MEDICOUNTER: Fahamu ugonjwa wa Bawasiri, chanzo na matibabu yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 181

  • @nduwimanahafsa4611
    @nduwimanahafsa4611 Год назад +6

    Niko mbali bawasili inanitesaaa😢😢😢😢 nishatumia dawa nacookaaa can

  • @lucrensiaplasdus7396
    @lucrensiaplasdus7396 3 года назад +11

    Duuh asante Sana kwakutuelewesh nikitaka kukupat nakupataje maan namatatzo

    • @suzyemil8275
      @suzyemil8275 3 года назад

      Habari ntafute watsap ntakusaidia +255624474113

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 года назад

      Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie

    • @suzyemil8275
      @suzyemil8275 3 года назад +1

      @@innocentkisamo6316 0624474113 ncheki kwa no hizo

  • @upendomabena908
    @upendomabena908 Год назад +7

    Ahsante sana dr nimeelewa Sawa maana nilikua nasumbuliwa sana pia nilikua naogopa kumwambia mtuu kwa sababu nilikua najua ni ugonjwa mkubwa

  • @mzulamwadini241
    @mzulamwadini241 4 года назад +10

    Ahsante Sanaa Dokta kwa Kutujuvya Juu Ya Haya Maradhi Ya Bawasili

  • @MarthaHaro-l7j
    @MarthaHaro-l7j Месяц назад +1

    Pia mm nko na hiyo hali yangu iko inje lkn nikienda choon napata maumivu sana

    • @MarthaHaro-l7j
      @MarthaHaro-l7j 25 дней назад

      Saa nitaweza vp kujitibu na nko inje ya kenya

  • @eliasasherichakupewa-ck9gy
    @eliasasherichakupewa-ck9gy Год назад +3

    Asante sana daktari tumekuelewa Sana mze Wa kazi kumbe ni sio ugonjwa?ila unaweza kuifanya ugonjwa mmm.umenipa mwangaza

  • @victordaniel9909
    @victordaniel9909 Год назад +3

    Annusol

  • @nin6324
    @nin6324 2 года назад +4

    Asante sana Dr . Huu ugonjwa ni night mere umenisumbua sana, na imegundulika kuwa utumbo wangu ni mrefu kuliko kawaida ndio sababu napata choo kigumu. Ukipata nafasi address redundant colon and diverticulitis.

  • @zuhuraomali920
    @zuhuraomali920 3 года назад +5

    Hii namba mloandika Apo nikiingia watsapp najibiwa nimekosea namba anasema yeye sio doctor

    • @suzyemil8275
      @suzyemil8275 3 года назад +1

      Habari ntafute watsap ntakusaidia+255624474113

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 года назад

      Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie

    • @Lovechezuee4793
      @Lovechezuee4793 9 месяцев назад

      ​@@nice_kitchenstore😢😢 naogopa walah

  • @AbdallahShaabani
    @AbdallahShaabani 22 дня назад

    Dawa yake ni mualovera tu👈

  • @EzekiaMwandute
    @EzekiaMwandute Месяц назад +1

    Asante sana doctor Mimi mwenyewe nimpatwa na Hemorrhoids lakini nashukuru sana mungu nimefanyiwa operation naendelea vizuri

    • @HerenRichard-cq7rc
      @HerenRichard-cq7rc Месяц назад

      Wapi apo na ni shingap mana Mimi natamani kufanyiwa operation mana nateseka mno 😢

    • @helenasangu3698
      @helenasangu3698 5 дней назад

      unakutwa na dalili zipi maana na mimi nahis kama niko nayo​@@HerenRichard-cq7rc

  • @MRKIBONALAPTOPTZ-hk9yw
    @MRKIBONALAPTOPTZ-hk9yw 3 месяца назад +1

    Mm bado na sumburuwa sans nataka dawa

  • @geophreygwarasa6789
    @geophreygwarasa6789 Год назад +2

    Doctor muwasho wa mda mrefu sehemu ya haja kubwa je, ni dalili ya bawasiri pia?

