SHK MOHAMED IDD AMUIBUKIA BARAHIYAN ANATAKA KUPORA MADARRAKA YA BAKWATA ,ATOA HOJA ZA MWEZI MWANDAMO
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Hongera sana shaikh kwa kazi nzuri
Mashallah sheikh wetu
Uko sahihi sheikh Allah akupe kheri
Safi sana sheikh,,, vijana wengi wameshikiliwa akili na uwahabi,, good job sheikh Iddi
Shukran sana mwalim wangu🙏
Jazaka Allah khaira ya Abu idd
Sheikh Muhamad Idd nimejifunza kitu hapo kwenye nukta ya Khusuuf(kupatwa kwa mwezi) dalili nzuri sana Asante sheikh mungu akuzidishie
Amekupa shubha na akakutia kwenye shimo
@@zuberimussa5508ww Kama una elimu mtoe kwenye shimu na hio shubha !
😅😅😅😅
huo mfano mdhaifu ndugu, nadhani labda umesahau hoja ni mwezi muandamo..... suala la kupata kwa mwezi linahusiana nini na mwezi muandamo.......mm nahisi kinahitajika elimu zaidi hasa kuhusiana hali za mwezi jinsi unavyobadilika muonekano wake
Mashaallaah allaah akuhifadhi shekhe letu
Barakallahu fiyk alhabib Maulana Abu Idd
Ndio munasifu shekh kuwa maulana, maana yake Mungu wako?
Leonimefurahisana wallahi shekhe Mungu akuzidishie
Assalam aleykum shekh Muhammad mm nakuelewa sana kiukweli unatupanzuri sana Allah akuwezeshe zaidinazaidi tupateku stadi naelimu yako yenye baraka kubwa coz umepitakwama shekh wakubwa nawchamungu
AAAMIIN INSHAA ALLAAH ATAZIDI KUKUONGAZA
Nikweli kabisa huu ndiyo ukweli mungu awazidishie elimu na hekimaya kutuelumisha
UMEZUNGUMZA UKWELI SHEKH IDDY
SHEIKH ABUU IDDI HAKIKA ALLAH ATAKULIPA KWA WEMA WAKO.
Nakukubali sana sheikh Muhammad Idd, Hoja ulizotoa hapo ni za msingi sana, Mwenyezimungu akuhifadhi sheikh wangu
HAKIKA ALLAH AMUHIFADHI NA ASICHOKE KUWASOMESHA MAANA WAKIACHWA WATAZIDI KUWAGAWA WAISLAM KWA MASLAHI YA MATUMBO YAO WAKISIBIRI FUNGU KUTOKA KWA MAWAHABI WENZAO ILI WATUGAWE WAISLAM
Mwenyezi Mungu atakulipa shekhe Muhammad Iddi kwa juhudi zako ktk kuiongoza jamii
Atamlipa kwa kugawa waislam na kuleta fitna ? Huyo labda m mungu mwingine na sio Allah
@@musarashid7873 kwani wewe ndio Allaah?
@@musarashid7873 mawahabi kwa KUJIZUZUA nyieee!!!. Haya aliokuja na mwezi wa kimataifa kutugombanisha na mufti na kutufarakanisha ni Nani?
amina
@@musarashid7873Mawahbi mnamihemuko san na ndo maan mmesabbisha hii dini yetu tuonekn wote wahuni tu ie chimbuko hata la ugaidi n kwenu shida kwel kwel nyinyi n mtihan. Allah (S.W.T) ampe adhabu kali yule myahudi Abdul ibn wahbi, Alifanikisha san kutetengensha waislam
Mashaa Allah Tabarakah Allah sheikh umeongea vizur ila napenda masheikh ungekutana na muliweke sawa hili Kisha utufikishie waaumin maana Kuna mambo mengi mnayo nyote masheikh mara mambo ya kutoka juu ,mambo masaa na hata kutangaza
Pia kuwa na umoja ni Bora zaid maana hata nchi zingine wanakubaliana kwa pamoja hakuna kurumbana ndani ya mwezi wa Ramadan
Ahsante sana tena Sana...
