Kila dunia ikisogea ndio upumbavu UNAZIDI sio kuelimika kuna ZIDI. Kila ukiona sasa mnaelimika ndo kupotea huko. MTUME SAW AMESEMA " SHIKAMANENI NA YALE MLIOYAKUTA" SIO MNAYOYALETA.
Mi Mufti nimemuelewa saana ameonyesha umuhim wa iyo Siku ya Arafa... Mwenye akili kaelewa Wala hajachukua muda kueleza mambo mengi ila ukaeleweka saana, msiache Arafa iwapite ndugu zangu... Mufti akiwa ktka viwanja vitukufu hataki kuingizwa na maswala yenu ya Bakwata kule yupo ibadani..
Ukiwa saudia lazima ufuate pale ulipo sawa na akiwa nyumbani afuate mwezi wa pale alipo na saudia hawana mwezi sisi oman hatufuati saudia sisi tunafuata mwezi kama Tz maana saudia wao kwao ni kalenda
Hapana saudia pia wanafata mwezi musiwazulie uongo.kama Oman hamukuona mwezi ni sawa ni haki yenu arafa kuwa jumapili.lkn saudia waliona mwezi mbele .kwa hiyo usiwazulie wasaudia uongo ambapo kila siku twawaona wakiangalia mwezi
kwakweli wa Tanzania wanatakiwa kuwa makini na KIONGOZI kama huyu Leo wanasimama ARAFAT na yeye piya akiwemo ila kule nyumbani Tz anawaambia ARAFA nisiku ya Ijumaa3 kweli nikiyongozi huyu!!!
Huwa mnaombea dua wana siasa tu Rais, mawaziri na wabunge. Mnasahau kuombea pia majeshi yawe na hekima na Allah awape mioyo ya uzalendo na subira. Maana wakikasirika siku ndio mtaona km mtaabudu kwa raha. Jifunzeni hapa Afrika nchi kibao zimeshikiliwa na majeshi sasa hv maana dua zenu mnawasahau sn wakati wao wakikiwasha hao mnaowaombea hamtowasikia tena! 😢
Naamini nafasi za ufadhili kwa waislamu kwenda hija zinatolewa kwa BAKWATA , chondechonde tunawaomba mtumie uadilifu kuwapa waislamu hususan wale wasio na uwezo kwenda kuhiji, badala ya kuzitumia nyinyi wenyewe kuhiji mara tano tano, lakini pia nafasi hizo zigawiwe pia kwa waislamu wa Zanzibar
ruclips.net/video/g_JXRt5EOTQ/видео.htmlsi=tn0cgK5CXKQHxCHi HAKUNA HADITHI INAYOELEKEZA SWAUMU YA ARAFA IWE SIKU MOJA NA KISIMAMO CHA MAHUJAJI. SHEIKH KHALIFA KHAMIS.
Tumia Akili Yako vizur ndugu yangu mwenzenu mufti skukuu kwake ni jumapili arafa jumamos iweje nyie skukuu yenu iwe jumatatu na arafa jumapili na arafa inakua ni siku Moja tu
Namuomba Allah S.W anipe uwezo na mie aniwezeshe ili niende Hajj kabla sijaondoka duniani Ameen Insha Allah🤲
Ameen
Amini
Amin
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮b😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮b😮@@khaalidcheo5383
Allahumma aamin
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe, Namuomba mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah.
Namuomba Allah anipe uwezo nami pia niweze kwenda Hija kabla sijaondoka duniani. Ameen
Amiini
Allah akupe kila la kheir mufti wetuuu
Mashallah! nime furahi kumuona Mufti wangu mpendwa
Namuomba munyez mungu mwakan anipe pesa yakutosha aniwezeshe ili niende haji kabla sijafa
Amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲🤲🤲🤲
Ma shaa Allaah
Safari huu umeona bora usijiingize kwenye lawama manaake kwa sasa watu wameelimika saana kuhusu arafa umefanya vizuri saana
Kila dunia ikisogea ndio upumbavu UNAZIDI sio kuelimika kuna ZIDI. Kila ukiona sasa mnaelimika ndo kupotea huko. MTUME SAW AMESEMA " SHIKAMANENI NA YALE MLIOYAKUTA" SIO MNAYOYALETA.
Anakwepa kuwaambia watu kesho ndiyo ARAFA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tuombee ni na ss dua Allah atujalie
Mi Mufti nimemuelewa saana ameonyesha umuhim wa iyo Siku ya Arafa... Mwenye akili kaelewa Wala hajachukua muda kueleza mambo mengi ila ukaeleweka saana, msiache Arafa iwapite ndugu zangu... Mufti akiwa ktka viwanja vitukufu hataki kuingizwa na maswala yenu ya Bakwata kule yupo ibadani..
❤❤❤
Jamani mnaenda arafa mara 20 heee
Tupeni na sie nafasi
Umeonaeeee, sidhani kama hizo fedha katoa mwenyewe mfukoni, kama sio ufadhili Kwa BAKWATA Kwa ajili ya waislamu
Hajafafanua uzuri kuhusu kufunga Arafa na waliopo Saudia.
Kwahiyo unataka afafua Kwa akili zako?
Mufti kesho.inshaallah ni eid
Mtu unaenda ija mpaka x 10 , sasa kwa nn msiwapeleke wengine?
