Hapa ugetuekawazi sasa Mungu wa Ndacha niwapekee km Mungu wa Elia??? (Kitupekee) Naomba jadili kitupekee,Garipekee,Mwalimu pekee,Nchi pekee,Taifa pekee na pekee pekee nyingi tofauti. Jaribu kujadili kwaamani tu wala sinamaana mbaya kwanduguyoyote,kwaajili ya kuelewa tu.
Mkuu simba upo ! Longtime tangu enzi hizo viwanja vya Anatoglo mnazi mmoja na mihadhara sehemu mbali2, barikiwa sana, na kipindi hicho ndipo tulimpata yohanna na joshua
Ila waislamu wanajifariji sana, eti kuna mtu amesema kwamba duni kiislamu ilikuwepo tangu Adamu! Wakati anajua mwanzilishi wa dini hiyo ni Muhammad mwaka wa 570 Baada ya Yesu kuzaliwa?
@@ErnestLule-z7t umelala wewe. Sisi Issa bin Mariamu tunaamini ni mtume wa M'mungu hatuamini kua ni Mungu wala mtoto wa Mungu. Ss wewe ulitaka tumuite Mungu wakati ni binadamu.
@@michaelrweyemamu1068 kuna ushetani kama ukirisito? Watu wanyolewa mpaka nywele za sehemu za siri mbele ya watoto na kuchapwa fimbo, tena hilo ndombolo la yesu (Mziki) yaani ndio usipime. Hv hiyo mnayooita dini ya ukiristo unataka kufananisha na Dini ya M'mungu? Fungua bibilia yako imeandika kiti cha enzi cha Shetani kiko Kanisani.
Uislam upo tangu kuumbwa dunia. Adam (A. S) kiumbe wa kwanza alikua ni muislam. Soma vizuri Hata Nuhu amezungumzwa alikua muislam Ibrahim wote ni waislam uislam hakuja nao Nabii Muhammad (S.a.w) ameukuta na akaja kutimisha kupitia Quran.Hlf hata hiyo dini ni yenu wenyewe M'mungu haitambui Issa bin Mariam alipewa injili nyinyi mna bibilia. Hicho ni kitabu chenu hakihusiani na Issa (A.S) Yesu.mmechukua machache kwenye injili. Ni chenu mmekitunga wenyewe .
@@piusmdoe3200 Na hata walopita walishushiwa kama alokuja nayo Mtume Muhammad (s.a.w)isipokua kwa nakala tofauti lkn maana ni moja. kwa sababu wewe Huna ujualo utajenga hoja kwa unavyotaka. Lkn finally tutakapokufa na siku ya kuhesabiwa. Lkn mtu atajua tangu anatolewa Roho yake. Kwa sababu anaonyeshwa anakokwenda kuishi.
Simba Ulanga yupo sahihi kabisa wewe ndio unajaribu kupotosha watu. Au unapinga quran 39:12 amabyo inasema muhammad ndiye muislamu wa kwanza?? Na kwa taarifa yako....kafiri ni muislam...anaye pinga Mungu na Bwana Yesu Kristo - Yuda 1:4
@@ErnestLule-z7t Nakubali kabisa. kwa sababu Mungu wenu ni binadamu. Mungu wetu sisi waislamu huwa hafananishwi na chochote wala hakuna anaeweza kumuona.
Mungu wa wakristo na waislamu hawafanani ni tofauti kabisa
Hapa ugetuekawazi sasa Mungu wa Ndacha niwapekee km Mungu wa Elia???
(Kitupekee)
Naomba jadili kitupekee,Garipekee,Mwalimu pekee,Nchi pekee,Taifa pekee na pekee pekee nyingi tofauti.
Jaribu kujadili kwaamani tu wala sinamaana mbaya kwanduguyoyote,kwaajili ya kuelewa tu.
Safi mzee
Mzee anaongopa vibaya sana na mvi zake
Mkuu simba upo ! Longtime tangu enzi hizo viwanja vya Anatoglo mnazi mmoja na mihadhara sehemu mbali2, barikiwa sana, na kipindi hicho ndipo tulimpata yohanna na joshua
Ndacha uwezo wake alihojaliwa na Mungu ni mkubwa mno
Nimekusikiliza lakini sijakuelwa
Kafiri Simbaulanga
Anawaita mashetani kwenda motoni
Unazeeka ukiwa mpofu
UPOFU UPI!?