Lete vitu shekh Abuu Idd
Alimjulia shekhe mwenzake shekhe wa mkoa wa Dar aliye pita
Sema babaaa
Hongeara Saba shehe Mimi nitarudi kuanzia sasa
Kwa kweli Abuu Idd unafaa kuwa msemaji kamili wa Mufti. Allah akuzidishie Elimu na maisha marefu.
Uzungumzaji wa mtu tu unahisi huyu Shekh mbali ya elimu, ana thibitisha haswa imani yake
Wanahabari fanyeni mpango wa kuwakutanisha Sheikh Barahyan na Sheikh Muhammad Eid wafanye Debate ya wazi ya moja kwa moja.
Huyu mohammed idi hana elimu ya kufanya debate na barahiyan na nikusaidie al akh fatilia mtandaoni huyu mohamed idi kashajibiwa hizi hoja zake mfu siku nyingi na hata alishawahi kufanya debate ya maulidi akavuliwa nguo huyo akakimbia. Hivyo kwa mtu asiemjuwa huyu atawasumbua ingia mitandaoni utaupata ukweli juu ya huyu msanii mwenye kutafuta madaraka bakwata. Do your research brother naamini utanufaika. Sisi pia tumetoka huko huko kwa hawa masufi walitupoteza sana.
Ndugu zangu waislamu tuwe wamoja
Huwezi kuwa wamoja kama kuna ujinga wa namna hii.
Sheghe assalam alykum, mimi nakuomba ubadilishe kiti unacho kalia,sababu kinapicha yasanam nyuma yakichwa chako,au nichashetani.nawaomba mnao tizama hii vidio kuchunguza kiti alicho kalia iddi muhammad iddi. Je nihaki?
Mbona isha tokea sana tu , kama miaka mitatu tu nyuma , dunia nzima tulifungua siku moja , labda sheikh ilikuwa hajazaliwa
ممتاز جداً 🎉❤🎉
Kazi nzur endelea nayo
Hapa saudiya hawafati pahala popote unapoandama mwezi pasi na hapa saudiya tu
SHUKRAN
Sauda Arabia ndio kuna Kaaba, sidhani kama kuna Kaaba nyingine duniani
Assante Sana kwakuwajulisha hawa mawahabi kuwa Saudia siinchi ya kiisilamu nawa WALA simuelekeo wa muandamo wamwezi ndio maana wao hawafungi kwakuandama mwezi kwingine Saudi Minchin ya kifalume na mshilika was marekani ,
@@jumakapilima7295Kaaba iko Maka na Allah ametuelekeza kuelekea Maka nahija iko Maka Allah katuelekeaza tuende Maka kufunga kutoa zaka kushahadia Allah hakutuelekeza kufuata Maka namtambue pia Saudia siinchi ya kiisilamu niinchi ya kifalume mshilika wamarekani yaani siku mfalume akitaka wale wiki inzima wasaudia watatii
Kwani tanzania(NCHI) mwezi ukiandama saudia wanaufuata?
Dahh Abuu Idd ana madini sku izi
January 1900 The Sydney Morning Herald reported that Warrimoo reached the intersection of the International Date Line and the Equator at midnight on 31 December 1899. This would have placed her bow in the Southern Hemisphere in summer on 1 January 1900, her stern in the Northern Hemisphere in winter on 31 December 1899. She would therefore have been simultaneously in two different seasons (winter and summer), in two different hemispheres, on two different days, in two different months, in two different years, in two different decades, in two different centuries.
