DR,SULLE ABANWA VIBAYA VIFUNGO VYA QURANI NA BIBLIA HAKUNA MAJIN WAZURI WOTE WABAYA SEMA UKWELI DANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 197

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 3 месяца назад +2

    Mwalimu D uko Vizuri sana Asante sana Mkuuu be blessed sana Baba wa Mbinguni akujaze Mema yake

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 2 месяца назад

    Amina kaka mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Hawa waislamu Wana potosha na kumchafua Mungu

  • @pascalvirgilio7208
    @pascalvirgilio7208 3 месяца назад +7

    Yesu Kristu ndiyo uzima wa milele..

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 3 месяца назад +1

      Soma na Marko 5:9

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад +1

      Marko 5:9 inasema akamuuliza jina lako nani akajibu jina langu ni legion kwakuwa tu wengi point Yako ni ipi kwenye hii Aya? Hapa Yesu anamuuliza yule aliepagawa namapepo nae anajibu shida nn hapa sema tukusaidie

    • @graduationtv3072
      @graduationtv3072 2 месяца назад

      ​@@HamisAbdallah-cj2sc soma marko 5 :8 - 10 utapata majibu yako ya swali lako. Acha kusoma vitu nusu nusu utoelewa kijana

  • @JohnjohnMnonjela-br3xl
    @JohnjohnMnonjela-br3xl 3 месяца назад +7

    Huyu ndio mwalimu Daniel mwankemwa ninayemfahamu ....ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

    • @binaamour318
      @binaamour318 3 месяца назад +1

      Huyu ni muongo hakukuwa na jini malaika jini ameumbwa kw moto na malaika ameumbwa kw Nuru

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад +1

      Wewe usitake kila mtu aamin unachoamin wewe ametoa Aya kwenye biblia sio Quran wewe Amin ulichoaminishwa kwenye Quran yako

    • @user-zs6qg7ql1i
      @user-zs6qg7ql1i 3 месяца назад +1

      50:6yeremia,56:10isaya mpuuzi ww kasome

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад +1

      Ungeanzia Moja ndio ungepata majibu wanao ongelewa hapo ni wakina nani yeremia50:1 Neno hili alilolisema Bwana ktka habari zababeri naktk habari za wakaldayo kwakinywa chayeremia nabii. Hao ndio wanaongelewa hapo nayeremia baada yamungu kusema nae juu ya watu hao ukisoma 8:50 inasema wakimbia kutoka baber pamoja na nchi yawakalidayo coz kulikua nadhambi zinafanyika kwakipindi hicho namungu akachukizwa nadhambi hizo ndio Mungu akaongea na nabii yeremia habari za hizo nchi coz watu wake wamepotea kwahayo wayafanyayo

  • @LeonceMushy
    @LeonceMushy 3 месяца назад +3

    Aleluya nimejifunza

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i 2 месяца назад

    Hallelujah ubarikiwe Sana mtumishi Daniel mwankemwa nakusikia Raha kuwa mkristo.

  • @wycliffew.woduor1748
    @wycliffew.woduor1748 3 месяца назад +1

    This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless

  • @jannffer
    @jannffer 2 месяца назад

    I love your teaching may God bless you

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 2 месяца назад

    Munguakubariki mtumishi mana awonduguzetu shetanianawatumia kpoteza ndugu zetu.

  • @SantosNjanja
    @SantosNjanja 3 месяца назад +4

    Yesu ni Alfa na homega yeye ni muanzo na wa muisho

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 3 месяца назад

    Daaaaaa kweli Nimecheka sana sana Daaaaaa Wasilamu Mko vizuri sana kwa Kitabu chao ja Majini na Vituko vyao kiko Vizuri sana daaaaa Waisilamu wako Vizuri sana Wacheni na Majini yao

  • @AnafBanda
    @AnafBanda 3 месяца назад +4

    Mwalim Daniel mwamkemba uko vzr kwamafundisho

  • @jannffer
    @jannffer 2 месяца назад

    Mimi naona anataka kuongelelea roho mtakatifu mungu amufunulie kupitia nguvu zake

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 3 месяца назад

    Hallelujah utukufu Kwa BWANA YESU

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 2 месяца назад

    Hongera Daniel sana

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 3 месяца назад

    Uko vizuri sana mwalimu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 месяца назад +2

    Facts tupu

  • @AsiaSiraji-ud9ju
    @AsiaSiraji-ud9ju 3 месяца назад +2

    Ww ni mshenzi uliona nani mwisilam avai nguo ya ndan wakati wa swala😢😢😢 acha kupotosha watu

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 3 месяца назад +3

      Si mnapulizwa na shetani matakoni mnaposujudu msikitini?

