MAZINGE AWAASA WAISLAM KUTUNZA SABATO PART 2: MASWALI NA MAJIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2023
  • Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Vitabu vyote vinathibitisha kwamba, siku pekee aliyoagiza Mwenyezi Mungu kufanyika ibada takatifu ni siku ya Sabato-Jumamosi.
    Historia inathibitisha kwama Siku ya Ijumaa haikuwa siku rasmi ya ibada katika Uislam. Siku hii ilianzishwa na Waislam wa Madina (Answar) kabla hata Muhammad hajahamia huko (Hijra). Lengo lao lilikuwa ni kujitofautisha na Wayahudi na Wakristo. Muhammad alipo hamia Madini alikuta waislam wa huko wanakusanyika katika siku ya Ijumaa. Siku moja siku ya Ijumaa, Muhammad akiwa anahutubia msikitini, msafara wa wafanya biashara wakaingia mjini kutoka sham, kukawa na vurugu na kelele za wafanya biashara. Masahaba wote wakakimbia kwenda huko na kumwacha anahudubia wakabaki watu 12 tu! Hapo ndipo ikashuka sura ya Ijumaa katika Qur'an kwa lengo la kuwafanya watu waache mambo ya biashara wakati wa Ibada unapokuwa umefika.

Комментарии • 82

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 20 дней назад

    Mazinge yupo sahihi

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад +6

    Mch,Yohana amejaa Neno,Roho wA Mungu anamsaidia,

    • @freyzamsaidsaidmnken9585
      @freyzamsaidsaidmnken9585 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @edsonmasesa7966
      @edsonmasesa7966 Год назад +1

      Mazinge hajui kujibu maswali yeye ni mbishitu hanaga point yoyote hadi huwaga nacheka

    • @eyelushshamschel
      @eyelushshamschel Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti roho wa Mungu

  • @mishaelmusiba305
    @mishaelmusiba305 Год назад +3

    Mungu akubariki muinjilisti Eliud

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Год назад +2

    Pro Mazinge DD Safi

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 11 месяцев назад

    Mashaallah

  • @user-lg9hw4dm6x
    @user-lg9hw4dm6x 8 месяцев назад +1

    Mazinge hana point yoyote, niku make comedian tu

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад +1

    Jazaakallah khayrii mashekh

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Год назад +3

    Ni rahisi sana kuelewa hapo wandugu, imetajwa ijumaa ikiongelewa kama siku ambayo maandalizi ya siku ya Sabato then inatajwa Jumapili kama siku ambayo wanawake walitoka kuelekea kaburini baada ya kupumzika katika siku ya Sabato ikiulizwa Sabato ni lini hata mtoto wa darasa la nne anajibu kuwa ni Jumamosi unless tuwe tunatafuta kubabaishana ila kama tupo kwenye kujifunza it's well understood kwamba Sabato ni Jumamosi... Niliacha kutazama mihadhara kwa muktadha wa kujifunza nilipomsikia prof Mazinge anasema Yesu hakwenda Hija kwa sababu alikuwa masikini na wanaoenda kule ni matajiri kuanzia hapo nikaanza kutazama ili nicheke nikiwa na stress 😂😂😂

  • @abdisalammohamed7687
    @abdisalammohamed7687 Год назад +1

    mazinge nakukubali mashallah

  • @KelvinMakwala-jw3xg
    @KelvinMakwala-jw3xg Год назад

    Mazinge acha siasa muogope Mungu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 9 месяцев назад

    Alaaa…. Kumbe wakiristo wakusanyika kanisani kwa hasara 😢 Sikujua mimi

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i 4 месяца назад

    Kubukeni wahisiram kusema muna mungu siyo ukweri chakwaza munatuhukum kimajini kwasambabu munavaa Pete zakuzim munaseme mungu arizariwa maka kumbe nikijinamiz chaserikari

  • @tonyasembo
    @tonyasembo Год назад

    Mazinge mjinga kweli kweli

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 11 месяцев назад

      😂😂Wewe unamjua mazinge au

    • @tonyasembo
      @tonyasembo 11 месяцев назад

      @@aliroro9344 Anauliza maswali ya kijinga kweli kweli na hata waislamu hawawezi gundua.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Год назад +4

    Allah akusimamie mpenzi wetu kwajina la Allah mazinge wallah unajua unaweza

    • @rufuskinyua6938
      @rufuskinyua6938 Год назад

      huyu jamaa mazinge atapeleka wengi kucmu, ndugu zangu tumieni mavikila.