(Swadaqta yaa sheikh)
Dunia hii ni ngumu sana😢 unawezaje kuwa na arafa mmoja halafu uzuie watu kufunga kwa pammoja,,, tusome sana Geography
Tusome dini au Geografia wacha kujifanya unajua
Mungu katupa viongozi na akili , wakati haikutekelezeka wakati wa mtume jambo ambalo ni wajibu kwa wenye vigezo basi hakuna njia yoyote duniani itakupeleka Pamoja, Mungu hunyesha mvua maeneo tofauti tofauti je angeshindwa kuamuru inyeshe dunia nzima? Inshallah Siku moja tu ya Kiama sote tutarudi kwa pamoja
Mm niko omani kiogozi naeshimiwa
Usilazimeshe kila mtu amfuate mufti wako si kila mtu ni bakwata kwanza ninyi hamuaminiki ninyi mnafuata serikali, kama jambo la mwezi ni la ki dini mbona mufti wa bakwata anasema marehem Mufti waliwahi kupewa maagizo ya kutangaza mwezi na serikali?
Kama kilanchi inamweziwake basipia kilanchi inaMunguwake tunachojuasisi Mungunimoja Dunia nimoja Mwezinimmoja aJuanimoja
Sas mbona marekan ukipatwa sisi atuoni
Yaani wewe ndo mtupu kabisa kielimu. Eti Kama Kila nchi na mwandamo wake basi Kila mtu na Mungu wao. Kwa hiyo n kipindi Cha nyuma waliokuwa wakifunga hivi walikuwa na itikadi ya miungu tofauti tofauti? Yaan ujinga ni Mzigo sana
Km JUA moja unafikiri unapolala wewe usiku na Dunia yote ni usiku? Wamelala km ww, acha ujinga wa kiwahabi
Kwenyee wajingaa wamwishoo niwewee
Wewe msabato
Shekh ukweli unakera sana waislam jaribu kuacha maneno yasiyo na maana fundisha dini watu wanakudharau mno
Acha uongo eti watu wanakudharau kua mkweli sema tu ayo maneno yanakuchoma izo hoja kwko ni mwiba
Ukishakuwa na uchache Wa fikra na ukawa ni mchache Wa elimu pia matokeo yake ndo hayo,kwako utaona kuna hoja lazima
Jibu hoja za Sheikh Qassim Mafuta
Kwani hizi hoja pia zinajibika embu zitafakali?
shekheee tofauti zilikuwepo tokea enz na enzi la msingi kustahimiliana na kuelezana kw ni nidhamu nyie woote waislam hakun wa muhimu zaid y mwingine quraan ni1 mtume wetu ni 1 mnajidhalilisha kila mtu acha atangaze acha aamini anachokiamini miskiti yetu ni mimojaa kila muislam wa nchi hiii ni mmojaaa tofauti zipo na zitaendelea kuwepo mpk mwisho w dunia
Huuummm tumuogope allaah !!! Utofauti ulikuwepo tokea enz na enz ni kweli. Lakin semeni ukweli kuwa ulikuwa ni utofauti wa nchi na nchi wala sio wa kifamilia kama mnavyopotosha. Fataqullaah !!!
Hakuna point
Toa zako
Sheikh UNAONGEA KIBUBUSA!!
Masheikh ubwabwa hawa
NIKISOMA MAONI YA WAISLAM WENGI WAMEJAWA USHABIKI/TAASUB & KUMPENDA MTU MPK KUCHUPA MIPIKA NA PIA MATUSI YANAYOPELEKEA MUISLAM KUWA FASIQ BILA KUJUA...IKH'TILAFU YA MWEZI HAIJANZA LEO KIKUBWA TUHESHIMIANE..
ALLAH AZIKUBALI FUNGA ZETU .....
Dini hatuna elimu hatutaki kusoma ndy hayo matusu unayoyaona. Upo sahihi Sana
SI KWELI. WEWE MWENYEWE MSHABIKI. UMESHINDWA KUSEMA UKWELI KUWA IKHTILAFU ILIKUWEPO YA INCH NA NCHI. LAKIN SIO HII YA NDANI YA FAMILIA 1. MTAULIZWA NYI....