    • @FrankBella-qe4tj
      @FrankBella-qe4tj 2 месяца назад

      Kuswali na majin mbona hamuongei

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 2 месяца назад

      ​@@FrankBella-qe4tj na nyinyi ndoa za jinsia moja mbona husemi kama baba yenu kasena mzibariki

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 2 месяца назад

      Kwan uongo mnasali bila chupi hata demu wangu mislam aliniambia hua haendi na chupi akienda kuswaali

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 2 месяца назад

      Mshenzi niww

  • @joezeno8
    @joezeno8 3 месяца назад +3

    Swala za Majini , Sharif Majini yuko kimya anajuwa yeye ndio mwenyekiti wa majini

  • @rachelnamisi777
    @rachelnamisi777 3 месяца назад +3

    In Christianity majini are follen Engles. Malaika walioaasi.

  • @MrMtaalam
    @MrMtaalam 3 месяца назад

    Sheikh huna ilmu,jini alkua kiumbe wakwanza duniani ,walipopigana na kuharibu ulimwengu wakagharkishwa,kikabaki kitoto kimoja malaika wakakichkua waenda muomba mungu akisamehe wakilee.....mwishowe kilipoasi na kukataa kumsujudia adam,akafukuzwa akaja ardhini kuzaana.hawa ndio majini.

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 3 месяца назад

      Uuuongooo

    • @Benfilimon
      @Benfilimon 3 месяца назад +1

      Sasa wewe unajengea hoja kitabu cha juzi,, yaani qruan wakati vitabu vya mwanzo havisemi hivyo,, kwahio jini jhajaumbwa bali ni maraika waasi,, huo ndio ukweli wa torati, zabri na injili

    • @husseinhassani8846
      @husseinhassani8846 3 месяца назад

      Hakuna majini ya kikristo kwa kuwa hakuna dini hiyo hata yesu haitambu,Mungu anasema "sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa waniabudu" hivyo wapo watu wabaya na wazuri hivyohivyo na majini

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад +2

    Waislamu Kila mara nawaomba Aya ndani ya Biblia kuwa majini walisikia INJILI wakaiamini wakawa Wakristo!!

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 3 месяца назад +1

      Wapi aya inayosema KWAMBA majini ni malaika walioasi ?? Sasa aya uliyosema haisomeki kuwa majini asili YAKE ni malaika.sasa yesu kaja majini yameondoka?

    • @user13375
      @user13375 3 месяца назад +1

      ​@@HamisAbdallah-cj2scHakuja kuyaangamiza la sivyo yangeangamia Sulle asingetajilika 😮😮😮

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u 3 месяца назад +2

    Makafiri waongo kazi kudanganyana tuuuu.

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 3 месяца назад

      Wewe ni kafiri wa Kiislam

    • @stephanosospeter1709
      @stephanosospeter1709 3 месяца назад

      Kama unaona anaongea uwongo, nenda na hoja zako za kweli, ukapinge,

    • @stephanosospeter1709
      @stephanosospeter1709 3 месяца назад

      Yeye anainukuu Quran yenu, inavyo sema

    • @doreenarbogast4597
      @doreenarbogast4597 Месяц назад

      Nini cha uongo alichoongea hapo? Hahhahaha mpokee Yesu awe mwokozi wa maisha yako uwe huru

  • @SarahPeter-fg3cm
    @SarahPeter-fg3cm 3 месяца назад +1

    Kwanza hauelewi maana ya makundi

    • @graduationtv3072
      @graduationtv3072 2 месяца назад

      Makundi ni zaid ya moja yaani mawili na kuendelea na ukiangalia kwenye Qurani kuna makundi mawili tu ya yale yalio amini yakasirimu ( mnayaita mema au mazuri na ni maislam haya) na kundi lingine ni yale makafiri ambayo siyo maislam ( mnayaita mabaya) sasa njoo utuambie wew kundi la tatu ni lipi uje na reference yake

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 3 месяца назад +3

    Waache hao waabudu majini. Dini ya waganga.

