Asante sana Dr . Huu ugonjwa ni night mere umenisumbua sana, na imegundulika kuwa utumbo wangu ni mrefu kuliko kawaida ndio sababu napata choo kigumu. Ukipata nafasi address redundant colon and diverticulitis.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. CHANZO CHA TATIZO ~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷ 👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE 👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU 👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO 👉MATATIZO YA UMRI 👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU 👉UZITO KUPITA KIASI 👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU DALILI ZA BAWASIRI 👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia 👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo 👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana 👉kupata upungufu wa damu (anemia) 👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo 👉hupunguza nguvu za kiume kwa wanaume, na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake 👉kuathirika kisaikolojia 👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call +255712126669 0683147077
Mbona hii ilinitokea nipo mdogo sana kama darasa la 4 nikijisaidia kinatoka kama kinyama kinatoka kama kinyes lakin saiv naona kimechomoka juu lakin hakina maumiv wala muwasho imekaaje hii na apa nina miaka 20
Tafadhali docta ninahizo dalili Ila nataka kujua bawasiri inachangia pia kuumwa mgongo na ama mwili mzima hasa idara ya mifupa maana mm naumwa sana mgongo nishapiga Hadi x-ray sikupewa majibu tafadhali dictator tunakupataje
Mimwenyewe nimuhanga wa tatizo nimefanyiwa upasuaji bado tatizolinaludi naupasuaji unatakiwa fedha maisha ndyo haya mtu unakufa uku unajiona sante kwa mafundishomazuri
Mbona mimi ta ngu niko duniani naona ga watoto wa umri wa myaka 2 adi 10 wana ugonjwa wa hemorrhoid niwengi ila mwanangu kwa sasa ameteseka iyo hemorrhoid imeonekana inatoka nje hatowe choo kubwa analia sana hakai umri wake ni myaka 3
@@زيتونتنزانيا *B. DALILI ZA BAWASIRI* -Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia -Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa -Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi) -Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa. -Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha. -Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
@@patrickzacharia7483 mimi nawashwa sanaa sehem za haja kubwa ni wiki sasa najikuna paka nikijamba nasikia maumivu lakini choo changu nikijisaidia hakina dam ila nikigumu sanaa napata sanaa maumivu makali shida nini
@@amandawanka5530 choo kigumu ni moja ya sababu zinazosababisha Bawasili inaweza ikawa ya (nje ama ndani). Nakuwashwa pia ni DALILI za bawasili kama umejigundua TIBU mapema
@@christopherraymond5459 mimi pia nahisi ninayo ila imepungua. kuna dawa inaitwa ujana. nilitumia ajili ya tatzo lingne lakn ilinisaidia. ukiachana na hio ya bei kubwa. kula mbegu za maboga mara kwa mara angalau mkono mmoja kwa siku. mie saiv nashkuru mungu.
Niko mbali bawasili inanitesaaa😢😢😢😢 nishatumia dawa nacookaaa can
Duuh asante Sana kwakutuelewesh nikitaka kukupat nakupataje maan namatatzo
Habari ntafute watsap ntakusaidia +255624474113
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
@@innocentkisamo6316 0624474113 ncheki kwa no hizo
Ahsante sana dr nimeelewa Sawa maana nilikua nasumbuliwa sana pia nilikua naogopa kumwambia mtuu kwa sababu nilikua najua ni ugonjwa mkubwa
Ahsante Sanaa Dokta kwa Kutujuvya Juu Ya Haya Maradhi Ya Bawasili
Asante sana
Pia mm nko na hiyo hali yangu iko inje lkn nikienda choon napata maumivu sana
Saa nitaweza vp kujitibu na nko inje ya kenya
Asante sana daktari tumekuelewa Sana mze Wa kazi kumbe ni sio ugonjwa?ila unaweza kuifanya ugonjwa mmm.umenipa mwangaza
😭😭😭nimeumia sana
Annusol
Asante sana Dr . Huu ugonjwa ni night mere umenisumbua sana, na imegundulika kuwa utumbo wangu ni mrefu kuliko kawaida ndio sababu napata choo kigumu. Ukipata nafasi address redundant colon and diverticulitis.
Ulipt dawa
Hii namba mloandika Apo nikiingia watsapp najibiwa nimekosea namba anasema yeye sio doctor
Habari ntafute watsap ntakusaidia+255624474113
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
@@nice_kitchenstore😢😢 naogopa walah
Dawa yake ni mualovera tu👈
unaitumaje
Asante sana doctor Mimi mwenyewe nimpatwa na Hemorrhoids lakini nashukuru sana mungu nimefanyiwa operation naendelea vizuri
Wapi apo na ni shingap mana Mimi natamani kufanyiwa operation mana nateseka mno 😢
unakutwa na dalili zipi maana na mimi nahis kama niko nayo@@HerenRichard-cq7rc
Mm bado na sumburuwa sans nataka dawa
Doctor muwasho wa mda mrefu sehemu ya haja kubwa je, ni dalili ya bawasiri pia?
