Fahamu ugonjwa wa goita na madhara yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 7

  • @abdiosman8841
    @abdiosman8841 16 дней назад

    Mm ni muatirika wa goita je July doctor anapatikana wapi

  • @blessedggithinji6192
    @blessedggithinji6192 Месяц назад

    Jehova😢nimefanyiwa upasuaji wa tumbo mara mbili major sugery za gastronial bypass😭juzi after upasuaji wa tumbo January 2024😢nikaanza kuugua kupiga moyo kwa haraka Pr 148-150 Bp- 95/62😢nimeenda hospital yatu wakiniuliza nipimwe throids 😢sijapomwa naogopakurudishwa theater😭sasa naugua spine kuamuka,kuketi,kujipindua shingo siwezi but shingo hijafura goiter Mungu wangu nikumbuke nimeyapitia magumu niokoe Mola

  • @JacoboJacobo-v5y
    @JacoboJacobo-v5y 7 месяцев назад

    Mimi mgonjwa wa Goita nimetumia dawa nyingi Sana lkn bado lipo nisaidie nitumie dawa gani tena daktar

    • @Kiswahili
      @Kiswahili  7 месяцев назад

      Tafuta ushauri wa daktari, nakuombea afya njema🙏

  • @neemamugeta1710
    @neemamugeta1710 5 месяцев назад

    Naomba kuliza mtu akiumwa na kifua akavimba wakati wa maumiv shida ni nn

  • @josephatmutoma595
    @josephatmutoma595 4 месяца назад

    Mim nimefanyiwa upasuaji Ila mwili unachoma