Sheh njaa
Watafuta tonge BAKWATA HAO,Kwa ELIMU YAKO USILAZIMISHE tukuamini Kwa hoja dhaifu
Sema shekhee waeleweeee haooo
Huyu yupo Bakwata kwa hiyo hana jipya. Kipindi cha mtume Muhammad S.A.W Kipindi yupo technology haikuwepo Sasa hivi technology ni kubwa na Allah amesema waislamu ni kama mwili mmoja kikipata maumivu kidole basi ni mwili mmoja
Tumeambiwa tushikamane kwenye kamba moja
Mtume Muhammad (s.w.w) hajapatapo kutumia maiki,maiki na.k
Sio maiki ni speaker 😂
Kwa hiyo kila watu waone mwezi wao 😂 Dar waone wa kwao, Tanga waone wa kwao na sehemu zingine hivyo hivyo! Kwa style hii tunaweza kufikia hatua ya kila Kijiji kuwa na mwezi wake dah!
Kwa hiyo ukionekana Zanzibar na ikawa kigoma (ambako jua linachelewa kuzama) hawakuuona basi hawapaswi kufnga!! 😂
Swali la msingi, Kwa nini zama za mtume kila watu walifunga kivyao?
Jibu ni rahisi hapakuwa na uwezekano wa kupata taarifa kwa urahisi kama ilivyo kwa zama hizi.
Je kama mtume (s.w.s) angekuwepo Makka kisha akatangaza kuonekana kwa mwezi kuna mtu angeacha kufunga ?
Haijawahi kutoka wakati wa Mitume na ndio maana ukaambiwa msimamo wa mwezi wa kimataifa ni bidaa.
Wewe ni mwendawazimu
Wew kweli ni mwehu, Kwa iyo unakiri wakati wa mtume hawakufunga km mfungavyo nyny? Wewe mwehu sana mzee
Nani aliye mpa mamlaka hiyo mufti wa kwanza, Waislam au serikali? Shariiyyah ya mufti inatoka serikalini au kwa waumini? Kama ni Waumini ni wapi na lini Waislamu wa Tanzania walisema Bakwata ndio chombo chao pekee cha kuwawakilisha na kuwasemea, na sheria gani imetumika kusajili Bakwata kwa upekee sheria ambayo taasisi zingine hazi kusajiliwa nayo. Kama kutangaza mwezi ni ibada kama zilivyo swala na zaka, basi sihitaji mtu aje aniambie sasa swali sasa usiswali, kila kitu kikowazi ni uhuru wa muumini kufanya, msitupangie
Ushauri muache kujibizana kwenye mitandao nadhani nyote mpo kwanini msiweke mnakasha ili sisi tupate faida nadhani baada ya huo Mnakasha hili swala litakua limekufa kifo cha mende.
Mbona umemkimbia SHEIKH Qassim Mafuta ktk mjadala wenu haujajibu maswali huu mwaka wa tatu kama unazo hoja Si ungepeleka hizo hoja ktk ule mjadala wenu?
