SHEIKH MCHAWI AMZINGUA SHEIKH KISHK.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 163

  • @SajidaIkoma-qs6ch
    @SajidaIkoma-qs6ch Год назад +2

    Maa nshaallah! Shekhe washauli Wenye ndoa zishikeni vizur ndoa ni hadimu wanawake wengi hawana ndoa na wanatamani kuzipata hawazipati. Allah akupe jana Shekhe kwa kazi kubwa uliyo ifanya,. In shaa allah

  • @MohammedAmada-z4f
    @MohammedAmada-z4f Год назад +20

    Shekhe nurdiin kishk mashallah mungu akujarie kheri inshallah mm naisi nipo imala kwenye dini yangu ya kiislam inshallah kheri 😂na waislam wenzangu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Год назад +2

    Mashaallah tabarakaah
    Sheikh wetu nakupenda kwajili ya ALLAH
    """♥︎mungu akupe afya njema ""♥︎
    """"♥︎♥︎"""shukran sheikh ""'♥︎♥︎

  • @ariayanalavudiyavuzi
    @ariayanalavudiyavuzi 6 месяцев назад +1

    asalamu alaikum shekh nurudin kishk allh akufanyie wepes ishaallh kwa kutuelimisha n kutuogoza ishall

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Год назад +3

    MashaAllah Jazakhallahu kheiri,tupo hapa wajane tuliwakosa waume zetu tingali wadogo tusitirieni nasi InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fatumahussein6399
    @fatumahussein6399 Год назад

    Masha Allah Masha Allah!! Baba kobelo ume ongea sanaa. Zoezi liendelee na mwakani Insha Allah. Ila safari ijayo wenye Wake mmoja mmoja pia wapewe nafasi ya kuongeza ili wajane tustirike Insha Allah.

  • @عمرناص-ق7ب
    @عمرناص-ق7ب Год назад

    Manshallah Allah awalipe kila la kheri ma sheikh ila muwaelekeze na ma sheikh wa inching nzingine wako na uwezo wafanye hivo kwasababu si 🇹🇿 tu iko na hiyo shinda

  • @aishabasai8489
    @aishabasai8489 Год назад +2

    Maa shaa Allah wallah mmenifurahisha kwakweli Alihamndulilah raha ya wasilam ndo hiyo

  • @MohammedMwijack
    @MohammedMwijack Год назад +1

    Maashaallah shekh Ja'afar uko vizuri siku hizi.

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Год назад +5

    Subhanallah allah tujirekebishe na turudi kwa allah

  • @SafinaAlmasi
    @SafinaAlmasi Год назад

    Asalaam alykm nimpongeze shekh Nurudin Kishki nimefurahi kukuona na mtoto abduli akiongea mimi nakuombea kwa mwenyezi Mungu akujalie kila la kher mimi naitwa Safina almasi irika nipo singida natamani uje kwetu utuombee nasi tupate waalimu wakutufundisha pamoja na watoto wetu,,

  • @hadijasadiki5825
    @hadijasadiki5825 Год назад

    Walah najiskia raha sana Allah atuifadhie mashekhe wetu nawapenda kwa ajili ya Alla

  • @AishaAbdallah-fi2hv
    @AishaAbdallah-fi2hv 10 месяцев назад

    Mashaallah shekhe kishki mungu akulipe Kila ulifanyalo shekhee

  • @zahradido6872
    @zahradido6872 Год назад +1

    Masha Allah Allah atusamehe madhambi zetu

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Год назад

    Mashaallah shukrani Ahsanteni nyote nawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Год назад +3

    Allahumma mpe shekh wetu nurudin kishki kher na umpe pepo yako

  • @lastborn7810
    @lastborn7810 Год назад +2

    Katika historia ya tz sheikh kishki ameeka hitoria pia kile alichokifanya hakijawahi tokea tanzania In Shaa Allah mungu amlipe kheri yeye na kamati nzima ya Al hikma na wote walochangia.. Amiin

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Год назад +3

    MashaAllah raha sana mwenyezimungu awajalie maisha marefu🤲🤲🧡🧡

  • @hasnakid
    @hasnakid Месяц назад

    Aameen

  • @mozashekhan4888
    @mozashekhan4888 Год назад

    Mashaalaa mungu akuzishie🎉

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Год назад

    Asalam alaikum wanaomsema vibaya shehe wetu mungu alone duazao mbayaziwarudie wenyewe

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 Год назад +2

    shekhe kshi nurudin mungu akuweke sana na sana

  • @abuisa1021
    @abuisa1021 Год назад

    Mashaallah jazakallah khayri shekhe kishk

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg Год назад

    Mashallah shekhe

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 Год назад +5

    MASHAALLAH ALLAH AKBAR

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад

    Hapo wapo wengi tu mliopogwa biti lkn tofauti yenu na huyo mwamba ni UKWELI wake mashallah

