Jehova😢nimefanyiwa upasuaji wa tumbo mara mbili major sugery za gastronial bypass😭juzi after upasuaji wa tumbo January 2024😢nikaanza kuugua kupiga moyo kwa haraka Pr 148-150 Bp- 95/62😢nimeenda hospital yatu wakiniuliza nipimwe throids 😢sijapomwa naogopakurudishwa theater😭sasa naugua spine kuamuka,kuketi,kujipindua shingo siwezi but shingo hijafura goiter Mungu wangu nikumbuke nimeyapitia magumu niokoe Mola
Mm ni muatirika wa goita je July doctor anapatikana wapi
Jehova😢nimefanyiwa upasuaji wa tumbo mara mbili major sugery za gastronial bypass😭juzi after upasuaji wa tumbo January 2024😢nikaanza kuugua kupiga moyo kwa haraka Pr 148-150 Bp- 95/62😢nimeenda hospital yatu wakiniuliza nipimwe throids 😢sijapomwa naogopakurudishwa theater😭sasa naugua spine kuamuka,kuketi,kujipindua shingo siwezi but shingo hijafura goiter Mungu wangu nikumbuke nimeyapitia magumu niokoe Mola
Asalamualeikum
Mimi mgonjwa wa Goita nimetumia dawa nyingi Sana lkn bado lipo nisaidie nitumie dawa gani tena daktar
Tafuta ushauri wa daktari, nakuombea afya njema🙏
Naomba kuliza mtu akiumwa na kifua akavimba wakati wa maumiv shida ni nn
Mim nimefanyiwa upasuaji Ila mwili unachoma