  • @jafarimbwambo8245
    @jafarimbwambo8245 Год назад +4

    Vile vinyama ndio vinavyonisumbua sana hats tendo la ndoa linanishi da

    • @tunsumemwakinyuke661
      @tunsumemwakinyuke661 10 месяцев назад

      Pole natamani unitafute nikushauri

    • @lisaurio1198
      @lisaurio1198 10 месяцев назад

      @@tunsumemwakinyuke661hello naomba unisaidie namba zako ..

    • @mkandaoabdul
      @mkandaoabdul Месяц назад

      Naomba msahada nashida na hii kitu

  • @twalkhatjumanuh-lk2sz
    @twalkhatjumanuh-lk2sz Год назад +2

    Hatujafika miaka 20ila tuna hilo tatizo la bawasiri

  • @RuthinaMsely
    @RuthinaMsely 9 месяцев назад +2

    Jmn mm nipo na huo ugjw unansumbua sn naomb mawasiliano

    • @neemashadii4702
      @neemashadii4702 14 дней назад

      Dawa mm naijuwa ilinitesa sana aisee now nmepona

    • @helenasangu3698
      @helenasangu3698 5 дней назад

      ​@@neemashadii4702ulifanyane ndugu

  • @valencevalerian3037
    @valencevalerian3037 4 года назад +6

    Chief somo limeeleweka sanaaa.hongeraaa.

  • @sarangowi
    @sarangowi Год назад +11

    Doctor shukrani sana..maana nina hii shida muda mrefu...hasa kukaa muda mrefu bila kupata na nikipata ni kwashida tumbo linakua na gesi

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 4 года назад +4

    Asante sna kka Allah akuhifadhi

  • @fabrianjr9163
    @fabrianjr9163 24 дня назад

    Mwamba amekunywa shule atariiii😅😅

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 4 года назад +7

    Je bawasiri inaeza lete ugonjwa wa stomach hernia? na inatibika aje kama mgonjwa haezi fanyiwa operation ju ya miaka?

    • @scolamwanisasu8499
      @scolamwanisasu8499 3 года назад

      Kuna hatua abazo mgojwa anatakiwa atumie Ana dawa za kutumia pia

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 3 года назад +1

      JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
      ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
      CHANZO CHA TATIZO
      ~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
      👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
      👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
      👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
      👉MATATIZO YA UMRI
      👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
      👉UZITO KUPITA KIASI
      👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
      DALILI ZA BAWASIRI
      👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
      👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
      👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
      👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
      👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
      👉kupata upungufu wa damu (anemia)
      👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
      👉hupunguza nguvu za kiume kwa wanaume, na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
      👉kuathirika kisaikolojia
      👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
      Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call
      +255712126669
      0683147077

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 года назад

      Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie

    • @damaricygeofrey2444
      @damaricygeofrey2444 2 года назад +1

      @@harounramadhan2831 naitaji msaada wako pleas

  • @elizabethnaaly2314
    @elizabethnaaly2314 2 года назад +2

    asante san dockta je nikitaka mawasiliano yako napataje??

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 2 месяца назад

    Doctor ukiwa na ratizo hilo unaweza kuoata changamoto ya uzazi??

  • @godfreysospeter4947
    @godfreysospeter4947 Год назад +1

    Mbona hii ilinitokea nipo mdogo sana kama darasa la 4 nikijisaidia kinatoka kama kinyama kinatoka kama kinyes lakin saiv naona kimechomoka juu lakin hakina maumiv wala muwasho imekaaje hii na apa nina miaka 20

  • @MosesFocus-t2j
    @MosesFocus-t2j 2 месяца назад

    Doktari nakushukuru kwa elimu, naomba msaada wa namba ya mawasiliano

  • @LucyJackisoni
    @LucyJackisoni 3 месяца назад

    amani doctra mm uwo ugonjwa unanisumbua sana adi sasa nimevmba kinyama na nawakati kinapotea sasa nifanyaje

  • @KhadijaAliMohd-rn6mn
    @KhadijaAliMohd-rn6mn Год назад +1

    BAWASILI" INAITWA NASIYO "BAWASIRI"😉😉

  • @idrissaramadhan3271
    @idrissaramadhan3271 9 месяцев назад

    Tafadhali docta ninahizo dalili Ila nataka kujua bawasiri inachangia pia kuumwa mgongo na ama mwili mzima hasa idara ya mifupa maana mm naumwa sana mgongo nishapiga Hadi x-ray sikupewa majibu tafadhali dictator tunakupataje

  • @gracemsema8492
    @gracemsema8492 4 года назад +5

    Je bawasiri inaambukizwa?

