SHEIKH MUHAMMAD IDDI AWAJIBU TENA WAPOTOSHAJI KUHUSU ARAFA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 849

  • @hatibmintanga7325
    @hatibmintanga7325 5 лет назад +4

    Mashaallah Shekhe Muhammad iddy umeongea Vzuri sanaa,Allah akubarik Sana uendelee Kutoa Elim Alla atakulipa...
    Nlitaka Mashekhe wote wanaokataa utofaut wa Muandamo wangekuja na Hoja Thabit za Kujibu kuhusu Mashekhe hao

    • @abuuammar4924
      @abuuammar4924 3 года назад

      Sikujua kuwa Shekh Muhammad Ayoub alikuwa hakosei

  • @parasuminazi4403
    @parasuminazi4403 5 лет назад +3

    Asante shekh hatamimi nimeliona hilo Leo nilipomskiliza shekh kilemile nanikatoa maoni yangu nikawaabia wakae watupe jibu moja kwamana wanakhitilifiana

    • @shosiabdalla6880
      @shosiabdalla6880 4 года назад +1

      Swadakta parasu minazi jazakallahu khairan

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 5 лет назад +5

    Al allama sheikh Muhamad Idd uko sahihi kabisa na Allh amekujaalia ilmu na istiqama, Usichoke kuwarudisha ktk mstari wasemaji semaji, Allah baarik.

  • @HamiduMtandika-lc2tp
    @HamiduMtandika-lc2tp 8 месяцев назад

    It is not easy to keep somebody in the right track who willingly ignore the truth because of personal interest OR illiteracy.....IN FACTS MUHAMMAD IDDI IS LOGICALLY CORRECT FOR ANYONE WHO UNDERSTANDING LOGICAL STATEMENTS............OOOH ! ALLAH GUIDE US.........
    OOH ! ALLAH BLESS MUHAMMAD IDDI.......... .......JAZAKA ALLAH KHAIRA YA SHEIKH MUHAMMADI IDDI ;
    WAKO ONLINE STUDENTS HAMIDU MTANDIKA

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 5 лет назад +3

    Tatizo lao huwa wanakusikiliza kwaajili ya kukujibu, badala ya kusikiliza kwaajili ya kuelewa. Shukran sana Sheikh, Allah akulipe.

  • @rehemasalimini5466
    @rehemasalimini5466 5 лет назад

    Shukrani shekh uko sahihi haswa mwenye kuelewa na kaelewa asielewa basi ache afate tv sababu mwezi ni mmoja ila muandamo unatofautiana kwa masaa na mdio tunafuata muandamo wa mwezi nchi tulipo sio kufata ushabiki wa watu furani Shekh Allah akuhifadhi duniani na Akhera

    • @saidhoki6502
      @saidhoki6502 5 лет назад

      Ivi shekhe nikulize ujasiri wakushambulina mitandaoni mmepatawapi ndivo Shekh wenu muham madi ayubu ndivo alivo wafundisha

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 лет назад +5

    Ahsante Yaa Sheykh. naamini wako wanaobadilisha misimamo yao kupitia daawa zako. usichoke mzee wangu. Alla akuhifadhi

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 2 года назад

    Hongera Sana Shekhe, Allah akuhifadhi. Tunapitia fitna kubwa katika Uislamu.

  • @captain_kharus4784
    @captain_kharus4784 5 лет назад +5

    Masha Allah sheikh Mohd unajitaahid na huo ndio uadilifu unatoa hoja na dalili na umesimama kwa ushahidi wa masheikh na wanazuoni wakubwa

    • @bakiryusuph9971
      @bakiryusuph9971 5 лет назад +1

      Izondevu zako tuzinaonesha namna unavyo fata Mila zakiyaudi kwaiyo wasio nafikira ndio utaendelea kuwapoteza

    • @bakiryusuph9971
      @bakiryusuph9971 5 лет назад

      Ndgu yetu we apo umewekwa kwaaajili yawatu sio dini

  • @kingwabaonlinetv7914
    @kingwabaonlinetv7914 5 лет назад +9

    Sheik mi binafsi nakupenda maana unajua kufafanua na unatumia vitabu lkn wengine hawatuoneshi wanatumia vitabu gani endelea ivo ivo waislamu tunakufahamu vizur sana

    • @yusuphkwaya7843
      @yusuphkwaya7843 5 лет назад +1

      Ali Ali nikweli

    • @kassimmgwami
      @kassimmgwami 5 лет назад +1

      Hao akina Kilemile ni masheikh wa kimagharib /wakizungu.

  • @amrihamis5420
    @amrihamis5420 2 года назад

    Wallhay mwenyezi mungu akusamehee na a kuingize peponi shekh ni mkweli sana amini

  • @jumasaid8777
    @jumasaid8777 3 года назад

    Mohamed iddy wewe ni mbishi , hauna elimu ya ikhtilafu .adabu ya ikhtilafu , unajifanya wewe jambo hilo unalijua zaidi kuliko maulamaa , kwa sababu hilo ni katika masaili mukhtalafu fihha ., usijifanye wewe ni msomi sana. Wakati ni ikhitlafu ya wanazuoni .