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h 8 месяцев назад

    Sabato Haina makosaaa

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 Год назад

    Mpiga picha hongera

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Год назад

    Mazinge umefilisika.

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Год назад

      Anachekesha😂

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 11 месяцев назад

      😂😂Ww elewa madaa n sabato ni siku gani, sabato ipo lkn siku niipi 😂😂

  • @BON357
    @BON357 Год назад

    Mungu mkubwa Asante mola mmi bonface taysoni xhe nimelewa

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Год назад +4

    What kind of professor is this? This Mazinge deserves to be a comedian.There isn't professors of this type in the world.

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Год назад

      Absolutely 😂😂😂

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 10 месяцев назад

      Prossor wa wasiokuwa waisilamu .

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 9 месяцев назад

    Lohhhh 😮😮 swali la ustadh mbogo dogo sana lakini gumu sana.. yesu kuingia kanisani sabato? Hamna aya hio. Wakiristo waongo

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Год назад

    Yesu anakuwaje mkristo mwenzao wakati ye ndiye Kristo mwenyewe?

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij 9 месяцев назад

    Sabato ni luga ya kifariseu na portuguese, yani kuenye portuguese ni sabado mana yake ni jumamosi, someni portuguese mutaelewa
    Kuna sengunda feira yani juma tatu,
    terça feira yani juma mne,
    quarta feira juma tano .
    quinta feira ni alhamisi, sexta
    feira ijuma.
    . .. Sabado ni jumamos.
    Domingo ni juma pil

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 Год назад +2

    Mna uhakika mazinge ni professor kweli???

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Год назад

    Sabato ndo mpango mzima

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Год назад +1

    Muone comedian Mazinge anavyojichekesha mwenyewe.Huna hats haya we mzee?.

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh Год назад

    😂😂😂🤝

  • @user-tk2ml1fn9e
    @user-tk2ml1fn9e 11 месяцев назад

    Waislamu mtaeleweshwaje?

  • @davidlintari8504
    @davidlintari8504 Год назад

    Waislamu wana matatizo kweli

  • @abdulkarimnassor3128
    @abdulkarimnassor3128 Год назад +1

    Hauwezi kutumia akili zako kwenye dini

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 10 месяцев назад

    Wakiristo muelewe
    Dini y kiisilamu haina siku maalumu ya ibada, siku zote ni siku z ibada na wala hakuna mapumziko.
    Siku ya Ijumaa Allah ameiweka sala maalumu inayoitwa sala ya ijumaa tena kwa ummat Muhammad.
    Na Allah ndio aliyowaekea mayahudi siku ya sabato kwa sheria yao alivyowapa.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад

    Mazinge ni kichwa Cha panzi,hoja Iko wazi kubatizwa hataki,

    • @freyzamsaidsaidmnken9585
      @freyzamsaidsaidmnken9585 Год назад

      Kondoo ulipotea panz ni chako

    • @nassorsultan8647
      @nassorsultan8647 Год назад

      Katoka uko uko ukafirini
      Alipoona haki kaja kwenye haki

    • @nassorsultan8647
      @nassorsultan8647 Год назад +1

      Akiwemo ustz kesi kaja kwenye mwanga katoka kwenye gizza

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 Год назад

      Mazinge Allah azid kukupa ujuz uwalete wengi katika Haq hata huyu anaekuita kichwa Cha panzi

  • @masala8099
    @masala8099 Год назад +8

    Shekhe mazinge asiyekuelewa ana matatizo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      Mbishi tu hamna kitu,. Mazinge mzee wakuchomekea ni msani 🤣🤣🤣 tangu lini sabato ikawa ijumaa huyo mzee wenu kapagawa

    • @massoudfaki6744
      @massoudfaki6744 Год назад

      @@Mpakauseme kwa iyo na wewe unataka kutuelewesha kua jumamosi ni siku ya saba

    • @issafaquedalaura8279
      @issafaquedalaura8279 Год назад

      Safi

    • @shabanchegama
      @shabanchegama Год назад

      Shaban chegama

    • @shabanchegama
      @shabanchegama Год назад

      Natafuta kaz kwenye kampun

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 Год назад

    Kumbukeni Isa utume wake na baada yake alitumwa mtume Mohammad kwa hiyo Isa twamuamini na mtume Mohammad alikuja na utume wake ndio tunaoufuata

