KIMENUKA! MCH.SIMBA ULANGA AMLIPUA DR SULLE ALIVYOKUWA AKIGEUZA VIFUNGO VYA BIBLIA WAKRISTO WASLIMU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 190

  • @doreenarbogast4597
    @doreenarbogast4597 5 дней назад +1

    Barikiwa sana mchungaji mtumishi wa Mungu. Hata mimi nimejifunza mengi niliyokuwa siyajui. Yesu ambaye ni Mungu mkuu asifuwe milele yote.

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 Месяц назад +1

    Mzeee Safi sana Asante kwa Kazi njema kazi Nyoofu sana ilitufungua wengi na inafanya vyema sasa kufungua Macho

  • @elimikasasa643
    @elimikasasa643 Месяц назад +1

    Huyu Mzee alifanya kazi kubwa sana! Mungu aendelee kumpa nguvu! Barikiwa Mzee nilikusikiliza kipindi hicho!

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121 Месяц назад +1

    Duh Mungu wetu ni mkuu akupe afya njema uendelee kuupigania Uksrtu barikiwa sana kumbe elimu imeletwa na wakritu Aminaa

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Месяц назад +4

    Mtu wa maana kabisa ❤❤

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl Месяц назад +2

    Yesu ni hapa tu east africa issa ni dunia nzima.

  • @josphinenduta2011
    @josphinenduta2011 Месяц назад +6

    Kama mwarabu hawezi geuza mkristo, sulleh hawezi ng'o

    • @nomar3708
      @nomar3708 Месяц назад +1

      Wenzenu wazungu wanakuwa waislamu kwa makundi. Mumebakia nyie tu waafrika kufuata upuuzi wa biblia iliyobadishwa. Mnafata maneno ya Paulo

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 29 дней назад

      ​@@nomar3708hao wazungu wanaosilimu hawajielewi. Wewe unayesema biblia ni upuzi pia hujielewi. Nguzo za imani ya kiislamu zipo sita unazijua? Mojawapo ni kwa kila muislamu kuwajibika kuamini vitabu ( siyo kitabu kimoja) vya Mwenyezi Mungu. Sasa ukiwauliza waislamu wavitaje watasema ni Taurat, Zabur Injil na Kur'ani. Biblia ni neno la kigiriki maana yake vitabu. Sasa vitabu vilivyopo ndani ya biblia ndio hivyo hapo ila Kur'ani haipo ndani ya biblia! Sasa ni wazi kuwa kila muislamu anawajibika kuamini Biblia pamoja na Kur'ani na siyo Kur'ani pekee. Sasa hapo nani mpuuzi kati ya biblia na wewe uliyesema biblia ni upuuzi?

  • @EusebioEduardoAntonio
    @EusebioEduardoAntonio 22 дня назад +1

    abali babá mchungaji Simba ivyo vitabu nitavipataje?🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-dk6lz5yu4c
    @user-dk6lz5yu4c Месяц назад +1

    Karibuni tarehe 22 Mwezi huu 6 kuwa na Mdaharo Ukumbi wa Wapo Mission. Kuhusu uungu wa Yesu kutakuwa na pande mbili wanao pinga au wanao kubali

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl Месяц назад +3

    Waislam wamewaacha mbali sana wakristo kwenye eneo la dini.

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ Месяц назад +1

      Hujui hata unachokiabudu wala unachokiongea. Labda kwenye kuabudu majini ndio mmewaacha mbali. 😂😂
      Nyie endeleeni kugombania pepo ya ngono. 😂😂

    • @myself4128
      @myself4128 4 часа назад

      Umbali lazina uwepo sababu sisi Tunaelekea Mbinguni wao Kuzimu

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi Месяц назад +4

    Naaam mtu mkuu wa Mungu

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi Месяц назад +3

    Kazi njema sana sana,

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Месяц назад +1

    Daaaa!!!!umezeeka baba yangu chuma cha hoja,Mungu akupatie uzee mwema

  • @user-uj8zc3xr6m
    @user-uj8zc3xr6m Месяц назад +1

    Mungu akubariki wewe na timu yako kwa huduma hii. NINAOMBA NINAVIPATAJE VITABU HIVYO?na bei zake

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Месяц назад +1

    Ukweli Yesu atashinda na apate kushinda Ni Mkuu wa Mataifa na ni Mwokozi ajaye Jina la Bwana libarikiwe

