I love love looooooove @Lady Jaydee!!! Can't say the same for Gardner vile but thats me, nimewafwata nyote toka enzi zile. Lakini nahisi kwamba he wasn't on your side Jide haswa kwa ile longest beef na Clouds given he was a presenter. Anyway, glad you are past everything and have maintained urafiki ulokomaa. Best of luck kwa nyote wawili.
jidde bwana🤣mbona unampush sana mwenzako aoe wewe je umeshaolewa?Mimi naona wote kama mnapendana bado ila there is that one thing bado hamjakiweka sawa kati yenu ili mambo yaende sawa...Talk and see what is that ammendment needs to be rectified
Nimependa Da Judy you're wonderful woman
😭😭😭😭😭Kwanini akumsadiya ao kabisa daah R.IP
Nimefurahai sana kuwaona pamoja kama marafiki wonderful ❤❤
mko vizur...pia nimejifunza kitu....Asante my dada jd
Nakupenda sana ledjdi
Greetings from Istanbul Cutie blood sister I will forward it now for her But now she's Mama C one of istanbul 🌹
sema G alikua bonge la msikivu sana
Pole dada Jide
👍👍👍
Walikuwa wanapendana
DEV and SONAKSHI😄😄😄
I love love looooooove @Lady Jaydee!!! Can't say the same for Gardner vile but thats me, nimewafwata nyote toka enzi zile. Lakini nahisi kwamba he wasn't on your side Jide haswa kwa ile longest beef na Clouds given he was a presenter.
Anyway, glad you are past everything and have maintained urafiki ulokomaa.
Best of luck kwa nyote wawili.
,😂😂😂dah nmepata neno jipya la kiingereza kutoka kwa jaydee,, et ""😅😅vitaness""
Kasema chuki/bitternes
imebaki story😢😢😢😢😢😢
DDO's chairperson +255 #gadnaGhabash
Jaydee where is Mr. Ngoni greatings from Uganda
😂Yani hongereni mwingine hata akizaaa na we anakiletea vita na matus ya ajabu nakutukana mtoto alomzaaa maths makubwa hongereni sana
we dada mbon uzai
Hakuna mtu hapendi mtoto/watoto, nafikiri ni Mungu hajaamua... na sio binadamu wote wana bahati ya kupata watoto hata wakitaka
Mungu ndo hua anabariki
Wewe mshenzi kabisa, sidhani kichwani mwako kuna hata tone ya akili
jidde bwana🤣mbona unampush sana mwenzako aoe wewe je umeshaolewa?Mimi naona wote kama mnapendana bado ila there is that one thing bado hamjakiweka sawa kati yenu ili mambo yaende sawa...Talk and see what is that ammendment needs to be rectified