  • @MaryEsya
    @MaryEsya 9 месяцев назад

    Doctor mi nimejifungua tar 2 mwezi huu ila nilichanika Sasa naona Kuna kinyama kimeota sehemu za Siri shida nn?

  • @UpendoMkuwele
    @UpendoMkuwele Месяц назад

    Mi naomba namba nataka nikuone ninashida sana

  • @StevenLiponisye
    @StevenLiponisye 10 месяцев назад

    Mimwenyewe nimuhanga wa tatizo nimefanyiwa upasuaji bado tatizolinaludi naupasuaji unatakiwa fedha maisha ndyo haya mtu unakufa uku unajiona sante kwa mafundishomazuri

  • @PeterYusuf-ye6uf
    @PeterYusuf-ye6uf 8 месяцев назад

    Ni brother ngu ako na bawasiri so naomba uniabiye naeza ipata wapi iyo dawa😂😂😂

  • @joshuakatana8909
    @joshuakatana8909 2 года назад +3

    Sasa ugojwa huu ukona dawa ama nakama ukonadawa inaitwaje , kwa maana mimi nko na hiishida kwa muda mrefu tangia 2001 hadi sasa

  • @EstherSuleman-fj3hw
    @EstherSuleman-fj3hw 7 месяцев назад

    Je,inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine?

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Год назад

    Mbona mimi ta ngu niko duniani naona ga watoto wa umri wa myaka 2 adi 10 wana ugonjwa wa hemorrhoid niwengi ila mwanangu kwa sasa ameteseka iyo hemorrhoid imeonekana inatoka nje hatowe choo kubwa analia sana hakai umri wake ni myaka 3

  • @AHOBOKILEMWASYIKA-rx6rl
    @AHOBOKILEMWASYIKA-rx6rl 11 месяцев назад +1

    Thank you very much GOD Bless you

  • @waltermohamed9667
    @waltermohamed9667 8 месяцев назад

    😭Ee Mungu daah weka number yako 2kutafute

  • @PeterYusuf-ye6uf
    @PeterYusuf-ye6uf 8 месяцев назад

    Hujambo dakitari dawa ya kutibu bawasiri yaitwaje😂😂😂

  • @saidimaganda4423
    @saidimaganda4423 2 года назад +2

    Atharizake ninini

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Год назад +2

    Napenda unavoelezea upo vzr Mashallah

  • @gerwaldandomba2694
    @gerwaldandomba2694 3 года назад +2

    Bonge la doctor....

  • @ShukranMichael-fd8nm
    @ShukranMichael-fd8nm Год назад

    dockita mm ninavinyama sehehemu zasili nazo shida nn naomba msaada

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 2 месяца назад

    Doctor unapatikana wapi?

  • @OliverDaudi-lo7rx
    @OliverDaudi-lo7rx 11 месяцев назад +1

    Mungu akutunze kaka

  • @zawadiselemani4923
    @zawadiselemani4923 Год назад +2

    Nashukuru mungu akubariki kwa kazi yako

  • @ScolastikaNathan
    @ScolastikaNathan Месяц назад

    Naomba mawasiliano

  • @phylisemaly8016
    @phylisemaly8016 Год назад

    Jaman nko na ujauzito wa miezi 4 Nina wasiwasi nmepatikana na huu ugonjwa nawashwa nashika hiyo nyama sijui nitapata vipi tiba

  • @mbarakachande789
    @mbarakachande789 3 года назад +1

    Kuna tofauti gani kati ya bawasiri na fistura

  • @mawondomawondo9412
    @mawondomawondo9412 3 месяца назад

    Asante kwa mafunzo mazuri sana. Mimi tangu utotoni nilijua bawasili ni ugonjwa wa tumbo. Nilikua nikiskia wakisema ana tumbo la bawasili. Sikuelewa.

