Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa kisukari.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • DADAZ.

Комментарии • 16

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma1598 6 лет назад +4

    Nawapenda sana

    • @callankellan4955
      @callankellan4955 3 года назад

      You all prolly dont give a damn but does anybody know of a method to log back into an instagram account..?
      I somehow lost the account password. I appreciate any tips you can give me

  • @daudhalima9349
    @daudhalima9349 Месяц назад

    Jmn Mimi Nina kisukari lkn naumwa njia ya mkojo sana

  • @jumamchagi652
    @jumamchagi652 Год назад +1

    Tafuteni dawa ya kisukari na Wala siyo kuishi na kisukari.Kisukari kina madhara makubwa Kwa maisha ya binadamu

  • @jeremiahmwalukosya8431
    @jeremiahmwalukosya8431 2 года назад +1

    Ntajuaje kama kisukari kimeisha mwilini mwangu?

  • @harounnakiete7660
    @harounnakiete7660 3 года назад +1

    Lucy john uko viziru.

  • @nuruhussein1180
    @nuruhussein1180 4 года назад

    Barikiwa sana Lucy na waandaa kipindi nimejifunza sana

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 4 месяца назад

    Kuji kubali ndio jambo la kwanza pia uwe kawwida na wenzako hasa kutoa mawazo chakula chochote unakula na dawa zipo utaishi milele

  • @masalusimando9448
    @masalusimando9448 3 года назад

    Kuhusu pombe VP?

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 года назад +2

    Kitu Serikali inatakiwa kufanya ni kupunguza bei ya dawa ya kisukari...dawa ni ghali sana!
    Kwa nini HIV dawa ziwe bure lkn Kisukari na kansa dawa ziwe ghali? .... tunaomba Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu

    • @theresiapesambili
      @theresiapesambili Год назад

      Kweli kabisa dear tunateseka mno

    • @mantriikiyondo583
      @mantriikiyondo583 Год назад

      Asanten kwa ushaur asante dadaz kwa kutuletea hiyo da lucy

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Год назад

      Unakuta kuna kidonge kinauzwa kimoja sh.1000 na unatakiwa utumie vitatu au vinne kila siku,😭 hapa nazungumzia kisukari, hapo usiseme bei ya sindano zake!😭😭 kwa mtu wa kipato cha chini kwa nini sukari isikomae hadi kuharibu vitu kama figo nk? Na matibabu ya figo gharama zake Mungu tuu atusaidie, lkn ukiwa na HIV unapeta, dawa bure na saa nyngn na vyakula wanapewa!!
      Kwani kansa kisukari na figo ni laana? Na HiV ni baraka?
      Kuna magonjwa ambayo ki ukweli Serikali yetu ingeyaangalia kwa jicho la tatu!!

  • @swaumuramathani9
    @swaumuramathani9 3 года назад +1

    Uko vzuri tatizo unachanganya kiswail na kingereza ongea 2 kiswail tutakuelew