Hii Timu ni ya Mtu kwa sasa kwa sababu yeye ndiye anaelipa kwa kila jambo Simba wenyewe wana chanzo gani cha kuingizia pesa afadhali hata Yanga wanalipa ada za kadi lau kidogo japo haisaidii llkn tuliiona ilipokuwa taaban bakuri likafanya kazi lkn hawa mikia wamezoea kubebwa
😢nenda yanga ,halafu ponda kama huku uone ,lakini wewe widady,zamalek,bacalona ,cheese,liver,kaiza,intermillan,enhimba,mbona zimeshuka ubora, halafu Mimi nipo ulaya wazungu wanasema hauna afya ya akili kama Ali kamwe,
Kwahiyo tunataka kusema timu kwa Sasa hivi sio ya wa acha a ni Mali ya mtu mmoja jambo ambalo sio kweli wanachama huu Sasa ndio muda wa kushikamana mdai haki yenu LA sivyo mtakuja kusstuka timu ipo chini ya makabaila
Huwez sema timu ya wnachama wnacgama wenyewe hawatoi ata mia Kwahyo kifupi timu niay mo anayetoa kila ktu Kama tunahitajai timu iwe ya wanachama na wanachama wawewanafanya usajili ili timu iwe ya wanachama
Ukweli unamaumivu
Nakukubali mchome japo mm yang lucy
M home hamia yanga kwa Nini utesekeee hamia yanga
Uyu jamaa anaakili sana
Chama muda wake utasema na muda wa viongozi Simba tutaona lakini chama amengi sanaaaaa munakosoa sana Simba
kwani Real madrid na Barcelona mbona ni za Matajiri?
Mchome baba chama mbaya sifa anazo Kwa ubora lá anamegi.
😂😂😂😂😂eti nao wale jamaa walizidi
Unaongea ukweli hii simba inamwenyewe ni mali ya mtu tuwe na akili
Hii Timu ni ya Mtu kwa sasa kwa sababu yeye ndiye anaelipa kwa kila jambo Simba wenyewe wana chanzo gani cha kuingizia pesa afadhali hata Yanga wanalipa ada za kadi lau kidogo japo haisaidii llkn tuliiona ilipokuwa taaban bakuri likafanya kazi lkn hawa mikia wamezoea kubebwa
😢nenda yanga ,halafu ponda kama huku uone ,lakini wewe widady,zamalek,bacalona ,cheese,liver,kaiza,intermillan,enhimba,mbona zimeshuka ubora, halafu Mimi nipo ulaya wazungu wanasema hauna afya ya akili kama Ali kamwe,
Kwahiyo tunataka kusema timu kwa Sasa hivi sio ya wa acha a ni Mali ya mtu mmoja jambo ambalo sio kweli wanachama huu Sasa ndio muda wa kushikamana mdai haki yenu LA sivyo mtakuja kusstuka timu ipo chini ya makabaila
Hamia yanga mchome kwanini uteseke kiasi hicho
Asante. Sana. Mchome. Hata. Watu. Wengine. Walimukana. Hata. Yesu. Sasa. Itakuwa. Nyie. Akina. Pangu. Pakavu? All. In. All. Kazeni. Boot 🥾
Huwez sema timu ya wnachama wnacgama wenyewe hawatoi ata mia
Kwahyo kifupi timu niay mo anayetoa kila ktu
Kama tunahitajai timu iwe ya wanachama na wanachama wawewanafanya usajili ili timu iwe ya wanachama
Ila uyu jamaa anaongea pointi aisee ni vile tu wana simba hawamuerew
Mchome ukosahihi
..l
Kwani? Wewe simba kwanini usituachie simba yetu
Simba ni yako?umepewa na nani?
Pumbavu wewe kibaraka wa utopolo