''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- ''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Mbona wabunge Awagongi mezaaa😂😂 Mmmmh Mtu Akiongea ukweli Kimyaaa Akiongea utumbo Makofii😂😂 Dooog TZ bhn
Yaani mwiguru bhana si awe ananyamaza tu. Anadhalilisha PhD
Mpina uko vizuri sana huyo mwigulu ni mwizi
Mpina wakat mwingine anaongea mambo ya maana sana
Mawaziri wengi wapiga deal😂
Luhaga ni mbuge wa kipekee katika Bunge letu na ndiye mbunge pekee anayenipotezea muda wangu kusikiliza michango yake abarikiwe.
Shida wakati alikuwa waziri alikuwa kimya Ila sasahivi yupo sahihi Sana siku inchi hii akichukua rais mzalendo awafilisi wote waliokula hii inchi kwa muda mlefu
Ww ndo mbunge wangine story
Halafu mwigulu anamaneno ya kejeli
Hawa CCM wapo madarakani tangu 1961....kwa kifupi,wote ni wezi.
Mpina leo umeamua
Kumama ake alie mchagua huyu ni mjinga mwenzie
Waziri wa fedha ni kelooooo hapa nchini waizi hao na bunge mtu anapotia mchango wa kutetea nchi msikatishe acheni amalize
Hata Kama sijui mahesabu akili ya kawaida haikubaliani nae mpina ni muongo Ana hasira na kukosa uwaziri. Alichemsha uwaziri leo anatengeneza mahesabu ya kitapeli
Akili unazo lakini huna utambuzi
Hesabu. Mwigulu ni Mwizi tu
@@stephenmseti5539 wewe ndio walewale tu hela anakaa nazo wizara yote Yuko Yeye tu, Kuna hela ya serkali inatumika bila maandishi
@@2003hintay wewe nawe umelamba asali. Mwigulu ni mwizi tena jizi ambalo lina kiburi. Kama mawaziri wamepiga hela kwenye awamu ya huyu mama ni huyo unaemtetea. JPM aliwagundua mapena yeye na Makamba akawaweka pembeni. Ile tai ya bendera ya Taifa ni ulaghai tu
Mbona Mbowe anapiga Sana hamsemi? Mmerogwa Nini mkiti wa kudumu hamsemi na ukisema tu yatakukuta ya saanane
Mazizu nyie na wizi wa fedha za nchi mtatuona umefika mnatuchafulia chama Cha mapinduzi gereza linawahusu mludushe fedha na kufungwa
Spika wa mchongo ,wabunge washangilia uovu kila ovu hushangilia ,aibu yao.
MUNGU ana inua watu wengi kila itwapo leo, mpina MUNGU akulinde utokapo na uingiapo, unatuwazia mema watanganyika, ushauri wangu kwako, njoo ungana na Lisu, madeleka, mwabukuzi, heche, Lema, tupate ukombozi , mnatuwazia mema watanganyika
Wananchi wanapata shida halafu wao wanakula tu kupingana tu
Pina umesema ukweli usiopingika❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Wizi mtupu km ningekuwa.Rais.leo hai.waliotajwa na Mpina nawafilisi mara moja nakifungo juu
Narudia Tena huyo mwigulu mwizi asijitetee mkamateni mshenzi anatumia hela zawatu masikini kwakujinufaisha akamatwe
Mwiz saanaa
Kama ni waziri wa kwanza mwizi kiongozi ni huyu anaetudanganya na tai ya bendera ya Taifa
Ni wa Kwanza Bana Leo, lkn inchi hii viongozi wachache Sana Ni waelewa lkn wanainchi tunabaki tunaumia
Tanzania atuna viongozi tuna majizi yanayo vaa suti tu
Mh MPINA,PHD KUBWA
Hawa ndo wanatakiwa
Hiv hilo ni bunge,, au Nini sielewi mbunge ni mmoja
Mpina Oye yaniwecheza naye2 huyo wazili mpaka aachenakucheza anavochezaga
TAI hiyo ya nn?
Izo ni fujo😂😂😂😂😂😂 nimekataa taarifa
Huyu mwinguru muwemunampima virevi anapoingia bungeni manaake hajuiyupowapi
Mpina Mimi Ni CCM Ila hiki kinachoendelea Nakuunga mkono kwa Asiimia 99.9 MUNGU akulinde.
Sisiem ni kansa kubwa inatafuna wananchi😭
Naona mawaziri hawajui hata wanachokizungumza
Mpona uko sawakabisa ila bunge la washabiki .Tz hatuwezi kutoboa.Mungu atussidie tuwe wakweli.
Hii inaitwa siasa kali😂
Dah mpina uko vizuri kidata hongera
Mpina anajitahidi,ila achunge sana kwa CCM kwani CCM ni kama mama wa kambo,huwenda wakamtapika bila ya kumjali kubwa ni mwanachama halali.
Mh Mpina mjasiri sana. Mh Mwigulu sijui kwanini Rais anamlinda.😢😢
Ni kipindi kigumu sana hii Mawaziri wanageuka kuwa wapinga taarifa bungeni ili kuzima hoja za Wabunge ili hali Wabunge hawa ni wa ccm.
Km kuna jambo haliko sawa ni vema Bunge lifanye kile kilichofanyika kipindi cha Richmond kwa kina Lowasa, Vinginevyo hii ngonjera haitaisha.
Wasiwasi wangu nikwamba ccm unaweza usirudi kwasababu umekataa kuwa chawa au kupiga makofi au kuwasifia au kuwambia wameupiga mwingi
Samia kwanini uwa unamlea Mwiguru hivyo uwa umwoni kuwa Sio Mzalendo Plz tulee ili jamaaaa
Wakati mbunge makini Luhaga anachangia hoja, ma-mbumbumbu hata hawajui wanachoongea.
This guy is very smart, Mungu akulinde
Kila siku anausishwa na wizi kwanini asichunguzwe au ndo yaleyale
Mwigulu. Na genge lao watatuua wemetuibia san
Hakuna nidhamu ndani Bunge la Tanzania
Duu Aibu yataishia hewani hakuna Sheria itachukuliwa wanasema Yatapita
Mwiguru mwizi sana
Huyu mwizi sanaa mwigulu
Muda wake imeisha baadae ya kusema ukwer
Mwiguli mchumi hajui miamala halali na miamala hatarishi!?
Kwanini hawa waliotajwa hawajakamatwa mpaka leo
Waziri hajui Trat na trab halafu ajue miamala halali
Wabunge sindano hiyo, hawapigi makofi
Kipindi cha kuoneana haya kimepitwa na wakati
Mwiguruachana na.moina huoninlm.amakutia aibu
Good 👍👍👍👍👍👍👍👍
Huyo jamaaa ni mwizi asijitetee
Hali ya uchumi naomba muangalie
CCM ni janga la taifa namba moja. Majizi tupu
❤
Kisesa hongera mna mbunge!!
Kwer
Dah
6
Mpina una lolote
Wewe itakuwa ni mganda
@@AminaHussein-r6v 😂😂😂