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Месяц назад +1

    Wakristo someni kiibrania Yesu anaitwa nani msilazwe tu kikondookondoo bila ujuzi

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 Месяц назад +1

    Nyie badala yakuuliza uhalali wamtu kufundisha dini huku akiwa nimganga wajadi anaetumiwa namajini mnaka kusifiana harafu mnataka nasisi tuje tufanywe misukule nahao waganga watumishi wadini yenu eMungu okoa watu wako wajulishe kuwa anaeokoa niyesu na sio dini wala zehebu maana wanatambia majina yadinizao lkn hata wavotoa mawazo yao vinywa vimejamaneno machafu namatusi nabado wanaona wakosalama 😂😂😂😂😂😂😂

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад +1

    Mzee simba ulanga ulikuwa inafanya vurugu Mazinge akiogea mnaongea baada yake kuvuruga mawaidha na saa zingne mlikuwa mnaita polisi kwa kusema kuwa mmefanyiwa vurugu.
    Nilikuwa nashuhudia pale msasani Mazinge alifanya kazi kubwa sana

  • @charlesmwasi7646
    @charlesmwasi7646 Месяц назад

    Yesu na ISSA ni watu wawili tofauti, biblia haijawahi kumuandika issa, kuzaliwa kwa issa na Yesu ni vitu viwili tofauti. Yesu ndio kweli yenyewe, haki inakuja ukianza na ukweli

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Месяц назад +9

    Waislamu wanalazimisha eti ISSA awe Yeshua , Yesu , thubutuuuuuu....wako tofauti kabisaaaa😂

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Месяц назад

      Wewe umechanganyikiwa,kwani Waislamu tukisema Yesu ni Issa tunapata faida gani?Au Wewe ukisema Issa sio Yesu unapata faida gani?Sisi hatusemi Yesu ndiyo Issa kwa akili zetu wala matamanio yetu bali ni Vitabu ndivyo vinasema Yesu ni nani?SOMA QURAN 3:50-51/SOMA QURAN 19:30-34 Na Habari za Yesu na ukoo wake yako kwenye Quran kwa wazi kabisa soma Surat Ali Imran.Huyu Mzee nae amechanganyikiwa hetu Mwokozi;sasa Mtu hawezi kuwa Mwokozi?Jeshi la zima moto haliokoi?Labda atuoneshe ayah isemayo Yesu ni Mungu na aliumba viumbe sisi hapo ndiyo tutakubari lakini anapiga porojo tu haoni aibu kufa akiwa hajitambui?Swala la kuchinja sio matakwa ya Wakristo wala Waislamu tu Wenyewe bali ni sheria ya Mwenyezi Mungu :-QURAN6:118 Kama Mzee Simba Uranga unachinja nyama kwa ajili yako hakuna shida lakini kama unachinja kwa ajili kuwauzia Waislamu hiyo sheria hauna,Waislamu tunakula nyama inayochinjwa kwa Majina ya Mwenyezi Mungu sio Nyama inayochinjwa kwa jina la Mtume Yesu na Wanyama halali na vyakula halali kwa mujibu wa Quran:Soma Surat Al Maaidah aya ya 5 na kinachokufanya utumie nguvu nyingi kutunga vitabu vyako ni nini?Jibu ni kwamba unalazimisha kuisemea Bibilia maneno ambayo haikuyasema kwa mapenzi yako sasa Mimi ninakwambia hivi Quran haiitaji kusemewa na mtu kwa maneno yake ya pembeni:Quran sheiria zote zimo kwahiyo ndiyo ujue kuwa dini sahihi kwako Wewe Mzee na watu wote ni Uislamu sio vinginevyo!

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 Месяц назад

      kila asiye na akil atawaza km ww kw7bu kuna UKAFIRI ndan yko

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 Месяц назад +1

      @@halidimgonza5945 hata mkasirike na mpasuke , Isa hawez kuwa Yesu kamwe😅😅 soma biblia ya kiarabu utakutana na Yesoo Al Masih, na sio Isa ..huyo Isa wa kwenu nyieeee. Ila kwakuwa hata kusoma huwa hamsomagi mnasubiri mazinge ndio awasomee basii endelea kuwa hivyo hvyo

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Месяц назад

      Shidaa nikuwa waislamu wengii wanaamin commedy za mazinge hawataki kushughulishaa Akili zao kusoma maandiko

