SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  12 дней назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 12 дней назад +5

    Wakati mwingine msitete kufunga mapoli tumieni hekima watu wapate sehemu ya kuishi maisha ya hapa nduniani msiwabane sana kupitiliza waweza kukuta hata hayo maeneo ni viongozi wasitafu nibora mkapatia na watanzania wakapata makaanzi

  • @LawrenceKomba-w8k
    @LawrenceKomba-w8k 6 дней назад +1

    watanzania wengi wamenyimwa haki ya kujua sheria,naomba tuwasaidie watanzania walionyimwa haki yakujitambua.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 13 дней назад +2

    Very smart Waziri 🎉

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 12 дней назад +2

    Hiyo elimu waziri mmechelewa kuelimisha watu wanannchi .mnachofanya sasahivi mnanyanyasa watu Tena wapigakura wenu ila mungu yupo

    • @chayomgonja3131
      @chayomgonja3131 11 дней назад

      Tatizo la hii nchi kila kitu kinafanyika kisiasa…wananchi hawana makosa sababu hawana elimu lkn anachosema wazir ni sawa kisheria ndiyo hivyo… ndiyo maana kila kitu kwa busara kwa busara na huruma za mheshimiwa Rais ndiyo maneno yanayotawala… dawa ni wanasiasa wasiingilie taaluma…

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k 9 дней назад +1

    Acha kunyanyasa watu elemisha sio kukebei

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 12 дней назад +1

    Miaka yote watumishi wa aridhi walikuwa wapi? Miaka yote? Mmelala . Wote tumekosea mkubali ila msiuwe watu kwa presha

  • @IssaAbushehe
    @IssaAbushehe 12 дней назад +1

    Huyo mzee ametumia hekima sana

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 7 дней назад

    Waziri nenda Kibada uone jinsi maeneo ya wazi yanavyogawanwa, yaani dili zinapigwa

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 дня назад

    Watu wamilikishwe kisheria mnawafukuza waende wapi

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 7 дней назад

    Watanganyika tusipokuwa imara tutaendelea kunyang’anywa ardhi pasi na sababu mpaka tugeuke wahamiaji katika ardhi yetu.
    Inawezekana vipi kumilikisha ardhi kwa TFS ambayo ni mamlaka ya misitu angali wapo Watanganyika wanahitaji ardhi kwa ajili ya maendeleo? Kwani serekali inafanya kazi kwa manufaa ya nani?
    Jerry ana ukichaa flani ama ni uccm tu ndio janga.

  • @user-nr2ud1dm3y
    @user-nr2ud1dm3y 12 дней назад

    Ili uwe raia halali wa Nchi kama ulihamia kutoka Nchi nyigine, Ukikaa miaka kumi na mbili ktk Nchi husika unakuwa na uwezo wakuwa raia. Wana Nchi hao waliokaa zaidi ya miaka arobani ktk eneo hilo mimi sioni kama ni wavamizi wapewe uharali wa kumiliki eneo hilo

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 12 дней назад

    Na razaba ndio mmiliki alikuwa yeye ndio aje awaondoe na awape haki zao sio kuwakimbia kaeni hapo

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 8 дней назад

    Miaka yote serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa wapi mpaka wananchi wakaendeleza makazi yao? Wananchi hawana makosa waangaliwe vizuri.

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz 5 дней назад

      Tumia akili mali sio yako unaenda kuchukua ili iweje

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 12 дней назад +1

    Ardhi ni mali ya serikal na serikali ni nani mkishajua mtaenda vizur hakuna kutunishiana msuli

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 12 дней назад

    Inategemea hao wananchi wapo hapo muda gan

  • @LenardDaudi
    @LenardDaudi 12 дней назад

    shiqa sana

  • @rahimwaziri1727
    @rahimwaziri1727 12 дней назад

    Njoo na mkuranga waziri Kuna madudu viwanja vya serikari

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 12 дней назад

    Waziri Ana akili ya ziada.

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 12 дней назад

    Mie huwa sielewi mtu akisema sehemu ya serikali ? Sasa serikali ni wakina Nani? Na aliyepanga sehemu hii nakuweka kusema ya serikali ni Nani? Wakati miaka hiyo Nyerere walivyopewa Uhuru walikuwa Wana sajili kila sehemu ya aridhi na kusema hii sehemu ya serikali kwahiyo walitembea kila vijiji na mikoa . Swali?nauliza kabla ya Nyerere tulikuwa bado chini wazungu sasa hawa wazungu walitupangia sehemu. Na kusema hii aridhi iwe kiwanda ama sehemu ya serikali ? Ilikuwa hivyo sasa Nani? Na hawa Wazenji walifikaje kuwa na aridhi miaka hiyo kumilikishwa? Nchi ya maamuma

  • @andrewanset4126
    @andrewanset4126 12 дней назад

    Ninaitaji jamani namba ya waziri ninajambo muhimu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 12 дней назад

    Hapa ni eneo gani

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 12 дней назад

    Wazili silaa itungwe sheliya anaevamiya afugwe miaka 30 nizaidi uhalifu

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 12 дней назад

      Utafunga Nani Sasa vipi akifu gwa baba yako

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 12 дней назад

    Itugwe sheliya hata kama unajenga update kibali tunaishi kama nyani Peleka muswa wa sheli wajinga watatesa nchi hii

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 12 дней назад

    Aludi musoma kwao waondoke hata anagolofa awondoke

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 12 дней назад

    Wengine wajinga wawe wanachalazwa wakina bakalishingo hao