Mamlaka za kiafrika hovyo sana hv nyinyi basata hizi nyimbo zenye Maadili, zinazo Elimisha,... hamzisikii? Akuna mtu aliye uchi, minyororo kama mbwa kwanini msiwape tuzo za kuwatia moyo? Kila siku mapenzi, matusi na hao hao ndo bora kwenu.
😆😆😆mkuu umenifurahisha sana,but all in all unachoongea ni sahihi sana sana sana,hii nyimbo imenisisimua sana,ina ujumbe thabiti kabisa,basata ipo kimchongo mchongo tu
uyu mama wamuache tu...kumfananisha na akina nani...only kennomies can do that, she's the queen on the floor juc awa NDIYO wanafanya atlst tunaona bongo Kuna talent
Lulu ameanza kufight siku nyingi Sana kwenye hii industry ya filamu.Big up Sana mama G.Hongera Sana dada lady jaydee kwa wimbo wenye mafundisho ya kulijenga taifa kimaadili#mtoto wa mwenzio umuone kama mtoto wako#.
The best radio show of all time, sijui kwanini vitu vizuri havidumu nimejaribu kuitafuta wahapahapa kwenye internet nimekosa haipo tena kama kunaanaejua namna ya kupata vile vipindi anisaidie.
Kuna wakati unashindwa kuongeza neno hapa" Maana kile wanacho imba ndicho wanacho ki-Ishi sasa" Nyimbo hiii ni ya kitambo kidogo..Tena ina ujumbe mzuri sana" Ila haikuweza kumsaidi kitu huyo msichana...baada ya Muda kupita hiyo Tabia ndio ikawa anaifanya na kuishi" Hama kweli hawa ni wasaniii"
Embu jamani tuangalie hii video ya commando jide na tuwe wakweli..just imagine huo umri wa lulu, it means hii nyimbo ni ya kitambo sana,lakini embu angalieni hio quality ya video ilivyo super 👌, yaani video inaweza kuzidi mpaka video baadhi za kipindi hichi cha 2022...itoshe kusema jide is a true super woman legend😍
Watoto wa 2000 wanashangaa sana ,
Ila sie 90s Tunaelewa hii ngoma ,long live the Queen 🥰 #Lulu #Kipanya #Jide #GYPSY
Mamlaka za kiafrika hovyo sana hv nyinyi basata hizi nyimbo zenye Maadili, zinazo Elimisha,... hamzisikii? Akuna mtu aliye uchi, minyororo kama mbwa kwanini msiwape tuzo za kuwatia moyo? Kila siku mapenzi, matusi na hao hao ndo bora kwenu.
Kwani tuzo zitolewe kila siku ni pipi 🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆mkuu umenifurahisha sana,but all in all unachoongea ni sahihi sana sana sana,hii nyimbo imenisisimua sana,ina ujumbe thabiti kabisa,basata ipo kimchongo mchongo tu
@@BigZhumbe Sijasema kila siku ila zinapotelewa waangalie nyimbo zinazo stahili sio zile zinazo sapoti ushoga.
uyu mama wamuache tu...kumfananisha na akina nani...only kennomies can do that, she's the queen on the floor juc awa NDIYO wanafanya atlst tunaona bongo Kuna talent
the first dj to play this hit in kenyan soil why lie
Eeh Mungu nibariki na moyo wenye upendo,uvumilivu na hekima ili niweze kupalilia shamba moja litakalokufurahisha hata na wewe Muumba👏
R.I.P Dada Joyce,wa Kwanza kabisa Kwa chereheni😭
alie itzama tena nyimbo hii miez hii naomb like
Ll ume kuwa sana mama g kama sio wewe
Kwa bahati mbaya sana hiyo meseji ya shamba haikumfikia anko jj.. mtoto wa mwenzie akawa mkubwa mwenzie.. rip to him
Lulu ameanza kufight siku nyingi Sana kwenye hii industry ya filamu.Big up Sana mama G.Hongera Sana dada lady jaydee kwa wimbo wenye mafundisho ya kulijenga taifa kimaadili#mtoto wa mwenzio umuone kama mtoto wako#.
Watoto wa 2000 wanashangaa sana 🤭🤭🤭,
Ila sie 90s Tunaelewa hii ngoma ,long live the Queeen 🙌🙌🔥🔥
nyimbo nzuri yenye maadilu nimeipenda sana
The best radio show of all time, sijui kwanini vitu vizuri havidumu nimejaribu kuitafuta wahapahapa kwenye internet nimekosa haipo tena kama kunaanaejua namna ya kupata vile vipindi anisaidie.
Lulu lulu daaaakitambo unafight kwenye game
Jmn huu wimbo inaonekana aliandika mda mref
Hii nyimbo mimi nimefuatilia video sio nyimbo ... nimependa sana content yake
Ni wajibu wa jamii kulea watoto...
It is a societal role to manage Children upbringing
Kililu mashallah
Our own legend, voice does not fade. You tacked memories of quality music.
Kuna wakati unashindwa kuongeza neno hapa"
Maana kile wanacho imba ndicho wanacho ki-Ishi sasa"
Nyimbo hiii ni ya kitambo kidogo..Tena ina ujumbe mzuri sana"
Ila haikuweza kumsaidi kitu huyo msichana...baada ya Muda kupita hiyo Tabia ndio ikawa anaifanya na kuishi"
Hama kweli hawa ni wasaniii"
I love this let's instill good morals in society for a brighter tomorrow
WATU HUKUWA LULU AME GROW SANA ILA WATU HUBADILIKA LADY JAY DEE AMEBADILIKA HATA LULU WAREMBO SANA
live long life Dear Queen may Allah protect you. Message delivered💯📢
Ebu twenden wote tuifanye iwe trending am so proud of u madam#SHAMBA
Throwback Wahapahapa☑️
Mke wa majizo arikuwa mkali toka kitambo
Nice
Na ndio ilivyokuwa maisha ya lulu yakaharibika km kwenywe hii filamu
Maisha ya Lulu yakaharibika!???
