''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • ''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 78

  • @SekaMaster45
    @SekaMaster45 2 месяца назад +1

    Mbona wabunge Awagongi mezaaa😂😂 Mmmmh Mtu Akiongea ukweli Kimyaaa Akiongea utumbo Makofii😂😂 Dooog TZ bhn

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 11 месяцев назад +1

    Yaani mwiguru bhana si awe ananyamaza tu. Anadhalilisha PhD

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 11 месяцев назад +2

    Mpina uko vizuri sana huyo mwigulu ni mwizi

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 11 месяцев назад +2

    Mpina wakat mwingine anaongea mambo ya maana sana

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 11 месяцев назад +1

    Mawaziri wengi wapiga deal😂

  • @JoachimKisoka-d5l
    @JoachimKisoka-d5l 11 месяцев назад +1

    Luhaga ni mbuge wa kipekee katika Bunge letu na ndiye mbunge pekee anayenipotezea muda wangu kusikiliza michango yake abarikiwe.

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 11 месяцев назад +1

      Shida wakati alikuwa waziri alikuwa kimya Ila sasahivi yupo sahihi Sana siku inchi hii akichukua rais mzalendo awafilisi wote waliokula hii inchi kwa muda mlefu

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 11 месяцев назад +1

    Ww ndo mbunge wangine story

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 11 месяцев назад

    Halafu mwigulu anamaneno ya kejeli

  • @conradolomi9580
    @conradolomi9580 11 месяцев назад

    Hawa CCM wapo madarakani tangu 1961....kwa kifupi,wote ni wezi.

  • @mtumplole2155
    @mtumplole2155 11 месяцев назад

    Mpina leo umeamua

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 11 месяцев назад

    Kumama ake alie mchagua huyu ni mjinga mwenzie

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 10 месяцев назад

    Waziri wa fedha ni kelooooo hapa nchini waizi hao na bunge mtu anapotia mchango wa kutetea nchi msikatishe acheni amalize

  • @2003hintay
    @2003hintay 11 месяцев назад

    Hata Kama sijui mahesabu akili ya kawaida haikubaliani nae mpina ni muongo Ana hasira na kukosa uwaziri. Alichemsha uwaziri leo anatengeneza mahesabu ya kitapeli

    • @yohanamnema4496
      @yohanamnema4496 11 месяцев назад

      Akili unazo lakini huna utambuzi

    • @stephenmseti5539
      @stephenmseti5539 11 месяцев назад

      Hesabu. Mwigulu ni Mwizi tu

    • @2003hintay
      @2003hintay 11 месяцев назад

      @@stephenmseti5539 wewe ndio walewale tu hela anakaa nazo wizara yote Yuko Yeye tu, Kuna hela ya serkali inatumika bila maandishi

    • @stephenmseti5539
      @stephenmseti5539 11 месяцев назад

      @@2003hintay wewe nawe umelamba asali. Mwigulu ni mwizi tena jizi ambalo lina kiburi. Kama mawaziri wamepiga hela kwenye awamu ya huyu mama ni huyo unaemtetea. JPM aliwagundua mapena yeye na Makamba akawaweka pembeni. Ile tai ya bendera ya Taifa ni ulaghai tu

    • @2003hintay
      @2003hintay 11 месяцев назад

      Mbona Mbowe anapiga Sana hamsemi? Mmerogwa Nini mkiti wa kudumu hamsemi na ukisema tu yatakukuta ya saanane

  • @josephngassa7073
    @josephngassa7073 2 месяца назад +1

    Mazizu nyie na wizi wa fedha za nchi mtatuona umefika mnatuchafulia chama Cha mapinduzi gereza linawahusu mludushe fedha na kufungwa

  • @AlfayoNebugo
    @AlfayoNebugo 2 месяца назад +1

    Spika wa mchongo ,wabunge washangilia uovu kila ovu hushangilia ,aibu yao.

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 3 месяца назад +2

    MUNGU ana inua watu wengi kila itwapo leo, mpina MUNGU akulinde utokapo na uingiapo, unatuwazia mema watanganyika, ushauri wangu kwako, njoo ungana na Lisu, madeleka, mwabukuzi, heche, Lema, tupate ukombozi , mnatuwazia mema watanganyika

  • @AbasiMadege-ot2of
    @AbasiMadege-ot2of 2 месяца назад +1

    Wananchi wanapata shida halafu wao wanakula tu kupingana tu

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 2 месяца назад +1

    Pina umesema ukweli usiopingika❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 11 месяцев назад +2

    Wizi mtupu km ningekuwa.Rais.leo hai.waliotajwa na Mpina nawafilisi mara moja nakifungo juu

  • @StarPesa-w7d
    @StarPesa-w7d 11 месяцев назад +2

    Narudia Tena huyo mwigulu mwizi asijitetee mkamateni mshenzi anatumia hela zawatu masikini kwakujinufaisha akamatwe

  • @stephenmseti5539
    @stephenmseti5539 11 месяцев назад +2

    Kama ni waziri wa kwanza mwizi kiongozi ni huyu anaetudanganya na tai ya bendera ya Taifa

  • @alikoboniphace6732
    @alikoboniphace6732 11 месяцев назад +3

    Ni wa Kwanza Bana Leo, lkn inchi hii viongozi wachache Sana Ni waelewa lkn wanainchi tunabaki tunaumia

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 11 месяцев назад +3

    Tanzania atuna viongozi tuna majizi yanayo vaa suti tu

  • @titusmwele6885
    @titusmwele6885 2 месяца назад +1

    Mh MPINA,PHD KUBWA

  • @GeorgeAbdala
    @GeorgeAbdala Месяц назад +1

    Hawa ndo wanatakiwa

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga Месяц назад

    Hiv hilo ni bunge,, au Nini sielewi mbunge ni mmoja

  • @martineshija2712
    @martineshija2712 10 месяцев назад +1

    Mpina Oye yaniwecheza naye2 huyo wazili mpaka aachenakucheza anavochezaga

  • @emmanuelmkeba7901
    @emmanuelmkeba7901 2 месяца назад +1

    TAI hiyo ya nn?

