabla au kufunga.
WASWAHILI WANAMANENO YAO WANASEMA, IKISHAJULIKANA SABABU, AJABU UONDOKA. KUMBE SABABU KUU NI HATUA WANAZOPIGA KWENYE MAENDELEO WENZAOO SASA TUMEJUWA WAISLAM. (NB) KILICHOFICHWA MOYONI, ULIMI UTAKIDHIHIRISHA.
Subhanallah, kwahiyo mlita ka mali za Alhikima ziwe chini ya bakwata mbona taasisi inafanya vizuri zaidi ya mnavyoviendesha nyinyi.....mbona unajibu kishabiki sana, mbona unashambulia nduguzo badala ya kuegemea kwny maelezo ya mtazamo wako,mnatudhalilisha uislamu
NNAVYOMJUA ABU IDDI,ANAPENDA DALILI KULIKO HOJA ,SWALI KWAKE,JE YY KAPATA WAPI AYA AU HADITHI ILOTOA RUHUSA YA YY KUMUITA MUISLAM MWENZAKE (MPOTOSHAJI) KWA KINYWA KIPANA MBELE YA UMMA AU DUNIANI KOTE NAKUMTUPIA MATUSI KAMA HAYO..??
Juzi masuali kama yako mwenzako kajibiwa kanyamaza kimya,,,kipenzi changu unasema haiwezekani dunia nzima kuona mwezi mmoja,,ivi ni mara ngapi tushafunga na kufungua pamoja?
ila mimi kama sijakwelewa sheikh wetu, ULIANZA KUTAMKA KUA UNAKOSOWA SHEIKH MWENAKO KUHUSU ARAFAT ila mbona unafika kati unaongelea tena kufunga FUNGA YA RAMADAN NA FUNGUA YAKE?
Hili halina dini kabisaa astaghafirullah Allah aisamehe yaani hana hoja ndani ya dini yake zaidi ya mipasho hata yaani ww kasom dini umeendekeza mipasho baba zimaa
Kwani hao mashekh walotia saini wamezungumzia arafa au muandamo wa mwezi , hoja ni fungal ya arafa inavyoendana si matwalii ya mwezi sina elimu hata hivyo ila ww Shekh una lako jua hayaishii hapa tutaulizwa mbele ya Allah
Sheikh Nurdin ana mapungufu yake kama binadamu yoyote, ila wewe humfikii unyayo wa maendeleo waliyofanya taasisi yake kwa muda mfupi na ndicho muhimu kwetu Waislamu, bali wewe ni Hasdi na Wivu tu ndio unaokufanya useme maneno yote haya. Sheikh wetu Mkuu najua una hekima na busara Nurdin ni kijana wako kama amekosea mwite msihi na umshauri lakini usawasikilize masheikh mashavu wenye kuangalia maslahi yao na sio ya maslahi ya Waislamu.
Hongera sheikh abuu...kwa kumjibu sheikh kishk...salam zimefika..lakini huu wa kwako ni upuuzi.. sana...uliojaa choyo na husdaa!! Hivi kuna tatizo kwa mtu kumiliki kitu..huo ni uchoyo..jifundishe japo kufuga ndefu..huna jipya..
Yy anasoma vitabu. Itakuwa hao waloandika vitabu ndo wapumbavu... Changanua ushahidi wa vitabu na maneno matupu.. Kazi kwako. Ndo utajua kwann mazinge ni profesa.. Kinacho takiwa ni ushahidi uoneshe. Fata ushabiki utatumwa gas kwenye kiroba.
Innalillah wa inna ilayhi rajiuun!! Yaa ALLAH Wape hidaya hawa wanao jiita Mashekh!!! Shekh unashindwa hata kujua misikiti yoooote ni ya ALLAH... Unamilikisha mtu!!! Kwa sabababu tuu! Anausimamia....!!!
Kwa mtazamo wangu ABU IDDY vinavyokusumbuwa ni roho mbaya,choyo na husda vinakusumbuwa dhi ya mwenzako,hakuna lengne,ningetegemea ujibu au utoe hoja za kimsingi,m mungu akutoe kwenye ubaya wa mawazo hayo,na ole wao wanoijuwa dini ikisha wakaipotosha watakavyo wao
Shekh umesema kweli kabisa
Ana element za kikafiri!!!
@@jumakapilima5674 alooo yan umepatia kbx yan husda ndo yake uyo mtu
Maskin shekh nurudini aallah akuhifa dhi nahusda amin
Jazaakallah kheyr Al allama Sheikh Muhammad Iddi endelea kuwaweka sawa, na maashaallah kila siku wanaendelea kukana kauli zao zilizopita, linalowasumbua ni kutaka umaarufu tu, na umaarufu unapatikana kwny fani nyingi waende huko si kwny dini, Dini inataka ilmu , uadilifu na ucha Mungu.