Watanzania na Maadili yenu ya kinafki ndo yanawapa Umaskini... Kwahyo Lulu alipo pale Maisha yake yameharibika😂😂 Aisee
@@DrFit-di1rb 😂😂hao ndo wabongo
Great msg! inagusa sana
Kalulu
Embu jamani tuangalie hii video ya commando jide na tuwe wakweli..just imagine huo umri wa lulu, it means hii nyimbo ni ya kitambo sana,lakini embu angalieni hio quality ya video ilivyo super 👌, yaani video inaweza kuzidi mpaka video baadhi za kipindi hichi cha 2022...itoshe kusema jide is a true super woman legend😍
Zidi kufanikiwa endelea kuzirudisha kazi zako #real superAfrica giant best woman
Dada wa Taifa 🙌🏿🙌🏿
inapo anza ni kama movie flani hivi inaitwa NERIA
On DUNDA ENTERTAINMENT We follow you 100%
Tujitahidi tunza watoto wetu mapema kabla hawajaanza kutunzwa
Is that LULU (Elizabeth Micheal)?
Beautiful message in the song , thanks My Diva ⭐🙏🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Masoud Kipanya
Wangapi wameona Lulu wa Kanumba like 👍 👌 ♥
Kwani ni yeye Kweli?
@@barakakusa7606 ndio sasa iv ni wamajizo
Unakaa kimya ukija kurudi unaludy na mautam kama yoteeeeeeee
Dada Jide in the building...I love you too much Sister 😍😍
Elizabeth (Lulu). 🤔
Wimbo Bora kwa msichana Lady Jaydee.Big up
❤❤❤
Ka lulu 🤭🤔
I will love you forever
Nyimbo nzuri kwa jamii zetu make kwa sasa watu wamejaa unafiki na ubinafsi!
Love from Rwanda 💛💙💚
Good mother of my heart lady jaydeee...you deserve a respect to our mother land....🙏🙏🙏an out of our boundry
Elizabeth Michael wow memories 🤗
This girl on thumbnail . . .. ako wapi walai🥰
😂Kipanya ndani, sio mchezo kama kawaida 🤛
Legend hakosei much respect Komandooo
QUEEN of the bongo music she is back again Lady j dee mama laooooooooooooooooo......salute sanaa sster
Wimbo wa siku nyingi Sana, angalia Lulu alivyokiluwa enzi hizo
Am here after seeing Elizabeth Michael's post on Instagram
Elizabeth alikua kinyoka leo mke wa mtu😁😁
Hii ngoma ukipewa uisikize bila kuona video unaweza waza ni ya kilimo kwanza. Hahaha bonge la meseji bonge la ngoma.
Ahahah masudi kipanya
Huyu sista anajua sana sema hawampi shavu
❤❤
Wise words from our iron lady warm love from kenya
Goma Kal Sana 🔥🔥🔥🔥🔥💯
Huyo mtoi anafanana lulu akiwa mtoto
Ndiy yeye mwenyewe Lulu
KKT kwaya hz nyimbo kawaimbie siku ya watto Afrika MB zenyewe Gharama alafu unatuimbia kwaya kweli?
nime shea na kucimment ni mwamba
Sestar Naomba Kufanya Kazi Na Wew please
The Queen of bongofleva
True
Ndio maana nakukubali sana dada wa taifa,kwenye mziki
Lil vixen anafanana na Lulu sana
Ama kweli mbolea imewekwa , huoni mazao kwa Bwana mkubwa mjengon ???
Mbona kama lulu vile AMA machoyangu
Message is home.
Wimbo bora sana, asante lady jaydee
Super woman ♥️♥️ your music always long time though
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤲🏻
Katoto kamefanana na Lulu Elizabeth Michael wa Majizo
Hii ndy miziki sasa,syo wale wengine kuimba mambo ya siyo eleweka,mpk jamii imeporomoka
Kanataka kufanana na Lulu bana
ndo mwenyewe huoni video ya zamani hiyo!!
@@sadeeqcrucial9194 hapo sawa! Maaaana nimeumiza kichwa kinyama! Maana namuona na kipanya ndani
Mbona Lulu hata Jde wadogo au ilikuwa library
Nice song
Duh masud kipanya alikuwa mdogo
nakukubali comando never give up
Mziki mzuri unaishi milele 🔥🔥🔥👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻💪🏻
sister unajua mno yn
Video nzuri sana
Lgnd🇹🇿🇹🇿🙏
Nakukubali sana dada elimisha jamii yako
Khaaa hii video ka lulu hako ya mwaka gani jamn
lovely
Nomasana
Hapo Lulu bado bikra
💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻 thank you queen, I always love your music girl , please don’t stop.lots of love from Kenya 🇰🇪
Good message
Hii Message inakosea tuu Kuni Liza ila basi nimejizuia na Nimekuelewa
Wewe ndie Lady Jaydee nae mjua kweli
Hyo video ulishoot lin? Mbona lulu mdogo
dada mkuu wa bongo music
Ongera sana ii video uliiitunza nmuona lulu, kipanya load ndan alafu uyu dada mkubwa jamn kama alikuwa ivi na saiv yuko vilevile watu wanajua kujitunz
Touch of a legend…m grateful to live in your era
🔥🔥🔥🔥