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 11 месяцев назад +2

    Izo ni fujo😂😂😂😂😂😂 nimekataa taarifa

  • @rizikimlela8162
    @rizikimlela8162 10 месяцев назад

    Huyu mwinguru muwemunampima virevi anapoingia bungeni manaake hajuiyupowapi

  • @DicksonJaphet-fq7ov
    @DicksonJaphet-fq7ov 3 месяца назад

    Mpina Mimi Ni CCM Ila hiki kinachoendelea Nakuunga mkono kwa Asiimia 99.9 MUNGU akulinde.

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 11 месяцев назад +2

    Sisiem ni kansa kubwa inatafuna wananchi😭

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x 11 месяцев назад +1

    Naona mawaziri hawajui hata wanachokizungumza

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 11 месяцев назад +1

    Mpona uko sawakabisa ila bunge la washabiki .Tz hatuwezi kutoboa.Mungu atussidie tuwe wakweli.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 11 месяцев назад +2

    Hii inaitwa siasa kali😂

  • @mabulajohnmachela2230
    @mabulajohnmachela2230 9 месяцев назад +1

    Dah mpina uko vizuri kidata hongera

  • @elijahalexze5
    @elijahalexze5 10 месяцев назад

    Mpina anajitahidi,ila achunge sana kwa CCM kwani CCM ni kama mama wa kambo,huwenda wakamtapika bila ya kumjali kubwa ni mwanachama halali.

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 месяца назад

    Mh Mpina mjasiri sana. Mh Mwigulu sijui kwanini Rais anamlinda.😢😢

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 11 месяцев назад

    Ni kipindi kigumu sana hii Mawaziri wanageuka kuwa wapinga taarifa bungeni ili kuzima hoja za Wabunge ili hali Wabunge hawa ni wa ccm.
    Km kuna jambo haliko sawa ni vema Bunge lifanye kile kilichofanyika kipindi cha Richmond kwa kina Lowasa, Vinginevyo hii ngonjera haitaisha.

  • @shedrackpiniel6800
    @shedrackpiniel6800 11 месяцев назад

    Wasiwasi wangu nikwamba ccm unaweza usirudi kwasababu umekataa kuwa chawa au kupiga makofi au kuwasifia au kuwambia wameupiga mwingi

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 11 месяцев назад

    Samia kwanini uwa unamlea Mwiguru hivyo uwa umwoni kuwa Sio Mzalendo Plz tulee ili jamaaaa

  • @Martin-w2l9p
    @Martin-w2l9p 11 месяцев назад

    Wakati mbunge makini Luhaga anachangia hoja, ma-mbumbumbu hata hawajui wanachoongea.

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 2 месяца назад

    This guy is very smart, Mungu akulinde

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Kila siku anausishwa na wizi kwanini asichunguzwe au ndo yaleyale

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 11 месяцев назад

    Mwigulu. Na genge lao watatuua wemetuibia san

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 11 месяцев назад +1

    Hakuna nidhamu ndani Bunge la Tanzania

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 11 месяцев назад

    Duu Aibu yataishia hewani hakuna Sheria itachukuliwa wanasema Yatapita

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go 11 месяцев назад +2

    Mwiguru mwizi sana

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 3 месяца назад

    Muda wake imeisha baadae ya kusema ukwer

  • @andrewmaramoko5073
    @andrewmaramoko5073 11 месяцев назад

    Mwiguli mchumi hajui miamala halali na miamala hatarishi!?

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 4 месяца назад

    Kwanini hawa waliotajwa hawajakamatwa mpaka leo

  • @davidmapogo8784
    @davidmapogo8784 11 месяцев назад

    Waziri hajui Trat na trab halafu ajue miamala halali

  • @joyceAdam-xn2yw
    @joyceAdam-xn2yw 11 месяцев назад

    Wabunge sindano hiyo, hawapigi makofi

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 11 месяцев назад

    Kipindi cha kuoneana haya kimepitwa na wakati

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 11 месяцев назад

    Mwiguruachana na.moina huoninlm.amakutia aibu

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 11 месяцев назад +1

    Good 👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @StarPesa-w7d
    @StarPesa-w7d 11 месяцев назад

    Huyo jamaaa ni mwizi asijitetee

  • @GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn
    @GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn 11 месяцев назад

    Hali ya uchumi naomba muangalie

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 месяцев назад +1

    CCM ni janga la taifa namba moja. Majizi tupu

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 5 месяцев назад

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 11 месяцев назад

    Kisesa hongera mna mbunge!!

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 11 месяцев назад

    Dah

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 11 месяцев назад

    6

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 11 месяцев назад +1

    Mpina una lolote