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 2 месяца назад

      Sawa na wewe muabudu ushoga

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e 2 месяца назад

      huyo mwalimu mwenyewe amesha washirikisha na miungu wa tatu nyie akili kisoda mumeona huyu nae mwalimu

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats 2 месяца назад

      @@badruseif1318 Dini yangu haiabudu ushoga. Hizo ni sababu zisizo za msingi. 😆😆

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 3 месяца назад

    MAJINI WALIKUWA MALAIKA
    Katika Uislamu Malaika hawamuasi Mwenyezi Mungu.

  • @bossej1212
    @bossej1212 3 месяца назад +2

    😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu

  • @ZakariaJackson
    @ZakariaJackson 2 месяца назад +1

    Mtumishi mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni majini wako wazuri na wabaya kama waislamu wanavyo sema ata biblia inajua ilo soma vizuri utajua

    • @mwakilamwaki1718
      @mwakilamwaki1718 2 месяца назад

      We ndugu yangi ni mkristo kweli kuna jini mzuri daaaa

    • @graduationtv3072
      @graduationtv3072 2 месяца назад

      Bro shetani ni bingwa wa kuigiza ili akupate na kukoseshana na Mungu wako basi atajifany kuwa ni mzuri ilimrad umwache Mungu

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc 2 месяца назад

    SASA HAYO TAYARI SI WAKIRISTO WAMEAMINI YESU NI MWANA WAMUNGU.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 2 месяца назад

      NYAKATI 2 18:18-24 MUNGU ALIPOKUWA NA JESHI LAKE AKAULIZA NI MTUME NANI AKATOKA PEPO (JINI) AKASEMA NITUME MM NITAKWENDA KUWA JINI WA UONGO VINYWANI MWA MANABII WA AHABU.PITIA NYAKATI FAFANUA .

  • @hasanykatutuma6927
    @hasanykatutuma6927 3 месяца назад

    Ujanja nwingisana

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 3 месяца назад

    Nguo za ndani, duh, umechemka

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад

    Lord have mercy on us🙏

  • @mwesi527
    @mwesi527 3 месяца назад

    Mungu baba,mungu mwana ,mungu roho, ndio nini et?

  • @jannffer
    @jannffer 2 месяца назад

    Suleiman nathani anataka kuongelelea roho mtakatifu

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 3 месяца назад

    Kwani sasaivi hayo majini hayafanyi kazi tena wanaoshambuliwa na majini ni wakristo

  • @johnsonyohana9594
    @johnsonyohana9594 3 месяца назад

    Sio kwamba mbogo ni mchache wa elim bali uwa anapinda ulimi tu makusudi kuwafurahisha maamuma

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 3 месяца назад +2

    Hahahahaha. Kwa hiyooo waislam hawavai chupi msikitini. 😂😂. Dunia hiii

  • @bakarisaidi3022
    @bakarisaidi3022 3 месяца назад

    Majini wakristo wapo.tena wapo na imani tofauti hawa viumbe.

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 3 месяца назад

      Hakuna jini mkristo,kama yako toa aya bakarisaidi

    • @husseinmtende6575
      @husseinmtende6575 3 месяца назад

      ​@@user-dt5wp5qo4n mbona mkakingoa kitabu cha Solomon kwenye biblia manake hapo ndipo Sasa

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai4651 3 месяца назад

    Ata wanadam waliasi Mungu ndio wakashukishwa duniani Kama Majini pia wote walifanya makosa

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад

      Inamaana wanadamu walikua wanaishi mbingun walipokosea wakashushwa Dunia kwamujibu wa Quran?

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 3 месяца назад

      @@joycedimoso8648 hawezi kukujibu,wamekalilishwa na mjinga mmoja anaitwa Muddy

  • @jannffer
    @jannffer 2 месяца назад

    Kwani mkojo ni dhambi

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 3 месяца назад +2

    Ndio maana waislam hawali nguruwe.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад +1

      Wanaruhusiwa Kula nguruwe wakiwa na njaa bila kishiba😂😂

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 3 месяца назад +1

    Achana na uislamu huujui ata kidogo

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 3 месяца назад

      Mtume wko kama hakuujua uislam wewe dio utajua. poleni waislamu mchanga wa macho pwaaa..njooni kwa yesu.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад +1

    Wacha kusema Dr Sule kabanwa vibaya. kitabu hicho ni feki cha bible kimendikwa Rome,kapitia lugha ya kigiriki na kilatini kwa biashara zao na kufanya mengi katika mataifa ya Europe na kwa kukitumia katika biashara za utumwa missionari

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 3 месяца назад

      Huo ndio ufahamu wako...you have been deceived my friend.