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 Месяц назад +1

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr ww ndo umepotea kbs waislam tunafuata Qur-an na mafundisho ya mtume na mazinge ni muhadhir wetu anayekubalika kw7bu anawafundisha nyie MAKAFIRI na kuwatoka ktk kiza kuingia ktk dini ya kwel y kiislamu izo ni chuki tuu kw prof. Mazinge, soma vitabu uelewe usifuate mkumbo

  • @JamesKabodo
    @JamesKabodo 11 дней назад

    Barkiwa baba

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari7351 Месяц назад +2

    Kiboko yake Mazinge

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo Месяц назад

    Nawezaje kuvipata hivyo vitabu ,,, Asante pastor Simba ulanga

    • @MaksMedia1
      @MaksMedia1  Месяц назад

      Ipo no ya media hapo pia video inayofata Kuna no yake

  • @charlesmwasi7646
    @charlesmwasi7646 Месяц назад

    Mungu wa dini hizi mbili ni tofauti

  • @MSUYA-n1t
    @MSUYA-n1t 3 дня назад

    🙏

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад +1

    Mwandishi mjinga sana unashindwa kuamkia unasema heshima Yako

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Месяц назад

    Ukristo sio dini ni imani hapo tu kwanza tunashangaa wanavyo lazimisha kuwa ni dini. Wao kama wana dini sawa ila sisi ni YESU mkuu wa imani hii MUNGU ALIYE HAI

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Месяц назад

    Mtumishi wa Mungu ubalikiwe na Mungu wa viumbe vyote

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Месяц назад

    Yesuuu ni jibuu toshaaaa kwa woteeee wamwitajiooo

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 Месяц назад

    Kwa mtu aliefungwa akili na majini Yani mashetani hawezi kukuelewa nahasa hao wanaosemakwamba Yako mashetani mabaya na mazuri lkn unaeleweka sana tu mtu wa maana sana kazi Yako sio bure pambana Ili umalize vema tuko mwishoni barikiwa Mzee wetu

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 Месяц назад

    Hili zee jinga zaidi yesu ni jina la kutunga asili ni isa bin mariam

  • @crisantisindani3830
    @crisantisindani3830 7 дней назад

    Mpaka Leo Bado wakristo mkoa wa rukwa (w) ya nkasi kule Kilando . Wananchinja wao nakuuza katika bucha za wakristo. Mdahalo mwingine ulifanyika sumbawanga mjini pale msakila alikuwepo kinyogoli shafii na mazinge Simbaulanga nikidume kweli😁😁😁😁🤣

  • @HafidhiSaidi
    @HafidhiSaidi Месяц назад +1

    Yesu mamaake maliam issa mamaake maliam embu tuwambie kwaelimu yako manabii wangap amezaliwa pasipo baba kama wanafika wawili utuambie uje utuletee tofauti ya issa na yesu alafu ao jamaa zako wanakusapot eti unaongea ukweli sumu ulio wapa watuwako ni nyingi uzee uo unakalibia kwenda kwa mungu fanya utubu baba kama pesa tayali unayo🙏

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Месяц назад

      Tofauti kabisaa yesu alizaliwa kwenye holii la ngombe huko Yeruslem nchi ya Israel. issa alizaliwa uarabuni chini ya mtende tofauti kabisaa kabisaa

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 Месяц назад

      Vipi Adam

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Месяц назад

    Waislamu wanamuogopa sana huyu mzee

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад

    Mzee wetu Simbaulanga bado ana nguvu, nashauri awe anafanya mafundisho au mafafanuzi ya mada mbalimbali alizoandika kwenye vitabu vyake. Awe anarusha kwenye You Tube na mitandao mingine, atasaidia sana wakristo kuelewa kwa undani ukweli wa imani yao vs imani ya Kiislam.

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Месяц назад

    Mihadhara haipo sbb ya kina mazinge na dr sulle wamekua watafta pesa tu

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo633 Месяц назад

    Allah na Jehovah wana tofauti gani kihusika

    • @FredizMhagama
      @FredizMhagama Месяц назад +1

      Yehova ni Baba yake Yesu na Baba yetu Allah hana mtoto wala watoto

  • @nyingos
    @nyingos Месяц назад

    Simba Ulanga kama Simba Ulanga. Ilikuwa hatari sana.