Mechelewa tumeshakua wengi kwa sasa watu wa sunna hatuteterek
Kwa sababu hamjielewi
@@mwawekomiuda9779sio ajabu mwanafunzi kuwa Raisi na kumuongoza mwalimu wake, ugeni wa usalafi sio hoja ya ni wana haki, na sasa wapo wengi sana
@@mwawekomiuda9779kisha tunasoma sana sana sana, na tunavyo vya kujifunza na kuiga toka kwa masheikh zetu haswaa kujipamba kwao kwa sunnah na kuacha bida'a sa kuna ambaye hajielewi kama aliyeambiwa usivae isbal na akavaa, na akaam iwa punguza masharubu wacha ndevu ye akafanya kinyume dalili muangalie huyo aliyeshika kitabu utaelewa
WATU WENYE AKILI TIMAMU TUSIMFUATE Barahyani●
ALITOA FATWA YA WANAUME KUNYONYA TUPU ZA WAKE ZAO😎
Mawaabi niwatu wakuburutwa tu maisha yao yote wanasitaiki wapewepole
😢😢serekali ndoinatupangia din hakuna ambaye yuko sahihi apa maana tumeacha din aliyoacha mtume tumekua watu wakupingan huyu ni zaid yule mmbaya mamb mamb ya bidaa yamekidhir ndomaana tumedumaza din narudia hakuna kund lolote la kiislam au manihaji yeyote ambay inaona iko sawa wote mmepotoka wazi wazi na atakaye kua sahihi ktk nyinyi ni yule atakaye kubali kuishi km maswahaba hawajawah kubishana bishana Allah anatufundisha tushikamane kwny kamba moja kiko wp maandiko yp tunayoyafata zaid wote nikupigana vijembe wala hatujenge tunazid kumpa shetan mwanya wakutugawa
Wewe kiboko yako ni sheikh Kassim subiri atakujibu majibu mazuri sana
Naomba ujibu hili swali kila nchi ihiji kwa tarehe ya wapi ikiwa watu haiwezekani kufunga kwa pamoja je itawezekana watu kuhiji kwa tarehe ya maka na wakati kilanchi wawe na tareheyao
Du jamaa hajui kama hija ni makka
Ukenda hija tayari kushamilikiwa na wenye hija utatii amri ya huko na ukiwa hujenda hija huko huko upo kwenu utatii amri za kwenu hiyo ndio mambo yalivyo
Hijjah ni ibada nyingine na inahoja zake,hoja ilioko mezani ambayo muandamo wa mwezi ramadhani kufunga na kufungua
Pia na mwez kupatwa una hoja zake !
Allah akujaalie kheri ,umeuliza swali zuri sana kwa wenye kuelewa❤
Hawa answari.nimabingwa wa kubishanaaa achaneni na waooo!'
Shekh uc hf hata sayansi inakataa ...kufunga siku 1...mfano Dunia imegawanyika mashariki na magharibi...kwenye matumizi ya kuchomoza jua na kuzama...najua wengi mtanielewa
Chrismass wanasheherekea siku mbilu? Au dunia imetofautiana masaa 24? Wap mkuu nifunz3
Kama huna elimu ya astronomy usicoment usiyajua
Tofauti ya kuchomoza kwa jua hakubatilish umoja wa siku,
Inakuwaje sisi huko hususan Tanzania tunakorogeka
Mwezi wa kimataifa unatekelezeka ndo maana tunautekeleza, akili finyu hoja mfu, endeleeni kufunga mwezi pili, na mututangazie tulipe deni la siku moja mulilotupotosha waislam
Hakunaga mwez wa kimataifa dogo mwez n wa eneo husika shida akilin zenu answar/Wahabi/salaf ziko chini ya utawala wa soudia🤣 sasa mmesahau wenzenu kule wanenunua mpk madarubn makala kuuuchek mwez hii vipi wazee wa bidaaa??🤣 haya na hata ukionekna oman au yemen hawafungui
Mfatilie kasim mafuta
@@mohammedmhina3973eneo husika kimkoa, wilaya, kikata, kimanispaa, kitongoji, kibara, au maana utueleweshe kidogo hapo
Nyie pigeni kelele lakini haki imekuja na batili imeondoka msitumie nguvu kutulazimusha kuwafuata
Mche mwenyez mungu hii ni ya Allah acheni ushabik usiokuwa wa maan kwn hta muft akitangaza ananufaika na nn mbora wenu ni yule ambae atakuja mbele ya Allah akiwa na matendo mazuri hvyo zihesaabun nafs zenu kbla hamjahesabiwa
moja wapo ya matendo mazuri ni kumtii kiongozi
@@anifasekumbo9273kiongoz kwako kauli hii aikuja kwa wanafq wala washiriqina ni ktk miongoni mwetu
Kuwa kwenye madaraka siio kuwa na elimu mnapokesea watu wenye kufata haki hawatokaa kimya,,chungeni sana matumbo yenu na itakadi ya dini
Achani ayo mambo tumuogope allah iyo mipasho tumechoka mnajishushia azi zenu
njaa zinawasumbua
Nchi zinatofautiana
Tanzania ni nch isiyo na dini watu wake ndo wanadini na kila kikundi cha dini kina haki ya kutangaza imani zao.