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 3 месяца назад

    Suali hili naomba jibu Anae kili kwamba yesu ni mwana wamungu atakua Dini gani?

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 3 месяца назад

    Haya yote yanatokana na Matamshi ya Dr. Sule. Kuhusu majini.
    Na ndo maana nilisema kuwa majini yalikwisha hukumiwa jahannam wote.

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg 3 месяца назад

    Kafili mkúbwa w duniani. Waliishi viumbe gani kabra ya binadam

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Hayo maelezo na hicho kitabu kwamba hakuna mtu aliepnda jini akasema yeye ni papa,..,..nk. kama utarejea huko nyuma amesema majini wanapenda kujinasibisha na majina mazuri, ujue basi hayo ya uikristo nk ni mabaya ndio maana majini hawajinasibishi nayo.

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121 3 месяца назад

    Wislamu ni din ya majin sio ya Mungu ndia maana unakuta muhamad alimsimisha shetan njoon Kwa Yesu polen mlioslimu

  • @HamzaMakobanice
    @HamzaMakobanice 3 месяца назад +2

    Kumbe na wakristo wanayo majini na nirafiki yao ulikuwa una kataa nn sasa kama hakuna majini ya kikristo nilidhani nyinyi hamna majini bwana yeyote anaye jitenga na amri za mungu lazima ashikwe na majini wabaya namajini wabaya wapo na wazuri wapo kamavile binadam wabaya wapo na wazuri wapo.na ndomana biblia inawataja wabaya kwann isitaje majini tu,na na malaika hawamuasi mungu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      😂😂😂😂 unatuonea wivu Wakristo hatuna majini Wala hawa jaamini katika YESU KRISTO

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 3 месяца назад +1

      Wacha shombo nyie mnasilimisha majini wakristo wanatoa majini..hapo vipi.

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад

      Andiko linalosema wakristo wanasilimiaha Majin toa hata gazetin kwenye Quran hata kwenye biblia nipo pale nasubiri andiko

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 3 месяца назад

    Waislamu wanazanga Kama majini ni malaika waliazi kwasababu mwamendi anasema majini yaliumbwa na Moto kwa mujibu wa Quran

  • @SuleKhamisi
    @SuleKhamisi 3 месяца назад

    Wewe ni mshenzi tu hata katika ukristo humo

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla6736 3 месяца назад

    Hamna kitu, apo pumba tupu, cc waislam wenyewe tupo apa, unatusingixia mchana kweupe, Mnafiki wewe mzee, cc tunavaa nguo za ndani na za nje pia, ili mrad ziwe tohara, kama c tohara hata iwe kanzu huwez kuswalia, acha kusema uongo, Tubu kwa Allah.

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014 3 месяца назад +1

    Halafu mm nashindwa kabisa vipi wasaidiwe hawa watu biblia inasema yesu katumwa kwa wana wa israel vp mungu awapendelee wana wa israel na chaajabu walio pendelewa kupewa huyo yesu hawaitambui biblia wao wako na taurat aisee

    • @habililailo271
      @habililailo271 3 месяца назад

      Nabii hakubalik kwao

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 месяца назад

      kwa akili yako unafikiria Israeli ni nchi tu

  • @BoscoBaranyanduza
    @BoscoBaranyanduza 3 месяца назад +1

    Bibiliya.siyo.kitabo.camungu

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Danel una maneno mengi nauongo mtupu. Bibilia haijaelezea suala la majini, hayo maelezo ni yako si ya bibilia, khabari huo ufunuo 12:7. ni ndoto si uhalisia. na hiyo unyozungumza wewe si tafasiri ya ndoto hiyo. wewe umeichukua kavukavu. Kwa mujibu wa quran majini ni viumbe tofauti na malaika. na Quran suratl jinn imethibitisha kuwa kuna majini wema na waovu. aya za suratl an'aam haionyehi kuwa majini wote ni waovu. Danel huijui Quran wala Bibilia acha uongo.

