Maisha ya Diva: Familia, Mapenzi, Utangazaji, kuishi kifahari na mengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mfahamu zaidi mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse kwenye maongezi haya ambapo anafunguka kuhusu familia, mapenzi, alivyoanza utangazaji, jinsi anavyoishi maisha ya kifahari na mengine

Комментарии • 31

  • @aggraypeter.5008
    @aggraypeter.5008 6 лет назад +3

    Nmedislike Kwa Ajili ya Diva Na Imfikie

  • @stellamwakatulile3202
    @stellamwakatulile3202 3 года назад

    Unajisikia Sana kuna kesho

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Yaan napenda ukisema maana unajisikia mpaka raha 😘

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    Diva special Beautiful, wewe kwakujisifia Mashallah hongera

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 6 лет назад

    msukuma mwenzangu unajikubalii

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 лет назад +1

    Lv u all kisses from dubai.

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 2 года назад

    Kwaiy unatak kujifny ww umechanganyw na wasouth acha kujipa sf zakijinga jitu lenyew baya mpuuz xn we demu 😯😯

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 6 лет назад +2

    Looooh,mschana una maringo xn ww!!
    wa kawaida sn

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад

    😍😍😍😍

  • @aminaabuu755
    @aminaabuu755 6 лет назад +5

    teh teh nicheke kwanza yaan we dem unamaringoo acha niseme ukwelii jamani nilikuwa nakuona muzurrri vilee nikikuona kwa isgrm mwenyewe na zilee feltr edetng nyng mwenyewe nadata siku nimekuja kukuona live ilibidi nijiulizee maramblimbli HIV huyu ndyiyo diva dooh mekp zina ficha meng jamani coz wakawaidaa sanaa sema unaringaa shikamo mekp hata Gigi Ana afazaliii 😏😏

    • @halimamohamedy3571
      @halimamohamedy3571 6 лет назад

      Amina Abuu mamy acha tuu hizi make-up shikamoo yaan MTU anaonekana waukwel ngoj umuone live utatamani ata ukimbie maan unakuwa unaona km mapicha pich

    • @aminaabuu755
      @aminaabuu755 6 лет назад

      Halima Mohamed yaan wanavyoo tuuu imbiaa lkn now tushagundua shenz zaoo mfyuuu

    • @halimamohamedy3571
      @halimamohamedy3571 6 лет назад

      Amina Abuu Nakwel saivi tushawashtukia watukomeeee

    • @khadijambuta4360
      @khadijambuta4360 6 лет назад

      😂😂😂😂😉

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 лет назад

      Amina Abuu 😂😂😂 mchokozi wewe

  • @ayeloabebe5645
    @ayeloabebe5645 5 лет назад

    💕💕💕💕💕😘

  • @esterrahma147
    @esterrahma147 6 лет назад

    Duuh....international😝

  • @jamilajamaljj7976
    @jamilajamaljj7976 6 лет назад

    Hovyoo.

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Nywele milioni tobaa hii Dunia sisi tupo wapi jamani hatupati kwenda kwenye madampo ya hela,😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭

  • @princekijay5450
    @princekijay5450 6 лет назад

    Kimo

  • @blesseddeebrownie7334
    @blesseddeebrownie7334 5 лет назад

    comments hizi khaaa😂😂😂😂😂unazisoma unapanic unapata pressure unakufa

  • @zubedahussein9779
    @zubedahussein9779 6 лет назад

    jaman mfanyege tuwaone basiii

  • @naslamgollo6613
    @naslamgollo6613 6 лет назад

    Bi manyodo chef

  • @jaffaryyahaya5273
    @jaffaryyahaya5273 6 лет назад +2

    Not interested to this lady

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni2285 6 лет назад

    You had GK and same time you had another guy who wanted to marry you....halafu useme unatofautiana na wanaojiuza

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад

    Heeeee wadada wote wangekua hivi sijui haaaaa na kina Beyonce na rihhana wasemeje? Duuuuhhhhhh

  • @jamilajamaljj7976
    @jamilajamaljj7976 6 лет назад +1

    Sifa za kijinga hizo

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 6 лет назад

    yn utazan ata kufa jmn kumbuka kuna kufa