MKASA wa KWELI - ATOA SOMO kwa WANAOABUDU SHETANI BADALA ya MWENYEZI MUNGU - ASIMULIA YALIYOMKUTA...
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- MKASA wa KWELI - ATOA SOMO kwa WANAOABUDU SHETANI BADALA ya MWENYEZI MUNGU - ASIMULIA YALIYOMKUTA...
#HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
habari dada
iko very immotional nakumbuka majini yaliwavaa kak na dada yangu chjabu wakiombewa wanataja jina la baba wanamuona juu nlkua maogopa sana
Kuwa mtumishi wa Mungu unahitaji nguvu za Mungu, watumishi wanaanza huduma pasipo nguvu, na nguvu ikiwepo basi ni hafifu.
Duh! Acheni uongo!
Hii inawezekana na kupona unaweza kupona kwa nguvu za Mungu Au unaweza kupewa mume aliyetoka kwa majini bila kujuwa ndiyo majini yanatulia.Hivyo haya mambo yanahitaji hekima ya Mungu kweli kweli.
Mambo haya yapo sana tunayaona kanisani watu wanafunguliwa sana kwa jina la YESU
Hebu tunga na wewe ya kwako
Story nzuri sana
Mbona kama msimuliaji katunga story 😢😢😢😢😢 au nimimi tu ndio nashindwa kuamini
😂😂😂😂
upo sawa, hawa wanatuchezea akili
Drama hakuna Chochote cha ukweli anacho ongea😅😅😅halafu anachekacheka haoneshi seriousness
Jamn ni kweli kabisa msikatae
Sema km hujawahi kukutana na mauzauza
Binafs cjaona uwongo wake ila kwa7bu wabongo tumezoea kudanganywa kuna watu tumekutana na majambo tukicmulia mtazani pingu😂😂😂mkumbuke pia kuna wengine hawajui kujieleza
Sura ya nandy kwa mbaali
Hapa tumepigwa madam...huyu mpeleke kwa lamata wakaandike story.
Zumaridi 😊
Mwanzo sijaona
Uongo
Ni atariii lakini ni salama😂😂😂😂😂😂
Inawezekana story yako ni ya kweli dada angu ila the way una present unaonekana muongo haupo serious
Jifunze kuongea au kupangilia maneno yako
Lilly hivi unakuwa unazihakikisha hizi simulizi kabla ya kuruka? Namaanisha unachokirusha unakuwa na uhakika nacho?
Uongo.
We unasemwa uongo ulikuwepo?
Da Lily,usituletee watu wenye story za uongo,we utolewe na jini na anajua unaenda kusema mambo yao wanakuua au wanakufanya chochote kile
Huyo n muongo
Acha uwongoo
Nina kijana wangu anasema kuwa maisha yake yote anaona giza tu , anabaki kuvuta sigara tu
Yani hata anavyo adisiya haoneshi uhalisiya 😅 kama ni kweli
Hivi Nani aliiwaambia jini ni nyoka 😂😂😂😂😂😂
Huyu dada muongo aiseee kwanza anakisirani alikuja officen kwangu akawa anahudumiwa na kijana wangu dada Ana dharau sjui anajikutanani aloo
Wengi mnasema huyu dada katunga stori sio kweli namjua vizur na huo ndo ukweli 💯
Huyo prophet muulize mm na taka niende jaman
Jamani mbona sijasikia chanzo cha hii story kama inaendelea tu, ilikuwaje dada akawa lwa shetani
Mambo yamaajabu yapo ktk Dunia hii ,mimi nimeshaona kw macho yangu kabisa ,mtt wangu wakumzaa akiwa upande mmoja wa uso wake nimtu wakutisha sana ,najicho lake 1 km mtu aliepata ajali hilo jicho linaning'inia tena nikubwa,nilipiga yowe kubwa ,alikuepo namumewe ,aliniuliza vp ila sikuwaambia pale ,nasikuyapili nilienda nae Hospital ,mana alikua natatizo lahilo jicho ,niliporudi nikaswali mwenyewe chumbani nikaombea sana hizo dawa ,kishaniliwapa wakatumie ,nakilichofuata ,alienda mkwewe wakike nakuziona naalisema hutapona ,ila kilichotokea hilotatizo lilirudi kwake aaliumwa nae macho naalishindikana matibabu ,naalipofuka macho ,hadi umauti ulimkuta akiwa kipofu ,ttz huyo mama alikua anafuga Majini ,nashida ilianza pale alipokua hakutimizia Marini yake adazao ,nawalivamia harusi ya mtt wake alipokuja kumuoa mwanangu ,nikisa kirefu mtangazaji
Lily naomba uwaji kuileta hii simulizi ili wengi tufunguliwe
Kwanza mwanzo wahii ukowapi? Maana naona kama imeanzia katikati, nahayo majini yalimpataje mara mengine yanaishi na mama yake ilikuwaje wakapata majini? Nayalitoka wapi? Na baada yahuyo mtu kumwita nakumwambia zuena toka huko akatoka watu wakaanza kumshangaa nakumuuliza unamjua huyu, watu hao walikuwa wapi na walitoka wapi? Unamjua huyu nani?