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад

    Wakati hizo nikisoma form five na six Dar Sheikh Mazinge na Simba ulanga msasani .Mzee simba ulanga akipinga uislamu na watu wanasilimu tu nafikiri ilikuwa 2000 mpaka 2004 ndio nilikuwa Dar

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Месяц назад

    Isa na Yesu watu wawili tofauti kabisa maandiko yapo wazi

  • @AllyMsafiri-kw2ne
    @AllyMsafiri-kw2ne Месяц назад +2

    Profesa MUSSA NGOGO NA PASTOR IMANI PETRO HAWA NIWAKRISTO WASOMI WALIACHA UKRISTO NAKUWA WAISLAMU ...NITAJIE WAWILI WALIOACHA UISLAMU NAKUWA WAKRISTO...KISHA TUWAPIME...ACHENI UONGO NINYI SIKU YAKIYAMA NINZITO MNO.

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 Месяц назад

      Nyie mnawazui Kwa nguvu Hadi kuwata kuua, so huwa hatuwatangazi km nyie. Shekh sharifu aliposilim MLIMFANYA NINI? Huo ni mfano mmoja

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js Месяц назад +1

      Tatizo lako ujuwi km ujuwi hapo ndo shidaa sasaa mpo kiushindani sisi hatopo ivyo nyi mnamfoc mtu awe muislamu

    • @charlesmwasi7646
      @charlesmwasi7646 Месяц назад

      Katika ukristo unahubiriwa ili umpokee yesu, hakuna vitisho vya mauaji endapo atahama dini, upande wa pili ni shida mtu analazimishwa kinguvu awe dini hiyo na yule anayehama yupo hatarini kwa kifo . Kule Iran watu wanaingia ukristo kimya kimya ole wako ujulikane. Ulaya hawalazimishi watu wawe wakristo, nenda arabuni uone. Maajabu wahamiaji wanawakimbia ndugu zao katika Iman na kukimbilia kwa makafiri ulaya. Yaani hawajui kinachowavuta ni upendo wa kristo kwa watu wote walioupokea watu wa ulaya

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Месяц назад

    Mungu anayeabudiwa na Waislamu ni yule yule Anayeabudiwa na Wakristo? Mwenye hekma ya kunijibu bila kupanic plz

  • @nomar3708
    @nomar3708 Месяц назад +1

    Wazungu wenyewe wameacha ukristo na wanaingia makundi kwa makundi kwenye dini ya haki, uislamu. Mumebakia nyie tu waafrika mnashikilia uongo ulioandikwa na paulo

  • @hassantoure7472
    @hassantoure7472 Месяц назад

    Maks Media mtafute sheikh shafii shomari kw hili swala la debate na Simba ulanga

  • @abubakarsalanga2497
    @abubakarsalanga2497 Месяц назад

    nakurepoti kwa babu mazinge ulimkimbia songea simba ulanga huwawez kina sule for sure

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Месяц назад +1

    Hakuna kilichogeuzwa wakristo watazame kinachosemwa kama hakimo wao hupokea kinachotungwa na wachungaji na kukataa wanachokiona kwa macho wakristo bhana 😂😂

    • @BOAZIMPITANYE
      @BOAZIMPITANYE Месяц назад

      Unajitekenya na unacheka mwenyewe

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Месяц назад

    Kushindwa kuwaambia wa kristo ukweli mtakwenda kujibu mbele ya mungu

    • @BOAZIMPITANYE
      @BOAZIMPITANYE Месяц назад

      Mkristo hana haja ya kuthibitishiwa maana wanajosomea wenyewe.

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад

    Issa amezakiwa chini ya mti wa mtende wakati yesu amezakiwa katika zizi la ng'ombe

  • @Fathertrucker
    @Fathertrucker Месяц назад

    Twaitaji DIBET Sule vs Shaffi Jamani ili tuelewe

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Месяц назад +1

    Tupe number tuje kununua hivyo vitabu.

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Месяц назад +1

    Yesu hakuoa Issa alioa
    Yesu ni mwana wa Mungu,Issa hatujui ni mtoto wa nani
    Yesu alifufuka Issa hakufufuka
    Yesu alihubiri habari njema ya uokovu ,Issa alikua nabii wa kiislamu
    Jina la yesu linaokoa ,jina issa ni la kihistoria na nabii wa waislam
    Yesu yu hai anaishi hata leo,issa alishajifia huko
    Msilazimishe wafanane hawa ni wawili tofauti kitabu chenu kimeandikwa kwa kuiba iba kwenye biblia ili vifanane

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 Месяц назад

      Sasa mbona huyo yesu alisulubiwa na rangi dhambarau luka anasema jekundu marko anasema kijani hapo vp

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 Месяц назад

      Hayo huwezi kuyaelewa kwa sababu huijui biblia unasomewa na hao mashehe ubwabwa kama unataka kuelewa soma vizuri hivo vitabu vyote kwa lengo la kuelewa utapata ukombozi katika maisha yako

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Месяц назад

    Lamu niwaongo Sana nimaarufu kubadirisha majina.