  • @abduliddy9620
    @abduliddy9620 5 лет назад +3

    sheikh wangu abuidd uko vizur sana nimefurai ukwausaili wavitabu nimependa.sana

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад +2

      Shekhe ndevu mtoto wa kiume wewe umezinyoa umeweka wapi unalinga apo kidevuni umenyoa ndio pambo gani ilo uwoni haya shekhe wangu ?

  • @abdulhameed-ur9pu
    @abdulhameed-ur9pu 5 лет назад +1

    Lamwisho sheikh Mohammad ayyubu na sheikh khamis bin khalfan walikua wachamungu sana Allah awarahamu wazee wetu hawa moja ya tofauti katiyenu na wao nyinyi wengi ni usalama WA taifa Kwaio acheni hyo ni Kazi ya kiyahudi msigeuke kuwa askari wa pelelezi kwani walinganiaji wafundishaji wandishi acheni usalama wa taifa mtaulizwa mbele ya Allah

  • @manenohassan9537
    @manenohassan9537 5 лет назад +5

    Jazakallaahu Khayr, Sheikh Abuu 'Iddi Mohammed.

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад +1

      Hivi angekuja mtu apo yupo uchi atoa fatwa mungemsikiliza ? jawabu la sababu mwajua kakhalifu utaratibu . pia nataka mufaham kukaa kwake apo akiwa anenyoa ndevu katuwekea visharubu vyake hafai kusikilizwa kwanza akaondoe sharubu zake

  • @muslihmohd3685
    @muslihmohd3685 2 года назад

    Huyu sheikh yupo kimakundi zaidi na sio kutoa elimu, Allah akuongoze uache usufi

  • @mbossowcb1915
    @mbossowcb1915 4 года назад

    Shekhe Muhammad ayub Allah amlipe khery

  • @fahadomar6177
    @fahadomar6177 2 года назад +2

    Alafu hoja nyengine Sheikh Muhammad iddi kuhusu awo wanaopinga mwezi mwandamo mm nawauliza jee, dini haikukamilika adi ilipokuja utandawazi maana hapo Zamani watu walikuwa wakihitalifiana kwasababu kulikuwa hakuna mawasiliano ya kujua kama Maka wamesimama arafa?,
    2.) Hoja ya pili wao wakisema kama tufunge mwandamo wa kimataifa Sasa Ramadhani inaingia siku Moja na wakati mmoja jee, swali ikiwa unataka kufungua si unaangalia wakati ikiwa jua limepinduka yaani limezana basi kwa kurudia kuangalia wakati Sasa ikiwa adhuhuri imeingia Tanzania, 🇹🇿, Oman, Kenya, Sasa huyu marekani, ambae yupo nyuma kwa masaa 13, na Canada wapi nyuma kwa masaa 8 na china wapo mbele kwa masaa 7 jee wataswali vp adhuhuri mbna ktk swala tunahitilafiana Sasa wao wanashangaa kuhitilafiana kwenye mwandamo wa mwezi

  • @yuzaaseif3040
    @yuzaaseif3040 5 лет назад +1

    Wew umekubaliwa na Shekh tangu hujazaliwa mashaa Allah mung azidi kukupa elimu

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 5 лет назад +3

    IMAMU AHMAD ALLAH AMRAHAM HAKULAUMIWA KWENDA KINYUME NA KAULI ZA IMAMU SHAFII ALLAH AMRAHAM IWAJE WEWE UWALAZIMISHE MASHEIKH WALAZIMIANE NA KAULI YA SHEIKH WAO.!! KAMA SIO KUKOSA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! RUDI UKASOME BWANA

  • @kanyasicongo7918
    @kanyasicongo7918 5 лет назад

    Hebu jifikirieni sana mufti waoma kazaliwa Zanzibar na akaja kuwa mfuti waoman hiyo nidalili yaelimuyake kubwa mimi naona allah kampakipaji kikubwa sana chakufahamu mambo allah amuhifadhi amin.

  • @hatjjuma6150
    @hatjjuma6150 2 года назад

    Tunajua kuna baadhi ya mambo yanamapishano ila yasiweke tofauti baina ya sisi waisilam.Alhamdulilah tupo kwenye haki kwajili ya shahada zetu.

  • @m.othman866
    @m.othman866 5 лет назад +10

    Mi binafsi nimekuelewa sana tena sana na zaidi ya saaaaaaaaaaana.

    • @theworldandcraziestguys2729
      @theworldandcraziestguys2729 5 лет назад +1

      Nieleweshe na mie Maalim mimi sijaelewa badoo la3laa wewe umemuelewa kuliko wengine

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Mimi nasema Abu idi kabla hujausemea uislaam chochote kaondoe sharubu zako katafute ndevu ulizonyoa una hata haya

    • @shariffhabshy6770
      @shariffhabshy6770 5 лет назад

      @@jumamnyage5395 Nini aliekufundisha sheria ndevu ni fardhi ni sunna ilio kokotezwa. Kwahivyo mashia na mabohora wako sawa.

    • @theworldandcraziestguys2729
      @theworldandcraziestguys2729 5 лет назад

      @@jumamnyage5395Ahahahahaahahahaha Linajifananisha na majusii....من الذي أمرك بهذا يا أبى عيد!!!!!!

