nampenda sana huyu dada mimi binafsi namshauri aishi vizuri na watu na ajiheshim kama wanawake wengine. wala asiwe anajidhalilisha mitandaoni kama wema
I wish Tanzanian female celebrities could be like Lady Jay Dee......someone who has respect for herself, natural and many other great values...not to expose themselves just the way they are doing ...NKT....
hawa ni watu wenye akili. yaani majivuno hana hata kidogo na katulia na mumewe na familia anayo. sio mazombi kama wale mapumbavu mengine yenye laana kutwa kubadilisha wanaume kama ndara
YANI TANGU NIMEMFAHA LADY JAY DEE KIUKWELI NILITOKEA KUMPENDA SANA NAKUMBUKA ILIKUA MWAKA 2000 WAKATI HUO NILIKUA NA ISHI SINGIDA YANI NATAMANI SIKUMOJA NIJE NIMUONE LIVE KIUKWELI NTAFURAHI SANA JD NAKUPENDA SANA TANZANIA HII WEWE NDIO MSANII WAPEKEE UNAE JIHESHIMA NA KUITHAMINI KAZI YAKO MUNGU AKUBARIKI SANA
nampenda sana huyu dada mimi binafsi namshauri aishi vizuri na watu na ajiheshim kama wanawake wengine. wala asiwe anajidhalilisha mitandaoni kama wema
she's so Natural I love
upo vzr lady jad dee
Naam Jaydee si Unioee, ta mie napenda kuimba kabisaa. tutaimbe pamoja Yahaya
I wish Tanzanian female celebrities could be like Lady Jay Dee......someone who has respect for herself, natural and many other great values...not to expose themselves just the way they are doing ...NKT....
Agie Ashley pllp
Ongera saaaaaaaana wajina wangu I Love you so much.
I wish all women should be like u. u r so inspiring. I like how you are love u so much
uko poa mdogo wangu, kanda ya ziwa moja iyo hatunaga ujinga
i wish u cld try n tlk to those young artist in yo country thy really need advice frm ppl lyk u pliiiiiz
Dada j.ukopoa sana
Douglas Isaya Ungependa kumwambia nini..?
Dada mungu akuzidishieee I love madada
du kweli mungu akupi vyote
Loving it
💞💞💕🔥❤️💖💖💖💖❤️💞💞💞jideeee
nyumba mbaya kinomaaaa yan kwa msaniiii iyo nyumba bado sana
Abdallah Hassan Fala wewe unayao
congratulations
hongera mama
nice
keep it up
sana
hawa ni watu wenye akili. yaani majivuno hana hata kidogo na katulia na mumewe na familia anayo. sio mazombi kama wale mapumbavu mengine yenye laana kutwa kubadilisha wanaume kama ndara
very cute and beautiful girl big up
nachompendea jide nimwanamke anaejielewa na hana ulimbuken wa mambo yakitoto kama wekena fulan
YANI TANGU NIMEMFAHA LADY JAY DEE KIUKWELI NILITOKEA KUMPENDA SANA NAKUMBUKA ILIKUA MWAKA 2000 WAKATI HUO NILIKUA NA ISHI SINGIDA YANI NATAMANI SIKUMOJA NIJE NIMUONE LIVE KIUKWELI NTAFURAHI SANA JD NAKUPENDA SANA TANZANIA HII WEWE NDIO MSANII WAPEKEE UNAE JIHESHIMA NA KUITHAMINI KAZI YAKO MUNGU AKUBARIKI SANA
usichoke go ahead. ..
Sauti na macho wow this lady is talented and beautiful
WEWE NDIYE WW WACOKUPENDA MASHOGA WANALIWA
hata sura yake na sauti yake ni ya. busara na upole kweli na hekma pia anayo
huyu muelekeo anao
Bado song
penda sana Dada j
uko poa mdogo wangu, kanda ya ziwa moja iyo hatunaga ujinga
nampenda sana Jide! shes hardworking and so inspiring