  • @nomar3708
    @nomar3708 Месяц назад

    Huyu anazidi kuwapoteza

  • @sleyumngolo
    @sleyumngolo Месяц назад

    Kwaiyo ndacha anasapoti uislamu au

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад

    Saa zingine mlikwa mnakata umeme yaani mnachomoa wire za speaker

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад

    Kwenye Bible Daudi alimzini mke wa jirani yake na kumuwa mumewe wakati Daudi wa Quran ni mtu safi kabisa

  • @yousirsports7482
    @yousirsports7482 Месяц назад

    Andiko liko wap

  • @StephenSelelya
    @StephenSelelya Месяц назад

    Vitabu hivyo havionekani sasa hivi bookshop!

  • @yousirsports7482
    @yousirsports7482 Месяц назад

    Aya ipo wapi kwamba aligeuza maandiko

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 Месяц назад

    Huyu mzee muongoo sanaaa tena sana hakuna muhadhara wowote toka iyanzishwe hakuna mkristo ambae anaingia katka uislam ila wakristo ndo wanaingia

    • @user-lf5sd6du3c
      @user-lf5sd6du3c Месяц назад

      We ni mtoto wa 2000 humjui vzur huyu mzee

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Месяц назад

    Natamani kuvipata hivyo vitabu

  • @alyumaraos
    @alyumaraos Месяц назад

    Mzee mzima uongoo 2 waislam gan waloingia ktk ukristo? Na kama huna machoo vaa miwan uangalie wakristo wanao ingia ktk dini ya Haq ya uislam.

  • @faridfrefre35
    @faridfrefre35 Месяц назад

    Huyu kafiri hana lolote anamjua vzr mazingw

  • @user-sy9sl7of8w
    @user-sy9sl7of8w 16 дней назад

    Hivyo vitabu mtumishi nitavipataje,? Niko kahama

    • @MaksMedia1
      @MaksMedia1  16 дней назад

      No ipo hapo

    • @user-sy9sl7of8w
      @user-sy9sl7of8w 16 дней назад

      @@MaksMedia1 mawasiliano yao tafadhali naomba hapo kahama

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Месяц назад +2

    Ukweli utabaki pale pale mungu hazai wala hazaliw na hawezi fananishwi na chochote

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад

      Kama hafananishwi, kwanini yeye MUNGU aliesema, tuumbe MTU kwa mfano wetu. Maana ya mfano ni nini? Viumbe wote hawafananishwi na MUNGU, isipokua ADAMU na wanadamu tu,, ndio maana hata malaika mkuu yule wa kwanza kuumbwa kabla ya viumbe wote, yaani shetani, aliamliwa kumsujudia ADAMU, na, akakataa,, swali! Kwanini ADAMU asujudiwe? Na anaestahili kusujudiwa ni nani? Nipe jibu. Na hilo, la shetani kuamliwa kumsujudia ADAMU, hata kwenye Quran yenu hiyo aya ipo.

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js Месяц назад +1

      Nani kasema MUNGU anazaa tatizo mnaakili ndogo sana ayo mambo ni ya roho Sanaa wewe c mkresto uwezi elewa uctungulie kwenye Imani yetu

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂 soma vizuri Quaran

  • @ZuberySaid-dt2mh
    @ZuberySaid-dt2mh Месяц назад +1

    Huna point,

  • @user-dv8lm4ko5i
    @user-dv8lm4ko5i Месяц назад

    Shida ni Mchanganuo ww mzee hujui lolote sisi wenyewe tumekimbia kanisa tunadanganywa saana Mungu hawezi kuzaliwa na mtu bana

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад

      Imam kakimbia uislamu msomii sembuse wewe?
      ruclips.net/user/livec2e99p3YSqY?si=My42Rd54cgqmkST7

    • @user-zs7eq8up5s
      @user-zs7eq8up5s Месяц назад

      Ni kweli

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Месяц назад +1

    Mkirsto hana dini akichinja ni umekula mfu. Na mkiristo hana hoja ndiomana wanamiminika kwenye uislam.lini ukaona wakiristo wanamiminika kweny uislam?ukweli ni uislam pekeyake