Ndio ni dalili za bawasiri
Vile vinyama ndio vinavyonisumbua sana hats tendo la ndoa linanishi da
Pole natamani unitafute nikushauri
@@tunsumemwakinyuke661hello naomba unisaidie namba zako ..
Naomba msahada nashida na hii kitu
Hatujafika miaka 20ila tuna hilo tatizo la bawasiri
Jmn mm nipo na huo ugjw unansumbua sn naomb mawasiliano
Dawa mm naijuwa ilinitesa sana aisee now nmepona
@@neemashadii4702ulifanyane ndugu
Chief somo limeeleweka sanaaa.hongeraaa.
Yani katika doctor kaongea wewe umeongea vizur
Doctor shukrani sana..maana nina hii shida muda mrefu...hasa kukaa muda mrefu bila kupata na nikipata ni kwashida tumbo linakua na gesi
Asante sna kka Allah akuhifadhi
Mwamba amekunywa shule atariiii😅😅
Je bawasiri inaeza lete ugonjwa wa stomach hernia? na inatibika aje kama mgonjwa haezi fanyiwa operation ju ya miaka?
Kuna hatua abazo mgojwa anatakiwa atumie Ana dawa za kutumia pia
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume kwa wanaume, na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call
+255712126669
0683147077
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
@@harounramadhan2831 naitaji msaada wako pleas
asante san dockta je nikitaka mawasiliano yako napataje??
Doctor ukiwa na ratizo hilo unaweza kuoata changamoto ya uzazi??
Mbona hii ilinitokea nipo mdogo sana kama darasa la 4 nikijisaidia kinatoka kama kinyama kinatoka kama kinyes lakin saiv naona kimechomoka juu lakin hakina maumiv wala muwasho imekaaje hii na apa nina miaka 20
Mambo
Doktari nakushukuru kwa elimu, naomba msaada wa namba ya mawasiliano
amani doctra mm uwo ugonjwa unanisumbua sana adi sasa nimevmba kinyama na nawakati kinapotea sasa nifanyaje
BAWASILI" INAITWA NASIYO "BAWASIRI"😉😉
Tafadhali docta ninahizo dalili Ila nataka kujua bawasiri inachangia pia kuumwa mgongo na ama mwili mzima hasa idara ya mifupa maana mm naumwa sana mgongo nishapiga Hadi x-ray sikupewa majibu tafadhali dictator tunakupataje
Je bawasiri inaambukizwa?
Hapan inalithiwa
Inalithiwa vip wakati umeambiwa kila binadamu ana bawasiri
Doctor mi nimejifungua tar 2 mwezi huu ila nilichanika Sasa naona Kuna kinyama kimeota sehemu za Siri shida nn?
Mi naomba namba nataka nikuone ninashida sana
Mimwenyewe nimuhanga wa tatizo nimefanyiwa upasuaji bado tatizolinaludi naupasuaji unatakiwa fedha maisha ndyo haya mtu unakufa uku unajiona sante kwa mafundishomazuri
Ni brother ngu ako na bawasiri so naomba uniabiye naeza ipata wapi iyo dawa😂😂😂
Sasa ugojwa huu ukona dawa ama nakama ukonadawa inaitwaje , kwa maana mimi nko na hiishida kwa muda mrefu tangia 2001 hadi sasa
Inbox me plzzzz
@@irenekenedygudu.8375 Mm apa
@@irenekenedygudu.8375 nakutafuta
@@irenekenedygudu.8375 Mawasiliano yakooo pls
@@irenekenedygudu.8375 Namm naomba dawa
Je,inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine?
Mbona mimi ta ngu niko duniani naona ga watoto wa umri wa myaka 2 adi 10 wana ugonjwa wa hemorrhoid niwengi ila mwanangu kwa sasa ameteseka iyo hemorrhoid imeonekana inatoka nje hatowe choo kubwa analia sana hakai umri wake ni myaka 3
Thank you very much GOD Bless you
😭Ee Mungu daah weka number yako 2kutafute
Hujambo dakitari dawa ya kutibu bawasiri yaitwaje😂😂😂
Atharizake ninini
Napenda unavoelezea upo vzr Mashallah
Bonge la doctor....
dockita mm ninavinyama sehehemu zasili nazo shida nn naomba msaada
Doctor unapatikana wapi?
