BREAKING NEWS KUELEKEA ARAFA KESHO MUFT ATOA MAAGIZO HAYA KWA WATANZANIA FROM MINNA MAKKA JUNI 14

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 73

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 месяца назад +11

    Namuomba Allah S.W anipe uwezo na mie aniwezeshe ili niende Hajj kabla sijaondoka duniani Ameen Insha Allah🤲

    • @Shilangadi
      @Shilangadi 3 месяца назад

      Ameen

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 3 месяца назад

      Amini

    • @hatibbaraka3956
      @hatibbaraka3956 3 месяца назад

      Amin

    • @SelemaneMnipa
      @SelemaneMnipa 3 месяца назад

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮b😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮b😮​@@khaalidcheo5383

    • @mussasimba14
      @mussasimba14 3 месяца назад

      Allahumma aamin

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 3 месяца назад

    Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe, Namuomba mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah.

  • @asyahassan2656
    @asyahassan2656 3 месяца назад +1

    Namuomba Allah anipe uwezo nami pia niweze kwenda Hija kabla sijaondoka duniani. Ameen

  • @muhammadkifakara2573
    @muhammadkifakara2573 3 месяца назад +5

    Hajafafanua uzuri kuhusu kufunga Arafa na waliopo Saudia.

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy 3 месяца назад

      Kwahiyo unataka afafua Kwa akili zako?

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348 3 месяца назад

    Allah akupe kila la kheir mufti wetuuu

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 3 месяца назад +4

    Anakwepa kuwaambia watu kesho ndiyo ARAFA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 3 месяца назад

    Mashallah! nime furahi kumuona Mufti wangu mpendwa

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 3 месяца назад +1

    Mi Mufti nimemuelewa saana ameonyesha umuhim wa iyo Siku ya Arafa... Mwenye akili kaelewa Wala hajachukua muda kueleza mambo mengi ila ukaeleweka saana, msiache Arafa iwapite ndugu zangu... Mufti akiwa ktka viwanja vitukufu hataki kuingizwa na maswala yenu ya Bakwata kule yupo ibadani..

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 3 месяца назад

    Amiini

  • @KambiMnyama-my7sk
    @KambiMnyama-my7sk 3 месяца назад

    Namuomba munyez mungu mwakan anipe pesa yakutosha aniwezeshe ili niende haji kabla sijafa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 3 месяца назад +3

    Jamani mnaenda arafa mara 20 heee
    Tupeni na sie nafasi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      Umeonaeeee, sidhani kama hizo fedha katoa mwenyewe mfukoni, kama sio ufadhili Kwa BAKWATA Kwa ajili ya waislamu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 месяца назад +2

    Safari huu umeona bora usijiingize kwenye lawama manaake kwa sasa watu wameelimika saana kuhusu arafa umefanya vizuri saana

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 3 месяца назад

      Kila dunia ikisogea ndio upumbavu UNAZIDI sio kuelimika kuna ZIDI. Kila ukiona sasa mnaelimika ndo kupotea huko. MTUME SAW AMESEMA " SHIKAMANENI NA YALE MLIOYAKUTA" SIO MNAYOYALETA.

  • @aliabdulrahman1202
    @aliabdulrahman1202 3 месяца назад +3

    Ukiwa tanzania unatuambia Arafa Jumapili eid Jumatatu upo huko unajisahau arafa ni ipi

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 3 месяца назад +1

      Ukiwa saudia lazima ufuate pale ulipo sawa na akiwa nyumbani afuate mwezi wa pale alipo na saudia hawana mwezi sisi oman hatufuati saudia sisi tunafuata mwezi kama Tz maana saudia wao kwao ni kalenda

    • @saidnaggy5209
      @saidnaggy5209 3 месяца назад

      Hapana saudia pia wanafata mwezi musiwazulie uongo.kama Oman hamukuona mwezi ni sawa ni haki yenu arafa kuwa jumapili.lkn saudia waliona mwezi mbele .kwa hiyo usiwazulie wasaudia uongo ambapo kila siku twawaona wakiangalia mwezi

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 месяца назад

      ​@@saidalhinai1131huo ni uongo unaoeneza Kila siku wanatangaza kwamba mwez umeonekana saudia unasema wanatumia kalenda acha uongo ndugu

    • @nadikuabdul598
      @nadikuabdul598 3 месяца назад

      kwakweli wa Tanzania wanatakiwa kuwa makini na KIONGOZI kama huyu Leo wanasimama ARAFAT na yeye piya akiwemo ila kule nyumbani Tz anawaambia ARAFA nisiku ya Ijumaa3 kweli nikiyongozi huyu!!!

    • @الزغويالزغوي-ض3ن
      @الزغويالزغوي-ض3ن 3 месяца назад

      ​@@saidalhinai1131
      WATU KAMA HUYO YAWEZEKANA KUNA SIKU WATA TAKA HATA SWALA ASWALI KWA NYAKATI ZA TANZANIA!AJABU SANA VIUMBE HAWA!