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 лет назад +2

    Sheikh Muhammad upo sawa hao mashekhe wanatafuta umaarufu hawana Hekma

  • @hashimfarsy1828
    @hashimfarsy1828 5 лет назад +9

    Usiifiche haki ukaidhikhirisha baatil ila jitambue hiii dunia tu usione unapta nofu ukaonaa ohook kuna mauti

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Huna sifa ya kusikilizwa yan ndevu zako umeweka wapi unaboa wewe yan hakuelewi ila mtu bariidu katika watu

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 лет назад +5

    Allahumma baarik yaa sheykh

  • @kaulimakame9444
    @kaulimakame9444 5 лет назад

    Hoja siyo kumpinga au kumjenga MTU au kudhalilishana. Toeni hoja za kielimu zisizoonyesha kasoro za elimu ya Jiografia. Hoja za kbezana na za uchonganishi hazitusaidii sisi waumini wenu. Ilindeni Dino msilinde maslahi yenu au kutafuta umaarufu.Allah tulinde na elimu iliyofunikwa na hawaa za nafsi.

  • @duniaileile5522
    @duniaileile5522 5 лет назад +3

    MAASHALLAH MAASHALLAH
    SHEIKH WAWEKE SAWA !!!!!!!!
    WATAKUELEWA TU ONE DAY!!!
    Yaani kwa ubishi wao wanataka ulimwengu mzima wafunge pindi watu wako arafa 😇😇
    Wanawaambieje wale amabao kwao inakua ni usiku pindi watu wako arafa????
    Ni masuala ambayo wanabaki kutumbua macho 😬😬😬😂😂
    Iko siku watarudi tu kwenye haki..

  • @kaifamstafa9871
    @kaifamstafa9871 3 года назад

    ABUU MUHAMMAD IDD WEWE NI SUFI UMEPINDA! ALLAH AKUONGOZE KTK SUNNAH .... Wewe ndiye mpotoshaji huna hoja kwa Abul fadhil

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k 4 месяца назад

      Huo usufi waingiaje hapo kama una dalili Lete wewe ndio mpotoshaji na mungu akuongoze

  • @wakatikhamis8281
    @wakatikhamis8281 2 года назад

    Mashallah sheikh uko juu kuwaliko wapinzani wko,,,wafunze waelewe

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 5 лет назад +11

    MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI
    WANAKUELEWA SANA BALI KUKUBALI HAWATO KUBALI KWA KUTETEA HADHI

    • @MohamedAli-ip4iq
      @MohamedAli-ip4iq 5 лет назад +1

      Acha upotofu lete dalili ya kuh arafa ni mwez 9

    • @user-hb8vi9fx6g
      @user-hb8vi9fx6g 5 лет назад

      @@MohamedAli-ip4iq
      LETA KWANZA DALILI YA KUWA SIKU YA ARAFA NI SIKU WANAYO SIMAMA MAHUJAJI KWA MUJIBU WA HADITHI ZA MTUME

    • @yusuphkwaya7843
      @yusuphkwaya7843 5 лет назад

      الزغوي الزغوي namu malimu

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 5 лет назад

      Umesema kweli kabisa

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k 4 месяца назад

      ​@@MohamedAli-ip4iqfungua vitabu vyote vya fiqhi utaona vinasema siku ya arafa ni mwezi tisa wa dhulhijja wala hakuna kitabu chochote Cha fiqhi kinacho sema siku ya arafa ni siku ambayo mahujaji wamesimama kwenye viwanja vya arafa

  • @mohamadally5732
    @mohamadally5732 5 лет назад +3

    Sheikh nimekuelewa sana na asiekuelewa hatukuelewa mpka roho yake inatoka

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 лет назад +3

    jitahidini masheikh mkae pamoja muwelewane

    • @saidimiraji1903
      @saidimiraji1903 5 лет назад

      hassan mahmud mohamed hapo ndugu yangu ninakuunga mkono

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 5 лет назад +6

    Sheikh Abu ldd usijupaue moyo kuna watu ni summun bukmun ummyun na wengi wengine siwasomi wao wamjibu Sh. Swaleh Al Utheimin.

    • @abuualban12
      @abuualban12 5 лет назад

      Wanachuon wanamuheshimu sheikh swaleh al utheimin lakin, amekosea katika hilo Na zipo qauli sambaba na sheikh Alban na ibn baaz wakielezea juu ya kufunga siku ambayo mahujaji wanasimama siku ya 'arafa.

    • @abuualban12
      @abuualban12 5 лет назад

      firqatunnajia.com

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Abu idi kwanza ndevu zako umeweka wapi msizame kwenye arafa kua kidevu kama .....alafu sharubu umeacha ni mafunzo ya nani ?