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад

      Endelea kujichanganya acha kusoma utakuwa mjinga mpaka kufa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Месяц назад

      @@silvesterrichardhelenya1319 ndio maana tunawausia waliolala kwenye ukiristo wamepote waingie kwnye uislam wasije wakafa kwenye ukafiri

    • @MajiTakaMaji
      @MajiTakaMaji Месяц назад

      Broh nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata jibu

    • @user-jw6ro5di3f
      @user-jw6ro5di3f Месяц назад

      Mtu,akitaka kumjua MUNGU kuwa ndio YESU Mwenyewe aokoke awasikilize wanaomwabudu ili wajue kweli. Kwa maana akizungumza asiyoyajua ni kwa sababu hajui Mambo yote na kweli ni wazi hayajajifisha,Mungu yupo yaani YESU KRISTO,wataomwamini wataokoka na kuingia mbinguni wasiomwamini Watakwenda kwenye ziwa la moto (jehanamu) .Ukihitaji msaada katika hili maine mchungaji Aliye mwamini YESU,mfano Mchungaji Ulanga n.k

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Месяц назад

      @@user-jw6ro5di3f anaeitakidi yesu ni mungu nisawa na anayesema ngo,mbe ni mungu.mutaingia motoni .yesu sio mungu bali ni mtume wa mungu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Месяц назад

    ww mzee simba ulanga unawapotosha MAKAFIRI wenzio lkn ukwel unaujua km ukristo si dini ya mwenyezi Mungu mtakuja chomwa motoni nyie na unamuogopa mazinge kuliko chochote

    • @basilejuma
      @basilejuma Месяц назад

      Mazinge achia ndacha, ndo maana Mahali ndacha Yuko mazinge anahepa

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Месяц назад

    Nmeona mzee hana hoja ni chuki tu za kuvimbiwa makande...yani mkristo hatakiw kukubali chochote kinachosenwa na qur an kama biblia imekosea

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Месяц назад

    Navipata je ivyo vitabu ??

  • @omaar5693
    @omaar5693 Месяц назад

    isa sio kiarabu....
    musijichanganye...
    isa ndio jina original kama musa na yusuf..yakub, ishak ibrahim yote si ya kiarabu ila yameandikwa kwa lafudhii ya kiarabu

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js Месяц назад

      Weee ndo ujuwiii kabisaaa una elimu ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa

    • @omaar5693
      @omaar5693 Месяц назад

      @@FrankMushi-cs5js ah we nawe wewe si unasema yesu ni mungu?
      ametairiwa vile?
      so anayo chululu ?
      acha kuniambia jambo kama mungu wako ametairiwa na viumbe wake..

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx Месяц назад

    Huyu mchungaji ni muongo sana cheki pua yake

    • @user-vb7tu5zs9d
      @user-vb7tu5zs9d Месяц назад

      Kadanganya nini hapo

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 Месяц назад

      Matusi yanatoka wapi tena.!!

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx Месяц назад

      @@fabianalfredy5557 sas wew kwani hauwoni pua yake jinsi ilivyo?

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx Месяц назад

      @@user-vb7tu5zs9d kwani wew hujui alicho danganya

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 Месяц назад

      Mathayo 12:34
      [34]Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema,
      mkiwa wabaya?
      Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
      NDIYO YALIYOJAA MOYONI.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Месяц назад

    Simbaulanga.umeamua.kufa.kafili?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад

      Pole,, sana,, kwakua unamacho ya kutazama, lakini, huoni, una masikio, lakini hutasikia kamwe,, uislamu ni dini ya kurisi, na UKRISTO unatafutwa kwa nguvu! Na Si kwa kurisii,, MUNGU mwenye enzi, anatuthibitishia kuwa,, wenye nguvu ndio wataiteka pepo.

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад +1

      Wewe ndiyo kafiri soma vizuri vitabu vyako utaukimbia uislamu mchana kweupe

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 Месяц назад +1

      Haa, umekubali kufa bila kumkubali YESU mwokozi wa ulimwengu kutoka dhambini..!!

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад

      Hakimu wa kiyama ni YESU KRISTO,, na sio muhamadi! Siku ya hukumu,,, hatasimama, ibrahimu, musa,daudi, sulemani, ismaili, wala muhamadi,, wote tutahukumiwa na bwana YESU.

