You all prolly dont give a damn but does anybody know of a method to log back into an instagram account..? I somehow lost the account password. I appreciate any tips you can give me
Kitu Serikali inatakiwa kufanya ni kupunguza bei ya dawa ya kisukari...dawa ni ghali sana! Kwa nini HIV dawa ziwe bure lkn Kisukari na kansa dawa ziwe ghali? .... tunaomba Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu
Unakuta kuna kidonge kinauzwa kimoja sh.1000 na unatakiwa utumie vitatu au vinne kila siku,😭 hapa nazungumzia kisukari, hapo usiseme bei ya sindano zake!😭😭 kwa mtu wa kipato cha chini kwa nini sukari isikomae hadi kuharibu vitu kama figo nk? Na matibabu ya figo gharama zake Mungu tuu atusaidie, lkn ukiwa na HIV unapeta, dawa bure na saa nyngn na vyakula wanapewa!! Kwani kansa kisukari na figo ni laana? Na HiV ni baraka? Kuna magonjwa ambayo ki ukweli Serikali yetu ingeyaangalia kwa jicho la tatu!!
Nawapenda sana
You all prolly dont give a damn but does anybody know of a method to log back into an instagram account..?
I somehow lost the account password. I appreciate any tips you can give me
Jmn Mimi Nina kisukari lkn naumwa njia ya mkojo sana
Tafuteni dawa ya kisukari na Wala siyo kuishi na kisukari.Kisukari kina madhara makubwa Kwa maisha ya binadamu
Ntajuaje kama kisukari kimeisha mwilini mwangu?
Lucy john uko viziru.
Barikiwa sana Lucy na waandaa kipindi nimejifunza sana
Hata mm nimewapend
Kuji kubali ndio jambo la kwanza pia uwe kawwida na wenzako hasa kutoa mawazo chakula chochote unakula na dawa zipo utaishi milele
Kwel
Kuhusu pombe VP?
Kitu Serikali inatakiwa kufanya ni kupunguza bei ya dawa ya kisukari...dawa ni ghali sana!
Kwa nini HIV dawa ziwe bure lkn Kisukari na kansa dawa ziwe ghali? .... tunaomba Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu
Kweli kabisa dear tunateseka mno
Asanten kwa ushaur asante dadaz kwa kutuletea hiyo da lucy
Unakuta kuna kidonge kinauzwa kimoja sh.1000 na unatakiwa utumie vitatu au vinne kila siku,😭 hapa nazungumzia kisukari, hapo usiseme bei ya sindano zake!😭😭 kwa mtu wa kipato cha chini kwa nini sukari isikomae hadi kuharibu vitu kama figo nk? Na matibabu ya figo gharama zake Mungu tuu atusaidie, lkn ukiwa na HIV unapeta, dawa bure na saa nyngn na vyakula wanapewa!!
Kwani kansa kisukari na figo ni laana? Na HiV ni baraka?
Kuna magonjwa ambayo ki ukweli Serikali yetu ingeyaangalia kwa jicho la tatu!!
Uko vzuri tatizo unachanganya kiswail na kingereza ongea 2 kiswail tutakuelew