Maisha ya Lady Jaydee, alivyoanza muziki, mafanikio, utajiri na mengine
HTML-код
- Опубликовано: 13 ноя 2017
- Judith Mbibo aka Lady Jaydee ni miongoni mwa wasanii wa kike wanaoheshimika zaidi Tanzania na wenye mafanikio makubwa. Ifahamu vizuri safari yake kimuziki
Nataman kupata Album zako zote Jide nyimbo zako nazipenda sana
Nakukubali sana coz huna skendo sana, unajua kutenganisha muziki na maisha binafs
maisha ni Safari ndefu Sana kaka sky
napenda sana kusikiliza kazi zake huyu dada.she is very smart.SnS
Nampenda sana jide napenda pia the way anavyojibu maswali pia.... nimefrah pia anampenda Usher Rymond msanii nnayempenda pia....... I wish waje kufanya Collabo
Hongeren sana, Big up jide
Ur my role modal kila siku kila saa and forever
Wow 10
Hongera rafiki
nakukubal sana jey d napenda nyimbo zako
Haya Maisha Safiri salama
nakupenda bure kwele
Dada rudi Kanisani Rudi Dada peperusha Bendera ya MUNGU, kwani kipaji hicho Mungu alikupa umwiimbie umtumikie WASABATO wamepewa Kijiti tokea Hapo mwanzo mpaka sasa iweje we we uko huko?
Fred tunataka na wewe uhojiwe kipindi hiki siku moja
jidee
Kaka pia tunaitaji mjadala wa ma duzo
Sky hivi kule dizzim online haupo tena?maana naona kumepwaya.plz naomba unijibu mm shabiki yako mkubwa
Nipo bado, ukiangalia website utaona kuna habari kibao naandika. Sionekani wakati fulani kwenye interview sababu ninakuwa kwenye ofisi nyingine
SimuliziNaSauti napenda unavyo tangaza tunaku support sana from Dubai
Sky kwa kweli jide yan hajawai ongea vzr hivyo yan huwa mkali kwa interview
Ni kweli kabisa Shakira
Ila kwann km anapanik vile majibu yke daah mara nyingi namsikia