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Месяц назад

    Bado hujajielewa na utu uzima huo pole sana

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi Месяц назад +1

    Mtumishi umetoboa ndonya

  • @binseif2216
    @binseif2216 Месяц назад +1

    Muongo sana we mzee😂😂Wakristo ni wengi waingiao uislamu mpka wachungaji na hamkuwahi kujibu maswali ya waislamu

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Месяц назад +1

      Nyie mnaona wengi kwakua mnatangaza wakristo hawatangazi

    • @binseif2216
      @binseif2216 Месяц назад

      @@martinmkoba361 🤣🤣Wachungaji wanavopenda sifa wataacha kuwatangaza

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад

      Wakristo wanaehamia uislamu, ni wale wasio jua kitu, au kwa tamaa zao za kimwili! Akiwa mwanamke,, sababu kapata mwanaume muislamu,, na akiwa mwanaume amepata mwanamke wa kiislamu,,, mkisto mwenye nguvu ya KRISTO nafsini mwake hababaishwi na vitu vya kimwili, maana hivi vipo duniani tu! Kwa upande wa sisi wakristo wenye nguvu ya KRISTO nafsini mwetu, hata angekuja mwanamke mrembo kuliko malaika, siwezi kumwacha YESU, na hata nipewe pesa na thamani zooote za dunia hii, sitamwacha YESU kamwe! Maana nilikuja uchi, na nitarudi uchi, nilikuja bila mke, wala pesa, na thamani, nitaenda peponi hali nikiwa sina hivo vyote va duniani,,, Sasa kwenu nyie waislamu ni sawa kulinganisha vitu va kidunia na pepo yenu,, maana pepo yenu nyie mmeandaliwa wake 1000 wa kuwakaza huko. Sisi wakristo pepo yetu haina kuowana.

  • @FadhiliMakasi-vb9dl
    @FadhiliMakasi-vb9dl Месяц назад

    Hiki kizee kiongo sana nakifahamu
    Eti Issa sio yesu

    • @Visionofeagle9689
      @Visionofeagle9689 Месяц назад +1

      mungu wenu anawafunza ukosa adabu' pole sana.

    • @limakisasautajirike
      @limakisasautajirike Месяц назад +1

      Issa hawezi kuwa Yesu hata siku Moja! Issa mfuga Majini na Yesu mtoa Majini ni vitu viwili tofauti

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Месяц назад

    Waislamu hawawezi kuitwa YESU maana wanamajini. Yaya wapiga😂😂

    • @user-ks4hh8jb6k
      @user-ks4hh8jb6k Месяц назад

      Wewe ni kafiri nguruwe tako

    • @user-wg2gd2nl6c
      @user-wg2gd2nl6c Месяц назад

      @@user-ks4hh8jb6k acha matusi wewe sisi hatuna midomo michafu. Pangua hoja na andiko siyo matusi🙄

    • @khambhai360
      @khambhai360 Месяц назад

      ​Eti hamna matusi mbona mnatuita wafuga majini mnaushahidi Gani?Makafiri nyie.

  • @user-us7yu2cj9l
    @user-us7yu2cj9l Месяц назад +1

    Acha uongo muda wote wamgazara yako haujawai kushinda muhadhala wakigoma ulikimbia ukasababisha mchafuko mbona ulikimbia wakati wewe unajua ukweli ulikimbia nini

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Месяц назад +1

      Wakristo hawashindani kwa hoja ili kutafuta mshindi bali kuelimishana na kusaidiana uelewa juu ya kumtafuta Mungu anayesikia na kuelewa ni sawa na asiye elewa pia sawa maana ni ukweli dhahiri kwamba Imani moja huweza kuwa uwendawazimu kwa Imani nyingine

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 Месяц назад

      Uongo ni jadi yenu,kigoma nilikuwepo,waisilamu ndio mliandamana mkatishia kuwaua kwamba wanadhalilisha uisilamu wenu,ilikuwa viwanja wa kanisa la moraviani

  • @universitylink
    @universitylink Месяц назад

    Kwanza kwenu wakristo mkikubali kuwa yesu ndio issa ni faida kwenu kwa sababu issa anezungunziwa vizuri kuliko yesu wenu katika Biblia

    • @frankmugomba3484
      @frankmugomba3484 Месяц назад

      Jamaaaa acha kuwa mpotoshaji coz ukweli ni kufatilia kuongeza Maarifa Jifunze ukiiva njoo kwa Table na Hoja