Abuu Iddi Huyu kijana achana nae hoja zake zinakubalika.
DAH SHEIKH ELIMU HAINA MANUFAA KWAKO......UNAMWITA KISHKI MPOTASHAJI KUMBE UNA ROHOOO MBYA UNTAJA MAMBO ANAYOMILIKI.....RUDI KAMUOMBE MSAMAHAA.........na Umejuaje kma Sudeis hajiii pengine ni amechelewa tu.
Sh Mohd idd umekosea sana kwa ulokifanya. Mas'ala hapa ni ikhtilaaf kuhusu siku ya Arafah ambalo lipo nchi kadha sio Tanzania tu. Busara ni mashekhe wetu kukaa na kuwafikiyana so kusosowana mitandaoni na kuwachanganya waumini na kuwapa faida maadui. Zaidi umeanza kwa huonyesha Husda juu ya mafanikio ya mwezio na Fitna kwa Mufti. Tuogope ghadhabu za ALLAH.
Sheikh hili swala lina ikhtilaf ungeenda moja Kwa moja kwenye hoja,lakini namashaka unavyozungumza Mali Mali inaonekana kama unahusda vile, ALLAH AKUONGOZE WEWE NA SISI WOTE.
Tatizo ww ni sufiii na yule ni suniii ni tofauti sana Acha husda ww unajizalilisha shekh rurdin kishki yuko sawa kabisa
Sunni nani suhf nan, soma dini kwanza ndugu yangu.
wamaanisha wewe ni sunni yule ni wahabi
Uko sawa sana shekh, sasa san nidhama za kizazi chaleo adabu hakina
Nampenda nurudini kishiki Allah amhifadhi shekhe wetu mumuache
Usifunge mjadala sheikh ikitokea kujibu basi jibu ss tunosikiliza hoja za pande zote mbili tunapata faida sana
mzee ingia kwenye mada kwaiyo we ulitakataje kwani wivu wako tu kama wataka kumlekebisha mfuate acha husda na maisha ya mtu wislam gani uwo
Umemuona mpaka anatetemeka kwa husda ulivyo mjaa eti naye shk
Hasidi hana sababu ile zeee hasidi yan kinachomuumiza ni mafanikio tu jitu mwenyew lina mtizamo wa kiyahudi ilo masharubu mama mlokole
Ngoja akosolewe public .. Yani aharibu public kisha akosolewe private .. We VP ?
Huu ni msiba
Mashekhe mnadhalilishana mitandaoni,wallah hizi ni alama za kiama,
Kwanini msikutane mahali pa heshima na mkafikia azimio la pamoja,kuliko kuushia kutukanwa mitandaoni na waumini,pamoja na kudharauliwa na wale waliokufuru?
Kazi unayo sheikh. Haki siku zote uwa wazi na batili ujitenga.
Assalaamu alaykum,,jamani lakini nimechunguza kua hata masheikh wana hasad
Sheikh wewe ni kaka yangu kwa umri lakini nakushauri kwa ajili ya Allah uje zanzibar usome,,kuna watoto wadogo sana watakupa elimu,,naamini utaridhika
ww ushasoma kwa hao watoto
Kbx
Acha upimbi boya wewe znzbr kuna masheikh? mi naon wamejaa mashoga tu huko.
Jaahil murakkab ww
Hivi hujapata kujua mpaka hapo kwamba huyo ni sheikh??????
Et njoo Zanzibar???? Kwa lip wabaguzi wakubwa nyie
Shekhe mm naona ww ushapagawa nanjaa inakusumbua natena unapupa yahicho unacho ahidiwa kwahao wanao kutuma nimekukubali kwenye suala la funga yasiku ya arafa lkn kwahaya mengine sasa tunakuachia mwenyeo mpaka mashindano ya Qur-an yashawauma subhanallah hio ni husda ya waziwazi jirekebishe maisha mafupi akhera ndo yenye kubakia she kishki tunakupenda natutazidi kukupenda usivunjike moyo upo katika njia yahakki ww hivi nivibakwata tu vinanjaa wao niunafki na husda Allah atustiri nao waumbuke wao
nyinyi masheikh wanafiki hamuwasemei mashekh wako magerezan mmebaki marumbano kazi yenu majungu tu
Umemsifu saana sheikh kishki mashaa Allah kumbe kishiki jembe
jembe naam shekhe wa kimataifa allah amulipe mema
Sheikh Idd Abuu Idd nakukubali sana, Kishki ni muongo sana tena sana, anapenda kujisifia sana wakati elimu yake kidini ni yakawaida
@@saidshamuhuna9237 mawahabi yote hayana akili wala Hamna elimu ya ddiin toeni fatua sio akilizenu nendeni mkasome SHEKHE atoa dalili ninyi mnashindwa nn kutoa dalili,wore mko kwa ajili ya kupotosha watu hiyo ni aibu ya mawahabi looooo aibu hamna
Sio jembe Bali ni mpini town fatua mbona vitabu vipo shida iko wapi we hapo ulipo huna elimu et amsifu kishki
Allah akuhifadhi yaa Abuu Iddy
umaarufu wa kamera kama msanni tu, wapo masheikh wenye ikhlaas kama akina Uthmaan maalim hawanaga mbwembwe kama za huyu msanii, Sheikh Maalim na masheikh wengine ni maarufu kwa elim zao ila huyu yeye ni maarufu kwa ujanja ujanja wake tu. maana elim siamini kama anayo kiasi hicho, alikalishwa kimya na Sheikh wa Mombasa kwenye swala la Maulid, sasa kwasasa ameangukia mikono ya Sheikh muhtaram Abuu Iddy Muhammad Iddy.
🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅
khadija shabani iddy soma ujue dini yako
Naam
Masharubuuu ha ha haaa eti mashindano yao shule yao daa tumejua kinachomsumbua shee wetu ,ALLAH ATUIFADHI MASHEHE NA MICHAMBO WAPI NA WAPI?
Hapa abuu idd Ana makosa Sana kuingilia katika shakhsiyat za mtu ila kielimu yuko juu
MWENYE elimu hayuko hivyo
Umesema kweli
@@msafiriduwiya7765 laa sio hvyo kuwa na elimu haimaanishi ndo ucha Mungu elimu ni kusoma tu
sheh iddi watakuchanganya mwisho wake umkosee mungu ww achananao wenye kuelewa wataelewa hayo madhehebu niyakigeni
Hahahahaha ya sheh nakushukuru sana.Allah akupe afya nzema tena akulinde
Washukur lipi la faid alilolisem
mwenyezi mungu humhifadhi anaehifadhi aibu za watu huyo shekhe ni nimaaruufu mwenye wivu ajinyonge allah akusamehe kweli umevuka mipaka kumuumbua shekhe kishki usifumbe sema bayana
Ila anawaambia ukweli,,, dunia aijawai kufunga siku moja, tangu enzi ya mtume,,, waahaabi ni ovyo???,,. Tufuate mwezi..
@@allyhamisi4709 bora umuulize 2
@@kondesaidi2040 sasa ndo amwite mwenzie mpotoshaji huyo bonge nyanya hapo?
Ahsante sana kiboko wa wapotoshaj wabishi wasojua ilimu
nyinyi nno coment wengi mna sema ana husda lakini wewe una mfatilia kweli shekhe kishiki
asalam alykm ndungu zangu mashekh zangu kwastayle hii hatutofkaa ivi wasokuwa waislam wanaatuonajee napia nyinyi n mashekh n heshim zenu kaeni chini mjadili mamboo ya kidin inshaallaaah
ماشاء الله تبارك الله يا شيخنا الفاضل محمد عيد حفظك الله ورعاك
Mwombe allah amuongoze huyu hasidi wewe
Mbona wengine natukana matusi ivi kweli niwaisilam
Sheikh Muhammad iddy mtu mwingine kukuelewa ni ngumu sana
Lkn kwa hakika unayo yasema ni sahihi sana
Unajua binadamu wengi tumezigawa dhambi kwa rangi zetu, Nurdin kishk hana ilmu ya kutosha na sisahh ktk mengi anayo yawasilisha yanataka ufafanuzi wa kiilmu
Weng wanachoangalia ni rangi na UKABILA
Sheikh Mohammed Usiogope kumradd mtu yyte anayo thubutu kuzungumza jambo la dini kwa matamaniyo yake!!!!
Kwahyoo jamaa anawapinga hao maimamu wa3? Subhana Allah, Allah atuhifadhi
Ridhiwani Amour yani we acha tu
Shekh abuu idd we jembe mawahabi wao wenyewe hawana adabu ktk kauli zao kwa wengine hili linabainika kupitia comments zao humu wamekutukana mno badala ya kujibu na kutafakar hoja zako nzito nzito! Hoja zako shekh zimewadidimiza wameshindwa kujibu wanabak kutapatapa tu! Hovyooo!
Watu wa bidaa nyie!!!
Mi naomba mashekhe waandae mdahalo wa mojakwamoja watu wabishane kwa hoja ili tujue wapi Kuna hoja zilizotimia
Michango niloiona miingi ni ya mashabiki hakuna wajuzi ktk elimu ya arafa na mwezi utadhani siasa wachangiaji walivyo hata adabu wengine hawana.
