MZEE SIMBA ULANGA ALIVYO WABANANISHA WAISLAM KWENYE 18/MDAHALO WA KWANZA DUNIANI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • #duet #live

Комментарии • 74

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t Месяц назад +2

    Mungu wa wakristo na waislamu hawafanani ni tofauti kabisa

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 Месяц назад

    Hapa ugetuekawazi sasa Mungu wa Ndacha niwapekee km Mungu wa Elia???
    (Kitupekee)
    Naomba jadili kitupekee,Garipekee,Mwalimu pekee,Nchi pekee,Taifa pekee na pekee pekee nyingi tofauti.
    Jaribu kujadili kwaamani tu wala sinamaana mbaya kwanduguyoyote,kwaajili ya kuelewa tu.

  • @KaramaahazyOkero
    @KaramaahazyOkero 15 дней назад

    Safi mzee

  • @mketoaamketo1559
    @mketoaamketo1559 Месяц назад

    Mzee anaongopa vibaya sana na mvi zake

  • @user-wz5wx5fe5q
    @user-wz5wx5fe5q Месяц назад +1

    Mkuu simba upo ! Longtime tangu enzi hizo viwanja vya Anatoglo mnazi mmoja na mihadhara sehemu mbali2, barikiwa sana, na kipindi hicho ndipo tulimpata yohanna na joshua

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Месяц назад

    Ndacha uwezo wake alihojaliwa na Mungu ni mkubwa mno

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 14 дней назад

    Nimekusikiliza lakini sijakuelwa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Месяц назад

    Kafiri Simbaulanga

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k Месяц назад +1

    Anawaita mashetani kwenda motoni

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Месяц назад +1

    Unazeeka ukiwa mpofu

  • @bevinmtendo8714
    @bevinmtendo8714 15 дней назад

    Ila waislamu wanajifariji sana, eti kuna mtu amesema kwamba duni kiislamu ilikuwepo tangu Adamu! Wakati anajua mwanzilishi wa dini hiyo ni Muhammad mwaka wa 570 Baada ya Yesu kuzaliwa?

  • @awadhrajabu6078
    @awadhrajabu6078 Месяц назад +1

    Hiyo Ayah aliyo isoma hajaimaliza

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 Месяц назад

    Ivi kumbe kuna watu wanaamini uislamu ni dini🌚🌚

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Месяц назад +2

    Yesu Kwanza hajulikani nje ya mipaka ya East Africa ni jina fake

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t Месяц назад

    Sasa kama yesu ni muislamu mbona hammuamini?

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Месяц назад

      @@ErnestLule-z7t umelala wewe. Sisi Issa bin Mariamu tunaamini ni mtume wa M'mungu hatuamini kua ni Mungu wala mtoto wa Mungu. Ss wewe ulitaka tumuite Mungu wakati ni binadamu.

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Месяц назад

    Uislamu ni ushetani mtupu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Месяц назад

      @@michaelrweyemamu1068 kuna ushetani kama ukirisito? Watu wanyolewa mpaka nywele za sehemu za siri mbele ya watoto na kuchapwa fimbo, tena hilo ndombolo la yesu (Mziki) yaani ndio usipime. Hv hiyo mnayooita dini ya ukiristo unataka kufananisha na Dini ya M'mungu? Fungua bibilia yako imeandika kiti cha enzi cha Shetani kiko Kanisani.

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Месяц назад +2

    Uislam upo tangu kuumbwa dunia. Adam (A. S) kiumbe wa kwanza alikua ni muislam. Soma vizuri Hata Nuhu amezungumzwa alikua muislam Ibrahim wote ni waislam uislam hakuja nao Nabii Muhammad (S.a.w) ameukuta na akaja kutimisha kupitia Quran.Hlf hata hiyo dini ni yenu wenyewe M'mungu haitambui Issa bin Mariam alipewa injili nyinyi mna bibilia. Hicho ni kitabu chenu hakihusiani na Issa (A.S) Yesu.mmechukua machache kwenye injili. Ni chenu mmekitunga wenyewe .

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 Месяц назад +1

      Misingi ya uislam imo ndani ya qoran,sasa qoran kashudhiwa Muhamad,jeuislam wa kwanza uusemao uliongozwa na kitabu gani

    • @mwlpierre
      @mwlpierre Месяц назад

      Kwani kwenye Qoran kunasehemu imeandikwa injili au ulisoma wapi kwamba kuna vitabu vimepunguzwa

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Месяц назад

      @@piusmdoe3200 Na hata walopita walishushiwa kama alokuja nayo Mtume Muhammad (s.a.w)isipokua kwa nakala tofauti lkn maana ni moja. kwa sababu wewe Huna ujualo utajenga hoja kwa unavyotaka. Lkn finally tutakapokufa na siku ya kuhesabiwa. Lkn mtu atajua tangu anatolewa Roho yake. Kwa sababu anaonyeshwa anakokwenda kuishi.

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Месяц назад

      Ikawaje mtu mhamadi akawa ndiye mwislm wa kwanza kwamujibu wa Quran

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n Месяц назад

      Unasoma hayo maneno wapi? Na isiwe kitabu Cha moha mtu WA uarabuni aliyekuja 600AD

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 месяца назад +2

    ww simba ulanga acha kupotosha watu kasome Qur-an 2:213 uislamu upo tangu nabii Adam, utakuja kufa ktk UKAFIRI wko wende motoni

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 2 месяца назад +1

      Simba Ulanga yupo sahihi kabisa wewe ndio unajaribu kupotosha watu.
      Au unapinga quran 39:12 amabyo inasema muhammad ndiye muislamu wa kwanza??
      Na kwa taarifa yako....kafiri ni muislam...anaye pinga Mungu na Bwana Yesu Kristo - Yuda 1:4

    • @joelmusili1733
      @joelmusili1733 2 месяца назад +1

      Wewe hujui kitu acha kukurukupa

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 2 месяца назад +3

      @@joelmusili1733
      Watu wanaongea kwa ushahidi wa maandiko....wewe unapinga bila...
      nani hajui kitu anakurupuka hapa??
      Nyani haoni kundule kweli hhihihi

    • @andrewcharugamba7498
      @andrewcharugamba7498 2 месяца назад +1

      Uislam umeanza miaka 500 baada ya kristo

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 2 месяца назад +1

      Acha ujinga wewe kama endelea kukalilishwa uko msikitini

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t Месяц назад +1

    Mungu wa wakristo na waislamu hawafanani ni tofauti kabisa

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Месяц назад

      @@ErnestLule-z7t Nakubali kabisa. kwa sababu Mungu wenu ni binadamu. Mungu wetu sisi waislamu huwa hafananishwi na chochote wala hakuna anaeweza kumuona.