Kimenuka Panga Zito Ahmed Ally Atangaza Wachezaji Walioachwa NA Simba Baada ya Kumaliza Mikataba Yao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kimenuka Panga Zito Ahmed Ally Atangaza Wachezaji Walioachwa NA Simba Baada ya Kumaliza Mikataba Yao
    #kibweonlinemedia #kibweonlinetv #dirishalausajili2024/2025 #kapumbusimba #usajilimpyawasimba #usajilisimbasc #usajilimpyayanga #mabululu #feisalsalum #feitoto #feisalsalumsimba #dirishakubwalausajili

Комментарии • 11

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 месяца назад

    Chama anafanya wachezaji wengine wasijitume anakiburi aondoke

  • @jumaissa7587
    @jumaissa7587 3 месяца назад

    Hakuna timu hata moja katika ukanda huu wa kusini mwa Jangwa la Sahara inayoweza kukataa huduma ya Chama.
    Naomba Simba wambakishe Chama kwa miwili tena

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 месяца назад

    Kapombe aondokeee.asha bslala aondokeee...

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 месяца назад

    Kapombe aondokeee bila aibu

  • @AsiaAbdully
    @AsiaAbdully 3 месяца назад

    KAPOMBE asiondoke, Hso wengine waondoke tu

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад

    Watu wanahaha msimu ujao zamu zao tff na marefa Pole mzee karia

  • @bessarajabu1061
    @bessarajabu1061 3 месяца назад

    Mo pamoja viongozi wengine wa Simba naomba CHAMA BADO WANASIMBA TUNAMUHITAJI

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 месяца назад

    Ashabalala hananguvu aondokeee

  • @HamadiJunior-yc2yf
    @HamadiJunior-yc2yf 3 месяца назад

    Manula na Kapombe wabaki wasiachwe maana watatusaidia