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 Год назад

    Mnajifanya hamuelewi

    • @saiddgsmg
      @saiddgsmg 3 месяца назад

      hebu tfsiri kwa kiswahiri jumamosi inaweza kuwa siku ya saba kweli,kwa kiswahili ni siku ya kwanza sio saba hapa ndo panaubishi,😊😊😊😊

  • @egidideule7285
    @egidideule7285 4 месяца назад

    Sas elimu ya uprofs uliutoa wp wakati hujui biblia mimnaonakabisa hunajipya unabwabwaja tu

  • @mahadboy5124
    @mahadboy5124 4 месяца назад

    Wakiristo wamelaaniwa ndo maan hawaelew

  • @jonathanmbise3115
    @jonathanmbise3115 Год назад

    Mwi wa midaalo hii matokeo ni nini?

    • @adventsoundtv
      @adventsoundtv  Год назад

      Mwisho wa Mahubiri unayosikia Kanisani kwenu ni Nini?

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h 8 месяцев назад

    Ukweli haupingwi kwa maneno yetu,nitafuata biblia siyo watu

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 Год назад

    Isa naamini ni mwislamu na ktk utume wake alibashiria kuja kwa mtume Mohammad baada yake

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics1888 Год назад

    Mazinge ni Uswahili tu hoja za kidini hana kabisa nutaamaa niwe mkristo tu maana watu wanatoa hoja na siyo waswahili Swahili

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 11 месяцев назад

      Wew tupe hoja zako basi 😂😂😂😂

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Год назад

    Hawa ni wafilist

  • @petermollel58
    @petermollel58 Год назад

    HUKUMU zina yy Muumba wetu... mbona mwahukumu kuwa watu ni makafiri?

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад +3

    Kuna mchungaji wa mwanzo apo akaanza kuisifia Qur'an kwakua inakubaliana na sabato anasema kuwa mungu kaitaja sabato ndani ya Qur'an na kasema sheria zake lazima zifuatwe
    Sasa Qur'an ilipoitaja siku ya ijumaa anakataa anasema ijumaa imetungwa na watu. Wachungaji hamjielewi mshazoea katika kitabu kuyakubali nusu na mengine kuyakataa sasa kwann uikubali sabato ndani ya Qur'an na uikatae ijumaa ndani ya Qur'an?
    Au unafikili Qur'an ni kama biblia? Wakristo Mumepotea kweli

    • @benjaminsika1782
      @benjaminsika1782 Год назад

      Sasa kwann usifate sabato kama Quran imekuamrisha ufate sabato

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Год назад

      @@benjaminsika1782
      Kwann unilazimishe nifuate sabato wakati nimeamrishwa niifuate ijumaa?

    • @benjaminsika1782
      @benjaminsika1782 Год назад

      @@faudhiasaidi3669 sio Mimi ni qoran yenu ndo imewataka mufute sabato hakuna andiko lolote kwenye qoran imesema ijumaa ni siku ya ibada hakuna na kama lipo toa

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Год назад +2

      @@benjaminsika1782
      Nyie mumebaki viroja ambao sabato hamkuandikiwa nyinyi na mnaifuata wakati walioandikiwa sabato waliivunja wakabadilishwa wakawa manyani na mangurue
      Walioandikiwa sabato sio sisi
      إِنَّمَا جُعِلَ السَّبْتُ عَلَى الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ ۚ وَإِنَّ رَبَّكَ لَيَحْكُمُ بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ
      [ AN NAH'L - 124 ]
      Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitalifiana.
      Yakwetu tumeandikiwa ijumaa
      يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَّكُمْ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ
      [ AL - JUMUA' - 9 ]
      Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni biashara. Hayo ni bora kwenu, lau kama mnajua.

    • @nlsprotv2990
      @nlsprotv2990 Год назад

      Nilivyo muelewa ijumaa ilianza kabla ya muhamad aliye shushiwa hilo andiko. Sas ijumaa kabla ya muhamad how it come

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 Год назад

    Wakristo mtachomwa nyiee

    • @gracenjoroge5952
      @gracenjoroge5952 Год назад

      Nani kawaambia waislamu waabudu siku ya ijumaa??

  • @GodyMussa-sc9fj
    @GodyMussa-sc9fj 8 месяцев назад

    Na wewe mazinge kumbe mbabaishaji tu

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Год назад +2

    Mazinge hoja kashindwa na hoja

    • @michaelkarisa5270
      @michaelkarisa5270 Год назад

      Uyu mzee sio kama haelewi, hawaezi kukubali, na anapotosha wasio jielewa