Ni kumshukuru MUNGU wetu, Kwa Kuwa Kila Awamu ya Uongozi, Kuna Jambo lililofanyika, Likiwa zuri, au baya, Lakini lilifanyika, Kuna Wakati wa Kuzaliwa na Wakati wa Kufa, Wakati wa Kuowa na Kuolewa, Kuna Wakati wa Kucheka na Kulia, Kuna Wakati wa Maombolezo, na Furaha, Kuna Wakati wa Kununa, Kuchukia, Kwa hiyo Kila zama na matukio yake.
Kuna wapuuzi wanaogopa hata kutaja jina la Magufuli. Video nzuri sana! Wakati mwingine tutafutie aerial view ya bwawa zima ikiwezekana na eneo lote la mradi.
@@ibrahimabdullah1887 Thamani yake ni kubwa sana pia. Ila thamani yake huingia doa anapoacha wapuuzi walio wengi wanaofanya majaribio ya kuficha jina la Magufuli. Rejea hotuba za viongozi katika sherehe za kuanza kujaza maji bwawa, alikuja kutamka yeye jina Magufuli, kiasi unaweza kufikiri hakupenda pia.
Magufuli, the brightest and hardworking President of our country in recent times!🇹🇿💯
Bora hata ya wewe umemtaja Mhe hayati Magufuli 👏
Mwasisi ni Nyerere ila mtekelezaji ni Magufuri..
Mungu amuweke pema peponi magufuli na atupetena kiongoz kama baba magufuli ln shaa Allah ❤❤❤
Hongera sana mama Dr. Samia Suluhu Hasan
Hongera kuanzisha nini hapo???
@@malijawille452mbona mnajaa chuki
Magufuli alikuwa jembe sana
Ulivyo mtaja mh Magufuli mi na muita baba la baba umenifulaisha sana👍
Mmejaa chuki na sio uzalendo
Mahufuli magufuli kama ongekuwa siww ziwa kamahili fahali ya wa tz lisingeku wepoivi kuna wanyenyekeaa wazungu
STAY BLESSED MH JOHN POMBE MAGUFULI [JPM],
DAIMA TUTAKUKUMBUKA "
Bora umemkumbuka JPM baba. Huyo mwamba hapaswi kubezwa hata kidogo. Alitumia nafasi ya kazi yake kizalendo sana kuitendea kazi nchi hii.
Umenifurahisha kwa kumuenzi father J.P.M
JPM ndo alikua the best present Sio kama saiz
Sasa mbona kama linaelekea kujaa zaidi ya uwezo wake si likibomoka ni hasara. Wapunguze maji hayo
Jamaa unasema wapunguze na unaona kabisa maji yanatoka upande wa pili kwer uwezi kuelewa hata picha 😂😂😂
Watz mmekazan nakuwaz nani anapewa sifa ya mradi badala ya kuchanganua nini huu mradi utatusaidia mimi na wewe
Ni kumshukuru MUNGU wetu, Kwa Kuwa Kila Awamu ya Uongozi, Kuna Jambo lililofanyika, Likiwa zuri, au baya, Lakini lilifanyika, Kuna Wakati wa Kuzaliwa na Wakati wa Kufa, Wakati wa Kuowa na Kuolewa, Kuna Wakati wa Kucheka na Kulia, Kuna Wakati wa Maombolezo, na Furaha, Kuna Wakati wa Kununa, Kuchukia,
Kwa hiyo Kila zama na matukio yake.
Kazi nzuri
Mbona hamutengenezi Barbara ya uko rufiji Barbara mbovu
ASANTE kwa kumtaja magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu awalaani walio muuzi
Hiyo nialama isiyofutika kwa jembe letu lakazi mwashimiwa JPM Mgufuli akika tutamkumbuka daima kwa kuuweka uzalendo mbele viongozi wanapaswa kuiga nyendo zake🎉🎉😢😢
JPM alisema wati 2115 vipi hapo
Kuna wapuuzi wanaogopa hata kutaja jina la Magufuli. Video nzuri sana! Wakati mwingine tutafutie aerial view ya bwawa zima ikiwezekana na eneo lote la mradi.
Je samia yeye kuendeleza hana thamani
@@ibrahimabdullah1887 Thamani yake ni kubwa sana pia. Ila thamani yake huingia doa anapoacha wapuuzi walio wengi wanaofanya majaribio ya kuficha jina la Magufuli.
Rejea hotuba za viongozi katika sherehe za kuanza kujaza maji bwawa, alikuja kutamka yeye jina Magufuli, kiasi unaweza kufikiri hakupenda pia.
R.I.P. JPM😭😭🙏🙏