Wew shekh wew unaunafiki na husda
Asalym alykum dalili ya sku za mwisho usiweke mjala kwenye mtandao pia unafiki unazungumzia kwenye mitandao ungemfata sio vizur huo ni unafiki AllAH hapend madhila husda ungemfes usifaidishe watu ni unafki AllAH hapend shehe iddy pia sio vizur pia kosa likowap kwake wote waislam
Hakuna kufatana unaweza ukakatwa mapanga nikujibishana kwambali mbali tu
Nawashangaa kwanini nyinyi MASHEKH ambao tunawaamini mnapiga vita na vijembe kweli dunia imeisha nawaomben msituchanganye nyinyi wasomi wakileo acheni tabia mbaya hiyo mungu haridhiki na mfumo huo
Sina elimu ya usheikh lakini tujikite na kuijenga uislam sio kubomoa Hakuna mkamilifu Allahu aalam.
NINACHOKIONA HAPA SI KINGINE BALI NI JUHUDI ZA WAZI ZA KWAKO SH.MOHAMMED IDD ZA KUUGAWANYA UMMA..SIJUI KAMA UNALITAMBUA HILO..NASIKITIKA SANA HEKMA YAKO IMEKUA NDOGO SANA..TENA UMEJIONA BORA SANA NA MWENYE AKILI ZAIDI KULIKO SH.KISHKI NA MASHEKHE WENGINE..PIA UMEDHIHIRISHA CHUKI YA WAZI KWA SH.KISHKI KWA JAMBO LA KHILAFU....NATAMANI UJUMBE HUU UUPATE WEWE MWENYEWE...UNAONEKANA KUTAFUTA MASHABIKI ....KILA SHEIKH ANA UDHAIFU WAKE LAKINI WEWE UNAJIONA MBORA SANA NA MWENYE AKILI KUWAZIDI WENGINEE....
Simkubali Sheikh Mohamed Iddi katika mambo mengi ila katika hili kuhusu kauli za viongozi wa dini wa Saudi Arabia yupo sawa, Masalafi na Maanswar Sunna lazima mkubali tatizo lipo kwa Viongozi wa dini wa Saudi Arabia kwanini hili hamtaki kukubali?Bakwata siwakubali ila katika hili wapo sawa kwasababu wana nukuu kauli za Viongozi wa dini wa Saudi Arabia ambao wanataka watu wafuate viongozi wao wa dini katika nchi zao, hawaoni umuhimu wa Umoja katika Waislamu. Ila swali langu kwa Sheikh Mohamed Iddi na Bakwata hizo nchi zaidi ya 100 zinazofuata Saudi Arabia hawasomi hivyo Vitabu unavyonukuu? Kwanini bado wanafuata muandamo wa Saudi Arabia? Tena wengine wamepishana nao masaa wakati sisi na Saudi Arabia wakati mmoja bali hata wakati wa kuzamaa kwa jua. Kwa kifupi:
1, Kwanza tukubali tatizo lipo Saudi Arabia na Viongozi wa dini Saudi Arabia kwa sababu hawataki na hawaoni umuhimu wa Waislamu kuwa na Eid mmoja.
2, Bakwata nao Wanatumia mapungufu ya viongozi wa dini ya Saudi Arabia kwa sababu zao binafsi na hasa Umimi wa Uswahili kuliko Umoja wa Kiislamu.
Salehabad Salehpur shukran
Asante sheikh wapeeee wajieleweeee
Hawa watiaji comments ni mawahabiiiji ama ummmmah mzima ushapata faida na maneno yako kupitia kwenye hoja sahihi zinazotegemewa
Hata mashekh zao wanawakanusha
Ni maajabu haya, lkn ndio kawaida ya miwahabi 😂😂😂😂kwao ni ubishi tuuuu
Wewe ujue nini maana ya wahabi? Wacha ushabiki
Sheikh mimi nimeskiliza hoja za pande zote mbili na nimejikinaisha kuwa Arafa inafungwa kwa mujibu wa mwandamo wa mwezi wa sehemu uliyo. Hoja za msingi niliziskia kwa Alhabib Mbarak Awesi na zikaingia akilini mwangu. But ukweli umekosea sana tena sana kwa hili ulilofanya. Huwezi kumwita Sheikh mkubwa kama Nurdin Kishki eti mpotoshaji. Allah akusamehe na ikibidi kamuombe radhi.
Nurse for life ahsant sana umeonaeee
@@khaulatmohammed3765 naam, kwa uhakika
Asantee Abuuu Idd naamini Shekh mohmad Ayub amefanya kz
Masheikhe wengi hawana elimu ya kuraan.wanaelimu ya madhehebu.na ndo maana mnaleta vurugu mechi za maneno.achen kucma madhehebu.