Heri wewe umeona, nafasi hizo za ufadhili Kwa waislamu wanazitumia wenyewe
Ukiwa tanzania unatuambia Arafa Jumapili eid Jumatatu upo huko unajisahau arafa ni ipi
Ukiwa saudia lazima ufuate pale ulipo sawa na akiwa nyumbani afuate mwezi wa pale alipo na saudia hawana mwezi sisi oman hatufuati saudia sisi tunafuata mwezi kama Tz maana saudia wao kwao ni kalenda
Hapana saudia pia wanafata mwezi musiwazulie uongo.kama Oman hamukuona mwezi ni sawa ni haki yenu arafa kuwa jumapili.lkn saudia waliona mwezi mbele .kwa hiyo usiwazulie wasaudia uongo ambapo kila siku twawaona wakiangalia mwezi
@@saidalhinai1131huo ni uongo unaoeneza Kila siku wanatangaza kwamba mwez umeonekana saudia unasema wanatumia kalenda acha uongo ndugu
kwakweli wa Tanzania wanatakiwa kuwa makini na KIONGOZI kama huyu Leo wanasimama ARAFAT na yeye piya akiwemo ila kule nyumbani Tz anawaambia ARAFA nisiku ya Ijumaa3 kweli nikiyongozi huyu!!!
@@saidalhinai1131
WATU KAMA HUYO YAWEZEKANA KUNA SIKU WATA TAKA HATA SWALA ASWALI KWA NYAKATI ZA TANZANIA!AJABU SANA VIUMBE HAWA!
Huwa mnaombea dua wana siasa tu Rais, mawaziri na wabunge. Mnasahau kuombea pia majeshi yawe na hekima na Allah awape mioyo ya uzalendo na subira. Maana wakikasirika siku ndio mtaona km mtaabudu kwa raha. Jifunzeni hapa Afrika nchi kibao zimeshikiliwa na majeshi sasa hv maana dua zenu mnawasahau sn wakati wao wakikiwasha hao mnaowaombea hamtowasikia tena! 😢
Kuwa na akili
Wamemuombea Amiri Jeshi Mkuu
Naamini nafasi za ufadhili kwa waislamu kwenda hija zinatolewa kwa BAKWATA , chondechonde tunawaomba mtumie uadilifu kuwapa waislamu hususan wale wasio na uwezo kwenda kuhiji, badala ya kuzitumia nyinyi wenyewe kuhiji mara tano tano, lakini pia nafasi hizo zigawiwe pia kwa waislamu wa Zanzibar
Labda wanaenda kuelekeza mahujaj kufanya ibada zao vizur man akiwepo mtu anayejua na mzoef ni vizur zaid.
Vip kuhusu sisi ulietuacha huku tunafunga iyo kesho au lini weka wazi muft
Nyote mtakubali mtakuja tu kwa masalafi
Wanaruka ruka mwesho wataelewa tu
Muft sema kweli kesho ni arafa
Hawezi kusema akili kichwani mwako
Wanaopotosha wanajieleza saaana ila haki hipo hapo Ijja ni Arafa na Arafa tuelewane ni Moja wacheni kuumiza vichwa..
Kuna funga ya arafa na hajji ni arafa hivi ni vitu viwili tofauti
UGOMVI NI ARAFA AU SIKU KUU ...WANAOSIMAMA WAPO MAKA...WEWE SIMAMA MWANDEGE ...IDI JUMATATU...
Kwa hiyo unapingana na MUFT?
Kama kawaida yenu bado maulidi ya kigoma 😂😂😂
HAYA hiyo breaking News Iko wapi mnadanganya watu Hata masiku matukufu mtakuja kuulizwa?????
Mufty umetoa boko tupuu
Kwahiyo mufti kila mwaka unakwenda Hijja?
Umeulizwa nini kifanyike kwa watu walioko tanzania? unakwepa heeee ila mwenye akili amejuwa kinachoendelea
Vp watanzania wafunge kesho kama kuwa ndio arafa
Sas wew ushaambiwa Arafa ni j/mosi asa wee funga j/pili
😂😂😂😂😂😂😂 mwenye maskio hambiwi skia @@ajmographic-ur1ix
Daa mb zangu
😅😅😅😅
ruclips.net/video/g_JXRt5EOTQ/видео.htmlsi=tn0cgK5CXKQHxCHi
HAKUNA HADITHI INAYOELEKEZA SWAUMU YA ARAFA IWE SIKU MOJA NA KISIMAMO CHA MAHUJAJI.
SHEIKH KHALIFA KHAMIS.
Soma wew usiseme akuna kama wew ujaiyona kutokana na elimu yako chache
Kusema bila ilmu pia huo ni ujinga ulio kisiri
Upo sawa mwalim
Elimu yako ipi
Kwasisi uku tunafunga Arafa kesho au keshokutwa kwamaana mufti hajasema apo nauku kwetu sikukuu ni jumaa tatu?
Tumia Akili Yako vizur ndugu yangu mwenzenu mufti skukuu kwake ni jumapili arafa jumamos iweje nyie skukuu yenu iwe jumatatu na arafa jumapili na arafa inakua ni siku Moja tu
Arafa ni jumamosi na Eid ni j2,ifikie mahala tutumie akili zetu Dunia Haina tarehe 2 Kwa sehemu ambayo altitude Yao Moja