Mungu akutunze kaka
Nashukuru mungu akubariki kwa kazi yako
Naomba mawasiliano
Jaman nko na ujauzito wa miezi 4 Nina wasiwasi nmepatikana na huu ugonjwa nawashwa nashika hiyo nyama sijui nitapata vipi tiba
Kuna tofauti gani kati ya bawasiri na fistura
Asante kwa mafunzo mazuri sana. Mimi tangu utotoni nilijua bawasili ni ugonjwa wa tumbo. Nilikua nikiskia wakisema ana tumbo la bawasili. Sikuelewa.
Asante umeeleweka xana yan
Doctor nna bawasili inanitesa sana
Ndugu vipi ulisha pona
Media counter
Napataje dawa nipo mwz
Upo vizur sana doctor
Naomba msada pia mimi ninao
Asante Sana doctor nikitaka dawa napataje😢😢
Yani mimi pia nahisi ninayo mana nahisi maumivu mda wa haja kubwa na saivi nahisi kinyama kinatoka nilivoona nililia sana nina umri 24
😂Vinatishia Aiseee hatamimi ilikuwa inanipa presha Sana yakuogopa
@@tamikanillankiukweli bawasili inatia sonona inakosesha raha😢😢😢
Napataje tba npo geita
Nakupataje dr maana nina hy shida
Munguu akuweke dr nmeelews xaan
Naomba usiache kutoa msaada kama huo Dr
Dawa tunapata vip
Thanks doctor
Good my Muhace fellow good let us still consume what God putted and still consume us through many ways
jmn ugonjwaa unatesa huu
Shukran
Ameeeen asante Dr
Ninayo
Na mtoto Kama anahalisha choo cha kamasi tatzo ni nn
Na Mimi mwanangu anapata Choo hicho vipi umepata majibu
@@rehemamgowe4131 angalia namna yake ya Ulaji pia akihatisha muda mrefu anaweza pata bawasili pia.
Tunaomba namba zko
Naomba nambaako docta
tunatibu Kwa wiki moja tu
Naomba mawasiliano
Jaman mm pia nina hili tatizo limeanza na saiv naona muwasho naitaj msaada
Hivi dalili zake nini
@@زيتونتنزانيا *B. DALILI ZA BAWASIRI*
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
@@patrickzacharia7483 mimi nawashwa sanaa sehem za haja kubwa ni wiki sasa najikuna paka nikijamba nasikia maumivu lakini choo changu nikijisaidia hakina dam ila nikigumu sanaa napata sanaa maumivu makali shida nini
@@amandawanka5530 choo kigumu ni moja ya sababu zinazosababisha Bawasili inaweza ikawa ya (nje ama ndani). Nakuwashwa pia ni DALILI za bawasili kama umejigundua TIBU mapema
God help us
Je kunasababisha kwa mwanamke kutokushika mimba???
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
@@nice_kitchenstore umeulizwa jibu swali
Namba ya cm doctor
simu yako haipatikani
Asante br
vipi kuhusu liver cirrhosis ...kama a risk factor
Nimeelewa
Mm ninamume wangu jamani anateseka jamani
Habar
Kwema doctor na kwa mama mjamzito inakuje
Naomba mawasiliano ya doctor please
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
@@nice_kitchenstore Dada mbona Whatsapp hupatikani
@@nice_kitchenstore kaka namba yako
Asnte mm natatizo nakupata vp
Nitakupata vp
Habar ntafute watsap ntakusaidia +255624474113
Nicheki WhatsApp+255768682832 nikusaidie
Mbna namba mnatoa watu wawili tofauti ya hyo docta ni ipi
Docta ntapataje mawasiliano yako?
Mimi nilifanyiwa upareshen ni mwaka sasa na imerudi tena ,na mm ni mjamzito unanisaisiaje
Mimi nina ugonjwa huu nimevimba na kimekuwa kidonda doktari naomba maelekezo
Doctor mimi ni mjamzito na nimeanza kuona hiyo dalili, kuna tiba yoyote au baada ya kujifungua nitakuwa sawa
Hili tatizo langu haliponi utumie dawa
Mawasiliano yako tunazioataje
Mm ninayo naumia sn nisaidie napata shida kimetoka nnje kinyama
Ukipata dawa nitonye na mm
@@christopherraymond5459 mimi pia nahisi ninayo ila imepungua. kuna dawa inaitwa ujana. nilitumia ajili ya tatzo lingne lakn ilinisaidia. ukiachana na hio ya bei kubwa. kula mbegu za maboga mara kwa mara angalau mkono mmoja kwa siku. mie saiv nashkuru mungu.
namba haipatikani
Iv uu ugonjwa ndo zamani ulikuwa unaitwa vikanga?
Ila umeangalia sanaa pembeni ungeangalia camera.
Tunaomba namba za cm dockta
@@tabiasaidi5529
0628669679
Nisaidie dawa dokta ninatatozo hilo
Nisaidie dawa dokta ninatatozo hilo
@@saumuomary2117 Mimi nipo nalia tu hapa nami limenitokea