Tatizo si kufananisha, Ndacha anajuwa maandiko ila hayasomi kama yalivyo anapenda kuongeza ili akuridhisheni nyie wakristo lkn mazinge anakwambieni ukweli...mfano biblia inasema Mungu ni mmoja....aya ikisema hivi wewe usiengeze yako kwa matamanio yako.
Mohaaa alisema,,,hakika dini ya haki mbele ya mwenyenzi Mungu ni uislam,,lakini c Mungu alisema maneno hayo....alikua anapigia dini yake debe,yy ndie chanzo Cha uislam....uislam ulikuja nyuma ya wakristo...ukaanzishwa na mohaaa
Ukristo ulianza kabla Uislam hata vitabu vilikupo kabla ya Quran. Sasa Quran imekuja kugeuza maandiko ya Biblia ili kutengeneza uislam sasa hapo nani Kafiri? au hujui maana ya Kafiri? Mashekhe kumi kwa Mchungaji mmoja ili tu walazimishe uongo uwe kweli.
Uwa andanganya wa mama. Jameni someni coran yenu musiwe waislamu wa kwenda ku sali bila kusoma na kuelewa ma andiko. Tena mukiwa sehemu kama izo jileteeni coran na biblia ili na nyinyi muwe mna soma na mna elewa vizuri. Siyo wa wasomee na nyinyi ku kubali ki raisi. Wa KRISTO wameleta biblia zao ili wasidanganywe ila nyinyi mna kuja ku shabikiya.
Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge kwajili ya Allah
Kidume kweli huyu wa Allah ampe Pepo inshalllah Shekh mazinge Ameen
Mashaallah 💓💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🖤 love Muslim 💓
Masha'Allah. Kidume wa Allah. Ustad Mazinge Allaha akupe umri mrufu na Afiya njema insha'Allah. 🙏❤️👍
Mashallah Allah amuweke shekh mazinge
Mazinge Allah ampe umri mrefu
mashaallah tabarakallah sheikh mazinge kiboko
Shelkh mazinge you are the best mshukishie vitu huyo ndacha mpaka aone ngiza🤣🤣🤣
Majini ama???
Mazingeeeeeeeee🔥🙌
Masha Allah mazinge Mungu akupe umri mrefu wa kheri.
Nilikuwa mkristo😁😁😁😁.
Lkn nimezidi kuwa mkristo zaidi mnaoandaa midahalo hii muwe mnawaruhusu Hawa watu kusoma mistari inayotolewa n Hawa..❤️❤️❤️Yesu
Bc endelea mpka malakulmaut akujie ndo utajuw dini ya haki ipi
Mwalimu Ndacha unamlinganisha na mzee asiye kua na maarifa ya neno LA Mungu. 😅😅😅😅Kama huyu ndie mnategemea kwisha
Etii shida sana
Ndacha anakula mavi kanisani mpaka Akili imeganda
May Allah grant long life
Masha Allah shkh mazinge mungu akupe umuri mrfu I.a
Mazinge, congratulations,may Allah swt bless you with all the good things of this dunia as well as akhera,remain blessed Mazinge
Asalam alykum www safi sana sheikh mazinge kukimbiza iyo kafiri
Mazige amewapoteza wengi olewao#DachaWapeDozi
Maashalah
Mazinge mliita polisi ndacha arudishwe Kenya lakini hapa waislamu hawana amani
Ndacha unamfahamu vizuri wew unamlinganisha na mchekeshaji mazinge 😂😂 ndacha kawanyoosha kweli
Tatizo si kufananisha, Ndacha anajuwa maandiko ila hayasomi kama yalivyo anapenda kuongeza ili akuridhisheni nyie wakristo lkn mazinge anakwambieni ukweli...mfano biblia inasema Mungu ni mmoja....aya ikisema hivi wewe usiengeze yako kwa matamanio yako.
@@samxx411 tulia dawa ikuingie
@@benjathekingofficialshows dawa iniingie mie au wewe
@@samxx411 chezea ndacha wew munatuletea wachekeshaji ambao hawafuati hata mada inasemaje wao ni fujo tu na vituko 😝😝😝 dawa iyo
ndacha anajizonga kilasiku tunamjuwa vizuri labda nyie kwasababu hamsomi na hamuyajui maandiko mnafata upepo kama bendera
Mazinge wewe nikichekesho na wanaokushabikia ni vichekesho tu maana mnauata kiushabiki bila kuwa
Waislam mahali mnaenda kabisa
Ndacha ni comedian tu
Duuu sasa mazinge na ndacha nani anachekesha waumin wake
Ndacha anatoa Neno Tena kwenye koroani yetu inawaumbua
Alafu kwa nini vyuo viku vya kiislam wasi mtunuku Mazinge udokta wa heshima kwa kazi hi anayo fanya? Mazinge ni mwalimu kidume cha kweli.
Kafiri Ndacha azidi kupotosha wasiojijua
Kafiri ni kafiri wakristo wote ni makafiri uislam ni dini ya mungu
wapi mungu kasema uislamu dini yangu kma sio mohammed anasema
Mohaaa alisema,,,hakika dini ya haki mbele ya mwenyenzi Mungu ni uislam,,lakini c Mungu alisema maneno hayo....alikua anapigia dini yake debe,yy ndie chanzo Cha uislam....uislam ulikuja nyuma ya wakristo...ukaanzishwa na mohaaa
Ukristo ulianza kabla Uislam hata vitabu vilikupo kabla ya Quran. Sasa Quran imekuja kugeuza maandiko ya Biblia ili kutengeneza uislam sasa hapo nani Kafiri? au hujui maana ya Kafiri? Mashekhe kumi kwa Mchungaji mmoja ili tu walazimishe uongo uwe kweli.
Huyu Mazinge ni commedian na amepoteza wengi kuwapeleka kuzimu na Waislam wanashangilia ujinga badala ya ukweli mnatia huruma kweli.
Hii ni dini ya Mohamed
Mazinge n entertainer hana hoja kabsa
I was watching the whole debate online usipake nyani rangi(title))
Ndacha kiboko ya hawa watu.
Huyu mazinge Ni comedian tu,Kama vichekesho sawa,lakini wenye akili wanaijua data zinazotolewa.
Umekata hii video ili upate Nini???
Uwa andanganya wa mama. Jameni someni coran yenu musiwe waislamu wa kwenda ku sali bila kusoma na kuelewa ma andiko. Tena mukiwa sehemu kama izo jileteeni coran na biblia ili na nyinyi muwe mna soma na mna elewa vizuri. Siyo wa wasomee na nyinyi ku kubali ki raisi. Wa KRISTO wameleta biblia zao ili wasidanganywe ila nyinyi mna kuja ku shabikiya.