  • @berthashaibu6927
    @berthashaibu6927 4 года назад +2

    Asante umeeleweka xana yan

  • @abubakarabdallah2292
    @abubakarabdallah2292 Год назад +1

    Doctor nna bawasili inanitesa sana

  • @AminaShaban-y8p
    @AminaShaban-y8p 2 месяца назад

    Media counter

  • @agycarol5928
    @agycarol5928 5 месяцев назад

    Napataje dawa nipo mwz

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas6434 2 года назад +2

    Upo vizur sana doctor

  • @KarisaCharo-m3c
    @KarisaCharo-m3c 6 месяцев назад

    Naomba msada pia mimi ninao

  • @EsterOscar-w3d
    @EsterOscar-w3d 9 месяцев назад

    Asante Sana doctor nikitaka dawa napataje😢😢

  • @SalhaMohdaliMohd
    @SalhaMohdaliMohd 7 месяцев назад

    Yani mimi pia nahisi ninayo mana nahisi maumivu mda wa haja kubwa na saivi nahisi kinyama kinatoka nilivoona nililia sana nina umri 24

    • @tamikanillan
      @tamikanillan 5 месяцев назад

      😂Vinatishia Aiseee hatamimi ilikuwa inanipa presha Sana yakuogopa

    • @aminaally7622
      @aminaally7622 2 месяца назад

      ​@@tamikanillankiukweli bawasili inatia sonona inakosesha raha😢😢😢

  • @GRACEFERUDHI
    @GRACEFERUDHI 9 месяцев назад

    Napataje tba npo geita

  • @AnnaMbedule-lk7oh
    @AnnaMbedule-lk7oh 10 месяцев назад

    Nakupataje dr maana nina hy shida

  • @JoyceRajab
    @JoyceRajab 4 месяца назад

    Munguu akuweke dr nmeelews xaan

  • @sarangowi
    @sarangowi Год назад

    Naomba usiache kutoa msaada kama huo Dr

  • @ShumiOmar-c8d
    @ShumiOmar-c8d 7 месяцев назад

    Dawa tunapata vip

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 3 месяца назад

    Thanks doctor

  • @akwilinastanley2014
    @akwilinastanley2014 2 года назад +2

    Good my Muhace fellow good let us still consume what God putted and still consume us through many ways

  • @HappyBryton-up4el
    @HappyBryton-up4el Год назад

    jmn ugonjwaa unatesa huu

  • @Shakila-t3c
    @Shakila-t3c 4 месяца назад

    Shukran

  • @ThiagoMessi10-f4g
    @ThiagoMessi10-f4g Год назад +2

    Ameeeen asante Dr

  • @asazac7378
    @asazac7378 7 месяцев назад

    Ninayo

  • @barbinasankemwanshende6145
    @barbinasankemwanshende6145 3 года назад +1

    Na mtoto Kama anahalisha choo cha kamasi tatzo ni nn

    • @rehemamgowe4131
      @rehemamgowe4131 Год назад

      Na Mimi mwanangu anapata Choo hicho vipi umepata majibu

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 Год назад

      @@rehemamgowe4131 angalia namna yake ya Ulaji pia akihatisha muda mrefu anaweza pata bawasili pia.

  • @mwanamwanaisha9450
    @mwanamwanaisha9450 Год назад

    Tunaomba namba zko

  • @SalumSalum-no3sc
    @SalumSalum-no3sc 2 месяца назад

    Naomba nambaako docta

  • @hqueen7599
    @hqueen7599 6 месяцев назад

    tunatibu Kwa wiki moja tu

  • @happinessjidayyaanihaunaak8521
    @happinessjidayyaanihaunaak8521 2 года назад +11

    Jaman mm pia nina hili tatizo limeanza na saiv naona muwasho naitaj msaada

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا Год назад

      Hivi dalili zake nini

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 Год назад

      @@زيتونتنزانيا *B. DALILI ZA BAWASIRI*
      -Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
      -Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
      -Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
      -Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
      -Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
      -Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

    • @amandawanka5530
      @amandawanka5530 Год назад

      @@patrickzacharia7483 mimi nawashwa sanaa sehem za haja kubwa ni wiki sasa najikuna paka nikijamba nasikia maumivu lakini choo changu nikijisaidia hakina dam ila nikigumu sanaa napata sanaa maumivu makali shida nini

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 Год назад

      @@amandawanka5530 choo kigumu ni moja ya sababu zinazosababisha Bawasili inaweza ikawa ya (nje ama ndani). Nakuwashwa pia ni DALILI za bawasili kama umejigundua TIBU mapema

    • @adraikasyanzila4486
      @adraikasyanzila4486 9 месяцев назад

      God help us

  • @tatuhassani1434
    @tatuhassani1434 4 года назад +1

    Je kunasababisha kwa mwanamke kutokushika mimba???

