Pro MAZINGE AMKIMBIZA NDACHA KTK MDAHALO MAMBO MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 61

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 Год назад +2

    Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge kwajili ya Allah

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 Год назад +3

    Kidume kweli huyu wa Allah ampe Pepo inshalllah Shekh mazinge Ameen

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +3

    Mashaallah 💓💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🖤 love Muslim 💓

  • @hassandinhoosmail6378
    @hassandinhoosmail6378 Год назад +4

    Masha'Allah. Kidume wa Allah. Ustad Mazinge Allaha akupe umri mrufu na Afiya njema insha'Allah. 🙏❤️👍

  • @saumkisira9328
    @saumkisira9328 Год назад +1

    Mazinge Allah ampe umri mrefu

  • @mohamedibrahim7732
    @mohamedibrahim7732 Год назад +2

    mashaallah tabarakallah sheikh mazinge kiboko

  • @fauzia4610
    @fauzia4610 Год назад +2

    Shelkh mazinge you are the best mshukishie vitu huyo ndacha mpaka aone ngiza🤣🤣🤣

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 Год назад

    Mazingeeeeeeeee🔥🙌

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Год назад

    Masha Allah mazinge Mungu akupe umri mrefu wa kheri.

  • @emmanuelsimsokwe6244
    @emmanuelsimsokwe6244 Год назад

    Nilikuwa mkristo😁😁😁😁.
    Lkn nimezidi kuwa mkristo zaidi mnaoandaa midahalo hii muwe mnawaruhusu Hawa watu kusoma mistari inayotolewa n Hawa..❤️❤️❤️Yesu

    • @rahimaabdurazakjuma
      @rahimaabdurazakjuma Год назад

      Bc endelea mpka malakulmaut akujie ndo utajuw dini ya haki ipi

  • @countercheck887
    @countercheck887 Год назад +2

    Mwalimu Ndacha unamlinganisha na mzee asiye kua na maarifa ya neno LA Mungu. 😅😅😅😅Kama huyu ndie mnategemea kwisha

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Год назад

    May Allah grant long life

  • @yuskahajj1623
    @yuskahajj1623 Год назад

    Masha Allah shkh mazinge mungu akupe umuri mrfu I.a

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 Год назад

    Mazinge, congratulations,may Allah swt bless you with all the good things of this dunia as well as akhera,remain blessed Mazinge

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Год назад +1

    Asalam alykum www safi sana sheikh mazinge kukimbiza iyo kafiri

  • @josephanamanda1289
    @josephanamanda1289 Год назад

    Mazige amewapoteza wengi olewao#DachaWapeDozi

  • @kajembejumbe2580
    @kajembejumbe2580 Год назад +1

    Maashalah

  • @juliuswaitathu8995
    @juliuswaitathu8995 Год назад

    Mazinge mliita polisi ndacha arudishwe Kenya lakini hapa waislamu hawana amani

  • @benjathekingofficialshows
    @benjathekingofficialshows Год назад +4

    Ndacha unamfahamu vizuri wew unamlinganisha na mchekeshaji mazinge 😂😂 ndacha kawanyoosha kweli

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад

      Tatizo si kufananisha, Ndacha anajuwa maandiko ila hayasomi kama yalivyo anapenda kuongeza ili akuridhisheni nyie wakristo lkn mazinge anakwambieni ukweli...mfano biblia inasema Mungu ni mmoja....aya ikisema hivi wewe usiengeze yako kwa matamanio yako.

    • @benjathekingofficialshows
      @benjathekingofficialshows Год назад +1

      @@samxx411 tulia dawa ikuingie

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад

      @@benjathekingofficialshows dawa iniingie mie au wewe

    • @benjathekingofficialshows
      @benjathekingofficialshows Год назад +2

      @@samxx411 chezea ndacha wew munatuletea wachekeshaji ambao hawafuati hata mada inasemaje wao ni fujo tu na vituko 😝😝😝 dawa iyo

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад +1

      ndacha anajizonga kilasiku tunamjuwa vizuri labda nyie kwasababu hamsomi na hamuyajui maandiko mnafata upepo kama bendera

  • @JapharyBBudal
    @JapharyBBudal Год назад +2

    Mazinge wewe nikichekesho na wanaokushabikia ni vichekesho tu maana mnauata kiushabiki bila kuwa

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka2697 Год назад

    Waislam mahali mnaenda kabisa

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 Год назад +2

    Ndacha ni comedian tu

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 Год назад

      Duuu sasa mazinge na ndacha nani anachekesha waumin wake

    • @samwelingasa1638
      @samwelingasa1638 Год назад

      Ndacha anatoa Neno Tena kwenye koroani yetu inawaumbua

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Год назад

    Alafu kwa nini vyuo viku vya kiislam wasi mtunuku Mazinge udokta wa heshima kwa kazi hi anayo fanya? Mazinge ni mwalimu kidume cha kweli.

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Год назад

    Kafiri Ndacha azidi kupotosha wasiojijua

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Год назад +2

    Kafiri ni kafiri wakristo wote ni makafiri uislam ni dini ya mungu

    • @mollel
      @mollel Год назад +1

      wapi mungu kasema uislamu dini yangu kma sio mohammed anasema

    • @peternduati8877
      @peternduati8877 Год назад

      Mohaaa alisema,,,hakika dini ya haki mbele ya mwenyenzi Mungu ni uislam,,lakini c Mungu alisema maneno hayo....alikua anapigia dini yake debe,yy ndie chanzo Cha uislam....uislam ulikuja nyuma ya wakristo...ukaanzishwa na mohaaa

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      Ukristo ulianza kabla Uislam hata vitabu vilikupo kabla ya Quran. Sasa Quran imekuja kugeuza maandiko ya Biblia ili kutengeneza uislam sasa hapo nani Kafiri? au hujui maana ya Kafiri? Mashekhe kumi kwa Mchungaji mmoja ili tu walazimishe uongo uwe kweli.

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      Huyu Mazinge ni commedian na amepoteza wengi kuwapeleka kuzimu na Waislam wanashangilia ujinga badala ya ukweli mnatia huruma kweli.

    • @isaiahosiemo5417
      @isaiahosiemo5417 Год назад

      Hii ni dini ya Mohamed

  • @stephen-S7n
    @stephen-S7n Год назад +1

    Mazinge n entertainer hana hoja kabsa

  • @juliuswaitathu8995
    @juliuswaitathu8995 Год назад

    I was watching the whole debate online usipake nyani rangi(title))

  • @muirurifrancis3594
    @muirurifrancis3594 Год назад

    Ndacha kiboko ya hawa watu.

  • @patrickpermen
    @patrickpermen Год назад +1

    Huyu mazinge Ni comedian tu,Kama vichekesho sawa,lakini wenye akili wanaijua data zinazotolewa.

  • @juliuswaitathu8995
    @juliuswaitathu8995 Год назад

    Umekata hii video ili upate Nini???

  • @p.matabaro
    @p.matabaro Год назад

    Uwa andanganya wa mama. Jameni someni coran yenu musiwe waislamu wa kwenda ku sali bila kusoma na kuelewa ma andiko. Tena mukiwa sehemu kama izo jileteeni coran na biblia ili na nyinyi muwe mna soma na mna elewa vizuri. Siyo wa wasomee na nyinyi ku kubali ki raisi. Wa KRISTO wameleta biblia zao ili wasidanganywe ila nyinyi mna kuja ku shabikiya.