Kipofu ni wewe
Ila waislamu wanajifariji sana, eti kuna mtu amesema kwamba duni kiislamu ilikuwepo tangu Adamu! Wakati anajua mwanzilishi wa dini hiyo ni Muhammad mwaka wa 570 Baada ya Yesu kuzaliwa?
Hiyo Ayah aliyo isoma hajaimaliza
Ivi kumbe kuna watu wanaamini uislamu ni dini🌚🌚
Mimi unas3maje
Yesu Kwanza hajulikani nje ya mipaka ya East Africa ni jina fake
Mgonjwa wewe
Hawa ndio elimu ilipiga chenga ukute hata east Africa huijui😂😂😂
Sasa kama yesu ni muislamu mbona hammuamini?
@@ErnestLule-z7t umelala wewe. Sisi Issa bin Mariamu tunaamini ni mtume wa M'mungu hatuamini kua ni Mungu wala mtoto wa Mungu. Ss wewe ulitaka tumuite Mungu wakati ni binadamu.
Uislamu ni ushetani mtupu
@@michaelrweyemamu1068 kuna ushetani kama ukirisito? Watu wanyolewa mpaka nywele za sehemu za siri mbele ya watoto na kuchapwa fimbo, tena hilo ndombolo la yesu (Mziki) yaani ndio usipime. Hv hiyo mnayooita dini ya ukiristo unataka kufananisha na Dini ya M'mungu? Fungua bibilia yako imeandika kiti cha enzi cha Shetani kiko Kanisani.
Uislam upo tangu kuumbwa dunia. Adam (A. S) kiumbe wa kwanza alikua ni muislam. Soma vizuri Hata Nuhu amezungumzwa alikua muislam Ibrahim wote ni waislam uislam hakuja nao Nabii Muhammad (S.a.w) ameukuta na akaja kutimisha kupitia Quran.Hlf hata hiyo dini ni yenu wenyewe M'mungu haitambui Issa bin Mariam alipewa injili nyinyi mna bibilia. Hicho ni kitabu chenu hakihusiani na Issa (A.S) Yesu.mmechukua machache kwenye injili. Ni chenu mmekitunga wenyewe .
Misingi ya uislam imo ndani ya qoran,sasa qoran kashudhiwa Muhamad,jeuislam wa kwanza uusemao uliongozwa na kitabu gani
Kwani kwenye Qoran kunasehemu imeandikwa injili au ulisoma wapi kwamba kuna vitabu vimepunguzwa
@@piusmdoe3200 Na hata walopita walishushiwa kama alokuja nayo Mtume Muhammad (s.a.w)isipokua kwa nakala tofauti lkn maana ni moja. kwa sababu wewe Huna ujualo utajenga hoja kwa unavyotaka. Lkn finally tutakapokufa na siku ya kuhesabiwa. Lkn mtu atajua tangu anatolewa Roho yake. Kwa sababu anaonyeshwa anakokwenda kuishi.
Ikawaje mtu mhamadi akawa ndiye mwislm wa kwanza kwamujibu wa Quran
Unasoma hayo maneno wapi? Na isiwe kitabu Cha moha mtu WA uarabuni aliyekuja 600AD
ww simba ulanga acha kupotosha watu kasome Qur-an 2:213 uislamu upo tangu nabii Adam, utakuja kufa ktk UKAFIRI wko wende motoni
Simba Ulanga yupo sahihi kabisa wewe ndio unajaribu kupotosha watu.
Au unapinga quran 39:12 amabyo inasema muhammad ndiye muislamu wa kwanza??
Na kwa taarifa yako....kafiri ni muislam...anaye pinga Mungu na Bwana Yesu Kristo - Yuda 1:4
Wewe hujui kitu acha kukurukupa
@@joelmusili1733
Watu wanaongea kwa ushahidi wa maandiko....wewe unapinga bila...
nani hajui kitu anakurupuka hapa??
Nyani haoni kundule kweli hhihihi
Uislam umeanza miaka 500 baada ya kristo
Acha ujinga wewe kama endelea kukalilishwa uko msikitini
Mungu wa wakristo na waislamu hawafanani ni tofauti kabisa
@@ErnestLule-z7t Nakubali kabisa. kwa sababu Mungu wenu ni binadamu. Mungu wetu sisi waislamu huwa hafananishwi na chochote wala hakuna anaeweza kumuona.