  • @suleimanmwalimu3018
    @suleimanmwalimu3018 5 лет назад +1

    hongera shekhe umeongea vizuri sana tunahitaji mashekhe kama wewe mweledi

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 лет назад +2

    Allah akubarik. wewe na Shekh wako

  • @mzeewa6999
    @mzeewa6999 4 года назад

    Mtume Muhammad s.a.w. anasema nyoweni mustachi na fugeni ndevu mtofautiane na mayahud

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k 4 месяца назад

      Hayo mambo ya ndevu na masharubu yaingia wapi hapa hali mjadala ni kuhusu saum ya arafa Wacha fitina zako hizo zako ni chuki kama una hojja jibu

  • @athumanmohammad5052
    @athumanmohammad5052 5 лет назад +14

    Usisahau kuhitimisha hoja zako kwa kutathimin kuwa wafuasi wako wanazidi au wanapungua

    • @hafidhsaleh7878
      @hafidhsaleh7878 5 лет назад +2

      Athuman Mohammad hoja cio kuzid au kupungua kw watu, hoja ni kufuata haki tu

    • @bokerarahaa6533
      @bokerarahaa6533 5 лет назад

      Mi niliongezeka inshaallah

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 5 лет назад

      Ukweli ni kuwa wafuasi wake wanapungua!!!!

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 5 лет назад +5

    Shaikh Muhammad Eid najua utapitia comment zetu. mimi nina maoni yangu kwako kwa maslahi mapana ya dini yetu..... kosa halirekebishwi kwa kosa, wale unaowaona katika mashaikh tunaowahishimu kuwa wamekosea andaeni meza moja ya sulhu haya mambo muyaoongee indoor n sio humu mitandaoni, italeta fitna kubwa.
    pili nakushauri tena mwalimu wangu, mkubwa hakosei,kama unakiri kuwa shaikh ni kaka yako basi yeye ni mkubwa kwako jishushe msishindane, nachelea zaidi fitna ambayo itaondosha mapenzi baina yenu. Tatu waliokujibu sio hao tu, nimesikia clip z mombasa kutoka kwa salafiy na nyingine ya qasim mafuta markaz pongwe, nae ametoa hoja nzito tu kama ukipata muda zisikilize na kama unaona kuna majibu dhidi ya hoja zake kwa maslahi ya umma basi unaweza kutoa darsa za kuzijibu ili watu wajue mbivu na mbichi. mwisho kabisa mnaweza mkaratibu mdaharo baina yenu na jopo la mashaikh wa msimamo huu na jopo la mashaikh wa msimamo ule na mufti akiwepo na ikiwezekana mwalikeni na mufti wa suudia aje aamue mtafaruku wetu ili tujenge umoja wetu na si kubomoa.
    Naomba kuwasilisha na Tawfiq inatoka kwa Allah.

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 5 лет назад

      Jazakallahu lheir umezungumza kwa busara na hekima,tatizo elimu ndogo,mdahalo utaleta muongozo,lakini kuna wengine wanatengeneza umaarufu.

    • @yahayaathumani1588
      @yahayaathumani1588 5 лет назад

      Hawa masheikh wanatumia hii mitandao kwa maslahi binafsi, wanasubiri likes na subscribers wachukue mshiko RUclips, wangekuwa na busara wangeitana na kumalizana wenyewe halafu wangetujuza nini sisi tufanye

  • @abdulhameed-ur9pu
    @abdulhameed-ur9pu 5 лет назад

    Allah amrahamu sheikh wetu sheikh khamis bin khalfan mudiru WA madrasat ihyai mtoni kwa azizi Ally amewafundisha wanafunzi wake taswaufu ya hali ya juu kabisa hutowasikia wakibishana na yoyote kiukweli ni mfano wa kuigwa sana natamani wanazuoni waleo wangefata silsila kama hii wallah wange izza kubwa

  • @alishariffshariff9083
    @alishariffshariff9083 5 лет назад +1

    Kweli yako Sheikh Mwenyezi mungu ashasema katika surah arrahmaan (mola mashariki mbili na mola magharibi mbili)

  • @barakasinna844
    @barakasinna844 3 года назад

    Dunia inaweza kuwa ndan ya siku Moja Ila tutakua katika vipande tofauti vya siku wengine watakua usiku wengine watakua mchana

  • @uwesusinde9976
    @uwesusinde9976 5 лет назад +2

    Yaani we Mohammed Iddy utaendelea kuwa mjinga kabisa pamoja na wingi wa vitabu vya madhehebi ya kishaafia kutoa maelezo kuwa wazi lakini bado wazidi kubisha na kupotosha watanzania na kua mkaidi tu.

    • @hafidhsaleh7878
      @hafidhsaleh7878 5 лет назад +1

      Uwesu Sinde kw upande wangu mm cjaona upotoshaj wake hapo!
      Just kasimamia mcmamo wake kw kujenga hoja na cio vyengnevyo!
      Ktk masheikh wote nliockilza hoja zao wamekubal kua haya mambo yana khilafu tangu zaman lkn jambo nililoligundua na la kushangaza ni kua upande 1 unajiona bora na upo sahihi kulko upande mwengne!

    • @uwesusinde9976
      @uwesusinde9976 5 лет назад

      @@hafidhsaleh7878 c kazi yetu kumfanye mtu aongoke ni kazi ya Allah hiyo sisi kazi yetu ni kuwabainishia watu haki.