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u 3 месяца назад

    Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34
    [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 3 месяца назад

      Wewe uelewa wako ni ziro ,hapo uliposoma pana tofauti gani na hapo anapopaelezea?

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusa 3 месяца назад

    Nadini.yakikistu.nayo.mnaita.dini.nawakati.tu.mnapotoshwa.vp.mnamfwata.yesu.nawakati.yesu.nimuisilam.hAnna.aKilian.vp.mNathan.sadaka.zenu.mchungaji.aKitKat.kAnimaniacs.ananda.kulewa.ndomana.sadaka.zenu.inaitwa.zakuteketea.hapahapa.duniani.kuweni.maccording.sAna.yesu.alikuja.kuwaokoa.wAna.waizilaeli.sio.wOTE.muhamadi.ndokaja.kWA.ulimwengu.mzima

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k 3 месяца назад

    Wewe Daniel aja uongo nyinyi wakristo mnafanya mapenzi na majini, nayo iweje

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 месяца назад

    Nn maana ukisto.

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e 3 месяца назад +1

    Wewe lamda nimfuasi wa shetani eti waisilam hawruhusiwi kuvaa nguo za ndani wakienda msikitini kwanini unazusha unafiki kama huu wewe nibure kabisa hujui lolote kwenda

    • @MatimbeJr
      @MatimbeJr 3 месяца назад

      Atoi kichwani ila vitabu vyenu

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164 2 месяца назад

    hahahh huyu kuma nini yaan hatuvai nguo za ndan

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 3 месяца назад

    Sule anatapata Washehe wenzio wamemkalia kubaya kwa kuaibisha dini ya uislamu

  • @user-cz7yn8ct5r
    @user-cz7yn8ct5r 3 месяца назад

    Huko kwenye Majini siwezi kwenda.

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan 3 месяца назад

    🤣🤣🤣🤣🤣Uyu mwalimu wenu nae bwabwa kweli unatafta weak point ili kudhoofish usilam nan ka kwambia Sulle na Elimu zake za uganga anazo zitoa ni mwislam nan kakwambia waislam wana iman za kishirkina kama alizonazo sulle, yule ni mwana mpotevu tu alie hadawa na dunia hawakilishi mwislam yyte ss waislam tunamtambua kama mpiga ramli ss na ww unatoka uko mabonde kwinama unataka utumie ako kachance kudhalilsh uislam na kuwapoteza watu, Uislam ndo dini pekee ya kukupeleka mbinguni sheikh au paradiso so take a brake tuliza povu🤣🤣🙌

  • @eslonblack8096
    @eslonblack8096 3 месяца назад

    Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 3 месяца назад

    KWA HIYO HAO MALAIKA WAOVU WALIUMBWA ILI WAWE WAOVU SIKU ZOTE?
    Je, kabla ya kukengeuka, walikuwa wema? Na kama walikuwa wema, hivi inawezekanaje wote wakengeuke Maadili mema?

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 3 месяца назад

    Kama nikufikiri kwakufunguliwa macho nileo hii mtu anayepatamafanikio kwajasholake harali hajitutumuli nakujitanuatatanua kama chura.

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw
    @MwijakaSwalehe-dg4hw 3 месяца назад

    Taja majina ya malaika walioasi

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 3 месяца назад

    Ww acha uwongo njoo kwenye mdahalo ukiitwa unakimbia kimbia njoo tukufundishe

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Daniel acha uongo. Ni kitabu gani ulicho soma kinachosema waislaam hawaruhusiwi kwenda msikitini na nguo za ndani.

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg 3 месяца назад

    Ss we kafili hivi kaka yesu nimwana wa munguwenu na mama yake ni maliam me? Huyo mungu na Mali am wanaitanaje

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k 3 месяца назад

    Johana 6:70

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k 3 месяца назад

    Petero mwenyewe alikua shetani na hata si jini bali shetani math18:23

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014 3 месяца назад

    Maneno mnatengenezewa mnaamin eti mwana wa mungu ingekuwa ni hivyo israel wote wangemtii yesu ni mtume kama walivyo mitume wengine

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 3 месяца назад

    Unaongea mwenyewe hapo ukweli lazima uufiche kafiri mkubwa,omba mdahalo sasa kama wewe kidume

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d 3 месяца назад +2

    Stop lying and misleading people, Nani kasema hawavai nguo za ndani? You lying and hujuichochote kuhusu Islam.

