MCHOME MAPOVU ACHAFUKWA CHAMA ANAENDA YANGA/WATATUFUNGA MPAKA TUKOME/JOBE HAONDOKI HATUNA AKILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024
  • #alikamwe #azizki #hersisaid #live_ #mayele #yanga #msuva #yangasc #yangaleo #yangatv
  • СпортСпорт

Комментарии • 21

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 8 дней назад +4

    Ukweli unamaumivu

  • @Zinp-nq1gu
    @Zinp-nq1gu 8 дней назад +5

    Nakukubali mchome japo mm yang lucy

  • @emmanuelsamwel6220
    @emmanuelsamwel6220 7 дней назад +1

    M home hamia yanga kwa Nini utesekeee hamia yanga

  • @user-nm5ff3ri8k
    @user-nm5ff3ri8k 8 дней назад +2

    Uyu jamaa anaakili sana

  • @AmadeIssaPengo
    @AmadeIssaPengo 8 дней назад +1

    Chama muda wake utasema na muda wa viongozi Simba tutaona lakini chama amengi sanaaaaa munakosoa sana Simba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 8 дней назад +2

    kwani Real madrid na Barcelona mbona ni za Matajiri?

  • @AmadeIssaPengo
    @AmadeIssaPengo 8 дней назад +2

    Mchome baba chama mbaya sifa anazo Kwa ubora lá anamegi.

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 8 дней назад +1

    😂😂😂😂😂eti nao wale jamaa walizidi

  • @AbdalllahFadhil
    @AbdalllahFadhil 8 дней назад +1

    Unaongea ukweli hii simba inamwenyewe ni mali ya mtu tuwe na akili

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 8 дней назад

    Hii Timu ni ya Mtu kwa sasa kwa sababu yeye ndiye anaelipa kwa kila jambo Simba wenyewe wana chanzo gani cha kuingizia pesa afadhali hata Yanga wanalipa ada za kadi lau kidogo japo haisaidii llkn tuliiona ilipokuwa taaban bakuri likafanya kazi lkn hawa mikia wamezoea kubebwa

  • @FarajiAbdula
    @FarajiAbdula 6 дней назад

    😢nenda yanga ,halafu ponda kama huku uone ,lakini wewe widady,zamalek,bacalona ,cheese,liver,kaiza,intermillan,enhimba,mbona zimeshuka ubora, halafu Mimi nipo ulaya wazungu wanasema hauna afya ya akili kama Ali kamwe,

  • @SurprisedAnglerfish-pl2uk
    @SurprisedAnglerfish-pl2uk 8 дней назад

    Kwahiyo tunataka kusema timu kwa Sasa hivi sio ya wa acha a ni Mali ya mtu mmoja jambo ambalo sio kweli wanachama huu Sasa ndio muda wa kushikamana mdai haki yenu LA sivyo mtakuja kusstuka timu ipo chini ya makabaila

  • @emmanuelsamwel6220
    @emmanuelsamwel6220 7 дней назад

    Hamia yanga mchome kwanini uteseke kiasi hicho

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 8 дней назад

    Asante. Sana. Mchome. Hata. Watu. Wengine. Walimukana. Hata. Yesu. Sasa. Itakuwa. Nyie. Akina. Pangu. Pakavu? All. In. All. Kazeni. Boot 🥾

  • @stanlleysanga113
    @stanlleysanga113 8 дней назад

    Huwez sema timu ya wnachama wnacgama wenyewe hawatoi ata mia
    Kwahyo kifupi timu niay mo anayetoa kila ktu
    Kama tunahitajai timu iwe ya wanachama na wanachama wawewanafanya usajili ili timu iwe ya wanachama

  • @AntidiusMwijage
    @AntidiusMwijage 5 дней назад

    Ila uyu jamaa anaongea pointi aisee ni vile tu wana simba hawamuerew

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 8 дней назад

    Mchome ukosahihi

  • @FabianWenslaus
    @FabianWenslaus 6 дней назад

    ..l

  • @NevesdiasAlberto
    @NevesdiasAlberto 8 дней назад

    Kwani? Wewe simba kwanini usituachie simba yetu

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t 3 дня назад

    Pumbavu wewe kibaraka wa utopolo