Aalim ni wengi sana tz,
UNAELEWEKA SHEIKH
Shekhe hapa tanzania tunatofautiana muda wa kufungua je azana inayopigwa redioni ni sahihiiiiii?
Kila mkoa na majira yake ..
Sio sahihi
Wanyooshe baba we ndio kiboko ya mawahabi
hauteke lezeki kwasababu ya maagizo kutoka juu duu😮
Jitu jinga
Hamna hoja za msingi nyamazeni tu mnachoendelea kufanya nikutaka kutugawa aliyewambia bakwata mnayo mamlaka ya kutangaza mwezi nani? Tulikaa kikao gani kilichotuunganisha waislamu tukakubalina hivo
Acha ubwege ww
Ww huna hoja bwege😢😢😢
Sub haanallaah !!! Mbona hamna haya? Waliowagawa waisilimu ni kina nani kama si ninyi !!!
@@dullnach2310ukiwez jb swal ubwege gan mwenzako kaulza
Uyu ni mzee au ni kijana mbona una ndevu,
Hata ukinyowa ndevu unaonekana mzee ,
Wewe mzee sio muadilifu kwamujibu wa mtume Muhammad s.a.w
Ijuma ni ulimwengu mzima
Ulimwengu mzima tufauti ni masa Wewe mzee kijana mnyowa ndevu mwongo
Habari ya Ndevu ni Jambo la Kimaumbile. WATU WANAZALIWA HAWANA MIKONO YOTE MIWILI!!
Wewe unashangaa Sheikh Mohammed Bin IDDY Kukosa Ndevu!?¿
Shehe ifike hadi anyamaze kama ujumbe ameshaufikisha ni jukumu la waliofikishiwa hata mtume hakuwa king'ang'anizi kwenye kulingania watu namna hii, sijui shehe anataka watu wote wafuate msimamo wake! Sidhani kama kuna muislam alienaufaham na dini yake anaweza kuitii BAKWATA!!
MMEUDUMAZA UISLAAM HAPA TZ
HATUNA
MAENDELEO YEYOTE YALE
ANZA KWANZA KUENDELEA WEWE HALAFU NDIYO USHUTUMU WENGINE
Sheikh ungepata wenzako kama 3 hawa wapotoshaji wangekimbia sema wengi wanajua ila wamekaa kimya watu wakipotezwa maana ww mara nyingi hutoa ushahidi wa vitabu lakini huyu mwanasunna yy yaonyeshi ushahidi Bali husema tu wanazuoni walikubaliana mwezi wa kimataifa mbona hujawahi taja hatammoja?