Mwanzo wa story ni upi? Mbona sielewi aliingiaje ktk hayo maisha mwanzo kabisa
Huyu bado hajafunguliws kujua Mungu wa kweli ni wa Ibrahim, isack na Jacob ukishasikia haya ya Mungu wa Baba yangu wa kiroho ujue ni boya
Halafu jitahidi kuweka spelling zako vizuri (sio Ilinga ni Iringa) ila hiyo story mmh moja haikai mbili inakataa😮
Not spelling it's called pronunciation
Spelling kwani anaandika jamani si anaongea🤣🤣
@@narknark4249ht spelling ni sawa..eg can you spell IRINGA?!
@@rosemahenge9071haha😂😂😂
Yani niling'atwa na nyoka mimi😅😅😅😅upuuzi mtupu
Nandi kapimeni dna na huyu mdada
Hii story mbona naona ni tunzi tungo tu 😂😂Shetani hana NGUVU kiwango hicho cha kumteteresha mtu mwenye MUNGU mwombaji Bwana.
Mungu wa prophet Simon ??! Ndo nini sasa….
Itakuwa kila mtu ana Mungu wake humu duniani
@@maryjosephat2885Wewe huna Mungu ndugu yangu
Mbona we ukitaka kuanguka una sema mungu wangu.😂. Na Simon nae ana wake
Ila kama uhalisia haupo😂
Ulale na nyoka uende kazini alafu urudi nyumbani 😂😂😂😂😂😂😂
Dada Lilian naomba kuuliza,kuna siku nililala mida kama ya alfajiri hivi nikajisikia kama nakambwa ile najaribu kulia kuomba msaada sauti haikutoka mana nilikabwa sana,lakini nikawa nasikia nje watu wanaongea (WAPITA NJIA ) nikawa nasema Mungu wangu kimoyo moyo muda kile kitu kikaniachia je,hii hali huwa inasababishwa na nini? Na ilishanitokea zaidi ya x2
Kilichokuwa kinafanyika ni maono kwamba ni ualisia
Mmmmmh
😅😅😅 Lamata unamuona director mwenzio
😂😂😂
😂😂😂
Huyu dada zuu simuamini hata kidogo
Tulioko rohoni tumemuelewaYesu atusaidie
Yaani hao wanaomtokea wanaongea nae kisoft soft hivyo? Kwamba unaenda tena kutusema sema, halafu unawambia niacheni bwana na wao wanaondoka? 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 ni atar na lakini salama
😂😂😂😂
Hiki anachosena huyu dada ni kweli kabisa .Kwani Ibilisi yupo na anatenda kazi kabisa .
😂😂😂😂😂
Nimechekaaaa bwana kuna nguvu ya Mungu iliingilia kati wakawa hawana nguvu
Hata sielewi kitu
Sio kweli muongo mkubwa huyu dada
Uwongo ulio wazi 😂
Sijuwi nisadiki au nisisadiki🤔
😂😂😂usisadiki
Kuna na mazingaombwe (kiini macho) hapo
Wala hadanganyi
Uongo matupu Malaya wahed
watu wa iringa wana hiyo shida
Shida gani
Huyu dada muongo yani kujitafutia umaarufu Kwa lazima ww unanini mpaka uandamwe hvyo
Mmmmmh...my dear kama nakuelewa lakini inakataaa. Haya ni mambo ya rohoni lakini mmmmmh
24:08 Mimi Nimehubri Injili Mambo Hayo Jisha Kutana Nayo Ila Kwa Huyu Dada Kunamahala Ananogesha Sitor Kwanza Amesema Mme Alienda Kutowa Mahali Bila Talifa Kwatamaduni Zawatanzani Hilo Haliwezekeni Pili Ndoa Ili Ifungwe Zipo Siku 21 Za Tangazo La Ndoa Kishelia Tatu Huwezi Kufunga Ndoa Na Mtu Ambae Hajabatizwa Kwa Maji Mengi Kama Mulokole Au Kama Hajaokoka Hailuhusiwi Kufunga Ndoa Mwisho Ndoa Lazima Ishelekewe Na Wazazi Wa Pande Mbili Hapo Amesema Alisafiri Kutoka Ilinga Kuja Kufunga Ndoa Dar
Nini Nimegundgua Huyu Anamtangaza Nabii Wake Ili Jamii Iamini Ndio Ananguvu Kuliko Makanisa Yote Jambo Ambalo Ni Uongoo Mkubwa Nakama Amebadilika Kwanini Aongee Na Majini Tena Wakati Ameisha Kuwa Mtu Mwingine Mwenye Akili Ajiwe Namna Ya Kuchanganua Maneno Haya
huyu dada sio muongo kunawatu wanaongea kwa style hii mi enyewe nikiongea utasema natania
Mh😂
yaan ukitaka Chanel yako idumu na kupata views wengi achana na story za kujitungia na uongo maana wat wakisha aanza kujua huto pata watu maana watakuwa wanajua vipindi vyako ni zauongo. alafu wana 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Ushuhuda wa kupaishana
Mimi underwear ilikatwa na mkasi jmn
Nachojiuliza kama mume wake alikuwa ameokoka alishindwaje kupambana na hilo joke?mmmmh!!