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Год назад

    Namba ya cm doctor

  • @avelinamanyama7307
    @avelinamanyama7307 2 года назад

    simu yako haipatikani

  • @KulwaKiteja-ii6wt
    @KulwaKiteja-ii6wt 5 месяцев назад

    Asante br

  • @maximillianmpaname2878
    @maximillianmpaname2878 4 года назад +2

    vipi kuhusu liver cirrhosis ...kama a risk factor

  • @phycathmeela6556
    @phycathmeela6556 Год назад

    Nimeelewa

  • @hildapeter-ok3do
    @hildapeter-ok3do Год назад

    Mm ninamume wangu jamani anateseka jamani

  • @lucykimaro1345
    @lucykimaro1345 Год назад +1

    Kwema doctor na kwa mama mjamzito inakuje

  • @allymisanya
    @allymisanya 3 года назад +6

    Naomba mawasiliano ya doctor please

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 года назад

      Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie

    • @domitilakidenya4392
      @domitilakidenya4392 3 года назад

      @@nice_kitchenstore Dada mbona Whatsapp hupatikani

    • @djtembo886
      @djtembo886 2 года назад

      @@nice_kitchenstore kaka namba yako

  • @hadiajuma3261
    @hadiajuma3261 4 года назад +4

    Asnte mm natatizo nakupata vp

    • @hadiajuma3261
      @hadiajuma3261 4 года назад +1

      Nitakupata vp

    • @suzyemil8275
      @suzyemil8275 3 года назад

      Habar ntafute watsap ntakusaidia +255624474113

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 года назад

      Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie

    • @happymichael5121
      @happymichael5121 2 года назад +2

      Mbna namba mnatoa watu wawili tofauti ya hyo docta ni ipi

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 Год назад +1

    Docta ntapataje mawasiliano yako?

  • @tumpenjabili2826
    @tumpenjabili2826 Год назад

    Mimi nilifanyiwa upareshen ni mwaka sasa na imerudi tena ,na mm ni mjamzito unanisaisiaje

  • @GabrielMaligana
    @GabrielMaligana Год назад

    Mimi nina ugonjwa huu nimevimba na kimekuwa kidonda doktari naomba maelekezo

  • @eutropiakirway9148
    @eutropiakirway9148 Год назад

    Doctor mimi ni mjamzito na nimeanza kuona hiyo dalili, kuna tiba yoyote au baada ya kujifungua nitakuwa sawa

  • @BoniphasiMeshuariki-sr9vn
    @BoniphasiMeshuariki-sr9vn Год назад

    Mawasiliano yako tunazioataje

  • @pilihassani2454
    @pilihassani2454 2 года назад +3

    Mm ninayo naumia sn nisaidie napata shida kimetoka nnje kinyama

    • @christopherraymond5459
      @christopherraymond5459 2 года назад +1

      Ukipata dawa nitonye na mm

    • @eyeonnature4022
      @eyeonnature4022 2 года назад

      @@christopherraymond5459 mimi pia nahisi ninayo ila imepungua. kuna dawa inaitwa ujana. nilitumia ajili ya tatzo lingne lakn ilinisaidia. ukiachana na hio ya bei kubwa. kula mbegu za maboga mara kwa mara angalau mkono mmoja kwa siku. mie saiv nashkuru mungu.

    • @avelinamanyama7307
      @avelinamanyama7307 2 года назад

      namba haipatikani

    • @hadijakaganga9674
      @hadijakaganga9674 Год назад

      Iv uu ugonjwa ndo zamani ulikuwa unaitwa vikanga?

  • @valencevalerian3037
    @valencevalerian3037 4 года назад +3

    Ila umeangalia sanaa pembeni ungeangalia camera.