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад

      Wewe kama unavaa niwewe usiwasemee wengine wanao jua wanakuona hujui

    • @user-vi8sz5zo4d
      @user-vi8sz5zo4d 3 месяца назад

      @@joycedimoso8648 stop lying about Islam, you and you pastor don’t no anything about Islam.

    • @user-vi8sz5zo4d
      @user-vi8sz5zo4d 3 месяца назад

      @@joycedimoso8648 ignorant is bliss!

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e 2 месяца назад

      Huyu nae kumbe ana miungu wa tatu inalilah wainalilai lajuuni, elimu Yako finyo hata Mimi nakupita kwa elimu

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 3 месяца назад

    Kama majini yalikufa ,Yale mnayoyatoa kanisani ni nini?

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e 2 месяца назад +1

    Huyu nae ni taila kama mataila wengine tusivae nguo za ndani kwanini, aje siku moja atukagae ili ajishike na uongo wake

  • @ImamuMussa-dl1wm
    @ImamuMussa-dl1wm 3 месяца назад

    Ww nimtupu hunaelimu yakujua majin nini wala huwafahamu

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 3 месяца назад

      Hoja za waislamu mii huà naishia kucheka😂😂maana hazina mashiko kabisaaaa hata kidogo.

    • @SaidiNyanga-ct8zq
      @SaidiNyanga-ct8zq 2 месяца назад

      Amen🙏🙏🙏 God bless you

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 месяца назад

    Bibilia imeandikwa nn?

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 3 месяца назад

    Kwanini wakristo elimu ya dunia mnafuzu vizuri sana lakini ya kidoni nyinyi ni bongo lala? Majinni ni viumbe kama sisi, yaani theres the human kind and the jinn kind.

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 месяца назад +1

      wewe huna akili ata kidogo kama tu wenzako🤔🤔🤔

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira3980 3 месяца назад

    Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 3 месяца назад

      Yesu ni mwana wa Mungu asilimia mia nani Mungu asilimia mia.

    • @pedropedroagira3980
      @pedropedroagira3980 3 месяца назад

      @@MiziziMti mama yake ninani? Jibu litakua Maria je mungu alimoa Maria? Ndugu yangu unakufuru . Yesu ni mtume kama watume wenguine tu!

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e 2 месяца назад

      Mi nawashangaa Sana wakristo kwani wakisema yesu ni nabii wanaona wanamshusha cheo au?​@@pedropedroagira3980

  • @SwidikiKabemba
    @SwidikiKabemba 3 месяца назад

    Mchungaji mbona unazidisha uongo nyingi ili kujipendezesha kuwakristo,aliekwambia mtu kusilimu anapata jini nani?

  • @ibrahimmsuya993
    @ibrahimmsuya993 3 месяца назад +1

    Mchungaji rudi darasan elim ime kukataa majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika majini wameumbwa kwa Moto na malaika wameumbwa kwa nuru umeona tofauti apo kasome tena ndugu yetu

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 3 месяца назад

      Ndoulivo aminishwa

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 месяца назад +1

      waislam akili zenu ndogo sana

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 3 месяца назад +1

      Majini ni mashetani..na shetani alikua malaika aitwaye lusifa Kwa mujibu wa maandiko ya Biblia.

  • @user-lk9em2lo3t
    @user-lk9em2lo3t 2 месяца назад

    Majini kwa nini ni waislam ?