Inawezekaa hujafatilia vzr, ameidadavua hadi hadithi ambayo hua anaitumia Abuu Iddy. ukisema kua Mwezi ukionekana Maka/ Madina wakati huo nchi nyingine ni mchana sasa we umeona tabu ikowapi? mwezi umeonekana saa 1 jion, wakati Ghana ni saa 9. ukumbuke masaa matatu baadae nao wataifikia mahgrib wakati huo Maka ni saa nne usiku kwaiyo inaweza kutekelezeka kabisa. nahisi Abuu Iddy elimu ya Jiografia ni finyu kwake
Ye peke yake amemkmbia abuu fadhwil ktk rudud za 2021 aliulizwa maswal meng saana akujb ktk audio zake na kushindwa kwake akasema "Turudini ktk din za mababu zetu tusifarakanishwe" swal akaulzwa ijapkuwa ikiwa laxm kjb lkn kw mwneye akil angpata hoja, je Turudi kwenye uzaman ambapo mwanamke akitwaharika anaogeshwa na sheikh wa sehem hyo. Hilo kubwa swal dogo kasem kamfundsha abulfadhwl aliambiw ataje kitabu kmja alichufndsha mpk leo, PIA mtume alisema tupunguze sharub tuache ndevu TUMUANGALIE huyo anaysema hapo chn ya pua yake na kidevu chake wapi kumejaa ndevu - HAKUNA matusi
Ya illahi Tupe subra na utujalie elimu
Acheni kuleta uzushi kwenye dini jamani kunakusoma kujua kusoma nakunakusoma kuele waulicho kiisoma nimtihani sana mashehe wabakwata mnaizoofishadini pasnakujijua maskini
Sheikh Mohammed idi nakukubali sana hata sheikh wa mkowa wa dar es salaam alikuwa hanatusumbuwa sana mpaka ukampa usiya Sasa Leo tumeona yupo wapi dar es salaam imetuliya na sheikh mpya wakowa dar
Ushakuwa maarufu sasa Maa shaa Allah,, ndo ulichokitaka subiri mshahara wako sasa 😅😅
Wanaokoment hapa wengine ni Makafiri(Wakiristo) so waache kukoment maana hayawahusu
Duh, kweli chuk ni sum mbaya sana, yaani badala kupinga au kukubali anachosema shehe we unawaza wakristo tu 😮
Mm nakuuliza ww ukienda kuhiji maka wahiji kwa mwezi wa tanzania na je ikiwa watu wa maka wamefanya hija jana ww ukahiji kwa tarehe tanzania leo je utakua umehiji je watu wahiji kwa kila tarehe ya nchiyao au wahiji kwa tarehe ya maka
We vp Sasa kuhiji na Tanzania vinahusiana nn mwezi ukikukuta Saudia lazma ufuate mwez wa saudia half kuhiji ni eneo maalum lazma ufuate mwez wa sehem husika hata msaudia akija huku atafuata mwezi wa huku mfano mzuri Tanzania tuna ubalozi wa Saudia mbn wanafunga kwa mwezi wa Tanzania ndoujiulize wew mtanzania unaeburuzwa et unafunga kwa mwez wa popote umepata wo
Ww poyoyo Kweli, huwezi kuhiji kw tarehe ya Tz kw sababu ww upo Saudia, na ndio maana tunafanya ibada kw mujibu wa tarehe ya mji ulipo, hakuna ibada inayufanywa kwa kufuata Muda au tarehe ya nchi nyingine
Kwani ibada ya hija inafanyika dunia nzima au sehemu maalum Acha pumba
Kila mtu na uhuru kwenye dini, hata watu wa sunnah wakitangaza mwezi hakuna tatizo. Sema masufi hamuipendi sunnah ndio maana mwapiga kelele
Sikiliza hoja mara mbili mbili natumaini ukiisoma comment yako utaona umeongea jambo la ajabu Sana
Yani nyie masufi mnatudanganya sisi hatutoacha kutangaza mwezi
Unajua nimekua nikijiuliza hivi sisi Kama waislam hatuna chaumuhimu chakufanya zaidi ya mwezitu,
Hv unahc mwezi c ch umuhimu c ndio?hv unajua km ramdhn inaandama na shart z mwez?embu kaa ufkr kwnz,mwez ni jmbo kubwa sna
Aya sawa kwa mfano kila mtu atasimamia msimamo wake,kwaiyo tutachukina na kutofanya mambo mengine ya kuupeleka uslamu mbele kisa mwezi?