  • @MaisalaKatele
    @MaisalaKatele 3 месяца назад +2

    Muft sema kweli kesho ni arafa

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 месяца назад

    Amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲🤲🤲🤲

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 3 месяца назад +2

    Nyote mtakubali mtakuja tu kwa masalafi

    • @BradothAdm
      @BradothAdm 3 месяца назад

      Wanaruka ruka mwesho wataelewa tu

  • @IddiIddi-xe6ko
    @IddiIddi-xe6ko 3 месяца назад

    Mufti kesho.inshaallah ni eid

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 3 месяца назад

    Ma shaa Allaah

  • @Maryam-o3i6j
    @Maryam-o3i6j 3 месяца назад

    Tuombee ni na ss dua Allah atujalie

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 3 месяца назад +2

    Mtu unaenda ija mpaka x 10 , sasa kwa nn msiwapeleke wengine?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      Heri wewe umeona, nafasi hizo za ufadhili Kwa waislamu wanazitumia wenyewe

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho 3 месяца назад

    Vip kuhusu sisi ulietuacha huku tunafunga iyo kesho au lini weka wazi muft

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад

    Naamini nafasi za ufadhili kwa waislamu kwenda hija zinatolewa kwa BAKWATA , chondechonde tunawaomba mtumie uadilifu kuwapa waislamu hususan wale wasio na uwezo kwenda kuhiji, badala ya kuzitumia nyinyi wenyewe kuhiji mara tano tano, lakini pia nafasi hizo zigawiwe pia kwa waislamu wa Zanzibar

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 3 месяца назад

      Labda wanaenda kuelekeza mahujaj kufanya ibada zao vizur man akiwepo mtu anayejua na mzoef ni vizur zaid.

  • @hassanmsumari1200
    @hassanmsumari1200 3 месяца назад

    HAYA hiyo breaking News Iko wapi mnadanganya watu Hata masiku matukufu mtakuja kuulizwa?????

  • @TwahiliSamli
    @TwahiliSamli 3 месяца назад

    Hawezi kusema akili kichwani mwako

  • @TwahiliSamli
    @TwahiliSamli 3 месяца назад

    Umeulizwa nini kifanyike kwa watu walioko tanzania? unakwepa heeee ila mwenye akili amejuwa kinachoendelea

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 3 месяца назад

    Wanaopotosha wanajieleza saaana ila haki hipo hapo Ijja ni Arafa na Arafa tuelewane ni Moja wacheni kuumiza vichwa..

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy 3 месяца назад

      Kuna funga ya arafa na hajji ni arafa hivi ni vitu viwili tofauti

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @khamisabass1677
    @khamisabass1677 3 месяца назад

    Mufty umetoa boko tupuu

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 3 месяца назад

    Vp watanzania wafunge kesho kama kuwa ndio arafa

    • @ajmographic-ur1ix
      @ajmographic-ur1ix 3 месяца назад

      Sas wew ushaambiwa Arafa ni j/mosi asa wee funga j/pili

    • @tobosha3236
      @tobosha3236 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂 mwenye maskio hambiwi skia ​@@ajmographic-ur1ix

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga26 3 месяца назад

    Daa mb zangu

  • @MradiKinduli-xv5gc
    @MradiKinduli-xv5gc 3 месяца назад

    Kwasisi uku tunafunga Arafa kesho au keshokutwa kwamaana mufti hajasema apo nauku kwetu sikukuu ni jumaa tatu?

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 месяца назад +1

      Tumia Akili Yako vizur ndugu yangu mwenzenu mufti skukuu kwake ni jumapili arafa jumamos iweje nyie skukuu yenu iwe jumatatu na arafa jumapili na arafa inakua ni siku Moja tu

    • @ramdhwaOmary
      @ramdhwaOmary 3 месяца назад +1

      Arafa ni jumamosi na Eid ni j2,ifikie mahala tutumie akili zetu Dunia Haina tarehe 2 Kwa sehemu ambayo altitude Yao Moja

  • @jumannefeluzi7428
    @jumannefeluzi7428 3 месяца назад

    😅😅😅😅

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv459 3 месяца назад

    ruclips.net/video/g_JXRt5EOTQ/видео.htmlsi=tn0cgK5CXKQHxCHi
    HAKUNA HADITHI INAYOELEKEZA SWAUMU YA ARAFA IWE SIKU MOJA NA KISIMAMO CHA MAHUJAJI.
    SHEIKH KHALIFA KHAMIS.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад

    Kwahiyo mufti kila mwaka unakwenda Hijja?

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 3 месяца назад

    UGOMVI NI ARAFA AU SIKU KUU ...WANAOSIMAMA WAPO MAKA...WEWE SIMAMA MWANDEGE ...IDI JUMATATU...

    • @momatv2019
      @momatv2019 3 месяца назад

      Kwa hiyo unapingana na MUFT?

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 месяца назад

    Kama kawaida yenu bado maulidi ya kigoma 😂😂😂

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 3 месяца назад

    Huwa mnaombea dua wana siasa tu Rais, mawaziri na wabunge. Mnasahau kuombea pia majeshi yawe na hekima na Allah awape mioyo ya uzalendo na subira. Maana wakikasirika siku ndio mtaona km mtaabudu kwa raha. Jifunzeni hapa Afrika nchi kibao zimeshikiliwa na majeshi sasa hv maana dua zenu mnawasahau sn wakati wao wakikiwasha hao mnaowaombea hamtowasikia tena! 😢