  • @LukusaFrank-dg1ib
    @LukusaFrank-dg1ib 3 месяца назад

    Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u 3 месяца назад

    Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад

      Usipo Amin nakukiri Yesu ndio mokozi wamaisha Yako nakuacha dhambi nakuishi maisha yakumpendeza Mungu yatakaa nawewe mpaka yakunyonge

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e 2 месяца назад

      Ndo yanakaa kanisani mbona hayatoki

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l 3 месяца назад

    Nyinyi makafili wakiislam na mubakaji wenu muhamad ni vipi kila kitu munapinga wakati nyinyi ni mamuma na hakuna munachokijua zaidi ya ushirikina?😛😛😛😛😛😛

  • @khalidlagho2263
    @khalidlagho2263 3 месяца назад

    Wewe muongo

  • @jjtm164
    @jjtm164 3 месяца назад

    Natafuta comment za waislamu

  • @AsiaSiraji-ud9ju
    @AsiaSiraji-ud9ju 3 месяца назад

    Acha kutafuta umalufu kwa kuongea uwongo😮😮😮😮

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 3 месяца назад

    Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂

  • @MalikBakar-ni2gh
    @MalikBakar-ni2gh 3 месяца назад

    Kama majini ni Malaika basi wapo Majini wema nikimaanisha Malaika wanaotii amri za M/mungu kwa hiyo wapo majini wazuri.na majini waovu ni Malaika waliomuasi M/mungu.lakini majini hawana dini yeyote na wanazungumza kiarabu au kusalimia kiarabu sababu wana asili ya kiarabu kwani ndio lugha ya zamani zaidi.

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 3 месяца назад +1

      @malikBakar-ni2gh majini walikua malaika kabla ya kuasi, walipoasi hawakua wema tena ndio maana walitupwa duniani. Hakuna malaika alietupwa duniani baada ya kuasi alikua mwema, majini wote ni wabaya tu, uislamu ni ushirikina ndio maana wanafosi majini yaonekane mazuri

    • @ibrahimmsuya993
      @ibrahimmsuya993 3 месяца назад

      Majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika

    • @MalikBakar-ni2gh
      @MalikBakar-ni2gh 3 месяца назад

      @@ibrahimmsuya993 Msikilize vizuri mchungaji wako kasema majini ni Malaika walio muasi M/mungu mbona.

    • @MalikBakar-ni2gh
      @MalikBakar-ni2gh 3 месяца назад

      @@igurusitv6553 Unaamini Kuna Malaika au hakuna Malaika duniani kwanza nataka kujua hili

    • @user-cx7uz3ri6v
      @user-cx7uz3ri6v 3 месяца назад

      ​@@MalikBakar-ni2ghwakishaasi wanabaki vipi kuwa malaika?

  • @ibrahimuramadhaniselemani-2411
    @ibrahimuramadhaniselemani-2411 3 месяца назад

    Acha kupotosha watu

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 месяца назад +1

      ooooh kumbe nawewe mfuata Sulle

  • @salumseif2588
    @salumseif2588 2 месяца назад

    Huyu mbona simuelewi anajichanganyaivi ati majini na malayka nikitukimoja eee halafu anamkosowa komando big Suleiman vip

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 месяца назад

    We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???

  • @KHADIJANDABABISA
    @KHADIJANDABABISA 3 месяца назад +1

    WEWE DANIELY MWANKEMWA ELIMU HIYO HUNA, JIBU SWALI HILI DOGO KWA MJIBU WA BIBLIA HAO MAJINI WALIUMBWA SIKU YA NGAPI??

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 месяца назад

      wewe huna swali enda kalale

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 3 месяца назад

      Kwenye biblia hakuna sura ya Majin rudi kwenye Quran utapatajibu lako coz ipo suratu jini maswali yote ya Majin iulize Quran yako

    • @SwidikiKabemba
      @SwidikiKabemba 3 месяца назад

      Mchungaji unaparamia Jambo lakuku zidi ilmu achakuparamia qur-ani na uislamu.

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b 2 месяца назад

    Wewe sii mwalimu bali ni fundi wa waongo duniani ila wajinga wasio soma watakuamini na hizo propaganda zako pili hakuna waislamu wanaoingia mskitini uchi kwani ni haramu kwa mwanamume na mwanamke kukaa uchi.Uta wadanganya wakrito wenzio kwa kutumia kitabu cha biblia kilichoandikwa na watu na hadithi thaifu za kuokota lakini sii waislam wenye elim zao.

  • @NoorynMody
    @NoorynMody 3 месяца назад

    Ww kafir naomba tupe maandiko yanayo sema muislam akienda mskitini wasivae nguo za ndani kma hauna elim nyamaza kafili ww

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 3 месяца назад

      Weee jini acha ubishii soma hadith ya mtume wenu

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 3 месяца назад

    Ni hatari