    • @AssaMakame-ed8rq
      @AssaMakame-ed8rq Год назад +1

      Mashallha she nuru dini kishi nakupnda Sana kwa ajilii ya allha allha akupee maisha marefuu

  • @asmaaomarimakoti9374
    @asmaaomarimakoti9374 Год назад

    Mashallah

  • @azizaidrisa
    @azizaidrisa Год назад

    Masha Allah Allah awape umri mrefu wenye nanufaa hakika nurdini kishki nifano wakuingwa

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Год назад +1

    Maashaallah uislam ni Raha sana

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +1

    Jaman Mnavisa nyinyi we sheikh jafar ha ha Mwachen Shwikh Nurdiin mwenyewe katulia pirika hizo alizonazo kisha aongeze mke si nikujitia mashakan jaman😢Mwachen Mama yetu Maijemkamtia preasure😀😪

  • @Khayratmsafiri351
    @Khayratmsafiri351 Год назад +1

    Allah akubaliki sheikh Nurdn Kishiki

  • @R.mkushi-vo2hn
    @R.mkushi-vo2hn Год назад

    Shekhe kishki nimeikubali hiyo suti umechagua rangi nzuri sana shekhe, umependeza..

  • @MwajumaHatibu-v8k
    @MwajumaHatibu-v8k Год назад +4

    Mashaallaa mashaallaa mashaalla ❤❤❤❤❤ shehe Nuru kishik

  • @zuenaswalehe
    @zuenaswalehe Год назад

    Mashallah she kushika allah atakuzi dishie

  • @SubiraSoah
    @SubiraSoah Год назад

    Shekhe Nurdin Kishki Allah skype umri marefu wenye baraka

  • @MawaidhaTvNetwork
    @MawaidhaTvNetwork Год назад +1

    MashaAllah

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад +4

    Sheikh kishiki kuoa wake mpaka 4 si tatizo lkn wanaume wengi hawana mahaba ya kweli kwa wake zao pia wengi wanawaacha ovyo wake zao bila hata sbb yeyeto.

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Год назад

      Hujakosea na huduma mbovu pia

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed2215 Год назад +1

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @khadijaally-fv7bh
    @khadijaally-fv7bh Год назад +1

    Mashaallah Allihmdulillah

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 2 месяца назад

    Mashaa Allah.

  • @jamilaomary6388
    @jamilaomary6388 Год назад +2

    MASHAALLAH TARAKA ALLAH

  • @MohammedMwijack
    @MohammedMwijack Год назад

    Allah awalinde na awape umri insha'Allah

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +3

    Namkubali sana kishki, kwenye masuala ya kuoa hafati mkumbo, ana misimamo yake ya kisheria. Pia Mtume alikuja kuongeza baada ya kufa Khadija. Kishki الله akutunzie Khadija wako.

    • @DjumaAsha
      @DjumaAsha 29 дней назад

      Aaaamina Kwa niaba yake 🤲

  • @khadijaaboubakary9338
    @khadijaaboubakary9338 Год назад +1

    Uislam raha mashaa Allah

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 8 месяцев назад

    Wewe hufahamu wanawake vizuri

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад

    Masha Allha

  • @NadiaNadiaMohammad-yp4zm
    @NadiaNadiaMohammad-yp4zm Год назад +1

    Masha Allah nime furahishwa na utanihuu😂

  • @zaytunsuleyman-pp3yl
    @zaytunsuleyman-pp3yl Год назад

    😂😂😂😂 am here second wife from Tanga 😂😂 Masha Allah khutba nzur sana

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +2

    Mashalllah kweli

  • @sakinakwela3342
    @sakinakwela3342 2 месяца назад

    Amina ❤❤

  • @marialukuni-y7s
    @marialukuni-y7s Год назад +1

    Mashaallah ❤ ❤

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 Год назад

    Yani nimecheka hadi raha,ila umemuingilia sana sheh wetu kishki😂😂😂😂❤❤❤

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Год назад +1

    Mashallh

  • @NahimanaAssumani
    @NahimanaAssumani 3 дня назад

    Maashaa Allah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +1

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK, AMIIN 🤲

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад

    Mashekh hawa nawapenda sana jamani❤❤

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu Год назад +1

    Uislamu Raha tupu

  • @MozaRashid-v6d
    @MozaRashid-v6d Год назад +1

    Haahaaaa inafurahisha saanaa kwa kweli unajikuta unacheka bila kizuizi

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад +1

    Umeongea kweli Allah awalipe kheri

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi2183 Год назад

    Allah barak Mabrook Mabrook

  • @IdrissJuma-r7d
    @IdrissJuma-r7d Год назад

    Allah atakulipeni pepo

  • @khadijabaungu
    @khadijabaungu Год назад

    😂😂😂shekhe mchokozi.
    Maashallah Allah akupeni umri mrefu mzidi kuilingania dini ya Allah ,nasi pia atuwafikishe katika kuilingania.