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 5 лет назад +11

    HUNA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! MBABAISHAJI TU

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Ndevu Abu idi ebu achana na misimamo ya kihizbi jifunze upya dini umepoteza njia shekhe wangu Abuu idi ttz njia ushaikosa

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 5 лет назад +2

    👍

  • @brotherissesu
    @brotherissesu 5 лет назад +7

    Mm hoja yangu kwa shekh eid naona uislamu ni dini pana sana sasa tunatakiwa tumfuate Allah na mtume. Mashekh wanaweza kukosea na mwamedi Ayoub ni binadamu pia anaweza kukosea. Mkishindana kwajambo lolote rudini kwa Allah na Mtume.

    • @hamidharunsaid1666
      @hamidharunsaid1666 5 лет назад +3

      Hehee me naunga mkono maneno yako kaka. Lakini hii dini twasomeshwa na kupata ufahamu wa dini kutoka kwa mashekhe hakuna malaika aliyetumwa kwako au mtume kukufundisha. Mashekhe wanachukua nafasi katika dini kaka

    • @jumasukari8082
      @jumasukari8082 5 лет назад

      @@hamidharunsaid1666 Shukrani kwa Mwongozo wako unaolinda heshima ya Masheikh.

    • @rajabujuma4976
      @rajabujuma4976 5 лет назад

      Upo sawa lkn dini yetu tukufu, mafundisho yake yapo kwa lugha ya kiarabu na watu wengi, tunamatatizo ya kuijua lugha hii ya kiarabu kwa ufasaha wake na upana wake bali tunachukua tu tafsiri za juu juu na ndo maana hua tunakua wabishi na hatunufaiki kabisa na elimu yetu tukufu

    • @rajabujuma4976
      @rajabujuma4976 5 лет назад +1

      Na hatuwezi kumfuata Allaah na Mtume bila kupitia kwa Mashaykh walosoma vizuri nafasi yao ni kubwa sana ktk hii dini na tukifuata tu kama tutakavyo, ndo utaona tunavyo pingana kwakuto elewa kama sasa

  • @abdulhameed-ur9pu
    @abdulhameed-ur9pu 5 лет назад +1

    Sheikh Mohammad ayyubu ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa sana tanzania Allah amrahamu ila kwa usulubi wenu huu nyote mmemukhalifu sheikh wenu moja ya Kazi alizo zifanya ni uandishi wa vitabu Mpaka hata sisi tuishio nje ya nchi twa visomesha sana Kwaio fanyeni dawa pili safisheni nyoyo kwa kusoma vitabu kma vya Kina imam ghali ibnu aatwaillah ssakandary imam haddad alhabibu Ally Mohammad alhabshy Al imam abdallah ba saudani alafu mushughulike na utunzi wa vitabu

  • @machedajanka669
    @machedajanka669 5 лет назад +7

    Umeeleweka vizuri sana

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Hakika hii elim ni dini tazameni kutoka kwa nani mnachukua dini yenu ? maneno ya ibn siriin Shekhe wangu Abu idi umepoteza sifa ya kuchukuliwa elim yako wewe ni hizbi , Yan umenyoa ndevu umeacha sharubu Allahu akbar .

  • @aishamalaki116
    @aishamalaki116 5 лет назад +11

    ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie kila lenye kher na wewe tumekuelewa na wanakuelewa na watakuelewa! Wasione haya kurudi kundini

    • @abdullatwifujuma3745
      @abdullatwifujuma3745 3 года назад

      Sawa we Sufi unaongeaje HIV , umemwagiwa. Maji ya moto au , lipotoshaji likubwa hilo

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 3 года назад

    Upo vzr sn Allah akupe umri mrefu mashaa Allah

  • @allisekondo4951
    @allisekondo4951 5 лет назад

    Allah akulipe kila la Kheri kwa kazi kubwa,unayo ifanya.

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Abuu idi shekhe uliopoteza manhaji ndevu zako umezizika wapi ?

    • @user-pz8cb9cj3i
      @user-pz8cb9cj3i 5 лет назад

      wallahi mm namkubali huyu sheikhi coz huku saudia hata iDD inaswaliwa sakumi na mbili na kwetu africa hua ni sambili mda haupo sawa kwahio sheikh apo sawa

  • @whonshineargay2543
    @whonshineargay2543 5 лет назад +1

    Ahsant ya Sheikh Saddaqta.Hao si makosa yao illa ni Uchache wa Elimu...Na waki Elimishwa hawataki Hao watu Hatari Sana.

  • @fahadomar6177
    @fahadomar6177 2 года назад

    Mshaallah kwa majibu mazuri Sheikh Muhammad iddi

  • @princeshurem9575
    @princeshurem9575 5 лет назад +1

    Allah ni mmoja dini ni moja mtume mmoja jua ni moja mwezi mmoja mwezi ulionekanwa saudia ndo mwezi huoo huoo tuliouona huku tofaut yake ni ukubwa tu..... Na siku ya kuona je kma hatujaon kwetu kutokana na mawingi inabd tusifunge

    • @bongatv3157
      @bongatv3157 4 года назад

      Wapo watu wa astronomy Tanzania lazma utaonekana kwa vyombo hatakue na mawingu vp, tatizo ni tarehe za muandamo wa mwez kila eneo ndio tofaut ya arafa inaanza apo.