Ah wee sheh Mungu anakuona allah atuongoze
Unataka kurekebisha ikhtilaf kwa kumkashfu mwenzie akielezea tocauti ya Arafa.mche allah shekh
Huna kazi ya kufanya mpaka uanze kuongea masheikh wakubwa mitandaon
mtu anatoa elimu ww unasema hana kazi
@@husseinmtima6106 elimu gani anayoitoa mjinga tuu uyo yan ata haoni aibu kukaa mitandaon akataka mtu fulan aonekanwe mbaya
SHEIKH..HAYA USINGEWEZA KUMFUATA MKAELEWESHANA MPK UMWITE MPOTOSHAJI? YAAN MNAACHA MAARISHO YA DINI NA MNAWEKA UTENGANO NA UADUI, HASA KWA MANENO UNAYOYATUMIA...JE NA YEYE AKAKWITA NENO USILO LIPENDA? MNATUFUNDISHA TUSIWAITE WATU MAJINA YA KUWAUDHI JE WEWE UNAFANYAJE?
babdeo kama unatafuta views sio kwa kutumia ikhtilaf baina ya masheikh....subhanaAllah
We una wazimu? Kwani hao nimewafata au wameniita kuwa na adabu views zinanisaidia nn mm
@@BABDEOMILADU hahaha
Shida yenu Nini mbona mwaazirika , wacheni ujinga uwo, ndiyo maana mm nampenda Sana shehk Athuman maalim ,Ana tym yakujibishana na mtu yy utupa dhahawa ,
Kishki Yuko vizuri
Nakukubali sheikh
Mueleweshe
Maneno yako yanaingilika akilini
Ieleze dunia ukweli
Uongo utakimbia tu
Hawawezi kukujibu chochote sababu hawana marejeo hao
Pole kama ndo shk wako huyo
unasema waislamu wafuate idd inayotambuliwa na serikali/mufti, inakuaje waislamu wafuate maagizo ya serikali ya kikafiri katika masuala ya kidini?
SubhanaAllah hiyo ni fitna, chuki, wivu, na haifai katika dini yetu tukufu, kama umeona vitu vyote hivyo, ni bara ungezungumza naje badala ya kuzungumzia kwa social media, muogope Allah.
ukhty khadija huu ni mtihani sana kwetu
Wajibu wooote hao lkn huwezi kumjibu Sheikh kasim mafuta wala Abu Hashim, Ushauri wangu ni kua nyoa sharubu na uanze kufuga ndevu.
Kama wenye elimu wamejibiwa itakuwa wajinga hao kassim mafuta
Mjinga nani?
@@TheIslam1681_ kassim mafuta sio mjinga kwa mana Hana akili LA mjinga kwa maana Hana elimu
Ndio mafundisho yenu hayo mashia na masufi kutukana wanazuoni.
Allah akuineshe haki.
@@TheIslam1681_ wallah Si kweli kassim mafuta ni mwana Wa chuoni Wapi? Kwa insaaf tuende pole pole nimetanaazal
Subhaana allah unaweza ukasoma na usielimike,ashraadwu ssaa
Kwa kuwa baadhi ya watu wanaogopa kufuata gharafa ikiwa suudia baci zigawanywe moja iwe suudia na nyingine iwe Vatican ili wale wanao ichukia suudia waende Vatican na mizozo ita isha kwa mfumo huu
Huyu sheikh sijui ana matatizo gani na kishk? Maana analolifanya basi tayari anaanza kumpaka matope mwenziwe. Hii ni hasad na ndio mbaya. Lakini sishangai sana kwa sababu hizi ndio zama za mwisho na tuloambiwa kutakuwa na hasad kwa wingi, hasa kwa wanazuoni wenye elmu kuoneana hasad baina yao wenyewe. Allah amgeuzie huyu sheikh na amsamehe kwa anayoyatenda maana hamna mkamilifu na wala aliyekuwa kakabidhiwa funguo za peponi.