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Год назад

    MAA SHAA ALLAH TABAARAKALLAH

  • @MariamMmary-yn9nu
    @MariamMmary-yn9nu Год назад

    Am proud to be a muslim

  • @JwahariyaShabani
    @JwahariyaShabani Год назад

    Mashallah ❤

    • @KurthumAwazi
      @KurthumAwazi Год назад

      mashallah mwenyezimungu akuhifazi shekh

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +14

    😂😂😂😂 I love my religion so beautiful MashaAllah hakuna utam kama kuwa muislam

  • @huseni9146
    @huseni9146 Год назад

    Shukran jazakalah khairi Allah awahifadhi

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад

    Mash Allah uislam raha .

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Год назад +1

    😁😅😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mnafurahisha sana.

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA Год назад

    MASHA ALLAH...ALLAHU AKBAR 🤲 ☝️ 🙏 ♥️ ❤️

  • @daarularqammkaku153
    @daarularqammkaku153 Год назад

    Mashaalah so kama bacho

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Год назад

    Miongoni mwa Clip nzuri kuliko 😂❤ Maashaa Allah..

  • @MohamedDida-nz5dq
    @MohamedDida-nz5dq 10 месяцев назад

    🙏🙏🥰🥰🥰🤲🤲🤲❤️❤️❤️

  • @aisajs83035
    @aisajs83035 Год назад

    😂😂😂😂 alhamdulillah nmefurahi Allah awape umri mashekh wetu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Год назад

    Mashaallah mashekhe mnapendeza kwa matani😂😂😂😂

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +1

    Mashallah tabaraka llah 😂😂ila Sheikh Jaafaar bhana 😅😂😂

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm Год назад +2

    Kwakweli Shekh ulioongea yoote yapo juu ya mstari na saiz tunafanyiwa Kila njia ili Zinaaa ionekane jambo la kawaida na wameshafanikiwa utamkuta mwanafunzi tu wachuo Muislamu anaishi chumba kimoja na John pita pasta wanawake wengi saiz hawazitaki ndio

  • @mwanapilibaby2647
    @mwanapilibaby2647 Год назад +2

    Alikhamdhullillah 😂kwa kutuekea jana nilicheka kwa live ajabu hongereni huu ndio urafiki wa kweli wa kutaniana😂

  • @alyedy2795
    @alyedy2795 Год назад

    shehe kishki hadi anasema leo mmeniandama

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Год назад

    Haya sasa ndio mafundiso kwenye misikiti juu ya kuhoa wake wengi,😂😂😂😂😂. Ndiposa wengi mnapenda dini hii ya majini😅😅😅😅

  • @fatma-yt9ww
    @fatma-yt9ww Год назад

    mashallah mashallah ❤❤❤😂😂😂

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад +1

    ❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤ mashaaallaah

  • @rehemamagomba5963
    @rehemamagomba5963 Год назад

    Mashaallah

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 Год назад

    Kweli kabisa dhambi kubwa ni shirk na zinaa, mzinifu katka hadithi kwamba mzinifu na sawa na mwenye kuabudu sanamu

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад

    Sheikh upo juuuu mashaallaaah

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Год назад

    ‏ما شاء الله

  • @SARAHKATAGIRA
    @SARAHKATAGIRA Год назад +1

    Manshaallah

  • @salmass671
    @salmass671 Год назад

    Maa shaa Allah

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Год назад

    Walyekum mssalam warrahmathuallah wabarakathu sheikh

  • @zaytunsuleyman-pp3yl
    @zaytunsuleyman-pp3yl Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 subuhanallah 😂😂😂 wallah nimefrah sana khutba murua Sana
    Alhamdulilah am so proud to be a Muslim

  • @azaniasaidi93
    @azaniasaidi93 Год назад

    Mashaa'Allah Tabaaraka Allah ❤
    Watu wanafurahi huku wanaelimika........Jazakum'Allahu khairaa

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад

    😂😂😂islam so beautiful ❤😂

  • @Dafetty
    @Dafetty Год назад +1

    Mashaallah 😂😂😂❤❤❤❤

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад

    ❤❤❤

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Год назад +1

    Ety sheikh anakuna nn🤣🤣🤣 sheikh mchawi mchokozi sana
    😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @HI-vn2gx
    @HI-vn2gx Год назад +3

    MashaAllah 😂

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад

    Kweli kabisa

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Год назад +1

    Apa leo ni mwendo wakuvunja mbavu tu😂😂😂😂

  • @ramajuma4063
    @ramajuma4063 Год назад +3

    Discation about marriage is very interesting masha Allah

  • @Nyagaboytz
    @Nyagaboytz Год назад

    Nipo hapa mke wa pili namsubiri