  • @machanochum1969
    @machanochum1969 2 года назад

    Inasikitisha sana kuona leo masheikh wetu wanasimamia misingi ya kutokupingana lakini wanazidi kudidimiza na kuleta taharuki na sitofahamu kwenye dini ya allah

  • @dullysavage5939
    @dullysavage5939 2 года назад

    Unganisha waislamu tuwepamoja usitutenganishe na tumche mola duniani tunapita .

  • @abdukadiliissa8076
    @abdukadiliissa8076 4 года назад +1

    Unaacha mustachi Duh huyu kwelii mjinga wa ilmu ya Dini

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    jirekebishe

  • @salumalabry9627
    @salumalabry9627 5 лет назад +5

    Allah akuhifadhi inshaallah. Unaeleweka vizur tu

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 5 лет назад

      Yan ungejua nikikutana na mtu amenyoa ndevu ameweka sharubu naona kama nimekutana na mmajusi na nikumuona mtu ameacha ndevu ameondoa sharubu naona kama nimekutana na swahaba wa mtume .

  • @harunankusa1705
    @harunankusa1705 5 лет назад +1

    Muhammad idi hadithi ulizo tajiwa na qauli za ulamaa bado hajaelewa tu rudia hadhi hizo na uzitafakari uzuri alivyo taja mtume saumu ya arafa hakusema saumu ya tisa angalia mudhwafu na mudwafu ilayhi angalia haqi na uifuate

  • @bxgdhydydh6505
    @bxgdhydydh6505 5 лет назад +1

    Shekhe msengenyaji

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 5 лет назад

      Kusengenya ni kusema akiwa mwenyewe hajui. Hem kasome clazma useme

  • @omarymussa4815
    @omarymussa4815 5 лет назад +4

    Miongoni mwa masheikh wa hovyo tena mwenye chuki na answar ni huyu anaona bora mashia kwasababu jalala shia wa kigogo wamesoma kwa sheikh mmoja bin Ayub rh

  • @salumkomba7682
    @salumkomba7682 5 лет назад +1

    ALLAH AKUZIDISHIE SHEIKH... USIKATE TAMAA SISI WAISLAAM TUNAKUELEWA SANA

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 5 лет назад +11

    Sheikh gani wewe una sharubu kama wapishi wajikoni.sheihk ajiweke kama makufar wewe hatukutambuwi kasome mwanzo ujuwe dini yako vizuri alafu uje utupe elmu

    • @sefosaide7014
      @sefosaide7014 5 лет назад

      Wewe unamtukana shehe kisa ndevu tubia uchungu sio midevu

    • @ahmedkhamis2567
      @ahmedkhamis2567 5 лет назад +1

      Hana maneno

    • @allyhassan7522
      @allyhassan7522 5 лет назад +2

      Hata mi namshangaa kujifananisha na makafiri kufuga masharubu haliyakuwa tumeambiwa kuzipunguza.May Almighty Allah guide him to the right path.

    • @allyhassan7522
      @allyhassan7522 5 лет назад

      @Mustafa Jumah Sasa hayo ni meneno au au povu?

    • @user-ql2om7qj3v
      @user-ql2om7qj3v 5 лет назад

      @Mustafa Jumah mazuzu muko wingi sana.hata wewe zuzu mwengine

  • @sheikhsheikh1291
    @sheikhsheikh1291 5 лет назад

    Sheikh Muhammed Iddi ni mwalimu 'ulamaa mzuri tuu ila ananishangaza ninapomuona anapuuza sunna ya kufuga ndevu na kuacha sharubu pekee...kuna siku moja nikaribia kugombana na rafiki yangu aliponitania kwa kuniambia "wewe unamkubali sana sheikh wako Muhamed Iddi ila nadhani hujui kuwa is a man of system kwa kivuli cha dini" yani nilikuwa mkali na tulikaribia wiki hatusemeshani kwa kumsema vibaya sheikh wangu huyu.

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama6099 5 лет назад +1

    Mmeshindwa kuunganisha waislam na kusimamisha hukmullah mnachapana mwenyewe. Masheikh pesa bhana

  • @HamisiAli-uy3sg
    @HamisiAli-uy3sg 2 года назад

    Haki ndo hio lakin
    Njaa na tumbo linadai
    Enakuwaje umesomweshwa ukiwa Mtoto Hadi umekuwa..mtu mzima..lakin unakubali vipi na kutojiamini
    Kujidharau na kumfharau Mwalimu wako wa zamani...
    Kumkubali haya ya kugeuzwa kwa maslahi Basi pia kubali mlioyaabudu mda huyo pia hayakuwa sawa...anzeni kufanya hoja mlipe mlichokikosea siku zile..