Allah atuhifadhi
Subhaanallah, mche Allah dunia yawezekana kufunga siku moja siyo lisaa limoja,
Elewa tofauti ya siku na saa,
Mashehe munazalilishana mbonana hamuwazalilishi vionozi waserekali mbona watumumewaona wanavyo uliwa lakini mumekakimya siyo vizuri waisilamu muna shushuwana makafiri munawapanguvu
*💢انظرْ إلى الحق والنصوص ولا تنظرْ إلى الباطل والشخوص (1)💢*
*💢ANGALIA KWENYE HAQQI NA DALILI NA USIANGALIE KWENYE BAATWIL NA WATU (1)💢*
*قال الإمام ابن باز - رحمه الله تعالى - :*
*🔶Amesema Imaamu Ibnu Baaz ALLAH Aliyejuu Amrehemu:*
*《 عليك أن تأخذ بالحق وأن تتبع الحق إذا ظهر دليله ولو خالف فلاناً ، وعليك أن لا تتعصب وتقلد تقليداً أعمى 》.*
*🔷Jilazimishe Kuchukua Haqqi na Kufuata Haqqi Wakati Itakapo Dhihiri Dalili Yake na Hata Akienda Kinyume (Na Haqqi) Fulani ,Na Jilazimishe Usiwe Na Taaswswubu (Kuwa Upande Wa Mtu Na Kumnusuru Mtu Na Kuwa Pamoja Na Mtu Hata Akiwa Ktk Makosa) na Unafuata Ufuataji Wa Kipofu (Kumfuata Mtu Ktk Jambo Fulani Moja Kwa Moja Bila Kujua Usahihi Wake,Pasina Kupunguza Wala Kuzidisha ktk Hilo Jambo).*
*📓📔 مجموع الفتاوى ( 343/1 )*
*📓📔Maj'mouul-Fataawaa (343/1).*
*🔺NYONGEZA KUTOKA KWA ALIYETAFSIRI:*
*🔸Hakika Kweli Kabisa Ulamaa Ni Warithi Wa Mitume Juu YAO Rahmah na Amani.*
*🔹Wanafanya Kazi Waliyokuwa Wakifanya Mitume Ya Kuwaelekeza Watu Ktk Haqqi Na Mambo Ya Kheri Anayoyapenda ALLAH Na Kuyaridhia.*
*🔸Sheikh Bin Baaz ALLAH Amrehemu, Anatoa Nasaha Muhimu Sana Kwa Waislamu Kuhusu Kufuata Haqqi Inapodhihiri Dalili na Haifai Muislamu Kuwa Pamoja na Mtu Na Kumshabikia Na Kumtetea Na Kumnusuru Hata Akiwa Ktk Baatwil na Kumfuata Mtu Kama Kipofu Hajui Anakoelekea Au Anakoelekezwa.*
*👉🏾Jitahidi Uangalie na Ujue Haqqi Iliko Uifuate na Kuwa Na Watu Wa Haqqi Kwa Dalili na Usiangalie Wingi Wa Watu Ktk Baatwil.*
*👉🏾Usimfuate Mtu Yeyote ktk Baatwil Hata Akiwa Ni Sheikh Wako na Jitahidi Kufuata Haqqi na Kufuata Qur'aan na Sunnah Kwa Ufahamu Wa Waja Wema Waliotangulia (Salaf Swaaleh).*
*👉🏾Kuna Baadhi Ya Waislamu Wanawapenda Masheikh Zao,Mpaka Akiambiwa Sheikh Wako Amekosea Ktk Jambo Fulani, Anakasirika na Kuongea Maneno Mabaya Na Matusi Na Kuona Watu Wanamuhusudi Na Hawampendi Sheikh Wake Na Anadhani Watu Wanataka Sifa Na Ukubwa.*
*🔹Tusiwe na Ushabiki Ktk Kufuata Dini Kama Ushabiki Wa Mpira Wa Miguu Au Siasa Za Urongo.Dini Yafuatwa Kwa Dalili.*
*🔸Jitahidi Ewe MUISLAMU ,Upende Haqqi Zaidi Kuliko Kumpenda Mtu Yeyote Ktk Dini.*
*👉🏾Ujinga Ktk Dini na Matamanio Mabaya ya nasfi Nimiongoni Mwa Sababu Kubwa Zinazopelekea MUISLAMU Kuipinga na Kuikataa Haqqi Inapodhihiri na Kufuata na Kuikubali Baatwil.*
*🔴IKIWA KUNA MAKOSA,TAFADHALI USIBADILISHE CHOCHOTE NA KUWA MUELEWA NA MSIKIVU NA WASILIANA NA MUHUSIKA.*
*👉🏾ALLAH NDIYE MKAMILIFU ZAIDI NA MJUZI ZAIDI.*
*👀IMETAFSIRIWA NA:*
*👉🏾ABUU ABDILBARRY ABDULSHAKUUR BIN JAMES BIN MWENDA ASSALAFIYY AL-HAMBALIYY (حفظه الله تعالى ورعاه وسدده).*
*💢Mombasa,Kenya🇰🇪.*
*🌹WhatsApp: +255713444054.*
*🌹Call: +254724992753.*
*📆27/Dhul-Hijjah (12)/1439 H.*
*📆07/09/2018 M.*
Shekhe muogope Allah
Mwanaharakati Huru
Mashekhe munapotoka nyote
Kuanzia wewe Abuu iddi
"Kilemile " kishki" n.k
Nawachukia kwakua munatia aibu uislamu wangu
Kwanini mubishane mitandaoni
Wakati kitabu chenu kimoja
Dini yenu moja
Tena ninauhakika kitabu cha mola wangu kimetimia
Kama tulivyoambiwa ktk Qur'an
ذالك لكتاب لاريب فيه)
Maanayake> hiki ni kitabu kisicho shaka ndani yake "
Alafu pia tumefundishwa
اليوم اكملت لكم دينكم واتممت عليكم نعمتي ورضيت لكم لاسلام دينا
Maanayake> Leo nimekamilisha dini yenu na nimetimiza neema yangu kwenu na nimeridhia uislam dini yenu"
Sasa nyinyi mashekhe ndowenye upungufu Wa fikra
Tafadhali acheni upuuzi Wa mitandaoni
kaeni chini bila utashi wala ushabiki muelewane
Allah awaifadh mashekh wwtu lkn nawaomba san msirumbane sana mashekh tuna wategemea san kwenye hii din lkn mutoe elim tu
Sub'hanAllah
Shekh usikosee kumuita mpotoshaji mutlaqa muite mpotoshaji kwa jambo la aarafa.