  • @FadhiliMakasi-vb9dl
    @FadhiliMakasi-vb9dl Месяц назад

    Issa mama yake anaitwa Mariam
    Hakua nababa kama ilivyo yesu
    Wewe babu mimi ni mkiristo
    ila hapo nipagumu kwako

    • @MiziziMti
      @MiziziMti Месяц назад +3

      Wewe sio mkristo..Sema nyie waislamu uongo mmeruhusiwa

    • @Visionofeagle9689
      @Visionofeagle9689 Месяц назад

      Wewe sio mkristo

    • @limakisasautajirike
      @limakisasautajirike Месяц назад

      Muislamu unayefuga Majini

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад

      Imam kakimbia uislamu msomii sembuse wewe?
      ruclips.net/user/livec2e99p3YSqY?si=My42Rd54cgqmkST7

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Месяц назад

      We kichaa kweli Issa alizaliwa nakuongea siku hiyohiyo sasa Yesu aliongea siku hiyohiyo???

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u Месяц назад

    Nani achaga umbea ushakuwa ww

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Месяц назад +1

    We Mzee ni muongo sana jina yesu limebuniwa hapo unguja walipo tafsir biblia

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Месяц назад +1

      Aya wewe nawe ni mandazi kabisa,haya kasome kihebrania au kiyunanani.

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Месяц назад +1

      ​@@odilomwemeziernest646Hakuna maandazi apo Jina yesu Ni kiswahili na lilitungwa mkunazini Zanzibar

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Месяц назад +2

      Mtasema Sena ila jina la Yesu linaponya na kuyafukuza majini ambao ni ndugu wa Kiislam lakini Hilo la Isa halieleweki na halija wahi fanya muujiza.

    • @ephraimkabeya9648
      @ephraimkabeya9648 Месяц назад +2

      Aksante Sana mchungaji. YESU sio Issa . Kila mtu abakie upande wake

    • @limakisasautajirike
      @limakisasautajirike Месяц назад +2

      Kila Mtu abaki na Yesu wao - Yesu wetu anatoa Mapepo, Issa wao anafuga Majini

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Месяц назад

    Hakuna muislam anapindisha biblia umri wote huo Mzee unasema uongo ingia kwenye mihadhara upinge kwa maandiko kama unasema kweli usizungumzie vichochoroni

  • @hamisdodi-cu7bu
    @hamisdodi-cu7bu Месяц назад

    Wewe.mzee.moto.una.kungoja.potospha.watu

  • @FadhiliMakasi-vb9dl
    @FadhiliMakasi-vb9dl Месяц назад

    Yesu issa
    Mama yao ni Maliam
    Hakua nababa .hivyo Yesu ni Issa
    Wemzee unafeli

    • @theodorythobius3965
      @theodorythobius3965 Месяц назад

      Yesu sio Issa , na Issa hawezi kuwa yesu kamwe, huo ni mpango wa shetani kuleta mtu anayefanana na yesu ili kupotosha.
      - Mama yake issa ni mariam ambaye ndugu wa haruni ambaye aliishi kipindi tofauti kabisa na ujio wa yesu kristo duniani.
      Yesu aliteswa msalabani , aliishinda mauti na akapaa mbinguni.
      Yesu atarudi kuja kuchukua walio wake(na wewe unalijua hilo) wakati huo issa anangojea hukumu.
      Yesu ni alizaliwa kwenye holi la ngombe wakati issa alizaliwa chini ya mtende . Pia sauti siku zote yesu ilitoka juu wakati issa anazaliwa sauti ilitoka chini.
      Mimba ya mariam mama wa Yesu kristo ni miezi tisa, lakini inaonesha mimba ya mariam mama wa issa ni muda huo huo alipata mimba akashikwa na uchungu na kwenda kuzaa.
      Ref:
      Maryamu" (19) kuanzia aya 16 - 35.
      Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipojitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mcha Mungu. (Malaika) Akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako ili nikubashirie tunu ya mwana aliyetakasika. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanamume yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? (Malaika) akasema: Ni kama hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lililokwishaamuliwa. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningelikufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa! Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji! Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu. Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu! Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi? (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai. Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.

    • @FredizMhagama
      @FredizMhagama Месяц назад +1

      Allah sio Yehova, Issa sio Yesu. Allah na Yehova ni TOFAUTI, NA HAWAFANANI