  • @zaidumohamed8118
    @zaidumohamed8118 5 лет назад +3

    HAKUNA SABABU WEWE SHEKH MOHAMED KUMUOMBA RADHI KILEMILE NI MPOTOSHAJI TU NA NI MKOSA RADHI WA SHEKH WAKE MOH AYUUB SALAMA YAKE AJIREKEBISHE

    • @abdichamshama9460
      @abdichamshama9460 5 лет назад +1

      Kwa hiyo sheikh hakosei!?amekuwa malaika!!?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Al marhumu sheikh kilemile alikuwa mwanachuoni mkubwa, huwezi mfananisha na huyu mhuni abuu idd

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 5 лет назад +20

    Wewe Ndio mpotoshaji

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 5 лет назад

      amepotosha nini?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      @@Suleimansalum kasome!!

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 4 года назад

      @@jumakapilima5674 ivi hadi hii leo mnaenda kufukua hizi video kwa lengo gani, ivi nimimi au weee nani ambae anayetakiwa akasome hapa?

  • @mahmoodyahaya6058
    @mahmoodyahaya6058 2 года назад

    Shekh jikite kuwalingania watu waingie ktk Dini na waislam waache madhambi kuliko kuleta ushindani ktk Dini. Unazingua sana

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali5989 5 лет назад +2

    Kwanza shehe nyoa masharubu na ufuge ndevu ndio uzungumze sunna za mtume (sala na salam zimshukie juu yake) .

  • @mroojnr.2756
    @mroojnr.2756 5 лет назад +2

    Hana chochote cha kujibu zaidi ya yeye kupotosha umma, ye analinda tu tumbo lake.

  • @parasuminazi4403
    @parasuminazi4403 5 лет назад +9

    Shekh watakuelewa tuu .japosuala lenyewe nisunna lakin linauzitowake.Tutaenda sawa tuuu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 2 месяца назад

    Mufti.sio.mpango.wa
    .mungu.mpango.wa.ccma

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 5 лет назад +1

    Shekhe wa kichangani nimemuelewa sema shehke huyu hajamuelewa wote ni msimamo mmoja inshaallah mungu atusimamie

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 5 лет назад +4

    Shukran sheikh umetutoa wasi wasi

  • @mustayoo
    @mustayoo 3 года назад +2

    Assalam alykum. Sheikh kutoweka ndevu ndo upotovu.weka ndevu kama alivyotuusia mtume

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k 4 месяца назад

      Umekosea hojja sasa waingilia masala ya ndevu ukweli unaumma toa dalili zako wa ngonjera

  • @elikambembela306
    @elikambembela306 3 года назад

    Tuludi katika quran na sunna shekh allah atatuongoza

  • @jumajafari7206
    @jumajafari7206 3 года назад

    elimu hunna acha bidaa zako ww huna hoja za msing nakushaur Taft kitabu Cha fiqh us Sunnah upte SoMo kwanz pia naona huelew kuhusu dini pia ptia vzur fatwa inb uthayeemen uelewe vzur we co shekhe we ni jahiri ebu uache porojo prove your words with correct words as akhar Sunnah waljamaa do asalaf Saleh cjw tukuite jna gan we kwanz ndev unenyoa na tumekatazwa kuwasikilza nyiny watu wa bidaaaaa dah subhanallah

  • @mohamedmnjeja70
    @mohamedmnjeja70 5 лет назад +1

    Tarehe yetu na makka ni moja shekh

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 5 лет назад

    Shekhe umezungumza wallahi Mwenyezi Mungu akulipe. Hatuna raha majumbani wallahi hatusikilizani kwa ushenzi wa hawa wahuni kwanini Mufti hawawachukulii hatua. Ndoa zipo utatani kwa kula mwezi haujandama ckukuu. Yaani ramadhani ndio shida afadhali hio arafa ni sunna wala hainipigi kichwa

  • @yuzaaseif3040
    @yuzaaseif3040 5 лет назад

    Kilemile ana laana ya Shekh Muhammad ayoub ndoman saiv haeleweki

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 5 лет назад

    Mimi ninachoshangaa wanaposema masaa yanpishina wanataka America kwani nyie tz mmepishana masaa mangapi na saudia?huko American na ulaya yote siku ya arafa ni moja waote wanafata saudia ni nyie huko Africa ndio wenye mashindano kila shekhe yupo juu subhanallah

  • @abilahihaule1251
    @abilahihaule1251 5 лет назад +2

    Hivi nyinyi amuoni munatuharibia funga zetu hadi tunashindwa kufunga kwasababu ya elimu zenu?
    USHAURI
    1.ufanyike utafiti wa kisayansi dhidi ya mwezi na maeneo yote duniani kisha litolewe jibu sahihi. Kwa sababu tukisema tuwasome na kuwafuata mashekhe kila shekh anaupande wake alioutolea fatuha, hii haitoi jibu sahihi zaidi ya maneno ya vitisho.
    2.Turudi ktk Quran na hadithi wakati wa kufanya utafiti huo.
    3.Tumwogope Allah tuache kuiharibu dini yake.
    Inshaallah.