Duniani tunapita 2
UKIONA SHEKHE MWENYE TUMBO KUBWA NI BAKWATA HAWANA HATA HOSPITAL WALA NYUMBA ZA MAYATMA WALA MASHULE WALIYOJENGA KUJUA FITNA tuu
As.alaykum ndugu zangu waislaam mie naona tuckilize hoja kote na tucmtukane shk iddy wala kishq na wenzake maana cc tunajifunza kwao
Shekh umejaa upepo,,, alelim hikma
Assalam aleykum
Ingetumika lugha nzuri, sio neno mpotoshaji - Kisha mas'ala haya ni ya ikhtilaf....
Na kama shekhe ataka mjadala bora, aseme kisha amjadili sheikh Qasim mafuta wa pongwe - atoe video hasa
Huyu mohamed Iddi hana jipya ni ujanja wa kusema tu elimu yake ni ndogo anachotaka ni kutafuta asikike aeleze kila mara anapokwenda hapo kituo cha elimu cha Iran anafuata nini
Assalamualaikum respected Babdeo miladu, na wewe unachangia katika hili, hapana haja kupublish fitna hizi!, Unaenda kwa sheikh huyu unachukua clip Kisha unaenda kupingana na huyu, si sawa maalim wangu Babdeo watafute wote wakutane wenyewe ce tushapata elimu alhamdoulillah, Sasa nikuulize sheikh Babdeo haya ya taasisi yake, mashindano yake huoni km unaleta fitna katika mujtamaa???, Allaah akulipe kwa Kila kheri unayotupa.
Nayeye sheikh wa vetenar akijibu kwakuanza yeye Hana ndevu, kwanini anafuga sharubu, tutajikuta tunaingia katika Vita maina yao kitu ambacho co sawa, na Allaah ndo mjuzi zaid
Yani mimi ndio sinaga mpango wa kusumbuka madhehebu yote kwangu sawa ili murad anaeabudiwa ni Allah nawote mtume wao Muhammad s.a w.kwishaa hayo mengine matajijuwa wenyewe km mnatupotosha au nini🏃🏃🏃
Hapa kidogo mtihani umeanza kumpata abu idd kwa ushauri tu haya mambo achana nayo
Innalilahi wainailayhi rajiuun badala yakuendelea kuelimisha watu unaingiza na mambo yasiokuwepo kunaugonjwa mmoja unaitwa husda shekhe jikague huenda unao huu unaitwa uchochezi dhahili umepotea shekhe msikiti wake mashindano yake shule yake tena unaingiza nafamilia
Mashekhee elim ni amana mtakuja kuulizwa kwa hiyo amana
Mashekhe hawa wana Hassad sana na wengi wao ni makhurafi
Mmeshindwa kusimamisha Hukmullah mnapigana mapanga mitandaoni
Asalam alykom. Kutaneni mruhusu quran na hadithi ziseme ili msishangaze umma wa kiislam. Ikiwa mtaishia katika mitandao naamini mtazidi kuugawanya umma wa kiislam. Hivi sasa tukutazameni kwa jicho gani? Kutaneni muda bado mnao, fanyeni kumlaani sheitwan. 😢😢😢😢
Sheikh umemtaja hata mufti wa oman. Nikupe taarifa hata oman wapo wanaofuata wa kimataifa na wanaswali au wanafunga tofauti na kauli za mufti.
Ila hawana jeuri ya kujibiana na mufti.
Kwa kauli ya kishki aliyoongea ni sahihi na wala si kosa yeye kusali kabla au kufunga.
WASWAHILI WANAMANENO YAO WANASEMA, IKISHAJULIKANA SABABU, AJABU UONDOKA. KUMBE SABABU KUU NI HATUA WANAZOPIGA KWENYE MAENDELEO WENZAOO SASA TUMEJUWA WAISLAM. (NB) KILICHOFICHWA MOYONI, ULIMI UTAKIDHIHIRISHA.
Subhanallah, kwahiyo mlita ka mali za Alhikima ziwe chini ya bakwata mbona taasisi inafanya vizuri zaidi ya mnavyoviendesha nyinyi.....mbona unajibu kishabiki sana, mbona unashambulia nduguzo badala ya kuegemea kwny maelezo ya mtazamo wako,mnatudhalilisha uislamu
Zakia Lustan nimependa sms yako uyo shekhe pumbavu
Ovyooo kabisa
NNAVYOMJUA ABU IDDI,ANAPENDA DALILI KULIKO HOJA ,SWALI KWAKE,JE YY KAPATA WAPI AYA AU HADITHI ILOTOA RUHUSA YA YY KUMUITA MUISLAM MWENZAKE (MPOTOSHAJI) KWA KINYWA KIPANA MBELE YA UMMA AU DUNIANI KOTE NAKUMTUPIA MATUSI KAMA HAYO..??
