Kimbunga HIDAYA chawapeleka KENYA wasafiri wa Majahazi wa Pemba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 8

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 5 месяцев назад

    Poleni sana

  • @imusalis5092
    @imusalis5092 5 месяцев назад

    Poleni sana ndugu Allah awalinde hili na jengine

  • @rahmakhamis5972
    @rahmakhamis5972 5 месяцев назад +2

    Poleni kwanza ila si muliambiwa kuhusu hali ya hewa ila tatizo ubishi kisha mulaumu serikali.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 5 месяцев назад +1

    *Balahau musilaumu serikali bure maana taarifa za upepo zilitolewa mapemaa sana marahii ila mukaleta ukaidi wetu wa mazin'ombe na micheweni hivo musitafute sababu kikubwa mushukuru Allah kwakuwa muko salama*

  • @AmerJuma-e1w
    @AmerJuma-e1w 5 месяцев назад +2

    Acheni kuilaumu serekal ajali haisababishwi na serekal,
    Pia mnakua wakaid sana mamlak Hali ya hewa wanatoa tahadhari ila ukaid ni mwngi

  • @aliaminmbeo9998
    @aliaminmbeo9998 5 месяцев назад +1

    Saa nyingine tunaweza kulaum serikali au watu bure. Taarifa za kimbunga zimetolewa wiki moja kabla. Vyombo vyotel vya habari vimeekeza kimbunga Hidaya Hadi muda, kinaanzia wapi, kinaelekeanwapi. Meli zilisimama. Wewe ukaweka pamba madikioni Leo unalaumu.

  • @jumadiver7011
    @jumadiver7011 5 месяцев назад +1

    Mwalimu Hamad mbona husikilizi mamlaka ya hali ya hewa wasemavyo. Acheni ubishi wakati mwengine.........., hata meli zilizuiwa itakuwa nyie mtumiao majahazi?