@@rahimkarim2306 hko kuchukiana ni jmbo jingne,lkn mwez c jmbo l kupuuzwa bro,na moja y maendeleo y uislm ni kujenga kla panapobomoka,
angalia Allah alivowatoa ukhaini ndani mioyo yenu, wenyewe mmetoa Siri za ukhaini juu ya waislam, nyinyi ni taasisi ya maagizo toka juu, c taasisi ya dini ya kiislam. Mwezi mpaka maagizo toka juu iwaambie tangazeni, halafu mnajiita viongozi wa kiislam. Laanatullah
Huyu Mwezi mchanga kweli kwa hiyo siku ya Kiyama zitakua siku mbili huyu jimwili lake linaonyesha kabisa Taahira halina ufahamu wowote
Hufahamu ww
Tulikua tunaangalia kombe la duni japan na korea saa tatu asubuhi huku kwetu kwao saa kumi na moja jioni,hatuwezi kufunga sawa hata siku moja,na kuna jimbo moja la marekani tunapishana masaa kumi na moja,haiingii akilini kabisa kufu dunia nzima kwa pamoja
Hawa hawafatili eti wanasema hatutofautiani masaa 24, ndio hoja Yao, kufunga tofauti cio lazima mtofautiane masaa 24 (siku moja) ata masaa kumi na Moja tu inasababisha mfunge tofauti 😂😂😂😂😂
Hao ambao wanapishana kotambo hiko watafanya kadri wawezavyo ambapo itaenda sawa na DINI ALLAAH HAIKARIFISHI nafsi ila kwa uwexo wake lakn weee upo sambasamba kiwakat na majir na sehem ilpotangazwa basi funga, na ukiambiwa kimataifa si laxim au haimanish DUNIA nzima bal zikiwemo nch za afrika, na nje ya bara la afrik n kimataifa tyr
Yeye katangazia jumuiya ya taasisi za answari suna hajatangazia dunia wala kulazimisha sisi tunaofunga na kimataifa tulifunga nyie shughulikieni mambo ya kiisalam yameharibika sio mwezi mnakosa ya kutuambia .
AKILI ZA KAWAIDA TU UTAELEWA
🤲ALHAMDULILLAH ALLAH KUTUPA AKILI🤲
Allaah akuongezee Elimu na Taqwa Aamiyn
Ww abuu idi si shekh kasim mafuta Allah amuhifadhi kakunyoosha ktk hili kuwa mwezi WA kimataifa hauwezekani hautekelezeki ? Au mawahabi Tu ndowanatatizo la ufahamu?😊
Ameshazoea kuhangaika na chuki zake usishangae akajibiwa mwakani tena akaja na majibu ya sheikh mwingine
Sheikh bado hujajibu hoja, barahiyan aliizungumzia katiba ya tz na znz ambazo ndio zimetoa muongozo wa taasisi za dini na mamlaka walizo nazo naona hilo hujalizungumza kumbuka unasikilizwa na watu wenye ufahamu timamu .
Elewa kichwa cha habari cha mada yake ya leo
Anatetea mashia makafiri wawazi eti anaongoza jamii mmmmh!
Sheikh kupatwa kwa mwezi ni tofauti na kuandama kwake kwani mwezi huandama siku moja Tu ila kuonekana ndio siku tofauti
Jibu hojaa ulizo pewa na shekh qasim mafuta Allah amuhifadhi
yupi naww?
Huna jipya ujumbe umepenya vilivyo. Wewe ndio ulete hoja kama unazo.
Mimi Nashindwa kuelewa mawahabi sijui huwa wanashida gani vichwani mwao, Yaani wao kazi yao ni kupinga kila wasicho kipenda wao na madhehebu yao.
Uwahabi ni uyahud
@@adamhashim3352 kabisas ndugu yangu Hawa acha wasukume wengine sio wenye akilyi zao bhana sana TU mwalimu wangu
Hacha unafiki shekhe tumbo
Na mwezi wa bakwata hautekelezeki pia so baki na wenu nasi tutabaki na wetu na barahyn awatangazii nyie
Jamani nyie mnapoteza watu mfano ni siku ya Arafa tumeambiwa watu wakisimama Arafa huku tufunge vipi tunaona watu wamesimama Arafa halafu mtangaze kufunga ni kesho
Kabla ya hv vyombo walifungaje