Shekh anang'ang'ania ulaji tu huyuu.... Hupewiii chochoteee.. Mzeee huna effect kwendaaa
Sawa ila tufuate QRN na muandamo wa mwezi,,, nasio SAUDIA,,,,, ujumbe uo.
Choyo ni maradhi mabaya sana
Mysam Khalfan hahaha
Mtihan kwel huyu shekh
Juzi masuali kama yako mwenzako kajibiwa kanyamaza kimya,,,kipenzi changu unasema haiwezekani dunia nzima kuona mwezi mmoja,,ivi ni mara ngapi tushafunga na kufungua pamoja?
Na saa sisi pamoja na maka ni mda mmj sijui nani halimdangnya km dunian kuna sik 2
Sawa je, hizo mara ni ngapi? Au ni mara zote?
Nakama si mara zote hizo mara nyingine huoni kama Kuna ikhtilafu?
nenda kasomee daw'aah bado hujawa kumbe. innallillah waiinnalillah rajiunn.
ila mimi kama sijakwelewa sheikh wetu, ULIANZA KUTAMKA KUA UNAKOSOWA SHEIKH MWENAKO KUHUSU ARAFAT ila mbona unafika kati unaongelea tena kufunga FUNGA YA RAMADAN NA FUNGUA YAKE?
Nakunasihi Shk Abuu Iddi tambua Shk kishki yuwatoka kwenye kabila mtume swallahu Alaihi wasallam huenda ukajitafutia balaa.
Urongo kishki sio wa kenya na sio sharifu
Hili halina dini kabisaa astaghafirullah Allah aisamehe yaani hana hoja ndani ya dini yake zaidi ya mipasho hata yaani ww kasom dini umeendekeza mipasho baba zimaa
Ww waijua dini kuliko yy ama wapandia ngazi tu
Bwana huyo muislam mwenzio kama kakosea msamehe usitoe faults zake hadharani wewe ndio unajidhalilisha
Kwani hao mashekh walotia saini wamezungumzia arafa au muandamo wa mwezi , hoja ni fungal ya arafa inavyoendana si matwalii ya mwezi sina elimu hata hivyo ila ww Shekh una lako jua hayaishii hapa tutaulizwa mbele ya Allah
Watu wangu watanyoa sharubu na kuhifadhi nuevo ili wawe tofauti na mayahudi na manasara. Wewe unafuga sharubu. Huoni kama kuhalifu amri ya Mtume SAW?
Assalaam Alaykum, anachofanya Sheikh ni tofauti na Kusengenya?
Naomba kuelimishwa.
Kwa kuzingatia maana halisi ya upotoshaji na ww ni mpotoshaji no 2.
Huyu atakuwa ulamaa wa dola.
Ana element za kikafiri!!
Sheikh Nurdin ana mapungufu yake kama binadamu yoyote, ila wewe humfikii unyayo wa maendeleo waliyofanya taasisi yake kwa muda mfupi na ndicho muhimu kwetu Waislamu, bali wewe ni Hasdi na Wivu tu ndio unaokufanya useme maneno yote haya. Sheikh wetu Mkuu najua una hekima na busara Nurdin ni kijana wako kama amekosea mwite msihi na umshauri lakini usawasikilize masheikh mashavu wenye kuangalia maslahi yao na sio ya maslahi ya Waislamu.
maashallah !! cku zote abu id akieleza jambo hueleza kielimu
Kweli kabisa
hemed harouna unamkubali sababu huna elimu
@@nasibumaiko3425
Sasa Ww hapo ulipo Una Elimu gani mbwa koko Ww
hemed harouna hata sura yako inaonyesha we mtumwa wa mganga
hemed harouna mvunja Nazi njia panda wewe kafiri mkubwa
Hongera sheikh abuu...kwa kumjibu sheikh kishk...salam zimefika..lakini huu wa kwako ni upuuzi.. sana...uliojaa choyo na husdaa!! Hivi kuna tatizo kwa mtu kumiliki kitu..huo ni uchoyo..jifundishe japo kufuga ndefu..huna jipya..
Sema kweli japokuwa chungu.
Hana kweli mpumbavu tu
Yy anasoma vitabu. Itakuwa hao waloandika vitabu ndo wapumbavu... Changanua ushahidi wa vitabu na maneno matupu.. Kazi kwako. Ndo utajua kwann mazinge ni profesa.. Kinacho takiwa ni ushahidi uoneshe. Fata ushabiki utatumwa gas kwenye kiroba.