litazame bwawa la umeme la nyerere rufiji lilivyokamilika uzalishaji kuanza mwaka huu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024

Комментарии • 30

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 2 месяца назад +5

    Magufuli, the brightest and hardworking President of our country in recent times!🇹🇿💯

  • @pandaboi8942
    @pandaboi8942 2 месяца назад +6

    Bora hata ya wewe umemtaja Mhe hayati Magufuli 👏

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 2 месяца назад +6

    Mwasisi ni Nyerere ila mtekelezaji ni Magufuri..

  • @user-tg2jg7ul9n
    @user-tg2jg7ul9n 2 месяца назад +2

    Mungu amuweke pema peponi magufuli na atupetena kiongoz kama baba magufuli ln shaa Allah ❤❤❤

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 2 месяца назад +5

    Hongera sana mama Dr. Samia Suluhu Hasan

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 2 месяца назад +7

    Magufuli alikuwa jembe sana

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 2 месяца назад +3

    Ulivyo mtaja mh Magufuli mi na muita baba la baba umenifulaisha sana👍

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574 2 месяца назад +4

    Mahufuli magufuli kama ongekuwa siww ziwa kamahili fahali ya wa tz lisingeku wepoivi kuna wanyenyekeaa wazungu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 2 месяца назад

    STAY BLESSED MH JOHN POMBE MAGUFULI [JPM],
    DAIMA TUTAKUKUMBUKA "

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 2 месяца назад +1

    Bora umemkumbuka JPM baba. Huyo mwamba hapaswi kubezwa hata kidogo. Alitumia nafasi ya kazi yake kizalendo sana kuitendea kazi nchi hii.

  • @chrsmanmwaisango4902
    @chrsmanmwaisango4902 2 месяца назад +1

    Umenifurahisha kwa kumuenzi father J.P.M

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 Месяц назад

    JPM ndo alikua the best present Sio kama saiz

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +2

    Sasa mbona kama linaelekea kujaa zaidi ya uwezo wake si likibomoka ni hasara. Wapunguze maji hayo

    • @jumafarid8861
      @jumafarid8861 2 месяца назад

      Jamaa unasema wapunguze na unaona kabisa maji yanatoka upande wa pili kwer uwezi kuelewa hata picha 😂😂😂

  • @stewartmbeselambesela909
    @stewartmbeselambesela909 Месяц назад +1

    Watz mmekazan nakuwaz nani anapewa sifa ya mradi badala ya kuchanganua nini huu mradi utatusaidia mimi na wewe

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u 2 месяца назад +1

    Ni kumshukuru MUNGU wetu, Kwa Kuwa Kila Awamu ya Uongozi, Kuna Jambo lililofanyika, Likiwa zuri, au baya, Lakini lilifanyika, Kuna Wakati wa Kuzaliwa na Wakati wa Kufa, Wakati wa Kuowa na Kuolewa, Kuna Wakati wa Kucheka na Kulia, Kuna Wakati wa Maombolezo, na Furaha, Kuna Wakati wa Kununa, Kuchukia,
    Kwa hiyo Kila zama na matukio yake.

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 2 месяца назад

    Kazi nzuri

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 2 дня назад

    Mbona hamutengenezi Barbara ya uko rufiji Barbara mbovu

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 Месяц назад

    ASANTE kwa kumtaja magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu awalaani walio muuzi

  • @JohnTajewo
    @JohnTajewo 2 месяца назад

    Hiyo nialama isiyofutika kwa jembe letu lakazi mwashimiwa JPM Mgufuli akika tutamkumbuka daima kwa kuuweka uzalendo mbele viongozi wanapaswa kuiga nyendo zake🎉🎉😢😢

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 2 месяца назад

    JPM alisema wati 2115 vipi hapo

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm Месяц назад

    Kuna wapuuzi wanaogopa hata kutaja jina la Magufuli. Video nzuri sana! Wakati mwingine tutafutie aerial view ya bwawa zima ikiwezekana na eneo lote la mradi.

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 Месяц назад

      Je samia yeye kuendeleza hana thamani

    • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
      @EmanuelyMbagalla-rt2vm Месяц назад

      @@ibrahimabdullah1887 Thamani yake ni kubwa sana pia. Ila thamani yake huingia doa anapoacha wapuuzi walio wengi wanaofanya majaribio ya kuficha jina la Magufuli.
      Rejea hotuba za viongozi katika sherehe za kuanza kujaza maji bwawa, alikuja kutamka yeye jina Magufuli, kiasi unaweza kufikiri hakupenda pia.

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 2 месяца назад

    R.I.P. JPM😭😭🙏🙏