    • @hafidhsaleh7878
      @hafidhsaleh7878 5 лет назад +1

      Abilahi Haule saf sana, umetoa hoja nzuri coz wakituambia tukasome bac hili jambo halitokaa saw mpka wao masheikh waunde jopo LA wasomi wa pande zote 2 walitafutie ufumbuzi hili jambo.
      Lkn maswali ya kujiuliza ni!!
      1) Mbna Oman hawafuat Saudia tangu zaman!? Na hujawahi kuwaskia Oman wakilumbana na saudia kuhsu hayo mambo ilihali
      wao ndio wana elimu kubwa za dini kulko cc Tanzanian
      2) Mbona masheikh wa Makka wanaokuja Tanzania wakiulzwa kuhsu haya masuala ya khitilafu hawasemi kua Tanzania lazma mufuate saudia!?? Na badala yake hua wanasema watu wamfate mufti wao ktk eneo husika!

    • @abilahihaule1251
      @abilahihaule1251 5 лет назад +2

      @@hafidhsaleh7878
      Amani ya Allah na rahama zake ziwe juu yako. Hata hayo maswali yako yanaonesha kuwa utafiti wa kisayansi unaitajika ili kuliondoa hili.

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 3 года назад

    Waisilamu tuweni mankini kwadini yetu yale yasawa tuyafate ili tufaulu mbele ya Allah tusieke ushabiki katka dini

  • @abrahmanally2665
    @abrahmanally2665 5 лет назад

    Huyu sheikh idi hatakuswali haswali mtihani kweli Allah amwongoze

    • @hafidhsaleh7878
      @hafidhsaleh7878 5 лет назад

      Abrahman Ally " unaweza kuthibisha hayo maneno yako mbele ya Allah!!?? Au unaongea kwa sabab za ushabik tu kw kua hoja zake zina mashiko!

    • @abrahmanally2665
      @abrahmanally2665 5 лет назад

      @@hafidhsaleh7878 naam naweza

    • @nyarukamoramadhani9855
      @nyarukamoramadhani9855 5 лет назад

      Abrahman Ally chukua tahadhari

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 4 года назад

      Abrahman Ally afwan akhy kweli huyu jamaa haswali

  • @ibrahimracho4203
    @ibrahimracho4203 5 лет назад +1

    Mwanzo we mwenyewe umekhalifu hadithi ya mtumeﷺ aliposema khaliful yahuda wa nasara.sasa we we umenyoa ndevu ukaacha masharubu itakuaje sasa.nani mpotoshaji

  • @bilalabas7567
    @bilalabas7567 4 года назад

    Sheikh uko sahihi maelezo yako yapo wazi wanayaelewa ila hawataki tu kuyakubali hao.allah atawaongoza

  • @ahmadazubeir5112
    @ahmadazubeir5112 5 лет назад +1

    Tatizo ni kwamba weengi tunaocpment hapa hatuna elimu ya dini/sheria bali tunaubishani. Lakini huyu Sheikh yuko sahihi Wallahi kwa haya anayoyazungumza. Mimi binafsi nimemuelewa sana na namkubali sanaa.

  • @issaisandeko6217
    @issaisandeko6217 2 года назад

    Kwa hiyo kama ulifundishwa na mwalimu mpotoshaji au hakua na elimu flani hata ukiujua ukweli unatakiwa uendelea kubaki na msimamo wa mwalimu wako. Kweli huu ndo upotoshaji sasa

  • @alishariffshariff9083
    @alishariffshariff9083 5 лет назад

    May Allah rewards you Sheikh Iddhi

  • @katalayshemndolwa3146
    @katalayshemndolwa3146 5 лет назад

    Mashaallah

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 5 лет назад +3

    Allah akulipe kila la kheri sheikh nimekuelewa sanaaaa. Hoja zinaingia kiakili na zina dalili, na zimesimamiwa na wanawachuoni wakubwa ulimwenguni tena wa hukohuko Haram Makka, kama Ibn Baz, Ibn Uthaimin, Al Sheikh, Albany, Al Fawzan, na hata wa Oman Al Khalili. Yaani wanawachuoni wote hawa wawe wamekosea ila wenye haki ni maustadh wa Tanzania tu.
    Tuache utani jamani. Shikamana na wanawachuoni, hawa maustadh wa Tanzania wanaotaka wafuasi na majina na wasiokuwa na ikhlas tuachane nao
    Allah atuhifadh na awahifadhi wao

  • @yahayasalum2943
    @yahayasalum2943 3 года назад

    uwezo na elimu ya Abuu Iddi ni mdogo saaana

  • @abdulhafidhkilimbi3939
    @abdulhafidhkilimbi3939 3 года назад

    Muhammad iddi keshaelewa somo ila anamuogopa kiumbe ambae ni shekhe weke

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 5 лет назад

    Allwahumma aamiyn,

  • @duidala3228
    @duidala3228 5 лет назад +2

    Mufti waOman ni Ibadi

  • @jumanatani1821
    @jumanatani1821 5 лет назад +6

    katika mashee nisio wakubali uyuu

    • @salumjuma9072
      @salumjuma9072 Год назад

      NA KTK WATU WAJINGA DUNIANI WEWE NI MMOJA WAO

  • @mrangi4454
    @mrangi4454 5 лет назад +1

    Asalaam Aleykum warahmatulahu wabarakaki shekh kwanza hakuna takhala katika Asalaam

  • @mooking7913
    @mooking7913 5 лет назад

    Umoja wa waislam Tz ulikufa baada ya kuanzishwa bakwata sheikh sema ukweli na muogope mungu wako.